Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 3

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA


MTIHANI WA KUFUNGA MUHULA WA I, MEI 2019
SHULE YA MSINGI NYAKAGWE
SOMO: SAYANSI DRS VI

JINA LA MTAHINIWA: MUDA: SAA 1:30

MAELEKEZO: pindu na ukoma C) pepopunda na malaria


01. Mtihani huu una jumla ya maswali 45 yaliyo D) matende na ukoma E) malaria na kifua kikuu
gawanywa katika sehemu A na B. 11. Kifaa kifuatacho siyo muhimu kuwekwa katika
02. Jibu maswali yote kwa kufuata maelekezo kwa kila kisanduku cha huduma ya kwanza ____________
sehemu. A) wembe B) kijiko C) kibanio D) pimajoto
03. Andika majina yako kwa usahihi katika karatasi ya E) mkasi [ ]
kujibia. 12. Viumbe wafuatao hutengeneza chakula chake kwa
kutumia klorofili ____________ A) virusi B)
SEHEMU A: ndege C) wanyama D) mimea E) wadudu[
Chagua na uandike herufi ya jibu sahihi. ]
01. Sehemu zifuatazo huhusika na utoaji wa 13. Mkasi, patasi, jeki na parafujo ni aina za mashine
takamwili:-A) ngozi na figo B) tumbo na rahisi zinazoitwa __________ A) nyenzo B)
figo C) bandama na moyo D) tezi na ini E) eksli C) roda D) rola E) tata [
moyo na mapafu[ ] ]
02. Mshipa mkuu unaosafirisha damu yenye oksijeni 14. Mtu anayeharisha na kutapika anapoteza _____
kutoka kwenye moyo kwenda sehemu mbalimbali mwilini. A) maji na damu B) sukari na
za mwili huitwa:- A) vena ya palmonari chumvi C) maji na chumvi D) chumci nap
B) ateri ya palmonari C) vena ya renali rotini E) chumvi na damu
D) aota au ateri kuu D) ateri ya renali[ ] [ ]
03. Samaki huvuta hewa kwa kutumia nini? 15. Otyeno alitumia Newton 50 kusukuma ukuta wa
A) matamvua B) pua C) mdomo D) spirako nyumba kuanzia asubuhi hadi jioni pasipo
E) mapezi [ ] mafanikio. Sentensi ipi hutoa maelezo sahihi juu ya
04. Maji yanayobubujika ardhini huitwa __________ kitendo hicho alichofanya Otyeno? ____________
A) mto B) bahari C) chemichemi D) bwawa A) alikuwa anategea kazi B) alitumia kani
E) ziwa [ ] kubwa C) alitumia kani kidogo D)
05. Nini umuhimu wa chanjo kwa binadamu?______ alifanya kazi ngumu E) hakufanya kazi yoyote
A) kupunguza maumivu B) kurejesha seli [ ]
zilizokufa mwilini C) kuzuia magonjwa 16. Maji gani ambayo ukitumia sabuni hubadilika rangi
D) kuponya magonjwa E) kurejesha vitamin na na kuwa meupe mithili ya maziwa? ____________
madini yaliyopotea mwilini [ ] A) maji mepesi B) maji machafu C) maji
06. Ni vitamin gani kati ya zifuatazo hutengenezwa laini D) maji mazito E) maji magumu [
pakiwapo na mwanga wa jua? ______________ ]
A) Vitamini B B) Vitamini D C) Vitamini A 17. Ni gesi ipi inayochochea moto kuwaka?
E) Vitamini E [ ] _________ A) oksijeni B) kabonidayoksaidi C)
07. Kundi la wanyama wenye sifa ya kutambaa haidrojeni D) naitrojeni E)
huitwa_ A) amfibia B) mamalia C) kabonmonoksaidi [ ]
reptilian D) ndege E) samaki [ 18. Urutubishaji wa yai la kike hufanyika kwenye
] _____ A) uterasi B) mirija ya falopia C) mirija
08. Wanyama wafuatao ni mamalia isipokuwa _____ ya manii D) ovari E) seviksi [
A) nyangumi B) samba C) sungura ]
D) popo E) mamba [ ] 19. Ugonjwa unaosababisha na bakteria aina ya
09. Katika uchunguzi wa kisayansi hatua ambapo “basili” ambao hushambulia mapafu ya binadamu
humfanya mtu atabiri matokeo ni ipi? _________ huitwa? A) kifua kikuu B) polio C) kichocho
A) kufanya jaribio B) kukusanya data C) kubaini D) surua E) homa ya matumbo (typhoid)
tatizo D) kuchambua data E) hitimisho[ ] [ ]
10. Magonjwa yafuatayo huzuilika kwa chanjo _____
A) pepopunda na kichaa cha mbwa B) kipindu
20. Mbung’o hueneza ugonjwa gani? _____________ 32. Husaidia viungo hurutubishwa na
A) matende B) malale C) malaria kali vya mwili kukua gamete tofauti.
D) mapunye E) homa ya manjano [ ] kwa uwiano sawa. B. Thairoksini.
21. ________________ ni askati wanaopambana na
33. Mapacha wasio C. Yai hugawnayika
viini vya magonjwa mwilini mwa binadamu.
A) chembe hai nyekundu za damu B) chembe fanana. na kuunda vijusi
sahani C) chembe hai nyeupe za damu 34. Mapacha wanao viwili.
D) chembe mche E) plazma [ ] fanana. D. Homoni
22. Matendo ya hiari katika mwili wa binadamu 35. Tezi ndani. E. Enokrini
huratibiwa na kitu gani? ________ A) ubongo wa
mbele B) ubongo wa kati C) ugwe mgongo
D) ubongo wa nyuma E) medulla obulangata
SEHEMU C:
23. Msaada wa awali kwa mgonjwa au mtu aliyepata
ajali kabla ya kumpeleka hospitali huitwa? _______
Andika herufi “K” mbele ya maelezo ambayo ni ya kweli
A) tiba asilia B) huduma ya dharula C)matibabu
na herufi “S” mbele ya maelezo ambayo si ya kweli.
ya muda D) huduma ya kwanza E) matitabu
36. Vali huhakikisha kuwa damu inatiririka kwa kufuata
24. Samaki, maharage, njegere na maziwa ni vyakula
uelekeo bila kurudi nyuma
vya ________ A) kutia nguvu mwilini B) kulinda
____________________
mwili dhidi ya wagonjwa C) kujenga mwili D)
37. Mfumo wa damu huhusika na usafirishaji wa
kutia joto mwili E) kuimarisha meno na mifupa
homoni mwilini _________________
25. Ncha za sumaku zinazofanana hhutoa matokeo
38. Sehemu ya ndani ya ngozi huitwa epidemisi
gani? _______ A) kuvutana B) husokotana
______
C) hukwepana D) husukumana E) hubebana[ ]
39. Adrenalini humtia mtu woga na kuandaa mwili
26. Hemoglobini hupatikana kwenye seli gani?
kukabiri hatari ______________________
A) seli nyeupe za damu B) seli nyekundu za
40. Mtu mwenye virusi vya UKIMWI lazima ana
damu C) plazma D) chembelele E) seli za
UKIMWI_________________________
mimea [ ]
27. Ugonjwa wa ______________ una dalili zilizo
SEHEMU D:
gawanyika katika hatua tatu. A)..kisonono
B) kaswende C) klamidia D) trokonoma
Jaza maswali yote kulingana na melezo ya kila swali.
E) UKIMWI [ ]
41. Kitendo cha kuvunjavunja chakula ili kutoa nishati
28. Katika mfumo wa upumuaji, hewa iliyochujwa
mwilini huitwa _____________________________
huingia kwenye mapafu kupitia kwenye ________
42. Taja homoni mbili tu zinazozalishwa na tezi ya
A) pua B) mdomo C) koromeo D) brocha
uzazi ya Ovari.
E) viribehewa [ ]
(i) __________________________________
29. Mishipa inapasha joto hewa kwa joto la damu
(ii) __________________________________
kwenye pua huitwaje? _____ A) vena ya renali
B) ateri ya renali C) ateri kuu D) vena ya
43. Taja mishipa miwili ya damu iliyoko kwenye figo
mapafu E) kapilari [ ]
(i) __________________________________
30. Wakati egemeo linapokuwa katikati ya mzigo na
(ii) __________________________________
jitihada tunaita wenzo daraja la _____ [ ]
A) kwanza B) pili C) tatu D) nne E) tano
44. Eleza maana ya “chupa ya uzazi”
________________________________________
SEHEMU B:
________________________________________
Oniasha kwa kuandika herufi ya jibu sahihi kutoka Orodha
________________________________________
B, mbele ya maelezo ya Orodha A
________________________________________
ORODHA A ORODHA B
________________________________________
31. Hudhibiti ukuaji wa A. Ovari hutoa mayai
seli za mwili mawili ambayo
45. Tafuta ufanisi wa mashine iwapo manufaa ya
kimakanikani 0.4 na uwiano wa mwendo dhahiri
0.8

________________________________________

Mwisho
Mwl. Joshua E. M

You might also like