Professional Documents
Culture Documents
Biashara Mtandaoni Final
Biashara Mtandaoni Final
MTANDAONI
Muongozo Utakaokusaidia Kujitengenezea Kipato
Kupitia Mtandao.
ISAACK NSUMBA
1
UTANGULIZI
2
Kwa upande mwingine, ongezeko la watumiaji
wa mtandao limeleta mabadiliko makubwa
sana kuanzia ngazi ya mtu binafsi mpaka ngazi
ya kitaifa, kwani hivi sasa kuna vikao na
mikutano mikubwa inafanyika kupitia
mtandao.
3
SURA YA KWANZA
Hatua ya KWANZA;
Tafuta Watu, Wafuasi, Views Au Hadhira
(Connect More)
Unachotakiwa kufahamu ni kwamba, msingi wa
mafanikio ya biashara yoyote ile ni watu,
hakuna biashara yoyote ambayo inaweza
kufanikiwa bila watu kuhusika, ndio maana
ukiwafuatilia kwa makini watu wengi
waliofanikiwa utagundua kuwa wanafahamiana
na watu wengi sana.
4
Muhamasishaji wa kimataifa, mfanyabiashara
na mwandishi wa vitabu Bwana Porter Gale
katika kitabu chake cha “Your Network is your
Networth” (unlock the hidden power of
connection for wealth, success, and happiness
in the digital world) anafundisha jambo moja
muhimu kwamba, kiini cha mafanikio yoyote ni
watu.
5
kuwa na mazoea na watu kwa kuhofia
kuumizwa.
6
nikaandika kitabu kitakachowasaidia watu
wengine kukabiliana na hasira kinachoitwa
“HISIA KIINI CHA MAFANIKIO” (kimeandikwa
kwa Kiswahili, unaweza kukitafuta ukakisoma)
7
Kumbuka, haufanikiwi kutengeneza kipato kwa
kuwapatia watu kitu ulichonacho ila
unafanikiwa kutengeneza kipato kwa
kuwapatia kile ambacho wao wanakihitaji.
8
Hatua ya TATU;
Uza Thamani (Sell Value)
Tafsiri iliyo rahisi kuhusu fedha ni ile
inayosema “MONEY is a transaction of VALUE”
(fedha ni mbadilishano wa thamani)
9
Ili uweze kujifunza zaidi kuhusu fedha nashauri
usome eBook changu kinachoitwa “MONEY
PASSCODE” (Siri zitakazokusaidia kupata
mafanikio ya kifedha) unaweza kuipata kwa
kutumia mawasiliano yaliyo mwanzoni au
mwishoni mwa kitabu hiki.
10
SURA YA PILI
11
Mbinu ya kwanza, Ladder Technique (Mbinu
Ngazi)
Hii mbinu inakutaka ufahamiane na mtu
mmoja ambae kupitia huyo utafahamiana na
watu kadhaa wanaomzunguka, wakati fulani
hii mbinu inaitwa “mbinu buibui” ambapo
ukimpata mtu mmoja unahakikisha unawapata
na wengine walio katika mzunguko “cycle”
yake.
12
Kitu pekee kilichonisaidia kuwashawishi wao
kuniletea watu wengine ni kufanya mambo
kwa ubora, nilikuwa nikiwafundisha masomo
ambayo yaliwasaidia sana kutatua changamoto
zao pamoja na kujibu maswali yao kwa ubora
uliowaridhisha.
13
unawakubali sana na utajisikia vizuri ikiwa
utapata nafasi ya kuwa na mawasiliano nao.
Bila shaka umewahi kukutana na maneno
katika uwanja wako wa meseji “Inbox”
yanayosema “samahani kwa kuja inbox kwako
bila taarifa, naitwa…..naomba usave namba
yangu ili tuwe marafiki”
14
Ili uweze kufanikiwa katika hili na upate
msukumo wa kulifanya ni lazima ujue kuhusu
kanuni ya mlimbikizo inayokutaka
kutokudharau uchache.
15
Mbinu ya tatu, Exchanging Techinique (Mbinu
Ya Kubadilishana Watu)
Hii ni pale ambapo utaandika meseji ambayo
ina namba yako ya whatsapp na kasha kuwapa
watu watume katika magroup yao pamoja na
kupost katika status zao.
16
Ili uweze kupata matokeo kwa kutumia mbinu
hii unatakiwa kuwapa watu ambao wana watu
wengi zaidi yako.
17
Nikajua kuwa, mbinu aliyotumia kuninasa mimi
na wengine wengi ni mbinu ya chambo ambapo
anatafuta kitu kinachoweza kuwavutia wengi
kuja wakishakuja anawapa kitu ambacho yeye
ni mtaalamu katika hicho.
18
Ili uweze kuitumia mbinu hii unatakiwa
kufanya mambo makubwa matatu, jambo la
kwanza ni kuwa na ujuzi wa kusuka matangazo
“copywriting” kama alionao Raphael (Mr Think
in USD) jambo la pili ni kujua kitu gani
ambacho ukikiandika kinaweza kuwavuta watu
kwa haraka (content selection) na kitu cha
tatu ni kujiunga katika magroup mengi kadri
uwezavyo ambapo lengo lako litakuwa kuvua
watu na kuwaleta inbox kwako ili wawe
sehemu ya network yako.
19
Ili uweze kutumia Ads manager unatakiwa
kuwa na ufahamu, mimi nilisomea kozi
mtandaoni kutoka taasisi moja inaitwa
“Mwalimu Hemedi Centre” na alinifundisha
zote mbili (Facebook na Instagram) kwa ada
ndogo kabisa.
20
SURA YA TATU
21
taaluma yako na ukazitoa kupitia madarasa ya
mtandaoni (Online Class)
22
mtandao) nilikuwa nina watu wachache sana
na niliweza kuwatumia hao kuonesha uwezo
wangu mkubwa nilionao na walikuwa tayari
kunilipa.
23
Uzuri ni kwamba, ujuzi ulionao, taaluma
uliyosomea, kipaji ulichonacho, uzoefu wa
maisha ulionao, huduma uliyonayo ni biadhaa
yenye thamani unayoweza kuitumia kuingiza
fedha ikiwa utajua namna sahihi ya kuifanya
ikuletee fedha na endapo utakutana na watu
wanaohitaji.
24
Nilikutana na Dada anaitwa Aneth, wakati huo
alikuwa mwanachuo ambae kazi yake kubwa ni
kuwasaidia watu kuongeza views kupitia status
za whatsapp, huduma yake kwa mtu mmoja
inaanzia shilingi 1,500 mpaka shilingi 5,000 na
anapata wateja wengi wanaohitaji huduma
hiyo.
25
Jiulize, una huduma gani ambayo watu
wanaihitaji kiasi kwamba unaweza kuiingiza
sokoni na wakawa tayari kutoa fedha mfukoni
kwao kukupatia wewe?
26
Kama una ujuzi wa namna hii unayo nafasi
kubwa sana ya kutengeneza kipato kupitia
mtandao, endapo utajua namna gani ya kukuza
jina na kuonesha uwezo wako katika kufanya
graphics.
27
Njia ya NNE; Kuandika maudhui (Content
Creating)
28
iendeleze shughuli hizo hata pale ambapo
wenyewe wanakuwa bize.
29
Njia ya TANO; Ununuzi Na Uuzaji Wa Sarafu
(Forex & Crypto Currency)
30
Njia ya SITA; Youtube
31
Kuna mtu anaitwa Ezden Jumanne, yeye ni
mkufunzi wa masuala ya maisha ambaye huwa
anapakia zinazolenga kuelimisha jamii.
32
Hata wewe unaweza kuitumia hii kama njia ya
kukuingizai kipato ikiwa utajua ni kitu gani
unachoweza kukitengenezea video na
ukazipakia huko.
33
Unaweza kuandika juu ya chochote kile
unachotaka watu wajue, au ukatafuta
chochote ambacho watu wanahitaji kujua na
ukawaandikia kitabu ambacho utakiuza kupitia
mtandao.
34
kujifunza kozi hizo ukiwa sehemu yoyote
Tanzania na endapo una smartphone pamoja
na data.
35
wao kufika hatua ya kuwa tayari kulipia
huduma au bidhaa fulani unayotangaza ili
wewe upate kiasi fulani baada ya mauzo.
36
Njia ya TISA; Kufanya matangazo
37
Njia ya KUMI; kuuza bidhaa
38
Ili uweze kupata wateja kirahisi kuna mambo
unatakiwa uwaoneshe kuwa hawatahusika
nayo.
39
bei ya simu amelipia na usafiri pamoja na hela
ya kutolea.
40
SURA YA NNE
Mambo Yanayoweza
Kukusaidia Kuuza Kupitia
Mtandao
Unaweza ukawa na bidhaa au huduma nzuri
sana, pamoja na bidhaa uliyonayo unahitaji
kufahamu mambo kadhaa ili ufahamu huo
ukusaidie kuuza bidhaa au huduma zako
mtandaoni.
1. Matangazo
Unatakiwa kuwa na utaratibu wa kuitangaza
(to brand) bidhaa au huduma unayotoa kupitia
kurasa zako.
41
Hii inawafanya watu wakujue wewe pamoja na
bidhaa uliyonayo, lakini pia unalipa jina lako
nafasi kubwa ya kuibuka katika akili zao pale
watakapokuwa wanahitaji huduma au bidhaa
ulizonazo.
42
binafsi na mambo mengine kuliko vile
unavyopost kuhusu bidhaa au huduma yako.
43
zako, ni rahisi sana wewe kuipata fedha iliyo
mfukoni kwake.
44
uwezekano wa kupata wateja mara mbili zaidi
ya yule mwenye bidhaa zenye ubora mdogo.
45
ya juu na bei ambayo mteja anaweza kuimudu
(affordable price)
4. Ujuzi
Mfanyabiashara, muhamasiahaji na mwandishi
wa vitabu Bwana Sabri Suby katika kitabu
chake kinachoitwa “SELL LIKE A CRAZY”
(namna ya kuuza zaidi) amebainisha kuwa mtu
mwenye ujuzi wa kuuza ana uwezo mkubwa
sana wa kupata wateja wengi hata kama
bidhaa yake ina ubora mdogo na ina bei kubwa
kuliko mtu ambae bidhaa yake ina ubora
mkubwa na bei ndogo asiye na ujuzi (rudia
tena kuisoma hii sentensi kabla hujaendelea
mbele)
46
mahitaji makubwa ya kihisia ambayo kila
mteja anakuwa nayo anapohitaji bidhaa fulani.
47
SURA YA TANO
48
1. Kushindwa kuaminika
Wanasaikoilojia wamebainisha kwamba
binadamu anakabiliwa na aina 70 za hofu,
moja ya aina za hofu zinayomkabili binadamu
ni hofu ya kupoteza.
49
Njia rahisi ya kufanikiwa katika hili ni
kuwaonyesha mrejesho wa watu unliowahi
kuwahudumia na wakaridhika na bidhaa yako.
50
Hii inapelekea watu hawa kuzitangaza bidhaa
zao kwa muda mrefu bila kupata matokeo kwa
sababu bei sio rafiki kwa wateja.
51
Ikiwa tayari umekwishawauzia watu ulionao
hivi sasa, basi unahitaji watu wapya ili
uwauzie huduma au bidhaa ya zamani na
unahitaji huduma au bidhaa mpya ili uwauzie
watu wa zamani pamoja na watu wapya (rudia
kuisoma tena hii sentensi)
4. Lack of skills
Kuna watu ambao wana bidhaa au huduma
nzuri, bei waliyoweka ni nzuri pia ila
kinachokwamisha wasiuze ni ujuzi wa kuuza
(sales skills)
52
Bila kujali unauza nini unahitaji ujuzi
utakaokusaidia kutoa fedha kutoka katika
mfuko wa mteja na kuifanya ije mfukoni
kwako.
53
HITIMISHO
54
Unapowaona wachungaji wanaitumia mitandao
ya kijamii kuendesha ibada na kutoa huduma
za kiroho basi unatakiwa kufahamu kwamba
mambo yamebadilika sana na wameona fursa
iliyojificha katika mitandao hiyo.
55
VITABU VINGINE
Nimekuandikia vitabu vingine
vitakavyokusaidia kuongeza
maarifa zaidi pamoja na
kukuimarisha wewe binafsi na
kuimarisha mahusiano yako
1. SANAA YA KUTOA NA KUPOKEA
KATIKA MAHUSIANO
2. SANAA YA MAWASILIANO KATIKA
MAHUSIANO
3. SANAA YA UTONGOZAJI
4. THE GOLDEN WOMAN
5. MANIFEST YOUR MANHOOD
(DHIHIRISHA UANAUME WAKO)
6. HISIA KIINI CHA MAFANIKIO
(EMOTIONAL MUSLES)
7. MWANAMKE MASHINE
8. BORESHA MAHUSIANO YAKO
56
9. MUACHE AENDE
10. MUONGOZO WA USOMAJI WA VITABU
11. HUYU NDIYE (MUONGOZO
UTAKAOKUSAIDIA KUMTAMBUA MWENZI
SAHIHI)
12. SHULE YA BIASHARA
13. MONEY PASSCODE (SIRI
ZITAKAZOKUSAIDIA KUPATA MAFANIKIO YA
KIFEDAH)
14. MAISHA NI KUSUDI (KWANINI
ULIZALIWA NA KWANINI BADO UNAISHI?)
57
TEMBELEA MITANDAO YA
KIJAMII YA ISAACK NSUMBA ILI
KUJIFUNZA ZAIDI
58
59