Professional Documents
Culture Documents
Nursery & Primary School: Standard Seven Test 2021 Elimu Ya Dini Ya Kiislamu / Muda: 1:30
Nursery & Primary School: Standard Seven Test 2021 Elimu Ya Dini Ya Kiislamu / Muda: 1:30
Nursery & Primary School: Standard Seven Test 2021 Elimu Ya Dini Ya Kiislamu / Muda: 1:30
1
(D) Kuwaritadisha
(E) Kuwafitinisha
7. Vita vya Badr vilipiganwa baina ya waislamu na
(A) Manaswara
(B) Wanafiki
(C) Maquraishi
(D) Mayahudi
(E) Warumi
8. Makhalifa wawili waongofu wa Mtume (s. a. w) wa kwanza na wa tatu ni
(A) Abubakar (r. a) na Ali (r. a)
(B) Abubakar (r. a) na Uthman (r. a)
(C) Abubakar (r. a) na Ali (r. a)
(D) Omar (r. a) na Ali (r. a)
(E) Uthman (r. a) na Ali (r. a)
9. Safu ya kupinga ukoloni nchini ilikuwa na waislamu wengi kwa sababu ___________
Zaidi
(A) Walikuwa wanajua siasa
(B) Walipenda madaraka
(C) Walikuwa wasomi
(D) Walinyanyaswa
(E) Walikuwa wengi
10. Katika sharia ya kiislamu, Hadith maana yake ni;
(A) Maneno ya mtume Muhammad (s. a. w)
(B) Maneno ya maswahaba wa Mtume (s. a. w)
(C) Maneno ya wanazuoni
(D) Maneno yaliyomo katika vitabu mashuhuri
(E) Maneno ya kumsifu Mtume (s. a. w)
SEHEMU B: (QUR’AN)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
Katika swali la 11-20 chagua kifungu cha maneno kutoka ORODHA B kinachowiana na
kifungu cha ORODHA A, kisha uandike herufi yake katika karatasi ya majibu uliyopewa.
ORODHA A
11. Hukmu ya tanwiin
12. Mwenye kumiliki siku ya malipo
13. Mbingu zitapo pasuka
14. Kujikinga na shari
15. Kinywaji cha watu wa peponi
16. Suuratul Mulk
17. Ni kipi kilichowapelekeni motoni?
18. ‘Illiyyin’
19. Lakini nyinyi mnapenda Zaidi Maisha ya dunia
20. Mim sakna
ORODHA B
2
(A) Ikh-fau shafawiy
(B) Siku ya kiyama
(C) Iq-labu
(D) Tasniim
(E) Suuratul Fatiha
(F) Juzuu ya Qadisamia
(G) Sijjiin
(H) Suuratul Nnaas
(I) Juzuu ya Tabaaraka
(J) Suuratul A’laq
(K) Daftari la amali za watu wema
(L) Suuratul A’alaa
(M) ………Hatukuwa miongoni mwa waliokuwa wakisali
Orodha A 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20
Orodha B
3
36. Qur aan inabainisha kuwa usiku wenye cheo (Laylatul Qadr) ni bora kuliko miezi
__________
37. Katika kalenda ya kiislamu mwezi wa Ramadhani huanza baada ya mwezi wa
____________
38. Funga ya Arafa ni siku ya tarehe __________________________ Dhul-Hijjah
39. Sunnah moja wapo katika mwezi wa Ramadhani ni kuzidisha kusoma
___________________
40. Nguzo ya tano ya uislamu ni kuhiji katika nyumba ya Allah (s. w) iliyopo mjini
_______________________________
41. Ibada ya kuzunguka Al- Ka’abah mara saba wanayofanya mahujaji inaitwa
______________
42. Sunnah ya kuchinja siku ya idil Hajj hutukumbusha historia ya Ibrahim (a. s) na
____________________ (a. s)
43. Idadi ya jumla ya nguzo za uislamu na nguzo za Imani ni
__________________________
44. Sura ya Qur aan inayomtakasa Allah (s. w) na kila sifa ya upungufu inaitwa
__________________________
45. Malaika wa Allah (s. w) aliyemteremshia Mtume Muhammad (s. a. w) Qur aan
anaitwa ________________________
46. Kitabu pekee cha Allah (s. w) ambacho lugha yake inazungumzwa hivi leo ni
_____________________________
47. Mtume Muhammad (s. a. w) alipendeka sana kwa watu wake na kupewa majina ya
_______________________________ na Aswaadiq
48. Maisha ya akhera huanza kwa kukata roho na mwisho ni mja mwema kuingia
____________
49. Kuamini kuwa shari zote zinatokana na Allah (s.w) ni nguzo ya _______________ ya
imani
50. Kujisalimisha kwa kumtii Mwenyezi Mungu ndio maana halisi ya dini ya
_________________
KINYEREZI ISLAMIC SCHOOLS . MOB: 0756 700 750 , 0735 750 700
“QUALITY EDUCATION SHAPED BY ISLAMIC VALUES”