Professional Documents
Culture Documents
Muongozo Wa Mafanikio
Muongozo Wa Mafanikio
2020
1. Uwepo Wanapokuhitaji.
Hakuna kitu chenye nguvu kama uwepo wako kwa marafiki
zako pale ambapo huwa wanakuhitaji. Inawezekana ikawa
ni wakati wanapopata misiba, siku zao muhimu kama vile
siku ya kuzaliwa, wanapougua n.k kiufupi ni kuwa jitahidi
sana kuwepo katika nyakati zote muhimu za aina 2 za
maisha yao.
3. Kubali unapokosea
Moja ya kitu kinachofukuza marafiki sana katika maisha ya
watu wengi ni tabia ya kujiona kuwa wako sawa kila wakati
na hawawezi kukosea hata kidogo. Kuna watu ambao
wamepoteza watu muhimu sana kwenye maisha yao kwa
sababu ya kushindwa kukubali makosa yao.
ZOEZI
Jaribu kufanya tathimini ya marafiki ulionao na kisha
hakikisha unamtafuta rafiki wa uwajibikaji (Accountability
Friend)
TAMBUA HATUA ZA
KUKAMILISHA NDOTO YAKO
“Kila ndoto huwa inapitia hatua mbalimbali kabla
haijakamilika. Kwa kila hatua huwa kuna aina ya watu ambao
unawahitaji na pia mambo unayotakiwa kuyafanya"
UTANGULIZI
Kila lengo ulilonalo huwa ni kama maisha ya mwanadamu
huwa linazaliwa na linakua. Ila pia huwa linaweza kufa kabla
ya wakati wake.
Ukiwa katika hatua hii ndio pale unataka kila mtu aone
kama wewe unavyoona na unaanza kujiona ukiwa tayari ni
tajiri hata kabla hujaanza kufanya (hapa ndio hupigwa
mahesabu ya mamilioni kwenye karatasi).
Hapa ndio ule wakati unapiga mahesabu ya faida ya
ZOEZI
Kwa lengo kubwa ulilonalo kwa mwaka huu, je uko katika
hatua gani kati ya hizo zilizotajwa?
UTANGULIZI
Wakati fulani ulifanyika utafiti nchini Marekani na
ikagundulika kuwa mtu wa kawaida huwa anaangalia
televisheni kwa muda wa masaa 6.
ZOEZI
Andika mkakati wako wa miezi 3 kuanzia sasa wa kutumia
njia hizo mbili hapo juu na uanze kuufanyia kazi.
UTANGULIZI
Somo hili ni muhimu sana kukusaidia kuanza mafanikio
yako ya kifedha. Watu wengi huwa wanadharau mwanzo
mdogo ila wasichojua ni kuwa vitu vidogo vidogo
vikiunganishwa hugeuka kuwa vikubwa sana.
ZOEZI
Baada ya kusoma sura hii hebu jaribu kutafakari kwa
kutumia kile ulichonacho unaweza kuanza kufanya nini?
Kuna changamoto gani ambazo zinakuzuia.
Instagram: JoelNanauka_
(Utapata mafunzo kila siku yatakayokusaidia)
NGUVU YA MWANAMKE
UFANISI KAZINI