Professional Documents
Culture Documents
Dauson Mgamba
Dauson Mgamba
Dauson Mgamba
NO
01 Athuman jackson Chairperson and signatory
02 Agness jackson messenger
03 Beatrice saimon messenger
04 Wegesa lameck Secretary and signatory
05 Debora saimon messenger
06 Tagari saimon Treasurer and signatory
07 Dauson mang’aba messenger
08 Suzy nyabange messenger
09 Mama grace signatory
10 Anastazia athuman messenger
11 Saimonn kibure messenger
12 Godfrey lameck messenger
13 Nyabange lameck messenger
14 Agness lameck messenger
MHUTASARI WA KIKAO CHA KUANZISHA KIKUNDI KICHOFANYIKA
TAREHE: 03 Sept 2023
A. MAHUDHIRIO
B. AGENDA
1.ufunguzi/kufungua kikao
2.kujadili namna ya kuanzisha kikundi cha kusaidiana kijamii.
3.kupendekeza majina ya viongozi wa kikundi pamoja na masagnator
4.kujadili maeneo ya kazi,malengo ya kikundi,shughuli zake na jina la kikundi
5.mengineyo
6.kufunga/kuhitimisha kikao.
05. MENGINEYO.
-ziundwe kanuni ambazo zitawaongoza wanakikundi wote
-kuwepo na kiasi ama kiwango kwaajili ya msaada kwa mwanakikundi wetu wakati
apatapo tatizo.
-mchango huu ni kwaajili ya kusaidiana katika matatizo tuliyokuabaliana wanakikundi
06. KUFUNGA / KUHITIMISHA KIKAO
Tulihitimisha kikao mnamo saa kumi n mbili na nusu jioni kwa mwenyekiti ATHUMAN
JACKSON kuwashukuru wajumbe wote walio udhuria kikao hicho pamoja na michango
yao ya mawazo ambayo yanaleta ufani
si na utendaji wa kazi katika kikundi chetu.
ORGERNIZER
DAUSON MANG’ABA