Paka Na Panya K-WPS Office

You might also like

Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 2

Paka na Panya kwa Ushirikiano

Paka na panya walitaka kuishi pamoja katika nyumba moja kwa ushirikiano.

Walijitayarisha kwa ajili ya misimu mikali ya ukosefu wa chakula kwa kununua chungu kizima Cha
chakula kwasababu hawakuwa na sehemu salama zaidi kwa ajili ya kukiweka, walikiweka kanisani hadi
wakati ambapo wangekihitaji.

Hata hivyo, siku moja paka alichukua hamu kwa ajili yake, na akakaribia panya.

Paka kamwambia panya “Sikiliza, panya mdogo, binamu yangu ameniita kutumika kama baba wa kidini
wa mtoto wake. Amejifungua mtoto mdogo wa rangi ya kahawia na nyeupae, na natakiwa kumsindikiza
hadi ubatizo wake.

Je, ni sawa mimi kukuacha hapa nyumbani peke yako na kazi za nyumbani leo halafu nikamsindikiza
binamu yangu?

Nenda mbele,” panya alisema, “na ikiwa watakuhudumia chakula kizuri, nifikirie tu ndugu yangu.

Hakika paka alikwenda moja kwa moja kanisani na kula chakula walichokihifadhi kwa misimu mikali
kisha akaenda kuzunguka-zunguka mjini na hakurudi nyumbani hadi jioni.

Nyakati za saa kumi na mbili, paka alionekana akitembea mwendo wa kobe tumbo mbele yake Kama
mawaziri wa Uganda.

“Lazima ulikuwa na wakati mzuri,” panya alisema. “Walimpa mtoto jina gani?”

Shiba,” paka akajibu.


Shiba! Hilo ni jina gani, ambalo bado sijalisikia.” Au Kama wewe umeshiba?

Muda mfupi baadaye paka alichukua hamu nyingine, akaenda kwa panya, na kusema, “Nimeombwa
kutumika kama baba wa kidini kwa mara nyingine tena.

Mtoto ana pete nyeupe kuzunguka mwili wake. Siwezi kusema hapana. Utakuwa na kunifanyia
upendeleo na kutunza nyumba peke yako leo.”

Panya alikubali, na paka akaenda na kula nusu ya mafuta. Aliporudi nyumbani, panya aliuliza, “Je! Mtoto
huyu wa mungu alipokea jina gani?.

You might also like