Professional Documents
Culture Documents
Money Passcode
Money Passcode
Isaack Nsumba
Hakimiliki
Isaack Nsumba
Dar Es Salaam, Tanzania, East Asfrica
Simu: +255 654 722 733
Website: www.isaacknsumba.com
Tovuti: nsumbaisaack@gmail.com
YALIYOMO
Utangulizi 2
Sura ya Kwanza: Viashiria 5
vitakavyokusaidia kujua hali yako ya
kifedha ni mbaya 2
1
Sura ya Saba: Mambo makubwa 3
yanayoweza kuathiri hali yako ya
kifedha 2
Hitimisho 2
Kuhusu Mwandishi 2
2
Utangulizi
3
nzuri na mshahara mzuri tayari
umefanikiwa kutatua matatizo ya
kifedha, cha ajabu ni kwamba baada
ya kuyafanya yote hayo hali iko
palepale.
4
baada ya muda unajutia kwa sababu
umezitumia katika mambo yasiyo na
msingi?
5
Maswali hayo na mengine mengi
yanajibiwa ndani ya kitabu hiki
kitakachokwenda kukupa SIRI
ZITAKAZOKUSAIDIA KUPATA
MAFANIKIO YA KIFEDHA.
6
Sura Ya Kwanza
Viashiria 5 Vitakavyokusaidia Kujua
Kuwa Hali Yako ya Kifedha ni Mbaya
7
mbaya, utalazimika kuweka juhudi za
makusudi ili kuirekebisha.
Kiashiria cha Kwanza; kuwa na
chanzo kimoja cha mapato
Kwa mujibu wa Robert kiyosaki,
binadamu wamegawanyika katika
makundi makubwa matatu hasa
katika fedha, Kundi la kwanza
wanaitwa maskini, kundi la pili
wanaitwa watu wa kipato cha kati na
kundi la tatu ni matajiri.
8
Hii imewafanya wengi waaamini
kwamba kipato chao hakitoshi, ukweli
ni kwamba ili mtu afanikiwe kifedha
anatakiwa kugawa namna ambavyo
mahitaji yake yatatatuliwa na vyanzo
tofauti vya mapato.
9
mikakati ili kutoka katika chanzo
chako cha mapato cha sasa upate na
chanzo kingine pia (secondary sorce).
11
Ikiwa mshahara wako wote unaishia
kwenye kula, kuvaa, kulipa kodi
pamoja na matibabu bila kubakisha
kiasi cha kuweka akiba na kuwekeza
ni wazi kwamba unahitajika kufanya
kitu ili kushughulikia hali yako ya
kifedha.
12
Kama unataka kubadilisha hali yako
ya sasa unatakiwa kuichukia kiasi cha
kuchukua hatua za haraka sana ili
kukabiliana nayo, kama usipofanya
hivyo hali hiyo itaendelea kubaki.
13
kimeongezeka lakini bado matumizi
yako yameongezeka pia, una hali
mbaya na inaashiria kuwa
hautafanikiwa kifedha kama
hautaibadilisha hali hiyo.
14
Katika sura zinazofuatia utajifunza ni
namna gani unaweza kulifanikisha hilo
au kukabiliana na hali ya namna hiyo.
15
matumizi yako yanatakiwa kuwa
madogo chini ya mapato uliyonayo
(your expenses must be below your
income).
16
Kwa namna yoyote unatakiwa
kuongeza kipati chako au kupanga
bajeti ili kuielekezea fedha yako
katika maeneo fulani ili usije jikuta
unatumia fedha mpaka zinaisha ndipo
unakuja kugundua kuna kitu cha
muhimu ulitakiwa kufanya na
haujafanya, ikifika hapo unalazimika
kwenda kukopa jambo ambalo
litaathiri hali yako ya kifedha.
17
Ila ukiona katika maisha yako,
umefika hatua ambayo unategemea
mikopo kwa sehemu kubwa ndipo
uweze kuyaendesha basi uje una hali
mbaya kiasi kwamba kama
usipoishughulikia mapema inaweza
kuathiri yali yako ya kisaikolojia na
hata afya ya mwili pia.
18
ya mwisho kabisa baada ya njia zote
kushindikana.
19
Ikiwa kuna point yoyote kati ya hizo
inakugusa basi ni wazi kuwa hali yako
ya kifedha sio nzuri na unatakiwa
kuweka mkakati utakaokuwezesha
kuchukua hatua za kuibadilisha.
20
Sura Ya Pili
Mambo 3 Muhimu Unayoyahitaji
Kabla Hujapata Fedha
21
yao ya kifedha, sina shaka hata wewe
yatakusaidia sana.
22
zao na kuwapa maskini wote, baada
ya muda wale matajiri watarudi katika
utajiri wao na maskini watarudi katika
umaskini wao.
23
Jambo la kwanza:
Mtazamo, Fikra na Imani chanya
kuhusu Fedha.
(Positive Money-Mindset and
Perception)
24
Kwa maneno mengine ni kwamba
mafanikio yako ya kifedha ni matokeo
ya mtazamo, fikra na Imani uliyonayo
juu yako wewe mwenyewe na juu ya
fedha.
25
Kwa mujibu wa kanuni hiyo ni
kwamba mtu yeyote anayetaka
kufanikiwa kifedha ni lazima kwanza
ashughulike na mtazamo wake
kuhusu fedha kutoka katika hali ya
kuamini kuwa haiwezekani mpaka
kuamini kuwa fedha zipo kwaajili yake
na kuna uwezekano wa yeye
kuzipata.
26
zile alizonazo leo, amejiwekea ukomo
wa kiwango cha pesa anachoweza
kumiliki kwa sababu anaamini fedha
hazitoshi.
27
Kwahiyo nawewe leo ukibadili
mtazamo ulionao utafanikiwa sana
kifedha.
28
akiamini kuwa kama kuna wengine
walifanikiwa, basi nayeye atafanikiwa,
na kwa sababu ya Imani yake hiyo
tayari ana uwezekano mkubwa sana
wa kufanikiwa.
29
tofauti na wao ambao wameumbwa
kufanikiwa kifedha na mafanikio ya
kifedha yapo kwaajili ya hao tu na sio
wengineo.
30
Kundi la Pili; Wanaoamini na
kuihusianisha fedha na uovu.
31
Ni ukweli usiopingika kwamba kuna
watu wengi ambao wamefanikiwa
kifedha kwa kutumia njia zisizo halali,
lakini ni ukweli usiopingika pia kuwa
kuna uwezekano wa mtu kufanikiwa
kifedha kwa kutumia kanuni za
kawaida kabisa kama ambazo
unajifunza katika kitabu hiki,
nimekuombea kwa Mungu wewe pia
ukawe mmoja kati ya watu
watakaofanikiwa sana.
32
Watu wanaua wenzao, wengine
wanaiba, wanawake wanajiuza,
wanaume wanakuwa mashoga, watu
wanavunja sheria ili kuhakikisha
wanapata fedha, kwahiyo fedha ni
chanzo cha maovu mengi hasa pale
inapokosekana.
Kundi la Tatu: Wanaoamini katika
kusaidiwa, kurithi au kubahatika.
Katika kundi hili wanaingia wote
ambao wanaamini kwamba matajhiri
wengi na watu wote waliofanikiwa
kifedha wana bahati ya mafanikio,
wamerithi kutoka kwa ndugu au
wazazi wao au wamesaidiwa na watu
wengine.
33
Entitlement Mentality (hali ya
kuamini kuwa kuna watu
wanaotakiwa kuwajibika kwa niaba
yao) pamoja na Extrovert Disorder
hali ya kuamini kuwa nguvu ya
kuyabadilisha maisha yao hutoka nje
na sio ndani yao.
34
kinachoweza kujitegemea (Self-
Depending Creature).
35
yanamtaka ajioneshe kuwa ana fedha
kwa kufanya vitu ambavyo havihitaji.
36
Hata hivyo, utafiti uliofanywa na
Poffesor Stanley Danko aliyeandika
kitabu cha The Millionaire Next Door
umeonesha kuwa matajiri wengi
huishi maisha ya kawaida sana, kwa
sababu hawajibidiishi ili kuonekana
kama wana fedha, bali wanajibidiisha
ili kupata mafanikio zaidi ya kifedha.
37
pekee kinachowasaidia kutokufanya
hivyo ni Emotional Muscles
38
Kwahiyo, kabla haujapata fedha
mkononi unahitaji kuwa na hisia imara
zitakazokusaidia kuwa na nidhamu
pamoja na uwezo wa kusimamia
vipaumbele vyako hata kama
mazingira yanakutaka uende kinyume
navyo.
Jambo la Tatu:
Akili, Ufahamu na Maarifa sahihi
Kuhusu Fedha
(Financial Intelligence)
39
Kwa maneno mengine ni kwamba,
matajiri wote wana kitu
wanachokifahamu kuhusu fedha
ambacho kama maskini wakipata
nafasi na wao wakakifahamu basi
watahama kutoka katika kundi la
masikini na kuhamia katika kundi la
matajiri.
40
ukosefu wa maarifa sahihi kuhusu
fedha.
41
maarifa yanayoweza kukusaidia
kuzilinda zisipotee.
42
Sura ya Tatu
43
vipato vigogo ambavyo wakati
mwingine havikidhi mahitaji
waliyonayo.
44
(Banking and Finance Management)
lakini bado suala la fedha kwake
likawa ni fumbo, katika sura hii
utapata majibu ya maswali hayo na
yatakusaidia sana kufanya maamuzi
sahihi.
45
kidogo na uwezo wako katika
masomo haukuwa mzuri.
Aina ya kwanza;
Ujuzi wa kuizalisha Fedha
(Money Making Skills)
Mtu mmoja aliwahi kusema kama
matajiri wote leo hii wakichukua fedha
zao na kuwapa maskini wote, baada
ya muda wale matajiri watarudi katika
utajiri wao na maskini watarudi katika
umaskini wao.
46
Aina hii ya ujuzi ndio ilimfanya
billionea mmoja kwa ujasiri kusema
chukua vyote nilivyonavyo leo ila
niachie uhai baada ya muda nitakuwa
na kila nilichonacho sasa
47
Ndio maana, kuna watu waliwahi
kuwa na fedha, wakafirisika na
kupoteza kila walichokuwa nacho na
baada ya muda wakarudi tena kuwa
na fedha, ni kwa sababu walipoteza
fedha na hawakupoteza ujuzi wa
kuizalisha fedha.
48
wale waliokuwa na uwezo mdogo
darasani wanao.
49
kukipata, kuuza ni kufanikiwa kutoa
fedha katika mifuko yao na kuileta
katika mifuko yako.
50
ya mambo hayo ni ujuzi wa kuhusiana
na watu.
51
nae lakini pia kuna watu wamefika
mahali ambapo umekuwa ukitamani
kufika, njia rahisi ya kunufaika na wao
ni kuwa na ujuzi wa namna gani ya
kuji-connect nao.
52
Fulani juu ya changamoto
inayomkabili.
53
uwe mbeba majibu (Solution Oriented
person) na fedha itakufuata.
54
haujasoma, au hauna network au
watu wa kukusaidia.
55
Sura Ya Nne
Makosa ya Kifedha Unayotakiwa
Kuyaepuka
(Common Money Mistakes to Avoid)
56
kufanya na kundi la pili walipewa
mambo ambayo hawatakiwi kufanya
kuhusu fedha.
57
Sura hii imejikita zaidi katika
kukufanya uyajue makosa ya kifedha
ambayo hautakiwi kuyafanya kabisa
kuhusu fedha ikiwa unatamani kupata
mafanikio ya kifedha.
Kosa la kwanza;
Kudharau Kiasi Kidogo
(Ignoring Small Amount)
58
kiasi kidogo katika kuleta kiasi
kikubwa.
59
Darren Hardy katika kitabu chake
kinachoitwa The Compounding
Effect anasema There is huge
reaping from small actions that can
be done repeatedly (kuna mavuno
makubwa kutoka katika vitendo
vidogovidogo vitakavyofanyika mara
kwa mara)
Biblia inasema
mambo madogomadogo ataanguka
kidogokidogo Sira19:1
60
Kwahiyo, unaweza ukaamua kufika
mbali kwa kuanza kuweka akiba na
kuwekeza kidogokidogo au ukaamua
kutokufika popote kwa kuendelea
kuishi maisha ya kupoteza
kidogokidogo (naomba urudie tena
kuisoma hii sentensi).
61
Wataalamu wa masuala ya mafanikio
wamebainisha katika takwimu
mbalimbali kuwa maskini wengi ni
watu ambao matumizi yao
yanakwenda sambamba na kipato
chao, lakini pia wakati mwingine
wanatumia zaidi ya kile
wanachoingiza na ndipo inawalazimu
kuingia kwenye madeni.
62
Matajiri ni watu ambao matumizi yao
ni madogo kuliko kipato chao, yaani
kwa namna yoyote ile wanahakikisha
matumizi yao hayalingani wala kuzidi
kipato walichonacho.
63
Kosa la Tatu;
Kukopa ili kuanzisha biashara
(Taking loan, for business startup)
64
Unashauriwa kuchukua mkopo
kuendeleza biashara pale ambapo
umeanzisha na umeona muelekeo wa
soko na sio kukopa fedha ili
kuanzisha biashara kwa sababu
itachukua muda biashara yako
kusimama na kuanza kukuletea faida
nzuri kiasi cha kulipa deni pamoja na
kukupatia kiasi cha kuendeleza
biashara yako.
65
mazuri na usiingie katika kundi kubwa
la wanaofeli kwa kukosa msaada na
muongozo wa kitaalamu.
Kosa la Nne;
Kufanya uwekezaji bila kuwa na
taarifa za kutosha
(Investing with no enough data)
Katika tafiti zilizofanywa hivi karibuni
zimeripoti juu ya ongezeko la
makampuni na mashirika yanayolenga
kuwasaidia watu kuongeza kipato
chao kupitia wao kuwekeza katika
mashirika hayo kimeongezeka kwa
asilimia 67% kulinganishwa na miaka
ya nyuma.
67
kupitia mtandaoni ikiwezekana
uwekeze ukiwa na ufahamu wa
kutosha (full details).
68
Hakikisha unaepuka kosa la kufanya
uwekezaji mahali ambapo hauna
ufahamu wa kutosha kuhusu mahali
hapo, haufanikiwi kwa sababu tu
umewekeza, ila unafanikiwa kwa
sababu una ufahamu wa kutosha juu
ya eneo ulilowekeza.
Kosa la Tano;
Kupuuzia elimu ya fedha
(Not giving priority to financial
education)
Katika kitabu chakekinachoitwa
Increase Your Fnancial IQ (Ongeza
Kiwango chako cha Ufahamu
kuhusiana na Fedha) ndugu Robert
Kiyosaki anasema Kati ya mambo
yanayoathiri hali ya kifedha ya mtu
yeyote moja ya mambo hayo ni
ufahamu wake Kuhusu Fedha
69
Na kutokuwa na ufahamu kuhusu
fedha ndicho kitu
kinachowatofautisha watu wanaofeli
na wanaofanikiwa kifedha, kwahiyo
kama unataka kuwa mmoja kati ya
wakataofanikiwa sana kifedha epuka
kosa la kupuuzia elimu ya fedha.
70
changamoto za kifedha kama
wengine ambao hawajasoma sana.
71
Sura Ya Tano
Kanuni Muhimu Unazotakiwa
kuzitumia, Ili zikupe Mafanikio ya
Kifedha
(The Golden Rules, For Financial
Success)
72
Kimsingi, kuna kanuni nyingi sana
zinazotawala maisha hizi zinaitwa
Universal Laws of Success (kanuni
zinaotawala maisha kwa ujumla)
halafu kuna kanuni maalum
zinazotawala maeneo fulani (Specific
laws that govern certain areas).
73
unafanikiwa kifedha kwa sababu
unafuata kanuni.
Kanuni ya kwanza;
Money=value=Money
74
Jim Rohn aliwahi kusema kwamba
You are not paid because of TIME
you spent in doing something, but
because of the VALUE you bring
(haulipwi kwa sababu ya MUDA
unaotumia kufanya kitu, ila kwa
sababu ya THAMANI uliyonayo au
unayozalisha).
75
haujaonesha thamani uliyonayo ili
kuifanya fedha ivutike kuja upande
wako, katika sura inayofuata
utajifunza Mambo yatakayokusaidia
Kuivutia fedha katika maisha yako
76
become a person of Value kama
unataka kufanikiwa, usipoteze nguvu
na muda wako kutafuta mafanikio,
tafuta kuwa mtu wa thamani na
mafanikio yatakufuata.
77
Kanuni ya Pili;
Par
Independence.
78
Yaani, ni kama kuongezeka kwa
kipato hakujaleta mabadiliko yoyote,
ni kweli kipato chao kimekuwa lakini
bado kinaonekana kama hakitoshi.
79
kuanza kula chakula kilichopikwa
tayari ambacho ni gharama.
80
kukitumia kwaajili ya mambo ya
maendeleo.
81
kama usipoweka nia ya kutokuongeza
matumizi basi matumizi yatajiongeza
yenyewe bila kujua, ni lazima uweke
nia thabiti na dhamira kuwa matumizi
yako yatabaki vilevile licha ya
kuongezeka kwa kipato chako.
2. Kuongeza matumizi kwa kiwango
Kidogo.
Ikiwa utshindwa kabisa kuyaacha
matumizi yako yabaki kama
yalivyokuwa kabla kipato chako
hakijaongezeka basi unaweza
kuamua kuwa utaongeza matumizi
lakini kwa kiwango kidogo.
82
Utakapokuwa unaongeza matumizi
unatakiwa kuongeza kwa kuzingatia
maeneo muhimu, mfano kuongezeka
kwa gharama za uendeshaji wa
shughuli zako ili kuongeza uzalishaji
zaidi.
83
Tafsiri yake utatakiwa kuongeza
matumizi chini ya shilingi 50,000 au
yasizidi shilingi 50,000 ili kiasi
kinachobaki katika ongezeko la pato
kitumike kama sehemu ya akiba na
uwekezaji.
3. Ongeza kipato Zaidi.
Ikitokea, kipato chako kimeongezeka
na ongezeko la kipato chako likaja na
ongezeko la matumizi la lazima kiasi
kwamba ukakosa kiasi cha kuweka
akiba pamoja na kuwekeza basi
utalazimika kutafuta njia ya kuongeza
kipato.
85
matumizi yasiyo ya lazima (wants) na
20% inatakiwa kuwa ni kwaajili ya
akiba na uwekezajji
(Saving&Investment).
86
Lengo ni kukuonesha jinsi
unavyotakiwa kukigawa kipato chako
na kuwa na maamuzi nacho (taking
Control of Over Your Income).
87
Jambo la kwanza ni kujua jumla ya
kipato chako kwa siku, wiki au mwezi,
hii ni hatua mojawapo ya ufahamu
(Awareness Level) ambayo
itakusaidia sana kufanya maamuzi.
88
Mfano: katika hatua ya kwanza
umebaini kuwa jumla ya kipato chako
ni shilingi 1,000,000.
89
2: (Kwa mujibu wa George Clackson)
50% 30% 20%
Akiba na Matumizi Natumiz
uwekezaji ya lazima i yasiyo
(saving&Investme (Needs) ya
nt) lazima
(wants)
500,000 300,000 200,00
0
90
Namna ya kuitumia hii kanuni ili ikupe
matokeo.
Imebainika kwamba watu wote
wanaujua umuhimu wa kuweka akiba
na uwekezaji lakini bado sio wengi
waliofanikiwa kufanya hivyo.
91
Hii ni kusema kwamba, akili ya
mwanadamu huwa inapanga namna
ya kuitumia fedha kulingana na fedha
iliyopo mfukoni au katika akaunti, ndio
maana wengi wakianza kutumia fedha
huwa wanatumia hadi inaisha ndipo
huja kukumbuka kuwa walitakiwa
kutenga kiasi cha kuweka akiba
pamoja na kufanya uwekezaji.
92
utakachotenga kwaajili ya akiba na
uwekezaji na ufanye hivyo kabla.
93
Njia ya pili ni kutumia makato ya juu
kwa juu, hapa unalazimika kuwaambia
benki kwamba mara baada ya
kupokea fedha katika akaunti yako
wao wakate kiasi fulani na kukiweka
katika akaunti yako ya akiba na
uwekezaji.
94
Kanuni ya Tatu;
Law of Compound Interests
95
vinavyotendeka kwa muda mrefu kwa
kujirudiaruida.
97
Kanuni ya Nne;
Law of Conservative
Kanuni hii inasema kwamba, Wealth
creation is an outcomes of keeping
much money (mafanikio ya kifedha ni
matokeo ya kubakisha kiasi kikubwa
baada ya kupokea pato lako la siku,
wiki au mwezi).
98
anaekaribia kufeli ni ile hali ya
kutumia fedha yote anayopata bila
kubakisha kiasi chochote, wewe upo
katika kundi gani?
99
Kama unataka kufanikiwa kifedha
hakikisha kila wakati unakuwa ni mtu
ambae unalazimisha matumizi yako
yasilingane au kuzidi kipato chako,
yaani kipato chako kisiishie katika
matumizi.
Kanuni ya Tano;
Law of cause and effect
Kwa mujibu wa hii kanuni ni kwamba,
kuna kichocheo katika kila hali
ambayo mtu anapitia kifedha (there is
cause in every situation).
100
mambo ambayo maskini hufanya
baada ya muda watarudi katika
umaskini wao.
103
Kanuni ya Sita;
Law of Accumulation
Mkurugenzi wa kampuni ya
Mohammed Enerprises Mo Dewji
alihojiwa kwa kuulizwa ni kitu gani
kinachangia mafanikio yako ya
kifedha katika majibu yake alisema
nahakikisha fedha zangu zinatoka
katika vyanzo vingi nilivyowekeza
Hii ni kusema kwamba, hategemei
chanzo kimoja cha mapato, ila
muunganiko wa vyanzo vingi vya
mapato ndivyo vinamuwezesha kuwa
na mafanikio makubwa ya kifedha.
104
changamoto lakini pia kitaelemewa
kwa sababu ni vigumu sana kutatua
matatizo yako yote ya kifedha kwa
kutegemea chanzo kimoja.
105
Yawezekana umeajiriwa, mshahara
unaoupata kutoka katika ajira yako
unaweza kuuwekea mikakati
ukakusaidia kutengeneza mfereji
mwingine wa fedha.
106
Kanuni ya Saba;
Law of Trade-Offs
107
ambayo yatawapatia faida kubwa
mbeleni.
108
Will Rodgers aliwahi kusema kwamba
109
Kila wakati kabla hujatumia fedha
yako jiulize hiki ninachofanya
kinachangiaje kunifanya nipate fedha
zaidi? lakini jiulize hiki ninachotaka
kufanya, kama nisipofanya
kinawezaje kuleta madhara?
110
Kanuni ya Nane;
Law of Attraction
Kanuni hii inaelezea uhusiano uliopo
kati ya mafanikio ya kifedha na Imani
au mtazamo ambao mtu anao kuhusu
fedha.
111
aliyonayo juu ya uwezekano wa yeye
kumiliki kiasi fulani.
112
Usiwe aina ya mtu unaeamini kwamba
fedha ni chanzo cha uovu, ukiamini
hivyo kupitia Imani yako unaifukuza
fedha na fursa zinazoweza kukusaidia
kupata fedha.
113
Sura Ya Sita
Mambo yatakayokusaidia kuivutia
Fedha katika maisha yako
(How to Attract and Make Money
Chase You)
114
Wakati wa janga la Corona kulikuwa
na malalamiko mengi sana juu ya
kushuka kwa uchumi, kudhoofika kwa
mzunguko wa fedha na maisha kuwa
magumu, wakati huohuo kuna watu
waliendelea kupata fedha.
115
nyingi zaidi kutoka katika ujuzi
walionao.
116
watu wengine wakutafute na wawe
tayari kukulipa.
117
Mbili, Hujautangaza ujuzi ulionao vya
kutosha katika maeneo ambapo
unahitajika, kama una ujuzi na hakuna
anaejua kama unao hakuna namna
unaweza kupata fedha, wafanye watu
wajue kama wewe una ujuzi
unaoweza kuwasaidia wao kutatua
kitu fulani.
118
Jambo la pili: Thamani
Tumeumbwa na Mungu mmoja ambae
mbele zake sisi zote tuna thamani
sawa ila duniani hapa hatulingani
thamani (isome hii sentensi mara mbili
kabla hujaendelea mbele).
119
Kama unataka kulipwa zaidi ni lazima
ufanye jitihada za kujiongezea
thamani zaidi ya ile uko nayo leo.
120
Kuna mambo mawili yanayoamua
thamani yako, jambo la kwanza ni
upekee ulionao, kuna watu ambao
umesoma nao kozi moja, mna
majukumu sawa na mnafanya kazi
moja ila mnalipwa tofauti kwa sababu
ya upekee ambao kila mmoja anao.
121
uweze kuwa wa tofauti ni lazima uwe
na matokeo ya tofauti.
122
Sura ya Saba
Mambo Makubwa 3 Yanayoweza
Kuathiri Hali Yako Ya Kifedha
123
ikabainika kuwa hali ambayo
mwanadamu anayo kwa nje ni
matokeo ya hali aliyonayo kwa ndani,
na hata kama ataigiza kwa nje; baada
ya muda hali halisi ya ndani
itajidhihirisha tu.
124
Aina ya kwanza ni fikra za uhaba
(Scrarcity Mindset)
Mtu yeyote mwenye fikra za namna
hii ni yule anaeamini kuwa fedha
hazitoshi, fedha hazipatikani kirahisi,
fedha zipo mikononi mwa watu
wachache tu.
125
Watu wenye fikra za namna hii
wanaamini kuwa wao wana fedha
chache kwa sababu kiasi kingi cha
fedha kipo katika mikono ya matajiri,
kwa maneno mengine wanaamini
kuwa umaskini wao umesababishwa
na matajiri wachache jambo ambalo
sio kweli.
126
Aina ya pili ni fikra za utoshelevu
(Abundance Mindset)
Mtu mwenye fikra za aina hii anazo
juhudi za utafutaji kwa kutumia
maarifa na mbinu sahihi huku
akiongozwa na Imani kuwa fedha
itapatikana kwa sababu ipo ya
kutosha.
127
kama utakuwa mahali ambapo kuna
fursa za kutosha.
128
Hali yako ya kifedha haiamuliwi na
kiwango chako cha elimu, inaamuliwa
na kiasi na ubora wa maaarifa
uliyonayo kuhusu fedha.
129
1. Kuivuta fedha ije kwako, Watu
wenye maarifa na ufahamu kuhusu
masuala ya fedha wanao uwezo
mkubwa sana wa kupata fedha
ambayo hawana, hii ni kwa sababu
maarifa waliyonayo yanasimama
kama sumaku.
130
Wewe usiwe mmojawapo kwa
kutokutafuta maarifa, fedha inahitaji
ulinzi ili isipotee na ulinzi wa fedha
unategemea sana kiwango cha
maarifa aliyonayo mtu.
131
4. Kufanya tathimini na kuchukua
hatua. Maarifa ya kifedha
yatakusaidia kuwa mtu mwenye
uwezo wa kujifanyia tathimini na
upembuzi juu ya hali yako ya kifedha
ili uweze kujua unapiga hatua au
umekwama.
132
Na kwa sababu mtu hana maarifa
haoni kama hizo ni dalili mbaya na
kwamba kuna hatua anatakiwa
kuchukua haraka iwezekanavyo.
Jambo la Tatu:
Hali ya kiroho (Spiritual Factor)
Hali ya kiroho uliyonayo ina nafasi
kubwa sana ya kuamua hali yako ya
kifedha, kwa maneno mengine ni
kwamba kuna uhusiano mkubwa sana
kati ya hali ya kifedha aliyonayo mtu
na hali yake ya kiroho.
133
Kuna familia ukienda utakuta kila
wanapokaribia kupata mafanikio
huwa kuna kitu kinaibuka na
kusambalatanisha mafanikio yao.
136
kifedha alijibu kuwa mtu yeyote
hatakiwi kulipuuzia, wala kuipuuzia
nguvu ya kiroho, kwani ina nafasi
kubwa sana katika kumletea
mafanikio na kumsaidia kuyatunza
huku yeye akidumu katika mafanikio
hayo .
137
Sura Ya Nane
Mambo Yatakayokusaidia Kuzilinda
na Kuzitunza Fedha zako Zisipotee
(How to Secure and Protect Your
Money)
There is battle to fight for you to
reach at the top, after reaching, there
is another battle to fight for you to
stay at the top (unatakiwa
kupambana ili ufike kileleni, ukifika
unatakiwa kupambana ili uendelee
kubaki kileleni).
138
kuhakikisha wanazilinda fedha
walizopata ili zisipotee.
140
matatizo hayo ndipo na matatizo
hutoweka.
141
Nguvu ya kiroho inakusaidia
kukuwekea uzio wa ulinzi (Protective
Fence) ambao kazi yake ni
kupambana na kila hali inayoweza
kujipanga kukudhoofisha au
kukuangusha.
142
Nilijifunza kwamba, fedha huwa ina
sauti, na ukiishika inaanza
kukuongelesha na kukuelekeza
namna gani inataka uitumie na
usipokuwa na hisia imara utaitumia
vile yenyewe inataka na sio vile
ambavyo wewe unataka.
143
haikuwa ikimzalishia fedha na bado
alitakiwa kulipa mkopo wake na riba.
144
utakavyokuwa ukifanya hivyo ndivyo
fedha zitakavyokuwa zinatoweka
kwako na mwisho unaweza kuwa ni
mtu unaejutia na kujilaumu sana.
3. Bajeti na Malengo (Budget and
Goals)
Kama usipokuwa na malengo katika
maisha utajikuta unatumia kila fedha
inayopita katika mikono yako. Njia
rahisi kabisa ya kuzilinda fedha zako
zisipotee ni kuwa na malengo.
145
Lakini pia, malengo yanakuonesha
mahali ambapo unatakiwa
kuzielekezea fedha zako (Focusing
Direction) kwa kukuonesha namna
gani uzitumie.
146
kufanya kila maamuzi yahusuyo fedha
kwa kuongozwa na ufahamu sahihi.
147
Unaweza ukafanikiwa kupata fedha,
ila kama hauna maarifa unaweza
jikuta unapoteza fedha zote
ulizotengeneza.
148
Hitimisho
Mtu mmoja aliwahi kusema kwamba
having knowledge without practice,
is like knowing where to go without
get started; you can
yaani, kuwa na maarifa bila
kuyatendea kazi, ni sawasawa na
kujua mahali pakwenda huku ukiwa
hujachukua hatua, huwezi kufika
kokote na utabaki palepale.
149
Kama unataka kuungana na watu
ambao baada ya muda hali zao za
kifedha zitabadilika basi usiache
kutendea kazi kila ambacho
umejifunza ndani ya kitabu hiki.
150
Orodha ya Vitabu Vya Isaack
Nsumba
1. Sanaa Ya Utongozaji 01 |
Kinafundisha Namna Ya Kuwa
Mwanaume Mwenye Mvuto na
Ushawishi Kwa Mwanamke.
2. Sanaa Ya Utongozaji 02 |
Kinafundisha Namna Ya Kuwa
Mwanaume Mwenye Mvuto na
Ushawishi Kwa Mwanamke.
151
5. Huyu Ndiye | Kinafundisha
Muongozo Utakaokusaidia
Kumtambua Mwenzi Sahihi.
152
9. The Golden Woman | Kinafundisha
Tabia Zinazomvutia Mwanaume Kwa
Mwanamke Na Namna Ya Kuwa
Mwanamke Wa Tofauti.
153
13. Sanaa Ya Mawasiliao Katika
Mahusiano | Kinafundisha Namna Ya
Kuwasiliana Kwa Ufanisi Pamoja Na
Kutatua Changamoto Za
Kimawasiliano.
154
16. Dhihirisha Uanaume Wako |
Kinafundisha Namna Ya Kuwa Vile
Impasavyo Mwanaume Kuwa.
155
Kumrudisha Ex Wako Pamoja na
Kufufua Penzi Lililokufa Au Kupooza.
156
Tembelea Mitandao Ya Kijamii Ya
Isaack Nsumba Ili Kujifunza Zaidi
Youtube: Isaack Nsumba
(Utapata VIDEO Nyingi Za
Kukufundisha Mambo Mbalimbali)
157
Tiktok: Isaack Nsumba
(Utapata Video Fupifupi Kila Siku
Zenye Uwezo Wa Kukuongezea
Ufahamu Zaidi).
158
Kuhusu Mwandishi
160