Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 3

PANSIANSI WILDLIFE TRAINNING INSTITUTE

P O BOX 1432
MWANZA
30 JULY 2023
MENEJA
RANDILEN WILDLIFE MANAGEMENT AREA

TAARIFA YA MAFUNZO MAALUMU KWA ASKARI WAHIFADHI

KUSUDI; kutoa taarifa fupi kuhusu mafunzo ya uhifadhikwa Askari wa uhifadhi yanayohusu
kuwajengea uwezo na ufanisi katika majukumu yao.

1. MAELEZO

Mafunzo yalianza rasmi tarehe 24, July 2023 siku ya jumatatu katika kambi ya Randilen Wildlife
Management Area, na yaliendeshwa na wakufunzi kutoka chuo cha Taaluma ya wanyamapori
cha Pansiansi Mwanza ambao ni;

a) Meja (Mstaafu) Ibrahim H Makunga


b) Mhifadhi Esther Israel Chacha

2. MAFUNZO YALIJUMUISHA
a. Utimamu wa mwili eg mbio za kujitegemea mchaka mchaka route march nk

b. Elimu ya jeshi usu na uhusiano na jeshi la ulinzi


c. Kwata za kijeshii na utoaji salamu (saluti)
d. Kufahamisha mtiririko wa vyeo na nembo za majeshi yote
e. Ulinzi na usalama wa maeneo muhimu na miundombinu ya serikali
f. Ujanja wa porini na mbinu za kivita
g. Mtiririko wa amri toka ngazi ya juu na kutokea ngazi ya chini kwenda ngazi ya juu
h. Wajibu wa viongozi na wafuasi katika utekelezaji wa majukumu

Nakala
Mkuu wa Taasisi PWTI (Pansiansi – Mwanza)
i. Umuhimu wa NIDHAMU na UTII kwa mwanajeshi

3. MAFUNZO

Mafunzo yaliendeshwa kwa makundi mawili kwa kila kundi lilifundishwa kwa siku tatu kwa
jumla ya Askari wa vyeo mchanganyiko idadi yao ikiwa ni 18 kati ya 26 waliopangwa. Idadi ya
askari ilipungua kutokana na wengine kulazimika kuendelea na kazi katika vituo husika.

Askari walipokea mafunzo kwa ari na kujituma Pamoja na kuonekana muda mrefu kidogo
hawakupata mazoezi ya kina.

Hatua kwa hatua ya mafunzo yalifanyika kwa kiwango cha kuridhisha na kuonyesha iko haja ya
utaratibu wa mafunzo ya mara kwa mara ufanyike Pamoja na mazoezi ya ukakamavu ili
kuwaweka vyema kutokana na majukumu yao ya doria na ulinzi wa maliasili za Taifa.

4. CHANGAMOTO

Kwa ujumla changamoto ni kuwa, Askari wengi wako katika vituo mtawanyiko, hivyo hata
kukusanyika kwao katika kituo cha mafunzo imekuwa ni vigumu.

Somo la matumizi ya silaha walipenda sana wakumbushiwe lakini halikuwezekana kutokana na


sababu za msingi, kuwa lazima silaha halisi ziwepo ili hitimisho lake ni zoezi la shaba.

5. MAONI NA MAPENDEKEZO

Kwa ujumla suala la mafunzo na mazoezi ni muhimu kwani wengi wao wamepitia vyeo
vinavyotamuliwa vya serikali vya askari wahifadhi wa mali asili kwa mtindo wa jeshi usu.

Ni vyema ufanyike utaratibu wa makusudi kuwa Askari hawa wahifadhi watambulike kwa
upande wa kuwaorodhesha katika jeshi la uhifadhi hasa TAWA.

6. MWISHO

Uongozi na Viongozi wa ngazi zote za Askari wa uhifadhi waendelee kujali na kufuatilia


utimamu wa askari, mafunzo na pia kuwatimizia mahitaji muhimu kwa utekelezaji wa
majukumu yao.

Nakala
Mkuu wa Taasisi PWTI (Pansiansi – Mwanza)
IBRAHIM H. MAKUNGA (MEJA MSTAAFU)
MKUFUNZI KIONGOZI

ASKARI WALIOFANYA MAFUNZO (24 – 30 July, 2023)


1. SSGT MAGLAN LOTH
2. SGT JULIUS RAPHAEL
3. SGT JULIANA HAGAI
4. SGT PINIEL MESIAKI LAIZER
5. SGT JOYCE SAMBEKE
6. SGT LENDEIPA LEMALALI
7. CPL MESHACK LEPILAL
8. CPL CHRISTOPHER JOHN
9. CPL EMMANUEL ISAYA
10. CPL MARY ELINAMI
11. CPL DENIS THOMAS
12. CPL MOSSES KILELO
13. CPL YOHANA NANG’UTUTI
14. CPL SOLOMON MELAKITI
15. LCPL MARTHA DANIEL
16. LCPL DANIEL CLAMIAN
17. LCPL STELA JUMA
18. PTE PETER SAITOTI

Nakala
Mkuu wa Taasisi PWTI (Pansiansi – Mwanza)

You might also like