Professional Documents
Culture Documents
Fasihi inayoteg-WPS Office
Fasihi inayoteg-WPS Office
Fasihi inayoteg-WPS Office
Mkocho,Ni mtaalam Katika matumizi ya mbinu mbalimbali za masimulizi Katika kazi za kifasihi.Mkocho
wa wakocho,ni mbobezi zaidi Katika matumizi ya vipengele mbalimbali vya kimasimulizi Katika kazi za
kifasihi
Si kweli kwamba msimuliaji wa fasihi simulizi pekee ndio mkocho wa wakocho Katika utumiaji wa mbinu
za masimulizi bali hata mwandishi wa kazi za fasihi andishi anaweza kuwa mkocho wa wakocho kupitia
matumizi ya mbinu mbalimbali za masimulizi Katika kazi yake.Diwani ya HEKiMA ZA WAHENGA
iliyoandikwa na H.W.Mapunda na tamthiya ya NGOMA YA NG'ANAMALUNDI iliyoandikwa na
EMMANUEL MBOGO ni miongoni mwa kazi za fasihi andishi zilizothibisha kuwa hata mwandishi wa kazi
za fasihi ni mkocho wa wakocho kama ifuatavyo
Matumizi ya tamathali za semi;ni matumizi ya maneno yenye maana kinyume na ile ya kawaida na yenye
lengo la kutoa fundisho na kupamba sentensi kwa usanii.Mwandishi wa tamthiya ya NGOMA YA
NG'ANAMALUNDI na diwani ya HEKIMA ZA WAHENGA wametumia tamathali za semi kama ifuatavyo
Pia Katika tamthiya ya NGOMA YA NG'ANAMALUNDI mbinu hii imejitokeza Katika (UK 11) mwandishi
anasema
"Chipupe:hebu simama!simama:"
Tashihisi;hii ni mbinu ambayo vitu visivyo na uhai au visivyo na sifa za ubinadamu hupewa sifa za
kibinadamu Katika tamthiya ya NGOMA YA NG'ANAMALUNDI (uk9) mbinu hii imetumika kama
Imetufyonza damu....."
Tashibiha ;hii ni tamathali ya semi ambayo hutumiwa kufananisha vitu tofauti kwa kutumia
viunganishi.Katika dawani ya "hekima za wahenga"(uk14)shairi la "mkisikia kishindo" ubeti wa 2
mwandishi anasema
Pia Katika tamthiya ya NGOMA YA NG'ANAMALUNDI Katika (uk72) tashibiha imejitokeza ambapo
mwandishi anasema
Kizuu:Damu!
Wote:Damu!
Kizuu:ua!
Wote:ua!
Hivyo matumizi ya dayolojia au majibizano Katika uandishi wa kazi za fasihi unathibitisha kuwa
mwandishi wa fasihi ni mkocho wa wakocho
Pia Katika tamthiya ya NGOMA YA NG'ANAMALUNDI mbinu hii imetumika Katika (uk34) mwandishi
anasema
"Kizuu :(akiitika)ndiyo ua
Chidama!Damu........."
Pia Katika diwani ya "hekima za wahenga"mwandishi ametumia muhusika kama Asha kiduku (uk35)
kufikisha ujumbe wa wadada ambao hawajatulia mwandishi anasema
Itikia,ameni!ameni!
Ilaaaaa!
Matumizi ya ngomezi;ni mbinu ya kutumia midundo tofauti ya ngoma kwa lengo kufikisha
ujumbe au maana Fulani kama vile kufikisha hali ya hatari, huzuni na furaha.katika diwani ya "hekima za
wahenga"ngomezi inadhihirika Katika (uk27) mwandishi anasema
Ng'wanamalundi........"
Hivyo matumizi ya ngomezi Katika fasihi andishi unadhihilisha kuwa mwandishi wa fasihi andishi ni
mkocho wa wakocho.
Matumizi ya taswira ;hii ni mbinu ya kutumia lugha ya picha.katika diwani ya " hekima za
wahenga"mwandishi ametumia taswira mbalimbali mfano Katika (uk35) Katika ubeti wa 5 Katika shairi
la" matango na vibamia"mwandishi anasema
Pia Katika tamthiya ya "ngoma ya ng'wanamalundi"mwandishi ametumia taswira mbalimbali kwa mfano
Katika (uk20) mwandishi anasema
Aaah.....!wuuu!(eanarudi nyuma
(Kimya)melon!
Hivyo kupitia matumizi ya taswira Katika kazi ya fasihi andishi inadhihirisha kuwa hata mwandishi wa
kazi za fasihi ni mkocho wa wakocho.
Hivyo basi sio kweli kuwa msanii wa fasihi simulizi ndio mbobezi wa wabobezi (mkocho wa wakocho)
hata msanii wa fasihi andishi ni mbobezi wa wabobezi kwani wasanii wa fasihi andishi kama vile
ushairi,riwaya, na tamthiya wamekuwa wamekuwa wakitumia mbinu mbalimbali Katika kazi zao pia
wamekuwa wakitumia ubunifu Katika kazi zao lengo la kutumia ubunifu ni kufanya kazi zao ziwe na
uvuto kwa wasomaji pia kujitofautisha na waandishi wengine lengo lingine ni kupunguza kazi za
kikasuku.
MAREJELEO