Professional Documents
Culture Documents
Kozi Ya Kiswahili 2-1
Kozi Ya Kiswahili 2-1
Kozi Ya Kiswahili 2-1
KOZI YA KISWAHILI
YALIYOMO
YALIYOMO.........................................................................................................1
KOZI YA KISWAHILI.........................................................................................2
0. UTANGULIZI...................................................................................................2
Mambo ya msingi..................................................................................................3
.Sehemu za mwili wa mwanadamu.......................................................................3
Sehemu za ndani mwilini......................................................................................4
Aina za nywele zinazoota kwenye mwili :............................................................5
Sehemu za siri jinsia ♂& ♀...................................................................................5
Mwanamke............................................................................................................6
Mapungufu ya sehemu za siri ( Mwanaume)........................................................7
Aina za vya kula....................................................................................................8
NYUMBA NA VIFAA.......................................................................................12
Misamiati mingine ya kiufundi...........................................................................15
11. SARUFI YA KISWAHILI............................................................................17
a. Alfabeti ya kiswahili sanifu.............................................................................17
VIPINDI VYA SIKU..........................................................................................18
SIKU SABA ZA WIKI MIEZI KUMI NA MIWILI YA MWAKA. 19
Hesabati...............................................................................................................20
Ishara zinazotumiwa............................................................................................20
Katika hesbati......................................................................................................20
Salamuza kiswahili..............................................................................................22
a. Vipindi vya siku..............................................................................................23
b. Heshima na hadhi tulivyo kwa wazazi,wazee wakongwe,yaani watu wenye
umri mukubwa wa miaka....................................................................................23
Unyambuaji wa vitenzi: vitenzi vya silabi moja.................................................25
1. Kitenzi « kuwa » : wakati uliopo au wa sasa..................................................25
METHALI ZA KISWAHILI...............................................................................29
2
KOZI YA KISWAHILI
0. UTANGULIZI
Mambo ya msingi
Nywele → kichwani
Kope → Macho
Nyusi → Macho
- Mapumbu, Makende
- Kumwaga shahawa
Tendo la ngono-zinaa-washerati
Uzinifu-kuzini
- Kujamiana-kuingiliana kimwili
- Tezi dume
- Kuondoa govi
- Jando
- Hali ya tohara…
-
Mwanamke
- Lango la uke
- Midomo ya uke
- Kisimi, Kinembe
UHANITHI : Ni mapungufu ya nguvu za kiume ambayo yanajitokeza kwa namna tatu tofauti :
- Heri na baraka
- Maziwa na Asali
- Fanaka na Nafaka
Asante sana
Na kwako pia
Vyakula Vinywaji
Ugali-Maandazi-Keki-Kaukau- Uji-Baadhi ya bia
mukate-Vitumbua-Chapati-Sambusa Togwa
- Njiwa
- Kasuku
- Nyuki
VINYWAJI
11
12
Majeraha Saratani
Kikohozi Ukimwi
Ya nguruwe Kichaa
Ya manjano Chizi
Ya uviko 19 Uwelu
Unyafuzi Kengeza
Ukoma Kidurango
Kichomi Kutapika
Upele Matapishi
Chunusi Taifodi
Mnoga Kukifiwana
Uvimbizi Kichungu
VYUMBA NA VIFAA
Misamiati ya kiufundi.
Alfajiri : 4h→ 6h
Asubuhi : 7h→ 9h
Mchana : 10h→ 16h
Adhuhuri : 10→ 12h30
Arasiri : 13h→ 16h
Jioni : 17h→ 19h
Usiku : 20h→ 23h
Usiku wa manane : 24h→ 3h
19
Ijumaa
Na kalenda ya kislamu
Misimu ya mwaka
Msimu wa kipwa ama kiangazi : Wakati wa jua kali linalowaka tangu mwezi
Hesabati
Ishara zinazotumiwa
Katika hesbati
+: Kuongezea, kujumlisha
- : Kutoa, kuondoa
˸ Kugawa
˂ : Chini ya
˃ : Zaidi ya
= : Sawa na
≤ : Chini ao sawa na
≥ : Zaidi au sawa na
Kitenzi « kuwa » kikifuatwa na jina au kivumishi cha sifa tunasema « ni »
katika wakati uliopo na kwa viwakilishi nafsi vyote ; na si kwa kukanusha.
Lakini kitenzi kuwa kikifwatwa na kielezi cha mahali, mabadiliko
yanakuwa haya :
21
10000 : Kumielfu
1000000 : Milionimoja
Salamuza kiswahili
Alfajiri :4h→6h
Asubuhi : 7h→9h
Mchana : 10h→16h
Adhuhuri : 10h→12h30
Arasiri : 13h→16h
Jioni : 17h→19h
Usiku : 20h→23h
Kucha : Hali ya jua kuchomoza mapema alfajiri hivyo tukatoka kunako giza
totoro la usiku wa manane na kuringia kunako mwangaza wa mchanaau asubuhi
Mfano : leo kumekucha mapema
Sielewi, inatimiasaakumi na moja nanusu za alfajiri na hakujacha ?
Mimi ni mwalimu
Wewe ni mfupi
Yeye ni dreva
Sisi ni
Wakatili uliopita
Katika wakati uliopita kitenzi « kuwa »
Mimi nilikuwa mbunge
kinaweza kufuatwa na lolote kivumilishi
Wewe ulikuwa mjini ngozi
cha sifa, nomino, jina, kielezi, cha mahili,
Yeye alikuwamwembamba
…bila kubadilika.
Sisi tulikuwa wachezaji
Nyinyi mlikuwa marubani
Wao walikuwa warembo
Mtindo wa kukubali
26
Mimi sikuwa
Wewe hukuwa umoja
Yeye hakuwa
Sisi hatukuwa
Nyinyi hamkuwa Wingi
Wao hawakuwa
Mtindo wa kukanush
Wakati ujao
Kuwapo: wakatiujao
27
Viulizi
Ni maneno yanayotumiwa kwa kuuliza swali.
Msitari wa wakati
MileniaKarne Mwaka
iliopita uliopita
iliopita Kesho kutwaWiki ijayoMwezi ujayo
Mwak ujayo
Mwezi Wiki iliopita Motndogoo Milenia ijayo
Karne ijayo
Juzi juzi
Juzi Jana LEO kesho
METHALI ZA KISWAHILI
Wahenga walisema :
3. « Akili ni mali. »
4. « Akiba haiozi. »
1. Kupiga deki
2. Kupiga mbizi.
3. Kupiga mnada
4. Kupiga chafya
5. Kupiga mluzi
6. Kupiga jeki
7. Kupiga chabo
9.Kuchungulia kaburi
11.Kuangalia kijicho
16.Kuvaa miwani
23.Kuambulia patupu.