Professional Documents
Culture Documents
eBOOK - HEKIMA YA BINTI KUJITUNZA - Mwl. Francis M. Langula
eBOOK - HEKIMA YA BINTI KUJITUNZA - Mwl. Francis M. Langula
PY
Chapa ya Kwanza 2020
Arusha
ii
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
CO
HEKIMA YA NENO LA MUNGU KUWASAIDIA MABINTI
KUJITUNZA
Wimbo Ulio Bora 2:7 “Nawasihi enyi binti za Yerusalemu, kwa paa
na kwa ayala wa porini, msiyachochee mapenzi wala kuyaamsha
hata yatakapoona vyema yenyewe…”
EE
FR
iii
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
2. ULINZI MKAMILIFU WA MUNGU KWA WATU WAKE
3. MALAIKA NA UTENDAJI WAO KATIKA MAISHA YA MWAMINI
4. KIUMBE KIPYA CO
5. SASA NINAANZA KUISHI (NAMNA YA KUTAMBUA KUSUDI)
6. KUWA MWANAFUNZI
7. HEKIMA YA KUMSAIDIA MSICHANA KUOLEWA
8. HEKIMA ITAKAYOMSAIDIA BINTI KUJITUNZA
EE
FR
iv
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
YALIYOMO
UTANGULIZI…...............................................................................vii
PY
SEHEMU YA KWANZA….................................................................1
TAFSIRI YA ANDIKO LA MSINGI…….......................................1
SEHEMU YA PILI……...................................................................…5
CO
KUHUSU MWANDISHI WA WIMBO ULIO BORA…............….5
SEHEMU YA TATU….................................................................…..9
SIFA ZA PAA NA AYALA, HEKIMA NA MAONYO
AMBAYO BINTI ANAWEZA KUYAPATA KUPITIA
WANYAMA HAWA…………......................................................9
EE
SEHEMU YA NNE……..............................................................….19
ADUI MKUU WA PAA NA AYALA NA
SIFA ZAKE AKIMUWAKILISHA KIJANA WA KIUME…….......19
FR
SEHEMU YA TANO…….................................................................27
UPANDE WA PILI WA AYALA NA PAA….............................…27
SEHEMU YA SITA…………........................................................…33
BINTI/MSICHANA KUUWEZA MWILI WAKE…...................…33
v
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
SEHEMU YA SABA….....................................................................35
MAENEO YA BINTI KUJILINDA ILI ASIYACHOCHEE
WALA KUYAAMSHA MAPENZI…..........................................35
SALA YA WOKOVU………….....................................................….69
HITIMISHO……..............................................................................71
PY
CO
EE
FR
vi
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
UTANGULIZI
PY
kulifuata litatupa majibu ya kila eneo la Maisha ambalo tuna
maswali; hata kuhusiana na mabinti kujitunza wasinaswe na adui
kwenye maswala ya mapenzi na hisia za mapenzi kabla ya wakati
wake, ni wazi kwamba Neno la Mungu linatupatia majibu na
muongozo wa namna ya kujilinda na kujitunza.
CO
Andiko hilo nililonukuu ni wazi kabisa kwamba Neno la Mungu
linampatia hekima binti ambayo akiweza kuifumbua itamsaidia
kujilinda na kujitunza mbali na zinaa na mapenzi na kuzilinda pia
hisia zake katika kipindi hiki cha dunia iliyoharibika.
Katika kitabu hiki, nitaeleza kwa undani sana kutokea kwenye
andiko hilo la Wimbo Ulio Bora 2:7 na kwa ufunuo wa Roho
Mtakatifu tutafunua siri nyingi na kuyafumbua mafumbo mengi
EE
vii
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
CO
EE
FR
viii
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
SEHEMU YA KWANZA
TAFSIRI YA ANDIKO LA MSINGI
CO
MAANA YA KUSIHI
viii
1
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Maana ya Pili, anaposema “Nawasihi” ni sawa na kusema
“NINAWAONYA mabinti, kwa PAA na kwa AYALA, msiyaamshe
mapenzi wala kuyachochea mpaka yatakapoona vyema
yenyewe”
Maana ya tatu, neno hilo hilo, linamaana ya binti kujipa wajibu
CO
mwenyewe (Kujiwajibisha) kwamba, kwa PAA na kwa AYALA
hutayaamsha mapenzi mpaka yatakapoona vyema yenyewe; binti
kujiwajibisha kutoyaamsha mapenzi.
Sasa, hayo maneno “kwa PAA na kwa AYALA” yasikusumbue,
nitayaelezea kwa undani sana katika kitabu hiki kwa kadiri
tunavyoendelea kujifunza; kwa sasa, jambo pekee la kufahamu ni
EE
yako. Kwa hiyo, kwa tafsiri ya andiko hilo maana yake ni kwamba,
anaposema ninakusihi anamaanisha “Ningekuwa naweza, mimi
ndio ningekusaidia kutoyaamsha mapenzi kwa niaba yako au
kwenye mwili wako” lakini sasa kwa sababu huo si mwili wangu ni
wako, siwezi kufanya chochote kwa niaba yako, kwa hiyo kwa
kutambua umuhimu wa kutoyaamsha mapenzi, ninakuomba
2
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
kwa sababu ya asili yao, ni kitoweo pendwa [ni chakula kinono] kwa
Wanyama pori wa jamii ya paka kama vile Chui, Simba na
Wanyama wengine wakali. Kwa lugha ya sasa tunaweza kusema,
Paa na Ayala ni kama PILAU kwa Wanyama pori jamii ya paka.
Kwa sababu, paa na ayala ni chakula pendwa cha Wanyama jamii
CO
ya Paka, hivyo husababisha Paa na Ayala wanakuwa hatarini
kupata mashambulizi kutoka kwa Wanyama hao wa jamii hiyo ya
paka.
Naamini mpaka sasa umeanza kuelewa kwanini Mwandishi wa
Wimbo uliobora, ambaye ni Suleimani, alianza kwa kusema “Kwa
Paa na kwa Ayala Usiyaamshe mapenzi”. Kwa sababu, kwa
asili, simba au chui, wakipata Wanyama wengine kama nyumbu
EE
23
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
CO
EE
FR
4
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
SEHEMU YA PILI
KUHUSU MWANDISHI WA WIMBO ULIO BORA
CO
S uleimani ndio mwandishi wa kitabu cha Wimbo Ulio Bora, na ni
mmoja wa wenye hekima wakubwa kati ya wenye hekima
waliowahi kuishi duniani, na kimsingi ndiye alikuwa mwenye
hekima kuliko dunia nzima katika kipindi chake na hata baada yake
EE
mifano yenye mafunzo elfu tatu, alitunga nyingo elfu moja na tano.
Suleimani alikuwa anajua habari za kila mti na matumizi yake, kwa
lugha ya sasa tunaweza kusema alikuwa anajua biolojia yote
yakuhusiana na miti, alikuwa anajua habari za Wanyama na ndege,
wadudu, na samaki wengi, kama si wote, pamoja na tabia zao.
5
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
waisikie hekima ya Sulemani, toka wafalme wote wa
ulimwengu, waliokuwa wamepata habari za hekima yake.
Kwa hekima Mungu aliyompatia, Suleimani akagundua, kuna
Wanyama wanaitwa Ayala na Paa, ambao sifa zao na tabia zao au
mazingira yao, yanafanana sana na mabinti ndio maana akasema
CO
“Enyi mabinti wa Yerusalemu, kwa Paa na kwa Ayala,
msiyaamshe mapenzi”.
Maana yake ni kwamba, kuna mafumbo yako kwa hawa Wanyama,
ambayo binti akiweza kuyafumbua, yatampatia hekima au siri
zitakazomsaidia asiyaamshe wala kuyachochea mapenzi.
Kwa sababu ya Hekima ya Suleimani, Ndio maana ukifuatilia
EE
6
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling’oa na vifaranga
vya tai watalila.
Neno la Mungu linasema kwamba, watu walikuwa wakitoka mahali
mbalimbali duniani kwenda kwa Suleimani kujifunza habari
mbalimbali. Ninaamini watu walikuwa wakienda kwakwe kujifunza
CO
habari za Wanyama, wadudu, miti, na viumbe mbali mbali, na
hawakwenda mikono mitupu, walimpelekea mali.
Moja ya Hekima za Suleimani ni wakati amefanya maamuzi ya
kutambua mtoto anayegombaniwa ni wa nani kati ya wale
wanawake wawili makahaba inayopatikana katika kitabu cha 1
Wafalme 3:1628
EE
7
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
CO
EE
FR
8
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
SEHEMU YA TATU
SIFA ZA PAA NA AYALA, HEKIMA NA MAONYO
AMBAYO BINTI ANAWEZA KUYAPATA KUPITIA
CO
WANYAMA HAWA
9
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
yaani pilau; kama vile tu Chui na Simba wanavyowaona Paa na
Ayala?
Wewe binti unaweza ukawa unajiona kawaida, na wakati mwingine
hata mzazi anamuona binti yake kama bado mtoto, lakini wapo
vijana wakiume wakikuangalia, wanaona na kulitamani hilo umbo
CO
lako na hayo maziwa yako madogo yaliyosimama, wanaona ni
kama nyama tamu.
Yaani wewe binti unapita tu huna hata wazo lolote baya labda
unaenda shuleni, lakini kuna wakaka au vijana wanakuona pilau na
wanatamani wakutafune saa yeyote wakipata fursa.
Paa na Ayala, sifa yao ya kwanza, wako makini (sensitive and alert)
EE
10
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Hii pia ni sifa ya mabinti, binti unatakiwa uwe na uwezo wa kuona
zaidi ya vijana wa kiumbe, uone “nyuzi 180”. Binti unatakiwa
kuona kuanzia mbali kabisa, hata kijana wa kiume akija na nia
mbaya unaweza kuiona nia yake mbaya kuanzia mbali kabisa. Binti
unapaswa uweze kuona (kugundua) kila aina ya mbinu anayotumia
CO
kijana wa kiume kwa lengo la kukuharibu; kijana anayeanzia kona
(angle) ya mbali na kuja kwako kwa vizawadi zawadi unamuona,
unaletewa kizawadi lakini wewe umeshaona nyuma ya zawadi
anataka kuyaamsha mapenzi na kukuvua nguo. Sio binti unapokea
tu zawadi na wakati zawadi zingine ni mbinu za kukuharibia
usichana wako na maisha yako kwa ujumla.
Unajua binti, ukikutana na kijana ambaye ni mjanja na anakutaka
EE
11
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
kurukaruka, wanatuma ujumbe aina mbili, wa kwanza ni kwa
Wanyama wenzao paa na ayala, wakiwaambia kwamba kuna
hatari, lakini ujumbe wa pili walikuwa wanaituma kwa adui (chui na
simba) wakiwaambia kwamba tumeshawaona na hamtuwezi
tunaweza kabisa kuwashinda.
CO
Hivi unajua, mabinti wana uwezo mkubwa sana wa kuwashinda
vijana wa kiume, na hii ni kwasababu ya asili ya binti ukilinganisha
au kufananisha na kijana wa kiume. Kiasili, binti ana uwezo
mkubwa sana kwa kuizuia tamaa ya mwili wake kuliko kijana wa
kiume. Binti anaweza akamuona kijana wa kiume uchi bila nguo na
wala mwili wake usishtuke wala kusisimka, sana sana atashangaa
kwanini huyu kijana wa kiume anakaa uchi. Lakini, kijana wa kiume
EE
12
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
amfanyie vitu vya kuonyesha kumjali.
Kwa sababu ya changamoto ya macho kwa vijana wa kiume, ndio
maana Neno la Mungu linasema katika kitabu cha Ayubu
“Nilifanya agano na macho yangu; sitamuangalia msichana
kwa kumtamani” Ayubu 31:1
CO
Neno halisemi sitamuangalia mwanaume kwa kumtamani bali
linasema mwanamke, kwa sababu shida ya macho sana ni kwa
wanaume na sio wanawake; kwa hiyo kijana wa kiume anapaswa
kufanya agano na macho yake yasimkoseshe katika kumtazama
mwanamke.
Tamaa ya msichana haiko machoni iko moyoni, nikimaanisha iko
EE
13
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
LINAMUONYA BINTI KUYAAMSHA MAPENZI, sababu akiyaamsha
yatamtesa.
Kwa hiyo, hawa Paa na Ayala, walikuwa wamepewa uwezo na
Mungu wa kuwashinda maadui zao wakuu ambao ni chui na simba
na Wanyama wengine. Ukiona Paa au Ayala amekamatwa, ujue
CO
kuna makosa ya kiufundi ameyafanya sio kwamba hana uwezo
ndani wa kushinda. Na ndivyo ilivyo kwa binti, ukiona binti
amekamatwa na kijana wa kiume na kuangushwa, ujue kuna
makosa amefanya, na ndio hasa sababu ya kitabu hiki kuwa
mikononi mwako, ili ujifunze na usifanye makosa ambayo mabinti
wengi wameyafanya na yakawagharimu Maisha yao. (Nimeainisha
baadhi ya makosa hayo kwenye sura ya sita ya kitabu hiki)
EE
ambavyo wanafundishwa.
Kwa hiyo, Paa na Ayala, walikuwa wanakimbia kwa kurukaruka
kwa sababu ya hizo jumbe mbili nilizosema yaani moja kuwapa
taarifa wenzao na mbili kuwaonyesha adui zao kwamba
hawawawezi. Hii inatufundisha kwamba, ni vizuri sana binti ukiona
mahali kuna shida, hakikisha unawasaidia na mabinti wengine;
14
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
wanakosea sio kwa kupenda ni kwa sababu kwa kutokujua,
hawajafundishwa wala kuelekezwa njia sahihi, kwa hiyo wewe
ambaye umefundishwa kawafundishe mabinti wengine pia, au
unaweza ukawapatia na wao kitabu hiki wajifunze. Jifunze kuwa
binti unayesambaza habari njema kwa mabinti wenzio.
CO
HEKIMA NA MAONYO KUTOKA KWA PAA NA AYALA
NI HEKIMA AU SIFA GANI TUNAWEZA KUZIPATA KUTOKA
KWA PAA NA AYALA AMBAZO ZITAMSAIDIA BINTI WA SASA?
1. Umakini
Muda wote binti unapokuwa katikati ya vijana wa kiume na hata
mabinti wenzio, unapaswa kuwa makini kwamba chochote
EE
15
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
2. Uwezo wa kukimbia
Paa na Ayala wana uwezo mkubwa sana wa kukimbia. Ni
Wanyama wa pili kwa kasi (speed) ukilinganisha Wanyama pori
wote. Baadhi ya Paa na Ayala wanaweza kukimbia mpaka kasi ya
kilometa 97 kwa Saa (97Km/Hr) ambayo ni kasi kubwa sana na ni
kasi ya magari. Kila binti anao uwezo ndani yake wakuikimbia au
kuiepuka hatari ya mapenzi, ndio maana Neno la Mungu
PY
likafananisha mabinti na Wanyama hawa; ukiona binti amekamatika
kwenye maswala ya mapenzi ujue kuna mahali alifanya uzembe
lakini si kwamba hakuwa na uwezo ndani yake wa kuyashinda
maswala ya (hisia za) mapenzi.
3. Wepesi katika kubadili uelekeo
CO
Paa na Ayala wana wepesi katika kubadili uelekeo, yaani anaweza
akawa anakimbia uelekeo fulani halafu ghafla akageuka na
kukimbia uelekeo mwingine kabisa, na mbinu hii huwapa tabu sana
maadui zao (simba, chui nk).
Wewe binti unayesoma kitabu hiki, kama ulikuwa umekimbia
uelekeo Fulani na unaona kabisa kuna hatari imekukaribia au
EE
16
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
ukiamua kumuacha. Hiyo sio asili yako, hiyo sio sifa ya binti, sifa ya
binti ni uwezo wa kufanya maamuzi anapogundua ueleko alio nao
ni hatari kwa maisha yake.
4. Urembo (beauty)
Paa na Ayala ni Wanyama wenye sifa ya urembo au ni Wanyama
warembo au kwa lugha nyingine watamu kwa Wanyama ambao ni
PY
maadui zao. Na hii ndio sababu ya kuwindwa na Wanyama wengi.
Ni Wanyama ambao hata kwa muonekano ni warembo.
Na hii ni mojawapo ya sifa za mabinti (wasichana wadogo). Mabinti
wote huwa ni warembo tu, msichana akiwa mdogo anakuwaga tu
mzuri (mrembo). Tatizo ni kwamba kuna mabinti wao hawajioni
CO
kuwa ni warembo, japo ukweli ni kwamba ni warembo, na hii ndio
sababu siku akiambia na kijana wa kiume kwamba ni mrembo,
jambo hilo haliondoki ndani yake na linaweza kuwa mtego wa
kujirahisi. Lakini, kama wewe binti umejitambua ni mrembo, ikitokea
kijana anakuambia mrembo haiwezi kuwa sababu ya kujirahisi, kwa
sababu anakuwa ameongea kitu ambacho wewe mwenyewe
unajitambua.
EE
17
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
mabinti, unakuta mkurugenzi yuko busy kutafuta vibinti vya miaka
kumi na au ishirini ya mwanzo ili alale navyo. Hawa ni wakurugenzi
wasio na akili timamu, walioharibikiwa akili zao. Wengine
wanatafuta kulala na mabinti ambao ni sawa kabisa na watoto wao
kiumri. Hii ni kwa sababu, roho ya uzinzi inaharibu akili ndio maana
CO
unakuta mkurugenzi anayetegemewa kufanya maamuzi ya
kampuni kubwa anakuwa busy na vibinti vya umri mdogo ambavyo
ni sawa na watoto wake.
5. Uwezo wa kufanya kile wanachokitaka kitokee
Paa na Ayala wakiamua wanaweza kufanya kile wanachokitaka
kitokee (to maneuver). Uwezo huu wa kumaneuver akiwa
EE
18
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
SEHEMU YA NNE
ADUI MKUU WA PAA NA AYALA NA SIFA ZAKE
AKIMUWAKILISHA KIJANA WA KIUME
CO
A dui mkuu wa Paa na Ayala ni chui kisha ndipo huja maadui
wengine kama simba, mbwa pori, mamba nk. Nataka nieleze
kidogo kuhusu huyu mnyama anaitwa chui kwa sababu ndiye adui
EE
19
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
hawamfikii Chui kwa kasi lakini wanaweza kukimbia kwa muda
mrefu bila kuchoka.
Hizi sifa pia wanazo vijana wa kiume wenye nia mbaya na binti,
wengi wana kasi katika kufukuzia mabinti ili wapate wanachokitaka;
namna nzuri ya kushughulika nao ni kutowaruhusu kabisa kupata
CO
wanachokitaka, wakifukuzia kwa muda bila matokeo watachoka na
kuhamia kwa binti mwingine.
Sifa (au nguvu) nyingine waliyonayo Chui ni mkazo katika ufuatiliaji
(focus). Kama umewahi kufuatilia namna ambavyo Chui
wanafuatilia Wanyama jamii ya swala, utagundua Chui huwa ana
mkazo kwa mnyama mmoja kati ya wengi. Chui akiona kundi la
EE
20
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
mahali, kila mtu anajua habari zako wewe na kijana fulani kwa
sababu umeshatangazwa kwa vijana wengine.
Unajua, kwenye maswala ya uzinzi kwenye jamii zetu, ni kama vile
aibu kubwa iko kwa binti kuliko kwa kijana wa kiume, japo dhana
hiyo sio sahihi kwa sababu kiroho tatizo liko kwa wote
CO
wanaojihusisha na uzinzi; lakini ni kama vile jamii zetu zimelipokea
jambo hilo kwa namna hiyo kwamba aibu kubwa ni kwa binti na sio
kwa kijana wa kiume; ndio maana msichana hawezi kutembea na
kijana wa kiume halafu ukamsikia anajisifia kwa tendo hilo lakini
kwa vijana wa kiume ni kawaida kabisa kwa wao kujisifia kwamba
ametembea na binti fulani na fulani. Ni vizuri wewe binti utambue
hili kwamba vijana wa kiume huwa wanaambiana kuhusu mabinti
ambao wanafanya nao ngono na pia wanashirikia katika
EE
kumfukuzia binti.
Sifa ya nyingine ya chui ni wepesi (swiftness) ambayo naweza
kuifananisha na sifa ya vijana wa kiume walivyo wepesi kugundua
uhitaji wa binti na kuutumia huo ili kumpata binti. Kwa mfano vijana
FR
21
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
anafikiri amepewa ofa, asiwaze kwamba yule bodaboda ni mfanya
biashara, haiwezekani atoe hizo ofa wakati yeye mwenyewe jioni
atatakiwa apeleke hesabu kwa boss wake. Kwa kijana ambaye
amekusudia kumuharibia binti maisha, anaweza akakubali
kumpakia bure au kumsaidia binti kwa muda mrefu hata miezi
CO
kadhaa, akiwa na lengo kwamba binti amuamini na amfungulie
moyo wake; lengo lake ni kwamba ukikaa mwenyewe ndani
chumbani, umuwaze yeye kwamba ni mtu mzuri sana, mwenye
huruma sana na umfungulie moyo wako, yaani aingie ndani ya
moyo wako. Na anajua akishaingia ndani ya moyo wako, atakuwa
rahisi sana kuupata mwili wako. Wewe binti, kama kuna kijana
yeyote ndani ya moyo wako umeanza kumuona ni mtu mzuri sana
na umeanza kumuhurumia na umemfungulia moyo, ujue unajiweka
EE
22
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
vijana wanakufuatilia na kukuvizia, unakuta kijana anakufuata
wewe humfahamu kabisa lakini yeye anakufahamu kila kitu,
kuanzia jina, umri, nyumbani kwenu, shule yako, njia unayopita kila
siku, marafiki zako n.k. mpaka unashangaa. Lengo lake ni
kuonekana yeye si mgeni (stranger) kwako na iwe rahisi kupata
CO
nafasi kwako. Hii ni sifa mojawapo wanayoitumia vijana wa kiume
wawindaji wa mabinti.
Mbinu kubwa ya paa na ayala ambayo inamsaidia kujilinda na chui,
japo chui amemzidi kwa kasi, ni uwezo wake wa kukimbia
akirukaruka na kupiga kona kona (Stotting and Zigzag running) na
hii ndio inampatia wepesi kukabiliana na Chui na Wanyama wa
aina hiyo pamoja na kwamba wamemzidi kasi. Kumbuka kwamba,
EE
23
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
alijisahau. Binti anayenaswa na kijana wa kiume katika mapenzi ni
wazi kwamba kuna mahali amekosea, lakini ukweli ni kwamba kila
binti anao uwezo wote wa kujiponya na uwindaji wa vijana wa
kiume.
Mara nyingi, kama si mara zote, paa na ayala huwa wanakamatwa
CO
wakati wanaposimama kuangalia kama Chui bado anawafuatilia.
Wakati Paa na Ayala wanakimbia kwa ile aina yao ya ukimbiaji,
wakiwa wanamkimbia Chui, kuna muda Paa au Ayala anasimama
kuangalia kama Chui bado anamkimbiza; muda huo amesimama
ndio mara nyingi hujikuta amekamatwa, lakini sio kwamba hawana
uwezo wa kuwashinda maadui zao, wanao uwezo wote. Paa na
Ayala wakiwa makini wakaendelea na aina yao ya ukimbiaji wao,
EE
24
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
ambavyo mabinti wengi wadogo wanavitafsiri kama upendo toka
kwa kijana wa kiumbe, ni tamaa.
Kile kinachotafsiriwa kuwa ni upendo kwa mahusiano ya binti na
kijana wa kiume mara nyingi kama si zote ni tamaa, kama wewe
binti haujafikia umri wa kuolewa na hauko tayari kuolewa
CO
mahusiano yeyote ya kimapenzi mtakayokuwa nayo na kijana wa
kiume hayana upendo ndani yake bali yamejaa tamaa mbaya
yenye uharibifu. Upendo wa kweli huzaa uwajibikaji, yeyote
anayesema anakupenda na hayuko tayari kuwajibika kwa maisha
yako huyo mtu hakupendi anakutamani. Binti ni vizuri utambue hili
na usijiingize kabisa kwenye mahusiano ya mapenzi kama hujafikia
umri na wakati wa kuolewa. Kwa hiyo, kama hakuna ndoa ujue
hakuna upendo.
EE
25
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
mnyama husika. Kwa hiyo lengo sio mnyama kimsingi, bali ni funzo
au ile hekima kutoka kwa tabia za huyo mnyama.
Mimi kuandika haya yote kuhusu Paa na Ayala na Chui, usije
ukadhani ninataka sana ujue habari za Wanyama, kitabu hiki sio
shule ya Wanyama, bali lengo lake ni wewe BINTI UPATE HEKIMA
(FUNZO) INAYOTOKA HAPO KWA HAO WANYAMA. Kama wewe
binti unayesoma hiki kitabu utaelewa tabia za paa na ayala na
PY
miondoko yao halafu usipate funzo na kujua cha kufanya kwenye
Maisha yako ya ubinti basi hiki kitabu kimeshindwa kukusaidia na
hakitakuwa na maana kwako. Sasa, baada ya maelezo hayo
niliyoweka hapo juu, nataka nikukumbushe tena lile andiko letu
ambalo pia nimelifafanua kwenye utangulizi na kutokana na
CO
maelezo tuliyojifunza . Nitalinukuu tena andiko letu la msingi nikiwa
nimeweka maelezo ndani yake ili uelewe vizuri zaidi
Wimbo uliobora 2:7 “Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa
[Kutumia HEKIMA ya] paa na kwa [HEKIMA ya] ayala wa porini,
[JILINDENI] Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata
yatakapoona vema yenyewe.”
EE
26
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
SEHEMU YA TANO
UPANDE WA PILI WA AYALA NA PAA
CO
M ithali 5:19a “Ni ayala apendaye na paa apendezaye...”.
Andiko hili litatusaida kuelewa kwanini Mfalme Suleimani
aliwataja wote Ayala na Paa kwenye andiko letu la msingi la
Wimbo Ulio Bora 2:7. Tukiunganisha andiko letu la msingi na
EE
27
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
Kwa hiyo, wewe binti unayesoma hiki kitabu, kwa uzuri wako wa
nje na kwa urembo wako, usiyachochee mapenzi wala kuyaamsha.
Unajua, kuna mabinti/wasichana ambao kinachowaharibu au
kilichowaharibu ni kwamba walijiona wazuri sana; alianza
kuharibikiwa pale alipojigundua yeye ni mzuri kuliko wadada
wengine, labda kwa rangi yake, au sura yake au umbo lake, na
wakati mwingine alipokuwa akisifiwa sana na kila mtu kwamba
PY
yeye ni mzuri.
Wapo wasichana wa aina hiyo, kwamba wanajiona wazuri sana na
uzuri wao ndio unawapoteza. Ndio maana Neno la Mungu
linasisitiza, kwa paa akimaanisha kwa urembo wako, kwa uzuri
wako, kwa heshima yako, kwa mvuto ulio nao, kwa muonekano
CO
wako mzuri, kwa umbo (shape) lako, usiyachochee mapenzi.
AYALA ANAWAKILISHA HISIA ZA NDANI YA BINTI(MSICHANA)
Mithali 5:19a “Ni ayala apendaye na paa apendezaye...”
2. “Ayala Apendaye”. Ayala anawakilisha hisia za ndani. Ayala
anawakilisha hisia za ndani kwa sababu kupendeza au urembo
(ambao unawakilishwa na paa) ni kitu cha nje lakini kupenda ni kitu
EE
28
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
yatakapoona vema yenyewe.”
Unajua, kuna namna kila binti, na sio tu kila binti, kila binadamu
ndani yake ana hisia za kupenda au za mapenzi, na hisia hizo sio
dhambi. Kuna wadada wakisikia hali fulani ya hisia za mwili
wanafikiri tayari wameshamkosea Mungu na Shetani anatumia
CO
fursa hiyo kumkatisha tamaa. Ni vizuri kufahamu kwamba, binti
yeyote akiwa ameshavunja ungo (amepevuka), kuna kipindi katika
mzunguko wake wa mwezi hisia zake zinabadilika na kuwa juu
tofauti na siku zingine. Hata vijana wa kiume pia vipindi vya hisia
zao vinapishana, kuna wakati hisia zao za mwili zinakuwa juu
kuliko wakati mwingine. Yai la mwanamke linapojitengeneza ndani
ya binti, kuna wakati linafikia linakuwa tayari kukutana na mbegu ili
EE
29
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
Tatizo sio urembo wala tatizo sio hizo hisia za ndani, tatizo ni je
unaitikiaje hizo hisia zinapokuja? Hizo hisia sio dhambi, siku
ukiolewa utaelewa kwamba hisia sio dhambi. Ukiolewa halafu
ukajikuta huna kabisa hisia ndio utaelewa hiki ninachokuambia.
Hizo hisia ni Mungu ameziweka lakini ziamshwe kwa wakati wake.
Hizi sifa za nje na ndani za Paa na Ayala ni tatizo kubwa kwa
wasichana wasipojua kuzimudu. Wewe binti unayesoma hiki kitabu,
PY
ninakusihi, urembo wako usikufanye uyaamshe mapenzi, na hata
hizo hisia, hata zikija kwa nguvu kiasi gani, usiziruhusu
zikayaamsha mapenzi. Siku zote itikia kinyume na hisia na sio kwa
uelekeo wa hisia zako, usizitimizie hisia zako matakwa yake.
Usiziendekeze hisia zako, unao uwezo wote wa kuzimudu bila
kukukosesha.
CO
HAYAJAZIMIKA WALA HAYAJAFA, UKIYACHOCHEA YATAWAKA,
UKIYAAMSHA YATAAMKA.
Turudi tena kwenye andiko letu la msingi, kuna jambo lingine
tunatakiwa tuliangalie hapo:
Wimbo Ulio Bora 2:7 “Nawasihi enyi binti za Yerusalemu, kwa
EE
30
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
hisia za mapenzi ndani yake, isipokuwa tunatofautiana ulalaji wa
hizo hisia au tunavyoziamsha hizo hisia. Kuna mabinti wengine,
kutokana na vitu anavyojihusisha navyo kusoma, kutazama,
kusikiliza, vinasababisha hisia zao zinakuwa zimelala usinginzi wa
mang’amung’amu (usinginzi nusu) au wengine hazijalala kabisa
CO
ziko macho sababu wameziamsha. Kwa hiyo, binti yangu,
usiyachochee wala kuyaamsha mapenzi mpaka yatakapoona
vyema yenyewe; yaani mpaka umri utakaofikiwa rasmi kiafya, na
kupata kibali kutoka kwa Mungu na wazazi, na kumpta mwenza, na
kufunga naye ndoa, ndipo utakaoanza kufanya mapenzi na
mwenza wako.
Bahati mbaya ni kwamba, mapenzi yakiamka, kuyalaza ni kazi
EE
31
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Hosea 4:11 “Uzinzi na divai na divai mpya huondoa fahamu za
wanadamu.”
CO
EE
FR
32
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
SEHEMU YA SITA
BINTI/MSICHANA KUUWEZA MWILI WAKE
CO
U jumbe ambao nimekuwa nikijaribu kuuleta kwako binti ambaye
unasoma kitabu hiki ni kwamba, unapaswa kuuweza mwili
wako pamoja na mazingira yako, ili kwa namna yeyote ile,
usiamshe hisia za mapenzi na mwisho wake ukajikuta umepata
EE
33
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
nikimaanisha kwamba anao uwezo ndai yake wa kuuweza mwili
wake. Mungu hawezi kukupa mwili unaokushinda binti yangu,
Mungu amekupa huo mwili unao uwezo wa kuumudu na hisia zake.
Hujapewa miili miwili wala hisia za watu wawili, umepewa hisia
zako peke yako, labda kama kuna pepo au nguvu za giza ndani; na
kama lipo pepo linaondoka sasa unaposoma kitabu hiki kwa jina la
Yesu.
CO
Kila binti, anapaswa kuweza au kujua kujizuia tamaa za mwili wake
zisimkoseshe, asiziamshe na zikamkosesha. Unajua njaa pia ni
tamaa kama zingine, ni tamaa ya chakula; kuna watu sababu ya
njaa anaiba au hataki kufunga, sasa hapo shida sio njaa lakini mtu
ameshindwa kuimudu njaa au wengine ni kuiendekeza njaa kama
Esau alivyoiendekeza njaa akauza uzaliwa wake wa kwanza. Na
EE
ndivyo ilivyo kwa tamaa zingine, kwa hiyo, wewe binti, usikubali
mwili ukuendeshe. Bodaboda inaendeshwa na dereva aliyeipanda,
haimuendeshi aliyeipanda. Ukikubali bodaboda ikuendeshe
itakupeleka mtaroni na hata kukuua, na tatizo halitakuwa bodaboda
bali ni aliyeipanda, lakini ukiiendesha bodaboda inaweza
FR
34
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
SEHEMU YA SABA
MAENEO YA BINTI KUJILINDA ILI
ASIYACHOCHEE WALA KUYAAMSHA MAPENZI
CO
N inajua kwamba kitabu hiki kinaweza kusomwa na mabinti
ambao wamefikia umri wa kuolewa lakini sehemu kubwa ya
kilichofundishwa kinawalengwa sana mabinti ambao hawajafikia
EE
35
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
sekondari (OLevel au hata ALevel) halafu anasema nina
mchumba wangu. Kuna mabinti wengine, wanajiita wameokoka na
wanakuwa na “boyfriends”, na hii boyfriend hawamaanishi rafiki wa
kawaida wa kiume bali ni mpenzi wake. Kama wewe binti una
“boyfriend” na unasema umeokoka, nina mashaka makubwa na
CO
wokovu wako. Ninajua tamaduni hizi za kizungu zimeingia na huku
kwetu na hata mpaka makanisani, lakini ukweli unabaki pale pale,
mahusiano yeyote ya kimapenzi nje na kabla ya ndoa ni dhambi na
hayakubaliki.
Wewe binti unayesoma kitabu hiki, kama ulikuwa na mahusiano ya
kimapenzi au boyfriend, huu ndio wakati muafaka wa kuvunja
mahusiano hayo ambayo yamekuwa kinyume na mpenzi ya
EE
36
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
upendo bali yanasababishwa na muunganiko wa hisia/nafsi pamoja
na mazoea mabaya mliyokuwa nayo. Kwa hiyo, kama mmeungana
sana nafsi zenu, majeraha na maumivu yatakuwa makali zaidi na
kinachomtesa binti sio upendo bali ni maumivu ya nafsi au hisia.
Maumivu saa ya kuachana ni suala la kawaida, lakini ukweli
mwingine ni kwamba, maumivu hayo hayawezi kukuua… kuna
CO
mabinti wengine kwa sababu ya hali ya muunganiko wa nafsi
wanasema “mimi siwezi kuishi bila kijana fulani nahisi
nitakufa”; huwezi kufa kwa sababu mtu huyo sio Mungu wala sio
pumzi unayopumua; ni kweli itauma lakini itapona na haitakuua.
Yale maumivu ni kwasababu ya hisia kuungana na sio uhalisia
unaoweza kumuua mtu.
Lakini pia, kumbuka unaposoma kitabu hiki iko neema kubwa ya
EE
37
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
inapofika saa 4 asubuhi, mtu huyu akifanya hivi kwa muda mrefu,
itafika mahali ikifika saa 4 akakosa kikombe cha maziwa atahisi
kama ndio anakufa kwa hali ya mwili wake kuhitaji maziwa. Sasa
kiuhalisia ni kwamba, pamoja na hali anayojisikia wakati wa
kunywa maziwa ukifika, bado hali ile haiwezi kumuua. Ndivyo ilivyo,
unapokuwa unawasiliana sana na kijana wa kiume hasa
mawasiliano ya kimapenzi na kujaliwa sana, nafsi yako inakuwa
PY
inalishwa, na baada ya muda inakuwa imezoea kulishwa maneno
matamu matamu toka kwa huyo kijana na hata kuulizwa kama
umekula au umelalaje/umeamkaje/unaendeleaje/umevaaje nk;
sasa ikifika muda ambao nafsi imezoea kujaliwa kwa maneno au
matendo fulani halafu haipati hicho chakula toka kwa kijana huyo,
nafsi itakuwa na uhitaji mkuwa na hata kusikia kama vile huwezi
CO
kuishi bila maneno na mazoea mliyokuwa nayo, na hapo ndipo
sasa binti huanza kuhisi kwamba bila huyo kijana hawezi kuishi,
lakini ukweli ni kwamba baada ya muda na kwa neema ya Mungu
juu yako unayesoma kitabu hiki, ukifanya maamuzi ya kumaanisha
na kung’ang’ania, hiyo hali itaisha na utafunguliwa kabisa toka
katika kifungo hicho cha nafsi.
Kama binti hujaingia kwenye hiki ninachokieleza, basi jilinde
EE
38
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
wanasema nina mchumba, uchumba sio jambo dogo uchumba ni
commitment inayohusiasha mapatano au agano mpaka kwa
wazazi, kama wakati huo bado usijihusishe kabisa na mahusiano
ya kimapenzi. Uchumba ni agano la kuelekea ndoa, mfano mzuri ni
wakati Yusufu amemchumbia Mariam, malaika anamwambia
Yusufu, usimuache mkeo kwa sababu mimba aliyonayo ni kwa
CO
uwezo wa Roho Mtakatifu (Mathayo 1:20). Kwa hiyo, kama bado
hujafikia umri wa kuolewa, na kijana bado hayuko tayari kubeba
wajibu wa ndoa, yaani hajaja kwenu kujitambulisha na kulipa
maharI, haruhusiwi kuitwa mchumba.
Swali la msingi la kujiuliza wewe binti, je wakati wako wa kuolewa
umefika? Kama jibu ni bado, basi huruhusiwi kuwa katika
mahusiano, na kama uko kwenye mahusiano ya kimapenzi yavunje
EE
tofauti (wavulana)
Hili ni eneo la pili muhimu sana kwa wewe binti kujilinda, yaani
namna unavyohusiana na kuishi na vijana wa kiume (wavulana).
Ninaposema “jilinde unavyohusiana”, simaanishi kuwa na
mahusiano ya kimapenzi, hapana, ninaongelea mnavyojikuta
39
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
wanapohusiana au kuwa karibu na msichana; mara nyingi mabinti
wengi wanapokuwa karibu na kijana wa kiume huwa hawana nia
mbaya japo wapo kadhaa wenye nia mbaya; lakini vijana wengi wa
kiume huwa wana ajenda zao za siri (wana nia mbaya)
wanapohusiana au kujichanganyana mabinti, isipokuwa wengi
CO
huwa hawadhihirishi nia zao haraka kwa sababu wanakuwa
wanamsoma binti kwamba atamuelewaje akiidhihirisha nia yake
mapema, lakini ikitokea amepata mwanya basi atautumia ipasavyo.
Lakini, kwa upande mwingine, inawezekana kijana wa kiume hana
ajenga yeyote ya siri (hana nia mbaya), lakini vijana wengi wa
kiume huwa, bila kutaka, wanajikuta wanaingia kwenye mtego
katika kuhusiana na mabinti. Hii inatokana na nilichokieleza katika
EE
40
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Ndio maana Suleimani anasema katika kitabu cha Mithali 30:19
“Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna
manne nisiyoyafahamu. Mwendo wa tai katika hewa; Na
mwendo wa nyoka juu ya mwamba; Mwendo wa merikebu
katikati ya bahari; Na mwendo wa mtu [mvulana] pamoja na
CO
msichana.” Moja ya miendo asiyoielewa Suleimani ni mwendo wa
msichana na mvulana, kwa hiyo usishangae sana wazazi wako
wasipokuelewa; wanapotaka maelezo mengi wanapokuona
unahusiana na kijana wa kiume wewe binti. Ndio maana hata
wazazi hawaelewi mwendo wenu, ndio maana hata kanisa wakati
mwingine haliwaelewi miendo yenu.
Kama mwendo wa kijana pamoja na msichana haueleweki hata
EE
41
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Na Msichana Ni, Katika Usafi Wote (yaani usafi wa Mwili,
Mwenendo, Roho)
Mambo saba (7) muhimu ya kuzingatia kwa msichana
anapokuwa karibu na kijana wa kiume ili asiyaamshe mapenzi,
na iwe katika usafi wote:
CO
Sasa hii hailazimishi kijana wa kiume na binti kuwa karibu, lakini
ikitokea kumekua na ulazima wa kuwa karibu basi haya mambo
saba yazingatiwe ili ukaribu huo uwe katika usafi wote na
usioyaamsha mapenzi.
I) Kumcha Mungu ndio kuwe kinga kuu ya uhusiano wenu
EE
42
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
wewe binti unayesoma kitabu hiki, yako kwenye maeneo
matatu, moja maisha ya wazi (public life) ambayo mara nyingi
ni maishaambayo huonyesha kila mtu ni safi na hakuna
anayeonyesha uovu wake katika Maisha ya wazi; mbili ni
Maisha ya binafsi (private life), haya ni wakati watu huwa
wawili peke yao, mfano mzuri ni wanandoa, Maisha yao binafsi
CO
ni wakati wako wawili na sio wanapokuwa mbele za watu; tatu
ni Maisha ya sirini, Maisha haya ya sirini ni yale unajua wewe
na Mungu wako, hakuna mtu mwingine anajua. Mungu huwa
anaangalia Maisha ya sirini kuja Maisha ya wazi. Ucha Mungu
wa kweli huwa unaanzia kwenye Maisha ya mtu ya sirini. Je,
wewe binti unaishije Maisha ya sirini na huyo kijana wa kiume?
Mungu huwa anaangalia kwanza Maisha yenu ya sirini ndipo
EE
43
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
mmeokoka lakini namna mnavyohusiana inachanganya maana
yake uhusiano wenu hauna ucha Mungu ndani.
Mnavyohusiana inaharibu ushuhuda wa Neno la Mungu.
(d) Ni dhamiri za watu kuwashuhudia usafi
CO
Ukiona dhamiri za watu zinapata shida na namna
mnavyohusiana, ujue huo uhusiano unavuka mpaka wa ucha
Mungu, hata kama hakuna kitu chochote kibaya kinaendelea
kati yenu.
(e) Maana nyingine ya kumcha Mungu
Lakini pia, jambo lingine, kumcha Mungu ni kutambua uwepo
EE
kuyaamsha mapenzi.
II) Mahusiano yenu lazima yawe na malengo, mahusiano
yasiyo na malengo ni rahisi sana kufanya kisichotakiwa.
Jambo la pili muhimu wewe binti unapohusiana na kijana wa kiume
(kama kweli ni lazima muhusiane au mjichanganye) ili msiyaamshe
44
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
kubadili lengo, msiende nje ya lengo mtajikuta mmeenda mahali pa
kuyaamsha mapenzi kabla ya wakati wake; lengo lililowakutanisha
Ppamoja likiisha kila mmoja aende kwao.
Kuna mabinti walianza vizuri tu, wakakutana na vijana kwa lengo
zuri (labda la mazoezi ya kusifu na kuabudu; au kujifunza jambo
CO
fulani), lakini zoezi au funzo lilipoisha wakaanza kutoka kwenye
lengo, wakaanza kusindikizana, badae kuanza kuwasiliana usiku
sana na mwisho wakayaamsha mapenzi na kujikuta wamemkosea
Mungu; mwanzo lilikuwa lengo zuri la kumtukuza Mungu, lakini
hawakulizingatia na kutoka nje ta lengo. Binti yangu, kama hakuna
lengo, hakuna haja ya kuwa na ukaribu na kijana wa kiume, salamu
tu zinatosha. Sio sifa mzuri kwa binti kuwa na ukaribu na Watoto
EE
45
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
uko kwenye hatari. Jambo hili liko hivyo hata kwenye mahusiano;
msichana yeyote lazima awe na mipaka na aweke mipaka wazi ya
mahusiano yake. Mabinti wengi huwa wanaanguka katika dhambi
ya uzinzi bila wao kupanga ni kwa sababu ya kutokuwa waangalifu
na mipaka ya mahusiano yao.
CO
Unajua, hata kwenye nyumba, kuna wakati unaweza ukaibiwa kwa
sababu tu ya uzembe, labda umesahau kufunga geti na mwizi
anapita anaona geti liko wazi, huo ni uzembe wa kutotunza mipaka.
Wewe binti, lazima uweke mipaka vizuri katika mahusiano yako.
Weka mipaka mizuri ya mawasiliano ya simu na ujumbe (meseji).
Binti makini, hawezi kumruhusu kijana amtumie ujumbe ya aina
yeyote, yaani iwe ujumbe wa mapenzi, matusi na yeyote yeye
EE
anaikubali tu.
Binti makini, ataweka mipaka ya aina za meseji ambazo
anamruhusu kijana wa kiume amtumie; akiona ujumbe mbaya toka
kwa kijana wa kiume, haichekei bali anamuonya kwa ukali na
akiendelea kuvuka mpaka wa meseji basi anamfungia (block).
FR
46
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
uchi au za ngono halafu akituma tu anakutumia ujumbe kukuambia
“samahani nilikosea” na binti anaamini kwamba kweli alikosea.
Ikitokea amekutumia picha za aina hiyo usiwe mpole, mkaripie na
ikiwezekana mfungie (block) kabisa. Jiulize kwa nini hajakosea na
kumtumia mama yake mzazi picha ya aina hiyo na akutumie wewe
kama sio ukosefu wa nidhamu huo na kujaribu kuvuka mpaka
CO
wako? Au kwa nini asikosee na kutuma kwa mchungaji wake?
Mara nyingi kijana anachofanya huwa ni kuujaribu mpaka wako
kama kweli upo; akiona unacheka cheka na hauwi mkali kulinda
mpaka huo, atajua huo mpaka haupo, kesho yake au siku nyingine
hatakutumia picha ya utupu bali atakutumia video za ngono;
ukiendelea kutulia atagundua na huo mpaka pia ulishavunjika,
ataenda zaidi na Zaidi.
EE
47
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
ukivuka utakutana na mlango wa sebuleni wa mbao, ukivuka
utakutana labda na mlango mwingine wa koridoni, ukivuka
utakutana na mlango mwingine wa chumbani. Huwa hawavamii
kuanzia mlango wa chumbani bali huazia kwenye mipaka ya mbali
kabisa ya nje ya geti au ukuta wa nje.
CO
Hata kijana kwa binti pia ni hivyo hivyo, huwa anaanzia mipaka ya
mbali kabisa, ya kujifanya amekosea ujumbe (meseji), mipaka ya
muda wa kuwasiliana.
Msichana yeyote makini lazima awe na mipaka ya muda wa
kuwasiliana; haijakaa sawa kabisa wewe binti unaruhusu muda
wowote kuongea na simu na vijana wa kiume, hata kama
EE
48
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Ugumu wa kuingilika na ndio thamani ya ikulu.
Narudia tena, sifa ya msichana ni ugumu wa kuingilika, ni ugumu
wa mipaka yake kuingilika, ni kukaza mipaka yake, yaani wewe
binti, unaukaza mpaka wako wa mawasiliano mpaka vijana wa
kiume wanasema “dah, huyu binti ndio binti sahihi wa kuoa
CO
ikifika wakati sahihi wa kuoa”; kwa sababu atagundua unaweza
kujitunza hata baada ya ndoa. Ukweli ni kwamba, hakuna
mwanaume anayependa kushare mke, kwa hiyo ni imani ya kila
mwanaume kwamba, binti asiyeingilika kirahisi ndiye binti anayefaa
kwa ndoa wakati ukifika. Ugumu wa mipaka na wa kuingilika ndio
humuhakikishia mwanaume muoaji kwamba hatakuja kushare na
wanaume mwingine pindi atakapomuoa huyo binti.
EE
49
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
kufanya hivyo ni kuvuka mipaka ambayo inaweza kukupelekea
kuamsha mapenzi na kupata madhara makubwa usiyoyatarajia.
Kosa kubwa alilofanya Tamari, ni kumtemebelea Amnoni chumbani
kwake kwa sababu Amnoni alikuwa mgojwa.
2 Samweli 13:10 – 11 “Amnoni akamwambia Tamari, kilete
CO
chakula chumbani, nipate kula mkononi mwako. Basi Tamari
akaitwaa mikate aliyoifanyiza, akamletea Amnoni nduguye mle
chumbani. Naye alipokwisha kuileta karibu naye, ili ale,
Amnoni akamkamata , akamwambia, njoo ulale nami, ndugu
yangu”
Binti, lazima uweke mipaka ya kueleweka kwa sababu, kama
nilivyosema, huwa hakuna mwizi anaingia chumbani bila kuingia au
EE
kupitia kwenye geti kubwa, ukiona mwizi yuko chumbani kwako bila
wewe kujua, kuna mawili, moja kuna milango ameshafungua
iliyomruhusu kuingia chumbani kwako, kama milango yote
imefungwa basi ujue huyo sio mwizi bali ni mchawi.
Hakuna binti anayeweza kuvuliwa nguo na kijana wa kiume kama
FR
50
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Nitaeleza kwa undani kuhusu KULINDA MOYO badae kwenye
kitabu hiki.
Binti, linda mipaka ya namna mnavyoongea na kijana wa kiume,
linda mipaka ya kugusana; wewe binti usikubali kuguswa kila
mahali na kijana wa kiume. Kuna maeneo ambayo kijana wa kiume
CO
haruhusiwi kabisa kukugusa hata kama ameona kitu cha kukufuta
au kukusaidia. Sio wewe binti, kijana anakuambia nimeona uchafu
kwenye ziwa lako au makalio na wewe unakubali tu akufute uchafu
hapo tena unasema akufute vizuri. Usikubali mvulana akuguse
eneo lolote ambalo ni eneo lako binafsi, wazungu wanaita “private
parts”. Haya maeneo yanaitwa “private” kwa sababu wewe pekee
ndio unaruhusiwa kujigusa na sio mtu mwingine hata kama anataka
ashike kwa jina la unabii au kukuombea. Haruhusiwi mtu kukushika
EE
51
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Binti unayesoma kitabu hiki, usikubali mguso wowote wa hila toka
kwa kijana wa kiume hata kama ni wa kukushika tu mkono; nasema
hivi kwa sababu, kuna vijana wa kiume atakushika mkono tu na
hajagusa pengine lakini ushikaji wake mkono una hila ndani yake;
kuna vijana wengine hata hakushiki popote lakini unagundua
CO
namna anavyokuangalia tu kuna hila ndani yake; yaani namna
anavyokuangalia na kufanya ishara fulani analeta ujumbe fulani wa
uzinzi na uovu; maana yake ni kwamba binti usikubali hata hizo
ishara na miguso ya aina hiyo.
Bibila inasema yapo macho yajaayo uzinzi 2 Petro 2:14 “wenye
macho yajaayo uzinzi…”
EE
52
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
mama huyo pia aliwahi kuwa msichana na amekutana na
changamoto za usichana wakati mwingine kubwa kuliko hata wewe
na akazivuka; kuna akili ambayo binti anaweza kuipata kwa
mwanamke mtu mzima, mama mtu mzima ana jicho la pili, ni rahisi
kuiona hatari ambayo binti haioni; lakini, sio tu mama, unaweza
ukamshirikisha na baba yako pia kama mna mahusiano mazuri au
CO
hata mchungaji wako pia.
Ongea nao wakushauri ni vitu gani ambavyo ni hatari kwako
vinavyoweza kuhatarisha ubinti wako, na wakikushauri, viweke
kwenye orodha yako binafsi ya vitu ambavyo unajizuia kufanya. Na
uwe mwaminifu kuifuata orodha hiyo bila hata kufuatiliwa na mtu,
wewe tayari ni binti mkubwa, jifunze kufanya mambo bila
kulazimishwa na kufuatiliwa, Watoto ndio wanahitaji kufuatiliwa;
EE
53
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
• Sitafanya mapenzi na mwanaume yeyote kabla ya ndoa (I
will not have sex with any man before marriage)
• Sitafanya busuna mwanaume kabla ya ndoa (I will not kiss
or deepkiss with any man before marriage)
CO
• Sitamtembelea kijana wa kiume chumbani kwake peke
yangu wala sitamruhusu kijana wa kiume kunitembelea
chumbani kwangu (I will not go to any man's house/room nor
will I allow him come to mine)
• Sitaenda sehemu yeyote ambayo si rafiki kwangu (sehemu
hatarishi) na kijana wa kiume au mwanaume mchana wala
EE
open/safe place)
• Sitaangalia picha, video na tamthilia za ngono wala
sitamruhusu mtu yeyote kunitumia picha za aina hiyo (I will not
watch ponography or movies of such nature)
54
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
only seriously committed one for marriage and the one am
ready to commit myself for marriage)
— The commitment should be formal not verbal only.
• Sitamruhusu kijana au mwanaume yeyote kuwa na
CO
mazungumzo machafu naye (I will not entertain any man or
having nasty talks with them)
• Sitamruhusu kijana au mwanaume yeyote kugusa sehemu
zangu za siri (I will not allow any man to touch my private parts
nor will I touch any man's private parts)
— Mguso (kumbatio – hugs, kushika mikono – holding hands
EE
55
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
• Sitaongea lugha chafu au mazungumzo mabaya ambayo
yanaweza kuniamsha hisia zangu (I will not allow myself to use
bad languages; I am committed to change the way I speak)
• Mimi sio msichana rahisi rahisi na sitajirahisi kwa kijana
yeyote wa kiume wala mwanaume yeyote (I will not see myself
CO
cheap nor acting as one)
• Sitavaa kwa namna ambayo inaonyesha maungo yangu na
kujiaibisha – nitavaa kwa heshima (I will not wear clothes that
show parts of my body I shall dress responsibly)
• Sitamtumia ujumbe au kumpigia simu kijana yeyote wa
kiume bila sababu hata kama tunafahamiana kanisani, shuleni
EE
au chuoni.
• Nitajiepusha na mizaha na kutaniana kuliko pitiliza na vijana
wa kiume
• Nitaridhika na hali ya maisha niliyonayo na sitakuwa na
FR
56
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
yatakuwa katika usafi wote na utakatifu.
Unapoanzisha mahusiano yasiyo na usafi utajikuta unatengeneza
mazingira ya kuyaamsha mapenzi. Hakikisha unalinda usafi na
utakatifu wako kwa gharama yeyote; lakini pia hakikisha haujengi
ukaribu na watu wasio safi. Ukigundua kijana yeyote (na hata binti
CO
mwenzio) hana usafi (kwa maana ya usafi wa kiroho na kitabia) au
Ukigundua mtu yeyote ambaye una ukaribu naye kwamba sio mtu
safi, achana naye mara moja wala usijaribu kumbadilisha.
Hakikisha mtu ambaye unahusiana naye ni mtu safi kwa maeneo
yote, ni msafi katika lugha (maongezi) yake, ni msafi katika meseji
zake anazokutumia, ushuhuda wake kwa ujumla ni safi. Ukigundua
kijana ana maongezi mabaya, achana naye, usiendelee kusikiliza
EE
57
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Waefeso 5:3 “Lakini uasherati usitajwe kwenu kamwe, wala
uchafu wo wote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu;”
V) Usijiamini kupita kiasi, usimuamini kijana wa kiume.
Jambo jingine la kuzingatia ili binti usiyaamshe mapenzi ni
CO
usijiamini kupita kiasi, lakini pia kwa upande wa pili usimuamini
kijana wa kiume.
Wale Wanyama ambao tumesoma habari zao, yaani Paa na Ayala,
moja ya sifa zao ni kwamba, akiwa pamoja na wanyama wengine
muda wote yuko makini kuangalia nini kitamtokea ili ajilinde. Na hivi
ndivyo binti makini anatakiwa kuwa. Wewe binti, hutakiwi
kumuamini kijana wa kiume, ni lazima uwe makini unapoishi naye
EE
58
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
hakikisha huo uhusiano au ukaribu usiwe wa siri. Mnapokuwa na
vitu vya siri ndipo unakuta vinaanza kupenya vitu viovu kati yenu
ambavyo vitayaamsha mapenzi.
VII) Kiwango sahihi cha mahusiano kati yako wewe binti na
kijana au vijana wa kiume kiwe ni cha kaka na dada tu.
CO
Ninachomaanisha ni kwamba, ikiwa ni lazima kuhusiana, basi
hakikisha kwamba mnahusiana kwa kiwango cha kaka na dada na
si vinginevyo. nasisitiza, husianeni kwa kiwango cha kaka na dada.
Ninaposema kiwango cha kaka na dada ninamaanisha kuwa,
muheshimiane kana kwamba mmezaliwa tumbo moja, yaani
unapokutana na kijana wa kiume kwa maongezi au mambo
EE
59
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
binti unamuandikia ujumbe huyo kijana unamuita kaka, na ikatokea
huo ujumbe umekosea umeenda kwa kaka yako wa tumbo moja,
basi huo ujumbe usiwe na ukakasi wowote kwa kaka yako.
Binti Jiulize: "Kama unamuandikia huyo kijana unayemuita kaka
ujumbe, na ukakosea ukaenda kwa kaka yako wa damu, je
CO
utakuwa na amani? au Je hiyo meseji unayomuandikia huyo kijana
unaweza ukaituma kwa kaka yako wa damu na kaka yako asikuone
una matatizo yeyote? Kama huwezi basi ujue hiyo meseji imevuka
mpaka wa kaka na dada tunaouongelea".
Wewe binti uliyeshika kitabu hiki, je hayo maongezi unayoongea na
huyo kijana unayemuita kaka, unaweza ukaongea maongezi hayo
na kaka yako wa damu na kaka yako asikuone kwamba una
EE
60
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
3) Linda moyo wako usinaswe (linda hisia zako za mapenzi)
Close your heart to all men except your daddy and blood brothers.
Eneo la tatu la muhimu sana kwa binti kujilinda na kujitunza ili
usiyachochee wala kuyaamsha mapenzi kabla ya wakati wake ni
eneo la moyo wako.
CO
Namna mojawapo ya kujilinda usiyaamshe mapenzi wewe binti, ni
kuulinda moyo wako usinaswe na hisia za mapenzi. Mabinti wengi
wanajikuta wameingia kwenye maswala ya mapenzi sio kwamba
mwanzo walitaka, lakini kuna vitu ambavyo waliviruhusu wakajikuta
moyo umenaswa.
EE
61
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
naye karibu na moyo wako umevutwa naye, binti unaweza kujikuta
unamuangalia au kuzungumza naye tofauti na wengine kiasi
akagundua kwamba kuna kitu.
Kwa nini nasema unapaswa kujilinda sana moyo wako, kwa
sababu tamaa ya msichana iko ndani yake na haiko kwenye macho
CO
tu kama mwanaume, shida kubwa ya msichana sio kumuona
mwanaume bila nguo, shida kubwa ya binti ni pale kijana
akishaingia ndani ya moyo wake. Na unajua binti, kijana wa kiume
akishaingia sana ndani ya moyo, haitakuwa ngumu kukuvua nguo
zako. Ukishamfungulia kijana wa kiume moyo wako kama
nilivyosema kabla, akaingia ndani yako mzima mzima,
umejitengenezea tatizo kubwa ambalo linaweza kukutesa.
EE
peke yako, lakini masaa yote usiku unamuwaza mkaka fulani ndani
yako, ukisikia simu inaita au meseji unawaza labda atakuwa yeye
anapiga au unatamani angekuwa ni yeye anapiga, ujue kuna
namna umeruhusu moyo wako kuingiliwa.
62
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Unamfunguliaje kijana wa kiume moyo wako?
Neno la Mungu linasema katika Mithali 18:16 “Zawadi ya mtu
humpatia nafasi;”
Unajua, kuna mabinti wamewafungulia mioyo vijana wa kiume bila
CO
wao (mabinti) kupenda au bila hata kujua kama wanafungua mioyo
yao; kwa kuwaruhusu wakaka kuwapa vitu na wakavikubali na
kuvipokea. Hivi wewe binti unajua, ukipokea kitu changu kwa
shukrani ya kweli toka ndani ya moyo wako; maana yake ni
kwamba umeufungua moyo wako kwangu? Ninachomaanisha ni
kwamba, ili shukrani ya kweli itoke kwenye moyo wa mtu ni lazima
kiwepo kitu ambacho yule mtu atakipokea kwenye moyo wake
ndipo moyo ufunguke kutoa shukrani za kweli.
EE
Kwa hiyo, binti, kama unapokea vitu kutoka kwa kijana wa kiume,
vile vitu vitaufanya moyo wake ufunguke kwake katika kupokea na
kumshukuru na kwa namna hiyo bila wewe kujua unajikuta
unaanza kumfungulia moyo. Kwa hiyo, jilinde sana na vitu
FR
63
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
yangu, usilichukue neno hilo na kuliingiza ndani ya moyo wako;
lichukue kama neno la kawaida tu. Lakini pia kijana wa kiume,
akikuambia ninakupenda, kuna tofauti kubwa sana na mdada
mwenzio akikuambia ninakupenda au akikuita majina mengine
mazuri mazuri kama baby, sweetie, honey, mpenzi nk; haya yote
CO
yakitoka kwa kijana wa kiume kukuelekea, usipokuwa makini
yanaweza kabisa kuufungua moyo wako kwa kijana huyo wa
kiume.
Binti yangu, tangu sasa, usiruhusu hayo kutoka kwa kijana wa
kiume kukuelekea, na kama ikitokea amekuambia, basi tangu sasa
anza kuchukulia kiwepesi wepesi kila kitu kizuri anachokuambia
kijana wa kiume, na usikiendekeze au ‘kukishikilia’moyoni mwako.
EE
64
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
bila kujua mtego wake, na sauti (tone) yako ya usingizi unaanza
kumuonea huruma za kisichana na kumuombea na baada ya hapo
mnalala. Siku ya pili, anakupigia tena saa tisa usiku, kwa gia ya
kukupa ushuhuda wa maombi yako ya jana usiku, anakuambia
yaani ulivyoomba jana umekata tu simu nikapona kabisa. Siku ya
CO
tatu anapiga tena saa nane usiku, mara hii anakuambia
nimekukumbuka na nimekumbuka ile sauti ya maombi,
anakuambia, “unajua Mungu alijibu yale maombi sio tu kwa sababu
ya Imani bali na ile sauti pia yaani, unaombaje kwa sauti tamu
hivyo halafu maombi yasijibiwe”, unafurahi siku inapita. Siku
inayofuata anaacha, hakupigii kwa sababu anajua tayari
ameshapanda kitu ndani ya moyo wako, na moyo wako ni kama
umezoea kuyapokea maneno yake; unajikuta wewe mwenyewe
EE
65
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Usijiambatanishe na rafiki yeyote asiye mcha Mungu, hata kama ni
wa kike. Ukijiunganisha na watu wasio wazuri, wenye tabia mbaya,
utajikuta na wewe tabia yako njema inaharibiwa. 1 Wakorintho
15:33 “Mazungumzo mabaya huaribu tabia njema”
5) Linda vitu unavyojilisha (kusikiliza, kutazama, kuongea nk)
CO
Kama binti unataka usiyaamshe mapenzi, linda sana vitu
unavyosikiliza, kutazama na kuongea. Kumbuka kwamba, kila
unaposikiliza unakula, unapotazama unakula, na mnachoongea
mnajilisha; na ukila tutaona matokeo. Hata kama hujui chakula
kinafanyaje kazi, ukila vizuri ni lazima tunaona matokeo. Kwa
mfano tukichukua mtu ambaye ni mwembaba kabisa, na tukaanza
EE
66
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
Umewahi kujiuliza kwa nini sasa hivi duniani watu wengi, hasa
vijana wanaitikia sana hisia za mapenzi? Sababu kubwa ni kwamba
wanajilisha zaidi maswala ya mapenzi. Ukifuatilia utagundua,
asilimia 90 au zaidi ya miziki ya dunia inazungumzia mapenzi, lakini
pia tamthilia na filamu karibu zote huzungumzia mapenzi. Shetani
ameshajua namna ya kukamata watu kwa njia hii ya ‘kuwalisha’
CO
aina fulani ya ‘chakula’.
Ni vizuri wewe binti ukafahamu kwamba, hisia na utashi (maamuzi)
yako huitikia kile ambacho unalisha fikra au nia yako ya ndani; nia
au fikra zako zikijaa mapenzi, hisia zako zitakuwa zinaitikia zaidi
maswala ya mapenzi kuliko kitu kingine na utajikuta maamuzi yako
kwenye hisia na masuala ya mapenzi yanaathirika sana.
EE
67
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
CO
EE
FR
68
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
SALA YA WOKOVU
PY
kitabu hiki; na unaona kabisa haujaenenda sawasawa katika
njia ya wokovu kwa habari ya kujitunza, basi ninakusihi ukiri sala hii
kwa imani na Yesu atakusaidia kuanza upya na kuenenda katika
njia inayokupasa ili uishi maisha safi katika ubinti wako na hatimaye
uwe mama bora hapo baadae. Mungu akubariki unapofanya hivyo
sasa.
CO
“Bwana Yesu, niko mbele zako, nimetambua ya kwamba mimi
ni mwenye dhambi na ninastahili hukumu, lakini pia
ninatambua ya kwamba wewe Yesu ulisulibiwa msalabani na
ukafa ili kulipa hukumu yangu, na siku ya tatu ukafufuka
kukamilisha wokovu kwa kila anayekuamini. Na mimi leo,
ninaamini ndani ya moyo wangu na ninakiri kwa kinywa
changu ya kwamba wewe Yesu ndio njia ya kweli na uzima ya
EE
69
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
CO
EE
FR
70
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
HITIMISHO
PY
Mungu, ishi kwa ujasiri ukijua unao uwezo wa kushinda dhambi
na kuvuka salama katika kipindi hiki cha ujana.
Neno la Mungu linasema katika 1 Yohana 2:14b “Niwaandikia
ninyi vijana kwa sababu mna nguvu na na Neno la Mungu
linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu.”
CO
Kwa hiyo, hakikisha unatenga muda wa kutosha kusoma Neno la
Mungu, kutafakari na kuomba, majibu ya maswali yote utayapata
humo.
Ni vizuri pia kuwa na mtu unayemwamini, aliyeokoka kwa ajili ya
kukuongoza na kukusaidia kuvuka salama. Anaweza kuwa mzazi,
mlezi au hata mchungaji. Hakuna jambo ambalo halina majibu au
EE
71
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
KUSUDI)
• HEKIMA ITAYOMSAIDIA MSICHANA KUOLEWA
• KIUMBE KIPYA
Fuata link hizo hapo chini kama unapenda kujifunza zaidi bure kwa
CO
njia ya Audio & Text na Mwl. Francis M. Langula
• TELEGRAM
— Mafundisho ya wote (Audio):
https://t.me/Neno_na_Pst_Francis
— Mafundisho maalumu ya vijana (Audio):
EE
https://t.me/RYG4Christ
• WhatsApp : +255754711247
• Youtube: Pastor Francis M. Langula
• Facebook
FR
— https://www.facebook.com/francis.langula
— https://www.facebook.com/UponyajiWaKiMunguKwaWote
• Instagram: @francis.langula
72
H E K I M A YA K U M S A I D I A B I N T I K U J I T U N Z A
PY
CO
EE
73