Professional Documents
Culture Documents
Kisw 203-Ushairi Wa Kiswahili
Kisw 203-Ushairi Wa Kiswahili
Kisw 203-Ushairi Wa Kiswahili
SPECIAL/SUPPLEMENTARY EXAMINATIONS
FOR SEPTEMBER – DECEMBER 2018 SEMESTER
Page 1 of 3
TAHADHARI:- kamera za CCTV zipo kwenye vyumba vyote vya mitihani
SEHEMU YA A: NI YA LAZIMA
Swali La Kwanza
Page 2 of 3
i) Tathmini ufaafu wa kichwa cha shairi hili. [Alama2]
ii) Kichwa hiki kinachangia vipi katika dhamira ya mtunzi wa shairi hili? [Alama2]
iii) Angazia aina ya maana inayojitokeza katika shairi hili na uitoe kwa mujibu wa shairi
hili. [Alama3]
iv) Tathmini muundo wa shairi hili. [Alama5]
v) Eleza maana ya muktadha wa shairi na kisha utoe muktadha halisi wa utunzi huu.
[Alama4]
vi) Jadili suala la mshororo kwa mujibu wa shairi hili huku ukieleza ni aina gani ya shairi.
[Alama3]
Swali La Pili
Swali La Tatu
Swali La Nne
Swali La Tano
a) Onesha uhuru wa mshairi huku ukitolea maelezo na kuyahimili kwa mifano faafu.
[Alama10]
b) Tathmini suala la hisia katika utunzi wa ushairi wa Kiswahili. [Alama10]
Page 3 of 3