Professional Documents
Culture Documents
Uandaaji Wa Kitalu Cha Miche
Uandaaji Wa Kitalu Cha Miche
KU IT
M I
MODULI NAMBA 2
Uandaaji sahihi wa
kitalu cha miche
Shukurani
KIJITABU HIKI KIMEANDALIWA KWA AJILI YA KUFIKISHA MAUDHUI YA
TAALUMA YA NAMNA YA KUANZISHA NA KUENDELEZA BUSTANI YA MITI
KWA MKULIMA MDOGO NA MKUBWA PIA.
Utangulizi
1
1. MAANDALIZI YA KUWATIKA MBEGU
2
Lima kwa kuinua tuta
lenye urefu tajwa
AU PIGILIA MABANZI
NA JAZA UDONGO.
Sawazisha kwa kutumia
jEMBE AU mpini wa
jembe au ubao ili
kupata tuta lililo na
sura ya kitanda.
3
EPUKA MAKOSA/ZINGATIA
INCHI 2-3 zA
mchanga
udongo
4
2. KUSIA MBEGU KWENYE TUTA
Mbegu za milingoti
(Eucalyptus) ni ndogo
ndogo sana, changanya
mbegu na mchanga Kipimo
1 cha MLINGOTI na vipimo 3
vya mchanga kisha sambaza
juu ya tuta
mbegu mchanga
5
Mwagilia mara
mbili kwa siku
vizuri, asubuhi
na jioni.
ASUBUHI JIONI
EPUKA MAKOSA/ZINGATIA
KAMA ENEO LA
BUSTANI LINA
JUA KALI SANA
FUNIKA MICHE
KWA NYASI
6
3. KUCHANGANYA UDONGO WA KUJAZA KWENYE VIRIBA
udongo udongo wa
mchanga.
wa msituni mfinyanzi.
kipimo 1
vipimo 3 vipimo 3
Udongo
wa kujaza
kwenye viriba.
udongo udongo wa
wa msituni mfinyanzi. mchanga.
VIPIMO 3 VIPIMO 3 KIPIMO 1
Udongo
KIPIMO 1 wa kujaza
UDONGO TOKA
MSITU WA PAINA
kwenye viriba.
(MYCORRHIZA)
7
EPUKA MAKOSA/ZINGATIA DOKEZO KUHUSU VIRIBA
8
4. KUHAMISHIA MICHE KWENYE VIRIBA
...hamisha mche
kutoka katika tuta
la kusia mbegu
kwenda kwenye
viriba...
9
Wakati wa Kuhamisha miche shika kwenye vijani viwili
(coteledons) na usishike kwenye SHINA AU mizizi. Kwa
kushika kwenye mizizi kunaweza kusababisha kufa kwa mche
kwani... vidole huwa na chumvichumvi na mafuta ambavyo
huDHURU mche.
10
EPUKA MAKOSA/ZINGATIA
...EPUKA
KUMWAGILIWA
MAJI MENGI SANA
MPAKA MICHE
INAZAMISHWA
KWENYE MAJI
11
5.KUPUNGUZA/KUKATA MIZIZI
Kata mizizi kila unapoona
inaanza kuingia ardhini KWA
KUtumia kisu kikali au waya....
Au hamisha miche kila
baada ya wiki mbili
ng’oa
mizizi mizizi
magugu
haijakatwa imekatwa
kwenye
viriba
6. KUIKOMAZA MICHE
12
BAADA YA MIEZI SITA MICHE YAKO
ITAKUWA TAYARI KWA KUPANDWA
SHAMBANI AU KUUZA KWA MTEJA
ZINGATIA ENEO
KAMA NINATAKA
LA BUSTANI LIWE
KUANZISHA
NA CHOO, STOO,
KITALU CHA
OFISI, MAJI YA
KIBIASHARA
KUNYWA. PIA TUNZA
MAMBO GANI YA
KUMBUKUMBU ZOTE
KUZINGATIA?
ZA UZALISHAJI NA
MAUZO.
13
7. GHARAMA ZA KUKUZA NA KUUZA MICHE
14
Vigezo vya mahali sahihi pa kuweka
bustani
1. Mahali panapofikika vizuri kwa gari
2. Mahali ambapo nguvukazi inaweza patikana
kiurahisi
3. Mahali ambapo pana maji ya uhakika
4. Mahali ambapo hapana mteremko mkali
5. Mahali ambapo rasilimali muhimu kama udongo
vinapatikana mapema.
6. maji kwa ajili ya umwagiliaji
15
Jedwali la Kalenda ya shughuli za bustani za miti
16
FORE S TRY DE VE LOPM E N T TRUS T
U E N D E L E Z A J I M I S I T U TA N Z A N I A
2 0 B A L O Z I ROA D, G A N G I L O N G A , I R I N G A , P O B OX 2
t: +255 262700550 | I N F O @ F O R E S T RY- T R U S T. O R G