Professional Documents
Culture Documents
Mirathi 30
Mirathi 30
DODOMA (IJC)
UAMUZI
1
Mwombaji alileta maombi yake kwa kuambatanisha muhtasari wa kikao cha
familia kilichokaa tarehe 7/12/2022 na yeye kupendekezwa kuwa
msimamizi wa mirathi ya marehemu.Mwombaji pia aliambatanisha cheti
cha kifo cha marehemu chenye namba 2014763A kilichotolewa tarehe
27/02/2023 na wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA-Registration
Insolvency and Trusteeship Agency) inayohusika na usajili wa vizazi na vifo
na kuomba ateuliwe kuwa msimamizi wa mirathi.
2
Sm;3 Steven s/o David baada ya kuapa alisema anamfahamu mwombaji ni
mtoto wa marehemu wamekuwa wakiishi nae mtaa mmoja wa kizota
kuanzia miaka ya 1992 baba yake alikumwa anafanya kazi Dodoma
Regional Referral Hospital alistaafu mwaka 1995 kulingana na afya yake
alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu.Mwaka
1996 alihamia mtaa wa Nkuhungu alifariki tarehe 25/6/1998.
Marehemu ameacha watoto wawili Husen s/o Juma (toka mwaka 2000
haonekani yuko mafichoni) na Zaituni d/o Juma (41).Marehemu ameacha
kiwanja kimoja kipo maeneo ya Mahungu.Huo ulikuwa mwisho wa shauri
upande wa mwombaji.Mahakama ilikuwa na hoja moja tu:-
3
Kwakuwa Zaituni Juma amekizi vigezo kwa mamlaka mahakama iliyopewa
na kifungu namba 2(a) Jedwali la V la Kanuni za Mirathi Katika Mahakama
za Mwanzo, Sheria ya Mahakama za Mahakimu Sura ya 11 Mapitio ya
Mwaka 2019, mwombaji ameteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi ya
marehemu Juma Husen Alli
Imesainiwa
C.Chambora –RM II
23/3/2023
AMRI
4
ulivyosomwa, kwa kujaza fomu namba 6 ya fomu zilizokubalika katika
gazeti la serekali hapo juu.
5) Shauri hadi tarehe 21/7/2023 kwa ajili ya kufunga mirathi baada ya
kupokea hesabu za mirathi.
Imesainiwa
C.Chambora –RM II
23/3/2023
Imesainiwa
C.Chambora –RM II
23/3/2023
Imesainiwa
C.Chambora –RM II
23/3/2023