Professional Documents
Culture Documents
Katiba Ya Mbauda Market
Katiba Ya Mbauda Market
Katiba Ya Mbauda Market
YA MWAKA 2024
KATIBA YA MBAUDA MARKET
FOOTBALL CLUB
KATIBA YA TIMU YA MBAUDA MARKET F.C
YALIYOMO
IBARA KICHWA CHA HABARI
UTANGULIZI
SURA YA KWANZA
Mbauda market na wachezaji wake
Viongozi na umoja wa kujitegemea
Sehemu ya kwanza
Mbauda market na wachezaji wake
Sehemu ya pili
MALENGO MUHIMU NA MISINGI YA MUELEKEO
WA TIMU NA SHUGHULI ZAKE .
SURA YA PILI
HAKI NA WAJIBU ,HAKI NA USAWA
4. . Uhuru wa maoni
. Uhuru wa kushiriki shughuli za timu
. Wajibu wa kutii sharia za nchi
Sehemu ya kwanza
KIONGOZI WA TIMU
5. kiongozi wa timu
. Timu na mamlaka yake
. Utekelezaji wa shughuli za timu
. Mamlaka ya kuteua kushika nafasi za madaraka ya
timu
. Sifa za mtu kuteuliwa kushika madaraka ya timu
. utaratibu wa uchaguzi wa viongozi wa timu
. Wakati na muda wa kushika madarak ya timu
Sehemu ya pili
MWENYEKITI WA TIMU
6. Mwenyekiti wa timu na kazi zake
. kiapo cha mwenyekiti kushika madaraka ya timu
Sehemu ya Tatu
KATIBU WA TIMU
7 Katibu wa timu mamlaka na kazi zake
. Uwajibikaji katika timu
KATIBA YA TIMU YA MBAUDA MARKET F.C
SURA YA TATU
MAKATIBU WA MATAWI NA MIKOA
8. Makatibu wa matawi na mikoa
. makatibu wa matawi na wanachama
. Wanachama na kadi za wanachama
Sehemu ya kwanza
TAMKO LA WANACHAMA KUHUSU TIMU
9. Tamko la wanachama kuhusu timu
. wanachama kutoa taarifa kuhusu timu
. Utaratibu wa uchaguzi kwa wanachama kushika madaraka
. Tume ya uchaguzi kwa wanachama
Sehemu ya pili
OFISI YA TIMU
10. Ofisi ya Timu
. secretary wa timu
. utaratibu wa shughuli za timu
. kuitisha mkutano mkuu wa timu
. kiongozi kuhutubia mkutano mkuu wa timu
. vikao vya viongozi wa timu
. kutangaza nafasi zilizo wazi katika timu
. kamati ya timu
.utaratibu wa kutunga sharia kuhusu mambo ya timu
. kuhifadhi na kutilia nguvu uhuru wa majadiliano na
shughuli za timu
KATIBA YA TIMU YA MBAUDA MARKET F.C
UTANGULIZI
Kila mwanachama --
Kila mwanachama ana wajibu wa kutii katiba hii na sharia za nchi zilizotungwa na
mamlaka husika
KATIBA YA TIMU YA MBAUDA MARKET F.C
c) Kila mkoa kutakua na tawi moja kubwa na tawi litatoa kionngozi wa tawi na
mkutano mkuu
madarakani katiba hii haikuweka wazi mpaka timu ipate mafanikio makubwa.
Bila kuathiri kifungu chochocte cha ibara ya kumi , mwenyekiti wa timu atafanya kazi zake na
kusimamia timu pamoja na shughuli zake zote za timu kwa kushirikiana na kiongozi wa timu
19 TAMKO LA WANACHAMA
HITIMISHO
Napenda kuwashukuru mashabiki wa timu ya Mbauda market f.c
kwa kushirikiana na wadau wote wa mpira wa miguu , Mungu
awabariki.
Arusha- Tanzania
15 JANUARY 2024