Professional Documents
Culture Documents
Uchaguzi Jarida January 2
Uchaguzi Jarida January 2
Maandalizi
uboreshaji wa 02 TUME YATANGAZA UCHAGUZI MDOGO KATA 23
ZA TANZANIA BARA
Daftari yapo
kwenye hatua NEC YATEUA MADIWANI WANAWAKE WATANO
09
za mwisho WA VITI MAALUM
01 Jarida
Njia za Utoaji wa Elimu ya
Mpiga Kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekuwa ikitekeleza mkaka� wa kutoa Elimu ya
Mpiga Kura endelevu kwa kutumia njia zifuatazo;
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele (katikati) akiongoza kikao cha Tume jijini Dodoma tarehe 15 Februari, 2024 ambapo pamoja na
mambo mengine kilitangaza uchaguzi mdogo wa kata 23 za Tanzania Bara utakaofanyika tarehe 20 Machi, 2024. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji (Rufaa) Mstaafu,
Mbarouk Salim Mbarouk na kulia ni Katibu wa Tume na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K.
Na Mwandishi Wetu
T
ume ya Taifa ya Uchaguzi vyama vya siasa, wagombea na wadau wote Songea).
imetangaza uchaguzi mdogo wa wa uchaguzi kuzinga�a Ka�ba, Sheria,
madiwani kwenye kata 23 za Kanuni, Maadili ya Uchaguzi, Tara�bu, Nyingine ni Isebya (Halmashauri ya Wilaya ya
Tanzania Bara. Miongozo na maelekezo ya Tume ka�ka Mbogwe), Kibata (Halmashauri ya Wilaya ya
kipindi cha uchaguzi huu mdogo,” imesema Kilwa), Mshikamano (Halmashauri ya
Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa taarifa hiyo. Manispaa ya Musoma), Busegwe
na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa (Halmashauri ya Wilaya ya Bu�ama), Nkokwa
ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K jijini Dodoma Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kata (Halmashauri ya Wilaya ya Kyela), Kamwene
tarehe 15 Februari, 2023 uchaguzi huo zitakazofanya uchaguzi huo mdogo ni Kimbiji (Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba),
utafanyika tarehe 20 Machi, 2024. (Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni), Chipuputa (Halmashauri ya Wilaya ya
Kasingirima (Halmashauri ya Manispaa ya Nanyumbu), Buzilasoga (Halmashauri ya
“Fomu za uteuzi zitatolewa kuanzia tarehe 27 Kigoma/Ujiji), Ndevelwa (Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema), Mhande (Halmashauri
Februari, 2024 hadi tarehe 04 Machi, 2024, Manispaa ya Tabora), Msangani ya Wilaya ya Kwimba), Kabwe (Halmashauri
uteuzi wa wagombea utafanyika tarehe 04 (Halmashauri ya Mji Kibaha), Fukayosi ya Nkasi), Bukundi (Halmashauri ya Wilaya ya
Machi, 2024 na kampeni za uchaguzi (Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo), Meatu) Mkuzi (Halmashauri ya Wilaya ya
zitafanyika kuanzia tarehe 05 hadi 19 Machi, Mlanzi (Halmashauri ya Wilaya ya Kibi�), Muheza) na Boma, M�mbwani na
2024,” imesema taarifa hiyo. U�ri (Halmashauri ya Mji Mbinga) na Mayomboni (Halmashauri ya Wilaya ya
Mbingamhalule (Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga).
Taarifa hiyo imeanisha kuwa uchaguzi huo
umetangazwa kwa kuzinga�a matakwa ya
kifungu cha 13(3) cha Sheria ya Uchaguzi ya
Serikali za Mitaa, Sura ya 292 baada ya
kupokea taarifa kutoka kwa Waziri mwenye
dhamana ya Serikali za Mitaa, akiitaarifu Tume
kuhusu uwepo wa nafasi wazi za madiwani
ka�ka kata 23 za Tanzania Bara.
Taarifa hiyo imesema kuwa Waziri ametoa
taarifa hiyo kwa kuzinga�a matakwa ya
kifungu cha 13(1) cha Sheria ya Uchaguzi ya
Serikali za Mitaa, Sura ya 292.
TAHARIRI
M
Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakitoa Elimu
ya Mpiga Kura kwa wananchi waliotembelea banda aonesho ya Kimataifa ya Zanzibar (ZEC) ili waweze kushiriki ka�ka upigaji
la Tume kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara Biashara ya Sherehe za kura wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa
ya Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mapinduzi Matukufu ya Tanzania.
miaka 60 yaliyofanyika katika viwanja vya Nyamanzi
(Fumba Town). Zanzibar yaliyofanyika ka�ka
viwanja vya Nyamanzi (Fumba Town) kuanzia Kadhalika wananchi nao walipata fursa ya
tarehe 7 hadi 19 Januari 2023 na maonesho ya kuelewa kwa undani hatua za kujiandikisha
Wiki ya Sheria yaliyofanyika ka� ya tarehe 24 kama wapiga kura na umuhimu wa kushiriki
hadi 30 Januari, 2024 ka�ka viwanja vya ka�ka zoezi la uchaguzi. Lakini pia walipata
Nyerere Square jijini Dodoma yalitumiwa na fursa ya kuuliza maswali mbalimbali na
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa ajili ya kujibiwa papohapo.
kutoa elimu ya mpiga kura kwa wananchi kwa
njia ya ana kwa ana. Kwa kutambua umuhimu wa elimu ya mpiga
ya Mpiga Kura
majukumu ya Tume. Elimu ya mpiga kura ni
muhimu kwani huwajengea uelewa wananchi Pia tunawaasa wananchi kutumia fursa ya
kuhusu haki na wajibu wao wa kushiriki kupata elimu ya mpiga kura kwa njia ya
uchaguzi wakiwa na taarifa kamili na sahihi juu
vipindi vya redio na televisheni
ya mchakato wa Uchaguzi. vinavyoandaliwa na Tume kwa lengo la
kuwaelimisha wananchi kuhusu majukumu ya
Mathalani, ka�ka maonesho ya Zanzibar, Tume.
Maafisa wa Tume walipata fursa ya kutoa
ufafanuzi na kuwaeleza wakazi wa Zanzibar
kuhusu utara�bu unaotumika kuwaandikisha
wapiga kura wanaoishi visiwani humo ambao
hawakidhi vigezo vya Tume ya Uchaguzi
04 Jarida
M
ku�miza umri wa kupiga kura. zinahitaji Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Tume
wenyeki� wa Tume ya Taifa ya ya Uchaguzi Zanzibar zifanye kazi kwa
Uchaguzi, Jaji (Rufaa), Mhe. kushirikiana. Kwa hiyo kuweka banda hapa ni
“Mtu ili aweze kuandikishwa kuwa mpiga
Jacobs Mwambegele amesema ka�ka kuonesha mshikamano huo na
kura anatakiwa awe mtanzania na awe
Tume inaendelea vizuri na
ame�miza umri wa kupiga kura ambao ni
maandalizi ya uboreshaji wa
miaka 18. Anaweza kuwa na kitambulisho
Da�ari la Kudumu la Wapiga
Kura na itawajulisha wananchi hivi karibuni
cha NIDA au namba ya NIDA ili kuthibi�sha
uraia wake,” amesema.
“Katiba zote mbili;
kuhusu tarehe ya kuanza kwa zoezi hilo.
Jaji Mwambegele amesema mpiga kura
ya Jamhuri ya
Mhe. Mwambegele ameyasema hayo hivi
karibuni muda mfupi baada ya kutembelea
anayeboresha taarifa zake anapaswa kwenda Muungano wa
kwenye kituo cha kuandikisha wapiga kura
banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi waka� wa
mahojiano na waandishi wa habari kwenye
na kadi yake ya mpiga kura ambayo ilitolewa Tanzania na Katiba
Maonesho ya Kibiashara ya Kimataifa ikiwa ni
na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
ya Zanzibar
sehemu ya Sherehe za Mapinduzi Matukufu
ya Zanzibar ya miaka 60 yaliyofanyika ka�ka
“Tunayo kadi ya mpiga kura, mpiga kura
anayehitaji kuboresha taarifa zake anatakiwa
zinatutaka tufanye
viwanja vya Nyamanzi (Fumba Town).
kuwa na kadi ya mpiga kura ambayo kazi kwa
inatolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi,”
“Tume ya Taifa ya Uchaguzi itawatangazia
wananchi tarehe ya kuanza kwa uboreshaji
amesema. kushirikiana na
wa Da�ari la Kudumu la Wapiga Kura, si muda
Kuhusu uandikishaji wa wapiga kura tukiwa hapa
mrefu kutoka sasa. Tayari tumeshafanya
uboreshaji wa majaribio wa Da�ari kujaribu
Zanzibar, Mhe. Mwambegele amesema kuwa
Tume itatumia Da�ari la Tume ya Uchaguzi
Zanzibar tunatumia
vifaa vyetu, majaribio yameenda vizuri na
tutawajulisha Watanzania waka� muafaka
Zanzibar (ZEC) kwa ajili ya Uchaguzi kwa
upande wa Tanzania Zanzibar.
Daftari la ZEC
utakapofika wa kuanza kwa zoezi hilo,”
amesema Jaji Mwambegele.
kwenye uchaguzi,”
“Ka�ba zote mbili; ya Jamhuri ya Muungano
Kuhusu sifa ambazo mwananchi atapaswa
wa Tanzania na Ka�ba ya Zanzibar zinatutaka amesema Jaji
kuwa nazo ili aweze kujiandikisha kuwa mpiga
tufanye kazi kwa kushirikiana na tukiwa hapa
Zanzibar tunatumia Da�ari la ZEC kwenye (Rufaa)
kura, Mwenyeki� wa Tume amesema kuwa
pamoja na sifa nyingine, sifa kuu za kuweza
uchaguzi,” amesema.
Mwambegele.
kuandikishwa kwenye Da�ari ni uraia na
05 Jarida
Kutoka Kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs C. Mwambegele, Makamu Mwenyekiti wa Tume ya
Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Jaji (Rufaa) (Mst) Mbarouk S.Mbarouk, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Mhe.Jaji George J.Kazi na Waziri
wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibat (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi), Mhe.Hamza Hassan walipokuwa wakifuatilia
mjadala wa Miswada ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, wabunge na Madiwani ya mwaka 2023 na Sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Na Mwandishi Wetu
B
unge la Jamhuri ya Muungano wa utekelezaji wa maoni ya wadau
Tanzania limepi�sha miswada waliopendekeza uwepo wa neno ‘huru’
miwili inayoihusu Tume ya Taifa ya kwenye jina la Tume kwa kuwa msingi wa
Uchaguzi ambayo inalenga uhuru huo upo kwenye ibara ya 74(7) na
kuimarisha utawala bora na 74(11) ya Ka�ba ya Jamhuri ya Muungano
demokrasia nchini. wa Tanzania ya mwaka 1977.
Mkurugenzi wa Ofisi ya Zanzibar wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Adam Mkina alipotembelea banda la Tume katika maonesho ya Kimataifa
ya Biashara ya Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya miaka 60 yaliyofanyika katika viwanja vya Nyamanzi (Fumba Town).
Na Mwandishi Wetu
Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakitoa Elimu ya Mpiga Kura kwa wananchi waliotembelea banda la Tume kwenye maonesho ya
Kimataifa ya Biashara ya Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya miaka 60 yaliyofanyika katika viwanja vya Nyamanzi (Fumba Town).
Na Mwandishi Wetu
Inaendelea Uk.08
08 Jarida
M kurugenzi wa Uchaguzi wa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw.
Kailima, R. K amewaomba
wananchi kutembelea mara
kwa mara Tovu� na Kurasa za Mitandao ya
ka�ka uchaguzi. Hivyo, tunawakaribisha
wananchi kutembelea banda hili ili kupata
taarifa mbalimbali. Njoo uulize maswali yako
na upate ufafanuzi mzuri kuhusu mambo
yanayohusu uboreshaji na uchaguzi mkuu".
Bi. Giveness Aswile.
T ume ya Taifa ya Uchaguzi “Uteuzi huu umefanyika baada ya kupokea Bi. Joyce Milembe Aenda ambaye ameteuli-
imeteua Madiwani Wanawake taarifa kutoka kwa Waziri mwenye dhamana wa kuwa Diwani wa Vi� Maalum ka�ka
watano wa Vi� Maalum kujaza ya Serikali za Mitaa, ambaye kwa kuzinga�a Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Bi.
nafasi zilizokuwa wazi za mashar� ya kifungu cha 13(1) cha Sheria ya Sharifa Hassan Magalagala anayekuwa
Madiwani ka�ka Halmashauri tano za Tanza- Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, aliitaarifu Diwani wa Vi� Maalum ka�ka Halmashauri
nia Bara. Tume ya Taifa ya Uchaguzi uwepo wa nafasi ya Wilaya ya Nanyumbu.
hizo wazi za Madiwani wanawake wa Vi�
Taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkurugen- Maalum,” imesema taarifa hiyo. Wengine ni Bi. Clemen�na Daudi Mateja
zi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya ambaye ameteuliwa kuwa Diwani wa Vi�
Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K, imesema Taarifa hiyo imewataja walioteuliwa kuwa ni Maalum ka�ka Halmashauri ya Wilaya ya
kwamba Tume imefanya uteuzi huo kwenye pamoja na Bi. Mecha Goodluck Ma�le Buchosa na Bi. Mariam Abdi Galu ambaye
kikao chake cha tarehe 30 Januari, 2024. ambaye ameteuliwa kuwa Diwani wa Vi� anakuwa Diwani wa Vi� Maalum ka�ka
Maalum ka�ka Halmashauri ya Jiji la Tanga, Halmashauri ya Wilaya ya Chemba.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele (kulia) Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa Bungeni jijini
akishiriki Matembezi ya ufunguzi wa Wiki ya Sheria Kitaifa Mkoani Dodoma Januari Dodoma. Bunge limepitisha Miswada miwili ya Sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi
27,2024. Matembezi hayo yaliongozwa na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson. mwaka 2023 na Mswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka
Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yalianza Januari 24,2024 na yalifikia tamati Februari 1, 2023.
mwaka huu.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K, akisaini kitabu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele
cha wageni wakati alipotembelea banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika maonesho (katikati) akiongoza kikao cha Tume jijini Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine
ya Wiki ya Sheria yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma kwa siku kiliteua madiwani watano wa viti Maalum. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume,
saba kuanzia tarehe 24 hadi 30 Januari, 2024. Mhe. Jaji (Rufaa) Mstaafu, Mbarouk Salim Mbarouk na kulia ni Katibu wa Tume na
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K.
08 Jarida Michezo
WATUMISHI NEC WAITIKIA WITO WA KUFANYA MAZOEZI
Timu ya Kamba wanaume kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakivuta kamba dhidi ya Timu kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii katika
Michezo inayohusisha Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) ambayo kwa mwaka 2023 ilifanyika mkoani Iringa mwezi Oktoba.
Na Mwandishi Wetu
www.nec.go.tz tumeyauchaguzi_tanzania