Muongozo Wa Uzalishaji Wa Mazao 2022

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 52

Yaliyomo

YALIYOMO....................................................................................................................................... i

VIFUPISHO...................................................................................................................................... ii

DIBAJI............................................................................................................................................iii

SHUKRANI......................................................................................................................................iv

MUHTASARI.................................................................................................................................... v

UTANGULIZI....................................................................................................................................vi

UMUHIMU WA MWONGOZO...............................................................................................................1

MAZAO YA KIPAUMBELE KWA KILA KANDA.............................................................................................1

Kanda ya Kati................................................................................................................................... 2

Kanda ya Ziwa.................................................................................................................................. 3

Kanda ya Kaskazini............................................................................................................................ 4

Kanda ya Mashariki........................................................................................................................... 5

Kanda ya Magharibi........................................................................................................................... 6

Kanda ya Nyanda za Juu Kusini............................................................................................................. 7

Kanda ya Kusini................................................................................................................................ 8

MAZAO YANAYOFAA KUZALISHWA KIMKOA NA KIWILAYA........................................................................ 9

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA KILIMO BORA CHENYE TIJA....................................................... 30

KALENDA YA UZALISHAJI WA BAADHI YA MAZAO NCHINI....................................................................... 34

Mwongozo wa
i Uzalishaji Mazao
Vifupisho
ASDP II Agricultural Sector Development Program Phase II
CAN Mbolea aina ya Calcium of Ammonia

DAP Mbolea aina ya Di Ammonium Phosphate

GDP Pato la Taifa (Gross Domestic Product)


M
Mita (metre) Kipimo cha Urefu

MM Milimita (Kipimo cha urefu)

NPK Mbolea aina ya Nitrogen Phosphrous Potassium

pH Chachu ya Udongo

TAMISEMI Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

SA Mbolea aina ya Sulphate of Ammonia


TSP Mbolea aina ya Triple Super Phosphate

Mwongozo wa
Uzalishaji Mazao ii
Dibaji
Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa nchi na inachangia pato
la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa ujumla. Sekta hii kwa
mwaka 2020 imechangia asilimia 26.9 kwenye Pato la Taifa, imetoa
ajira kwa wananchi kwa wastani wa asilimia 61.1 na imechangia
asilimia 65 ya upatikanaji wa malighafi za viwanda. Aidha, sekta
ndogo ya mazao imechangia asilimia 15.4 katika Pato la Taifa na
zaidi ya asilimia 100 ya upatikanaji wa chakula kinachozalishwa
nchini. Vilevile uzalishaji wa mazao hupunguza mfumuko wa bei
kwa takriban asilimia 59.
Pamoja na kujitosheleza kwa chakula na kuchangia katika uchumi
wa taifa, takriban mazao yote yanazalishwa kwa tija ndogo katika
eneo husika. Aidha, uzalishaji umekuwa ukipanda na kushuka
kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo baadhi ya mazao hayo kuzalishwa katika ikolojia
isiyostahiki. Uzalishaji wa mazao nje ya ikolojia yake ya asili hupelekea kuwa na tija ndogo na
wakati mwingine kuzalisha mazo hayo kwa gharama kubwa.
Ili kuongeza uzalishaji na tija Wizara ya Kilimo imeandaa Mwongozo wa Uzalishaji Mazao
Kulingana na Kanda za Kilimo za Kiikolojia. Mwongozo huu umezingatia matokeo ya tafiti
mbalimbali zilizofanyika nchini kuhusu aina za udongo, hali ya hewa, mtawanyiko wa mvua
na aina za mazao yanayofaa kuzalishwa kwa kila kanda. Aidha, mwongozo umeandaliwa ili
kuelekeza wawekezaji na wakulima kuchagua zao linaloweza kuzalishwa kwa tija kulingana na
hali ya ikolojia husika.
Ni rai yangu kuwa wadau wote nchini zikiwemo Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, taasisi
za Serikali na Sekta binafsi hususan wakulima kutumia Mwongozo huu katika kuwekeza na
kuzalisha mazao kulingana na mahitaji ya ikolojia. Aidha, mwongozo huu utumike sambamba
na miongozo mingine ya kanuni za kilimo bora kwa mazao mbalimbali.

HUSSEIN M. BASHE (Mb)


WAZIRI WA KILIMO
MACHI,2022

Mwongozo wa
iii Uzalishaji Mazao
Shukrani
Nchi yetu ina Kanda Kuu Saba (7) za Utafiti wa Kilimo zenye zaidi
ya Ikolojia 64 za uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara ya
aina mbalimbali. Kanda hizo ni Kanda ya Kati, Ziwa, Kaskazini,
Mashariki, Magharibi, Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Kusini. Ili
kuzalisha mazao kwa tija na kwa gharama nafuu, Wizara ya Kilimo
imeandaa Mwongozo wa Uzalishaji Mazao Kulingana na Kanda za
Kilimo za Kiikolojia.
Mwongozo huu ukitumiwa vizuri na wadau mbalimbali wakiwemo
wakulima utawezesha Wizara kufikia lengo la kuongeza uzalishaji
na tija katika mazao ya kilimo nchini ili kuwa na kilimo cha kisasa,
chenye faida na ushindani kibiashara kwa lengo la kuimarisha
ustawi wa wananchi, usalama wa chakula na lishe.
Ninawashukuru wadau wote walioshiriki katika kuandaa mwongozo huu ambao ni dira katika
kuongeza uzalishaji na tija katika maeneo yote kwa lengo la kukuza uchumi na pato la taifa kwa
ujumla. Shukrani za dhati kwa Maafisa kutoka Idara za Sera na Mipango, Maendeleo ya Mazao,
Mafunzo Huduma za Ugani na Utafiti, Kitengo cha Mazingira, MVIWATA, Chuo Kikuu Cha
Kilimo Sokoine (SUA) na Wakala wa Mbegu za KIlimo (ASA) kwa kufanya kazi bila kuchoka na
kukamilisha mwongozo huu. Aidha, ninaishukuru Taasisi ya Utafiti wa Mazao ya Kilimo (TARI)
kwa kuwezesha upatikanaji wa taarifa za utafiti wa uzalishaji wa mazao kulingana na ikolojia
ambazo zimewezesha maandalizi ya mwongozo huu.

ANDREW W. MASSAWE
KATIBU MKUU
MACHI, 2022

Mwongozo wa
Uzalishaji Mazao iv
Muhtasari
Kulingana na taarifa za Kituo cha Utafiti wa Udongo cha Mlingano (TARI-Mlingano) Tanzania
ina jumla ya Kanda kuu saba (7) za Kiutafiti wa Kilimo na Kanda ndogo 64 za kiikolojia
zinazoonyesha aina ya mazao yanayoweza kuzalishwa. Kanda kuu hizo ni Kanda ya Kaskazini,
Kanda ya Kati, Kanda ya Kusini, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Mashariki, Kanda ya Nyanda za
Juu Kusini na Kanda ya Ziwa.
Pamoja na Tanzania kuwa na Kanda Kuu saba (7) za Utafiti wa Kilimo na kanda ndogo 64
za Kiikolojia, kwa muda mrefu tija katika uzalishaji wa mazao hayo imekuwa ndogo kutokana
na sababu mbalimbali ikiwemo uzalishaji wa mazao kutozingatia kanda hizo za kilimo za
kiikolojia. Aidha, gharama za uzalishaji wa mazao nje ya ikolojia yake ni kubwa hususan wakati
miundombinu ya umwagiliaji maji inapohitajika.
Mwongozo huu utasaidia kufikia azma ya Tanzania kuwa nchi ya viwanda kwa kuwa
mazao yatazalishwa kulingana na ikolojia na hivyo kutoa malighafi ya mazao kwa viwanda
vinavyojengwa nchini. Uwepo wa viwanda hivyo utaongeza kasi ya uwekezaji katika kilimo
kwa kutumia teknolojia za kisasa na kwa gharama nafuu. Mwongozo umeainisha ni wapi na
ni zao gani linastahili kuzalishwa. Kwa mfano, maeneo yanayopata mvua chache yatatumika
kwa kuzalisha mazao yanayostahimili ukame kama vile Mtama, Muhogo, Viazi vitamu na
mazao ya jamii ya mikunde (mbaazi na kunde).
Ili mwongozo utumike kikamilifu, pia kalenda ya kilimo imeandaliwa kwa kuzingatia mwenendo
wa mvua katika mikoa mbalimbali nchini. Hata hivyo, kwa kuwa kumekuwepo na mabadiliko
ya tabianchi kilimo kinachohimili mabadiliko hayo kinahamasishwa, pia wadau katika sekta ya
kilimo wanashauriwa kuwasiliana na watafiti na wataalam wa kilimo walioko katika maeneo
yao. Serikali itaendelea kuhimiza huduma za ugani zitolewe kwa kuzingatia mwongozo.
Mamlaka za Mikoa na Wilaya zinashauriwa kutunga sheria ndogo katika maeneo yao na kubuni
njia bora za kutumia mwongozo huu. Wizara itaendelea kutoa maelekezo pale yanapohitajika
ili kuhakikisha lengo la mwongozo huu linafikiwa. Mwongozo huu pia unapatikana katika tovuti
ya Wizara www.kilimo.go.tz.

Mwongozo wa
v Uzalishaji Mazao
Utangulizi
Sekta ya Kilimo inayojumuisha Mazao, Mifugo na Uvuvi ni mhimili wa uchumi wa Tanzania
kwa kuchangia katika Pato la Taifa na kutoa ajira kwa zaidi ya asilimia 61.1 ya nguvu kazi
inayotumika nchini. Sekta hii pia huchangia na kujitosheleza kwa asilimia 100 ya chakula
kinachozalishwa. Serikali inafanya juhudi kubwa ili mchango wa sekta hii kukue kwa zaidi ya
asilimia 10 na kuwa na uhakika wa usalama wa chakula na kupunguza umaskini.

Mazao jamii ya wanga yanayozalishwa nchini ni mahindi, muhogo, mpunga na mtama, ndizi,
viazi vitamu na mviringo, ngano, ulezi na uwele. Mazao Makuu ya biashara ni korosho, miwa,
pamba, mkonge, tumbaku, pareto, kahawa na chai. Mazao mengine yanayozalishwa ni ya
jamii ya mafuta hususan alizeti, ufuta, mawese, karanga na mbegu za pamba. Kundi la mazao
mbalimbali ya bustani ni pamoja na matunda, mbogamboga, maua na vikolezo (spices). Kundi
jingine ni mazao jamii ya mikunde yenye protini na hurutubisha udongo kutokana na uwezo
wake wa kutengeneza virutubisho vya nitrojeni kutoka hewani (nitrogen fixation). Tanzania
ina hekta milioni 44 zinazofaa kwa kilimo cha mazao, kwa wastani hekta milioni 10.8 tu sawa
na asilimia 24 ndizo zinazolimwa kila mwaka.

Mwongozo wa
Uzalishaji Mazao vi
UMUHIMU WA MWONGOZO
Baadhi ya mazao huzalishwa nje ya mfumo wake wa kiikolojia hali inayosababisha kuwa na
uzalishaji na tija ndogo. Hivyo, mwongozo huu umeandaliwa ili kuelekeza namna bora ya
kuzalisha mazao ya kilimo kulingana na ikolojia. Jedwali Namba 4 hadi 10 yanaonesha hali
ya sasa ya uzalishaji mazao ikilinganishwa na tija inayoweza kufikiwa endapo kanuni bora za
kilimo zitazingatiwa katika ikolojia husika. Aidha, mwongozo huu unaonyesha mazao yanayofaa
kuzalishwa katika Kanda (Mikoa na Wilaya), Kanuni za kilimo bora na kalenda ya mazao
mbalimbali.

MAZAO YA KIPAUMBELE KWA KILA KANDA


Mazao hustawi vema na kwa tija katika kanda kulingana na hali ya hewa ya sehemu husika,
mwongozo huu unaainisha mazao stahiki katika kila kanda.

Mwongozo wa
1 Uzalishaji Mazao
Kanda ya Kati
Mazao yanayofaa kulimwa katika Kanda ya Kati katika mikoa ya Dodoma na Singida (Jedwali Na. 1).
Jedwali Na. 1: Mazao na wastani wa mavuno Kanda ya Kati

Hali ya uzalishaji (Tani/Hekta) Maoni


Na. Zao
Uzalishaji uliopo Lengo linaloweza kufikiwa

1. Alizeti 1.20 4.00

2. Karanga 0.93 4.50

3. Ufuta 0.85 3.00

Kipaumbele kwenye baadhi ya


4. Mahindi 0.89 4.00
maeneo.

Kipaumbele kwenye baadhi ya


5. Mpunga 1.25 5.00
maeneo.

6. Mtama 0.99 5.00

7. Uwele 0.87 3.00

8. Ulezi 1.19 4.00

9. Muhogo 3.88 60.00

10. Viazi vitamu 2.50 20.00

Mazao ya Chakula: Mtama, Uwele, Ulezi, Muhogo na Viazi vitamu

Uwele Mhogo Mtama

Mazao ya Biashara: Zabibu, Alizeti, Karanga, na Ufuta

Alizeti Ufuta Zabibu

Mwongozo wa
Uzalishaji Mazao 2
Kanda ya Ziwa
Mazao yanayoshauriwa kulimwa katika kanda ya Ziwa katika mikoa ya Geita, Kagera, Mara Mwanza,
Shinyanga na Simiyu (Jedwali Na. 2).
Jedwali Na.2: Mazao na wastani wa mavuno Kanda ya Ziwa

Hali ya uzalishaji (Tani/Hekta) Maoni


Na. Zao
Hali iliyopo Uwezekano wa uzalishaji

1. Mpunga 3.10 6.00

2. Ndizi 4.79 35.00

3. Dengu 0.88 2.00

4. Mahindi 1.38 4.00 Hustawi zaidi Kagera & Mara

5. Pamba 0.60 4.00

6. Mtama 1.28 3.00

7. Mbaazi 1.18 2.50

8. Muhogo 5.77 60.00

9. Viazi vitamu 4.42 20.00

Mazao ya Chakula: Mpunga, Maharage, Ndizi, Mahindi, Mtama, Muhogo na Viazi vitamu

Ndizi Viazi Vitamu Mtama

Mazao ya Biashara: Pamba, Kahawa, Chai, Miwa, Dengu na Mbaazi.

Pamba Chai Kahawa

Mwongozo wa
3 Uzalishaji Mazao
Kanda ya Kaskazini
Mazao yanayofaa kulimwa katika Kanda ya Kaskazini katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara
(Jedwali Na. 3).
Jedwali Na. 3: Mazo na wastani wa mavuno Kanda ya Kaskazini

Hali ya Uzalishaji (Tani/Hekta)


Na. Zao Maoni
Hali iliyopo Hali iliyopo

1. Ngano 1.43 5.00

2. Shayiri 1.49 3.00

3. Alizeti 1.27 4.00

4. Mahindi 1.39 6.00

5. Kahawa 0.32 2.50

7. Mbaazi 0.93 2.50

8. Mpunga 3.23 6.00

9. Ndizi 7.34 35.00

Mazao ya Chakula: Mahindi, Mpunga, Ndizi, Mtama, Maharage na Mazao ya bustani.

Ndizi Ngano Nyanya

Mazao ya Biashara: Kahawa, Ngano, Shayiri, Alizeti, Mbaazi na Maua.

Kahawa Maua Mbaazi

Mwongozo wa
Uzalishaji Mazao 4
Kanda ya Mashariki
Mazao yanayofaa kulimwa Kanda ya Mashariki katika mikoa ya Morogoro, Pwani, Dar es salaam na Tanga
(Jedwali Na.4)
Jedwali Na. 4: Mazao na wastani wa mavuno Kanda ya Mashariki

Hali ya Uzalishaji (Tani/Hekta)


Na. Zao Maoni
Hali iliyopo Hali iliyopo

1. Mpunga 1.71 6.00 Iwe kipaumbele

2. Ufuta 1.49 2.50 Iwe kipaumbele

3. Alizeti 1.21 4.00 Iwe kipaumbele

4. Mahindi 1.14 6.00 Iwe kipaumbele

5. Muhogo 6.48 60.00 Iwe kipaumbele

6. Viazi vitamu 5.23 20.00 Iwe kipaumbele

Mazao ya Chakula: Muhogo, Magimbi, Viazi vitamu, Mpunga, Mahindi, Mazao ya mbegu za mafuta.

Mpunga Muhogo Alizeti

Mazao ya Biashara: Mkonge, Korosho, Miwa, Nazi, Mazao ya bustani (Machungwa, Embe,
mboga mboga, viungo na vikolezo).

Mkonge Nazi Vitunguu swaumu

Mwongozo wa
5 Uzalishaji Mazao
Kanda ya Magharibi

Mazao yanayofaa kulimwa katika Kanda ya Magharibi katika mikoa ya Tabora na Kigoma (Jedwali Na. 5).

Jedwali Na. 5: Mazo na wastani wa mavuno Kanda ya Magharibi


Hali ya uzalishaji – Tija (Tani/Hekta)
Na. Zao Mapendekezo
Ya sasa Uwezekano (Potential)

1. Muhogo 5.74 60.00 Iwe kipaumbele

2. Ndizi 5.92 Iwe kipaumbele


35.00
3. Mpunga 2.60 5.00 Iwe kipaumbele

4. Mahindi 1.38 6.00 Iwe kipaumbele

5. Karanga 0.99 4.50 Iwe kipaumbele

6. Mbaazi 0.79 Iwe kipaumbele


2.50
7. Kahawa 0.39 Iwe kipaumbele
2.50

9. Pamba 0.47 Iwe kipaumbele


4.00

10. Tumbaku 1.26 Iwe kipaumbele


3.50

11. Viazi vitamu 4.88 20.00 Iwe kipaumbele

Mazao ya Chakula: Mahindi, Muhogo, Viazi vitamu, Ndizi, Mikunde na Mpunga

Mahindi Muhogo Ndizi

Mazao ya Biashara: Kahawa, Tumbaku, Michikichi, Pamba na Tangawizi

Tumbaku Michikichi Pamba

Mwongozo wa
Uzalishaji Mazao 6
Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
Mazao yanayofaa kulimwa katika Kanda ya Nyanda za juu Kusini katika Mikoa ya Iringa, Katavi,
Mbeya, Njombe, Rukwa, Ruvuma na Songwe (Jedwali Na. 6)
Jedwali Na. 6: Mazao na wastani wa mavuno Kanda ya Nyanda za Juu Kusini

Hali ya uzalishaji – Tija (Tani/Hekta)


Na. Zao Mapendekezo
Ya Sasa Uwezekano (Potential)

1. Muhogo 5.96 60.00 Iwe kipaumbele

2. Viazi mviringo 7.29 30.00 Iwe kipaumbele

3. Mpunga 2.73 5.00 Iwe kipaumbele

4. Mahindi 1.76 6.00 Iwe kipaumbele

5. Ngano 0.81 5.00 Iwe kipaumbele

6. Alizeti 1.50 4.00 Iwe kipaumbele

7. Tumbaku 0.92 3.50 Iwe kipaumbele

Mazao ya Chakula: Mahindi, Mpunga, Maharage, Ngano, Viazi mviringo, Muhogo na Mazao ya bustani

Maharage Viazi mviringo Mpunga

Mazao ya Biashara: Chai, Kahawa, Tumbaku, Pareto, Alizeti, Maua

Chai Alizeti

Mwongozo wa
7 Uzalishaji Mazao
Kanda ya Kusini
Mazao yanayofaa kulimwa Kanda ya kusini katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Wilaya ya Tunduru (Jedwali
Na. 7)
Jedwali Na. 7: Mazao na wastani wa mavuno Kanda ya Kusini

Hali ya uzalishaji – Tija (Tani/Hekta)


Na. Zao Mapendekezo
Ya Sasa Uwezekano (Potential)

1. Muhogo 5.25 60.00 Iwe kipaumbele

2. Mbaazi 0.97 2.50 Iwe kipaumbele

3. Mpunga 1.30 5.00 Iwe kipaumbele

4. Ufuta 1.20 2.50 Iwe kipaumbele

5. Alizeti 1.00 4.00 Iwe kipaumbele

6. Karanga 1.35 4.50 Iwe kipaumbele

7. Korosho 8kg/mti 30kg/mti Iwe kipaumbele

Mwongozo huu umeainisha mazao yafuatayo kuzalishwa katika kanda hii ya Kusini:-
i. Mazao ya Chakula: Muhogo, Mazao ya jamii ya kunde na

Muhogo Soya Mbaazi

ii. Mazao ya Biashara: Korosho, Nazi, Ufuta, Alizeti Karanga na Mazao ya bustani

Korosho Ufuta Nazi

Mwongozo wa
Uzalishaji Mazao 8
MAZAO YANAYOFAA KUZALISHWA KIMKOA NA KIWILAYA
Kila zao huhitaji mazingira maalum yanayowezesha zao husika kuzalishwa kwa tija kubwa na kwa gharama nafuu. Hata hivyo, mazingira ya asili yanaweza
kuboreshwa ili kustawisha mazao ambayo kwa asili yasingeweza kuzalishwa kwa tija katika maeneo hayo (Jedwali 8).

Jedwali Na. 8: Mazao yanayofaa kuzalisha katika mikoa kulingana na ikolojia

MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
1 ARUSHA Arusha Kahawa, Mahindi, Mwinuko: 500 - 1,700 Mazao ya Mikunde
Maua Maharage, ndizi na Mvua: 800-1,200 Bustani, alizeti,
viazi mviringo Joto:15-30 ufuta
Udongo: pH 5-8.5. Tifutifu, kichanga na madini ya calcium,
mfinyanzi na rutuba ya kutosha.
Karatu Kahawa, Mahindi, Mwinuko: 900 – 2,500 Ngano na Mazao ya Mikunde
Shayiri, maharage, Mvua: 200 - 1,400 bustani
Vitunguu maji Joto: 10 - 30
Udongo: pH 4 -8.5. Tifutifu, mfinyanzi, calcium na rutuba ya
wastani.

Longido Ndizi, Mahindi, Mwinuko:500-1,700 Vitunguu maji, Mikunde


Vitunguu Maharage, mtama Mvua 400 -1,300 Ngano
saumu, Joto:10-30
Udongo: pH 6.5 - 8.5. Tifutifu kichanga, mfinyanzi, madini ya
chokaa (calcium) mengi na rutuba ya kutosha

Monduli Kahawa, Mahindi, mbaazi Mwinuko: 500-2,500 Vitunguu maji Viazi vitamu
Ndizi, Mvua: 200-1,400
Vitungu saumu, Joto:5-30
Mazao ya Udongo: pH 5 ->8.5. Tifutifu, kichanga na mfinyanzi, calcium
Bustani. nyingi na rutuba hafifu

Ngorongoro Mazao ya Mahindi, Mwinuko: 900-2,500 Vitunguuu saumu Viazi vitamu


bustani Mtama Mvua: 400-1,400
Joto: 5-30
Udongo: pH 4.5-8.5. Tifutifu, kichanga madini ya calcium na
rutuba ndogo

9 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
2 DAR ES Ilala Tikiti maji, Muhogo, Mwinuko:0-500 Mchicha Mikunde, Nazi
SALAAM Muhogo viazi vitamu Mvua: 800-1,200
Joto:25-35
Udongo:pH5-7 Kichanga, chumvi,
Tifutifu na Mfinyanzi
Kinondoni Tikiti maji, Muhogo Mwinuko:0-500 Matango, Mchicha Kunde
Maembe Mvua: 800-1,200
Joto:25-35
Udongo:pH5-7 Kichanga, chumvi,
Tifutifu na Mfinyanzi
Temeke Tikiti maji, Muhogo Mwinuko:0-500 Matango, Kunde,
maembe Mvua: 800-1,200 Mchicha,Papai Viazi
Joto:25-35 Vitamu
Udongo:pH5-7 Kichanga, chumvi,
Tifutifu na Mfinyanzi
3 DODOMA Bahi Zabibu, Mtama, uwele, Mwinuko: 500 -1,400 Mvua:400 – 800 Alizeti na karanga Mpunga,
Mpunga Viazi,
Chamwino Zabibu, Ufuta Mtama, njugu Mwinuko: 500 -1,400 Alizeti, karanga Mpunga,
mawe, Mvua: 400 – 800 Viazi vitamu,
Udongo: mwekundu na kichanga

Chemba Alizeti, Mtama, muhogo Mwinuko: 500 -1,400 Mvua:400 – 800 mm Alizeti, karanga viazi
Ufuta vitamu
Dodoma Zabibu Mtama, uwele, Mwinuko: 500 -1,400 Mvua: 400 – 800 Alizeti, karanga Mahindi, viazi
muhogo vitamu, kunde
Kondoa Alizeti, ufuta Mtama, Mahindi, Mwinuko: 500 -1,400 Ufuta, karanga, Mahindi, v/
na mbaazi muhogo Mvua: 400 – 800 vitamu kunde
Joto: 15 - 30
Udongo: Kichanga, tifutifu na mwekundu
Mpwapwa Alizeti, Mtama, njugu Mwinuko: 500 -2300 Ufuta, karanga Mahindi, viazi,
karanga mawe, Mvua:200 – 1,000 muhogo kunde
Joto:10-30
Udongo: Rutuba ya wastani

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 10


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Kongwa Alizeti, Mtama, njugu Mwinuko: 500 -2300 Mahindi Mbaazi kunde
karanga mawe, muhogo Mvua: 800 – 1000
Joto:15-30
Udongo: Tifutifu, kichanga, mfinyanzi na rutuba ya wastani
4. GEITA Bukombe Pamba Mahindi, Muhogo Mwinuko: 900 -1,700 Mikunde, Viazi vitamu
Mvua: 600 – 1,200 Karanga,tumbaku.
Joto:10-30
Udongo:pH 4 - 8.5 Kichanga,
Tifutifu, changarawe, mfinyanzi
Chato Pamba Mahindi, Muhogo Mwinuko: 1,100 -1,800 Mikunde Viazi vitamu
Mvua: 600 – 1,400
Joto:10-30
Udongo: Tifitifu, kichanga na rutuba kidogo

Geita Pamba, Mahindi, Muhogo Mwinuko: 1,200 -1,300 Mikunde, Nanasi. Viazi vitamu
mpunga Mvua: 600 – 1,400
Joto:15-30
Udongo: Kichanga, mfinyanzi, tifutifu na changarawe.
Mbogwe Pamba Mahindi, Muhogo Mwinuko: 1,200 -1,300 Mikunde Viazi vitamu
Mvua: 600 – 1,400
Joto:10-30
Udongo: Mweusi, Tifutifu, mfinyanzi na changarawe
Nyang’hwale Pamba Mahindi, Muhogo Mwinuko: 1,200 -1,300 Mikunde Viazi vitamu
Mvua: 600 – 1,400
Joto: 10-30
Udongo: Meusi, Tifitifu, kichanga na rutuba kidogo
5. IRINGA Iringa Alizeti, Mahindi, Mwinuko: 400 -2,300 Alizeti, mpunga Viazi mviringo
Vitunguu Maharage, Mvua: 200 – 1,600
Nyanya Joto: 5 - 27
Udongo: Kichanga, Tifutifu, Mfinyanzi
Kilolo Chai, Pareto Mahindi, Mwinuko: 400 -2,300 Kahawa, shairi, Ngano, Soya
Maharage Mvua: 600 – 1,600 mazao ya bustani
Viazi Joto: 2 – 30
Mviringo Udongo: pH 4–7, Tifutifu, mfinyanzi

11 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Mufindi Chai, pareto Mahindi, Mwinuko: 400 -2 ,300 Alizeti, Mazao ya Viazi mviringo
Maharage Mvua: 600 – 1,600 bustani
Joto: 5 – 25
Udongo: pH 4–7, Tifutifu, mfinyanzi
6 KAGERA Biharam Kahawa, Ndizi, mikunde, Mwinuko: 1100 -1,800 Alizeti na Mazao ya viazi vitamu,
ulo Ndizi muhogo, na Mvua: 600 – 1,400 bustani. viazi vikuu,
mahindi. Joto:10-30 magimbi.
Udongo: pH 4 - 7 Mchanganyiko, tifutifu, kichanga, mfinyanzi.
Bukoba Kahawa, Ndizi, Mwinuko: 1200 -1,800 Alizeti, viazi vitamu,
Ndizi, Vanila na mikunde na Mvua: 800 – 1,400 mpunga, mazao ya viazi
chai. mahindi. Joto:10-30 bustani vikuu, magimbi
Udongo: pH 4 - 7
Mchanganyiko, tifutifu, kichanga, changarawe, mfinyanzi

Karagwe Kahawa. Ndizi, Mwinuko: 1200 -1,800 Alizeti, Viazi vitamu,


mikunde na Mvua: 800 – 1,200 mpunga, mazao ya vikuu
mahindi. Joto:10-30 bustani na vanilla
Udongo: pH 4-7
Mchanganyiko, tifutifu, kichanga, changarawe, mfinyanzi

Kyerwa Kahawa. Mahindi, Ndizi na Mwinuko: 1,200 -1,800 Vanilla, chai Alizeti, viazi vitamu,
mpunga. Mvua: 800 – 1,200 mazao ya bustani magimbi na
Joto:10-30 muhogo.
Udongo:pH 4-7
Mchanganyiko, tifutifu, kichanga, changarawe, mfinyanzi.

Misenyi Kahawa, Ndizi, Mwinuko: 1,200 - 1,800 Pamba, mazao ya viazi vitamu,
Vanila na mikunde na Mvua: 800 – 1,400 bustani. magimbi na
Miwa Mahindi Joto:10-30 muhogo.
Udongo:pH 4 -7
Mchanganyiko, tifutifu, kichanga, changarawe, mfinyanzi

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 12


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Muleba Kahawa, Chai Ndizi, Mwinuko: 1200 - 1,600 Pamba, Chai, mazao viazi vitamu,
mikunde na Mvua: 800 – 1,400 ya bustani, Vanila magimbi
Mahindi. Joto:10-30 muhogo
Udongo: pH 4-7 na njugumawe.
Mchanganyiko, tifutifu, kichanga, changarawe, mfinyanzi

Ngara Kahawa, Ndizi, mikunde, Mwinuko: 1300 -1,800 Pamba, Chai, mazao Viazi vitamu,
Pamba muhogona Mvua: 800 – 1,200 ya bustani. magimbi, mtama
Mahindi Joto: 10-30 na muhogo.
Udongo. pH 4 – 7 Mchanganyiko, Tifutifu, kichanga,
changarawe na mfinyanzi

7. KATAVI Mlele Tumbaku, Mpunga, Mwinuko: 800-2,200 Pamba, alizeti, ulezi Karanga
Karanga, ufuta Viazi vitamu, Mvua: 1,000-1,400
mahindi, Joto 15-30
maharage, Udongo: pH 6 – 8, tifutifu, kichanga na rutuba kidogo
muhogo

Tanganyika Tumbaku, Mpunga, Mwinuko: 800-2,200 Mazao ya bustani Karanga


Ufuta Viazi vitamu Mvua: 1,000 -1,400
Joto: 15-30
Udongo: pH5-7
tifutifu, kichanga na rutuba kidogo
Mpanda Tumbaku, Mpunga, Mwinuko: 900 – 2,300 Mazao ya Karanga
mchikichi Viazi vitamu, Mvua: 600-1,400 bustani, ulezi
mahindi, Joto: 10-15; PH 5-7
maharage Udongo: pH 5 - 8.5 Tifutifu, kichanga na rutuba kidogo

Mpimbwe Tumbaku, Mpunga, Mwinuko: 900 – 2,300 Mazao ya bustani Karanga


alizeti, ufuta viazi vitamu Mvua: 600-1,400
Joto: 10-15
PH 5-7
Udongo: pH 5 - 8.5 Tifutifu, kichanga na rutuba kidogo

13 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
8. KIGOMA Buhigwe Kahawa, Muhogo, Mwinuko: 1,000-1,700 Michikichi, Mazao Viazi mviringo
Tangawizi, Mikunde, Mvua: 1,000-1,200 ya bustani, Alizeti
Ndizi. Mahindi Joto: 18 – 30
Udongo: pH 5 – 7 Mchanganyiko, tifutifu, kichanga, changarawe,
mfinyanzi wenye rutuba ndogo
Kakonko Tumbaku, Mtama, Mwinuko: 900-1.600 Mazao ya Bustani, Muhogo na
Michikichi, Mikunde na Mvua: 600-1,200 Kahawa na Mahindi
Kahawa Ndizi Joto:18-30 Alizeti Soya
Mpunga Udongo: pH 5-7 Tifutifu, kichanga, rutuba kubwa, mfinyanzi

Kasulu Kahawa, Mahindi, Mwinuko: 800-1,200 Mazao ya bustani, Mpunga


Michikichi, Mikunde, Mvua: 600-1,000 Miwa, na Alizeti
Tangawizi, Ndizi na Joto:18-30
Tumbaku Muhogo Udongo: pH 5-7 Tifutifu, kichanga, rutuba kubwa, mfinyanzi,
mchanganyiko mwekundu

Kibondo Pamba, Mahindi, Mikunde Mwinuko: 800-1,200 Mazao ya bustani Ndizi,


Kahawa, Mvua: 600-1,000 na Kahawa Muhogo na
Tumbaku Joto:18-30. Udongo: pH 5-7, Mchanganyiko mwekundu, tifutifu, Mtama
Michikichi. kichanga, changarawe, mfinyanzi.

Kigoma Michikichi na Mahindi, Mwinuko: 800 -1,800 Mazao ya bustani, Karanga,


Kahawa maharage, Mvua: 600 – 1,200 Mpunga Ndizi na Viazi
Muhogo na Joto:18-30 vitamu
Mikunde Udongo: pH 5-7 Tifutifu, kichanga, rutuba kubwa, mfinyanzi
wenye rutuba tofauti tofauti
Uvinza Tumbaku, Mahindi, Mwinuko: 800-1,500 Mazao ya bustani, Ndizi na Viazi
Michikichi, Muhogo na Mvua: 600-1,200 ufuta, Miwa vitamu
Mpunga Mikunde Joto:18-30
Udongo:pH 5-7 Mchanganyiko mwekundu, tifutifu, kichanga,
mfinyanzi wenye rutuba tofauti tofauti (chini, wastani na juu)

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 14


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
9 KILIMA Hai Kahawa, Mahindi, Mwinuko: 500-3,500 Ndizi, mikunde Mtama,
NJARO mazao ya Maharage, Mvua: 800-1,400 viazi mviringo
bustani, Ndizi Joto: 15-30 na vitamu
Mbaazi Udongo: pH 5-8.5 Udongo wa volcano, kichanga, tifutifu,
mfinyanzi, changarawe na rutuba ya wastani

Moshi Kahawa, Ndizi, Mwinuko: 500-3,500 Ndizi, mikunde Mtama,


Mazao ya Mahindi, Mvua: 400-1,200 viazi mviringo
bustani, Maharage Joto: 5-31 na vitamu
Parachich, Udongo: pH 5->8.5 Mchanganyiko, tifutifu, mfinyanzi,
mpunga, miwa changarawe na wenye rutuba ya asili ya wastani
Mwanga Tangawizi, Mahindi, Magimbi, Mwinuko: 500-2,000 Kahawa, miwa Ndizi, viazi
Fiwi, Mvua: 400-1,000; Joto: 10-30 Udongo:pH 4.5->8.5 kichanga, mviringo
Mpunga tifutifu, mfinyanzi na rutuba kidogo

Rombo Kahawa Ndizi, Mwinuko: 500-3,500 Kahawa, ulezi, ndizi Mtama,


Mahindi, Mvua: 400-1,200 viazi mviringo,
Maharage Joto: 5-30 mhogo
Udongo: pH 5-8.5
Udongo wa volcano, kichanga, Mfinyanzi, tifutifu na rutuba ya
wastani
Same Tangawizi, Fiwi Mtama, uhogo, Mwinuko: 500-2,000 Mazao ya bustani Ndizi,
Viazi vitamu. Mvua: 400-1,000 mtama
Joto: 10-31
Udongo: pH 4.5->8.5, mchanganyiko wa kichanga na tifutifu,
mfinyanzi, miamba na rutuba hafifu.
Siha Ngano, Mahindi, Mwinuko: 500-3,500 Kahawa, Maharage,
Kahawa, maua, Ndizi, Mvua: 800-1,400 Mikunde Mazao ya mtama
viazi mviringo, Maharage Joto: 15-30 bustani
mbaazi Udongo: pH 6.5-8.5 volcano, kichanga, tifutifu, mfinyanzi,
changarawe na rutuba ya wastani

15 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
10 LINDI Kilwa Ufuta, Muhogo, mpunga, Mwinuko: 200-750 Machungwa, Magimbi,
Korosoho, mtama Mvua: 800-1,200 Tikiti maji, Mpunga
Nazi Joto: 20-28 Maembe
Udongo: pH 5.5-7
Tifutifu, mchanga, Mfinyanzi
Lindi Ufuta, Korosho Muhogo, Mwinuko: 200-750 Nazi, Tikiti maji Magimbi
Mtama, Mvua: 800-1,200
Kunde Joto: 20-28
Udongo: pH 5.5-7 Tifutifu na mfinyanzi

Liwale Ufuta, Korosho Mhogo, Mwinuko: 200-1,000 Karanga Mtama, mahindi


Mtama, Mvua: 800-1,200
Viazi vitamu Joto: 24-28
Udongo: pH 5.5-7 Tifutifu, kichanga

Naching wea Ufuta, Mhogo, Mwinuko: 200-1,000 Karanga, Soya, Mikunde,


Korosho, Mtama, Mvua: 800-1,000 Alzeti, njugu Maharage
Karanga Viazi vitamu Joto: 20-28 mawe Mahindi
Udongo: pH 5.5-7
Tifutifu, mchanga, Mfinyanzi na Changarawe.
Ruangwa Ufuta, korosho, Mhogo, kunde na Mwinuko: 200-1,000 Alizeti, Mazao ya Mahindi na
nazi mbaazi Mvua: 800-1,000 bustani mikunde
Joto: 20-28
Udongo: pH 5.5-7
Tifutifu, mchanga, Mfinyanzi na Changarawe.
11 MANYA RA Babati Mbaazi, Mahindi, Mpunga, Mwinuko: 1,000-2,500 Karanga, ufuta, Ndizi
Alizeti maharage Mvua: 200-1,400 miwa
Joto: 15 – 28
Udongo: Tifutifu, mfinyanzi

Hanang Ngano, Mahindi, Mikunde, Mwinuko: 1,100 -2,500 Vitunguu saumu Viazi mviringo,
Mbaazi, maharage Mvua: 200-700 Ndizi
shahiri Joto: 15 – 28
Udongo: Tifutifu, mfinyanzi

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 16


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Kiteto Mahindi, Mahindi, Mwinuko: 700 -1,200 Alizeti, soya Viazi mviringo,
mbaazi Maharage Mvua: 400-1,000 ndizi,
Udongo: pH 5-7, rutuba nyngi, tifutifu mtama

Mbulu Mbaazi, Mahindi na Mwinuko: 1,200-2,300 Ngano, Vitunguu Viazi mviringo,


ngano, shahiri Maharage Joto: 10 – 28 saumu ndizi
Udongo: Tifutifu, mfinyanzi
Simanjiro Ufuta, Alizeti, Mahindi, Mvua: 600-1,200 Ngano, mazao ya Mtama, uwele
mbaazi maharage, mtama Joto: 15 – 28 bustani
Udongo: Tifutifu, mfinyanzi,
12 MARA Bunda Pamba, Mtama, Muhogo Mwinuko: 1,000- 1,800 Mpunga, Mazao ya Mahindi, viazi
mpunga Mvua: 400-1,000 bustani vitamu
Joto: 10-30
Udongo:pH 6.5-8.5 Mchanganyiko, kichanga, tifutifu, mfinyanzi
mweusi
Butiama Pamba Mahindi, Mtama, Mwinuko: 1,000-1,800 Mikunde Viazi vitamu,
ulezi Mvua: 400-1,000 Mhogo
Joto: 15-30
Udongo:pH 6.5-8.5 Mchanganyiko, tifutifu, mfinyanzi mweusi

Musoma Pamba, Mtama, Mwinuko: 1,000-1,200 Mikunde, karanga Viazi vitamu,


mpunga ulezi, Muhogo Mvua: 600-1,400 mahindi
Joto: 15-30
Udongo:pH 6.5-8.5
Mchanganyiko, kichanga, tifutifu, mfinyanzi, wenye rutuba
hafifu.
Rorya Pamba Mtama, Mhogo Mwinuko: 1,000-2,300 Mazao ya bustani Viazi vitamu
Mvua: 500-1,200
Joto: 10-30
Udongo: pH 5-7,Mchanganyiko,
kichanga, tifutifu, mfinyanzi mweusi

17 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Serengeti Pamba, ufuta, Muhogo, Mtama, Mwinuko: 1,000- 2,300 Tumbaku, ufuta, Viazi vitamu
tumbaku mahindi Mvua: 500-1,200 mahindi
Joto: 15-30
Udongo:pH 6.5->8.5 kichanga, tifutifu,
Mfinyanzi mweusi na rutuba kiasi
Tarime Chai, kahawa, Muhogo, Mtama, Mwinuko: 1,000- 2,300 Viazi mviringo, Mahindi, Viazi
alizeti ndizi Mvua: 800-1,600 Mazao ya bustani vitamu,
Joto: 10-27
Udongo:pH 4-7, Mchanganyiko, tifutifu, mfinyanzi, rutuba kiasi

13 MBEYA Busekelo Chai, kakao, Mahindi, Mwinuko: 500-2,400 Ndizi, Mazao ya Ndizi
mpunga, Maharage, Mvua: 1,000-2,400 bustani, njegere
mazao ya Viazi Joto 15 – 25
bustani Mviringo, ulezi Udongo: ph 4-7, mfinyanzi, tifutifu na kichanga

Chunya Tumbaku, Mpunga, Mahindi Mwinuko: 800-1,800 Ufuta, Matunda Mtama, uwele
Alizeti Mvua: 200-1,400
Joto 15 – 30 0C,
Udongo: pH 5-7 mchanganyiko kichanga na mfinyanzi,
changarawe
Kyela Kakao, Mpunga, Mwinuko: 500-2,400 Matunda, Magimbi, dengu
kahawa, Ndizi, Mvua: 1,000-2,400 Maharage
mchikichi, mihogo Joto 10-30,
mpunga Udongo: pH 5- 7.5 mfinyanzi, tifutifu na kichanga

Mbarali Mpunga, Mpunga, Mikunde, Mwinuko: 800-1,500 Alizeti, Mazao ya Mtama,


alizeti, mahingi Mvua: 200 -1,400 bustani Viazi
Ufuta Joto: 15-30 Vitamu
Udongo:- pH 5-7 kichanga, mfinyanzi mweusi na tifutifu
Mbeya Kahawa, Mahindi, Mwinuko: 800-2,700 Mazao ya bustani, Maharage,
Viazi Mpunga, Mvua: 600-2,000 ngano viazi mviringo
Mviringo, Maharage, Joto 5-20 shairi Magimbi
mazao ya Ndizi Udongo: ph 5-7, volcano, mfinyanzi, kichanga na tifutifu
bustani,

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 18


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Rungwe Chai, Mahindi, ndizi, Mwinuko: 500-2,400 Kokoa, ndizi, mazao Maharage,
parachichi, maharage njerege Mvua: 1,000-2,400 ya bustani viazi mviringo,
kahawa, na ulezi Joto 5-30, magimbi
maharage, Udongo: pH 4-7 volcano, udongo mfinyanzi, tifutifu na kichanga
14. MORO- Gairo Mahindi, Mahindi, Mwinuko: 400-2,300 Mvua: 800- Mikunde, Mpunga, mtama
GORO Alizeti, Viazi vitamu 1,600; Joto:15-30 Alizeti
Maharage Udongo:pH 5-7 Tifutifu na kichanga

Ifakara Mpunga, Miwa Mpunga, Mahindi Mwinuko: 400-2,300 Kakao, Ndizi,


Mvua: 800-1,600 Mikunde, ufuta mhogo
Joto:20-35
Udongo: pH4-7 Tifutifu, kichanga na mfinyanzi na wenye
rutuba.
Kilombero Miwa, Mpunga, Mikunde Mwinuko: 400-2,300 Viungo/spices, Muhogo,
Mpunga, Mvua: 800-1,600 Ndizi Mahindi
Kakao Joto:20-35
Udongo: pH4-7 Tifutifu, kichanga na mfinyanzi na wenye
rutuba.
Kilosa Mkonge, Mahindi, Mikunde Mwinuko: 200-2,300 Mazao-bustani, Muhogo
Mpunga, Mvua: 800-1,600; Joto:15-30 Udongo: pH4-7 Tifutifu, kichanga korosho, pamba
Korosho na mfinyanzi mweusi na wenye rutuba.

Malinyi Mpunga, Mpunga, Mahindi Mwinuko: 200-2,300 Kakao, pamba, Mahindi, Ndizi
Korosho Mvua: 800-1,600 Mazao ya bustani
Joto:20-35
Udongo: pH 4-7 Tifutifu, kichanga na mfinyanzi na wenye
rutuba.
Morogoro Mkonge, Mihogo, Mahindi Mwinuko: 200-2,300 Alizeti, Ufuta Ndizi,
Miwa, Mazao na mikunde Mvua: 800-1,600
ya bustani, Joto:20-35
Viungo Udongo: pH 4-7 Tifutifu, mfinyanzi na wenye rutuba kiasi

Mvomero Mpunga, Mahindi, Viazi Mwinuko: 200-2,300 Korosho, Ufuta Mtama, Mahindi
Ufuta, Mazao vitamu, maharage Mvua: 800-1,600
bustani Joto:20-35; Udongo: pH4-7 mfinyanzi mweusi na rutuba kiasi

19 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Ulanga Mpunga, Mpunga, mahindi, Mwinuko: 200-2,300 Ufuta, alizeti Mahindi, mtama
Korosho maharage Mvua: 800-1,600
Joto:20-35
Udongo: pH 4-7 Tifutifu, kichanga na mfinyanzi na wenye
rutuba.
15 MTWARA Masasi Korosho, Ufuta Muhogo na Mwinuko: 200-500 Ufuta, mazao ya Mpunga
mbaazi, Mvua: 800-1,000 bustani, soya
Joto:12-35
Udongo: Ph 5-7 tifutifu, kichanga na mfinyanzi
Mtwara Korosho, Ufuta Muhogo, mpunga Mwinuko: 0-300 Ufuta , mazao ya Mahindi,
Mvua: 800-1,000 bustani mikunde
Joto:12-35
Udongo: pH 5-7 tifutifu, kichanga na mfinyanzi
Nanyamba Korosho, Mwinuko: 200 - 500 Soya, Ufuta na nazi Mpunga
Choroko Mvua: 800-1,000
Joto:12-35
Udongo: pH 5-7 tifutifu, kichanga na mfinyanzi
Nanyumbu Korosho, Muhogo na Mwinuko: 200-500 Ufuta na nazi Mahindi,
karanga, mbaazi Mvua: 800-1,000 Mpunga
njugumawe Joto:12-35
ufuta Udongo: pH5-7 tifutifu, kichanga na mfinyanzi

Newala Korosho, Mhogo na mbaazi Mwinuko: 200-500 Ufuta na soya Mahindi,


Soya, ufuta Mvua: 800-1000 Mpunga
Joto:12-35; Udongo:pH 5-7 tifutifu, kichanga na mfinyanzi
Tandahimba Korosho, Ufuta Mhogo, mtama na Mwinuko:200 -500M asl Alizeti, soya Mahindi,
mbaazi Mvua: 800-1000mm kwa mwaka Mpunga
Joto:12-350C
Udongo:pH 5-7 tifutifu, kichanga na mfinyanzi
16 MWANZA Buchosa Pamba, mbaazi Mpunga, mahindi Mwinuko: 800-1300 Mazao ya bustani Mtama, mhogo
na mhogo Mvua: 600-1,400 na viazi vitamu
Joto 10 – 30,
Udongo: pH 6.5 – 8.5 mfinyanzi mweusi na wa kichanga na
tifutifu

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 20


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Ilemela Pamba, Kunde Mpunga, mhogo Mwinuko: 800-1,800 Mazao ya bustani Mtama,
Mvua: 600-1,400 viazi vitamu
Joto 15 – 30,
Udongo: pH 5 – 7 kichanga tifutifu, na mfinyanzi
Kwimba Pamba, Dengu Mpunga, mahindi Mwinuko: 1,000-1,300 Mikunde Mtama,
na mhogo Mvua: 600-1,200 viazi
Joto: 15 – 30 vitamu
Udongo: pH 5 -7 mfinyanzi mweusi na tifutifu,
Magu Pamba, Mpunga, mahindi Mwinuko: 1,000 -1800 Mazao ya bustani Mtama,
Choroko na mhogo Mvua: 700-1,400 viazi
Udongo: pH 6.5 – 7.0 vitamu
Joto 20 -30
Udongo: mchanganyiko mfinyanzi mweusi, kichanga na tifutifu
Misungwi Pamba, Dengu Mpunga, mahindi Mwinuko: 1,000-1,800 Alizeti, ufuta Mtama,
na mhogo Mvua: 600-1,400 viazi vitamu
Joto: 15 – 30
Udongo: pH 6.5-7 mchanganyiko kichanga, tifutifu na mfinyanzi
Mwanza Pamba Mpunga, mahindi Mwinuko: 1,000-1,300 Alizeti, ufuta Mtama,
na muhogo Mvua: 600-1,400 viazi vitamu
Joto: 15-30
Udongo: 5 -7 pH, Kichanga, tifutifu na mfinyanzi.
Sengerema Pamba Mpunga, mahindi Mwinuko: 1,000-1,300 Alizeti Mtama,
na muhogo Mvua: 600-1,400 viazi
Joto: 15-30 vitamu
Udongo: 5 -7 pH, Kichanga, tifutifu na mfinyanzi.
Ukerewe Pamba, Mpunga, mahindi Mwinuko: 1,000-1,300 Alizeti, ufuta, vitamu
kahawa, na muhogo Mvua: 600 -1,200 machungwa
Nanasi Joto: 15-30
Udongo: pH5-7 Kichanga, tifutifu na mfinyanzi.
17 NJOMBE Ludewa Chai, Pareto Mahindi, Mpunga, Mwinuko: 500-2,300 Korosho, viazi Maharage,
mihogo, ngano, Mvua: 1,000-1,400 mviringo, soya mhogo
maharage Joto:10-25 mazao ya bustani Viazi vitamu, na
Udongo: pH 4-7, Mfinyanzi, tifutifu, rutuba ya wastani mbaazi

21 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Makete Pareto, Mahindi Ngano Mwinuko: 1,200-2,700 Shayiri, maua Maharage,
Matofaa Mvua: 600-2,000 ngano na
Ngano Joto:1-15 viazi mviringo
Udongo: pH 4 -7 volcano, mweusi na rutuba hafifu
Njombe Chai, Viazi Mahindi, viazi Mwinuko: 750-2,400 Pareto, Mazao ya Maharage,
Mviringo, mviringo Mvua: 600-2,000 bustani ngano na ngano
Matunda Joto: 1-20
Udongo: pH 4 -7. Mfinyanzi, Kichanga, tifutifu na wenye
rutuba ya wastani.
Wang- Alizeti, Mahindi, Mwinuko: 750-2,400 Shayiri, mazao ya Maharage,
ing’ombe Parachichi, maharage o Mvua: 600-2,000 bustani kunde, mbaazi,
viazi mviringo, Joto: 5-20 muhogo
chai Udongo: pH 5-7 Tifutifu na wenye rutuba ya wastani
18 PWANI Bagamoyo Korosho, Mhogo, mtama, Mwinuko: 200-1,000 Nazi, ufuta, mazao Muhogo,
Nanasi, miwa mpunga Mvua: 800-1,400 ya bustani mtama, punga
Joto: 19-31
Udongo: pH 5-7. Mfinyanzi, Kichanga, tifutifu, wenye rutuba
ndogo
Chalinze Korosho, Mtama, mpunga Mwinuko: 200-500 Nazi, ufuta, mazao Mhogo, mbaazi,
Ufuta, Mvua: 800-1,400 ya bustani mtama
Nanasi Joto: 19-31
Udongo: pH 5-7 Mfinyanzi mweusi,
Kichanga, tifutifu, rutuba ya wastani
Kibaha Korosho, Mhogo, mtama, Mwinuko: 200-500 Nazi, ufuta, mazao Mahindi, mbaazi
mazao ya mpunga Mvua: 800-1400 -bustani
bustani Joto: 19-31
Udongo: pH 5-7. Mfinyanzi,
Kichanga, tifutifu, rutuba ya chini
Kisarawe Korosho, Nazi. Muhogo, mpunga, Mwinuko: 200-500M asl Mvua: 8001400mm kwa mwaka. Ufuta Mbaazi, mazao
mazao ya mahindi Joto: 19-310C ya bustani.
bustani Udongo: pH 5-7. Mfinyanzi, Kichanga, tifutifu, changarawe,
wenye rutuba chini na juu ya wastani.
Mafia Nazi, korosho Mpunga Mwinuko: 0 – 100 Korosho, viungo Muhogo
Mvua: 1,400 -1,600 (spices)
Joto: 19-31
Udongo pH 5-7, kichanga na tifutifu wenye rutuba ndogo

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 22


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Mkuranga Korosho, Nazi Muhogo, Mwinuko: 200-500 Nanasi, ufuta, Viazi vitamu,
Mpunga Mvua: 800-. 1,200 miembe na mahindi ya
Joto:19-31 michungwa. muda mfupi
Udongo: pH 5-7, mfinyanzi, kichanga, tifutifu wenye rutuba ya
wastani
Rufiji Nazi, miwa, Mahindi, Mhogo, Mwinuko: 200-1,000 Mvua: 800-1,400 Korosho, ufuta Mhogo, Mahindi
Ufuta, Mhogo Mpunga Joto:19-31
Udongo: pH 5-7, kichanga, mfinyanzi na tifutifu wenye rutuba

19 RUKWA Kalambo Mahindi, Mahindi, Mwinuko: 800-2,300 Soya, maharage Mtama,


Alizeti, ngano, maharage Mvua: 1,000-1,400 Ulezi
viazi nviringo Joto:10-28
Udongo:pH 5-7 Tifutifu, mfinyanzi,
wenye rutuba ya kutosha
Nkasi Mahindi, Mahindi, Mpunga, Mwinuko: 800-2,300 Mvua: 1,000-1,400 Joto: Mpunga, Soya, viazi Mpunga,
Alizeti, ngano, maharage 10-30. vitamu Mtama,
ulezi Udongo: pH 5-7 tifutifu, mfinyanzi kichanga na wenye rutuba ya Ulezi,
kutosha. mbaazi

Sumbawanga Mahindi, Mahindi na Mwinuko: 800-2,300 Ulezi, Soya, viazi Ulezi,


Alizeti, maharage Mvua: 1,000-1,400 mviringo Mtama,
Mpunga. Joto:10-30 Mbaazi.
Udongo: pH 5-7 tifutifu, mfinyanzi kichanga na wenye rutuba ya
kutosha
20 RUVUMA Madaba Mahindi, Soya Mahindi, Mwinuko: 400 -2,300 Soya, Ufuta Mtama,Ta
maharage Mvua: 500 – 1,600 Tangawizi ngawizi
Joto:5 - 31
Udongo: pH 5-7 Mfinyazi, mchanganyiko, rutuba ya wastani

Mbinga Kahawa Mahindi, mharage Mwinuko: 500-2,300 Matunda Mtama,


Mvua: 100 -1,400 Ndizi
Joto:5-31
Udongo: pH 4-7, Mfinyazi rutuba ya wastani,

23 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Namtumbo Korosho, Mahindi, mikunde, Mwinuko: 400-1,200 Tumbaku, Mtama na
Ufuta, soya alizeti Mvua: 800-1,400 Ufuta, alizeti mpunga,
Joto:5-31 viazi
Udongo: pH 4-7, kichanga, tifutifu, mfinyazi rutuba ya wastani vitamu

Nyasa Mahindi, Mahindi, Mwinuko: 300 – 1,500 Korosho, Ufuta Mpunga,


nanasi Mtama Mvua: 600 – 1,200 viazi vitamu
Joto:20-35
Udongo: pH5-7 Kichanga, tifutifu, wenye rutuba ya wastani

Songea Soya, alizeti Mahindi, Mwinuko: 500-2,300 Ufuta, soya Mikunde,


maharage, Mtama Mvua: 800-1,200 viazi mviringo,
Joto:15-31 viazi vitamu,
Udongo: pH5-7 Kichanga, tifutifu na wenye rutuba ya kutosha ufuta

21 SHINYAN- Kahama Pamba, Mahindi, Mwinuko: 900-1,300 Dengu, Alizeti Mpunga, uwele
GA Mpunga, Viazi vitamu Mvua: 300-750
alizeti Joto:15-30
Udongo: pH 5-8.5 mfinyanzi mweusi, tifutifu, rutuba ya wastani

Kishapu Pamba, Mahindi, Viazi Mwinuko: 900-1,300 Alizeti, Ufuta, Uwele/


choroko, vitamu mtama Mvua: 300-750; Joto:15-30 Mkonge, Viazi vitamu
Dengu Udongo: pH 5-8, tifutifu, kichanga, mfinyanzi mweusi na rutuba Mpunga
ya wastani

Msalala Pamba, Mahindi, Mwinuko: 800-1,300 Mpunga, Mpunga


Choroko, mtama Mvua: 300-650 Alizeti, uwele
dengu Joto:15-30
Udongo: pH 5-8, tifutifu, kichanga, mfinyanzi mweusi na rutuba
ya wastani

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 24


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Shinyanga Pamba, Mahindi, Viazi Mwinuko: 900-1,300 Alizeti, ufuta Mpunga uwele
Dengu, vitamu mtama Mvua: 600-1,000 Viazi vitamu
Mpunga Joto:15-30
Udongo: pH 5-9. Mchanganyiko wa tifutifu kichanga na
mfinyanzi mweusi, rutuba ya wastani
Ushetu Pamba Mahindi, mtama Mwinuko: 900-1,300 Mpunga, Mpunga, uwele
Mvua: 900-1,300 Alizeti, Mazao ya
Joto:15-30 Bustani.
Udongo:pH 5->8.5 tifutifu kichanga na mfinyanzi mweusi,
rutuba ya wastani
22 SIMIYU Bariadi Pamba, Mahindi, Mwinuko: 1,000-1,800 Mvua: 600-1200. Mpunga, Uwele, muhogo
choroko Mtama Joto:10-30 Alizeti,Dengu
Mpunga Udongo:pH6.5->8.5 volkano, mchanganyiko mweusi,
mwekundu, tifutifu, kichanga, mfinyanzi, changarawe wenye
rutuba ya chini, wastani na juu ya wastani

Busega Pamba, Mahindi, Mtama Mwinuko: 1000-1800 Mbaazi, Alizeti Uwele,


Dengu Mpunga Mvua: 600-1200. mhogo
Joto:10-30
Udongo:pH6.5->8.5 volkano, mchanganyiko mweusi,
mwekundu, tifutifu, kichanga, mfinyanzi, changarawe wenye
rutuba ya chini, wastani na juu ya wastani
Itilima Pamba, Mahindi, Mwinuko: 900-2,500 Alizeti, Mpunga Uwele,
Choroko Mtama Mvua 600-1400 Muhogo,
Mpunga Joto:15-30 Viazi vitamu
Udongo:pH4.5-9 volkano, mchanganyiko mweusi, mwekundu
tifutifu, kichanga, mfinyanzi, changarawe wenye rutuba ya
chini, wastani na juu ya wastani
Maswa Pamba, Dengu Mahindi, Mwinuko: 1,000-1,300, Alizeti, Mbaazi Karanga,
Mtama Mvua: 600-1200 Uwele,
Mpunga Joto:15-30 Viazi vitamu
Udongo:pH6.5-8.5 mchanganyiko mweusi, tifutifu, kichanga,
mfinyanzi, changarawe na rutuba ya kutosha

25 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Meatu Pamba, Mahindi, Mtama Mwinuko: 900-2,500: Alizeti Uwele, mhogo
Mikunde Mvua: 600-1200
Joto:15-30
Udongo:pH 4.5-9 volkano, mchanganyiko mweusi, mwekundu
tifutifu, kichanga, mfinyanzi, changarawe na rutuba ya wastani

23. SINGIDA Ikungi Alizeti Mtama, Mwinuko: 900-2500 Korosho Viazi


uwele Mvua: 600-700 Mpunga,
Joto:10-30
Udongo: pH 4 -9.
Mfinyanzi,changarawe,tifutifu na kichanga

Iramba Alizeti, Mtama, mahindi Mwinuko: 900-2500, Mvua: 6001200 Joto:10-30 Ufuta, Korosho Mpunga, uwele
Vitunguu Udongo: pH 4.5-9. Mchanganyiko wa tifutifu kichanga na
mfinyanzi rutuba hafifu, wastani na zaidi ya wastani.

Itigi Alizeti, Mtama, mahindi Mwinuko: 900-1,400, Tumbaku na Mpunga, uwele


Tumbaku Mvua: 500-1,000 Karanga
Joto:15-30
Udongo: pH 4-8. Changarawe, tifutifu, mfinyanzi wenye
viwango tofauti vya rutuba.

Manyoni Alizeti, Mtama, Mwinuko: 900-1400, Mvua: 500-1000. Tumbaku, Korosho, Mpunga, uwele,
karanga Viazi vitamu Joto:15-30 mazao ya bustani. muhogo
Udongo: pH 4-8. Changarawe, tifutifu, mfinyanzi wenye
viwango tofauti vya rutuba.
Mkalama Alizeti, Mtama, mahindi Mwinuko: 900-2500, Mvua: 600-1200. Korosho, maembe Ulezi,
Vitunguu Joto:10-30 muhogo
Udongo: pH 4.5-9. Mchanganyiko wa tifutifu kichanga na
mfinyanzi rutuba hafifu, wastani na zaidi ya wastani
Singida Alizeti, ulezi Mtama, Mwinuko: 1100-1300, Korosho Mahindi,
uwele, muhogo Mvua: 200-400. viazi
Joto:10-30
Udongo: pH 4 -9. Mfinyanzi, changarawe, tifutifu na kichanga

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 26


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
24 SONGWE Ileje Kakao Mahindi, Mwinuko: 500-2,400 Alizeti, Soya, Ndizi, Viazi
Kahawa, Maharage Mvua: 1,000-2,400 Mazao –
karanga Joto: 5 - 25 bustani, mpunga
Udongo: pH 5-7, mfinyanzi, tifutifu, miamba na tambalale
Mbozi Kahawa, Mahindi, , Mwinuko: 800-2,400 Soya, ufuta Mtama,
Parachich, Maharage,k Mvua: 1,000-2,400 ulezi
alizeti, aranga na ulezi Joto: 5-25
mahindi, Udongo: pH 4-8 mfinyanzi mwekundu, tifutifu na wenye rutuba
maharagei ya kutosha
Momba Kahawa, Mahindi, Mpunga Mwinuko: 800-2,300 Alizeti, Mtama,
mahindi, ufuta maharage, mazao 800-2,400 Mikunde, ufuta ulezi viazi
ya bustani Mvua: 1,000 -2,400 vitamu
Joto: 10 - 25
Udongo: pH 5-7, tifutifu, rutuba ya kutosha, mfinyanzi
mwekundu
25 TABORA Igunga Pamba, Mpunga, mahindi Mwinuko: -900-1,300, Alizeti , Ndizi, Mtama, Uwele,
Alizeti Mvua: 700-1,200 Maembe mhogo
Joto:15-30
Udongo: pH 5–9, Mchanganyiko mweusi, changarawe,
mfinyanzi, tifutifu na kichanga wenye rutuba tofauti tofauti
(chini, wastani na juu)
Kaliua Tumbaku, Mpunga, Mwinuko:1100 -1300, Alizeti, Mtama
Pamba Viazi Mvua: 600-1000 Karanga, Papai
Udongo: pH 5->8.5, Mfinyanzi mwekundu/mweusi,
changarawe, mfinyanzi, tifutifu na kichanga wenye rutuba
tofauti tofauti (chini, wastani na juu)
Nzega Pamba Mpunga, mahindi Mwinuko:1000 -1300, Alizeti, Mtama,
Mvua:700 -1200 Maembe Viazi
Joto:15-30
Udongo: pH 5 ->8.5, Mchanganyiko mweusi, changarawe,
mfinyanzi, tifutifu na kichanga wenye rutuba tofauti tofauti
(chini, wastani na juu)

27 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Sikonge Tumbaku, Mpunga, mahindi Mwinuko: -900-1400, Mvua: 200 -1000. Karanga, Mtama
Pamba Joto:15-30 Alizeti
Udongo: pH 4->8.5, Mchanganyiko mwekundu, changarawe,
mfinyanzi, tifutifu na kichanga wenye rutuba tofauti tofauti
(chini, wastani na juu)
Tabora Tumbaku, Mpunga, Mwinuko:900 -1400, Karanga, Mtama
Pamba Viazi Mvua: 200 -1200 Joto:15-30 Udongo: pH 4-9, Mchanganyiko Alizeti
mwekundu/mweusi, changarawe, mfinyanzi, tifutifu na
kichanga wenye rutuba ya wastani
Urambo Pamba, Mpunga, mahindi Mwinuko:800 -1800, Alizeti Mtama
tumbaku Mvua: 600-1000 Joto:15-30 Udongo: pH 5->8.5,
Mfinyanzi mwekundu/mweusi, changarawe, mfinyanzi, tifutifu
na kichanga wenye rutuba ya wastani
26 TANGA Bumbuli Chai Mahindi, Mwinuko:800 -1800 Kahawa, Mazao Viazi vitamu,
Maharage Mvua: 600-1,000 ya bustani na viazi mviringo,
Joto: 10-25 soybean. na muhogo.
Udongo pH 4-7, Mchanganyiko mwekundu, Mfinyanzi,
Kichanga, tifutifu wenye rutuba ndogo
Handeni Mkonge, Mahindi, Mwinuko:200 -1200, Pamba, kunde na Muhogo, Mtama
Mahindi, Muhogo Mvua: 400-1400 ufuta viazi vitamu.
Alizeti Joto: 15-31
Udongo pH 4-7 Mchanganyiko mwekundu, Mfinyanzi,
Kichanga, tifutifu wenye rutuba tofauti tofauti (chini, wastani
na juu ya wastani).

Kilindi Alizeti, Mahindi, Mwinuko:200 -1,200 Pamba kunde na Muhogo,


Maharage Maharage Mvua: 400-1,400 ufuta Ndizi,
Joto: 15-31; Udongo pH 4-7 Mtama na
Mchanganyiko mwekundu, Mfinyanzi, viazi vitamu.
Kichanga, tifutifu rutuba ya wastani

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 28


MAZAO MENGINE
MAZAO YA KIPAUMBELE
YANAYOWEZA KULIMWA
Na.
MKOA WILAYA IKOLOJIA
BIASHARA CHAKULA BIASHARA CHAKULA
Korogwe Mkonge, Mahindi, Muhogo Mwinuko:200 -2,000, Machungwa, ufuta, Mpunga, Ndizi
matunda Mvua: 500-1,200 Alizeti
Joto: 15-31
Udongo pH 4->8.5, Mchanganyiko mwekundu, Mfinyanzi,
Kichanga, tifutifu wenye rutuba ya wastani na chini ya wastani
Lushoto Chai, Mazao Mahindi, mpunga Mwinuko:200 -2000, Mvua: 400-1000. Kahawa, chai Ndizi, viazi
ya bustani Joto: 10-31 mviringo
Udongo pH 4-7, Mchanganyiko mwekundu, Mfinyanzi,
Kichanga, tifutifu wenye rutuba ndogo
Mkinga Korosho, Mhogo, Mwinuko:200 -1,200 Mkonge, Nazi Matunda,
mazao ya ndizi Mvua: 400-1,400, Joto: 19-31 mikunde,
viungo Udongo: pH 5-7. Mfinyanzi, mbaazi, mpunga
(Spices), Kichanga, tifutifu, changarawe
Muheza Chai, Mhogo, Mwinuko:200 -1,200 Korosho, Mpunga,
Matunda, Ndizi Mvua: 400-1,400; Joto: 15-31 Udongo pH 4-7, Mchanganyiko Kakao, Ufuta Mahindi
viungo, mwekundu, Mfinyanzi, Kichanga, tifutifu wenye rutuba tofauti
Mkonge tofauti
(chini, wastani na juu)
Pangani Nazi Mpunga na Mwinuko:0 -750 Viungo Korosho Mhogo, Mtama
Mhogo Mvua: 800-1,400
Joto: 15-31
Udongo pH 4-7, Mchanganyiko mwekundu, Mfinyanzi,
Kichanga, tifutifu wenye rutuba ya wastani na chini ya wastani
Tanga Mkonge, Muhogo Mwinuko: 0 -199 Korosho, embe Mikunde,
Nazi Mvua: 1000-1,200 mtama,
Joto: 19-31 viazi vitamu.
Udongo pH 5-7, Mchanganyiko mwekundu, Mfinyanzi,
Kichanga, tifutifu wenye rutuba ya wastani na chini ya wastani

29 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA KILIMO BORA CHENYE TIJA
Mwongozo huu pia, unaelekeza kanuni za kilimo bora kwa mazao mbalimbali, kiasi cha mimea katika shamba na kiasi cha mavuno yanayotarajiwa kama
ilivyoainishwa katika (Jedwali Na 9)
Angalizo: Maelekezo ya matumizi ya mbolea yaliyoainishwa katika mwongozo huu ni ya jumla kulingana na ikolojia ya kanda husika. Hivyo, wakulima wote
wanaelekezwa kupima afya ya udongo wa mashamba yao ili kujua kiasi sahihi cha mbolea kinachohitajika kwa aina ya zao.
Jedwali Na. 9: KANUNI ZA MSINGI KATIKA UZALISHAJI WA BAADHI YA MAZAO

KIASI CHA PEMBEJEO MAVUNO


NAFASI ZA IDADI YA
KINACHOHITAJIKA (KILO/HEKTA) (TANI/HEKTA) MUDA WA
NA ZAO UPANDAJI MIMEA KWA
Kiwango KUKOMAA (MIEZI)
(M X M) Mbegu Mbolea Wastani wa sasa HEKTA
tarajiwa
20kg Samadi/Shimo 36–48 baada ya
Kahawa
2.7 x 2.7 Miche 120CAN/UREA 0.65 2.5 1,330 kupanda 7 - 9 baada ya
arabika
100 DAP/NPK maua
1
20kg Samadi/Shimo
3 - 5 baada ya kupanda
Kahawa robusta 3.3 x 3.3 Miche 120CAN/UREA 1 2 1,075
7 - 9 baada ya maua
100 DAP/NPK
3,500 chai
Chai 0.9 x 0.6; 1,550 chai 24 48 kila baada ya
2 Vipando P: 50 N: 250 iliyoanda 5,000 -9,760
1.2 x 0.9 iliyoand aliwa siku 5 –7
liwa
36- 48 baada ya
3 Korosho 12x12 Miche Samadi 20kg/m2 0.5 1 69 kupanda
8 - 9 baada ya maua
0.9x0.3 kwenye sesa 37,000
4 Pamba 25 P: 15N: 30 1.5 4 6
0.9x0.38 kwa matuta 29,000
5 Tumbaku 1x0.6 1.2 P: 38.7 N: 33.75 1 2.5 16,600 3-4
mistari miwili 1.5 m 200 (ya
6 Miwa Vipando P: 24.7 N: 115 100 (ya miwa) 6,000 6-8
0.6 kati ya shina miwa)
0.6x0.3 kwenye vipande , 100-200 TSP 250-500 CAN in 0.75 (1.4% 1.7 (2%
7 Pareto 55,000 4
matuta miche nursery pyrethri n) pyrethrin)
Mistari miwili 3–
8 Mkonge 4m miche CAN-100 TSP-125 12 25 4,700 24
0.75-1.0
Kati ya shina

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 30


KIASI CHA PEMBEJEO MAVUNO
NAFASI ZA IDADI YA
KINACHOHITAJIKA (KILO/HEKTA) (TANI/HEKTA) MUDA WA
NA ZAO UPANDAJI MIMEA KWA
Kiwango KUKOMAA (MIEZI)
(M X M) Mbegu Mbolea Wastani wa sasa HEKTA
tarajiwa
0.75x0.3&
0.9x0.3 mmea 120 DAP
44,450-
9 Mahindi mmoja/sh imo 0.8x0.5 25 125 TSP 1.75 6 3–6
50,000
mimea 250 UREA
miwili/shi mo

0.8x0.3 aina ndefu 5 viganja 50-100 UREA 41,200


10 Mtama 0.7 5 3–6
0.45x0.2 aina fupi 2.5 mnyunyi zo 50-100 TSP 111,000

0.2x0.2 kupandiki za 150-300 TSP


35-45 250,000
11 Mpunga 0.35x0.35 kupanda 175 UREA 2.5 5 4–6
65-100 82,000
moja kwa moja CAN 300
0.5x0.15 68 133,000
12 Karanga 75-125 TSP 0.5 nuts 2 nuts 4- 6
0.9x0.15 90 200,000
0.75x 0.2 inayotambaa
60 75-125 TSP
13 Kunde 0.5x0.2 inayokua 0.2 2 66,667 3–4
75 80 NPK
wima
0.5x0.1 70 75-125 TSP 167,000
14 Maharage 0.5 3 3–6
0.6x0.1 60 80 NPK 200,000
0.9x0.3 8 100 TSP 37,000
15 Alizeti 1 4 5–6
0.75x0.3 12 350 CAN 44,444
0.6x0.1 mmea
mmoja 166,667
16 Ufuta 3-4 50 – 75 TSP 0.3 1.2 3–6
0.6x0.3 mimea 55,556
miwili
17 Uwele 0.8x0.3 3-9 65 TSP 1.5 3 4,000 2.5 – 4
aina ndefu 0.45x0.2
60 SA 100,000
aina fupi
0.05x0.25 kunyunyiz 250,000 -
18 Ulezi 20-50 60-80 DAP 1 4 3-6
a kwenye mifereji 400,000
0.05x0.25 kunyunyiz 65 TSP 250,000 -
19 Ngano 50-200 1.5 5 3-6
a kwenye mifereji 60 SA 400,000
45-80 DAP 30,000 -
20 Viazi vitamu 0.3 x 1 vines 8 20 3-6
50 – 75 TSP 35,000
0.3x0.6 2,000- 60-100 DAP 50,000-
21 Viazi mviringo 7.5 30 3-6
0.3x0.75 2,500 60 – 80 TSP 56,000

31 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


KIASI CHA PEMBEJEO MAVUNO
NAFASI ZA IDADI YA
KINACHOHITAJIKA (KILO/HEKTA) (TANI/HEKTA) MUDA WA
NA ZAO UPANDAJI MIMEA KWA
Kiwango KUKOMAA (MIEZI)
(M X M) Mbegu Mbolea Wastani wa sasa HEKTA
tarajiwa
Machipu 100-250 DAP
22 Ndizi 3x3 15 35 1,111 9-20
kizi 80-200 TSP
1x1; 9,000-
23 Muhogo Vipando 35-40 TSP 10 60 6-24
1.2x0.9 10,000
75-125 TSP
24 Mbaazi 0.2x0.5 25- 50 1.5 2.5 100,000 3-7
80 NPK 75 DAP
0.1x0.6 130,000
25 Soya 40-100 80 NPK, 80 DAP 1.7 2.7 4-7
0.15x0.5 167,000
45-60 TSP 80,000-
26 Dengu 0.25x0.45 30-45 0.7 1.8 4-6
50 DAP 100,000
30g per plant 1SA: 1TSP: 70kg/ bunch/ 240kg/
27 Michikichi 8.8x7.6 Miche 150 36-48
1K2SO4: 2MgSO4 mixture year bunch/year

2.5x6 100gm/plant DAP/TSP at


28 Michungwa Miche 20 45 667 36-48
nursery stage

100gm/plant DAP/TSP at
29 Parachichi 8x5 Miche 1 13 250 48-60
nursery stage
100gm/plant DAP/TSP at
30 Embe 10.5x10.5 Miche 10 25 90 36-48
nursery stage

100gm/plant DAP/TSP at
31 Papai 2.7x2.7 Miche 100 2500 1,370 9-16
nursery stage
32 Nanasi 0.6 x 0.6 Machipu 80-100 40 55 27,800 12-16
kizi DAP/UREA
0.75x0.6 200 SA 22,000-
33 Kabichi 0.2-0.3 20 40 2.5-4
0.4x0.5 5gms/hole 42,000
166,667
34 Ufuta 0.5x0.1 mmea mmoja 3-4 50 – 75 TSP 0.3 1.2 3-6
55,556

0.75x0.5 80 DAP 18,000-


35 Nyanya 0.5 25 60 2.5-4
0.9x0.6 75 CAN 26,000

0.8x0,5 75 DAP 12,500-


36 Bilinganya 0.5 20 40 2.5-4
1x0.8 80 CAN 25,000

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 32


KIASI CHA PEMBEJEO MAVUNO
NAFASI ZA IDADI YA
KINACHOHITAJIKA (KILO/HEKTA) (TANI/HEKTA) MUDA WA
NA ZAO UPANDAJI MIMEA KWA
Kiwango KUKOMAA (MIEZI)
(M X M) Mbegu Mbolea Wastani wa sasa HEKTA
tarajiwa
0.1x0.3; 80 DAP/CAN 250,000-
37 Vitunguu 4.5 7.5 10 3-5
0.1x0.4 60 UREA 333,000
75 DAP
38 Bamia 0.3x0.6 1 1.8 2 56,000 2-3
80 CAN
Kunyunyiz a kwenye 75 DAP 300,000-
39 Karoti 4.5 1.5 15 2-3
mfereji 80 CAN 450,000
100-200 NPK
40 Matango 1.2x1.5 2.5 4 8 4,000- 5,000 2-3
(4:16:4)
100-200 NPK
41 Tikiti 1.2x1.5 2.5 9 12 4,000-5,000 3-4
(4:16:4)

33 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


KALENDA YA UZALISHAJI WA BAADHI YA MAZAO NCHINI
Kalenda ya Kilimo inamwezesha mkulima kufanya maadalizi ya mahitaji yote ya shamba ikiwemo zana na pembejeo kabla ya msimu kuanza. Kalenda hii ni
kwa mazao yote yanayolimwa katika ikolojia zote.

ZAO MIKOA SHUGHULI JAN FEB MACH APR MEI JUN JUL AG SEP OKT NOV DES
Mbeya, Kutayarisha shamba
MAHINDI Ruvuma, Iringa, Kupanda
Njombe, Katavi,
Palizi la kwanza
Rukwa, Kigoma,
Tabora, Lindi, Kuweka mbolea
Mtwara, Kudhibiti visumbufu
Singida, Palizi la pili
Dodoma
Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
Tanga, Pwani Kutayarisha shamba
Kilimanjaro, Kupanda
Morogoro,
Palizi la kwanza
Kagera, Arusha,
Manyara, Mara, Kuweka mbolea
Mwanza, Geita, Kudhibiti visumbufu
Simiyu, Palizi la pili
Shinyanga
Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
Mbeya, Kutayarisha shamba
MPUNGA Ruvuma, Iringa, Kusiha mbegu
Njombe, Katavi,
Kupandikiza
Rukwa, Kigoma,
Tabora, Lindi, Palizi la kwanza
Mtwara, Kuweka mbolea
Singida, Kudhibiti visumbufu
Dodoma
Palizi la pili
Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 34


ZAO MIKOA SHUGHULI JAN FEB MACH APR MEI JUN JUL AG SEP OKT NOV DES
MPUNGA Tanga, Pwani Kutayarisha shamba
Kilimanjaro, Kupanda
Morogoro,
Palizi la kwanza
Kagera, Arusha,
Manyara, Mara, Kuweka mbolea
Mwanza, Geita, Kudhibiti visumbufu
Simiyu, Palizi la pili
Shinyanga Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
MTAMA Mwanza, Kutayarisha shamba
Geita, Kupanda
Shinyanga,
Palizi la kwanza
Simiyu, Mara,
Tabora, Kuweka mbolea
Dodoma, Kudhibiti visumbufu
Singida Palizi la pili
Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
ULEZI Rukwa, Katavi, Kutayarisha shamba
Mbeya, Singida, Kupanda
Ruvuma, Palizi
Kigoma,
Kuweka mbolea
Tabora,
Kilimanjaro Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
NGANO Rukwa, Mbeya, Kutayarisha shamba
Ruvuma, Kupanda
Manyara,
Palizi la kwanza
Arusha
Kuweka mbolea
Kudhibiti visumbufu
Palizi la pili
Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
35 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao
ZAO MIKOA SHUGHULI JAN FEB MACH APR MEI JUN JUL AG SEP OKT NOV DES
MUHOGO Mbeya, Tabora Kutayarisha shamba
Ruvuma, Kupanda
Katavi, Rukwa,
Kigoma, Lindi, Palizi la kwanza
Mtwara, Tanga, Kuweka mbolea
Pwani Mwanza, Palizi la pili
Geita, Simiyu,
Morogoro, Kuvuna
Kagera, Mara Kuhifadhi mavuno
Masoko
NDIZI Mbeya, Mara, Kutayarisha shamba
Kigoma, Kagera, Kupanda
Morogoro,
Palizi la kwanza
Tanga, Rukwa,
Katavi, Kuweka mbolea
Kilimanjaro, Arusha, Kudhibiti visumbufu
Manyara. Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
MAHARAGE Mbeya, Kutayarisha shamba
Ruvuma, Iringa, Kupanda
Njombe, Rukwa,
Palizi la kwanza
Katavi, Kigoma,
Tabora, Kudhibiti visumbufu
Singida, Palizi la pili
Dodoma Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
Tanga, Kutayarisha shamba
Kilimanjaro, Kupanda
Morogoro,
Palizi la kwanza
Kagera, Arusha,
Manyara, Mara, Kuweka mbolea
Kudhibiti visumbufu
Palizi la pili
Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 36
ZAO MIKOA SHUGHULI JAN FEB MACH APR MEI JUN JUL AG SEP OKT NOV DES
KUNDE Tanga, Pwani, Kutayarisha shamba
Kilimanjaro, Kupanda
Morogoro,
Arusha, Palizi
Manyara, Mara, Kuweka mbolea
Lindi, Mtwara. Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
ALIZETI Mbeya, Kutayarisha shamba
Ruvuma, Iringa, Kupanda
Njombe, Rukwa,
Katavi, Kigoma, Palizi
Tabora, Lindi, Kuweka mbolea
Mtwara, Kudhibiti visumbufu
Singida,
Kuvuna
Dodoma
Kuhifadhi mavuno
Masoko
KARANGA Mbeya, Mtwara, Kupanda
Ruvuma, Iringa, Palizi
Njombe, Katavi,
Rukwa, Dodoma Kuvuna
Kigoma, Lindi, Kuhifadhi mavuno
Tabora, Singida.
Masoko
UFUTA Mbeya, Mtwara, Kutayarisha shamba
Ruvuma, Iringa, Kupanda
Njombe,
Rukwa, Palizi la kwanza
Dodoma, Katavi, Kuweka mbolea
Morogoro, Kudhibiti visumbufu
Pwani, Singida
Palizi la pili
Kigoma,
Tabora, Lindi. Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko

37 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao


ZAO MIKOA SHUGHULI JAN FEB MACH APR MEI JUN JUL AG SEP OKT NOV DES
PAMBA Mwanza, Kutayarisha shamba
Geita, Kupanda
Simiyu,
Palizi la kwanza
Shinyanga,
Mara, Kuweka mbolea
Tabora, Kudhibiti visumbufu
Singida, Palizi la pili
Kigoma,
Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
Morogoro, Kutayarisha shamba
Kilimanjaro,
Tanga, Kupanda
Arusha, Palizi la kwanza
Pwani. Kuweka mbolea
Kudhibiti visumbufu
Palizi la pili
Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
MKONGE Morogoro, Kutayarisha shamba
Kilimanjaro, Kupanda
Tanga, Pwani
Palizi
Shinyanga.
Kuweka mbolea
Kuvuna
Masoko
CHAI Iringa, Njombe, Kutayarisha shamba
Mbeya, Tanga and Kupanda
Kagera
Palizi
Kudhibiti visumbufu
Kuweka mbolea
Kuvuna
Masoko

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 38


ZAO MIKOA SHUGHULI JAN FEB MACH APR MEI JUN JUL AG SEP OKT NOV DES
KAHAWA Arusha, Kutayarisha shamba
Kilimanjaro, Kupanda
Tanga, Mara, Palizi
Mbeya, Iringa, Kuweka mbolea
Njombe,
Kudhibiti visumbufu
Ruvuma,
Morogoro. Kuvuna
Masoko
MIWA Morogoro, Kagera, Kutayarisha shamba
Kilimanjaro. Kupanda
Manyara Palizi
Kuweka mbolea
Kudhibiti visumbufu
Kuvuna
Masoko
KOROSHO Mtwara, Kutayarisha shamba
Lindi, Kupanda
Ruvuma,
Palizi
Tanga,
Morogoro, Pwani. Kuweka mbolea
Kudhibiti visumbufu
Kuvuna
Masoko
PARETO Iringa, Mbeya, Kutayarisha shamba
Kilimanjaro, Kupanda
Arusha Palizi
Kuweka mbolea
Kuvuna
Masoko
TUMBAKU Ruvuma, Kutayarisha shamba
Tabora, Singida, Kupanda
Kigoma, Palizi
Shinyanga,
Kuweka mbolea
Katavi, Singida
Kudhibiti visumbufu
Kuvuna
Kupanga madaraja
Masoko
39 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao
ZAO MIKOA SHUGHULI JAN FEB MACH APR MEI JUN JUL AG SEP OKT NOV DES
ZABIBU Dodoma Kutayarisha
Singida shamba
Morogoro Kupanda
Palizi la kwanza
Kuweka mbolea
Kudhibiti
visumbufu
Palizi la pili na
kupogolea
Kuvuna
Kuhifadhi mavuno
Masoko
MAHARAGE Arusha Kutayarisha
YA SOYA Kilimanjaro shamba
Mbeya Kupanda
Kagera Palizi
Kuweka mbolea
Kudhibiti
visumbufu
Kuvuna
Masoko
MBAAZI Manyara Kutayarisha
Lindi shamba
Mtwara Kupanda
Arusha Palizi
Morogoro Kudhibiti
visumbufu
Kuweka mbolea
Kuvuna
Masoko

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 40


NYANYA Arusha Kutayarisha
Kilimanjaro shamba
Iringa Kupanda
Morogoro Palizi la kwanza
Mbeya, Kuweka mbolea
Ruvuma, Kudhibiti
Njombe, visumbufu
Katavi, Palizi la pili
Rukwa, Kuvuna
Kigoma, Masoko
Tabora,
Lindi,
Mtwara,
Singida,
Dodoma
VITUNGUU Morogoro Kutayarisha
Iringa shamba
Singida Kupanda
Lindi Palizi
Manyara Kuweka mbolea
Kilimanjaro Kudhibiti
Tabora visumbufu
Kuvuna
Masoko
VIAZI VITAMU Tabora Kutayarisha
Shinyanga shamba
Mwanza Kupanda
Simiyu Palizi
Morogoro Kudhibiti
Tanga visumbufu
Kagera Kuweka mbolea
Mara Kuvuna
Masoko
PARACHICHI Morogoro Kutayarisha
Mbeya shamba
Iringa Kupanda
Njombe Palizi la kwanza
Kilimanjaro Kuweka mbolea
Kagera Kudhibiti
Arusha visumbufu
Palizi la pili
Kuvuna
Masoko
41 Mwongozo wa Uzalishaji Mazao
KAKAO Morogoro Kutayarisha
Mbeya shamba
Kupanda
Palizi
Kudhibiti
visumbufu
Kuweka mbolea
Kuvuna
Masoko
VANILLA Kilimanjaro Kutayarisha
Morogoro shamba
Kagera Kupanda
Palizi la kwanza
Kuweka mbolea
Kudhibiti
visumbufu
Palizi la pili
Kuvuna
Masoko
CHOROKO Lindi Kutayarisha
Mtwara shamba
Kupanda
Palizi
Kuweka mbolea
Kuvuna
Masoko
SHAYIRI Arusha Kutayarisha
Kilimanjaro shamba
Manyara Kupanda
Rukwa Palizi
Iringa Kudhibiti
visumbufu
Kuweka mbolea
Kuvuna
Masoko

Mwongozo wa Uzalishaji Mazao 42


Mwongozo wa
43 Uzalishaji Mazao
Mwongozo wa
Uzalishaji Mazao 44
Mwongozo wa
45 Uzalishaji Mazao

You might also like