Professional Documents
Culture Documents
Dhul Hijja
Dhul Hijja
Dhul Hijja
ﱡﭐﳊﳋﳌﳍﳎﳏﳐﳑﱠ
“Na tubuni nyote kwa Allaah, enyi waumini, ili mpate kufaulu”(1).
Amesema Imam Ibn Kathir (Allaah amrehemu):
َّ َ َ َ َ
ُ" َو َترك َما َن َه َيا َعن اه،الل ُه به َو َر ُس ُول ُه َ َ ُ َ َ َ َّ َ
ِ ح ك َّل الف ال ِ ا
ِ ِ ح ِفيا ِفع ِل ما أمر "ف ِإن الف ال ا
“Hakika kufaulu kote ni katika kufanya aliyo amrisha Allaah na Mtume wake na kuacha
waliyoyakataza”(2).
ﭐﱡﲫﲬﲭﲮﲯﱠ
“Basi msidhulumu humo (katika miezi mitakatifu) nafsi zenu”(3).
1- Surat An-Nuur/31.
2- Tafsiiru Ibn Kathir/Jz.6, Uk.50.
3- Surat Tauba/36
1
ح َام ُاه ُا
Amesema Imam Ibn Kathir الله َار ِ ا:
َ
"اْلث ِم ِمن غي ِر َها يف ُ اْلش ُهر ال ُم َح َّر َمة؛ َْل َّن ُه َآك ُد َو َأب َل
غ
َ
ه ذهَ في:" َأي
ِ ِ ِ ِ ِ ِِ ِ
“Maana yake: (msidhulumu) ndani ya miezi hii mitakatifu, kwa sababu dhambi hufanywa
maradufu zaidi kuliko miezi mingine”(4).
4. KUYAADHIMISHA NA KUYATUKUZA:
Kwa sababu miongoni mwa Taqwa ya mtu ni kutukuza Ibada za Allaah na
vitu vyote vitakatifu, kama alivyosema Allaah:
ﭐﱡﭐﱚﱛﱜﱝﱞﱟﱠ ﱡﱠ
“Na anayetukuza Ibada za Allaah, basi hayo ni katika unyenyekevu wa nyoyo”(5).
HAYA NDIO MASIKU BORA KULIKO SIKU KUMI ZA MWANZO WA MWEZI WOWOTE:
Amesema Mtume:
َ َ َ َّ َ ُّ َ َ َّ ُ َّ ُ َ َ َ
»« َما ِمن أي ٍام العمل الص ِالح ِف ِيهن أحب ِإلى الل ِه ِمن ه ِذ ِه اْلي ِام العش ِار
َّ َّ
“Hakuna masiku yoyote kufanya amali njema ndani yake kunapendeza
zaidi mbele ya Allaah kuliko masiku haya kumi”(7).
2
Kwa hiyo ni vizuri kwa kila muislamu kujipamba na tabia njema na kufanya
mambo mengi ya kheri kadri awezavyo.
َ َ ُ ُ َ َ
Amesema sheikh Ibn Uthaymin الله ت َعالى
ح ام اه ا
ار ِ ا:
َ َ َ َ َ َّ َ َ َ َ َّ َ َ َ َّ ُ َ َ ُ َّ ُ َ َ ُ ُ َ َ
آن َاوِاب َّار اء اة ُا
الق ار ِ ا التكا ِابيا ار او ِاق ار ا
الذكا ار او ا ام َاو ِا الص َاد اق اة َاو ِ ا
الص َاي َا الص ال اة او ا
ال اح ايشا ام ال ا الص ِ ا
الع ام ال ا " او اق اوال اه ا
َ ُ َ َ َ َ َ َ َ
الص ِ اال َاح ِاة" ا
ال َّا اْلعا َام ِ ا اك ُّال ا...ك الج َاو ِاار َاو اغيا َار اذ ِال َ ا
ن ِاحسا َ ا ق َاو ُا
الخلا ِ ا س َا
ان ِاإالى ا ام َاو ِا
اْلحا َ ا ح ِا اْلار َا
ص ال اة ا الو ِاال َاديا ِ ا
ن َاو ِ ا َا
“Na kauli yake (ya kutaja) amali njema, inakusanya Swala, Sadaka, Saumu, Dhikri, Takbiir,
Kusoma Qur’an, kuwatendea wema wazazi wawili, Kuunganisha kizazi, Kuwafanyia wema
viumbe, Ujirani mwema na yasiyokuwa hayo…. (inaingia) kila amali njema”(8).
3
Allaah anasema:
ﭐﱡﭐﱔ** ﭐﱖﱗﱠ
“Naapa kwa alfajri ** Na masiku kumi ya mwezi wa Dhul-Hijjah”(10).
َ َ ُ ُ َ َ
Amesema Imam Ibn Kathir الله ت َعالى
ح ام اه ا
ار ِ ا:
ف
َ َّ َ
ل الس ن م د احو ُّ َواب ُن، َك َما َق َال ُه اب ُن َع َّباس."ال ُم َر ُاد ب َها َعشا ُر ذي الح َّجة
َ َو َغي ُر، َو ُم َجاه ٌد،الزَبير
ِ ِ ٍ ِ ِ ِ ٍ ِ ِ ِ ِ
ََ
"ف َوالخل ِ ا
“Makusudio ya masiku hayo ni siku kumi za mwanzo wa Dhul-hijjah. Kama alivyosema
Ibn Abbas, Ibn Zzubeir, Mujahid, na wengi katika wanachuoni wa Salaf na Khalaf
(waliofuatia)”(11).
4
- Dua bora ni dua iliyoombwa siku hiyo ya Arafa:
ََ ُّ " َخي ُر
"الد َع ِاء ُد َع ُاء َيو ِم َع َرف اة
“Dua bora ni dua ya siku ya Arafa”(14).
5
“Na lenye kudhihiri ni kwamba kutukuzwa siku kumi za Dhul-Hijjah ni kwa sababu ndio
mahali pa mkusanyiko wa ibada mbalimbali kubwa, ambazo ni Swala, Funga (saumu),
Sadaka na Hija, na wala halipatikani hilo katika siku kumi nyingine zisizokuwa hizi”(17).