Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 3

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

MTIHANI WA UJIRANI MWEMA


BUGALAMA, NG’WAGULULI, LWENGE NA KIFUFU
SOMO: MAARIFA YA JAMII NA STADI ZA KAZI
JINA LA MTAHINIWA ______________________________________ MUDA SAA 1:30

SEHEMU A: KUCHAGUA
Chagua jibu sahihi kisha uandike herufi yake katika kisanduku ulichopewa
1. Tanganyika ilianza kutawaliwa na Uingereza baada ya tukio lipi?
A. Mkutano wa Berlin C. Vita ya pili ya Dunia
B. Vita ya kwanza ya Dunia D. Vuguvugu la MAUMAU E. Vita yaMaji Maji [ ]
2. Baraza la kutunga sheria nchini Tanganyika lilianzishwa na Donald Cameroon mnamo
mwaka: A. 1919 B. 1945 C. 1926 D. 1920 E. 1954 [ ]
3. Chama kilichopigania na kuikomboa Msumbiji kutoka kwa wakoloni kiliitwa:
A. MPLA B. SWAPO C. FRELIMO D. UNIP E. TANU [ ]
4. Uchaguzi mkuu wa vyama vingi nchini Tanzania ulifanyika mwaka:
A. 1960 B. 1962 C. 1995 D. 1965 E. 1992 [ ]
5. Patrice Lumumba ataendelea kukumbukwa kama miongoni mwa mashujaa wa Afrika
walioongoza harakati za kuikomboa nchi ya: [ ]
A. Uganda C. Ghana E. South Africa B. Kenya D.Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
6. Kiongozi wa kabila la Wamasai aliitwa nani?
A. Olaiboni B. Rubega C. Laigwanani D. Ndito E. Morani [ ]
7. Tanganyika ilijipatia Uhuru wake katika karne ya ngapi?
A. 18 B. 17 C. 20 D. 19 E. 15 [ ]
8. Bunge la Afrika (PAP) liliundwa mwaka gani?
A. 1967 B. 1963 C. 2004 D. 2014 E. 2002 [ ]
9. Mwalimu J. K. Nyerere alikuwa Rais wa Tanganyika mnamo mwaka:
A. 1967 B. 1964 C. 1962 D. 1977 E. 1961 [ ]
10. Chama cha siasa kilichoipinga TANU wakati wa harakati za kuikomboa tangayika kilittwa:

A. ASP B. TAA C. UTP D. CHADEMA E. CUF [ ]


11. Mapinduzi ya Zanzibar yalifanyika lini? [ ]
A. Desemba, 1963 C. Januari, 1963 E. Desemba, 1964 B. Aprili, 1964 D.Januari, 1964
12. Mistari ya kubuni inayochorwa kwenye ramani kuunganisha sehemu zote zenye kiwango
sawa cha mvua huitwa:
A. Isobars B. Isotherms C. Isohels D. Isohyets E. Kontua [ ]
13. Mkoa maarufu kwa kilimo cha zabibu nchini ni:
A. Dodoma B. Morogoro C. Mtwara D.Iringa E. Kigoma [ ]
14. Tafuta muda wa mji wa Dar es salaam, Tanzania ikiwa ni saa 2:00 katika mji wa Nairobi,
Kenya uliopo nyuzi 45 Mashariki:
A. 1:00 jioni B. 3:00 usiku C. 2:00 usiku D. 3:00 asubuhi E. 2:00 asubuhi [ ]
15. Barometa ni kifaa kinachotumika kupima: [ ]
A. Kasi ya upepo B. Jotoridi C. Mvua D.Mgandamizo wa hewa E. Unyevu wa hewa
16. Jua la utosi katika tropiki ya Kansa hutokea tarehe ngapi?
A. 22 Desemba B. 21 Juni C. 23 Septemba D. 21 Machi E. 12 Juni [ ]
17. Mvua hupimwa katika kizio kipi?
A. Kipima mvua B. Kilomita C. Millimita D. Barometa E. Mita [ ]
18. Shuguhuli kuu ya uchumi inayofanywa na watu wanaokaa karibu na fukwe za maziwa na
bahari ni:
A. Uchimbaji madini B. Uvuvi C. Ufugaji wa ng’ombe wa maziwa D. Biashara
E. Ufugaji wa nyuki [ ]
19. Joto hupungua kwa kiwango cha nyuzi 0.6 za Sentigredi kwa kila baada ya ongezeko lipi
la mwinuko kutoka usawa wa bahari?
A. Mita 50 B. Mita 100 C. Mita 150 D. Mita 6O D. Mita 300 [ ]
20. Kituo cha kuzalisha umeme cha bwawa la Nyumba ya Mungu kipo katika mto gani?
A. Zambezi B. Pangani C. Wami C.Rufiji
iji

[ ]
21. Nyota iliyo karibu sana na dunia inaitwa:
A. Sumbula C. Jua E. Zebaki

B. Mwezi D. Asteroidi [ ]
22. Upi SIYO aina ya usafiri?
A. Usafiri wa ardhini C. Usafiri wa majini E. Usafiri wa nchi kavu
B. Usafiri wa mdomo D. Usafiri wa anga [ ]
23. Mahitaji ya msingi ya familiani:
A. Elimu, usafi na afya B. Maji, kilimo na chakula C. Hewa, usafi na malazi
D. Chakula, malazi na mavazi E. Heshima, chakula na chakula [ ]
24. Ukabaila ni mfumo wa uzalishaji mali uliolenga katika umilikaji wa:
A. Mabenki B. Watumwa C. Viwanda D. Ardhi E. Barabara [ ]
25. Kinjekitale Ngwale ni maarufu katika historia ya Tanzania kwa:
A. Mfumo wake bora wa kuitawala Kilwa
B. Ushujaa wake wa kuendesha biashara Kilwa
C. Kuwahamasisha watu kupinga utawala wa Kijerumani
D. Ufanisi wake wa kukusanya kodi kwa niaba ya wajerumani
E. Uwezo wake wa kutengeneza na kutumia dawa za mitishamba [ ]
26. Karl Peters alikuwa ni wakala wa kikoloni aliyewashawishi viongozi wa kimila kusaini
mikataba ya kilaghai ili kuifanya Tanganyika kuwa koloni la:
A. Wareno C. Wajerumani E. Waingerez
B. Wafaransa D. Makaburu [ ]
27. Gavana wa mwisho aliyekuwa Mwingereza ambaye aliikabidhi Tanganyika mikononi mwa
Watanganyika ili wajitawale wenyewe aliitwa:
A. Donald Cameroon C. Horace Byatt E. Richard Turnbull [ ]
B. Edward Twinning D. Julius Von sodden
28. Jua huonekana kuwa kubwa kuliko nyota zote kwa sababu:
A. Lina joto kali zaidi ya nyota zingine
B. Linang’aa zaidi ya nyota zingine D. Liko bali sana na Dunia
C. Hutupatia nishati ya jua E. Lipo karibu zaidi na Dunia [ ]
29. Mwezi unapokuwa katikati ya Dunia na jua huonesha kupatwa kwa:
A. Dunia B. Nyota C. Mwezi D. Jua E. Sayari [ ]
30. Matokeo makuu ya viwanda katika mazingira ni:
A. Uchafuzi wa maji na hewa D. Kumwaga kemikali na kutoa moshi
B. Kutoa moshi na matumizi makubwa ya nishati E. Uchafuzi wa hewa, maji na ardhi
C. Uchafuzi wa hewa na udongo [ ]
31. Moja ya majanga yanayosababishwa na kani za asili na binadamu ni:
A. Mlipuko wa volkano C. Tetemeko la ardhi E. Mmomonyoko wa udongo[ ]
B. Sunami D. Kimbunga
32. Jina jumuishi la mito, ardhi, misitu na madini ni:
A. Bidhaa za nje C. Uoto wa asili
B. Dunia D. Rasilimali za asili E. Mbuga za wanyama [ ]
33. Itakuwa saa ngapi katika mji wa Kagali uliopo 15 Mashariki ikiwa ni saa 4:30 asubuhi
0

katika mji wa Mtwara uliopo 300 Mashariki?


A. 3:30 asubuhi B. 3:30 usiku C. 5:30 asubuhi D. 5:30 usiku E. 4:30 usiku
34. Jua likiwa katika kizio cha kusini, upepo huvuma kutokea wapi?
A. Kusini C. Mashariki E. Kaskazini-mashariki
B. Magharibi D. Kaskazini [ ]
35. Idadi kamili ya watu katika eneo fulani inaweza kupatikanaje? A. Kuhesabu idadi ya
vizazi B. Kutathmini eneo husika C. Kuhesabu vifo D. Kufanya sensa
D. Kuhesabu wakimbizi [ ]
36. Ipi kati ya hizi zifuatazo ni faida ya kufua nguo?
A. Kuonekana nadhifu C. Kuzibadili rangi E. Kutopendeza [ ]
B. Zionekane mpya D. Zionekane zimechakaa
37. Kitendo cha kugeuza takataka kuwa bidhaa zinazoweza kutumika huitwa:
A. Sanaa B. Uharibifu C. Umwagiliaji D. Urejeleaji E. Upunguzaji [ ]
38. Njia rahisi zaidi ya upishi wa chapatti ni:
A. Kuunguza B. Kukaanga kwa mafuta machache C. Kuunga D. Kufukiza
E. Kukaanga kwa mafuta mengi [ ]
39. Sanaa ya kupangilia sauti katika namna inayovutia hujulikana kama:
A. Sanaa B. Ufinyanzi C. Kelele D. Besi F. Muziki [ ]
40. Mashine inayotumika kushonea nguo hujulikana kama:
A. Oveni C. Hita E. Nyenzo Mashine ya kufulia D. Cherehani [ ]

SEHEMU B: MAJIBU MAFUPI


Jibu kwa kuandika jibu sahihi katika nafasi wazi
41. Njia ya kupata habari na matukio ya kale kwa njia ya mdomo kupitia vitendawili, hadithi,
methali na tamathali za semi hujulikana kama _______________________________
42. Taja aina mbili za makazi ya binadamu
i.___________________________________________________________________
ii.____________________________________________________________________
43. Ni tabaka lipi la angahewa ambapo shughuli za kila siku za binadamu hufanyika?
_______________________________________________________________
44. Ikiwa ni saa 4:00 asubuhi katika mji L uliopo nyuzi 30 Mashariki, Je, itakuwa ni saa ngapi
katika mji M uliopo nyuzi za Longitudo 60 Mashariki?
_______________________________________________________________________
45. Njia haramu inayotumiwa na wajasiriamali kukwepa kulipa kodi kwa kuficha sehemu
ambazo bidhaa zao huzalishwa inaitwa __________________________________

You might also like