Professional Documents
Culture Documents
Forex 2
Forex 2
FOREX NINI?
Forex inasimama badala ya neno FOREIGN EXCHANGE, Ambapo unakuwa unabadili sarafu moja toka
sarafu nyingine. Mfano kama ukitoka Tanzania unatumia TSH ukaenda Kenya ambapo wanatumia KSH
itakubidi ubadilishe sarafu yako ya kitanzania kwenda katika saafu ya kikenya. Kwa zoezi hilo unakuwa
umeshafanya FOREX.
Hapo kinachofanyika ni hiki, TSH/KSH kwamba unauza sarafu ya kitanzania kwa kununua sarafu ya
kikenya. Hili tutaliona katika platform hii. utakutana na vitu kama USD/CHF GBP/JPY EUR/USD
kwa wakati mmoja ambapo fedha hizo zinakuwa katika pair moja.
Fedha hizo zinakuwa katika pair ambayo tunaita CURRENCY PAIR ambayo inakuwa na fedha mbili za
nchi tofauti,mfano wa currency pair unaweza kuwa USD/TSH hii ni pair ya United State Dollar (Fedha ya
Kubadilisha hela huku mtandaoni ni biashara ambayo inazungusha hela nyingi kupita aina yoyote ya
biashara ulimwenguni kwa siku. Kwa siku biashara hii mzunguko wake wa hela ni zaidi ya $5 TRILLION.
Wakati stock exchange ya New York kwa siku ni $22.4billion, Tokyo ni $18.4 billion na London ni $7.2
billion kwa siku. Na hizo ni stock exchange kubwa duniani, hivo FOREX ONLINE ni kubwa kuliko hizi stock
exchange.
Soko la Forex awali lilikusudiwa kwa ajilli ya Mabank makubwa na taasisi kubwa za kibiashara,ila
(retail traders) nasi tumepata uwezo wa kuingia sokoni kupitia kwa dalali ama broker.
sana na huchangia sana uelekeo wa soko hili, bank hizo ni kama Citi Bank, JPMorgan,
hufanya biashara hii kwa ajili ya biashara Zao, mfano kampuni kama Toyota katika
kuagiza vifaa nchi nyingine hulazimika kubadilisha fedha yao kwenda kwenye fedha ya
Je, hii biashara ina muhimu wowote kwako? Jibu linategemea wewe unahitaji nini
NB: Kama utaweza tengeneza kiasi kikubwa cha pesa ndani ya mda mfupi, pia unaweza kupoteza
4. FOREX ni biashara kama biashara zingine kama vile biashara ya nguo,biashara ya duka,biashara ya
madini, biashara ya mazao na zinginezo unazozifahamu na kila biashara inamtindo wake wa kuifanya na
hapo ndipo biashara zinatofautiana na hili biashara uweze kuifanya na kukuletea faida lazima uhifahamu
2. Serikali (Government)
3. Umoja wa wawekezaji(investment coorperation)
1.SYDNEY SESSION
Hii ni session ambayo inaanza saa 6:00 usiku mara baada ya soko kufunguliwa na inaisha saa2
asubuhi,hapa unaweza ukafanya biashara sarafu zote lakini unashauriwa kufanya biashara zaidi sarafu
zenye NZD na AUD kwasababu zinakuwa na mzunguko mkubwa kwa wakati huo sokoni.
2.TOKYO/ASIAN SESSION
Hiki kipidi kinaanza saa 8 usiku masaa 2 mara baada ya Sydney session kuanza na inaenda mpaka saa
4 asubuhi, hapa unaweza kufanya biashara sarafu zote lakini unashauriwa zaidi kufanya biashara sarafu
zenye JPY kwasababu zinakuwa na mzunguko mkubwa kwa wakati huo sokoni.
3.LONDON SESSION
Hiki kipindi kinaanza saa 4 asubuhi saa 1 kabla ya kipindi cha Tokyo na kufungwa na kwenda mpaka saa
12 jioni, hapa unaweza kufanya biashara sarafu zote lakini unashauriwa kufanya biashara sarafu za
EUR,GBP,USD na JPY kwa sababu zinakuwa na mzunguko mkubwa kwa wakati huo sokoni.
Hii inaanza saa 9 mchana na kufanya muunganiko na kipindi cha London(London session) kwa mda wa
masaa 4,yenyewe inaenda mpaka saa 5 usiku ambapo kipind cha sydney kinaanza tena hapa unaweza
ukafanyia biashara sarafu zote lakini unashauriwa kuafanya biashara zaid sarafu za USD,CAD,EUR na
Soko la FOREX hufunguliwa jumapili saa 6 usiku na kufungwa Ijumaa saa 5:59 usiku hivo ndani ya huu
FAIDA ZA FOREX
1. Una uwezo wa kufanaya biashara sehemu yeyote ulipo na kwa mda wowote ndani ya siku tano za
2. Unaweza kutoa faida hela zako mda wowote ndani ya week au hata weekend kulingana tu na broker
unayemtumia
3. biashara hii ya forex imewekewa Sheria rahisi sana ukilinganisha na biashara zingine.
5. Uwiano mzuri kwa kiasi kidogo unaweza ingiza faida kubwa. (Leverage)
HASARA ZA FOREX
1. Upatikanaji wa HASARA kubwa na kwa muda mfupi.unapotegemea kupata faida basi pia utegemee
ndio kwann?
Hii ni eneo muhimu sana kulijua na wewe kufanya maamuzi unataka uwe mfanyabiashara wa aina gani.
Hivyo kabla hujaanza ni bora kujitathmini wewe ni mfanyabiashara wa aina gani na utumie njia zipi
Ni muhimu kujua wewe ni mfanyabiashara wa aina gani katika forex ,hiyo itakusaidia kuweza kupanga
muongozo wa kibishara(trading plan) yako ili uweze kufanya biashara hii kwa kwa mafanikio makubwa.
1. DAY TRADER
Huyu ni mfanyabiashara ambae huingia katika biashara katika siku husika na kutoka katika trade siku
hio hio. Uzuri wa kuwa day trader ni mda wa kutosha wa kufanya zako analysis. mara nyingi huwa na
mda maalum wa kuingia katika trades zake. Na mda ukifika wanasubiri fursa ijitengeneze na kuingia
katika biashara(traders) zao, Mara nyingi hutumia chart za dk 30, liasaa 1 hadi saa 4 katika kufanya
uchambuzi(analysis).
2. SCALPER
Huyu ni mfanyabiashara anaekuwa katika soko kwa mda mfupi sana. Mara nyingi anaingia na kutoka
katika trade na dakika kadhaa tu. Kivutia kikubwa kwa trader wa aina hii huona faida au hasara ndani ya
mda mfupi tu. Msingi mkubwa wa scalper ni kuwa na uwezo wa kufikiri haraka na kuweza kumantain
pressure. Kulingana na mda mfupi wa fursa scalper huamua aingie katika hio fursa au aache,huwa
anadumu sokoni kwa muda mfupi tu na hutumia chart ya dk 5,dk15 mpaka dk30 kufanya uchambuzi
(analysis).
3. SWING TRADER
Huyu ni trader ambaye anaingia na kukaa sokoni kwa muda mrefu kulingana na na target yake
,anaweza akakaa kwa masaa 5,week mpaka mwezi.tunaweza kusema ni mfanyabiashara wanaoweza
kukaa sokoni mda mrefu kuliko aina nyingine ya trader kulinga na mtiririko wa soko ukitokea wa
FOREX TERMINOLOGIES
mbalimabali(currency pair), Misamiati hii kama utaweza kuielewa vizuri basi nina hakika kutakuwa
1. BASE CURRENCY
Hiki ni kiini msingi katika kununua au kuuza katika forex. kama utabuy EUR/USD Hii ni kumaanisha
2. QUOTE CURRENCY
Hii ni ile sarafu ya pili katika pair ya sarafu husika unapofanya trade. Mfano EUR/USD, USD ndio
quote currency.
FOREX 1
3. LONG/BULLISH/BUY
Hii ni termonology ambayo unasikia watu wakiiongelea. kama imepatikana fursa (opportunity) ya
long/bullish hapa maana yake NUNUA. Bull ni aina za mnyama ambae anakula majani hivo candlestick
zake nyingi zinakuwa zikiwakilishwa na rangi ya kijani. Huyu mnyama akitaka kukudhuru huinamisha
kichwa chini na anakunyanyua kwa kukuchota kukupeleka juu. Hivyo katika Forex hapa inamaanisha
FOREX 2
4. SHORT/BEARISH
Kama imepatikana fursa (opportunity) ya short/bearish hapa maana yake UZA. Bear ni aina ya mnyama
ambae anakula nyama, hivo candlestick yake huwakilishwa na rangi nyekundu. Huyu mnyama
anavyokudhuru huruka juu kisha hukushusha chini. Hii katika forex inamaanisha soko linatoka juu
kushuka chini.
FOREX 3
Hiki ni kiasi cha thamani kinachocheza kulingana na mzunguko wa sarafu husika katika biashara. Au
tunaweza kusema ni mzunguko mdogo wa bei ambao currency pair unaoufanya kwa kupanda au
kushuka.Mfano Thamani ya USDCAD imetembea kutoka 1.34286 hadi 1.34984 itakuwa imetembea kwa
66pips,Hii tunaipata kwa kuchukua 1.34286 – 1.34948 ambapo tutapata 0.00662 na katika
thamani ya pip tunaanza kuhesabu kuanzia desimali ya nne hivyo basi kwa hapo USDCAD itakuwa
imeshuka kwa 66pips,na hiyo 2 tunaita micropip.kwa hiyo ni sawa na useme imemove pips 66.2,
Lakin kwa pair za Japanese Yen kama vile USDJPY,GBPJPY kwa hizi thamani ya pip tunaanza kuhesabu
6. LOT SIZE
FOREX 4
Hili ni eneo ambalo utaamua kutoka nje ya soko baada ya faida. Eneo ambalo utaona faida uliyopata
Unapoingia kwenye soko analysis zako zinakuonesha sarafu itapanda/kushuka mpaka eneo Fulani baada
ya hapo itageuka trends Ila haujui itachukua mda gani mpaka kufika katika hio bei(price) unaweza
ukafunga mannualy au automatically lakini mda mwingine huwezi kukaa kwenye screen yako mda wote
kuisubiri hio point. Unachokifanya unaset bei ikifika katika hilo eneo trade yake ijifunge automatically na
kisha wewe ukirudi au ukimaliza mambo yako kama itakuwa ilifika katika hio point uje ukutane na profit
Hili ni eneo ambalo utaamua kutoka nje kwa hasara ama kwa kuona uchambuzi(analysis) wako ulikuwa
na makosa au unaamini upande wa hasara uliopo utaongezeka zaidi hivyo badala ya kupata hasara
kubwa unaamua kuchukua hasara kidogo. Wanasema kama hutakubali hasara basi jiandae kupokea
Kwenye market ukishafanya analysis unaona kuna fursa ya kupanda kwa sarafu hivo unaamua kuinunua
ikiwa chini ili ikifika juu uiuze na ile tofauti ya bei ulonunua na utakayokuja kuuza ndo inakuwa faida Na
wewe uliingia sokoni kwa hio sarafu labda, Sasa baada ya kufanya hio uchambuzi inatokea (habari)news
mfano ya kushuka kwa ajira mfano marekani So kwa namna yoyote sarafu baada ya kupanda
itashuka.Maana itakuwa hafifu(week).Sasa unakuta na wewe ulishaingia kwa hiyo unagundua itashuka
sana hivyo unaamua kutoka katika soko katika hasara ndogo ili usipate hasara zaidi kwani haujui hio
sarafu itashuka mpaka wapi. Hio ndo inaitwa STOP LOSS,unaweza kutoka mannualy au kwa set ijitoe
FOREX 5
AINA ZA ORDER KATIKA SOKO LA FOREX
Kuna aina mbalimbali za order katika soko la Forex ila za muhimu kuzifahamu ni:-
2. Pending order
MARKET ORDER
Hii ni order ambayo unaifungua hili uweze kununua (buy) au kuuza(Sell) kwa bei iliyopo sokoni wakati
huo.Mfano umeenda dukani ukakuta kiatu kinauzwa elfu sabini bila hata ya kutaka punguzo au kusubili
bei ishuke unaamua kununua apoapo bei kama ilivyo utakuwa umefungua instant order ya
kubuy.(INSTANT ORDER)
PENDING ORDER
Hii ni order ambayo unaiweka sokoni kabla bei yako ya kuuza au kununua bado haijafikiwa ,hivyo
unakuwa kama unatega ili price ikifikiwa hiyo bei uliyoiweka basi order ifunguke na uingie sokoni.(order
Mfano,kama nyumba inauzwa milion 19 lakini wewe hautaki kununua kwa bei hiyo hivyo unasubiri bei
ikishuka na kufika million 15 ndipo ununue hivyo basi million 15 ni pending order yako ya kununua
nyumba hiyo.Mfano mwingine ni kama una gari unataka kuuza lakini bei unayoweza kuuza wakati huo
ni million 2 ambapo kwako wewe unaona sio stahiki hivyo unasubiri thamani ya gari ipande na ikifika
million 8 ndipo uuze hivyo basi million 8 ndio pending order yako ya kuuza gari.
1. Buy stop
2. Sell stop
3. Buy limit
4. Sell limit
BUY STOP
Ukifanya analysis katika soko utagundua kuna fursa fulani inatokea katika soko. Au imeonesha dalili za
kutokea. Lakini sio mda wote utakuwa katika kioo chako cha kompyuta. Hivo unaweka pending order ya
kununua kama price itafika eneo fulani. Hivo utaweza kuendelea na shughuli zako kisha price ikifika pale
SELL STOP
Ukifanya analysis katika soko utagundua kuna fursa Fulani ya kurudi chini(kushuka chini) inatokea katika
soko. Au imeonesha dalili za kutokea. Lakini sio mda wote utakuwa katika kioo chako cha kompyuta.
Hivo unaweka pending order ya kuuza(sell stop) kama price itafika eneo fulani. Hivo utaweza kuendelea
na shughuli zako kisha price ikifika pale itajiuza na kukuingiza kwenye market
BUY LIMIT
Hii ni order ambayo utaweka sokoni baada ya kufanya analysis na kuona kwamba price inashuka lakini
ikifika price flani itaanza kupanda hivyo basi unaweka BUY LIMIT katika price hiyo na mara baada ya
price kufikiwa order yako itafunguka na utakuwa umeingia sokoni kwa order ya kununua (buy).
SELL LIMIT
Hii ni order ambayo utaweka sokoni baada ya kufanya analysis na kugundua kuwa price inapanda lakini
ikifika price flani itaanza kushuka hivyo basi unaweka SELL LIMIT katika price hiyo na mara baada ya
price kufikiwa order yako itafunguka na utakuwa umeingia sokoni kwa order ya kuuza (sell).
1. Technical analysis
2. Fundamental analysis
TECHNICAL ANALYSIS
Huu ni aina ya uchambuzi wa soko kwa kuangalia mwenendo wa bei kupitia charts ambapo tunaangalia
jinsi bei (price) ilivyotembea wakati uliopita na tabia ilizoonesha na tunahusianisha na wakati huo
FUNDAMENTAL ANALYSIS
Huu ni ufanyaji wa biashara kwa kuliangalia soko kulingana na shughuli za kiuchumi,kisiasa na kijamii
ambazo hupelekea kuleta madhara katika suala zima la demand and supply
SUPPORT NA RESSISTANCE
Haya ni maeneo muhimu sana ambayo mfanyabiashara yoyote wa forex anatakiwa lazima
kuyajua. Support na Resistance ni maeneo ambayo ,price ya sarafu husika huwa na tabia ya
kugeukia mara nyingi hapo na hivyo wauzaji na wanunuzi kutafuta fursa ya kuuza au kununua
Support - hili ni eneo ambalo bei(price) ya sarafu imefika katika kiwango chake cha chini na
pia ni maeneo ambayo wanunuzi pia hujiandaa kwa ajili ya kupandisha bei ya sarafu husika
kwenda juu.,na ni maeneo ambayo price imegusa kuanzia mara 2 na kuendelea na kugeuzia
hapo.
esistance - hili ni eneo ambalo bei(price) ya sarafu imefika katika kiwango chake cha juu na
pia ni maeneo ambayo wauzaji(sellers) pia hujiandaa kwa ajili ya kushusha bei ya sarafu husika
kwenda chini.,na ni maeneo ambayo bei imegusa kuanzia mara 2 nakuendelea na kugeuzia
hapo.
1. kwanza ni lazima ugundue mikunjo ya juu na chini, mikunjo ya juu ni resistance na mikunjo ya
chini ni support
2. weka mstari kwenye hiyo mikunjo ya juu ambayo tutaita resistance na weka mstari kwenye
3. hakikisha mstari wa juu unagusa kwenye candlestick zaidi ya moja, yani kuanzia mbili na
kuendelea na hata mstari wa chini pia ni lazima uguse kwenye candlestick zaidi ya moja kuanzia
mbili na kuendelea.
4. kama mstari wa juu utagusa candle moja na wa chini pia basi hapo tutasema resistance na
6. Ukishachora hiyo mistari ya support na resistance na ukahakikisha iko valid basi hapo ndio setup
yako itakua imekamilika now unasubiri entry point ifike ili uingie sokoni.
7. Sasa basi katika support na resistance entry point zetu huwa tunasubiri price iende juu ikagonge
kwenye hiyo line ya resistance then igeuze ianze kurudi chini kwa kuuza na kwenye support pia
hivyo hivyo tu nasubiri price igonge line ya chini na ianze kurudi juu ndipo hapo tunakaa tayari
kwa kununua.
8. Kitu muhimu ambacho unatakiwa ufanye wakati unataka kuingia sokoni kwakutumia support na
resistance ni kwamba, wakati price ipo kwenye support ikagonga na kugeuza kurudi juu,
unahesabu candle ya kwanza na yapili baada ya tatu ikianza unaingia hapo ndio uhakika kwamba
kweli price inapanda juu, na hata kwenye resistance pia unatakiwa usubiri hivyo hivyo yani ya
9. ila kuna wakati mwingine huwa kunakuaga na candle kubwa sana ambayo inanguvu kwenye
upande wa support ikiisha hiyo candle basi hainaaja ya kusubiri hadi zifike tatu coz kama
hiyo candle kuisha hadi kwenye resistance na ikitokea kwenye resistance basi ni kusell hadi kwa
support.
10. Pia ukishaingia sokoni basi ni lazima ujihami maana forex sio science kuna wakati unaweza
ukabuy katika sehemu sahihi ila ghafla soko likageuka na kurudi nyuma na kuendelea na safari
yake ya awali, hii huwa inatokea sana na ndio maana huwa tunashauriwa kutumia stop los
ambayo hii itatufanya tuwe salama zaidi hata kama soko likirudi nyuma litaishia kwenye SL yetu
• Nunua (buy) wakati bei(price) imetoboa resistance na kupitiliza kwenda juu zaidi,
MUHIMU;
2. Support iliyotobolewa na bei(price) kuzidi kushuka chini zaidi hii hugeuka na kuwa resistance
mpya.
3. Resistance iliyotobolewa na bei(price) kuzidi kupanda juu zaidi hii hugeuka na kuwa support
mpya. Unaweza kuangalia mchoro hapo juu na kuona jinsi ambavyo resistance na support
SEHEMU YA PILI
CANDLESTICK PATTERN.
Candlestick patern ni moja ya kitu muhimu kutumia unapofanya analysis yako(kati ya kuuza au kununua)
kwasababu kitakupelekea kufanya maamuzi sahihi na kuleta matokeo chanya. CANDLESTICK pattern ni
Kwa sasa nitaelekeza jinsi ya kuzitambua candlestic pattern na ujumbe unaotoa jinsi kuzitumia katika
kufanya biashara.
ENGULFING CANDLESTICS
Hii ni candlestic pattern ambayo inajumuisha candlestick mbili candlestick ya kwanza huwa fupi na
candle ya pili huwa ndefu kuzidi candlestick ya kwanza.
FOREX 7
Hii ni aina ya pattern ambayo hutokana na kuwa na candle moja dogo ya sellers (wauzaji)
ikafuatiwa na candle kubwa moja ya wanunuaji (buyers), candle kubwa ya buyers umbo lake
huanzia chini kidogo ya candle ndogo ya sellers na kufungia juu ya candle hiyo ya sellers.
Pattern hii hutokea baada ya sellers (wauzaji ) kuanza kupoteza nguvu ya kuendelea kuwepo
FOREX 9
1. Tafuta pattern hii ikiwa kwenye movement ya chini amabapo ni eneo la support
2. subiri candle inayofuata kufunga juu ya candle kubwa ya buyers ili kuhakiki
uwepo wa buyers(wanunuaji) sokoni. uhakiki huu ukitimia unaweza kuweka order zako
FOREX 10
Hii ni aina ya pattern ambayo hutokana na kuwa na candle moja dogo ya buyers(wanunuaji)
ikafuatiwa na candle kubwa moja ya wauzaji(sellers), candle kubwa ya sellers umbo lake
huanzia juu kidogo ya candle ndogo ya buyers na kufungia chini ya candle hiyo ya
FOREX 11
1. Tafuta pattern hii ikiwa kwenye movement ya juu amabapo ni eneo la resistance
2. Subiri candle inayofuata kufunga chini ya candle kubwa ya sellers ili kuhakiki uwepo wa
sellers sokoni. uhakiki huu ukitimia unaweza kuweka order zako za kuuza sarafu
husika.katika soko na kuwa salama
DOJI CANDESTICK
Candle hii huonekana kama herufi ya T, hapa ni kuwa bei ya sarafu ya kufungua na kufunga ni
sawa,haina ule mwili kamili kama candlestick ya kawaida bali una mkia mrefu wa chini.
wakati soko linapofunguliwa wauzaji(sellers) huvuta chini zaidi bei ya sarafu husika lakin baada
ya muda wanunuaji(buyers) huongeza nguvu zaidi kuipandisha bei ya sarafu hiyo juu,na
kwanza ili uweze kuingia sokoni kwa kutumia candle hii, hakikisha haya yafuatayo
2. Subiri candle inayofuata baada ya dragonfly ifunge juu ya hii dragonfly ili kuhakiki
uwepo wa uelekeo mpya wa juu, ukishahakiki hivi unaweza kununua sarafu husika..
soko.
kufungua na kufunga ni sawa,haina ule mwili kamili kama candlestick ya kawaida bali una mkia
mrefu wa juu.
wakati soko linapofunguliwa wanunuaji(buyers) huvuta juu zaidi bei ya sarafu husika lakin
baada ya muda wauzaji (sellers) huongeza nguvu zaidi kuishusha bei ya sarafu hiyo chini,na
kwanza ili uweze kuingia sokoni kwa kutumia candle hii, hakikisha haya yafuatayo
1. Imetokea wakati bei ya sarafu husika iko uelekeo wa juu. (uptrend movement (in
resistance area)), hivyo hutuashiria kuwa uelekeo wa soko unabadilika kuanza kuelekea
2. Subiri candle inayofuata baada ya gravestone doji ifunge chini ya hii gravestone
doji ili kuhakiki uwepo wa uelekeo mpya wa chini, ukishahakiki hivi unaweza kuuuza
sarafu husika..
3. Jinsi mkia unavyokuwa mrefu zaidi,ndio uhakika zaidi wa wauzaji kutawala soko
candle hii huonekana kama nyundo inayoning'inia hewani na mkia mrefu, hutokea wakati bei ya
sarafu husika iko kwenye uelekeo wa juu zaidi.candle hiz huwa zinajitengeneza upande wa
Kama ilivyo kwa Gravestone Doji candle hii pia wakati soko linapofunguliwa wanunuaji(buyers)
hupandisha bei ya sarafu juu zaidi,lakini wauzaji(sellers) hupigania kurudisha bei chini,hivyo
kupelekea kutengenezwa kwa umbo la mraba. Jinsi mkia wa juu unavyokuwa mrefu zaidi basi
1. imetokea wakati bei ya sarafu husika iko kwenye uelekeo wa juu (resistance )
2. subiri candle inayofuata ifunge chini ya hii shooting star ili kuwe na uhakika zaidi
wa sellers(wauzaji) sokoni, ikitokea hivi basi unaweza kutafuta nafasi ya kuingia sokoni
kuuza.
Candle hii huonekana kama pipi ya kijiti ya mraba au nyundo, huwa na umbo dogo sana ambalo
husababishwa na bei ya kufungia kuwa juu kidogo au chini kidogo ya bei ya kufungulia.
Kama ilivyo kwa Dragonfly doji candle hii pia wakati soko linapofunguliwa wauzaji(sellers)
huvuta bei ya sarafu chini zaidi,lakini wanunuaji(buyers) hupigania kurudisha bei juu,hivyo
2. Subiri candle inayofuata baada ya hammer ifunge juu ya hammer ili kuhakiki
uwepo wa uelekeo mpya wa juu, ukishahakiki hivi unaweza kununua sarafu husika..
HARAMI.
Hii ni candlestic pattern ambayo inajumuisha candlestick mbili candlestick ya kwanza huwa kubwa
eneo la support
salama
eneo la resistance
salama
6.HANGING MAN
huonekana kama pipi ya kijiti ya mraba au nyundo, huwa na umbo dogo sana ambalo
husababishwa na bei ya kufungia kuwa juu kidogo au chini kidogo ya bei ya kufungulia.
Candle hii ni wakati soko linapofunguliwa wanunuji(buyers) huvuta bei ya sarafu juu zaidi,lakini
wauzaji(selers) hupigania kurudisha bei chini,hivyo hufanikiwa kuirudisha chini kidogo au juu
hivyo hutuashiria kuwa uelekeo wa soko unabadilika kuanza kuelekea chini (bearish
movement)
- Subiri candle inayofuata baada ya hanging man ifunge chini yake ili kuhakiki uwepo wa
- Jinsi mkia unavyokuwa mrefu zaidi,ndio uhakika zaidi wa wauzaji kutawala soko.
INVERTED HAMMER.
candle hii huonekana kama nyundo inayoning'inia hewani na mkia mrefu, hutokea wakati bei ya sarafu
husika iko kwenye uelekeo wa chini zaidi.candle hizi huwa zinajitengeneza upande wa support kuashiria
kununua(kubuy)
candle hii pia wakati soko linapofunguliwa wauuzaji(sellers) hushusha bei ya sarafu chini
umbo la mraba. Jinsi mkia wa juu unavyokuwa mrefu zaidi basi ndivyo inavyotoa uhakika wa
- imetokea wakati bei ya sarafu husika iko kwenye uelekeo wa chini (support )
- subiri candle inayofuata ifunge juu ya hii inverted hammer ili kuwe na uhakika zaidi wa
wanunuzi (buyers) sokoni, ikitokea hivi basi unaweza kutafuta nafasi ya kuingia sokoni
kununua.
SPINNING TOP
Hii ni candlestick moja yenye umbo dogo na mkia mrefu juu na chini. Ikitokea katika ya eneo la