Professional Documents
Culture Documents
Kisw 7 Unet - MR No Time
Kisw 7 Unet - MR No Time
Kisw 7 Unet - MR No Time
SEHEMU B: (Alama 5)
Umepewa insha yenye sentensi (5) zilizoandikwa bila kufuata mpangilio maalum, zipange sentensi hizo
ili zilete mtiririko mzuri wa mawazo kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E. Siliba herufi ya jibu sahihi.
36. Bundala aliwaona wanyama wawili kwa mbali wakitembea kuelekea upande wao. [ ]
37. Bibi alinyanyua shingo ili awatazame vizuri, akasema, “Wale sio ng’ombe ni tembo. [ ]
38. Wakiwa wanakaribia kufika shambani, [ ]
39. Bundala aliuliza, “Umejuaje kuwa wale ni tembo?” Bibi akajibu nimeona masikio na mikonga [ ]
40. Alimshika bibi yake kwa woga, huku akisema, “Bibi! bibi! Unawaona wale ng’ombe?” [ ]