Professional Documents
Culture Documents
Hati Ya Mkataba Wa Upangaji
Hati Ya Mkataba Wa Upangaji
Mimi ndugu Wilfred D. Mwasumbi wa S.L.P 3642 Dar es Salaam nimeingia mkataba na
Bw/Bi________________________________ wa S.L.P ____________ kwa kumpangisha
nyumba iliyopo eneo la UPENDO kata ya VIJIBWENI kwa ajili ya upangaji wa nyumba. Kuanzia
tarehe ___________ mwezi ________ mwaka __________ kodi kwa mwezi mmoja ni
Tshs__________________ inatakiwa kulipwa kodi ya miezi sita (6) ambayo ni
Tshs_______________ itakayoishia tarehe ____________ mwezi __________ mwaka ________