Professional Documents
Culture Documents
Kufa Kuzikana
Kufa Kuzikana
Kufa Kuzikana
NA
KEN WALIBORA
2003
NAIROBI –KENYA
Baada ya muda mfupi, mwalimu Alex alirukwa akili kiasi cha kuanza
kuzungumza na vichaka na kutembea uchi njia. Twaelezwa pia kifo
cha mwalimu Alex huko kichakani karibu na mto Kibisi.
Alipigunduliwa na wanawake waliokuwa wamekuja kuchota maji.
Maiti ya mwalimu Alex ilikuwa imekatwakatwa na kutupwa huko.
Maiti hii ilichukuliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi
1|P a ge
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
2|P a ge
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
Tim alimwahidi Akida kuwa atamtembeza jiji zima kwa siku atakazo
maliza hapo mjini. Akida naye alimwambia kuwa muda huo
ungetosha kufuatia malipo ya bima ya mamake na suala la
kuchapisha vitabu vya babake.
3|P a ge
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
4|P a ge
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
5|P a ge
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
6|P a ge
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
Pia gazeti lilikuwa na habari za kifo cha Yusufu Matuko aliye jitupa
kutoka gorofala 22 ya Tembo house baada ya wakili Gembo Tony
kukataa kuonana naye uk.62.
Sura ya nane (67 - 71) Kwa Timu na Baadaye mjini kwa Nyumba
za maiti
7|P a ge
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
Tim alishauri wapitie kwa Tom ktika mtaa wa mlimani ili aweze
kuwasaidia kuwapeleka kwa hospitali za Nduki na Korosho kwa gari
lake. Walipofika, walipokelewa na Janelle mke mzungu kutoka
Canada. Tom naye alirudi nyumbani kutoka kazini baada ya kupata
habari za kifo cha babake. Walikubaliana kuondoka pamoja siku
iliyofuata asubuhi waende hospitalini Nduchi mwali wa Mangala
ulipokuwa.uk87
8|P a ge
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
Siku iliyofuata Tom alitoa kiasi cha pesa kwa idara ya polisi ili wampe
ulinzi watakapokwenda kumzika babakekijijini.Tom alishauriwa na
Tim kumzika babake katika makaburi ya umma akakataa kwa
kusema kuwa lazima afuate mila na destuli za kwao yani mtu
huzikwa kwao.
9|P a ge
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
10 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
Tim na timu yake waliamua kufanya lolote la halali ili kukimu maisha
yao. Pia Tim na timu yake walifuata sana mkondo wa dini na kila
juma pili walienda kanisani kuhudhuria mahubiri ya Kasisi John.
Mahubiri ya kasisi ya tilia mkazo kupinga ukabila, uasherati na
ubaguzi.
11 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
12 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
13 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
14 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
Alipotoka njee ya mahakama alisiikia mtu akitaja jina lake, mtu huyo
hakuwa mwingine bali Tim rafikiye 193.
Sura ya Ishirini na tatu (194 – 207)
15 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
16 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
1. Tashibihi
Najihisi kama zumbukuku
Najihisi kama samaki kwenye nchi kavu
Vimepigwa pasi vikapigika kama sare ya askari polisi –Tim12
Mwanafalsa amwagaye semi za hekima kama mhenga.17
Walinyakuwarundo la mageti kwa kasi kama umeme.
Nilikuwa kama nzi aliyenaswa kwenye utata wa utanda bui.
Mwaka wa sita napuhekwa huku na huku kama mpira
uwanjani.
Kainama kama kondoo 51 .
Wakanju ni kama lila nafila hawa tangamani.
Kingeleraza kinamtoka kama bomba la mafi 71.
17 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
2. Nahau
Ghafla bini vuu 14.
Tulipo piga hamadi 20.
Miguu yangu ikafa ganzi 22.
Nita shida huko ili nisimwage unga 27.
Nili keti sako kwa bako
Alitupokea kwa mawili matatu.
Tulisalimu amri 89
Alikua ameteremusha zipu 110.
Maji yamezidi unga
Wakanju walikula kalenda bure 138
Funga breki 144.
3. Methali
Mtoto wa panya hakosi mkia 12.
Kipya kinyemi kingawa kidonda 13.
Kusikia si kuona, tuone ndipo tuambe 14.
Kukopa harusi kulipa matanga 14.
Chako hakinuki ngawa kimeoza 24.
Pavumapo palilie sikazi kudamirika 29.
Hayawi hayawi huwa 30.
Kupotea njia ndiko kujua 32.
Mwenye macho haambiwi tazama
Chakala simba halilali nguruwe 33.
Mshoni hachagui nguo.
Penye nia pana njia 53.
Mtengo bila chambo haunasi 73.
Dau la mnyonge haliendi joshi 124.
Hasira ni hasara 182.
Yaliopita si ndwele tugange yajayo 196.
Dawa ya moto ni moto
4. Utohozi
Lori 10, friji 14, breki 17, choo cha flashi 18, shesi ya mkate 19,
swichi 19, fremu 19, magari leni tatu 22, soksi 23 kochi (kiti) 23
18 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
19 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
11. Barua
Barua ya Nana kwa 38.
12. Shairi
Mzee sululu kwa Akida juu ya hasira 42
Sululu Akida (hasira) 64
13. Jarida
Jerumani. Akida 160
14. Ndoto
Akida-Tamari
15. Uzungumzaji nafsi
16. Hadithi ndani ya hadithi
17. Mbinu rejeshi
20 | P a g e
MWALIMU FAGILI FARAJA MONDE 0780947386/0785090252/0756040644
Mtaa wa mlimani
Mtaa wa
21 | P a g e