Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 3

VIFUNGO VITOKANAVYO NA MILA

UTANGULIZI
Mila ni kawaida ya mtu au jamii Fulani. Mila ni taratibu zenye
miiko za watu/jamii Fulani. Mfano: Mila ya kunyoa vipara kwa
ajili ya wafu.
Mila zisizompendeza Mungu ni chanzo cha vifungo vya kiroho
na kimwili kwa watu wengi. Kupitia mila watu
wamejiunganisha na mizimu ya ukoo/familia iliyobeba mila
hizo. Mila zisizofaa hubeba nguvu ya mizimu inayopelekea
vifungo. Mila hugeuka chanzo cha vifungo maana baadhi ya
mila zina Maagano yake ambayo zimebeba SIRI kubwa.

MIFANO YA MILA ZILETAZO VIFUNGO


1. Kunyoa Vipara Kwa Ajili Ya Wafu.
KUMBUKUMBU LA TORATI 14:1
Huu ni utaratibu wa jamii nyingi za waliookoka na wasiookoka
hususani jamii za kiafrika. Kuna madhara makubwa yatokanayo
na mila hii, maana moja kwa moja ni kujiambatanisha na mzimu
wa marehemu. Ndiyo maana wengine baada ya msiba hupata
matatizo mengi kama vile ndoto mbaya za kumuota marehemu,
magonjwa n.k.

2. Kuabudu Waliokufa.
KUMBUKUMBU LA TORATI 18:10-11
Hii ni mila nyingine isiyompendeza Mungu inayofanywa na
watu wengi. Hizi ni ibada ya kutambikia na kutoa kafara kwa
ajili ya jambo Fulani ili mizimu ya marehemu iwasaidie.
Jiulize swali hili, “Tunapaswa kwenda kwa waliokufa kwa ajili
ya walio hai?
ISAYA 8:19
Mila ni ibada isiyompendeza Mungu. Mila huambatana na
sadaka za miungu ile inayosimamia mila hizo.
MUHIMU: Tambua chanzo na dhumuni ya mila hiyo katika
familia yenu. Usikimbilie kufanya mila bila kujua chanzo na
madhumuni utajiunganisha na Maagano ya mila bila kujua, na
madhara yake yatakuwa makubwa.

MADHARA YA KUJIUNGANISHA N AMILA


ZISIZOFAA
i. Kukutenga mbali na Mungu.
Hautakuwa na ushirikiano na Mungu maana hizo ni Ibada za
mizimu

ii. Mikosi, laana vitaambatana nawe.


Shetani atakushambulia katika maeneo mbalimbali kama vile
uchumi, maana hauna ulinzi wa Yesu.
NJIA ZA KUVUNJA KIFUNGO CHA MILA
1. Omba toba ajili yako na familia yenu.
Takasa kwa maombi ili kufuta madhara yatokanayo na vifungo
vya mila.
2. Rejesha kilichoathirika katika maisha yako.
Kilichotetereka kama ni Afya au uchumi rejesha kwa upya kwa
njia ya maombi.
YOELI 2:25
3. Futa kwa damu ya Yesu madhara yatokanayo na mila.
4. Mfukuze shetani aliyekaa katika ukoo wenu kwa njia ya
MILA.
HITIMISHO: Usile vyakula vitokanavyo na sherehe za kimila,
hii ni kwa sababu vyakula vile
hutamkiwa maneno ya kishetani (Agano).
MITHALI 23:8

You might also like

  • Single Mothers
    Single Mothers
    Document3 pages
    Single Mothers
    mtandizakaria
    No ratings yet
  • 3
    3
    Document1 page
    3
    mtandizakaria
    No ratings yet
  • 2
    2
    Document3 pages
    2
    mtandizakaria
    No ratings yet
  • Ufalme 3
    Ufalme 3
    Document6 pages
    Ufalme 3
    mtandizakaria
    No ratings yet
  • Ufalme 1
    Ufalme 1
    Document3 pages
    Ufalme 1
    mtandizakaria
    No ratings yet
  • Mtu Akifa
    Mtu Akifa
    Document6 pages
    Mtu Akifa
    mtandizakaria
    No ratings yet
  • Kitovu 2
    Kitovu 2
    Document2 pages
    Kitovu 2
    mtandizakaria
    No ratings yet
  • Kitovu 3
    Kitovu 3
    Document2 pages
    Kitovu 3
    mtandizakaria
    No ratings yet
  • Agano La Kitovu Mix
    Agano La Kitovu Mix
    Document30 pages
    Agano La Kitovu Mix
    mtandizakaria
    No ratings yet