Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 1

EE BWANA KATI YA MATAIFA YOTE

Zaburi 71/ Epifanie ya Bwana A-B-C

Musique: Innocent BISHIKWABO


 = 60
 3           
 8            

R/ Ee Bwa na ka ti ya ma ta i fa yo te ya du ni a,
              
  83      
             


8
  
   
        
 
 
wa ta o na wo ko vu wa ko.
    
         
      
 

13
      
       

1 . Ee Mungu umpe mfalme hukumu y ako, 4. A tamtomboa maskini mweny e kumlilia,


Na mwana wa mfalme haki y ako. Na mny onge asiy e na msaidizi.
A hukumu kabila lako kwa haki, A tamhurumia zaifu na maskini;
Na wany onge wako iliv y o sawa. A taokoa uzima wa maskini.

2. Katika siku zake haki itasitawi,


Na amani itazidi mpaka mwezi ukome.
A tatawala toka bahari mpaka bahari,
Na toka mto mpaka miisho y a dunia.

3. Wafalme wa tarsi na v isiwa watatoa kodi,


Wafalme wa saba na seba wataleta zawadi.
Wafalme wote wa dunia watamwabudu,
Mataifa y ote wata mtumikia.
Edition: Innocentbishi5@gmail.com

You might also like