Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 39

Maneno ya

Mwalimu Mstafuu

Dr/ Haidy Khald


Section B
Majina ya Wanafunzi

Amr Sayed Abdeldaim


Mimana Sheriff Ali Mohamed
Maryem Mohamed Elsayed
Menna Allah Mohamed Abdelnaby
Mohab Hassen Mohamed
Mohamed Emad Elsayed
Nada Mohamed Fathy
Fatma Ashraf Hamd
Heba Mutawakel Abdallah
Neno Kwa Manna ya neno kwa Manna ya neno
kiswahili kiswahili Kwa kiarabu
Mstaafu ji (a- Mtu anayeacha kazi kwa ‫مستعفي‬/‫شخص محال للمعاش‬
/wa-) kutimiza umri wa miaka
Fulani: wastaafu hawa
wamejiunga pamoja ili
kuuanzisha mradi huu.
(kar)
Kufinyang-a kt -ele- undakitu K.V. ‫شكل الصلصال‬/‫صنع اواني خزفية‬/‫خزف‬/‫نحت‬
nyungu kwa kitu majimaji
K.V. udongo kinamo: kazi
ya mfunyanzi hasa ni
kufunyanga vyungu.
Mpaka kl Hadi: kutoka shuleni ‫الي ان‬/‫حتى‬
humu mpaka huku ni
mwendo mrefu.
Hatimaye kl Baada ya shughuli Fulani ‫في الختام‬/‫اخيرا‬/‫في النهاية‬
au jambo.
Kuishi-a kt -Sie- malizikia; fikia ‫وصل المنهى‬/‫حضر الي‬/‫ انتهى من‬/‫عاش في‬
hatima:safari yetu
imeishia ukingoni mwa
mto huu.
Rubani ji ma- Mwendesha ndege.z. ‫مالح جوي‬/‫قبطان‬/‫ربان‬
(a-/wa-) mtu anayeendesha
chombo cha usafiri. (Kar)
Bunge ji (li- 1-Baraza la kitaifa lenye ‫برلمان‬/‫مجلس الشعب‬
/ya) wajumbe waliochaguliwa
na wananchi
kuwawakilisha ambalo
hutunga sharia za nchi
hiyo
2-jumba mnamofanyiwa
mikutano ya baraza
Msahau ji (a- ‫نسى‬/‫السهو‬/‫كثير النسيان‬
/wa-)
Nasaha ji (i-/zi- Mawaidha. (Kar) ‫استجداء العفو‬/‫العفو‬/‫طلب‬/‫توسل‬
)
Insafu ji (i-/zi) Nidhamu; uwajibikaji: ‫مساوة‬/‫عدل‬/‫حق‬/‫نية طيبة‬/‫انصاف‬/‫عدل‬
unyofu; ususuani insafu
ya kijana yule ilifanyaaka
pewa ukurugenzi akiwa
na umri mdogo. (kar)
Huruma ji (i-) Moyo wa kutendea watu ‫تعاطف‬/‫رقة‬/‫حنان‬/‫عطف‬/‫شفقة‬/‫حرمة‬
wema; Imani, upole:
wauguzi wengi hudai
kuwa wanafanya kazi
hiyo kwa huruma walio
nayo! (Kar)
Ustaarabu ji Uzingatiaji wa tabia ‫استعراب‬/‫تحضر‬/‫تمدن‬
(u-) vitendo; uzingatiaji wa
tabia vitendo na
mwenendo unaokubalika
katika jamii inayohusika.
(Kar)
Uadilifu ji (u-) Hali ya kufanya mambo ‫عدالة‬/‫عدل‬
kama inavyotakikana;
kufanya haki kwa
wote.(Kar)
Uwajibikaji ji Hali ya mtu kuchukua ‫فعل االمر‬/‫ايجاب‬
(u-) jukumu la kutekeleza
jambo kwa kanuni
zilizopo kama
anavyopaswa kufanya;
Uwajibikaji wake
umempa madaraka
mapya.
Nemsi ji (i-/zi-) Sifa nzuri. ‫عظمة‬/‫فخامة‬/‫شرف‬/‫سمعة طيبة‬
Ucheshi ji (u-) Hali ya kufanya watu ‫بديهية‬/‫حسن الطبع‬
wacheke: uchangamfu.
Msinigi ji (u-/i-) Chanzo; asili: Uhuru wa ‫اخدود‬/‫خندق‬/‫مرحلة التعليم االساسي‬/‫اساس‬
kusema na kutenda ni
moja wapo ya misingi ya
demokrasia. Mahali
palipochimbwa na
kujengawa imara kwa
azma ya kusimamishia
jingo: msingi huu
mlioujenga si wa ghorofa!
Kulimbuk-a kt -ele- pata kitu mara kwa ‫انتهى من انتظار شيء‬/‫فعل شيء ألول مرة‬
ya kwanza; chukua kitu
cha kwanza: Amelimbuka
kusema na msichana
huyo.
Kufichu-a kt -ele- Onyesha ‫عرى‬/‫عرض‬/‫أظهر‬
kilichofichwa; onyesha:
waziri wa serikaliza
mashirika alifuchua
kashfa ya wizi wa pesa
katika shirika la
wakulima.
Siri ji (i-/zi-) Jambo lililo moyoni mwa ‫غموض‬/‫سر‬
mtu na ambalo mtu au
watu wengine hawalifa
hamu. (mt). Jambo
ambalo halijafichuliwa.
(Kr)
Tarakimu ji (i- Alama ya hesabu ‫ترقيم‬/‫رقم‬/‫عدد‬
/zi-) loneshayo idadi: unajua
kuhesabu kwa tarakimu
hizi za kiarabu ama kwa
zile za kirumi? (Kar)
Abjadi ji (i-/zi-) Orodha ya herufi za ‫الحروف الهجائية‬/‫األبجدية‬
lugha ambazo
zimepangwa kwa njia
maalumu; alfabeti. (Kar)
Ramani ji (i- Mchoro wa nchi; mji, ‫رسم هندسي‬/‫مصور جغرافي‬/‫خارطة‬/‫خريطة‬
/zi-) eneo au nyumba ilivyo ‫للبناء‬
ama itakavyokuwa:
Wewe huruhusiwi
kujenga chochote hapa
mpaka uwe umepata
ramani iliyopitishwa na
manispaa. (Kar)
Choro ji (li-/ya- ‫نقش‬/‫نحت‬
)
Jedwali ji (li- Orodha ya hesabu za ‫طلب‬/‫عريضة‬/‫جدول مواعيد‬/‫جدول بيانات‬
/ya-) kuzidisha; tebo.
Chati.(Kar).
Hisabati ji (i-) Elimu ya tarakimu yenye ‫الرياضيات‬/‫علم الحساب‬
sehemu tatu ambazo ni
aljebra,hesabu ya
maumbo na hesabu ya
kawaida
Sayansi ji (i- Elimu yenye vipimo ‫علوم‬/‫علم‬
/zi-) vilivyowekwa kuongoza
utekelezaji na uchunguzi
Fulani wa majaribo ili
kuthibitisha ukweli. (Kng)
Kujaali-a kt -ele- wezesha kufaulu : ‫فعل قدر استطاعته‬/‫جعل‬/‫منح‬
mwenyezi mungu
amenijaalia kupata kazi
nzuri. Pia jalia (Kar)
Mvi ji (i-/zi-) / ji Nywele nyeupe ambazo ‫رمح‬/‫سهم‬/‫سنجابي‬/‫شعر رمادي‬
(u-/i-) humtoka mtu kichwani
hususan uzeeni.
Kunik-a ‫ جفف‬/‫نشر المالبس‬
Jadidi kl Kwa uthabiti: mwalimu ‫حدث‬/‫جدد‬/‫جدية‬/‫انضباط‬/‫قوة‬
mkuu alisimama jadidi
kuhusu tabia ya
wanafunzi kukosa
nidhamu.
Shingo ji (i-/zi- 1. Upende wowote wa ‫عنق‬/‫رقبة‬
) kitu ambao ni
mwembamba K.v.
wa chupa.
2. Sehemu ya mwili
ishikanishayo
kichwa na kiwiliwili.
Mbamba ji (u- ‫نبات سام‬/‫رفيع‬/‫جاروف‬/‫مجرفة‬/‫القش‬/‫تبن النبات‬
/i-)
Mapema kl 1. Kabla ya wakati ‫في الفجرية‬/‫في البدرية‬/‫مبكرا‬
uliotajwa: jambo hili
linahitajika
kumalizwa mapema
hata kabla
hawajafikiria
kulikagua.
2. Alfajiri: mapema ya
leo imeshuhudia
mvua kidindia.
Kutabasuri ji -sie- kuwa na hekima na ‫برع‬/‫تبصر‬
(i-) busara: ametabasuri
baada ya kuishi kwa
miaka mingi. (Kar).
Kusumbu-a kt -ele- sababishia mtu ‫ازعج‬/‫ضايق‬
taabu; kosesha mtu raha;
hangaisha, kera, udhi:
mimi bwana
nitakusumbua hivi mpaka
unilipe deni langu kama
tulwyokubaliana.
Kujipak-a kt ‫نقش بالزيت‬/‫طلى‬/‫دهن‬
Kuung’ang’ania ‫االصرار‬/‫التمسك‬
Ujana ji (u-) Umri kati ya utoto na ule ‫سن الشباب‬/‫مرحلة الشباب‬/‫شباب‬
wa makamo; ushabibi.
Kutishia kt -ele- taa ahadi ya ‫هدد‬/‫خوف من‬/‫توعد ب‬
kufanyia mtu au kitu
mabaya iwapo mambo
Fulani hayatafanywa:
mwajiri amemtishia
mwajiriwa wake kuwa
atamfuta:kazi asipofanya
bidii.
Kustaafu kt -sie- kuacha kazi hasa ‫أحيل للمعاش‬/‫استعفى‬/‫تقاعد‬
baada ya kufikisha umri
unaopendekezwa
kisheria.(Kar)
Kutim-u kt Kundi la watu ‫انتهى‬/‫أكتمل‬/‫تم‬
wanaoucheza mchezo
Fulani: Timu hii yetu
hata ichezee wapi huwa
na hakika tu itashindwa!
Kuka-a kt 1. Jinsi kitu ‫استمر‬/‫دام‬/‫عاش في‬/‫سكن في‬/‫اقام‬/‫جلس‬/‫قعد‬
kinavyoone kena:
pendeza:hili kati
naliona lime kukaa
sawasawa kabisa!
2. Ishi mahali Fulani:je,
unakaa Nairobi ama
wabulanzi.
3. Tumika muda
mrefu;dumu:
baiskeli za siku hizi
hazikai.
4. Tia makalio kwenye
kiti, keti: kumbe!
Pale nilipokaa
palikuwa
pamewagwa maji
kusudi nikumbwe na
soni hadharani
Haiba ji (i-) Sura nzuri: utanashati: ‫مظهر حسن‬/‫هيبة‬
mvulani yule alikuwa na
haiba nzuri alipokuwa
kijana. Pia hebo. (Kar)
Mlima ji (u-/i-) Eneo la ardhi lililoinuka ‫تل كبير‬/‫جبل‬
juu kuliko sehemu
nyingine: nyumba yake
iko kwenye mlima ule.
Kup-a kt pitia. Kabidhi mtu kitu: ‫اهدى‬/‫وزع‬/‫وهب‬/‫منح‬/‫أعطى‬
baba, huyu ndiye
aliyempa spika hiyo ya
wizi. Peo, peana, pewa.
Staha ji (i-) Adabu ya mtu mbele ya ‫ سطح المركب‬/‫توقير‬/‫ شرف‬/‫ حياء‬/‫احترام‬
wengine. (Kar)
Mvuto ji (u-/i-) Hali ya kupendezwa na ‫افساد‬/‫اقناع‬/‫نفوذ‬/‫جذب‬/‫جر‬/‫سحب‬
jambo: mvuto wa banati
huyo kwa kijana wako ni
wa kiajabua jabu.
Kumbuk-a kt ele- fikiria jambo lililopita ‫تنبه‬/‫افتكر‬/‫تذكر‬/‫ذكر‬
Sherehe ji (i- Shughuli inayofanya ya ‫توضيح‬/‫شرح‬/‫أبهه‬/‫سرور‬/‫حفل‬
/zi-) kupata starehe ambayo
hukutanisha watu
mbalimbali kuadhimisha
jambo maalumu;
shamrashshama,
shangwe , tamasha.
Furik-a kt -sie- jaa hadi kumwajika ; ‫حد‬/‫فاض الماء‬/‫زاد إلى أقصى فار التنور‬
jaa kupita kipimo
Kiambo ji (ki- kijiji ‫محل إقامه‬/‫بيت‬/‫قريه‬/‫مدينه صغيرة‬
/vi-)
Mashabaki ‫مشجعين‬
Mchuano ji (u- 1. ashinndano baina ‫لعبه‬
/i-) ya pande mbili
2. msuguano wa vitu
viwili.
Soka ji (i-) Mchezo wa mpira wa ‫لعبة كرة قدم‬
miguu kandanda,
kabumbu.
Wani-a kt -ele- shindanaa kupata ‫ناضل‬/‫كفاح‬/‫سعى من أجل‬/‫نافس‬
kuti Fulani
Kombe ji (li- 1. chombo ‫كأس معدنى للمسابقات‬/‫صدفة‬/‫نوعية من األصداف‬
/ya-) kilichoundwa
kutokana na madini
ya thamani kitolewa
kama tuzo kwa
washinidi kama vile
katika michezo:
kombe la dunia yn
mchezo wa kuwani
tuzo duniani k.v.
katika kandanda.
2. Kitu kilicho na nafasi
k.v sahani ya sini:
kombe la sini (ms)
yn fuvu la kichwa .
3. Aina ya dawa
itengezwayo kwa
kufutwa wino wa
zafarini uliotumika
kuandika aya Fulani
za kurani kwenye
karatasi na sahani
ya sini kwa kutumia
miji ambayo
hatimaye hunywewa
na mgonjwa
Changi-a kt 1. Toa pesa kwa ajili ‫تبرع‬/‫أضاف إلى‬/‫أسهم‬
ya kusaidia katika
shughulia Fulani
2. Sabibisha katika
ubora au uzorotaji
wa kitu fulani
Halafu Kesho, baadaye ‫بعدئذ‬/‫ثم‬/‫بعد ذلك‬
Pew-a kt ‫استقبل‬/‫تلقى‬/‫أُعطى‬/‫ُمنِح‬
Umiz-a kt dhuru ‫أوجع‬/‫آلم‬/‫آذى‬/‫تسبب فى األلم‬
Roho ji(i-/zi-) 1. Sehemu muhimu ‫روح‬/‫حياة‬/‫نفس‬
hasa kwenye kidari
cha kuimbe
chochote
Kinachowezsha
kupumua: tayari
mwezetu ametokwa
na roho na
hatunaye tena.
2. Jambo au kitu
Kinachotegemewa
kuwezesha maisha
kuendelea: utulivu
na makini ni roho ya
kusuma kwema
katika kila shule
hapa nchini
3. Hli ya kuwa na
huruma na wema:
ana roho yule na
huwafaa sana watu
wa umri mkubwa!
(Kar)
Hesab-u kt 1. Weka maanani: ‫حسب‬/ّ‫عد‬/‫أحصى‬/‫ج ّمع‬
fikiria
2. Tafuta idadi ya vitu
ama watu.
3. Taja tarakimu moja
moja.
Gari ji (li-/ya-) Chombo cha kusafiria ‫سيارة‬/‫حافلة‬/‫مركبه‬/‫عربة‬/‫قطار‬
barabarani magurudumu
, injini na usukani;
motokea.
Hesud-u kt ‫حسد‬/‫حقد‬/‫كره‬
Masuti ‫أحذية‬
Tok-a kt -sie- ondoka mahali na ‫خرج من‬/‫جاء من‬/‫ظهر‬/‫بان‬
kwenda.
Ng'ambo ji (i- 1. Upande mwingine ‫الجانب اآلخر‬/‫الجهة المقابلة‬
/zi-) aghalabu wa mahali
Unaotenganishwa na
mto, baharani
,barabara,n.k
2. Nchi zilizo mbali na
nchi nyingine
zinazotengnishwa.
Mate ji (ya-) Majimaji yaliyo kinywani ‫ريق‬/‫ماء الفم‬/‫لعاب‬
ambayo husaidia
kutafuna chakula kwa
kukilowesha ili kiwe rahisi
kumezwa.
Kigezo ji (ki-/vi- 1. Kipimo; mizani. ‫ميزان‬/‫معيار‬/‫مقياس‬/‫فيصل‬
) 2. Ruwazo, sampuli;
mtindo
3. Futi; chombo cha
kupimia.
Pim-a kt 1. Tafiti kitu, mtu au ‫قاس‬/‫وزن‬/‫فحص‬/‫كيّل‬/‫قدّر‬
jambo : aliyapima
yeye maneno yako
na akaona ni ya
kweli kabisa
2. Kadiria kitu
kinatoshaje: upime
urefu wa sakafu hii
na uone kama
ujenzi wake ulifuata
maagizo yake.
Imb-a kt -ele- toa maneno kwa ‫غنى‬/‫أنشد‬
sauti ya muzuki; faladi;
ghani
Lele ji (i-/zi-) Nyimbo za kujitayarisha ‫أغنية لبداية الرقصات‬/‫إفتتاحية‬
kabla ya ngoma kuanza.
Nyimbo ji (u- wimbo ‫أنشودة‬/‫أغنية‬/‫شعر غنائى‬
/zi-)
Marimbo ji (ya- ‫األكسليفون‬
)
Lelemama ji (i- Ngoma inayochezewa na ‫رقصة نسائية‬
/zi-) wanawake wa pwani
husuan wakati wa harusi.
Harusi hiyo ilikosa furaha
kabisa kwani hata
lelemama haikuchezwa.
Mdundiko ji (u-) Aina ya ngoma ya ‫رقصة لقبيلة زرافو‬
kienyeji inayochezwa
Tanzania na wazaramo.
Mdundiko umechacha
katika sherehe umeoutia
wageni
Violini ‫الكمان‬
Sarakasi ji (i- Aina ya mchezo ya ‫السرك‬
/zi-) kutaajabisha k.v. mbuzi
kubeba kipapu kichwani
Fan-a kt Jambo au kitu kutendeka ‫عمل ا‬/‫نجح فى‬/‫أتقن العمل‬
‫عمال جيداا‬
kwa njia nzuri ya
kuridhisha moyo; faulu
Hotuba ji (i-/zi-) Usemaji ufanywao na ‫خطبة‬/‫وعظ‬/‫موعظة‬
mtu mmoja mbele ya
watu pia hutuba
Simam-a kt Chukua jukumu la ‫وقف‬/ ّ‫هب‬/‫نهض‬/‫توقف‬
kuhakikisha kuwa shughli
au jambo Fulani
linatendwa ipasavyo.
Zungumz-a kt Shiriki katika ‫تحادث مع‬/‫لعب‬/‫تسلى‬/‫ضيع الوقت‬
mazungumza; sema ;
ongea
Uwanja ji (u-/zi- 1. Kuwanjia; uchanjaa ‫فناءالبيت‬/‫أرض‬/‫فضاء‬/‫ميدان‬
) 2. Upende wa
kitaaluma ambao
unaweza kutafitiwa
ukasomwa na
kusomeshwa; fani
ya kitaaluma:
ninasomea uwanja
wa lugha katika
chuo kikuu
Zim-a kt -ele- fanya kitu ‫أطفأ‬/‫أخمد‬
kisiendelee kuungua,
kuwaka ama kutoa sauti
Hatibu ji ma-(a- 1. Ashikiliaye cheo cha ‫خطيب‬/‫واعظ‬
/wa-) tatu chini ya
uswahilini; mfawidhi
2. Mwenye kutoa
hatuba
Nyoka ji (a- Aina ya mnyama kama ‫ثعبان‬/‫أفعى‬
/wa-) aendaye kwa kutambaa
na kutaga mayai,
mwenye sumukali na
anayetoka ung’ngo
Panyo ‫كهف‬/‫غار‬
Zito (kv) ‫قاس‬/‫فظ‬/‫حبلي‬/‫غبي‬/‫حامل‬/‫صعب‬/‫ثقيل‬
‫بطئ‬/‫حزين‬
Ku-sifu (kt) -ele- sema maneno ‫مدح‬/‫استحسن‬/‫تملق‬/‫أطري‬/‫وصف‬/‫امتدح‬
mazuri kuhusu mtu, kitu
au jambo Fulani:
anapenda kumsifu
mkewe sana.
Kimya (ji) Bila kutoa sauti au kilele. ‫هدوء‬/‫صمت‬/‫سكون‬
Nafasi (ji) Mahali wazi ‫فترة‬/‫راحة‬/‫فراغ‬/‫فسحة من الوقت‬/‫فرصة‬
banaboweza kutumika ‫فترة توقف عن العمل‬/‫استراحة‬
kufanyia jambo
Hali (ji) Namna mambo yalivyo ‫الوضع الكائن عليه الشئ‬/‫نوع‬/‫ظرف‬/‫وضع‬/‫حال‬
Dhamira (ji) 1-jambo akusudialo mtu ‫معني ما يقرأ أو‬/‫لب الفكره‬/‫لب الموضوع‬
kufanya; nia, azma ‫قوة‬/‫ضمير‬/‫ضمير شخصي‬/‫موضوع الكالم‬/‫يكتب‬
2-chanzo cha habari ‫الخير‬
inayoandikwa ama
kusimuliwa
Ku-hutubu (kt) 1.soma hotuba msikitini ‫القى خطبة في الشعب او المسجد‬
au kanisani; toa
mwaidha; toa nasaha;
hubiri.
2.toa maelezo mbele ya
watu ; hubiri
Ku-sukuma (kt) 1. Sogeza mtu ama kitu ‫حث‬/‫طرد‬/‫دفع لألمام‬
nyuma au mbele hasa ‫قوي‬/‫أغري‬/‫شجع‬/‫علي‬
kwa nguvu.
2. Tia bidi katika jambo
ama kazi.
Mkikimkiki (ji) Ushinikizaji; utumiaj wa ‫اضرابات‬/‫غاسية‬/‫فوضي‬
nguvu
Ku-pisha (kt) 1. Toa nafasi ili iwe wazi ‫شحذ‬/‫سمح بالمرور‬/‫مرر‬/‫يسر المرور‬
kwa tupa kisu na ‫وضع عالمة‬/‫كوي الحيوان‬/‫السكين‬
shaka jili. ‫نبذ‬/‫ألقي جانبا‬/‫أهمل‬/‫أوصل‬/‫أرشد‬/‫بالكي‬
2. Funyilia chuma moto
kwenye mwili wa
mnyama ili kuwacha
alama Fulani
Ku-sonya (kt) -ele- fyanya ‫أصدر صوتا صفير علي سبيل السخرية‬
‫أطلق صوتا كصوت األفعي‬/‫هسهس‬/‫واالستهزاء‬
‫نفخ بتضجر‬/‫تعبيرا عن االستهجان‬
Ku-tapika (kt) -sie- toa tumboni kitu ‫لفظ طعاما بعد أكله‬/‫اعتل‬/‫مرض‬/‫تقيأ‬
ambacho ulikuwa
umemeza kwa kupitia
mdomoni
Ufyosi (ji) Utani; masihara. ‫سخرية‬/‫هزء‬/‫امتهان‬/‫ازدراء‬/‫احتقار‬/‫وقاحة‬
Hasira (ji) ghadhabu ‫غيظ‬/‫ندم‬/‫غضب‬/‫حسرة‬
Ku-sihi (kt) 1. Dalili:daktari, ni nini ‫تضرع الي‬/‫توسل‬/‫التمس‬
ishara kwamba mtu ‫قوي‬/‫صح جسمانيا‬/‫جاز‬/‫استعطف‬/‫ابتهل‬/‫هللا‬
anaugua ugonjwa wa
sukari.
2. Alama inayowakilisha
kitu
Ku-achia (kt) Toa mtu hatiani: samehe ‫أجاز ل‬/‫صرح ب‬
mtu deni
Upara (ji) 1. Hali ya kutokuwa na ‫صلع في الرأس‬
nywele kichwani
aghalabu kutokana na
uzee au ugonjwa.
2. Sehemu ya kichwa
iliyokosa nywele hasa
kutokana na uzee au
ugonjwal kidazi.
Ku-ng’aa (kt) -sie- toa mwangazo ; toa ‫توهج‬/‫أشرق‬/‫أنار‬/‫أضاء‬/‫تألأل‬/‫لمع‬
nutu; ng’ara
Utosi (ji) Sehemu ya juu katikati ‫اعلي الجمجمه أو الرأس‬
ya kichwa
Sufuria (ji) Kifaa cha madini ‫اناء معدني للطبخ‬/‫طبخ‬/‫حلة‬/‫قدر‬/‫آنية‬/‫وعاء‬
hususan bati vhenye
mdomo mpana sana na
ambacho hutumiwa kwa
kupikia (kar)
Baniani (ji) Mhindi, hasa ‫ديانة هندية‬
mfanyabiashara, wa dii
ya kihinfu; mfusai wa
brahma; banyani:
ukimpenda baniani
mpenda
Ku-karibia (kt) Enda karibu na mahali ‫زحف‬/‫تسحب الي‬/‫اقترب من‬/‫قرب‬
kitu au mtu ‫دني من‬/‫الي‬
Jukwaa (ji) Mahali maalumu ‫سقالة)من‬/‫رصيف عائم‬/‫خشبة مسرح‬/‫منصة‬
palipojengwa ndani ya ‫أدوات البناء‬
bwalo ama uwanjani kwa
ajili ya kutolea hotuba,
kuchezea michezo
Ku-bainika (kt) -ele- kwa mbali na kitu ‫بان‬/‫ظهر‬/‫اتضح‬
ama mtu Fulani ; jitenga
Fulana (ji) Vazi la ndani ya kanzu ‫سترة صوفية‬/‫فانلة داخلية‬/‫)قميص داخلي‬
ama shati; vesti: fulana )‫ غليظة‬/‫سويتر‬
hwaliwa kabla ya kuwaa
kanzu.
Aina ya vazi zito kiasi
lenye vishikizo mbele
livaliwalo kama shati: hilo
si shati balli ni fulana
Ku-chanika (kt) raruka ‫تفسخ‬/‫تقطع‬/‫تمزق‬
Ku-toka (kt) -sie- ondoka mahali na ‫جاء‬/‫خرج من‬
kuenda kwingine ‫تخلص‬/‫ظهر‬/‫انبثق‬/‫نتأ‬/‫رحل‬/‫انصرف‬/‫من‬
‫اختفي‬/‫بان‬/‫من‬
Ku-pigana (kt) -ele kutanisha mkono au ‫حارب‬/‫تعارك‬/‫تقاتل‬/‫تشاجر‬/‫تضارب‬
kitu ulichokishila na
kingine kwa kishindo,
chapa ezeka, fumua
Miereka (ji) ‫مصارعة‬/‫معاركة‬
Kali (kv) 1. –enye kusisimua mwili ‫متوحش‬/‫حريف‬/‫قاسي‬/‫حاد‬/‫الذع‬/‫قاس‬/‫حاد‬
kwa maumivu pengine
K.v. homa baridi.
2. –enye ncha inayokata
sana.
3. –sioluwa- pole
4. –lio chungu
Ku-panda (kt) Zika mbegu au mche /‫امتطي‬/‫اعتلي‬/‫حرث‬/‫زرع‬/‫بذر‬/‫غرس‬
mchangani unawiri: ‫ارتفع)السعر( اصبح‬/‫غطي‬/‫زاد‬/‫تسلق‬/‫صعد‬/‫ركب‬
mwaka huu sikupanda ‫شاهقا في االرتفاع‬
mimi mahindi kwa kuwa
sikupata hela za kutosha
Nusura (kl) ‫معظم‬/‫حتي قارب ان‬/‫تقريبا‬
Ku-anguka (kt) -sie- 1. Dondoka kutoka ‫حدث‬/‫خسر في التجارة‬/‫فشل‬/‫وقع‬/‫سقط‬
juu hadi chini kwa
kishindo.
2. haribika kwa biashara
yake ilipoanguka
3. kosa kupita mtihani;
bunde mtihani: matoleo
ya
mtihanihayakumfurahisha
kwaani aliaguka

Ama (ku) usemi utumiwao ‫اليس كذلك‬/‫أو‬/‫أما‬


kumchochea mtu atoe
maoni yake kuhusu
lizungumziwalo
Makini (ji) 1. Hali ya kuwa na ‫هدوء‬/‫رزانة‬/‫صرامة‬/‫حزم‬/‫قوة شخصيه‬/‫تمكن‬
uangalifu: ‫كرامة‬/‫عزة‬/‫عطف‬/‫احترام‬/‫أدب‬/‫الفكر‬
Unahitajika kuwa na
makini yanyafaa
kabla hujaanza
shughuli yoyote
2. Kupata Amani
kifikira au
kimawazo.

Ku-twaa (kt) Chukua kitu mahali na ‫حصل‬/‫قضي وطرا من انثي‬/‫أزال بكارة فتاة‬/‫اخذ‬
kuenda kwingine ‫قبل‬/‫استقبل‬/‫اقصي‬/‫خلع مالبسه‬/‫سلب‬/‫نقل‬/‫علي‬
Kipazasauti (ji) Chombo ambacho ‫تسجيل‬/‫مذياع‬/‫راديو‬
huifanya sauti isikike
mbali
Kosa (ji) Jambo, tenda ama wazu ‫اثم‬/‫ذنب‬/‫غلط‬/‫فشل‬/‫خطأ‬
ambalo kinyume na
kanuni; hatia
Ku-ruhusu (kt) Nafasi itolewayo ‫أذن ب‬/‫سمح‬/‫صرح‬/‫رخص‬
kukubali jambo
litekelezwe
Ku-guruma (kt) ‫رعد‬/‫زأر‬/‫أز‬/‫أن‬/‫قصف‬/‫قعقع‬/‫زمجر‬
kiatu (ji) Kitu kilichotengenezwa ‫نعل‬/‫حذاء‬
kwa blastiki au ngozi
ambacho huvaliwa
miguuni.
Mguu (ji) ‫رجل‬/‫ساق‬/‫قدم‬
Ku-miliki (kt) -ele- kitendo cha mtu /‫تحكم‬/‫رأس البلد‬/‫استولي‬/‫امتلك‬/‫تملك‬/‫حكم‬/‫ملك‬
cha kuwa na mali, jambo
au vitu vingine..
Ku-ambia (kt) Fahamisha au eleza mtu ‫أخبر‬/‫أنبأ‬
habari fulani
Dude (ji) 1. Nyangarika, dubwana ‫غير‬/‫شئ‬/‫غول‬/‫وحش خرافي‬
2. Neon hili hutumiwa ‫لفظ يستخدم عند عدم اراده‬/‫مارد‬/‫عمالق‬/‫معروف‬
kuitia mtu ama kitu ‫ذكر اسم شخص او عدم معرفه اسمه‬
ulichokidharau ama
usichotaka kukitaja
jina kwa kuudhika
nacho: niondoshee
madude haya
machoni pangu.
Ku-tisha (kt) ‫أرعب‬/‫توعد‬/‫أرهب‬/‫أفزع‬/‫خوف‬/‫هدد‬
Mshamba (ji) ‫نجعاوي‬/‫شخص يعيش في الحقل أو النجع‬
Ku-penga (kt) Hutumiwa katika ‫نف‬/‫تمخض‬/‫تمخط‬/‫استنثر‬
msemo, penga kamasi yn
rusha au Sukuma kamasi
hadharani bila kitambaa
ni hali ya kujidunisha na
ukosefu wa adabu
Kamasi (ji) Majimaji yamtokayo mtu ‫نوع من الفواكه‬/‫ذكام‬/‫رشح باالنف ناتج عن البرد‬
puani wakati akishilewa
na baridi au ugonjwa kv.
Mafua anapoingiwa na
vumbi ama anapolia.
Ku-hesabu (kt) 1. Weka maanani; fikiria ‫ذكر‬/‫جمع‬/‫خمن‬/‫قدر‬/‫احصي‬/‫عد‬/‫حسب‬
2. Zoezi la kujumlisha
vitu
3. Taja tarakimu moja
moja
Kidole (ji) Chanda; sehemu moja ‫اصبع‬/‫صباع‬
ya tano inayopatikana
mkononi inayotumiwa
kushikia
Ku-ruka (kt) rudi ‫طار‬/‫نط‬/‫وثب‬/‫قفز‬
Jiji (ji) Mji ulio mkubwa sana ‫قرية كبيرة‬
Ku-ishi (kt) 1. Kaa pahali Fulani ‫افتقر‬/‫استمر علي حاله‬/‫دام حيا‬/‫عاش‬
:mtu hukoo pahali
lakini huishi maisha.
2. Kuwa na uhai:kuishi
kwako kunatakana
na huruma yake
mwenyezi mungu
3. Endesha maisha
kwa mwenendo
mzuri ama mbaya
Ku-tembelea ‫تفسح مع‬/‫تنزه مع‬
(kt)
Pingwa (ji) ‫ماهر‬/‫متعلم‬/‫متخصصفي‬/‫خبير‬
‫كفء‬/‫متمكم‬/‫في‬
Ku-changisha 1-Toa pesa kwa ajili ya ‫جمع تبرعات او مساهمات االخرين‬
(kt) kusaidia katika
shughulika Fulani
2-sababisha katika ubora
au uzorotaji wa kitu fulani
Mkora (ji) Mhui ‫لص‬/‫حرامي حقائب‬/‫مزعج‬/‫سئ الخلق‬
/‫سارق هاوي‬/‫خناب‬/‫تافه‬
Mheshimiwa Jina linalotumiwa kwa ‫مبجل‬/‫محترم‬
(ji) mtu mwenye mamalaka
haya ya kisiasa
Halafu (ki) Kisha, baadaye ‫بعد ذلك‬/‫ثم‬/‫بعدئذ‬
Zima (kt) -ele- fanya kitu ‫أخمد أرهق روحا قضي على الجوع أو‬/‫أطفا‬
kisiendelee kuungua, ‫العطش‬
kuwaka ama kutoa sauti
Anang'atuka ‫يوبخ‬
Kizuzi ji (ki-vi) ‫سد‬/‫حائل‬/‫مانع‬/‫عائق‬
Kati ji (i) 1 -lio miongonimwa ‫الوسط‬/ ‫المركز‬
2.nafasi ya ndani iliyo
sawa baini ya pande
mbili
Pumzike (kt) Pata wasaa wa ‫ استرد نفسه‬/‫أخذ أجازة‬/‫استراح‬
kuburudisha mwili baada
ya kufanya shughulia
Fulani.
Shinda (kt) 1. Bakia katika hali moja ‫أمتاز‬/‫تفوق‬/‫أخضع‬/‫غلب‬/‫قهر‬/‫فاز‬/‫بقى‬/‫أستقر‬/‫دام‬
mchana kutwa. /
2. Bakia mahali Fulani
mchana mzima
Zumbua (kt) Pata njia za kujipatia ‫قادرا على‬
‫صار ا‬/‫إبتدأ‬/‫بدأ‬/‫دشن‬
mahitaji ya kila siku ‫بقى‬/‫أعاش‬/‫تأهل‬/‫الكسب‬
pata
Kumbua (kt) ‫يالحظ‬
Uongo ji (u-) Tendo ama hali ya ‫احتيال‬/‫غش‬/‫خداع‬/‫ادعاء‬/‫إفتراء‬/‫تدليس‬/‫كذب‬/‫زيف‬
kudanganya ; kinyume
cha ukweli; uchuku.pia
uwango; urongo
Ombaomba ji Mtu mwenye tabia ya ‫متسول‬/‫شحات‬
(a-wa) kutisiha usaidizi kutoka
kwa wengine kila mara
Ombeji (i-zi) ‫منتهى‬/‫ نهاية‬/‫حافة المركب‬
Puzi (kv) ‫ساذج‬/‫غبي‬/‫أحمق‬/‫أبله‬/‫أخرق‬
Pue (kt) ‫مسح وجهه براحة يده‬
Ib-a (kt) Chukua kitu cha mtu ‫خطف‬/‫نشل‬/‫سرق‬
kwa siri na bila ruhusa
ama haki
Pora( kt) Chukua kitu cha /‫اختلس‬/ ‫إغتصب‬/‫سلب‬/‫نهب‬
wenyewe kwa nguvu
Wauaji ‫القتلة‬
Kosea (kt) -ele- kutofanya ‫فشل في أداء العمل‬/ ‫ارتكب خطأ بحق اخر‬
inavyostahili
Chao ji (ki-vi) 1. Gogo linalofumiwa ‫عمود من الغابة أو الخشب الخفيفه يستخدم‬
kushusha chombo ‫للمراكب‬
majini; mwao.
2. Sehemu
inayozunguka mti
ambayo huwekwa
mbolea na maji
Chaojiny (zi) ‫حفرة حول النبات يوضع بها السماد والماء‬
Zumbukujima ‫ احمق‬/‫ جاهل‬/‫غبي‬
(a-wa)
Kuweka 1. Bakiza ‫إختار‬/‫حط‬/‫منع‬/‫نصب‬/‫وضع‬/‫أدخل‬/‫فعل‬/‫انزل‬
2. Tua kitu mahali
Ali_maka Toa sauti ya kuonyesha ‫استعجب‬/‫صاح عجبنا‬/‫اندهشت‬/‫استغرب‬
kustaajabu
Kwao Kinachoonesha sehemu ‫مكانهم االصل‬/‫مسقط راسهم‬
katika nafasi ya tatu kwa
wingi
Ingawa Ijiap, japokuwa, hata ‫علي الرغم من‬/‫مع أن‬/‫حتي أن‬/‫مع كون‬
kama
Mwafaka Makubaliano ya ‫مؤامره‬/‫تآمر‬/‫صفقه‬/‫اتفاق‬/‫موافقه‬/‫معاهده‬/‫ميثاق‬
fanywayo biana ya watu
Ali_dakia 1-fanya jambo haraka ‫تخطي‬/‫قفز‬/‫اسرع‬
bila uangalifu au ‫تدخل فيما‬/‫داسعلي‬/‫بسرعة‬/‫الشئ‬
tahadhari ‫نافس‬/‫ناقش‬/‫متع‬/‫عارض‬/‫قاطع‬/‫اليعنيه‬
2-pita juu ya kitu kwa ‫نفي‬/‫أنكر‬/‫لمس‬/‫مس‬/‫علي‬
uangalifu ili kisikuumize
3-abiri chombo ambacho
kinaenda kwa kukirukia
bila ruhusu ya mwenye
chombo hicho
Ku-pita (kt) 1-elekea mahali na ‫طا‬/‫تفوق‬/‫استمر‬/‫مرق‬/‫اجتاز‬/‫انقضي‬/‫فات‬/‫مر‬
kuzidi kwenda mbali /‫ر‬
napo ‫نمي‬/‫زاد‬
2-zidi kiasi
kinachohitajika
3-kuwa muda mfupi
4- si kisasa
tabasamu (Kt) Sie –onesha hali ya ‫بش‬/‫ابتسم‬/‫تبسم‬
kutaka kucheka bila ya
kutoa sauti
Ku-pa (kt) Pita, kabidhi mtu kitu ‫اهدي‬/‫وزع‬/‫وهب‬/‫منح‬/‫اعطي‬
Ku-leta (Kt) Fikisha kitu pahali alipo ‫ اوصل‬/‫جلب‬/‫احضر‬
anayesema ama
anayekihitaji
ku_foka (kt) 1-toka maji kwa ‫اخرج الماء‬/‫فار(الماء)\بقلل‬
nguvu; bubujika ‫تكلم‬/‫علي الماء‬/‫المدفع‬/‫بقوه‬
2-toa povu k.v. maziwa ‫بخيره أو بحده‬
yanapochemka
3-sema maneno
mfululizo nah arak na
kwa kukasirika; toa
maneno kwa ukali
4-ondoa povu kwa
maziwa
yanapochemka na
kutaka kumwagika
soni (ji) (i-zi) aibu ‫تواضع‬/‫اضطراب‬/‫عار‬/‫عيب‬
Mke (ji) (a-wa) Jina analoitwa ‫انثي‬/‫امرأة‬/‫صاحبه‬/‫زوجه‬
mwanamke aliyeolewa
hambe (ji) (a- Mtu mpumbavu; bwege ‫احمق‬/‫ جاهل‬/‫شخص غبي‬
wa)
Ku-ambatana Andamana: fuatana ‫تالزم‬/ ‫تالصق مع‬
(kt)
Ku-salimu (kt) -ele- ia. ‫القى تحيه السالم‬/‫سلم‬/‫حيا‬
‫أنقذ‬/‫ناول‬/‫استسلم‬/
Amri (ji) (i-zi) 1-Uwezo wa mwenye ‫قدرة‬/‫قوة‬/‫سلطة‬/‫قيادة‬/‫توجيه‬/‫طلب‬/‫أمر‬
mamlaka
2-jambo la
kushurutisha
Heri (ji) (i-zi) 1-Fanikiwa katika ‫أمن‬/‫نجاح‬/‫راحة‬/‫هناء‬/‫سعادة‬/‫خير‬
jambo;
baraka,ustawi,neema
2-hali ya amani
Shari (ji) (i-zi) Jambo ambalo ‫شدة‬/‫مصيبة‬/‫بلوي‬/‫كارثة‬/‫حظ سيء‬/‫شر‬
husababisha hasara
Nafasi (ji) (i-zi) Panapoweza kutumika ‫فسحة من‬/‫فرصة‬
Kufanyia jambo ‫فترة توقف عن‬/‫استراحة‬/‫راحة‬/‫فراغ‬/‫الوقت‬
‫العمل‬
Ku-chanua (kt) Tokeza au fumuka kwa ‫ اوراق‬/‫خلع‬/‫مشط الشعر‬/‫تفتح‬/‫أزهر‬/‫أورق‬
maua ‫الشجر‬
Radhi (ji) (i-zi) 1-msamaha ‫قبول‬/‫تأسف‬/‫اعتذار‬/‫غفران‬/‫رضى‬
2-baraka
Mjakazi (ji) (a- Mwanamke ambaye ‫خادمة‬/‫جارية‬/‫ملك اليمين‬/‫أمة‬
wa) kufanya kazi ya
nyumbani kwa malipo
Gumegume (ji) Aina ya bunduki ya ‫لفظ احتقار أو ازدراء للرجل و المرأة‬
(li-ya) kizamani ambayo
risasi zake hutoa spaki
Gumegume Mtu asiyekuwa na ‫شخص تافه‬
(ji) (a-wa) thamani,mtu cvyo, mtu
uchwara,mtu duni
Ku-sihi (kt) Himiza mtu kufikiana ‫تضرع إلى‬/‫توسل‬/‫التمس‬
na uonavyo ‫صح‬/‫جاز‬/‫استعطف‬/‫ابتهل‬/‫هللا‬
‫قوي‬/‫جسمانيا‬
Sera (ji) (i) Aina ya vitu kama ‫سيرة‬/ ‫شمع اقراص عسل النحل‬
gundi vitokavyo
kwenye masega
Ku-chukulia 1-kuwa na Imani juu ‫صدق في‬/‫أتٌمن في القول‬/‫اتزن في القول‬
(kt) ya jambo ‫قوله‬
2-vumilia jambo au
mtu msumbufu
Hiari (ji) (i-zi) Moyo wa fanya jambo ‫قصد‬/‫نية‬/‫قبول‬/‫رضاء‬/‫خيرة‬/‫اختيار‬/‫خيار‬
bila kushurutishwa
Mukhtari (ji) ‫مصطفى من هللا سبحانه وتعالى‬/‫مختار‬
(a-wa)
Konde (ji) (li- Sehemu ya shamba ‫كلمة‬/‫حقل مزروع‬/‫وكرة‬/‫لكمة‬/‫قبضة اليد‬
ya) iliyolimwa;mgunda ‫يراد بها طلب شخص للعمل بالحقل دون‬
‫قطعة أرض‬/‫حديقة‬/‫نواية بلحة‬/‫تصريح‬
‫زراعية‬
Upanzi (ji) (u-) Jinsi au kazi ya ‫صعود‬/‫تسلق‬/‫بذر‬/‫غرس‬/‫تحميل‬
kupanda mbegu
Mpini (ji) (u-i) kipande kirefu k.v. cha ‫يد‬/‫ممسك‬/‫يد آنية‬/‫مقبض السيف او الخنجر‬
mte au chuma ‫المحراث‬
kinachochomekwa
ndani ya jembe,
pakuo,shoka
n.k. na kushikwa kwa
wakati
wa kufanya kazi
Kiserema (ji) kisehemu kilichobaki ‫جزء متبقي من الفأس ال يصلح ألعمال‬
(ki-vi) jembe linapozeeka ‫الزراعة‬
Konzi (ji) (li- 1. vidole ‫ملء كف‬/‫حفان‬/‫ملء القبضة‬/‫لكمة‬/‫قبضة يد‬
ya) vilivyofumbatwa ‫اليد‬
2. kadiri ama kiasi
kiwezacho kushikwa
kwa kufumbata vidole;
3-ukufi
Ku-elekea (kt) 1-kuweko kwa ishara ‫مال‬/‫استدار‬/‫توجه إلى‬/‫اتجه إلى‬/‫قابل‬/‫أقبل‬
ama dalili ya kutokea ‫ارشد‬/‫إلى‬
kwa jambo
2- enda upande fulani:
3- tazama upande
fulani
Itifaki (ji) (i-zi) ‫برتوكول‬/‫عهد‬/‫قبول‬/‫تراض‬/‫توافق‬/‫اتفاق‬
Mbolea ji (i- ‫ سماد‬/‫ سوبر نشاد لتخصيب االرض‬/‫سماد‬
/zi-) ‫ خصوبه‬/‫بلدي‬
Mazao ji (ya-) Mavuno ya shambani ‫ ارباح فوائد‬/‫ انتاج زراعي‬/‫محاصيل‬
yanayotokana na
kilimo: mazao ya
mwaka huu
yamepungua sana
(kar)
Ku-kata (kt) 1-tenganisha kwa ‫ قرر‬/‫ قطع‬/‫جرح‬
Kutumia kitu chenye
makali k.v kisu au
wembe
Uani (ji) (u-zi) Nyuma ya nyumba ‫ مرحاض‬/‫دورة مياة‬
ambako hujengwa
msala: nenda kule
uani uniletee kigoda
changu
Kiungo ji (ki- Chochote ambacho ‫ خرف‬/‫ اداه وصل‬/‫ جارحة‬/‫ عضو‬/‫مفصل‬
/vi-) hutia chakula harufu ‫ توابل‬/‫ مشهيات طعام‬/‫عطف‬
ama ladha nzuri k.v.
achari, chumvi,
karafuu, nk.
Kochi ji (li-/ya- Namna ya kiti hasa ‫ منجد ذو زراعين‬/‫ مقعد طويل‬/‫األريكة‬
) cha sponji ama springi
ambacho kina sehemu
ya kuwekea mikono
nay a kuegemea;sofa
Kweche ji- Aina ya ndege ‫طائر الشرشور اسود ذو منقار رمادي‬
ma- (a-/wa-) mwekundu ‫عريض‬
aliyechanganyika na
weusi tumbani
kichwani au
magongoni; pasha pia
kwacha
Ku-kwamua Epuha kitu au jambo /‫ سحب وعده‬/‫ تحرر من‬/‫حرر محبوسا‬
(kt) kutoka hali ‫ اخرج من مأزق‬/‫ اطلق سراح‬/‫ فقد‬/‫فصل‬
Ufukara ji- (u-) /‫ شحاته‬/‫ تسول‬/‫ امالق‬/‫ عوز‬/‫ فقر‬/‫فاقة‬
‫ جدب‬/‫ مسكنة‬/‫حاجة‬/ ‫افتقار‬
Maadili ji- (ya- 1-maelekezo ‫ تعاليم‬/‫ تصرف حسن‬/‫ استقامة‬/‫سلوك طيب‬
) yanayofaa ambayo ‫حق‬/‫ عدل‬/‫طيبه‬
hutolewa kupitia
wasilisho fulani:
hadithi hii ya lanina ina
maadili gani ya
kutufaa 2-tambia
ongofu maadili haya
yote mliyoyapitia
yaliwafaa
Ku-tetereka /‫ التوى قليال‬/‫ تأرجح‬/‫تمايل يمينا او يسارا‬
(kt) ‫عجز لحد ما‬
Ku-tunza (kt) Angalia mtu ama kitu / ‫ تنبة‬/‫اهتم ب‬/ ‫ حرس‬/‫اعتنى ب‬/ ‫رعى‬
kisipate mafhara ama (‫رشى )اعطى رشوة‬
kuharibika; lind,
chunga: usipotunza
kidogo akupacho
mola, hawezi kukupa
kikubwa
Darubini ji- (i- Namna ya chombo /‫ تيلسكوب‬/‫ مرصد‬/‫ مقرب‬/‫ مجهر‬/‫منظار‬
/zi-) ambacho huvifanya ‫ميكروسكوب‬
vitu vilivyo mbali
vionekana kuwa karibu
Ku-jenga (kt) 1-simamisha kitu k.v. /‫ دعم‬/ ‫ قوى‬/‫ اوقف‬/‫ اسس‬/‫ شيد‬/‫بنى‬
nyumba kwa kutumia ‫ اقام دعائم منزل‬/‫ساعد‬
fito, Kamba, udongo,
misumari, saruji
2-imarisha
3-wezesha mtu kupata
kitu k.v. madaraka
makubwa zaidi
Kindakindaki Juu hewani; juu sana; /‫ مرتفع‬/‫ عال‬/‫ نقي‬/‫ خالص‬/‫ صاف‬/‫اصلى‬
(kv) kando; juujuu ‫ بدون تمكن‬/‫بدون إتقان‬
Ku-tupa (kt) Rusha au peleka kitu ‫ اهمل‬/‫القى‬/ ‫ دفع برفق‬/‫ قذف‬/‫رمى‬
kisichohitajika k.v.
takataka mahali fulani
Ulevi ji- (u-) 1- hali ya kupotewa /‫ فقدان الوعي بسبب الخمر‬/‫ ثمالة‬/‫سكر‬
na fahamu kwa ‫ خمر‬/‫ مخدر‬/‫مسكر‬
sababu ya kutumia
pombe ama kileo
chochote kile.
2- kitu kiwezacho
kulewesha; kileo.
Ku-tutumka ‫ انتفخ‬/‫تورم‬
(kt)
Kifua ji- (ki-/vi- 1-maradhi ya kifua ‫طبق‬/‫قلب شجاع‬/ ‫القفص الصدري‬/‫صدر‬
) 2-hali ya kuwa na ‫مرض صدري‬/‫صغير‬
nguvu; ushupavu
3-eneo la mwili la
mbele lipatikanalo kati
ya shingo na tumbo
ambamo mna mapafu
na moyo; kidari; sadiri.
Ku-nawiri (kt) Stawi kiafya. /‫ أشرق‬/‫ أصبح منيرا‬/‫نور‬
(‫لمع)وجه االنسان‬
Ku-limbuka Pata kitu mara kwa ya ‫فعل شيئا ألول مرة‬/‫ذاق أولى البشائر‬
(kt) kwanza ‫انتهى من انتظار شيء‬/
Ku-tazama 1- elekezea kitu /‫ بحلق‬/‫شاهد‬/ ‫ تفحص‬/‫نظر إلى‬
(kt) macho ili kukiona; ‫ راقب‬/‫ الحظ‬/‫اختبر‬/ ‫ضربالودع‬
angalia.
2- tunza mtu kwa
kumpa mahitaji
yake; kimu
3- kuwa macho;
tahadhari
Ku-fukuza (kt) 1. jaribu kukamata / ‫حاول اللحاق ب‬/‫منع‬/ ‫دفع للخارج‬/‫طرد‬
anayekimbia; fuata ‫تعقب‬/‫طارد‬
mbio nyuma
2-sharti
3-zuia ama winga k.v.
ndege shambani
mimea
Ku-simama 1- inuka uwe wima ‫ارتفع‬/‫انتصب‬/‫توقف‬/‫نهض‬/‫هب‬/‫وقف‬
(kt) kwa
miguu afanyavyo mtu.
2- kitu kuwa
wima kwa kuonekana
sehemu kutoka
kunyoka pasipo
chini hadi juu.
3-kujikunja.
4- koma kutenda
jambo.
Sare (ji) (i-zi) 1-Nguo zenye muundo ‫زى موحد‬/‫وقت موحد‬
na rangi sawa
zitumiwazo kirasmi na
kundi aina moja la
watu.
2-hutumika katika
msemo
Samawati (ji) Buluu ambayo ‫لبنى‬/‫ازرق بلون السماء‬/‫السموات‬
(i-) hufanana na ile ya
mbingu wakati
ambapo mawingu
hayako; buluu hafifu;
feruzi
Dodo ji(li-/ya- 1-titi la msichana; ‫كسر‬/‫نهد‬/‫نوع من المانجو‬
) rumani ‫صخررملى‬/‫أحجار‬
2-namna moja ya
embe kubwa
Mwanamasu ‫كاذب‬/‫زائف‬//‫العب مالكمة‬/‫مالكم‬
mbwi (ji) (a-
wa)
Kiuno (ji) (ki- 1-sehemu ya mwili ‫أساس حجرى‬/‫جارحة‬/‫خصر‬/‫وسط‬
/vi-) iliyopo kati ya mgongo ‫رقصة‬/‫تحتجدران المنزل‬
na makalio
2-msingi wa mawe
ambao huzungushiwa
nyumba chini ya kuta
Ku-chukua 1-pendeza k.v. ‫شال على‬
(kt) inavyomkaa mtu ‫أ‬/‫تطلب‬/‫تحماللشدائد‬/‫أخذ‬/‫حمل‬/‫الكتف‬
mwilini ‫قاد‬/‫أزال‬/‫بعد‬
2-twaa kitu mkononi
3-tumia mwia kufanya
jamba
4-pokea
5-linda au angalia mtu
asiyejiweza
6-fanya mali ya mtu
mwengine kuwa yako
7-vumilia shida au hali
Fulani
8-beba mzigo begani,
kichwani ama kwa
hamali
9-faa au saidia mtu
mnyonge
Umbo (ji) (u- Sura ya kity; mkao; ‫حالة‬/‫خلق‬/‫نسق‬/‫شكل‬
ya) jisimu; umbilo jinsi kitu ‫الحالة األصلية‬/‫الفطرة‬/‫حالةالخلق‬/‫طبيعية‬
kilivyokaa au kufanana ‫أصل الخلقة‬/‫التي خلقعليها الشئ‬
Ku-oa (kt) Chukua Kihalali ‫نكح‬/‫تزوج‬
mwanamke kuishi;
funga ndoa
Ku-stahili (kt) Kuwa na haki ya ‫حق له‬/‫استحق‬/‫استأهل‬
kupata kitu fulani
Ku-ita (kt) 1-Ambia mtu aje pale ‫دعى‬/‫نادى‬
ulipo wewe kwa kutaja
jina lake,kumfanya
ishara ama kwa
namna nyingine
yoyote
2-alika mtu kwako
Ku-elewa (kt) Jua; fahamu; ngamua ‫استوعب‬/‫أدرك‬/‫علم‬/‫فهم‬
‫وعى‬/
Ku-toroka (kt) ondoka mahali bila ‫فر‬/‫هرب‬
ruhusa; kimbia.
Mungu (ji) (a) Kiumbe ‫هللا‬
Mwenye
kuumba ulimwengu na
vyote vilivyomo;
Bwana; Mola:Mungu
ndiye ajuaye aushi ya
kila mwanadamu.
Bweni -(li/-ya) Jumba wanamolala ‫عنبر النوم‬/‫سكن الطالب‬
wanafunzi shuleni ama
chuoni
Ku-lipa (kt) fanya jambo ama toa ‫ عوض‬/‫كافئ‬/ ‫ سلم النقود‬/‫دفع الحساب‬
kitu baada ya kupewa
ama kufanyiwa jambo
nawe
Karo(-i/-zi) Ada ya shule ‫جمرك‬/‫رسوم‬/‫مصاريف دراسية جراية‬
itolewayo na
wanafunzi
Ku-fana (kt) Jambo au kitu ‫شابه‬/‫ اتقن العمل‬/‫نجح في‬
kutendeka kwa njia
nzuri ya kuridhisha
moyo; faulu
Senene (-i) Ugonjwa ambao ‫حالة المريش لفترة طويلة‬
humshika mtu kwa
muda mrefu
Ku-staafu (kt) Kuacha kazi hasa ‫احيل للمعاش‬/‫تقاعد‬
baada ya kufikisha
umri unaopendekezwa
kisheria
Simile (kj) tamko la kutaka ‫افسح الطري ق‬
kupishwa njia
aghalabu kwa mtu
anayebeba mizigo
mizito.
Ku-ingia (kt) 1- kujipata katika hali ‫ بدأ في‬/‫مر في‬/‫سقط في‬/ ‫ولج‬/‫دخل‬
Fulani.
2- anza kushughulika
na jambo
2- jipeleka ndani ya
mahali au kitu
3- anguka ndani ya
kitu
5-jiunga katika
umoja fulani
Kisukari (-ki) Ugonjwa ambao ‫مرض السكر‬
husababishwa na
kuzidi ama kupungua
kwa kiwango cha
sukari mwilini
Ku-achama Fungua sana kinywa ‫تثاءب‬/‫فتح فمه‬
(kt) jinsi afanyavyo mtu
apigaye miayo
Ku-umbua (kt) 1. kosoa mtu au kitu; ‫قلل من شأن‬/‫أبخث قدر‬/‫طمس‬/‫فضح‬/‫شوه‬
shusha heshima;
aibisha; beza; dharau
2. haribu kilichoumbwa
Bilashi (kl) Bila faida au sababu ‫بالمجان‬/‫بال جدوى‬/‫عبثا‬
yoyote; bure ghali
Ku-kupuka Potea; kimbia ‫طرد‬/‫هرب‬/‫تخلص من‬/‫اندفع‬
(kt)
Ukingo (-u/-zi) Panapoishia kitu ‫حد‬/‫حاجز‬/‫طرف‬/‫حافة‬
Dhamira (-i/- 1-jambo akusudialo ‫ضمير‬/‫ اساس‬/‫لب الموضوع‬
zi) mtu kufanya; nia,
azma
2-chanzo cha habari
inayoandikwa ama
kusimuliwa
Ku-tosa (kt) tumbukiza kitu katika ‫طمي‬/‫غمر‬/‫أغرق‬
kitu kingine
cha majimaji; zamisha.
Sulubu (-i/-zi) Hali ihitajiyo nguvu ‫طاقة‬/‫نشاط‬/‫مثابرة‬/‫قوة‬/‫صالبة‬
nyingi katika kulitenda
jambo fulani
Ku-zuia (kt) 1-shikilia ‫عط‬/‫عاق‬/ ‫نهى عن‬/‫عرقل‬/‫منع‬
kitu ili kisianguke
2-fanya
kitu kisiendelee ama
kisimame;komesha;
Stahamala (ji) Uvumilivu;tendo ‫قدر على التحمل‬/‫استحمال‬
(i-) la kuhimili na kuishi na
matatizo
Ku- ‫على التشبث‬
ng'ang'ania
(kt)
Ku-ambulia Pata kitu ulichotarajia ‫نال‬/ ‫حصل على‬
(kt) au usichotarajia baada
ya kufanya jambo
fulani
Bingwa (ji) (a- Mtu hodari au stadi ‫ماهر‬/ ‫متعلم‬/‫متخصص‬/‫خبير‬
wa) wa jambo fulani ‫متمكم‬/‫كف‬/‫على‬
Msingi (ji) (u- 1- chanzo; asili: /‫خندق‬/‫ مرحله التعليم االساسي‬/‫اساس‬
i) 2-mahali ‫مفتاح‬/‫قناه مياه بجوار منزل‬/‫اخدود‬
palipochimbwa na ‫ مدرسه ابتدائيه‬/‫موسيقي في سلم موسيقي‬
kujengwa imara kwa
azma ya kusimamishia
jengo
Uzuzu (ji) (u-) 1- kutokuwa na ujuzi ‫عدم ادراك‬/ ‫عدم خبره‬/‫غشم‬/‫غباء‬/‫بله‬
wa jambo au kazi
Fulani
2-ujinga
Somo )ji) (a- 1-rafiki ‫صديق ودود‬/‫حميم‬/‫رفيق‬/‫زوجة مخلصة‬
wa) 2-mtu wa jina moja na
mwenzake
Tembo (ji) (i- kinywaji ama kileo ‫معدة‬/‫خمر‬
/zi-) kinachopatikana kwa
kugema ua la mnazi
kabla halijachanua
ama kwa mchikichi
Ufuska (ji) (u-) Usherati; usinzi; ufasia ‫قلة حياء‬/‫فجر‬/‫فسق‬/‫فساد‬/‫انحالل‬
Nasaha (ji) (i- mawaidha ‫طلب العفو‬/‫توسل‬/‫نصح‬
/zi-)
Haramu (kv) -enye kwenda ‫باطل‬/‫غير شرعي‬/‫حرام‬
kinyume cha kanuni,
amri na sheria zake
Mwenyezi Mungu; -
isiyo halali
kijiko ji (ki-/vi-) namna ya chombo ‫بلدوزر لتحميل األترب‬/‫مالعق‬
kidogo cha mti,
chuma, shaba au
sandarusi cha
kukorogea, kuchotea
au kulia chakula.
Makubadhi (ji) aina ya viatu vya ‫مقبض‬/‫حذاء جلد‬/‫نوع من األحذية‬
(ya-) ngozi vyenye kamba
mbili na huwa na
nakshi
Mwiba (ji) (u-i) 1- kitu chenye ncha ‫اي شئ ذو سن‬/‫منخس‬/‫حسكه‬/‫شوكه‬
inayochoma kama ‫ابره‬/‫مدبب‬
sindano au msumari

2-sehemu ya mmea
yenye ncha kali
iwezayo kuchoma
3- mfupa
mwembamba wa
samaki ulio na ncha
kali upande mmoja
Sarafu (ji) (i- vipande aghalabu vya ‫سعر الصرف‬/‫مقايضة‬/‫صرافة‬/‫فكة‬/‫عملة‬
/zi-) umbo duara vyenye
thamani
kuu vinavyotumiwa
kama pesa
Noti (ji) (i-/zi) Pesa zilizoundwa kwa ‫نوتة الموسيقى‬/‫نوتة البنك‬/‫عملة ورقية‬
karatasi maalumu
Rundo (ji) (li- mkusanyiko wa vitu ‫تجمع أشياء معاا‬/‫كومة‬
/ya-) vingi pamoja k.v.
takataka ama karatasi
Fumukana (kt) Achana baada ya ‫شتت‬/‫تفرق‬/‫توزع‬/‫اضطراب‬
kukusanyika
Nadhiri (ji) (i- nia anayotia mtu ‫ميثاق‬/‫عهد‬/‫نذر‬
/zi-) kumwahidi Mwenyezi
Mungu kuwa atafanya
jambo fulani iwapo
mambo yake
yatafanikiwa
Ndoa (ji) (i-/zi- Uamuzi wa watu ‫قران‬/‫زواج‬
) kukubali kirasmi kuishi
pamoja kama mke na
mume
Tajiri (ji) ma- 1- aliye na mali ‫بائع جملة‬/‫رأسمالي‬/‫تاجر‬/‫غني‬/‫ثري‬
(a-/wa-) mengi; mtu mkwasi;
lodi kizito
2- mtu ambaye huajiri
watu; bosi
Ulevi (ji) (u-) 1- hali ya kupotewa ‫فقدان الوعي بسبب الخمر‬/‫ثمالة‬/‫س ْكر‬
ُ
na fahamu kwa
sababu ya kutumia
pombe ama kileo
chochote kile.
2-kitu kiwezacho
kulewesha; kileo.
Mchanga (ji) Chembe ndogo sana ‫تراب‬/‫رمل‬
(u-) za udongo mkavu
Ku-shauri (kt) eleza mtu maneno ‫استشار‬/‫شاور‬/‫نصح‬
mazuri ili ayazingatie;
elekeza, pendekeza
Ku-ona (kt) 1-tumia
jicho kubainisha kitu ‫ش‬/‫راقب‬/‫الحظ‬/‫وجد‬/‫احس‬/‫شعر‬/‫نظر‬/‫راي‬
2- hisi kitu mwilini wala ‫ف‬
sijui
kilichoyasababisha
Ku-lewa (kt) haribika fahamu al ‫تارجح‬/‫تمايل‬/‫ترنح‬/‫خارت قواه‬/‫ثمل‬/‫سكر‬
nguvu kwa kunywa
ama kuvuta chochote
cha kubadilisha akili
kv. pombe, dawa,
hewa yenye sumu, n.k;
Ku-dunga (kt) Choma kwa kitu ‫فقا‬/‫خرم االذن لوضع الحليه‬/‫ثقب‬/‫وخز‬
kilicho na ncha; tunga; ‫اتبع عن قرب‬/‫العين‬
toga: Farajala
amefungwa hawa
kumdunga mkuki
mwenzake.
Ku-laumu (kt) Fahamisha mtu ‫اتهم‬/‫عزر‬/‫عاتب‬/‫وبخ‬/‫الم‬
kwamba ndiye
aliyesababisha kukosa
kufaulu ama
kuharibika kwa jambo
fulani; shutumu
Ku-epukana ‫تجنب كل منهما االخر‬/‫تحاشي‬
(kt)
Ku-jua (kt) Fahamu;elewa ‫الم ب‬/‫فهم‬/‫عرف‬/‫ميز‬/‫ادرك‬

You might also like