Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 3

CHOZI LA HERI MASWALI

1. ‘‘lakini itakuaje historical injustice nawe Ridhaa hapo


ulipo sicho kitovu chako?’’
Ni maneno ya Ridhaa yalikuwa yakimpiku baada ya
kumjibu Tila mawazoni. Hii ni baada ya Ridhaa kukubali
maneno ya Tila ya hapo awali. Inadhihiirika kuwa
amekubali kuwa yeye ni mgeni si mwenyenji.
2. ‘‘…..Liandikwalo ndilo liwalo since when has man ever
changed his destiny.’’
Ni maneno ya Terry akimwanbia Ridhaa mawazoni mwa
Ridhaa akiwa nyumbani baada ya familia yake
kuangamizwa wakiwa kwa nyumba.
3. ‘’nakumbuka asubuhi ya pili baada ya mtafaruko
kuanza.Nilikua sebuleni na wanangu tukitazama
runinga.’’
Ni maneno ya Kaizari akikumbuka jinsi machafuko ya
baada ya uchaguzi yalivyoadhiri nchi ya wahafidhina.
4. ‘’nitapigana kwa jino na ukucha kuulinda utu wangu.’’
Ni uzungumzi nafsia wa Umu baada ya kutoka mlima wa
Simba baada ya kutekwa nyara kwa nduguze, Mwaliko
na Dick.
5. ‘’kuukata mkono niliostahili kubusu yalinifika kunifika.’’
Ni maneno ya msimulizi. Kumhusu Dick alipokumbuka
jinsi rafiki yake Lemi alikuwa ameuwawa na umati.
Anakumbuka haya baada ya kutishwa kuwa angetupwa
nje na mwanjiri wake Buda.kisha asingiziwe wizi na
kuchomwa moto.
6. ‘‘ Msamehe hakuna mja aliyekamilika.’’
Maneno ya mamake Sauna
Akimzungumzia Sauna katika kumbukizi za Sauna
baada ya kutendewa unyama na babake mlezi.
Sauna anabakwa na kuambulia uja uzito hali
inayobainisha mkondo wa maisha ya sauna.
7. ‘‘Kumbe hata mja akafanikiwa vipi kielimu na kitaaluma
maisha yake huwa ombwe bila mwana awe wa kuzaa au
wa kulea?’’
Msemaji ni Mwangeka
Anajisemea kimoyomoyo. Yeye na Neema wakoo katika
ofisi ya Annastacia katika kituo cha Watoto wa
Benefactor.
Wamekwenda kumchukua motto wa kupanga Mwaliko
baada ya kukosa kufanikiwa kuwa na wana.
8. ‘‘ una bahati kupata mfadhili mimi mzazi wangu wa pekee
ni mama ambaye muuza samaki.’’
Msemaji – Kairu
Akimwambia Umu
Bweninikatika shule ya Tangamano
Ni baada ya Umu kusimulia hadithi yake na jinsi alivyo
ufadhili katika makao.
9. ‘‘…Familia yake bado inamiliki mashamba ya michai na
miboni pamoja na mashirika mengi..’’
-Maneno ya Chandachema
-Akimmwambia Umu , Zohali na Mwanaheri.
-wakiwa katika bweni la wasichana katika shule ya
Tangamano.
-Alikuwa akiwaelezea usuli wa yeye kuwepo katika shule
hiyo.
10. ‘‘ kumbe hata wewe shemeji…..?’’ ‘‘ndio tu hapa na
wengi’’
Kauli ya (1) Ridhaa
Akimwambia Kaizari
Kauli ya pili ni jibu la kaizari
Katika kambi ya wakimbizi
Ridhaa alikuwa amemwona shemeji yake Kaizari
alipotoka kutafuta mzizi mwithi kutokana na uhaba wa
chakula.
11. ‘‘Maisha yangu yalifaa shubiri tangu utotoni’’
Maneno ya Chandachema
Kwa zohali Umu ,Kairu na Mwanaheri
Bwwenini shuleni Tangamano.
Walikuwa wakihadithia maisha yao ili kumliwaza Umu
asione kuwa ni yeye tu amepitia magumu.

You might also like