Professional Documents
Culture Documents
Maneno Ya Mame Bakari (1) FGHJ
Maneno Ya Mame Bakari (1) FGHJ
Uchungu (ji) (u) 1) Hali anayohisi mtu kinywani غضب/ حدة/ ألم حاد/مرارة/
baada ya kula ama kuonja kitu ضغينة/ حقد/ تهور/احتداد
mbacho si kitamu kama vile:
Kwinini.
2) Hisi anazopata mtu ana
popatwa a jambo la kuumiza
kama vile: Kujikata.
Hatimaye (kl) Baada ya shughuli fulani au ف الختام/ و أخيا/و ف النهاية
jambo.
Ku-katika Fika mwisho wa tendo au يتمزق/يتقطع
jambo fulani.
Ku-fadhaisha Sababisha mtu kuwa na شكك ف/ خوف/أفزع
wasiwasi: kifo cha mkewe
kilimfadhaisha sana.
Ku-kumbusha Fahamisha; elewesha jambo أخي شخصا لعمل شء/ ذكر/تذكر
lililofanyika awali ambalo قد نساه
limesahahauliwa.
Ku-chukia Kutokuwa na mapenzi; sinya, نفر من/حقد عل/ بغض/ مقت/كره
kasirika, nuna: nitakosaji
kuchukia mtu mwongo msaliti?
َ
Kidonda (ji) (kilvi) Mchubuko kwenye mwili دمل/ ُجرح/ قرح/قرحة
ambao pengine umetunga
usaha.
Ku-tonesha Gusa sehemu ya mwili iliyo na ضب عل الجرح/قطر دما من جرح/
kidonda na kusababisha لمس جسم به قرحة فسبب اآلالم
maumivu.
Ku-pwita Toa pumzi kwa nguvu; hema: خفق/ نبض/اختلج/ خفق/وجب
Mbona unapwita hivyo ilhali ()القلب
umekimbia kidogo tu?
Mbingu (ji) (i\ zi) Anga la juu; samai; falaki: فلك/ فضاء/السماء
Mbingu hii imejaa mawingu
meusi.
Ku-apiza Ombea mtu nuksi ama سب/ شتم/لعن
mabaya; laani: Kwa mzazi
kumwapiza mwanawe haliwi
jambo la hivi hivi tu.
Aa! (Ki) Ki tamko ambalo huonesha لفقدان، للحزن،كلمة تعجب )للفرح
kushangaa, kukataa, kusikitika للرفض،)األمل
n.k: Aa! Bwana yule hajui
kuandika barua rasmi?
Mnyonge (ji) (a/wa) -- ضعيف/ سقيم/ عليل/مريض/
منحط/ سافل/وضيع
َ ُ
Fimbo (ji) (i/zi) 1) Kipande cha mti عصا خفيفة تحمل ف/ منسأة/عصا
kitumiwacho kupigia mnyama عصا للمش/اليد
au mtu; bakora; gongo;
henzarani. 2) Mkongojo;
kipande cha mti kilichoundwa
vizuri ili mtu atembee nacho
au kitumiwe kupigia.
Taratibu (ji) (i/zi) 1) Mpango wa kufanya jambo تنسيق/ كيفية/ نظام/ نسق/ترتيب/
au kitu: tunachukulia kuwa جدول/ تنميق/ أسلوب/طريقة/
unayo taratibu kabambe ya بطء/ رقة/هدوء
kutekelezea hayo
unayoyasema. 2) bila haraka:
biblia husomwa kwa taratibu
ama hutaelewa mengi.
Ku-nyanyua Inua. جذب ألعل/رفع
Ku-peleka نقل/ وصل/ أخذ/ أرسل/بعث
Kitumbo (ji) (ki/vi) سمنة أو بدانة مفرطة/معدة صغية
عل البطن
Ku-fura 1) Patwa na hasira; kuja juu فار/ ثار/ غضب/ انتفخ/تورم/
vimba, kasirika: Nilipoambiwa عل/ ازداد/ ارتفع/انفعل
upuuzi hii nilijipata nimefura
hata bila ya kutambua
ninafanya hivyo.
Ku-leta Fikisha kitu pahali alipo أوصل إل/ جلب ب/أحرص ل
anayesema ama anayekihitaji.
Maumivu (ji) (ya) chungu anaohisi mtu kwa آالم/ معاناة/ تعذيب/عذاب
kuungowa au kujeruhiwa: Nina
maumivu mengi ya tumbo.