Kimya Kimya Kimya Kiswahili 2024

You might also like

Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 136

TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A.

MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

UTANGULIZI
Tamthilia ya Kimya Kimya Kimya iliandikwa na
Said.A. Mohamed mnamo (2011) nchini Tanzania.
Imechapishwa na “Printing Services Ltd”. Tamthilia
hii inazungumzia juu ya Ubinafsi wa uongozi ambao
umechukua muda mrefu na ukaishia kuwaongoza
vibaya wananchi kwa kuwadhulumu na kuwanyima
haki zao. Wananchi wanaongozwa na Mpya katika
harakati za kupigania haki zao, Mpya anampinga
babake Bw.Binafsi.Wahusika wanaopatikana ni kama
vile; Bw. Binafsi, Bi.Shoo, Mpwa, Mussa, zanga, Bw.
Naona, Bw.Taja, Bw.Salimina, Bi.Mgeni, Bwa.Subira,
Bw.Sikilivu, Mpishi, Fumbo, Kushoto, Kulia, Mkemeo,
Wananchi na Sauti.

UCHAMBUZI WA JALADA / KIFUNIKO CHA


TAMTHILIA
Jalada la tamthilia lina kichwa cha “Kimya Kimya
Kimya” ambacho kinawakilisha yaliyomo ndani. Pia,
Jalada lina jina la Mwandishi ambaye ni Said A.
Mohamed. Waaidha, Jalada limepambwa na picha mbili
za watu waliorembekwa kwa rangi mbili yaani nyeusi
na nyeupe. Mtu katika rangi nyeusi anamwashiria
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 1
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kidole mwenzake eti asiseme yaani abaki kimya kimya
kimya akiwa gizani lakini yule katika rangi nyeusi
anamchekelea na kuonyesha kutaka kusema, kuzileta
njia mpya za kujitoa gizani maana rangi nyeupe
inaashiria mwanga wa wazalendo.Picha za watu hao
zimefungwa na picha ifananayo na nyoka kiasi
kuonyesha kuwa watu hao wanatoka katika familia
majo na kuna msaliti baina yao. Aidha, jalada
linafananua dhamira ya mwandishi na linaonyesha eti
limepambwa na “Longhorn Publisher.”

PLOTI YA TAMTHHILIA YA KIMYA KIMYA


KIMYA
Ploti ni mtiririko wa matukio au matendo kutoka
mwanzoni hadi mwishoni. Ploti ya tamthilia hii ni sahili
kwa sababu matukio yanasababishana.

Ploti ya tamthilia ya Kimya Kimya Kimya inaanzia


katika kisima tunapowaona Kushoto na Kulia wakisema
eti kiu na njaa vinawadhoofisha. Wakiwa hapo
wanaisikia sauti ya kisima inayowashangaza kwa
kusema eti waijali na waitetee nchi yao kwa kuwa ni
tamu kuliko siasa. Wanabaki hapo wakisukumana na
kugandamana kimpongo. Mpya anaelekea kisimani na
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 2
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kuikumbusha hadhira kuwa wakati wa wakusema
umewadia kwa sababu kusema ni haki ya uzawa wa
kila kiumbe, binadama na hata wanyama. Baada ya
Mpya kuwaona wakijongeleana kimgongo,
anawaambia eti fikra zao ziungane. Mpya anapewa maji
ya ujasiri kutoka kimani anayanywa halafu Kulia na
Kushoto wanabagukana na kusema eti watajitoa
mhanga kujotetea. Baada ya hayo, tunawaona
Bi.Shoo, Zanga, Mpya na Mussa wameketi nyumbani
mwao wakivitazama vyakula bila kuvinusa na kuvionja
kwa kuwa wamemgonjea Bw.Binafsi. Wakiwa na
subira, vyombo vinaanguka na kumfaya Mpya aseme.
Bw.Binafsi anaingia na kuketi, halafu anaombea
chakula na vinywaji kwa majivuono. Mpya anaonekana
amekataa kula vyakula. Katika wakati wa kuka,
Bw.Binafsi anawaamuru kumwonyesha utiifu. Wote
wanafanya hivyo ila Mpya ambaye anamwambia

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 3


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

vitendo vyake vya ubinafsi. Bw. Binafsi anakasirika.


Anaamuru walinzi wamtoe, mama mtu anaingilia
katikati kumtetea ingawa naye anakemewa, na wote
wawili wanaondoka.Baada ya suluhu, Zanga
anaonekana amelala kitandani kisha anaamshwa na
Mussa anayemwambia ati amechoka kuwa kimya na
sasa anataka kusema. Wakiwa wanapeana maneno,
sauti ya Mpya wanaisikia ikiwaaambia eti wajitoe
mhanga na waanze kusema. Baada ya haya, tunawaona
Bw.Naona na Bw.Salimina wakimwambia ukweli
Bw.Binafsi kuwa watu wamechoka kusubiri na
wameamka kupigania haki zao. Wanamwambia ati
viongozi wa vurugu ni watoto wake Bw.Binafsi
anawaambia kuwakamata. Sauti ya mpya inasikika
ikiwajulisha wananchi juu ya mkutano utakaotekelezwa
kupigania haki zao. Wananchi wanakubaliana naye,
wanaishia kukubaliana kwamba mkusanyiko wao
hautakuwa na fujo, ghasia na uchokozi bali wa amani
tu. Bw.Naona na Bw.Salimina wanaonekana katika
ofisi ya Bw.Binafsi wakiulizwa ikiwa
wameshawakamata wachochezi wa mgomo. Bw.Naona
kama anavyoona anamwambia eti wamejificha katika
umma na hawawezi kuonekana. Hatimaye, Bw.Binafsi
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 4
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
na Bi.Shoo wanakabiliwa na umma kwa nguvu na
kelere. Wana hofu, na majuto wakiona mwisho wao
umefika. Bw.Binafsi utawala wake unaishia hapo,
kushoto na kulia wanaimba wimbo wa ukombozi wa
wanaarifi wananchi kuisimamia nchi yao.

MUHTASARI WA MAONYESHO KATIKA


TAMTHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA.
Kifunguzi (Uk 8 -17)
Wapotea njia……Kisimani--Kulia na Kushoto.
Katika kifunguzi Kushoto analalama akisema eti kule
anakotoka hakuna maisha, kiu na njaa vimemsakama.
Akiwa hapo anasikia Sauti ya Kisima kinachomwambia
kuwa hakuna uhai na chakula, kinawaambia kuijali nchi
yake na kuitetea kwa sababu nchi ni tamu kulia siasa.
Kulia naye anaingia akiwa amechoka vibaya kwa safari
ya myaka ya kuutafuta uhuru ingawa hajapata pahali pa
kusimama, naye analalamikia kiu na njaa
vinavyokaririwa.
Kulia pia anashangazwa na Sauti ya Kisima
kinachomwambia eti anakotoka ni kukavu na hakuoti
kitu, kinamwambia eti asitazame nyuma bali atazame
mbele aijali nchi yake kuliko siasa.
Kushoto anatoka kichakani ambapo amekuwa
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 5
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
amejificha na kuzungumza naye wakisema ya kwamba
nafsi zao ni mbaya lazima zisafishwe kwa kuizima kiu
yao. Kulia anamwambia kushoto kuwa dunia imejaa
ukweli uliojaa uwongo. Wanasongeleana, Kushoto
anataka kubaki kushoto lakini anapelekwa kulia, na
Kulia anataka kwenda kushoto lakini anang’ang’anizwa
kulia, wanabaki hapo wamegongona na wanasukumana
kimgongo mgongo.
Ni haki kujifudisha kusema, hasa ikiwa hakuna
mema!
Onesho la 1 (UK19-24)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 6


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

Onesho hili linatendeka kisimani. Mpya (Kijana wa


kike) anawapita Kulia na Kushoto bila kuwajali wakiwa
wanapingana vile vile. Kulia anamwuliza Kushoto aina
na ya hali ya anayotakoa kushirikia, na Kushoto
anamwambia aina na hali ya mpya ya uhuru wa
kusema, kuandika, kulalamika, kukataa na kutoa maoni
mwafaka. Mpya anaelekea kisimani halafu
anaikumbusha hadhira ati kusema ni haki ya uzawa
kwa kila kiumbe, binadamu hata wanyama. Kisima
nacho kinamshabika na kumwita ili apewe maji ya
ujasiri.
Baadaye, anawaonyesha kidole Kulia na Kushoto na
kuuliza kwani wanapeana na kusuguana migongo.
Anaendelea kusema kuwa itakadi inakuja na dawa ya
taifa ni uzalendo. Anawaambia ya kwamba,
wanalazimika kuungana.
Mpya anaelekea kisimani,na kunywa bakuli la maji na
kuwaonyesha wananchi kuwa anakunywa maji ya
ujasiri kwa niaba yake na yao, anawaambia kuwa maji
yanasafisha woga, baada ya kuyanywa maji,
anajimwagia yaliyobaki, Kulia na Kushoto
wanabagukana na kusema kuwa hakika nchi ni tamu

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 7


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kuliko siasa. Wote kwa pamoja wanakariri kauli kwa
kusema eti ndio wa kujitolea mhanga.
Giza totoro na
totoro ya giza
Onyesho la 2
(UK 26-43)
Katika onyesho hili, Mkemeo ananyamazisha hadhira
kwa msisitizo, katika familia ya Mzee Binafsi, Mpya
anaonekana
aneketi upande wake pekee, Mussa na Zanga upande
mwingine,mama
yao Bi.Shoo kwenye ncha ya meza, Bw.Binafsi
hajaonekana, kiti chake kitupu. Vyakula vya kila aina
vinaonekana mezani, wamemsubiri mwenye nyumba.
Wakiwa hapo, chuma kinaanguka sakafuni ghafla kwa
mpasuao mkali.
Mpya anasema kwamba chuma kimeangushwa lakini
Sauti inamwambia eti kwao hawaruhusiwi kusema.
Mpya anasema eti yeye ni mwananchi, mzalendo na
mkereketwa ameanza. Vyombo vinammwagia ungao
ambao unamfanya aseme.
Mpya anasema eti baba yake ni mtu wa ajabu na nafsi
yake mwenyewe. Anaendelea kusema ati amechoka
kusubiri, kungojea na kunyamaza, kwa sababu
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 8
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
vinamkandamiza. Mamake Bi.Shooaliyeketi katika
ukingo mwennye hofu anataka kumsimamisha kusema
lakini hawezi.
Baada ya muda, Bw.Binafsi anaingia na walinzi wake
baada ya kuketi, yeye na Mpya wanatumbuliana macho.
Bwa.Binafsi anamwamuru Mpya kuwa na adabu na
kumkemea akimwita kigege na mtoto wa ukorofi.
Anamwambia eti hakutaka mimba yake iingie. Mpya
ankataa katakata kuinamisha kichwa. Baada ya hayao,
Bw.Binafsi anawamuru kumwonyesha utiifu kwake.
Mama yao Bi.Shoo anaanza na kumsihi kwa mapenzi
yake. Zanga anafuata kwa wasiwasi kidogo na
kuzungumzia utegemeo wake, anamshukuru kwa
kuwatunza vizuri. Anasema kuwa baba yao ni kil kitu
yaani, ni mwalimu wao, ni mganga wao, ni sheshe, ni
padre na msema.Muda wa Mpya unapofika,hasemi bali
anaguna wake na kumkumbusha juu ya vitendo vyake.

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 9


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

Bw.Binafsi anaamrisha walinzi kumburura, Bi.Shoo


mamake anajaribu kumhurumia lakini anakatishwa na
mumewe. Bi.Shoo anasema eti hawezi kumtupa mtoto
wake na hivyo wanatoweka pamoja.
Mdogo humfundisha
mkubwa kusema
Onyesho la 3 (UK
45-55)
Onesho hili linaanza tukiwaona Zanga, Mussa na mama
yao wanamrudia Bw.Binafsi baada ya suluhu isipokuwa
Mpya. Wakati ni usiku wa mamane, Zanga amejilalia
chumbani mwaka, halafu anaamshwa na Mussa kwa
kugonga mlango. Zanga anaashiria kidole chake
kinywani akimtarajia anyamaze. Mussa anapojaribu
kumjibu alikokuwa na kwa nini anatoroka, anatumia
Sauti ya juu. Zanga anamwambia kuwa anyamaze au
atakiona cha mtema kuni.Mussa anamwambia kuwa
wao wanaonyamazishwa lazima watoke na kuzitafuta
haki zao za utoto- haki za binadamu. Haki aliyozaliwa
nayo mtu, ya kusema pasi hofu na woga. Anaendelea
kujiuliza mpaka lini atakuwa mtoto, ameamua kusema
na ameamua kupiga kelele. Mpya sauti yake
inawaambia eti kila kitu huanza kama mchezo yaani
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 10
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
mwanzo wa ngoma ni lele. Mpya anaendelea kusema
eti jambo hilo ni la kusema na kutetea haki za kila mtu.
Onyesho linaishia tukiwaana wote wakisema eti
wataungana na wanaojua kusema wawafundishe
kusema kwa kuwa wanaojua kusema ni wengi kuliko
wasiokujua kusema.
Kero na wanaokereka….Ndani kumezaa nje, Na nje
kumezaa mchakatao wa umma!
Onesho la 4 (UK 57- 61)
Onyesho hili linatendeka katika bustani ya taifa kijijini.
Wenye msimamo wa kusema na kupigania haki zao
yaani Bw.Taja, Bi.Subira, Bw.Sikilivu, Bi.Mgeni,
Mpya pamoja na wananchi wamekusanyika kwa
Mkutano wa dharura. Katika mkutano huo, Bi. Subira
kwa wazi anasema hana subira tena, yuko tayari
kuyafichua yale yaliyofichika.
Bi.Subira anasema eti nchi imekaa kama msitu wa
watoro, imejaliwa na waharifu. Wenzake wanamwunga
mkono. Bi. Subira anawaelezea eti hawawezi
kujikomboa bila ya kusema. Anasema vile vile eti
nchini mwao, watu wanakata miti ovyo na kujenga
nyumba bila vibali. Aidha, viwanja vya watu
vinachukuliwa kwa nguvu, kila pahali pamechafukika,
anaendelea kusema kuwa uzalendo umefifia, wanauza
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 11
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
nchi yao kwa bei rahisi…..
Bw.Taja anamwingilia kati na kusema eti orodha ni
ndefu hawezi kuimaliza. Naye Bw.Taja anayataja yale
yanayomwuma, akisema kuwa wamepoteza uraia na
utaifa wao. Anasema kuwa wageni ndio wanaojaliwa na
kuheshimiwa lakini wao wanaposema, hawasikilizwi.
Wakiwa wapo wanalalamikia mambo yasiyo na
kikomo, kundi la wananchi linaloongozwa na Mpya
linaingia. Mpya anawaambia kukomesha fujo kwani
inaweza kuwaharibia mambo. Wananchi kwa ari ya
kujikombo,wanasema kwamba hawatasita, hatakoma,
wanasema mpaka kufa kwao.
Wasiwasi wa
wazee.
Onesho la 5
(UK 63-70)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 12


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

Katika ofisi ya kiongozi mkuu (Bw. Binafsi) waziri wa


nchi (Bw. Naona) na ofisa wa usalama (Bw. Salimina)
wanaonekana humo. Bw. Naona hafichi mambo yoyote,
anasema kinaganaga jinsi mambo yalivyo.
Anapoulizwa kinachotokea Bw. Naona, anamwambia
eti watu wameanza kuamka. Anaendelea kumwambia
eti chini ya uongozi wake, watu wameamshwa na
mengi na ni lazima wawe macho.
Pia, Bw.Salimina anapoulizwa jinsi anavyoona mambo,
naye kwa msimano thabiti anamwambia kuwa watu
wamekuwa wamelala na sasa wameamka, anaendelea
kumwambia eti elimu aliyoisambaza ni ya uhange
inayotukuza uongoza wake, na kwa hiyo wanataka
wairekebishe katiba na waiandike upya. Bw. Binafsi
anakasirika na kuanza kulipuka kwa maneno
akiwadharau wananchi eti wamelala fofofo na
wanalolijua ni kula mhogo. Anandelea akionyesha
kuwa yeye ndiye kiongozi peke. Anauliza visababishi
vya zogo.
Bw. Naona anamwambia eti mambo yalianzwa na
Mpya, Mussa na Zanga watoto wake wenyewe ambao
wamewaongoza wananchi. Bw.Binafsi anaahidi kuwa

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 13


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
wakirudia vurugu hizo wakamatwe bila kumbagua
yeyote wakiwa ni watoto wake au la kwani mtoto
akililia wembe mpe, ukimkata ajuta mwenyewe.
Wakati ukifika watu husema wakati
umewadia!
Onyesho la 6(UK 72-75)
Njiani, watu wanapiga huku na huku, wanasita kuisikia
Sauti ya Mpya ambayo inasikika kokote ikisema
kwamba wao wananchi wameamua kesho yake
wakutane tena kulalamikia na kutetea haki zao. Sauti ya
umma nayo inaendelea kusema ati hawatki na fujo bali
inasikika ikikubaliana naye eti wako tayari kuingia
barabarani na kusema kwa amani.
Mpya kwa utondoti anayesema wazi bila kuficha
yatayoshughulikiwa kama vile, kupitia upya katiba yao,
kusimama kidete kudai kugeuza mwendo wao wa
kutojali masilahi yao, kuhakikisha wananchi wanapata
hunduma za kijamii, kupigana vita kwa ushujaa
kuondoa ufisadi na kulinda rasilimali zao zinazoimbwa
kiholera. Watu au wananchi wanakubaliana na
kuvifanya hivyo.
Baba anataka
kuwala watoto
wake Onyesho
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 14
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
la 7 (uk77-82)
Onesho hili linatendeka katika ofisi ya Bw.Binafsi.
Bw.Binafsi anaonekana amechanganyikiwa, anatembea
huku na huku na kupiga hatua za masafa kama
mwananajeshi. Anazisikia sauti za wananchi zikiimba
wimbo wa mapinduzi. Anajaribu kuwanyanyamazisha
lakini sauti zinamchekelea.
Anawauliza Bw.Naona na Bw.Salimina wakiwa
wameshawapata wapigaji kelele kama walivyoagizwa.
Bw.Naona anamwambia ukweli kuwa hawajawapata
kwa sababu wamefichwa na umma lakini nyumba kwa
nyumba na hatimaye watashikwa. Kwa ghadhabu,
anawafukuza akisema hawezi kuvumilia, anawataka
watoto wake kwa lolote.
Wananchi wanaonyesha kuwa wamejitayarisha na
wako sawa kwa lolote. Bw.Binafsi anabaki katika ziwa
la fikra na majuto yaliyojaa huzuni. Anaanza na
kusema na yoo,

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 15


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

analiomba limkejeli na kumsamehe yaani anaona


amebaki peke yake kwa kuwa watoto wake
wamemkimbia, watu wake wamemsusia na kumwendea
kinyume. Yoo linamwambia eti lilimwonya lakini
masikio akayatilia komango na kumdharau na hayo
ndiyo matokeo yake. Bw. Binafsi anaanguka chini.
Si shwari tena
Onesho la 8 (uk 84-89)
Nchi inanguruma Bw.Binafsi na Bi.Shoo wana jitimai
na hofu wanapozisikia sauti za wananchi zinagonga
kuta za nyumba. Sauti zao zinadai haki zao, wamesubiri
miaka 50 lakini hakuna linalofanyika.Bi.Shoo
anamwambia mumewe kuwa wameshamwambia
kujiuzulu kwa masilahi ya nchi na umma lakini yeye
bado anang’ang’ania, anaendelea kumwelezea eti
wameshapoteza watoto wao, heshima udhibiti wao wan
chi na hawawezi kusikilizwa na hawawezi kusilizwa na
mtu yeyote. Baadaye, tunawaona wananchi
wakiikabilia ana nguvu na kelele nyumba ya
Bw.Binafsi. Bw.Binafsi anaonekana akijuta, mwisho
wake umefika.
Hatimaye, tunawaona Kulia na Kushoto katika
kufungio wakiimba kwa hoi hoi na nderemo.
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 16
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Wanafurahia mwisho wa utawata wa Bw. Binafsi.
Wanaona lililobaki ni wananchi wenyewe kuisimamia
nchi yao.
DHAMIRA YA MWANDISHI
Mwadishi wa tamthilia ya kimya kimya kimya
andhamiria kuonyesha baadhi ya viongozi wenye
ubanafsi wanaochukua muda mrefu katika uongozi.
Viongozi hawa wana uongozi mbaya unaodhalimu na
kuwatesa wananchi na kuwaonyesha wapiganiaji haki
wakijaribu kujikomboa juu ya uongozi mbaya ambao
wanaongozwa na Mpwa.
MAUDHUI KATIKA TAMTHILIA YA KIMYA
KIMYA KIMYA
 Maudhui ni kile kinachosemwa katika kazi ya fasihi.
 Aidha, Maudhui ni ujumbe muhimu unaopatikana kwa
msomaji kutoka kazi ya mwandishi.
 Isitoshe, Maudhui ni ile mada inayoendelezwa na
wahusika katika mazungumzo yao.
 Hali kadhalika, maudhui ni jumla ya mawazo yote
yanayozungumzwa pamoja na mtazamo wa mwandishi
juu ya mawazo hayo.
 Maudhui hujumuisha mawazo pamoja na mafunzo
tofauti yaliyomsukuma msanii hadi akatunga na kusani
kazi ya fasihi.
Hivi basi maudhui yafuatayo yanapatikana katika kazi
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 17
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
ya “Kimya kimya kimya” ;
1. Kimya/ Unyamavu.
* Kimya ni hali ya mtu kunyamaza au kunyamazishwa ili
asiseme chochote. Bila shaka, kimya ndiyo maudhui
kuu inayoendeleza tamthilia hii. Katika tamthilia hii,
wahusika wengi wanalilia kusema maana wamebaki
kimya kwa muda mrefu. Kwa mfano, tunamwona
Kushoto anamwambia mwenzake Kulia eti anataka
kubaki kushoto kwa namna na hali mpya ya uhuru wa
kusema, kuandika, kulalamika, kukataa na kutoa maoni
mwafaka. Bila shaka, maneno kama haya yanaoynesha
kuwa hajasema hivyo maudhui ya kimya (UK 19).

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 18


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

* Pia, maneno ya Mpya yanaonyesha maudhui ya kimya


kwa mfano, tunamwona anasema,
“Umeshafiki…..umeshafika…umeshafika wakati wa
kusema….” Anaendelea kusema kuwa kusema ni haki
ya uzawa kwa kila kiumbe, binadamu hata wanyama,
anatamani siku moja kila mtu aseme, atoe madukaku
yake. Bila kudanganya, haya yanaonyesha kuwa watu
wamekuwa wamenyamazishwa hivi kuthibitisha
maudhui ya kimya (UK 20-21).
* Isitoshe, maswali ya Mpya nayo yanaonyesha maudhuli
ya kimya. Kwa mfano, tunamwona anauliza Kulia na
Kushoto, “Jamani nyinyi nani? Nyinyi nani
mnaonyamanza kimya?”. Kwa ukweli, maswali haya
yanathibitisha maudhui ya kimya (UK21)
* Bila shaka, amri ya Mkemeo nayo lazima inatetea
maudhui ya kimya. Kwa mfano, tunamwona
ananyamazisha hadhira akisema, “Kimyaaaa!
Kimyaaa! Nyamazeeeni! Anaendelea na kusema,
“nasema kimya! Hamsikii?” Kwa dhahiri, hadhira
inanyamazishwa hivi kuhakikisha maudhui ya kimya
(UK26).
* Vile vile, baada ya Mpya, Zanga, Mussa na mama yao
Bi.Shoo kunyamaza kwa muda mrefu, ghafla chuma
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 19
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kinaanguka na kumfanya Mpya aseme wazi na kelele
mara ya kwanza katika maisha yake.Mathalani,
tunamwona anasema, “ Kikaango cha chuma
kimeangushwa hatimaya!” Baada ya kauli hii, Sauti
inajitokeza ikiuliza ni nani amemruhusu kusema kwani
kwao hawasemi waziwazi wala hawasemi kwa kelele.
Mpya anajibu kuwa yeye ameanza (UK 26-28)
* Kimya ni maudhui yanayothibitishwa na maneno ya
Mpya. Kwa mfano, Sauti inajitokeza na kumkumbusha
eti yeye ni mtoto wa Bw.Binafsi na Bi.shoo ambaye
huruhusiwi kusema lakini yeye anajibu kuwa upeo
umeanza kuvisemesha vyumba, kukisemesha kila kitu
na kuzisemesha nafsi zao. Maneno haya yanadhihirisha
kuwa watu wamekuwa kimya (UK 28).
* Fauka, katika familia ya Bw. Binafsi, wanafamilia
wameyamaza, Mpya anajaribu kuelezea matendo ya
babake na kusema, “Mtu wa ajabu! Nafsi yake ni yake
mwenyewe. Lakini nafsi zetu si zetu ni …..aaa
sisemi…. Siruhusiwi kusema!” Pia, anaendelea
kusema ati amechoka kusubiri na kunyamaza. Kwa
wazi, vitendo hivi vinaonyesha maudhui ya kimya (UK
30-31).
* Kimya lazima ni maudhui ambayo imetawala tamthilia
ya Kimya Kimya Kimya. Kwa mfano, tunamwona
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 20
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Mpya, anatwelezea kuwa mamake Bi.Shoo ameketi
katika ukingo wa dunia, angekuwa na la kusema lakini
hasemi. Mathalani, anajaribu kumnyamazisha Mpya
yaani anasema, Mm Mpya…..maneno yake yanapotelea
pote na kubaki kimya (UK32).
* Juu ya hayo, Mpya anatufafanulia kuwa na ndugu zake,
kaka na dada yake wanatetemeka kwa hofu ingawa nao
wana hamu ya kusema. Hiki bila shaka, kinaonyesha
eti wapo kimya na kudhihirisha maudhui ya kimya
(UK32)
* Kimya yenye uzito inadhihirishwa na maneno ya Zanga
wakati anapoonyesha utiifu wake kwa baba yake. Kwa
mfano, anasema, “…….unatoka kijasho kwa ajili yetu.
Unafikiri kwa ajili yetu. Unasema kwa ajili yetu. Sisi
tumenyamaza tu……” Zanga hapa anaonyesha kimya
kwani baba yao anawasemea (UK37).

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 21


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

* Ghalibu, tunamwona Zanga anamyamazisha Mussa


ambaye amekuja usiku wa manane. Kwa mfano, Mussa
anagonga mlango kwa nguvu huku akimwita na
kumwamsha Zanga. Zanga anainuka na kuweka mto
mdomoni kuzuia maneno yasitoke kwa nguvu yaani
‘‘Shhhhhhh! Kimya ….kimya ……kimya…” Bila
mzunguko, haya yanathibitisha maudhui ya kimya (UK
45)
* Hali kadhalika, tunamwona Mussa anaendelea na
kusema eti anataka kusema na kuondoa Unyamavu.
Mathani, tunamwona anasema, … “ nimeamua nisema.
Nimeamua kupiga kelele….” Mambo haya
yanaonyesha kuwa Mussa amekuwa kimya kwa muda
mrefu (UK48)
* Waaidha, wananchi wanaoimba wimbo wakupigania
haki zao, wananyamazishwa na Bw. Binafsi kwa ukali.
Kwa mfano, anageukia hadhira na kuiamrisha, “Kimya,
kimya, kimya! Mnaimba nini nyinyi? Mnanifanyia
inda siyo?” lazima huu ni unyamavu (Uk 77-78).
* Katika maudhui sambamba, Mpya anawashauri
wenzake yaani Zanga na Mussa ambao hawajui kusema
kwamba wafundishwe na wale wanaojua kusema. Sauti
ya Mpya nayo lazima inawahimiza kuwa sasa wanaojua
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 22
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kusema ni wengi kuliko wasiojua kusema. Kwa kweli,
ikiwa watu hawajaanza kusema kweli wamenyamaza,
vivi hivi kutetea maudhui ya unyamavu (UK 54-55
2. Upiganiaji haki/ Uzalendo.
 Uzalendo ni hali ya mwanamchi kuwa tayari kuifia na
kuipiginia nchi yake kwa hali yoyote bila kukata tama.
Wahusika wengi katika tamthilia hii wanaonyesha
uzalendo kwa kuupinga uongozi mbaya mathalani sauti
ya ndani ya kisima inaonyesha uzalendo yaani
inamwambia Kushoto eti atazame mbele asitazame
nyuma, aijali yake na kutetea. Hivi vyote vinaonyesha
uzalendo (UK 8).
 Aidha, maneno ya Kushoto nayo yanaonyesha
uzalendo. Kwa mfano, tunamwona anamwambia Kulia
ya kwamba anataka kubaki kushoto kwa namna ya upya
yenye uhuru wa kusema, kaundika, kulalamika, kukataa
na kutoa maoni mwafaka. Kwa ukweli maneno haya
yanathibitisha maudhui ya uzalendo katika tamthilia ya
Kimya Kimya Kimya (UK19)
 Waaidha, Mpya naye kweli ni mzalendo, yaani
anaonekana bila hofu akisema, “Umeshafika….
Wakati wa kusema ingawa mimi peke yangu sina
uzito wa kusema. Mimi pweke, kusema ni haki ya
uzawa kwa kila kiumbe, binadamu na hata wanyama.
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 23
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Natamani siku moja kila mtu aseme.” Maneno haya
bila kudanganya yanahakikisha uzalendo wake (Uk21).
 Hali kadhalika, wanapomwita Mpya kumnyweshe maji
ya ujasiri anaitikia vizuri kuonyesha misimamo thabiti,
mathalani tunamwona anasema kuwa lazima yuko
njiani. Pia, anaendelea kusema ati lazima mmoja
ajitolee muhanga ndipo usasa utakapomheshimu naye
kuuheshimu. Haya yote yanadhihirisha uzalendo
(UK21)
 Vile vile, uzalendo wa Mpya unaonekana anapokunywa
maji ya ujasiri na kuyajimwagia Mwilini. Kwa mfano,
anatekea kiamo na kugugumia maji ya ujasiri jambo
ambalo analiita

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 24


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

tambiko la uhai wa nchi yake. Baada ya kuyanywa,


hayo, anasafisha hofu na woga ndipo Kulia na Kushoto
wanabagukana (UK23)
 Pia, baada ya Kulia na Kushoto kubaguana, wanasema
kauli zinazodhilirisha uzalendo, yaani wanasema kuwa
nchi ni tamu kuliko siasa, wanaendelea kusema wao
ndio watawala, wataliwa wenye unchungu wa nchi na
watajitolea mhanga kuipigania. Bila shaka, hivi vyote
vinaonyesha uzalendo (UK 24).
 Bado juu ya uzalendo, Mpya ni mfano mzuri wa
kuonyesha maudhui haya. Kwa mfano, anapoambiwa
na sauti kuwa kwao watu hawasemi waziwazi na
kupiga kelele, Mpya anasema, ‘mimi nimeanza. Mimi
mwananchi. Mimi mzalendo’ na hivi uzalendo
katikatamthilia hii (UK 27-28)
 Bila shaka, Mpya hajachoka kuonyesha uzalendo wake.
Kwa mfano, tunamwona akisema eti ameshoka
kusubiri, amechoka kugonjea, amechoka kunyamaza.
Anaendelea kusema ati kunyamaza kunamwangamiza
na anauliza, “Kwa nini kila siku tugonjee? Tugonjee,
tugonjee mpaka lini?”. Kwa kweli, matendo kama
haya yanarejesha uzalendo (UK31)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 25


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Katika maudhui sambamba, Mvutano kati ya
Bw.Binafsi, Mpya na Bi.Shoo nao unaonyesha uzalend.
Bi.Shoo anasema kishujaa akimwambia Bw.Binafsi ya
kuwa hana ujasiri mbele ya mtoto wake. Anaendelea
kumwambia eti unchungu wa mwana amjuaye ni mzazi.
Mvutano huu unajitokeza kwa sababu Mpya amekataa
kakata kuonyesha utiifu kwa babake. Hatimaye,
tunamwona Bi.Shoo anasema, “Siwezi kumtupa mtoto
wangu hasa kwa sababu ni msema kweli. Heri
tuondoke sote”. Lazima huu ni uzalendo (UK43)
 Bila kurandagatana, Mussa naye ni mzalendo yaani
tunamwona anajiuliza eti mpaka lini atakuwa mtoto wa
kuongozwa na mawazo ya mtu mwingine.
Anamwambia Zanga ya kuwa, watoke watafute
ukimbizi za binadamu, haki aliyozaliwa nayo kila mtu
ya kusema pasi na hofu wala woga. Anaonekana
akisema ya kwamba aneamua kusema na kupiga kelele.
Bila shaka, hivi vyote vinathibitisha maudhui ya
uzalendo (uk 47-48)
 Fauka, Zanga Mussa na Mpya wote pamoja ni
wazalendo. Kwa mfano, tunawaona Wakisema ya ati
wameshatambua. Mussa anamwambia Zanga kuwa
wawatembelee wajuaokusema wawafundishe kusema
ili waache kunong’onanong’ona na kugumaguguma
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 26
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
wapiganie haki zao. Sauti ya Mpya inawahimiza ya
kuwa wanaojua kusema ni wengi kuliko wasiojua
kusema. Wahusika hawa kwa ukweli ni wazalendo (uk
54)
 Kuongeza hapo, wananchi wanaonyesha uzalendo wao.
Mathalani, wanajumuika wakiongozwa na Mpya
kupigania haki zao. Kwa mfano, wanaonekana katikati
ya uwanja wa bustani wakisema, “Kimya kimya kimya
wananchi kmya kimya wananchi. Kimya tusiharibu
mambo” wanaendelea kusema ya kuwa hawatasita,
hawatakoma mpaka kufa kwao. Vivi hivi huonyesha
uzalendo (uk 61)
 Fauka ya haya, Mpya bado anadhihirisha uzalendo
wake anapoongoza uchochezi wa mgomo. Kwa mfano,
tunamwona anasema kuwa wananchi wameamua
keshoye kukutana na

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 27


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

kulalamikia haki zao bila fujo bali kukutana na


kulalamikia haki zao bila fujo bali kuweka wazi kere
zao. Wananchi nao kweli wanakubaliana na kauli yake
(uk 72-73)
 Ghalibu, wimbo wa wananchi nao unaonyesha
uzalendo. Kwa mfano, tunawaona wanamwimbia
Bw.Binafsi wimbo wa kupigania haki zao. Mathalani,
wanasema, “Haki ni kama upanga Usipotekeleza
utajutia leo na kesho ndiyo… ” (uk 77)
 Bila kuchoka, wananchi ni wazalendo halisi yaani
wanamkabilia Bw.Binafsi nyumbani mwake bila woga.
Mathalani, wakisema kwamba wanadai haki zao,
wamesubiri miaka zaidi ya 50 hakuna la maana
linalofanyika. Wanaendelea kusema kuwa hawatasubiri
tena kwa hiyo, matendo haya yanahakikisha maudhui
ya uzalendo. (uk 84)
 Ghalibu ya hayo, mambo matano muhimu
yanayowekwa na Mpya wazi kupigania haki zao
yanaonyesha uzalendo. Kwa Mfano, tunamwona,
anawaambia wananchi ya kuwa watapitia upya katibu
kwa masilahi ya wamanchi, watasimama kidete kudai
kugeuza mwendo wao kutojali masilahi yao,
wahakikishe wananchi wanapata huduma za kijamii
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 28
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kutonoa masilahi yao, wapigane vita kwa ushujaa
kuwondoa ufisadi na kuzilinda rasilimali zao. Kwa
wazi, haya yanatetea maudhui ya uzalendo (Uk 73-74)
 Bw.Naona naye anaonyesha uzalendo kwa kusema
kama anavyoona. Kwa mfano, anamwambia
Bw.Binafsi wazi kwamba watu wamekuwa wamelala
lakini sasa wameamka. Anaendelea kumwamba ukweli
eti anaelewa kwamba chini ya uongozi wake watu
wameamshwa na mengi, kwa hivyo wanapaswa wawe
macho.Na kwa hiyo, anawashabika kupigania haki zao
na hiki kinaonyesha kuwa naye ni mzalendo (uk 63)
 Uzalendo kadhalika unathibitishwa na msimamo thabiti
wa Bw.Taja ambaye anaongezea juu ya mambo maovu
yanayofanywa na siasa ya Bw.Binafsi. Kwa mfano,
anamshabika kwa kusema kwamba wamepoteza uraia
na utaifa wao lakini wageni ndio wanaojaliwa na
kuheshimiwa. Anaendelea na kusema kuwa wao
wakisema hawasikilizi.(uk 60)
 Bw.Sikilivu naye anahakikisha ya kuwa matatizo yapo
lazima na yanamiminika. Hivi basi anataka wananchi
wajumuike, waungane mikomo ili waweze kupigania
haki zao wajikomboe (uk 58)
 Kwa kutamatisha, Bi. Mgeni naye ni mzalendo hususan
tunamwona anamwunga mkono Bi.Subira eti nchi yao
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 29
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kwa ukweli haina uongozi kwa sababu uongozi uliopo
ni wa kiubinafsi (Uk 58).
2. Ubinafsi
 Ubinafsi ni tabia ya mtu kuyajali masilaha yake

mwenyewe bila kuwajali wengine. Hiki lazima


kinaomekana wazi na jina la Bw.Binafsi. Bw.Banafsi
hataki wananchi wapiganie haki zao. Kwa mfano,
wananchi wanapodai kubadilisha katiba ya nchi,
Bw.Binafsi anawadharau kwa kuwaita vinyangarika
wanaolala fofofo kama pono. Anaendelea kusema eti
wao. Wanachokijua ni kula mhogo tu. Pia, tunamwona
akisema, “katiba ni ya viongozi na kiongozi ni
mmoja” yaani yeye. Bila shaka huu ni ubinafsi (uk 66)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 30


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Kuongeza katika ubinafsi, maneno ya Mpya nayo


yanaonyesha kuwa nchi yao ni ya mtu mmoja. Kwa
mfano, anasema, “tunataka nchi iwe yetu sote. Isiwe
tena nchi ya watu wachache wanaoiba mali na
kwenda kuikindika katika mataifa ya nje”. Bila
kudanganya, maneno haya yanaonyesha ubinafsi (uk
74)
 Vile vile, Bi.Subirti naye anaonyesha kuwa nchi yao

imejaa ubinafsi. Mathalani, tunamwona anasema kuwa


ofisi zao ni chafu, makazi machafu, vijiji vichafu,
mwenendo mchafu, nafsi zao chafu kwa sababu
ubinafsi ndio unaowatia ujinga. Bila shaka, ubinafsi ni
maudhui katika tamthilia ya Kimya Kimya Kimya (uk
59)
3 Uongozi.
 Uongozi ni hali ya mtu kuchukua mamlaka miongoni

mwa wenzake. Katika tamthilia hii, kuna aina mbili za


viongozi, viongozi wanaoendeza uongozi mbaya na
viongozi wanaojali masilahi ya wananchi. Uongozi
mbaya ni ule usioegemea masilali ya wananchi. kwa
mfano, Bw. Binafsi ni kiongozi mbaya ambaye amejaa
ubinafsi, ufisadi, mateso, dhuluma na kadhalika.
Mathalani, tunamwona hataki wananchi wapiganie haki
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 31
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
zao yaani anaamrisha askari kuwapiga rungu (uk 61)
 Vile vile, Bw.Binafsi ni kiongozi mbaya anayetesa
familia yake. Kwa mfano, anamtesa Mpya kwa sababu
amepinga uongozi wake mbaya. Mathalani, tunamwona
anaamrisha walinzi kumwendea Mpya na wanamburura
kama gunia la makaa na kumfukuzia nje (uk 41)
 Aidha, Bwana Binafsi ni kiongozi mbaya ambaye
ananyima wananchi haki zao. Kwa mfano, wananchi
wanapomwomba kubadilisha katiba yeye analipuka
kwa matusi bila kuwajali. Kwa mfano, tunamwona
anawaita vinyangarika wanaojua kulala na kula mhogo.
Anawaambia kuwa wao hawajui lolote juu ya katiba
kwani wao si viongozi wala kiongozi ni mmoja. Hivi
hivi, vinathibitisha uongozi mbaya (uk 66)
 Kwa upande mwingine, kuna viongozi ambao wanajali
masilahi ya wananchi na hivi wanajaribu kuwaunga
mkono ili wajikomboe juu ya uongozi mbaya wa myaka
mingi. Kwa mfano, Bw. Naona (anasema kama mambo
yalivyo), huyu ni waziri wa nchi Bw.Naona,
Bw.Salimia naye ni kiongozi anayefanya kazi kama
ofisa wa usalama (uk 63)
4. Njaa na Kiu.
 Njaa ni hali ya kukosa vyakula. Katika tamthilia hii
tunaona wahusika wanalalamikia njaa. Kwa mfano,
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 32
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
tunamwona Kushoto anasema kwamba kule anakotoka
hakuna maisha kwa sababu ya njaa na kiu (uk 8).
 Aidha, Kulia naye anaihisi njaa na kiu vibaya. Kwa
mfano, tunamwona anasema , “…..naisikiliza nafsi
yangu, lakini. Siisikii. Nahisi nafsi ya mtu mwingine
ndiyo inayoniongoza. Njaa, njaa,. Kiu, kiu, kiu ….”
(uk 11).
 Bila shaka, maneno ya Bi.Subira nayo yanatetea
maudhui ya njaa. Kwa mfano, tunamwona akisema,
“…. Chakula kimekuwa ghali kupatikana. Kila mtu
analia njaa, njaa, njaa na

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 33


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

mashamba tunayo”. Baada ya kuangalia mambo kama


haya hatuna budi kusema kuwa kuna maudhui ya njaa.
(uk95)
5. Migogoro.
 Migogoro ni mikinzano au mivutano miongoni mwa
wahusika yanayosababishwa na kutokubaliana. Kwa
mfano, katika tamthilia ya Kimya Kimya Kimya
tunaona mgogoro kati ya Kulia na Kushoto
unaosababishwa na hamu ya kujikomboa. Mathalani,
tunawaona wanagonganisha migongo na kusukumana.
Kushoto anamsukuma Kulia aruda Kulia na Kushoto
anasukumwa aende kushoto (uk 15).
 Mgogoro mwingine unajitokeza katika ya Mpya na
bakake Bw.Binafsi. Kwa mfano, baada ya Bw.Binafsi
kuingia mwake, wengine wanainamisha vichwa ila
Mpya jambo ambalo babake linamfanya kumkaripia
kwa mfano, Binafsi anamwita Mpya Mtoto wa Ukorofi,
kigego na hata anajuta kwa kumzaa (uk 34)
 Juu ya hayo, Bw.Binafsi na Mpya nao wanaonyesha
mgogoro katika mlo. Wakiwa wanakula, Bw. Binafsi
anaamri watoto wake na mkewe kuonyesha utiifu wao
kwake lakini yeye Mpya anaguna na halafu
anambwambia vitendo vyake vibaya jambo ambalo.
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 34
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Linamkera. Anawaita walinzi ambao wanakuja
kumburura kama gunia la makaa (uk 39-41)
 Hali kadhalika, kuna mgogoro kati ya Bi.Shoo na
mumewe. Kwa mfano, tunamwona Bi.Shoo akijaribu
kumtetea mtoto wake lakini Bw.Binafsi anamwingilia,
Bi. Shoo anamshika mtotowe mkono wanaondoka
pamoja (uk 43).
 Fauka, wananchi na askari polisi nao wanaonyesha
mgogoro. Wananchi wanapojumuika kuambiana jinsi
watakavyopigania haki zao, wakiwa katika uwanja wa
bustani, askari polisi wanajitokeza wakiwa wamebeba
virungu na kuwatandika viboko. Kwa kweli huu ni
mgogoro wazi (uk 61).
 Mgogoro mwingine unajitokeza kati ya wananchi na
Bw.Binafsi. Kwa mfano, wananchi wanamwendea
kwake wakinguruma, sauti zao zinasikika kwa vitisho
na kusema kwamba wanataka haki zao. Wanaendelea
kusema eti wamesubiri zaidi ya myaka hamsini na
hakuna linalofanyika. Kundi lao linaonekana limebeba
mabango. Kwa uhakika kuna maudhui ya mgogoro (uk
84)
6. Mapenzi ya dhati.
 Ni hali ya kuwa na moyo wa kumtakia mema
mwenzako. Kwa kurejelea tamthilia hii, tunamwona
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 35
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Mpya akionyesha mapenzi yake kwa mamake (Bi.Shoo)
yaani anamtakia mema. Mathalani, amhurumia chini ya
mateso mbaya wa Bw.Binafsi kwa mfano, tunamwona
akisema eti mamake ameketi katika ukingo wa dunia,
ana hofu za kuanguka na kuangamia, kwa hiyo
anamtetea. Hiki kinaonyesha mapezi (uk 32)
 Waaidha, kama wasemavyo wahenga, “Mtenda mema
hulipwa mema”, naye Bi.Shoo mamake Mpya
anamtetea dhidi ya ukatili wa babake. Kwa mfano,
Bw.Binafsi anapomkaripia, Bi.Shoo anaingilia
kumtetea mtoto wake na ndivyo tunamwana anasema,
“Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi.” kweli haya
ni mapenzi (uk 42)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 36


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Vile vile, mamake Mpya anaonyesha mtoto wake


mapenzi. Kwa Mfano, tunamwona anasema, “siwezi
kumtupa mtoto wangu hasa kwa sababu ni msema
kweli. Heri tuondoke sote” kauli kama hii inahakikisha
uchungu wa mwana aujuaye mzazi yaani mapenzi (uk
43)
 Bi.Shoo naye anaonyesha mapenzi yake kwa mumewe
Bw.Binafsi. Hiki kinafanyika anapoonyesha utiifu wake
kwake. Mathalani, anasema kuwa Bw.Binafsi
alisheheni mapenzi kwake. Pia, anamshukuru kwa
kuwa nguzo nzuri kwa familia yao na kuwa fahari
kwake. (uk 36).
7. Utajiri
 Ni hali ya kuwa na mali na pesa za kutosha. Familia ya
Bw.Binafsi ni tajiri kwani inaonekana ina vyakula vya
kila aina, ina mlinzi (uk 27).
 Pia, maneno ya Bw.Binafsi yanadhihirisha utajiri wake.
Kwa mfano, anaposhukuru Mungu kwa kumtia imani
kuitunza familia yake anasema, “….fumbueni macho
muone ukosefu, njaa, na maradhi yalivyojaa dunia
nzima. Tazameni majirani. Hawana cha kutegemea.
Lakini kwenu vimejaa vitu tele vya manufaa.
Mnakula mnachokitaka mnavaa mnavyopenda
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 37
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
mnakwenda vyuoni kuelimika” (uk 34).
 Mwandishi Said A. Mohamed anausawiri kikamilifu
utajiri wa Bw. Binafsi. Kwa mfano, anasema eti
chumbani mwa vijana wawili wa kiume Mussa na
zanga kina vitanda vya kisasa, kuna samani na
mapambo yakitajiri. Anasema kuwa chumba ni cha
kitajiri.na kwa hiyo, ni bora kusema eti kuna maudhui
ya utajiri katika tamthilia ya kimya kimya kimya (uk
45).
8. Nafasi ya mwanamke/ usawiri wa mwanamke/ hadhi
ya mwanamke.
Nafasi ya mwanamke ni jinsi mwanamke
anavyosawiriwa na mwadindishi au hadhi anayopewa
katika jamii. Katika tamthilia hii, mwanamke
anasawiriwa;
 Kama mzalendo, mzalendo ni yule mtu ambaye yuko
tayari kuipigania na kuifia nchi yake kwa hali yoyote.
Kwa mfano, Mpya naye kweli ni mzalendo yaani
anaonekana bila hofu akisema, “umeshafika,
umeshafika…. Umeshafika …..umeshafika wakati wa
kusema ingawa mimi peke yangu sina uzito wa
kusema. Natamani siku moja kila mtu aseme” maneno
haya bila kudanganya yanahakikisha uzalendo wake (uk
21)
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 38
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Pia, wahenga wanapomwita Mpya kumnywesha maji
ya ujasiri, anaitikia vizuri kuonyesha kuwa yuko tayari
kuipigania na kufia nchi yake. Mathalani tunamwona
anasema kuwa lazima yuko njiani. Pia, lazima
anaendelea kusema eti mmoja ajitolee mhanga ndipo
usasa utakapomheshimu naye kuuheshimu. Haya yote
yanadhihirisha uzalendo wake (uk 21).
 Vile vile, uzalendo wa Mpya unaonekana apokunywa
maji ya ujasiri. Kwamfano, anateka kiamo na
kugugumia maji ya ujasiri jambo ambalo analiita
tambiko la uhai wa nchi yake. Baada ya kunywa maji
hayo, anasafisha hofu na woga wake na wa wananchi
(uk 230).
 Bila shaka, Mpya ni mfano mzuri wa kuonyesha
uzalendo. Kwa mfano, anapoambiwa na Sauti kuwa
kwao watu hawasemi waziwazi, anasema ‘mimi
mwananchi. Mimi mzalendo na mkereketwa’. Kwa
kweli, haya yanaonyesha uzalendo wake (uk 27-28)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 39


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Isitoshe, Mpya anaonyesha uzalendo wake anaposema


eti amechoka kusubiri, amechoka kugonjea, amechoka
kunyamaza. Anaendelea kusema ati kunyamaza
kunamwangamiza na anauliza, “kwa nini kila siku
tugonjee? Tugonjee, tugonjee mpaka lini?” Kwa
kweli maswali haya yanahakikisha uzalendo wa kijana
wa kike Mpya (uk 31).
 Hali kadhalika, Mvutano baina ya wanawake (Mpya na
Bi.Shoo) na Bw.Binafsi unathibitisha uzalendo. Kwa
mfano, tunamwona Bi.Shoo anaonyesha uzalendo wake
kishujaa anapomwambia Bw.Binafsi ya kuwa hana
ujasiri mbele ya mateso ya mwanake. Anaendelea
kumwambia ati uchungu wa mwana aujuaye mzazi.
Mvutano huu unajitokeza kwa sababu Mpya amekataa
katakata kuonyesha utiifu wake kwa babake. Hatimaye,
tunamwona Bi. Shoo anasema, “Siwezi kumtupa mtoto
wangu hasa kwa Sababu ni msema ukweli. Heri
tuondoke sote” Kwa kweli huu ni uzalendo (uk 43).
 Waaidha, Bi.Mgeni naye ni mzalendo hususan
tunamwona anamwunga mkono Bi.Subira eti kwa
ukweli nchi yao haina uongozi kwa Sababu uongozi
uliopo ni uongozi wa kibinafsi na kwa hiyo,
wanaungana na kuupinga uongozi wa Bw.Binafsi
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 40
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
(uk58).
 Bila shaka, maneno ya Subira yanaonyesha uzalendo
wake hususa anaposema kuwa wamekusanyika kwa
madhumuni ya kujifungua dhidi ya uongozi mbaya.
Anaendelea kusema eti hawawezi kujikomboa bila ya
kusema na ni lazima waseme hivi basi ni mzalendo (uk
59).
 Ghalibu ya hayo, mambo matano muhimu
yanayowekwa wazi na Mpya yanaonyesha kuwa
mwanamke kwa kweli ni mzalendo. Kwa mfano,
tunamwona anawaambia wananchi ati wanataka
kuipitia katiba upya kwa masilahi ya wananchi,
watasimama kidete kudai kugeuza mwendo wao wa
kutojali masilahi yao, wahakikishe wananchi wanapata
huduma za kijamii kutonoa masilahi yao, wapigane vita
kwa ushujaa kuondoa ufisadi na kuzilinda rasilimali
zao. Umilisi wa kusimama kidete na kuyataja haya wazi
unatetea uzalendo wa mwanamke katika tamthilia ya
Kimya Kimya Kimya (uk73-74)
 Fauka ya hayo, mwanamke (Kijana wa kike) Mpya
anadhilihirisha uzalendo wake wakati anapoongoza
uchochezi wa mgomo. Mgomo huu unalenga
kumwondoa Bw.Binafsi katika uongozi. Kwa mfano,
tunamwona Mpya anasema ati wananchi wameamua
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 41
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kesho yake kukutana na kulalamikia haki zao bila fujo
bali kuweka wazi kereo zao. Wananchi hao lazima
uanakubaliana na kauli yake. Haya yote yanamshauri
Mpya kama kijana mzalendo (uk 72-73).
 Kando na uzalendo, mwanamke pia anasawiriwa kama
mwenye mapenzi. Mapenzi ni hali ya kuwa na upendo
na kutakiana mema. Kwa mfano, tunamwona Mpya
akiyaonyesha mapezi yake kwa mamake. Mathalani,
anamhurumia chini ya uongozi mbaya wa babake. Kwa
mfano, anasema eti, mamake ameketi katika ukingo wa
dunia, ana hofu za kuanguka na kuangamia. Kwa hiyo,
anamtetea na kuonyesha kujali, hayo ni mapenzi (uk
32)
 Waaidha, kama wasemavyo wahenga, “mtenda mame:
hulipwa mema”, Bi. Shoo naye anaonyesha mapenzi
yake kwa mtoto wake Mpya wakati anapomtetea dhidi
ya ukatili wa

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 42


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

babake wa kumkaripia Mpya. Bi.Shoo anaingilia kati


kumtete na ndivyo tunamwona anasema “Uchungu wa
mwana aujuaye mzazi”. Kwa kweli, hayo ni mapenzi
(uk 24)
 Juu ya mapenzi ya mama, Bw.Binafsi anapomfukuza
nyumbani Mpya, tunamwona anasema, “Siwezi
kumtupa mtoto wangu kwa sababu ni msema kweli.
Heri tuondoke sote”, kauli kama hii kweli inaonyesha
mapenzi ya mwanamke (uk 43)
 Bi.Shoo naye kuna pale ambapo kweli anadhihirisha
mapenzi yake kwa mumewe Bw.Binafsi. Hiki
kinafanyika anapoonyesha utiifu wake kwake.
Mathalani, anasema kuwa Bw.Binafsi alisheheni
mapenzi kwake. Pia, anamshukuru kwa kuwa nguzo
nzuri kwa familia yao na kuwa fahari kwake (uk 36)
 Vile vile, mwanamke anasawiriwa kama mvumilivu.
Mvumilivu ni yule anayestahimihili mambo kwa muda
mrefu bila kukata tamaa. Kwa mfano, Bi.Shoo na Mpya
wanavumilia mateso ya Bw.Binafsi. Mathalani,
tunamwona Mpya akifafanua eti mamake Bi.Shoo
ameketi katika ukingo wa dunia, ana hofu za kuannguka
na kuangamia, anaihofu ndoa kwa sababu anamwogopa
mumewe Bw.Binafsi. Haya yote Anayavumilia hivi
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 43
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kuonyesha uvumilivu wake (uk 32)
 Mpya naye anavumlia mateso ya babake Bw.Binafsi.
Mathalani, Mpya anapomwambia vitendo vyake yaani
uongozi mbaya, Bw.Binafsi anakasirika na kumkaripia
halafu anawaita walinzi wake kuja kumburura na
kumfukuza. Mateso haya anayavumilia hivi kuonyesha
uvumilivu (wake uk 41)
 Bado juu ya uvumilivu, wananchi wa jinsia ya kike
wanavumilia ugonzi mbaya wa Bw.Binafsi kwa muda
wa miaka hamsini na zaidi. Kwa mfano, Mpya (Kijana
wa kike), Bi.Shoo, Bi.Subira, Bi.Mgeni tunawaona
wakiyataja mambo ambayo wamevumilia kama vile
njaa, kiu, ufisadi, udhalimu, kuchukua ardhi yao,
kutawaliwa kiumbinafsi na kadhalika (uk 59)
 Kando ya uvumilivi, mwanamke ana hadhi ya
kuikomboa nchi yake yaani anasawiriwa kama
mkombozi. Kwa mfano, Mpya ni mkombozi ambaye
anachochea wananchi kupigania haki zao jambo ambalo
linasababisha Bw.Binafsi kuondolewa katika uongozi.
Kwa mfano, tunamwona Mpya akiwajulisha wananchi
ya kuwa wameamua kesho yake wakutane kulalamikia
haki zao (uk 72)
 Bi.Shoo lazima naye ni mkombozi (anasababisha
mapinduzi) kwa mfano, tunamwona anautetea ukweri
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 44
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
wa Mpya. Mathalani, Bw.Binafsi anapomfukuza Mpya,
Bi.Shoo anasema, “Siwezi kumtupa mtoto wangu hasa
kwa sababu ni msema kweli. Heri tuondoke sisi sote”.
Hivi basi, Bi.Shoo naye anajua kuwa Mpya ni msema
keli (uk 43)
 Waaidha, Bi.Shoo ni mkombozi kwani tunamwona
anamwambia mumewe kujiuzulu. Pia, anamwambia eti
hawezi kuwa katika upande wake. Kwa mfano, Bw
Binafsi anapomwuliza akiwa yuko katika upande wake,
Bi.Shoo anasema, “Unataka niwe pamoja na wewwe
vipi? Huoni kwamba ninakuzindua kwamba hatari
iko karibu nasi? Huoni kwamba mwisho

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 45


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

wetu umefika?”. Maneno haya yanadhihirisha kuwa


Bi.Shoo anasababilisha mapinduzi (uk 86-87)
 Bi.Subira, Bi.Sikilivu na Bi. Mgeni nao ni wakombozi
yaani wanasababisha mapinduzi. Kwa mfano,
tunawaona wamekusanyika katika bustani ya taifa jijini
kwa mkutano wa dharura. Pia, tunamwona Bi.Subira
akisema kuwa hana subira tena, hawawezi kujikomboa
tusiposema (uk 57-59)
 Kwa upande mwingine, mwanamke anasawiriwa kama
mwaminifu wa utamaduni wake. Kwa mfano, Mpya
anamini mambo ya ukale (utamaduni) yaani
tunamwona wahenga wanamnywesha maji ya ujasisi ili
aweze kusafisha hofu na woga vinavyomzuia kupigania
uhuru (uk 23)
 Juu ya nafasi ya mwanamke, anasawiriwa kama
mchochezi wa mgomo. Mchochezi ni yule ambaya
anasababisha wengine wagome. Uchochezi wake
unathibitishwa na maneno yake akisema kwamba
wananchi wameamua eti keshoye wakutane tena
kulalamikia haki zao (uk 72)
 Pia, tunamwona Mpya akiwanyamazisha na kusema ati
fujo ndiyo itakayoharibu mambo yao katika harakati za
kupigania haki zao (uk 61).
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 46
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Juu ya mengine kama haya, tunamwona akiwaambia
Mussa na Zanga kuwa wanaojua kusema ni wengi
kuliko wasiojua kusema hivi wawaendee wafundishwe
kusema. Lazima huyu ni mchochezi mzuri (uk 55)
 Isitoshe, mwanamke anasawiriwa kama mjenzi wa
familia. Kwa mfano,tunamwona Bi.Shoo anawapenda
na kuwatetea watoto wake. Kwa mfano, anamtetea
Mpya dhidi ya mateso ya babake. Mathalani,
tunamwona Mpya anapofukuzwa, mamake anaondoka
naye. Kwa ukweli Bi.Shoo ni mjenzi wa familia (uk
43).
 Ghalibu ya hayo, mwabamke anasawiriwa kama
msaliti. Msaliti ni yule anayemtendea kinyume mtu
mwingine kulingana na makubaliano. Kwa mfano,
Mpya ni kijana msaliti ambaye anongoza mikutano ya
uchochezi wa kumwondoa babake katika uongozi (uk
86).
 Bila shaka, mwanamke anasawiriwa kama shujaa/
jasiri. Ni yule anayetenda bila kuogopa na kujali maisha
yake. Kwa mfano, Bi.Shoo ni shujaa ambaye
hajamwogopa kumwambia Bw.Binafsi uso kwa uso
kujiuzulu wakati wanapokabiliwa na umati wa
wananchi (uk86)
 Aidha, Mpya naye ni jasiri yaani hajamwogopa
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 47
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kumwambia babake juu ya vitendo vyake viovu. Kwa
mfano, wakati wakuonyesha utiifu wake kwa babake,
anamwambia vitendo vyake. Pia, tunamwona
anakatataa katakata kumwinamia baada ya kuingia.
Mpya haogopi, hata kamwe (uk34-39).
 Juu ya hayo, wanawwake ni jasiri kwani wanajitolea
nmhanga kupigania haki nchi yao. Kwa mfano, Mpya,
Bi.Mgeni, Bi.Sikilivu na Bi.Subira wanaonyesha wazi
kuwa wamechoka na uongozi uliojaa ubinafsi, mateso ,
ufisadi, udhalimu, wakionyesha kumpinga Bw. Binafsi
(uk 57)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 48


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Waaidha, mwanamke anasawiriwa kama mpenda


amani. Mpya lazima ni yule mtu asiyependa fujo. Kwa
mfano, tunamwona anawaambia kutenda mambo yao
bila fujo kwa sababu fujo huweza kuwaharibia mambo.
Mathalani, anasema, “………..sisi wananchi
timeamua kwamba kesho tukutane tena kulalamika
na kutetea haki zetu. Hatutaki fujo lakini” (uk 72).
 Pia, mwanamke anasawiriwa kama kiumbe cha
kudharauliwa na mwanamume. Kwa mfano, Mpya
anapokataa kumwinamia babake, anamkaripia akisema,
……… “wewe kigego, mtoto wa ukorofi. Sikutaka
mimi uingie mimba mwa mamako mtotot wewe. Mtoto
wa kike anafaida gani? Na ilipoingia mimba sikujua
kama ungezaliwa hivi. Umekuja duniani kuniondolea
furaha” (uk 34).
 Bila kudanganya, mwanamke anasawiriwa kama mtiifu.
Mtiifu ni yule anayesikiliza na mwenye kutoa heshima.
Kwa mfano, Bi.Shoo ni mtiifu yaani anaonyesha utiifu
wake kwa mumeme akisema, “Bwana uliyesheheni
mapenzi kwangu, baba wa watoto wangu, mwenzangu
katika safari ngumu…… Nakumbuka kuguma
tulikotoka na najua wapi tulipo leo…..kama si wewe,
usingetimu ujanajike wangu……umama wangu
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 49
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
…..fahari yangu kwako!” (uk 36)
 Juu ya hayo, Mpya naye ni mtiifu. Kwa mfano,
tunamwona anawatii wahenga. Wahehenga
wanapomwita kumnyesha maji ya ujasiri, Mpya
anaitikia kwa kusema yuko njiani hatua kwa hatua
kichwa juu miguu chini au miguu juu kichwa chini.
Mathalani, tunamuona anapeleka kiamo kinywani na
kugugumia maji ya ujasisi na yaliyobaki anajimwagia
mwilini (uk 21- 23).
 9. Uvumilivu.
 Ni hali ya mtu kustahimili mambo magumu kwa muda
mrefu bila ya kukata tamaa. Kwa mfano, Bi.Shoo na
Mpya wanavumilia mateso ya Bw.Binafsi. Mathalani,
tunamwona Mpya akifafanua eti mamake Bi.Shoo
ameketi katika ukingo wa dunia, ana hofu za kuanguka
na kuangalia, anaihofu ndoa kwa sababu anamwogopa
Bw.Binafsi. Haya yote Bi.shoo anayavumilia na kwa
hiyo, ni mvumilivu (uk 32)
 Hali kadhalika, wananchi ni wavumilivu. Kwa mfano,
wananchi (wote) kama vile, Bw.Taja, Bw.Salimina,
Bw.Naona, Kushoto, Kulia, Bi.Subira, Bi.Sikilivu,
Bi.Mgeni, Mpya, Bi.Shoo, Mussa, Zanga na wengine
wanavumilia uongozi wenye maovu. Kwa mfano, njaa,
kiu, ufisadi, udhalimu, kuchukua ardhi zao, kukata miti
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 50
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
ovyo, kutawaliwa kiubinafsi matendo haya na mengine
wanayavumilia, na kwa hiyo ni maudhui ya uvumilivu
(uk 59)
 Bila shaka, Mpya naye ni mvumilivu ambaye
amevumilia mateso ya baba yake. Mathalani, Mpya
anapomwambia babake vitendo vyake yaani uongozi
mbaya, Bw.Binafsi anakasikika na kumkaripia vibaya.
Kwa, mfano, tunawaona walinzi wakiitwa na baada ya
kuja, wanamburura Mpya kama gunia la makaa na
kamfukuza. Haya Mpya anavumilia (uk 41).
 10. Usaliti.

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 51


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Usaliti ni hali ya kumtendea mtu kinyume cha


makubaliano. Kwa mfano, Bw.Binafsi ni msaliti kwa
kutendea kinyume cha makubaliano nchi yake. Aidha,
Mpya, Mussa na Zanga nao ni wasaliti kwa mfano
wanachochea mgomo wa kumwondoa baba yao katika
uongozi. Kwa mfano, tunaona Mpya ndiye
anayeongoza mikutano ya wananchi ili wapiganie haki
zao. Kwa kweli wanamsaliti baba yao (uk 72-75).
 11. Ujasiri
Bi. Shoo ni Jasiri, kwa mfano, hajamwogopa
Bw.Binafsi kumwambia uso kwa uso eti ajiuzulu
wakati wanapokabiliwa na wananchi (uk 34-59)
 Juu ya hayo, Mpya naye ni jasiri yaani hajamwogopa
babake kiongozi mkuu kumwambia vitendo vyake. Pia,
tunamwona anakataa kumwinamia baada ya kuingia.
Hiki kinaonyesha ujasiri wake (uk 57)
 Kwa ujumla, wananchi nao ni jasiri. Kwa mfano,
hayajaogopa kuanzisha mikutano ya kujikomboa
polepole wakielekea katikati ya uwanja wa bustani (uk
61). Pia, wanaonekana akimkabila Bw.Binafsi
nyumbani mwao bila kuogopa hata kamwa. Tunawaona
wameshika mabango yenye maandiko. Hiki kweli
kinaonyesha maudhului ya ujasiri (uk 84)
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 52
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 12. Utiifu
 Ni hali ya kutenda kile kinachotakiwa. Kwa mfano,
Mussa ni mtiifu yaani anaonyesha utiifu wake kwa
babake. Anapoamurishwa na babake kuonyesha utiifu
wake kwake, anaitikia vizuri na kuanza kumsifu kwa
kutokonga na kusema eti hakuna anayefanana naye
duniani au nchini (uk 36- 37).
 Juu ya utiifu, Zanga naye ni mtiifu yaani anatenda kile
anachoagizwa. Kwa mfno, wakati anapoagizwa na
babake kumwonyesha utiifu wake, naye anaitikia vizuri
na kuanza kumsifu babake kwakuwa tegemea kwao (uk
37)
 Bila kudaganya, Bi.Shoo naye ni mtiifu. Kwa mfano,
anamtii muwewe Bw.Binafsi Mathalani,tunamwona
akitoa utiifu wake kwa mumewe akisema, “Bwana
uliyesheheni mapenzi kwangu, baba ya watoto wangu,
mwenzangu katika safari ngumu…. Nakumbuka
kugumu tulikotoka na sasa tulipo leo…..kama si
wewe, usingetimu ujanajike wangu….Umama
wangu….fahari yangu kwako!” (uk 36).
 Juu ya hayo, Mpya naye ni mtiifu. Kwa mfano,
tunamwona anawatii wahenga. Wahenga wanapomwita,
kumnyesha maji ya ujasiri, Mpwa anaitikia kwa kusema
kuwa yuko njiani hatua kwa hatua, kisha juu miguu
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 53
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
chini au miguu juu kichwa juu. Mathalani, tunamwona
anatetkea kiamo kinywani na kugugumia maji ya ujasiri
na yaliyobaki anayajimwagia mwilini. Hivi basi ni
maudhui ya utiifu (uk 21-23)
 Hali kadhalika, wananchi nao lazima ni watiifu. Kwa
mfano, Mpya anapowaita kuja kukutana juu ya hali za
kujikomboa, tunawaona wanaitikia na kuja. Pia, katika
mikutano yao, tunamwona Mpya akisema waache fujo,
nao wanaziacha yaani wanatumia mabango yenye
maandiko (uk 84).
 13. Msimamo thabiti.
 Ni hali ya kusisitiza jambo bila kubadilikabadilika.
Kwa mfano, Mussa ni mwenye msimamo thabiti yaani
tunamwona akimwambia Zanga ati mameno yake
yanaweza kuwa na utata lakini hayana ugumu. Pia,
tunamwona anasema kuwa ameamua kupiga kelele na
baada ya haya anaonekana akiongoza mgomo. Huo ni
msimamo thabiti (uk 48)
 Pia, Zanga naye ni mwenye msimanio thabiti yaani
tunamwona anajiunga na Mpya na Mussa ati
wafundishwe kusema na baadaye tunawaona wanasema
wanapoongoza mgomo wa kupigania haki zao na
kuupinga uongozi wa baba yao (uk 54-67)
 Bila shaka, naye Mpya ni mwenye msimamo thabiti
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 54
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
yaani tunamwona anasisitiza kuuondoa uongozi mbaya
wa baba yake na hatimaye anaikomboa nchi yake.
Msimamo wake na unaonekaa anaposema kuwa
amechoka kunyamaza. Kwa hiyo, kuna maudhui ya
msimamo thabiti (uk 31)
 14. Ujenzi wa familia
 Ni hali ya kuitunza familia vilivyo. Kwa mfano, ujenzi
wa familia unaonekana na Bi.Shoo ambaye
anawapenda na kuwatetea watoto wake. Aidha,
Bw.Binafsi naye ameijenga familia yake kwani
anawaelimisha watoto wake vyuoni, maneno kama
haya lazima yanaonyesha maudhui ya ujenzi wa familia
(uk34).
 15. Uchochezi wa mgomo.
 Ni tabia ya kuwaambia wengine ili waweze kupigana.
Kwa mfano, Bi.Subira ni mchochezi wa mgomo kwa
sababu tunamwona akianzisha vurugu wakati
anaposema eti amechoka kusubiri na kusema eti
anadhani nchi yao haina viongozi (uk 67).
 Vile vile, Mpya, Zanga na Mussa nao ni wachochezi wa
mgomo na wananchi ambao wameamua kusema. Pia,
wanaonekana wakisema eti wanataka kuwaendea wale
wanaojua kusema eti wafundishwe kusema na huko ni
kuchochea mgomo.
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 55
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Bila shaka, Mpya ni mchochezi wa mgomo. Kwa
mfano, tunamwona akisema ati wananchi wameamua
kututana kulalamikia haki zao katika bustani ya nchi
(uk 73-74)
 16. Ukombozi
 Ni hali ya kusababisha vitendo au vita vyo kuokoa
maisha ya watu. Kwa mfano, ukombozi unathibitishwa
na vitendo vya Bi.Subira. mathalani, kwa mfano,
tunamwona akisema ya kwamba ameamua kusema na
hataki kusubiri kwa sababu mtu hawezi kujikomboa
asiposema na kwa hiyo hii ni maudhui a ukombozi (uk
49)
 Pia, Mussa naye ni mkombozi kwani anaungana na
Mpya, Zanga na wananchi wanaongoza mgomo wa
kupigania haki zao. Kwa mfano, tunamwo Bw.Naona
akisema kuwa watoto wake Bw.Binafsi ni waasisi wa
kupigania haki zao na za wananchi (uk 67)
 Fauka, Bi.Shoo ni mhusika ambaye anadhihirisha
maudhui ya ukombozi. Kwa mfano, tunamwona
akitetetea ukweli wa Mpya akimwambia babake juu ya
vitendo vyake vibaya. Mathalani, tunamwona akisema
eti hawezi kumtupa mtoto wake kwa sababu amesema
ukweli. Na hiki kinamfichua kuwa naye Bi.Shoo ni
Mkombozi (uk 43)
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 56
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 17. Uharibifu wa mazingira


 Ni uchafuzi wa mazingira. Kulingana na tamthilia hii,
uharibibu wa mazingira unadhihirishwa na maneno ya
Bi.Subira. kwa mfano, anaelezea kuwa watu kwao
wanafanya wapendavyo, wanakata miti ovyo,
wanachafua mazingira katika kile eneo, uchafu umejaa,
uchafu ni wa kila aina, makazi yao machafu. Mameno
ya namna hii lazima yanaonyesha uharibifu wa
mazingira (uk 59)
 18. Elimu
 Ni hali ya kuwa na uwezo wa kujua kusoma na
kuandika. Maudhui ya namna hii huthibishwa na
maneno ya Bw.Binafsi. Mathalani, katika majivuno
yake akimshukuru Mungu kwa kumpa kila kitu
anasema ati watoto wake wanakula wanachokitaka,
wanavaa wanavyopenda na hata wanaenda vyuoni
kuelimika. Kwenda vyuoni kuelimika kunadhihirisha
maudhui ya elimu (uk 34)
 Ghalibu ya hayo, Bw.Binafsi anasema kuwa elimu yote
ameisambaza nchi mwote ingawa Bw.Salimina
anamwambia kuwa watu wanasema kwamba elimu ni
ya kuutukuza uongozi wake badala ya kukuza taifa (uk
64)
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 57
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Hali kadhalika, majina ya wafanya-kazi yanayotolewa
na Bw.Naona yanaonyesha eti baadhi ya watu lazima
wameelimika. Kwa mfano, anasema kuwa kila aina ya
raia imejumuika kupigania haki zao kama vile, wazee,
vijana, wanawake na wanaume, wagonjwa na wazima,
wa mjini, majijini na mashambani, waliosoma na
wasiosoma, walimu, madaktari, mawakili na kadhalika
(uk 67)
 19. Ubabedume.
 Ni ujanja na hila za kutumia nguvu au mashavu
mwanamume anayoonyesha mwanamke au mtu wa
jinsia ya kike. Kwa mfano, Bw.Binafsi ni mwenye
ubabedume yaani anamdharau bintiye Mpya akisema,
“Wewe kigego, mtoto mkorofi. Sikutaka uingi mimba
mwa mamako mtoto wewe. Mtoto wa kike anafaida
gani? Na ilipoingia mimba sikujua kama ungezaliwa
hivi wewe. Ningekung’oa mimba mwa mamako.
Umekuja dunia kuniondolea furaha” ( uk 34).
 20. Imani.
 Ni kuamini au kukubali mambo kuwa ni ya kweli na
mtu kupaswa kuyaheshimu. Pia, ni itikadi. Kwa
kurejelea tamthalia, hii Kushoto kweli ni mwaminifu
yaani anaamini sauti ya kisima. Mathalani, tunamwona
akisema eti katika kisima hicho ndipo pahala patakatifu
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 58
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
walipokutania wahenga kujadili mateso na kutafuta njia
ya kuyaondoa. Na kwa hiyo, ni bora kusema eti kuma
maudhuli ya imani (uk 9)
 Kuongeza hapo, Kulia naye ni mwaminifu wa kisima
cha ajabu. Kwa mfano, tunamwona baada ya kisima
kusemam, anasema eti hapo ndipo palipobubujika maji
yaliyonguruma mpaka ulaya (uk 12)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 59


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Aidha, naye Mpya ni mwaminifu wa kisima. Mathalani,


Sauti ya kisima inajitokeza ikimwita eti aje anywe maji
ya ujasiri yenye kuzitoa hofu na woga naye anaamini.
Kwa mfano, tunamwona akisema, “niko njiani
wahenga.” Katika ukurasa unaofuata, tunamwona
akipeleka kiamo kinywani na kuonyesha maudhui ya
imani (uk 21-23).
 Bila kutetema, Bw.Binafsi naye ni mwaminifu. Yaani
anaamini mambo ya Mungu kwa mfano, tunamwona
akimshukuru kwa kumtia imani ili aitunze familia yake.
Aidha, anasema kuwa Mungu amempa nguvu na uwezo
wa kuihudumia familia yake. Haya yote lazima
yanahakikisha maudhui ya imani (uk 34)
 Bw. Binafsi anaonyesha imani yake anapomkaripia
mtotowae, Mpya na mamake Bi.Shoo kwa mfano,
tunamwona anasema kwamba Mungu atawalaani ikiwa
hawamtii. Anaendelea kusema eti Dini zote duniani
zinahubiria utakaso wao kupitIa kwa wazazi na wazee.
Hivi basi, hakuna budi kusema kuwa kuna maudhui ya
imani katika tamthilia ya Kimya Kimya Kimya (uk 38-
39). (Bw. Binafsi pia anaamini yoo).
 21. Utengano.
 Ni hali ya kuachana baina ya watu na kusosa
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 60
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
ushirikiana. Kwa mfano, Mpya ametengana na baba
yake kwa sababu ya kupigania haki. Mathalani,
tunamwona Mpya anaupinga uongozi mbaya wa babake
jambo ambalo linamtetea kufukuzwa kwa mfano,
tunamwona Bw.Binafsi anawaita walinzi kuja
kumburura kama gunia la makaa na kumtenganisha
naye (uk 41)
 Maudhui ya utengano pia huonekana baina ya
Bw.Binafsi na wananchi. kwa mfano, wananchi
wanajitenga naye na kuanza kukutana katika bustani ya
taifa ili waweze kumwondoa kwa uongozi wake mbaya.
Mathalani, tunawaona wakimkabilia vibaya na
mabango wakidai haki zao. Pande hizi mbili kweli
hazishirikiani hata kamwe hivi utengano (uk 84).
 Zanga na Mussa bila shaka nao wametengana na baba
yao wakimlaumu kuwanyamazisha kwa muda mrefu.
Watoto wake hawa, wanashirikiana kuweza
kufundishwa kusema ili waweze kumfukuzia mbali
baba yao (uk 54)
 22. Janga / balaa la ukame
 Ukame ni ukaukaji wa maji. Kulingana na tamthilia hii,
ukame unahahikishwa na maneno ya sauti ya kisima.
Kwa mfano, sauti inamwambia Kushoto eti hakuna
uhai, anakotoka hakuma chakula na hata hakuna maji
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 61
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
anakotoka. Ndiyo sababu tunamwona Kushoto
analalamikia kiu. Isitoshe, Kulia naye analalamika kwa
sababu ya kiu., Sauti ndani ya kisima inamwambia
kuwa alikotoka kukavu, kote kumedamirika, hakuoti
kitu wala kuzaa kitu. Na kwa hiyo, ni kweli kusema eti
kuna maudhui ya janga la ukame (uk 8-11)
 23. Ukatili
 Ni hali ya kumtendea mtu kitendo bila huruma yoyote.

Kwa mfano, Mpya anatendewa kikatili na baba yake


hususa pale anapoita walinzi kuja na kumburura kama
gunia la makaa. Anatendewa hivi, kwa sababu amesema
kuwa vitendo vya Bw.Binafsi ni vibaya na kuupinga
uongozi wake (uk 41)
 Fauka, wananchi nao wanatendewa vibaya na
Bw.Binafsi. Kwa mfano, wakati wananchi
wanapojikusanya ili waweze kujadiliana jinsi ya
kujikomboa, askari wanaingia wakimiminika kama
mchanga katika bustani, wakiwa wameshika virungu na
kuwatandika mmoja baada ya mwingine (uk 61)
 24. Majivuno
 Ni hali ya kujisifu au kuwafanya watu wakusifu.
Bw.Binafsi kwa ukwelii anaonekana kama mwenye
majivuno. Mathalani, anashukuru Mungu akiwa
anawarejeshea na maneno ya kukera wale wenye njaa.
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 62
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Kwa mfano, anasema, “kabla hatujafungua kinywa
inapasa tumshukuru Mungu wakati huu wa dhiki kwa
kunitia mimi imani ili nitunze familia yenyewe.
Mungu kanipa mguvu na uwezo wa kuihudumia
familia yangu. Fumbueni macho muone jinsi ukosefu,
njaa na maradhi yalivyojaa dunia nzima. Tazameni
majirani. Hawana cha kutegemea. Lakini kwenu
vimejaa vitu tele vya manufaa. Mnakula
mnachokitaka. Mnavaa mnaavyopenda. Mnakwenda
vyuoni kuelimika. Na yote hayo mimi sina
ninachokuombeni nyini……’’ . (uk 34)
 Vile vile, Bw. Binafsi pia, anaonekana na majivuno
baada ya kuingia nyumbana. Kwani anawaambia
kumsifu ingawa yeye Mpya anakataa (uk 37-38)
 25. Unyanganyaji
 Ni kuchukua mali ya mtu kwa kutumia nguvu kwa
mfano, Bi.Subira anatwambia ati wanauza nchi yao
kwa bei rahisi kabisa, wamekuwa wajinga wa kuporwa
raslimali zao, ardhi zinauzwa au zinakodishwa kwa
miaka mia mbili............................(uk 59)
 26. Mazingaombwe.
 Ni utendaji wa vitu au mambo yenye maajabuu. Mambo
haya yanashangaza watu. Kwa mfano,tunaona ndani ya
kisima kunajitokeza sauti inayosema kuwa Kushoto
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 63
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
anakotoka hakuna uhai , hakuna chakula, hakuna maji,
hakuna ari ya kusema. Kusema kwa kisima
kunamshangaza Kushoto hivi anajiuliza, “Aaaa, hiki ni
kisima cha aina gani, kisima kinachosema. Kwa kweli
haya ni mazigaombwe” (uk 8-9)
 Isitoshe, mazingaombwe mengine yanajitokeza kati ya
Kushoto na Kulia. Kwa mfano, Kushoto anageuka
kuelekea Kulia na Kulia anageuka kuelekea
Kushoto……wanagusana mgongo kwa mgongo, lakini
wanapojariribu kubanduka hawawezi.vile vile,
tunawaona wamemsukuma Kulia arudi kulia na Kulia
anamsukuma Kushoto aende kushoto, mwishowe,
wanagandamana kitu kumoja. Haya yote ni
mazingaombwe (uk15-17).
 Hali kadhalika, kisima kumwita Mpya kikampa maji ya
ujasiri haya ni maajabu kweli. Tunanamwona Mpya
anaitwa na sauti ndani ya kisima eti aje apewe maji ya
ujasiri ya kumwondoa hofu na woga, Mpya anaitikia
mwito. Kwa mfano, tunamwona anapeleka kiamo
kinywani na kugugumia maji ya ujasiri na kujimwagia
yaliyobaki mwilini. Jambo la ajabu mmo ni kwamba,
baada ya Mpya kuyanywa maji hayo, Kushoto na Kulia
wanabagukana na kugeukiana na kutazamana uso kwa
uso. Hakuna kudanganya hapa mtu akisema kuwa
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 64
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
tamthilia hii ina maajabu (uk 21-23)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 65


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Hali kadhalika, waliosema kuwa maajabu


hayatakwisha hawakudanganya na hivi maajabu
yanajitokeza katika tamthilia ya Kimya Kimya Kimya
maajabu haya yanahakikishwa na kuanguka kwa vyuma
bila kuonekana mtu anayeviangusha. Kwa mfano,
katika familia ya Bw.Binafsi wakiwa wamemsubiri
kuingia, ghafla chuma kinaanguka sakafuni pahali
fulani kwa mpasuko mkali unaopasua vigoma vya
masikio na watu wanashangaa (uk 27)
 27. Athari za utandawazi.
 Utandawazi ni mfumo wa kimataifa ambao
unarahisisha mawasiliano na mahusiano katika nyanja
kwenye maendeleo ya teknolojia. Kwa mfano, Kushoto
anatwambia ya kuwa nguvu za utandawazi zimemzuia
kwenda atakapokwenda yaani anasema ni Mungu mpya
anajiyeficha kwa jina la utandawizi (uk 16)
 Mwandishi pia anauona utandawazi kama
“utandawizi” yaani mfumo ambao viongozi wanatumia
kuiba rasilimali za watu na kuwafanya wasiweze
kutambua.
 28. Utamaduni
 Ni mila, desturi, asili, jadi, imani na itikadi za kundi la
watu au jamii fulani. Kwa mfano, inasemekana ya kuwa
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 66
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
hapo zamani, jamii ilikuwa na kisima hicho, jamii
ingekutania hapo kujadii mateso ya kutafuta njia ya
kuyaondoa na ndiko patakatifu. Uaminifu wa kisima
unaonyesha utamaduni (uk 9)
 Maneno ya Kulia pia yanathibitisha maudhui ya
utamaduni. Kwa mfano, anaendea kuelezea ya kuwa,
katika kisima hicho, wazee wangekutania hapo kutoa
simulizi zao, na palikuwa na bubujika la maji
yaliyonguruma mpaka ulaya. Pia, anasema wazee
wangeamshana kutoka usingizini na hata ndoto mpya
zingetolewa hapo. Haya yote yanaonyesha utamaduni
(uk 12).
 Aidha, Mpya naye anathibitisha utamaduni kulingana
na uaminifu wake wa jadi. Kwa mfano, Sauti ndani ya
kisima inasikika ikimwita kumpa maji ya ujasiri. Na
ndipo tunamwona Mpya akisema, “Niko njiani
wahenga”. Na baada ya kuyanywa maji hayo, anajitoa
hofu, woga na woga wa mananchi ndiyo sababu
wanazinduka uzingizini kupigania haki zao (uk 21 na
23)
 Vile vile, matambiko yanazotolewa nayo lazima
yanaonyesha utamaduni. Kwa mfano, tunamwona
Mpya akisema, “Mimi ninayeshika kiamo
kilichosafishwa kwa moshi wa vifuu. Kiamo cha
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 67
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kutekea maji ya ujasiri. Hilo ndilo tambiko letu.
Tambiko la uhai wanchi
.Tambiko la kusema ukweli bila ya kuhofu wala
kuogopa” matambiko haya zinahakisha maudhui ya
utamaduni (uk 23)
 Imani ya mazingaombwe nayo inadhihihirisha maudhui
ya utamaduni. Kwa mfano, tunamwona Bw.Binafsi
anaamini Miungu yaani yoo. Baada ya kukabiliwa
vibaya na wananchi, tunamwona akiliendea hilo na
kusema nalo akiliomba kumkusoa kumhakiki,
kumkejeli, kumsibabi na kumlaumu. Baadaye,
tunaliona yoo likisema eti lilimwambia lakini hakusikia
(uk 80-82)
 Utamaduni kadhalika unaonekana wakati vyuma
vinapoanguka. Inaaminika ya kuwa kuanguka kwa
vyuma ndiko kunakosababisha watu kusema. Kwa
mfano, tunamwona

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 68


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

Mkemeo akimwambia Bw.Binafsi eti upepo


unaangusha vyuma naye anamjibu eti aviache vianguke
kelele zienee nyuma na mbele, awaache waende
wanaotaka kwenda (uk 43)
 29. Utabiri.
 Ni hali ya kutaja mambo yatakavyotokea. Kwa
kujejelea tamthilia ya Kimya Kimya Kimya,
Bw.Binafsi ni mtabiri. Kwa mfano, tunamwona
anasema, “… Nasema wacha waende!
Najua watarudi kichwa chini maguu juu. Najua
watarudi kuja kuomba radhi”. Baada ya Bw. Binafsi
kusema maneno haya, tunawaona Bi.Shoo na watoto
wake wa kiume wamerudi kuomba radhi isipokuwa
Mpya (uk 43 na 45)
 Utabiri kadhalika unathibitishwa na maneno ya yoo.
Kwa mfano, tunaliona likisema ya kuwa lilimwambia
eti akitawala kwa wema atamalizia wema lakini
akitawala kwa maovu ataangamia. Kwa ukweli
tunamwona Bi.Binafsi anatawala kwa maovu kama
vile, kujaa ubinafsi, ufisadi, unyanyasaji, ukatili na
hatimaye anangamia. Na kwa hiyo, ni kweli kuna
maudhui ya utabiri (uk 82)
 30. Ufisadi.
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 69
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Ni utumiaji mbaya wa mali ya shirika au serikali, tabia
ya ubadhirifu. Kwa kuirejelea tamthilia hii, Bw.Binafsi
anatumia vibaya mali ya Serikali. Kwa mfano,
anajishughulisha na ukataji wa miti ovyo, anawakubali
watu kujenga nyumba bila vibali, anachukua ardhi na
viwanja vya watu, anawaacha watu kuchafua
mazingira, anachafua ofisi za wananchi(uk 59)
 31. Unyanyasaji na mateso.
 Ni hali ya kumfanyia mtu vitendo vya dharau na
dhuluma kwa kumnyima haki zake. Kwa mfano,
Bw.Binafsi anamnyanyasa Mpwa ambaye anapigania
haki zake. Kwa mfano, baada ya Mpya kumpinga na
kumwambia vitendo vyake viovu, Bw.Binafsi
anawaamuru walinzi kuja na kumburura kama gunia la
makkaa. Huu ni unyanyasafi (uk 41)
 Aidha, wananchi nao wananyanyaswa kwa kunyimwa
haki zao, kuwafisidi, kuwadharau, kuwatesa,
kunyang’anya ardhi na wanapojaribu kujitetea,
anawaonyesha cha mtema kuni. Kwa mfano, wananchi
wakiwa katika mkutano wao wa kupigania haki zao
katika bustani ya taifa, askari wanakuja na virungu na
kuwatandika na lazima haya ni mateso (uk 61)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 70


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

UTENDAJI/ SIFA/ HULKA/


WASIFU WA WAHUSIKA.
Sifa ni namna mhusika anavyosawiriwa kulingana na
matendo yake na mavazi yake. Wafuatayo ni wahusika
na sifa zao;
1 Bw. Binafsi.

Huyu ni kiongozi mkuu wa taifa, mumewe Bi.shoo na


Baba yao Mpya, Zanga na Mussa. Ana sifa kama vile;
Kwanza, Bw.Binafsi ni kiongozi mbaya asiyeegemea
masilahi ya wananchi. kwa mfano, amejaa ubinafsi,
ufisadi, mateso, dhuluma na kadhalika, mathalani
tunamwona hataki wanchi wapiganie haki zao yaani
anaamrisha askari kuwapiga wote virungu. Na kwa hiyo,
huo ni uongozi mbaya (uk 61)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 71


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Aidha, Bw.Binafsi ni kiongozi mbaya ambayae


anawanyima wananchi haki zao kwa mfano, wananchi
wanapomwambia kubadilisha katiba, yeye analipuka
kwa matusi bila kuwajali. Kwa mfano, tunamwona
akiwaita vinyangarika wanaojua kulala fofofo na kula
mhogo. Anasema kuwa wao si viongozi wala kiongozi
ni mmoja. Hivi basi, kiongozi Bw.Binafsi ni mbaya
mbaya (uk 66)
 Vile vile, Bw.Binafsi ni kiongozi mbaya ambayae
anawatesa wananchi. kwa mfano, tunamwona
akiwatesa wananchi ambao wanajaribu kujitetea.
Mathalani, Mpya anapomwambia ati amechoka na
vitendo vyake Bw.Binafsi ananung’unika vibaya na
kuwaamuru walinzi kuja na kumfukuza. Walinzi
wakati wanapokuja, wanamburura Mpya kama gunia
la makaa bila huruma.kulingana na matendo yote ya
Mheshimiwa kama kiongozi mbaya.
 Pia, Bw.Binafsi ni mwenye ubinafsi. Ni yule mwenye
uchoyo na kujitakia mwenyewe wa mfano, wananchi
wanapodai kubadilisha katiba ya nchi, Bw.Binafsi
anawadharau kabisa kwa kuwaita vinyangarika ambao
wanalala fofofo kama pono. Anaendelea kusema ,

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 72


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
“Katiba ni ya viongozi na kiongozi ni mmoja” yaani
yeye mwenyewe. Bila Shaka, hiki kinatetea ubinafsi
wa Bw.Binafsi (uk 66)
 Isitoshe, Bw.Binafsi ni mwenye ubinafsi ambaye
anasema kwa niaba ya wananchi. kwa mfano, anasema
kuwa taifa lake ni taifa ambalo wananchi
hawaruhusiwi kusema. Pia, ubinafsi wake unaonekana
wakati ambao anaongoza nchi kwa muda mrefu bila
kuwajali au kuwapatia wananchi bahati ya kuongoza.
Kwa mfano, tunawaona wananchi wakigoma na
kusema eti wamesubiri zaidi ya miaka hamsini na
kuchoka. Hiki kinaonyesha ubinafsi.
 Hali kadhalika, Bw.Binafsi ni mtabiri. Ni yule
anayetaja mabo yatakavyokuwa. Kwa mfano,
kulingana na tamthilia hii, tunamwona Bw.Binafsi
akisema, “…..Nasema wacha waende! Najua
watarudi kuja kuomba radhi” Baada ya muda mfupi,
Bi.Shoo na watoto wake wa kiume waliokuwa
wamekimbia wanakuja tena kuomba radhi ila Mpya
(uk 43 na uk n auk 45)
 Juu ya sifa zake, ni mwenye majivuno. Yaani watu
wanamsifu. Kwa mfano, Bw.Binafsi kwa kweli
anaonekana kama mwenye majivuno. Hiki
kinathibitishwa na maneno yake akiwa anasema,
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 73
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
“Kabla hatujafungua kimya inapasa tumshukuru
Mungu wakati huu wa dhiki kwa kunitia mimi imani
ili nitunze familia yenyewe. Mungu kanipa nguvu na
uwezo wa kuhudumia familia yangu. Fumbueni
macho muone jinsi ukosefu, njaa na maradhi
yalivyojaa dunia nzima. Tazameni majirani. Hawana
cha kutegemea. Lakini kwenu vimejaa vitu tele vya
manufaa. Mnakula mnachotaka. Mnavaa
mnavyopenda. Mnakwenda vyuoni kuelimika. Na
haya yote mimi sina ninachokuombeni nyinyi. ”
ombi la namna hii
kweli linadhihirisha majivuno ya Bw.Binafsi yaani,
anafurahia hali mbaya ya wananchi (uk 34)
 Bila Shaka, Majvuno ya Bw.Binafsi mengine
yanaonekana baada ya kuingia kwake nyumbani. Kwa
mfano, anamurisha wanafamilia yake kumsifu.
Mathalani, tunaona waliomo

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 74


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

Bi.shoo, Zanga na Mussa wanamsifu (wanaonyesha


utiifu kwake) lakini yeye Mpya anakataa katakata (uk
37-38)
 Hali kadhalika, Bw.Binafsi ni mkaidi. Ni yule

mwenya tabia ya kukataa kusikiliza ushauri wa mtu.


Kwa mfano, Mpya anapomwambia vitendo vyake,
yeye badala ya kubadilisha matendo yake,
anamkaripia. Pia, tunamwona akisema eti labda si
mtoto wake ingawa anaujwa ukweli fika eti ni wak,
huo ni ukaidi (uk 40)
 Ukaidi wake pia unaonekama anapomwambia Mpya

kuwa, “Wewe kigego, Mtoto wa ukorofi. Sikutaka


mimi uingie mimba mwa mamako mtoto wewe. Mtoto
wa kike anafaida gani? Na ilipoingia mimba sikujua
kama ungezaliwa hivi wewe. Ningekung’oa mimbani
mwa mammako! Umekuja duniani kuniondolea
furaha.” Hivi basi, Kumwambia mwanake maneno
haya ni ukaidi (uk 34)
 Bw.Binafsi ni mwenye ubabedume. Ubabedume ni

ujanja na hila za kutumia nguvu au maonevu


mwanamume anayoonyesha jinsia ya kike kwa
kujionelea juu yake. Kwa mfano, tunamwona

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 75


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
akimwambia mtowe Mpya, “Wewe kigego, Mtoto wa
ukorofi. Sikutaka mimi uingie mimba mwa mamako
mtotowe. Mtoto wa kike ana faida gani? Na ilipongia
mimba sikujua kama kamaungezaliwa hivi wewe.
Ningekung’oa mimbani mwa mamako! Umekuja
dunuia kuniondolea furaha “ (uk 34)
 Vile vile, ni mwaminifu. Kwani anaamini Mungu na

mambo ya kiutamaduni. Kwa mfano, Bw.Binafsi


anaamini mazingombwe. Pia, anaamini. Mungu yaani
yoo, jambo ambalo ni la utamaduni. Mathalani, baada
ya kukabiliwa vibaya na wananchi, Bw.Binafsi
anaogopa na kuliendea hilo yoo ili liweze kumsibabi
na kumlaumu ingawa mwishowe yoo linamjibu eti
lilimwambia lakini hakusikia (uk 80-82)
 Waaidha, maneno yake juu ya shukrani ambazo

anatoa yanadhihirisha kuwa ni mwaminifu wa


Mungu. Kwa mfano, tunamwona akimshukuru
Mungu kwa kumtia imani ili aitunze familia yake.
Pia, anamshukuru kwa kumpa nguvu na uwezo wa
kuihudumia familia yake (uk 34)
 Aidha, Bw.Binafsi ni mwenye dharau. Kwa mfano,

tunamwona anamdharau mwanamke (mtoto wake wa


kike Mpya) yaani anasema eti hakumtaka aingie
mimba mwa mamake kwa sababu mtoto wa kike hana
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 76
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
faida yoyote na hiyo ni dharau (uk 34).
 Vile vile, anawadhurau wananchi yaani anakataa
wananchi kubadilisha katiba akisema wao ni
vinyangarika, hawajui kitu kuhusu uongozi,
anaendelea kusema eti wamelala fofofo kama pono na
wananchokijua ni kula mhongo tu. Lazima huyu ni
mwenye dharau (uk 66)
 Waaidha, Bw.Binafsi ni katili. Ni yule anayetenda
kitendo cha kinyama kisicho na huruma yoyote. Kwa
mfano, Bw.Binafsi anamtesa mtoto wake wa kike
Mpya hususa pale anapowaita walinzi kuja na
kumburura kama gunia la maka. Anamtendea hivi kwa
sababu Mpya ameupinga uongozi wake mbaya (uk 41)
 Vile vile, Bw.Binafsi anaonyesha ukatili wake kwa
wananchi. Mathalani, wananchi wanapojikusanyia
katika bustani ya taifa ili waweze kujikomboa,
anawaamru walinzi ambao

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 77


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

wanaingia na virungu na kuwatandika bila huruma. Bila


shaka, tendo kama hili kwa kweli linamwonyesha kama
katili (uk 61)
 Kuongeza hapo, Bw.Binafsi anajulikana kama tajiri

yaani ana mali na pesa za kutosha. Kwa mfano,


familia yake ina vyakula vya kila aina (uk 27)
 Aidha, mwandishi wa Kimya Kimya Kimya
ameusawiri kikamilifu utajiri wa Bw. Binafsi kwa
mfano, anasema ati chumbani mwa vijana wawili wa
kiume yaani Mussa na Zanga, kuna samani na
mapambo ya kitajiri. Anasema kuwa chumba ni cha
kitajiri. Na kwa hiyo, ni kweli kusema ati Bw. Binafsi
ni tajiri.
 Juu ya hayo, utajiri wa Bw.Binafsi kweli
unadhihirishawa na maneno yake mwenyewe wakati
anapomshukuru Mungu. Kwa mfano, akiwa
anamshukuru Mungu kwa kumtia amani kuitunza
familia yake anasema, “……….fumbueni macho
mwone jinsi ukosefu, njaa, na maradhi yalivyojaa
dunia nzima.Tazameni majirani. Hawana cha
kutegeme. Lakini kwenu vimejaa vitu teele vya
manufaa. Mnakuula mnachokitaka. Mnavaa

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 78


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
mnavyopenda. Mnakwenda vyuoni kuelimika” (uk
34)
 Bw.Binafsi kwa kweli ni mwepesi wa kukasirika. Ni

yule anayepandwa hasira kwa urahisi. Kwa mfano,


mtoto wake wa kike Mpya anapokataa kumwinania,
tunaona Bw.Binafsi anapandwa na hasira na kuanza
kumkaripia akisema eti Mpya ni mtoto kigego, mtoto
wa ukorofi hana faida yoyote. Anaendelea kusema
kuwa angejua, angemng’oa mimba yake mwa
mamake. (uk 34).
 Kukasirika kwake pia, kunaonekana wakati Mpwa

anapokataa kuonyesha utiifu wake kwa babake.


Bw.Binafsi anapandwa hasira kubwa na kuwaita
walinzi eti waje wamfukuze na ndiyo sababu
tunawaona wanamwendea Mpya, wanamshika mkono
na kumburura kama gunia la makaa (uk 41)
2 Mpya

Ni mtoto wao wa kike Bw.Binafsi na Bi. Shoo na ni


dada zao Mussa na Zanga. Ana hulka zifuatazo;

 Kwanza kabisa, Mpya ni mzalendo. Ni yule ambaye


yuko tayari kupigania na kuifia nchi yake kwa hali
yoyote bila kuogopa. Kwa mfano, tunamwona
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 79
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
anasema wazi bila ya kuogopa, “Umeshafika……
Umeshafika……….umeshafika wakati wa kusema
ingawa mimi peke yangu sina uzito wa kusema.
Mimi pweke kusema ni haki ya uzawa wa kila
kiumbe binadamu na hata wanyama. Natamani siku
moja kila mtu aseme”. Maneno haya lazima
yanamsawiri Mpya kama mzalendo (uk 21)
 Hali kadhalika, uzalendo wake unaonekana
anapokubali kuyanywa maji ya ujasiri. Sauti ndani ya
kisima inamwita Mpya kumnywesha maji ya
kumsafisha hofu wake na woga. Mpya anaitikia
akisema kuwa yuko njiani. Aidha, anaonekaona
akisema ati lazima mmoja ajitolee mhanga ndipo usasa
utakapomheshimu naye kuuheshimu. Hivi vyote,
vinamsawiri Mpya kama mzalendo (uk 21)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 80


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Aidha, Mpya ni mzalendo kwani aambiwapo na sauti


ati kwao hawasemi, waziwazi na kupiga kelele, Mpya
anasema, “Mimi nimeanza. Mimi mwananchi mimi
mzalendo na mkereketwa”. Kwa ukakika, maneno ya
Mpya haya yanamtetea kama mzalendo (uk 27-28)
 Bado katika uzalendo, Mpya anaonyesha uzalendo
wake wazi wazi Kwa mfano, tunamwona akisema ati
amechoka kusubiri, amechoka kugonjea, amechoka
kunyamaza. Anakomwangamiza na hivyo anauliza,
“kwa nini kila siku tugonjee? Tugonjee, tugonjee
mpaka lini?” Maswali haya ya balagha lazima
yanadhihirisha uzalendo wake Mpya (uk 31).
 Fauka ya hayo, Mpya bado anadhihirisha uzalendo
wake anapoongoza uchochezi wa mgomo. Kwa
mfano, tunamwona anasema ati wananchi wameamua
keshoye kukutana na kulalamikia haki zao bila fujo
bali kuweka wazi kero zao. Wananchi nao kwa
mwitiko wao wanakubaliana na maneno yake. Bila
kudanganya mhusika Mpya ni mzalendo (uk 72-73)
 Ghalibu ya hayo, mambo matano ambayo Mpya
anayataja wazi ya kupigania haki kweli yanauonyesha
uzalendo. Mathalani, tunamwona anawaambia

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 81


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
wananchi kuwa watapitia upya katiba kwa masilahi ya
wananchi, watasimama kidete kudai kugeuza mwendo
wao kutojali masilahi yao, wahakikishe wananchi
wanapata huduma za kijami kutonoa masilahi yao,
wapigane vita vya ushujaa kuondoa ufisadi na kulinda
rasilimali zao. Haya yote, Mpya anayataja na
kuyafafanua bila kuogopa hata kamwe na ndiyo
sababu tunamsawiri kama mzalendo (uk 73-74)
 Isitoshe, uzalendo wa Mpya lazima unadhihiriswa na
maneno ambayo anayaamibia babake Bw.Binafsi.
Kwa mfano, anamwambia kuwa wamechoka na
vitendo vyake. Hivi basi Mpya ni mzalendo.
 Juu ya sifa, Mpya ni mwaminifu wa mambo ya ukale.
Kwa mfano, anaamini kisima. Mathalani, sauti ndani
ya kisima inajitokeza na kumwita eti aje apewe maji
ya ujasiri yenye kumtoa hofu na woga. Baada ya
kuitwa, hapotezi muda bali anaamini kuwa maji hayo
yanaweza kumwokoa maisha yake,. Kwa mfano,
anasema, “nikonjiani wahenga”. Baadaye,
tunamwona anatia kiamo kinyawani na kuyagugumia
maji hayo. Na kwa hiyo Mpya pia ni mwaminifu wa
kisima (uk 21-23)
 Mpya pia ni mwenye msimamo thabiti. Hii ni kwa
sababu anasisitiza jambo fulani bila kubadilika na
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 82
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kukata tama. Kwa mfano, tunamwona akisisitiza
kuondoa uongozi mbaya wa babake na mwihowe
anaikomboa nchi yake, msimamo wake unaonekana
anaposema kuwa amechoka kusubiri, amechoka
kunyamaza kwa sababu kunyamaza kunamwangamiza
(uk 31)
 Fauka, Mpya ni mpenda ushirikiano yaani anashauri
watu kuwa na umoja ili waweze kufaulu katika
kupigania haki zao. Kwa mfano, tunamwona
akiwashauri Kushoto na Kulia kwamba
wameambatana na kusuguana migongo kuwa
wanalazimika kuungana, shabaha zao ziwe za nchi
zisiwe za mtu binafsi (uk 22)
 Bila Shaka, Mpya ni mpenda amani. Ni yule
anayetanda bila fujo. Kwa mfano, tunamwona katika
upiganiajai haki za wananchi ananyamazisha
wananchi ambao wanapiga kelele.

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 83


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

Anasema eti wameamua kukutana katika bustani ya


taifa kulalamikkia haki zao bila fujo (uk 72-73).
 Ghalibu, Mpya ni mpenda utamaduni wake. Ni yule

anayependa mila, desturi, asili, jadi, imani na itikadi za


kundi la watu au jamii fulani. Kwa mfano, Mpya
anadhihirisha utamaduni kulingana na kisima wakati
kinapomwita kumnywesha maji ya ujasiri anaitika na
kusema, “Niko njiani wahenga”. Hiiki kinahakikisha
eti ni mpenda utamaduni wake (uk 21na 23)
 Juu ya haya, mpya anamini mtambiko ya utamaduni,

na ndiyo sababu anautetea utamaduni wake. Kwa


mfano, tunamwona akisema, “Mimi ninayeshika
kiamo kilichosafishwa kwa moshi wa vifuu. Kiamo
cha kutekea maji ya ujasiri. Hili ndilo tambiko letu.
Tambiko la kusema ukweli bila ya kuhofu wala
kuogopa”. Bila ya kudanganya, Mpya ndiye mshusika
ambaye anaaminika kuwa anaupenda utamaduni wake
kuliko wengine. Na kwa hiyo, Mpya ni mpenda
utamaduni katika tamthilia ya Kimya Kimya Kimya
(uk 23)
 Mpya ni msomi. Ni yule mwenye uwezo wa kusoma

na kuandika. Kwa mfano, ni mmoja wa watoto wa

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 84


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Bw.Binafsi ambao wanaenda chuoni kuelimika. Hivi
vinathibitishwa na shukrani anazotoa Bw. Binafsi
akimshukuru Mungu (uk 34).
 Katika mada sambamba, Mpya ni mvumilivu. Ni yule
anayestahimili mambo mengi magumu kwa muda
mrefu. Kwa mfano, Mpya ni mvumilivu ambaye
anavumilia mateso ya babake. Kwa mfano, Mpya
anapomwambia babake vitendo vyake, Bw.Binafsi
anamkaripia na kuwaita walinzi eti waje wamwondoe
na wanakuja na kumburura. Haya yote, Mpya
anayavumilia (uk 41)
 Pia. Mpya ni jasiri. Ni yule anayetenda kishujaa yaani
bila kuogopa. Mathalani, Mpya hajamwogopa
kumwambia babake kuwa anatendea wananchi vibaya.
Pia, Mpya kweli ni jasiri yaani tunamwona akikataa
katakata kumwinamia babake baada ya kuingia. Vile
vile, Mpya ni jasiri ambaye hajamwogopa babaye
yaani anajiunga na wananchi kupinga babake (uk 34-
39)
 Mpya kwa ukweli ni msaliti. Msaliti ni yule
anayetenda mtu kinyume cha makubaliano. Kwa
mfano, Mpya ni msaliti ambaye anamtendea kinyume
baba yake katika uongozi. Mathalani, tunamwona
anawashawishi Mussa na Zanga eti wawatafute
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 85
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
wanaojua kusema wafundishwe kusema. Aidha,
anamsaliti babake, kwa kuuongoza mgmo wa
kupigamia haki za wananchi. hiki kinamshauri Mpya
kama msaliti (uk 72-75)
 Hali kadhalika Mpya ni mkombozi. Ni yule
anayesababisha vitendo au vita vya kuokoa maisha ya
watu. Kwa mfano, tunamwona akianzisha harakati za
kuikomboa nchi yake juu ya uongozi mbaya wa
babake. Mathalani tunamwona akinywa maji ya ujasiri
ili asiweze kuogopa kupigania haki.
 Waaidha, Mpya ni mchochezi wa mgomo. Mchochezi
ni yule ambaye anawasababisha wengine wagome.
Mathalani, Mpya ndiye kiongozi mkuu wa kuchochea
mgomo. Kwa mfano, uchochezi wake unadhihishwa
na maneno yake anaposema ati wananchi wameamua
ati keshoye wajumuike tema walalamikie haki zao bila
fujo (uk 72).

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 86


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Aidha, tunamwona akiwashawishi kaka zake Mussa na


Zanga kwamba wawatafute wale wanaojua kusema
wawafundishe kusema. Baadaye, tunawaona wote
wamejumuika kuchochea mgomo. Pia, Mpya
anaonekana akiwaongoza wananchi kugoma ingawa
kwa muda huu bila fujo yoyote. Mathalani, anasema
ya kuwa hataki fujo, Mpya ni mchochezi wa mgogo
(uk 55 na 61)
 Juu ya haya, Mpya ni mwenye mapenzi. Ni yule
mwenye upendo na kuwatakia mema. Hiki
kinathibitishwa na maneno yake mwenyewe.
Mathalani, anasema, “ mimi nawapenda na
kuwaheshimu sana wazazi wangu.” Anawapenda
lakini anasema tatizo lao ni kwamba wamesahau kuwa
wao ndio vijana na wazee wa kesho (uk 51-52)
 Mpya pia ni mdini. Anamini na kumjua Muumba
wake wa mbinguni. Kwa mfano, tunamwona
akiwaambia maneno ya Mungu wazazi wake.
Mathalani, anasema, “Na haki ya mja imeandikwa
mbinguni.” (uk 51)
 Kwa kweli, Mpya ni mwenye busara. Ni mwenye
uamuzi wa hekima katika mambo tofauti . kwa mfano,

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 87


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
anaamua kusababisha mapinduzi ya kupigania haki
zake na wananchi wenzake na baadaye, tunamwona
anaikomboa nchi yake.
 Hatimaye, Mpya ni mtiifu. Ni yule anayefuata kile

kinachotakiwa. Kwa mfano, anawatii wahenga.


Wahenga wanapomwita kumnywesha maji ya ujasiri,
Mpya anaitikia vizuri. Mathalani, tunamwona akisema
kuwa yuko njiani hatua kwa hatua kichwa juu miguu
chini au miguu juu kichwa chini. Baadaye, tunamwona
akishika kiamo na kunywa maji (uk 21-23)
3 Bi.Shoo

Ni mkewe Bw. Binafsi na mama yao Mpya, Mussa na


Zanga. Sifa zake ni zifuatazo;

 Kwanza, Bi.Shoo ni mwenye mapenzi. Ni mwenye


mvuto na upendo kwa mtu mwingine (Mpya) Kwa
mfano, anaonyesha mapenzi yake kwa mumewe
Bw.Binafsi wakati anapoonyesha utiifu wake kwake.
Aidha, anasema kuwa Bw.Binafsi amesheheni
mapenzi kwake. Mathalani, anasema kuwa amekuwa
nguzo nzuri kwa familia na kuwa fahari kwake.
Kulingana na maneno haya, Bi.Shoo anampenda
mumewe (uk 36)
 Fauka, Bi.Shoo anaonyesha mtoto wake Mpya
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 88
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Mapenzi. Kwa mfano, Bw.Binafsi anapomfukuza
Mpya, mamake anaondoka naye na jambo hili
linaonyesha mapenzi yake. Mathalani, anasema,
“Siwezi kumtupa mtoto wangu hasa kwa Sababuu ni
msema kweli. Heri tuondokae sote”. Bi.Shoo ni
mwenye mapenzi (uk 43)
 Bila Shaka, Bi.Shoo ni mwoga. Hana ukakamavu.
Kwa mfano, tunamwona Mpya akituelezea eti
mamake ameketi katika ukingo wa dunia, ana hofu za
kuanguka. Anamhofu mumewe anaogopa ndoa yake
kwa kweli kuvunjika (uk 32)
 Bi.Shoo ni mvumilivu. Ni yule anayestahimila
masharti na mateso ya mumewe. Kwa
mfano,tunamwona kweli anayavumilia mateso ya
mumewe. Mathalani, tunamwona Mpya anatufafanulia
kuwa mamake Bi.Shoo ameketi katika ukingo wa
dunia, ana hofu za kuanguka, anamhofu mumewe
Bw.Binafsi, ana hofu ya ndoa maama yake watoto
wake

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 89


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

kuvunjika, na kuvunjika kwa ndoa maana yake watoto


wake wanavunjika. Hivi vyote, Bi.Shoo kweli
anavivymilia (uk 32)
 Kwa kweli, Bi.Shoo anamtii mumewe Bw.Binafsi.

kwa mfano, tunamwona akitoa utiifu wake kwa


mumewe akisema, “Bwana uliyesheheni mapenzi
kwangu, baba ya watoto wangu, mwenzangu katika
safari ngumu …..Nakumbuka kuguma tulikotoka
nanajua wapi tulipo leo… kama si wewe, usingetimu
ujanajike wangu….umama wangu….fahari
yangu kwako!” (uk 36)
 Ni mwenye huruma. Ni yule mwenye moyo wa amani,

wema na upole mwenye moyo wa kujali. Kwa mfano,


anamwonea hisani mtotowe Mpya. Mathalani,
tunamwona anamtetea Mpya dhidi ya mateso ya
Bw.Binafsi. Kwa mfano, tunamwona akiambia
mumewe kuwa Mpya ni mtoto tu ….akili zake
hazijatulia mtotowe akiteswa. Tunamwona anamshika
mkono anaondoka naye (uk 41-43).
 Vile vile, Bi.Shoo ni jasiri. Ni yule anayefanya jambo

la kishujaa ambalo huweza kuhatarisha maisha. Kwa


mfano, Bi.Shoo ni jasiri ambaye hajamwogopa
Bw.Binafsi uso kwa uso kujiuzulu wakati wa dhiki za
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 90
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
wananchi , kweli kinamwonyesha Bi.Shoo kama jasiri
(uk 86)
 Ni mjenzi wa familia. Ni yule anayetunza familia yake
vizuri. Kwa mfano, tunamwona Bi.Shoo akiwapenda
na kuwatetea watoto wake. Mathalani, anamtetea,
Mpya dhidi ya mateso ya babake Bw.Binafsi. Kwa
mfano, tunamwona anaondoka naye Mpya
anapofukuzwa na lazima hiki kinamwonyesha kama
mjenzi wa familia (uk 43)
 Ni mzalendo pia. Ni yule ambaye yuko tayari kuifia na
kuipigania nchi yake. Kwa mfano, Bi.Shoo
tunamwona akimwambia mumewe kujuizulu na
auache uongozi Bi.Shoo anaonekana akiwa na kauli
tofauti yaani, naye anawashabiki wananchi. kwa
mfano, tunamwona anamwambia eti hawezi kuwa
katika upando wake akisema, “unataka niwe pamoja
na wewe vipi? Huoni kwamba ninakuziundu
kwamba hatari iko karibu nasi?” (uk 87)
 Fauka ya haya, Bi.Shoo ni mkombozi
(anayasababisha mapinduzi). Kwa mfano, tunamwona
anautetea ukweli wa Mpya. Mathalani, Bw. Binafsi
anapomfukuza Mpya, Bi.Shoo anasema, “Siwezi
kumtupa mtoto wangu kwa sababu ni msema ukweli.
Heri tuondoke sisi sote.” Kwa hiyo, Bi.Shoo anajua
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 91
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kwamba Mpya ni mtu anayesema ukweli hivi
kuonyesha Ukombozi (uk 43)
4 Mussa.

Ni mtoto wa kiume wa Bw.Binafsi na Bi.Shoo, ni


kaka yake Mpya na Zanga. Mussa ana sifa zifuatazo;
 Kwanza, Mussa ni mvumilivu. Ni yule ambaye

anastahimili kwa muda mrefu akiwa anangojea


mabadiliko. Kwa mfano, anayavumilia mateso ya baba
yake Bw.Binafsi. Pia, tunamwona amesubiria chakula
kwa muda mrefu. Aidha, tunamwona Mpya akisema
eti kaka zake wana hamu ya kusema lakini
hawajasema, na Mussa ni kaka yake kinamaanisha eti
naye amevumilia kusema (uk 32)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 92


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Bila kudanganya, Mussa ni mtiifu. Ni yule anayetenda


kinachotakiwa. Kwa mfano, tunamwona wakati
anapoambiwa na Bw.Binafsi (Babake) kumwonyesha
utiifu wake, anaitikia vizuri na kuanza kuonyesha
utiifu wake babake akimsihi kwa kutokonga na
akiuliza eti ni nani atakayefanana na babake (uk 36-
37).
 Aidha, ni mwenye msimamo thabiti yaani
anayasisitiza anayoyasema na kutenda bila
kubadilikabadilika. Kwa mfano, tunamwona
akimwambia Zangu ya kuwa maneno yake yanaweza
kuwa na utata lakini hayana ugumu. Anaendelea
kusema eti ameamua kusema na kupiga kelele na
ndivyo tunamwona anataka kuwatafuta wa
kumfundisha kusema (uk 48 na 54).
 Isitoshe, Mussa ni mzalendo. Ni yule ambaye yuko
tayari kuipingania haki nchi yake na kuifia kwa hali ile
yoyote. Kwa mfano, tunamwona akiambia Zanga ya
kuwa watoto watafute haki zao za utoto- haki za
binadamu. Haki aliyozaliwa nayo kila mtu, haki ya
kusema bila hofu wala woga. Anaendelea akijiuliza ati
mpaka lini atakuwa mtoto akingojea kusema (uk 47)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 93


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Mussa ni Msomi. Ni yule anayejua kusoma na
kuandika. Kwa mfano, ni mmoja wa wanafunzi
(watoto) wa Bw.Binafsi ambao wanasomea chuoni.
Hiki kweli kinathibitishwa na maneno ya babake. Kwa
mfano, Bw. Binafsi anasema, “Mnakwenda vyuoni
kuelimika” (uk 34)
 Aidha, Mussa ni mkombozi (anasababisha mapinduzi)

. ni yule anayesababisha matendo au vita vya kuokoa


watu kutoka kwenye hai mbaya yenye mateso au hali
ya unyonge. Kwa mfano, anajiunga na Mpya, Zanga
na wananchi kuendeleza mgogoro wa kupigania haki
zao. Mathalani, tunamwona Bw.Naona akisema
“Watoto wa nyumba kuu, Mpya, Mussa na Zanga
ndio waasisi wa fikra hizi Mpya na mabaya” (uk 67)
 Mussa ni jasiri. Ni yule anayelifanya jambo la kishujaa

ambalo huweza kuhatarisha maisha yake. Kwa mfano,


hajamwogopa baba yake. Kwa mfano, anapinga
uongozi wake wazi (uk 67)
 Ni mchochezi wa mgomo.
 Ni msaliti.

5 Zanga

Ni mtoto wa kiume wa Bw.Binafsi na Bi.Shoo. ni kaka


yake Mpya na nduguye Mussa. Anatenda kama
ifuatavyo;
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 94
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Kwanza, ni mvumilivu. Ni yule ambaye anastahimili
mambo kwa muda mrefu akingojea mabadiliko. Kwa
mfano, anayavumilia mateso ya babake.mathalani, ni
mmoja wapo wa kaka zake Mpya anaotwambia eti
wanacho cha kusema lakini hawajasema hivi ni
kuvumilia. Pia, tunamwona akisubiria chakula kwa
muda mrefu (uk 26 na 32)
 Zanga kwa ukweli ni mwoga. Ni yule mwenye hofu ya
kufikwa na jambo linaloweza kuhatarisha mtu. Kwa
mfano, Mussa anapokuja usiku wa manane na
kumwamsha,

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 95


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

tunamwona Zanga anainuka na kuweka mto mdomoni


kuzuia maneno yasitoke kwa nguvu. Hiki kunaonyesha
woga wake (uk 45).
 Naye Zanga ni msomi. Ni yule anayejua kusoma na

kukuandika. Mathalani, ni mmojawapo wa watoto wa


Bw.Binafsi ambao wanasomea chuoni. Kwa mfano,
tunamwona Bw.Binafsi akisema eti watoto wake
wanaenda vyuoni kuelimika (uk 34)
 Hali kadhalika, Zanga ni mchochezi wa mgomo. Ni

yule mwenye tabia ya kuwaambia watu habari ili


wapate kugombana, kupigana au kutukana. Kwa
mfano, anaonekana pamoja na Mpya na Mussa
wakiendeleza vita vya kumpinga baba yao (uk 67).
 Pia, Zanga naye ni mtiifu. Ni yule anayetenda

kinachotakiwa. Kwa mfano, babake anapomwamru


kumsifu, tunamwona anaitikia vizuri na kuanza
kumshukuru kuwa tegemeo leo (uk 37).
 Kadhalika, ni mwenye msimamo thabiti. Ni yule

ambaye anayasisitiza na kuyatenda bila


kubadilikabadilika. Kwa mfano, tunamwona akijiunga
na Mpya na Mussa eti wafundishwe kusema na
baadaye tunawaona wanasema wakiongoza mgomo
wa kupigania haki zao na kuupinga uongozi wa baba
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 96
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
yao (uk 54-55 na 67)
 Zanga lazima ni msaliti. Ni yule ambaye anatenda

kinyume na makubaliano. Kwa mfano, anamsaliti


Babayake na kujiunga na wananchi kumwondoa
katika uongozi. Mathalani, tunamwona kulingana na
maneno ya Bw.Naona ni miongoni mwa waasisi wa
uchochezi wa mgomo (uk 67)
 Bila kuchoka, Zanga ni jasisi. Ni yule anayelifanya

jambo la kishujaa ambalo linaweza kuhatarisha maisha


yake. Kwa mfano, hajamwogopa babake. Mathalani,
tunamwona akipinga uongozi wake anapoongoza
mgomo na wenzake (uk 67)
 Hatimaye, Zanga ni mzalendo. Ni yule ambaye yuko

tayari kuipigania na kuifia nchi yake kwa hali ile yote.


Mathalani, tunamwona akiuliza jinsi ambavyo
anaweza kujua kusema ili aanze kusema. Aidha, ni
mfano mzuri wa wale wanaoongoza mgomo wa
kupigania haki za wananchi (uk 54-55) na uk 67)
6 Bi.Subira.

Ni kijana wa kike ambaye anajali masilahi ya wananchi


wenzake. Sifa zake ni zifuatayo;
 Ni mvumilivu. Ni yule anastahimili mambo kwa muda

mrefu akiyasubiri mabadiliko. Kwa mfano,kulingana


na jina lake, inaonekana eti ameanza kusubiria
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 97
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
uongozi mbaya wa Bw.Binafsi kubadilika kwa muda
mrefu (uk 58).
 Pia, ni mchochezi wa mgomo. Ni mwenye tabia ya
kuwaambia wananchi habari ili wapate kupigania haki
zao, Kwa mfano, tunamwona akianzisha vurugu
wakati anaposema eti amechoka kusubiri na kusema
eti anadhani nchi yao haina viongozi. Baada ya hayo,
wengine wanaanzia hapo (uk 58)
 Aidha, Bi.Subira ni mkombozi. Ni yule ambaye
anasababisha vitendo au vita vya kuokoa maisha ya
watu. Kwa mfano, tunamwona akisema eti amechoka
kusubiri hivi kuamua kusema. Anaendelea kusema eti
mtu asiposema hawezi kujikomboa (uk 59)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 98


TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Bi.Subira kwa upande mwingine ni jasiri. Ni yule


anatenda kwa ukakamavu bila kuogopa hatari yote.
Kwa mfano, wakiwa katika mkutano wa dharura
katika bustani ya wananshi (taifa), Bi.Subira anaingia
na kusema wazi bila kuogopa eti amesubiri na
kuchoka, a nasema hatasubiri tena (uk 58)
 Ni mwenye msimamo thabiti. Ni yule anayesisitiza

mambo bila kubadilikabadilika. Kwa mfano, anaanza


kusema ili aweze kwa ukweli kuukomesha uongozi
mbaya wa Bw.Binafsi.
 Bila Shaka, Bi.Subira ni mwerevu yaani ni kwenye

kuamua na kutambua mambo jinsi yanavyoonekana.


Kwa mfano, Tunamwona akiyatambua matendo
maovu katika uongozi wa Bw.Binafsi. kwa mfano,
tunamwona anasema kuwa, kwao, watu wanafanya
wapendavyo yaani kukata miti ovyo, kujenga nyumba
bila vibali, kuchukua ardhi na viwanja kwa nguvu,
kuchafua mazingira, kuchafua ofisi za watu na
kadhalika (uk 59).
7 Kushoto.

 Ni mwenye njaa. Ni mhusika ambaye anaonyesha

kuwa amekosa chakula na kinywaji kwa muda mrefu.


Kwa mfano, tunamwona akisema “kiu, kiu,
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page 99
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kiu……….Njaa, njaa, njaa … huko nitokako
kumepoteza maisha” (uk 8).
 Kushoto ni mzalendo. Ni yule ambaye yuko tayari

kuifia na kuipigania nchi yake. Kwa mfano,


tunamwona akisema eti nchi ni tamu kuliko siasa na
yuko tayari kujitolea mhanga (uk 23-24)
 Kushoto ni mwimbaji yaani tunamwona yuko pamoja

na Kulia wakiimba wimbo wao wa ukombozi,


“Mwisho maana
yake mwisho”
Mwisho hawezi
kuwa mwanzo…..
Mwisho unapokuwa mwisho yaani
yuko hali ile yoyote. Kwa Hauwezi
kurudiwa
Hauwezi kurejea nyuma……”
8. Kulia.

 Ni mwenye njaa. Ni mhusika ambaye anayeonsha

kuwa amekosa chakula kwa muda mrefu. Kwa mfano,


tunamwona akisema eti anahisi nafsi yake lakini
haisiki, anahisi nafsi ya mtu mwingine ndiyo ambayo
ina mwongoza, njaa njaa njaa. Kiu, kiu, kiu (uk 11)
 Kama kushoto, naye ni mzalendo yaani yuko tayari

kuifia na kuipigania nchi yake kwa hali ile yoyote.


P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
100
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Kwa mfano, tunamwona akisema eti nchi ni tamu
kuliko siasa na yuko tayari kujitolea mhanga (uk 23-
24)
 Aidha, Kulia ni mwimbaji yaani tunamwona yuko pa

Kushoto wanaimba wimbo wa ukombozi wakiimba’


“Mwisho maana
yake mwisho”
Mwisho hawezi
kuwa mwanzo…..
Mwisho unapokuwa mwisho yaani
yuko hali ile yoyote. Kwa Hauwezi
kurudiwa

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


101
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

Hauwezi kurejea nyuma……”


9. Bw. Naona.

Ni waziri wa nchi, mwenye mwelekeo wa ukombozi. Sifa


zake ni;

 Ni mzalendo. Kwa mfano, anasema mambo kana


yalivyo yaani anamwambia Bw.Binafsi bayana kuwa
watu wamekuwa wamelala lakini sasa wameamka.
Anaendelea kusema ukweli kuwa chini uongozi wake
yeye anaona wananchi wameamshwa na mengi, kwa
hivyo wanapawa kuwa macho. Anawaunga mkono
kulingana na maneno yake hivi kuonyesha
uzalendo(uk 63)
 Bw.Naona ni jasiri. Ni yule anayeweza kusema,
kutenda bila kuogopa hata kamwe. Kwa mfano,
hajamwogopa mheshimiwa mkuu Bw.Binafsi
kumwambia ukweli kuwa suala la kupigania haki
limeanzishwa na watoto wake (uk 67)
 Ni mvumilivu yaani anastahimili uongonzi mbaya wa
Bw.Binafsi yaani tunamwona mengi na wanapaswa
wawe macho. Kauli hii inaonyesha kuwa naye
anayaona matendo maovu lakini ameyavumilia (uk
63)
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
102
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Pia, Bw.Naona ni mwenye busara kwa sababu
anaamua kutowashika wale ambao wanachochea
mgomo.
 10. Bw.Salimina

Ni kiongozi anayesimamia taifa kama ofisa wa usalama.


Ana sifa zifuatazo;
 Ni mwenye busara kwa sababu anaamua kutowashika

wale wanaopigania haki zao ili waweze kujikomboa.


 Ni jasiri kwa mfano, tunamwona akiambia Bw.Binafsi

ya kweli eti watu wanasema elimu anayodhani


anasambaza inatukuza uongozi wake badala ya kukuza
taifa lenyewe ambalo wanaliona si taifa (uk 64).
 Bw.Salimina ni mpiganiaji haki yaani tunamwona

akiagizwa na Bw.Binafsi kuwakamateni wanachochea


mgomo lakini anakataa na kusema eti uchochezi wa
mgomo hauna viongozi bali unajiongoza (uk 69)

FANI/ MBINU/ TAMATHALI ZA SEMI KATIKA


TAMTHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA

Fani ni jumla ya mbinu za kisanaa/ lugha ambazo


mwamdishi anazitumia kuwasilisha ujumbe wake kwa
hadhira. Mwandishi wa Kimya Kimya Kimya Said A
Mohamed ametumia mbinu zifuatazo;
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
103
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

1) Mrudio/ Takriri

Ni mbinu ya kurudiarudia ya maneno kusisitiza ujumbe .


Kwa mfano ;

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


104
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Mbinu hii inayonyesha Kushoto na Kulia wakikariri


neno “njaa” na “kiu”. Mathalani, Kushoto anasema
“Kiu,Kiu,Kiu…Njaa, njaa, njaa… huko nitokako
kumepoteza maisha (uk8). Kwa upande wa Kulia
anasema, “Nahisi nafsi ya mtu mwingine ndiyo
inayoniongoza. Njaa, njaa, njaa. Kiu, kiu, kiu……”
Wahusika hawa wanasisitiza ukosefu wa maji na
chakula (uk 11)
 Aidha, tunamwona Kulia akisisitiza neno “Kiza” Kwa
mfano,anasema, “Kiza, Kiza ndani ya kisima mna
ombwe” (uk 12)
 Pia, tunamwona Kulia anarudiarudia neno “hapo”.
Kwamfano, anasema, “…..Mimi nataka kwenda
kushoto, lakini kwa sababu fulani inaning’aniza
kulia. Nazuiwa “hapohapo” kulia kifikra (uk 16).
 Isitoshe, mwandishi naye amerudia neno “Mgongo.”
Kwa mfano, anasema, “Bada wamegandamana kitu
kimoja, lakini wanasukumana ‘Kimgongomgongo’
(uk 17)
 Bila Shaka, takriri inaonekana kutokana na maneno ya
Mpya akisema…. “Umeshafika”…. “Umeshafika”
wakati wa kusema ingawa mimi peke yangu sina uzito

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


105
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
wa kusema’’ (uk 20)
 Waaidha, maneno yanayotoka ndani ya kisima
yanakariri “Ishara njema”. Kwa mfano, Sauti inasema,
“Ishara njema…..ishara Njema”…. “Ishara
njema”….. Njema Njema, njema, “ Ishara njema”.
9uk 21)
 Mpya pia amerudiarudia kira “tazameni”. Kwa mfano,

anasema, “Tazameni”, Tazameni’ enyi walimwengu


‘Tazameni” wananchi hii. “Tazameni watoto,
wajukuu,vitukuu, virembe, virembwekeza na
vinying’inya” (uk 23)
 Hali kadhalika, mbinu ya takriiri inathibitishwa na
kishazi cha Mpya akisema eti amekoka.
Kwa mfano, anasema, “Nimechoka kusubiri”,
‘Nimechoka kugonjea’. ‘Nimechoka’ kunyamaza”.
Anaendelea kurudia kiunganishi ‘na’ wakati
anapotaja mambo yakuombea ruhusa, kwa mfano,
anasema, “Tungojee, tungojee mpaka lini? Kula,
kulala, kuamka, kubaki ndani, kushoto nje, kwenda
na kurudi, kwenda haja kubwa na ndogo, kuuza na
kununua……na, na, na…..kila kitu! (uk 31)
 Isitoshe, Bw.Binafsi anakariri kitenzi ‘cheka’ wakati

Mpya anapomchekelea. Kwa mfano, “mnaona


ananicheka? Ananicheka kimoyomoyo…… binafsi
yangu. Ananicheka mimi. Wewe mimi”(uk 40)
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
106
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Baada ya kicheko hicho, bw.Binafsi anamfukuza
akisema atoke. Kwa mfano, anasema,
“Toka toka toka……” (uk 41)
 Zanga anapomyamazisha Mussa wakati anapiga kelele,
anasema, “shhhhhhhh! Kimya, Kimya, Kimya…..”
(uk 45) na kadhalika.
2) Uhaishaji/ tashihishi

Ni mbinu ambayo kitu kisichokuwa na uhai hupewa sifa


za kiumbe mwenye hai. Kwa mfano;

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


107
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Sauti inajitokeza ndani ya kisima. Kwa kweli kisima


hakiwezi kusema lakini kimepewa sifa za kiumbe
mwenye uhai. Kwa mfano, kinaambia Kushoto kuwa
anakotoka hakuna uhai (uk 8). Adha, Kinamwambia
Kulia kuwa alikotoka kukavu, kote kumedamirika (uk
11)
 Aidha, Mpishi anaonekana akizungumza na vyombo.
Kwa mfano, anasema, “Nyinyi vyomba mmetumwa
nini kuja kunisemesha mimi? (uk 29)
3) Utohozi
 Ni mbinu ya kuswalihisha maneno yasiyo ya kishwahili
yatamkwe kama ya kishwahili. Kwa mfano, neno
“familia” limetoholewa kutroka neon la kingereza
“family” (uk 26)
 Pia, mwandishi ametumia mbinu ya utohozi
kurembesha kazi yake.kwa mfano, tunamwona
akisema, “Hatimaye ‘memba’ wa familia yake….”
Neno memba linatokana na neno “member” la
Kiingereza (uk 30)
 Mwandishi pia ametumia utohozi anaposema hapo
Bw.Binafsi anaketi hapo, lakini ghafla anasimama hapo
anamwona seketari wake anayetangaza kuingia kwa
Bw.Naona na ofisa wa Usalama Bw. Salimina. Neno
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
108
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
‘Seketari’ linatokana neno ‘Secretary’ na ‘Ofisa’
linatokana na ‘Officer’ yote ya kiingereza (uk 78)
4) Kejeli.
 Ni mbinu ya maneno ya kuudhi mtu kwa masihara au
kumfanyia kero. Kwa mfano, Baada ya Mpya kukataa
kumwinamia, babake, Bw.Binafsi anamkaripia na
maneno ya kejeli. Mathalani, tunamwona akisema,
“Wewe kigego, mtoto wa ukorofi – Sikutaka mimi
uingie mimba mwa mamake wewe. Mtoto wa kike ana
faida gani? Na ilipoingia mimba sikujua kama
ungezaliwa hivi wewe. Ningekung’oa mimbani mwa
mamake!” (uk 34)
 Aidha, Mpya anapomwambia baba yake Vitendo
vyake, babayake anamkaripia akisema,
“Fumba kijaliba chako! Nani kakuruhusu kufungua
domo lako chafu hapa?” (uk 39).
 Vile vile, wananchi wanapomjulisha kiongozi mkuu eti
wanataka kubadilisha katiba. Bw.Binafsi anawamiminia
bahari ya kejeli. Kwa mfano, tunamwona anasema eti
wao ni vinyangarika wamelala fofofo kama pono na
wanachokijua ni kula mhogo tu (uk 66)
5) Alama za dukukuku/ Mdokezo.
 Ni mbinu ya kifani au sanaa ambayo kwayo mtu
husema baadhi ya silabi, neno au maneno na kuacha
mengine. Hali kama hii inasababishwa na; kilio,
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
109
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kicheko, hofu, hasira au kutojua ukweli wa mambo.
Kwa mfano, Kushoto na Kulia wanadokeza maneno.
Mathalani, tunawaona wanasema, “kiu, kiu, kiu……
Njaa, njaa, njaa…..” (uk 8)
 Aidha, Kulia anapotaka kwenda kushoto tunamwona
anasema, “lakini siku hizi hawanong’oni licha ya
kusema…….aaaa, wazimu ……(anasita, halafu……)
(uk 11)
 Waaidha, tunamwona Kushoto naye anatumia alama za
dukuduku. Mathalani, anasema, “Mbona siendi mbele?
Najitahidi …..Najivuta. Najisukuma. Natumia nguvu
zanga zote, lakini…..(uk 15)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


110
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Vile vile, Kushoto anapomwuliza ikiwa utandawazi


ulikuweko. Zamani, Kulia anajibu kwa mdokezo bila
kumaliza anasema, “ndiyo ulikuweko kwa kiasi fulani
na kwa nguvu ndogo mno, lakini sasa…….”(uk 17)
 Isitoshe, kwa hofu mwingi Bw.Binafsi anapomwuliza
Bw.Salimina ikiwa wananchi wanadhani bado
wamelala, Bw.Salimina anajibu na kusema, “Wao
wanasema kwamba elimu yenyewe inayotolewa ni
elimu ya uhange. Ni elimu
inayo…..inayo….inayotukuza……aaaa… ” (uk 64)
6) Nahau.
 Ni mafungu ya maneno yenye maana fiche ambayo
hutumiwa na mwandishi ili kuweka maadili katika
matamshi. Kwa mfano, Mwandishi anasema kwamba
Kushoto “ametoa Macho”. ‘‘Toa macho” ni nahau
ambaye inamaanisha “kuona wazi’’ (uk 8)
 Fauka, katika maneno yake Kushoto ametumia nahau.
Kwa mfano, tunamwona akisema, “Labda hapa ndipo
baadaye palipochotwa maji kukata kiu na kuzima
joto iliyomo ndani ya nafsi zao”. “kata kiu” ni nahau
inayomanisha “zima kiu” (uk 9)
 Hali kadhalika, tunamwona Mpya anatumia nahau
akisema, “lazima mtu mmoja wetu ajitolee mhanga” .
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
111
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
“Kujitoa mhanga” ni nahau ya inayotumiwa mtu
akimaanisha ‘‘kuwa tayari kufanya kitu kwa hali
yoyote” (uk 21)
 Vile vile, mwandishi naye ametumia nahau akielezea
hali ya Kushoto na Kulia. Kwa mfano, anasema, “Kulia
na Kushoto wanabagukana kutazamana uso kwa
uso”. ‘‘Kutazamana uso kwa uso”ni nahau yenye
maana ya, “kuonana” (uk 23)
 Isitoshe, baada ya Bw.Binafsi kumshukuru Mungu na
kuombea chakula, wote “wanakula kwa pupa na
hamu”. ‘‘ Pupa na hamu” ni nahau inayomaanisha
‘‘kuwa na hamu nyingi sana” 9uk 35).
 Zanga naye anatumia nahau anapomwonya Mussa
akiwa anapiga kelele. Kwa mfano, anasema, “Ukija
kusikika utakiona cha mtema kuni”. “Cha mtema
kuni’’ ni nahau inayomaanisha “Kuadhibiwa kwa
sababu ya kosa” (uk 46)
 Bila shaka, mwandishi ametumia nahau akiwa
anafafanua hali ya Bw.Binafsi. kwa mfano, anasema,
“Anaonekana kakata tama na huzuni nyingi
zimemvaa”. “Kata tama” ni nahau inayomaanisha “
Kupoteza matumaini” (uk 87)
 Fauka ya hayo, Bw.Salimina naye ametumia nahau
anapofafanua vurugu ya wananchi. Mathalani, anasema,
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
112
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
“polisi waliwatimua Kwa virungu tu, na wananchi
wakatimka ovyo ovyo…..mambo yak’enda
segemnege….sambejambe! .“Enda segemnege” ni
nahau inayomaanishe “ kuharibu mambo” (uk 69)
 Bw.Naona akiwa anamfafanulia nahau akisema eti
lazima wananchi “wawe macho”, “ kuwa macho’’
humaanisha, “kutambua” (uk 63)
7) Tabaini/ Ukinzani

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


113
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Ni mbinu ya usemi wenye maana ya ukinzani lakini


maana ya msingi haitengeki. Kwa mfano, wakati
Kushoto anapomwuliza Kulia anasema, “kulia au kulia
kucheka?” Swali hili lina ukinzani kwa sababu neno
“kulia” hapo linachukua maana tofauti kama vile;
* “Kulia” kwa kutoa machozi
* “kulia” kama upande wa mwili mkono au mguu
* “kulia kutokana na kitenzi “la” (uk 13)
 Aidha, sauti ya Mpya nayo inaonyesha mbinu ya
tabaini. Kwa mfano, inasema, “usiwe utawala wa mtu
na familia yake finyu ingawa pana”. Anachomanisha
hapa ni eti, Bw.Binafsi asijibinafsishe na uongozi wa
nchi bali awaachie wananchi nao waongoze (uk 53)
8) Uzungumzaji nafsi/ uzungumzi nafsi.
 Ni mbinu ya lugha ambayo mhusika anazungumza pepe
yake. Kwamfano, Mpya anaoneka akizungunmza peke
yake. Mathalani wakiwa wanasubiria baba yao, Mpya
anajisemea “huyu ndiye babangu (Anaigeukia hadhira
huku kaketi vile vile juu ya kiti na huku familia yake
inamkana. Sauti inaendea). Mtu wa ajabu! Nafsi yake
ni yake mwenyewe. Lakini nafsi zetu si zetu
……….Nafsi zetu ni……….aaaa sisemi ……..
siruhusiwi kusema ………” (uk 30)
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
114
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Pia, Kushoto anaoneka akisema peke yake baada ya
kushangazwa na Sauti inayotoka ndani ya kisima. Kwa
mfano, anasema, “Aaa, hiki ni kisima cha aina gani,
kisima kinachosema?. ”(uk 9)
 Aidha, Kulia naye anaonekana akisema peke yake. Kwa

mfano, anasema, “Nimechoka vibaya kwa safari ya


miaka. Sijasita hata siku moja. Mchana na usiku niko
mbioni -kiguu na njia, kutafuta sehemu yangu ya
uhuru……” (uk 11)
9) Kuchanganya ndimi/ Mseto.
 Ni mbinu ambazo lugha za kigeni zinatumika katika

maneno au sentensi za Kiswahili. Kwa mfano,


Bw.Binafsi ametumia mbinu ya mseto anapoambia
Bw.Salimina kuwa hakuna kikundi kisicho na kiongozi.
Kwa mfano, tunamwona anasema, “kuna kikundi gani
cha maana kisicho na uongozi …..Labda” Mass
eruption”. “Mass eruption” ni lugha ya Kiingereza (uk
69)
10) Chuku/ Udamisi

 Hii ni mbinu ya lugha ambayo mwandishi au mhusika.

Kwa mfano, mhusika Mpya anatumia chuku katika


maneno yake. Mathalani, anasema, kuwa mama yake
ameketi katika ukingo wa dunia. Hii ni chuku kwa
sababu dunia haina ukingo (uk 32)
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
115
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Pia, Zanga naye ametumia mbinu ya udamisi katika
maneno yake. Mathalani, anasema, “Hupiga kelele
mpaka bahari ijae kwa machozi yangu ya huzumi na
hamaki” Hii ni Chuku kwani machozi ya huzuni
hayawezi kujaa bahari (Uk 49)
 Ghalibu ya hayo, Mwandishi Said. A Mohamed
ametumia mbinu ya chuku katika kazi yake. Kwa
mfano, anasema kuwa katika mkutano wa wananchi,
askari wanamiminika na kuingia

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


116
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

bustanini na virungu. Ukweli ni kwamba, watu


hawawezi kumiminika lakini wanajitokeza ghafla, hivi
ni kuonyesha chuku (uk 61)
 Waaidha, Sauti A Mohamed ametumia mbinu ya

chuku. Kwa mfano, anasema kuwa Bw.Naona kwani


videvu haviwezi kuanguka . Videvu haviwezi
kuanguka (uk 67)
 Bila shaka, mwandishi ametumia chuku anapoelezea

mchanganyiko wa Bw.Binafsi hususa anaposema kuwa


ameanza kushuka matao yao chini na kuijongea
hadhira na anaonekana ameonekana kakata tama na
huzuni nyingi zimemvaa. Chuku imetumiwa hapa kwa
kuwa huzuni haziwezi kuvaa mtu (uk 87).
 Hali kadhalika, tunamwona Bw.Taja naye anatumia

mbinu ya chuku akiwa anamwuliza Bi.Subira hali.


Mathalani anasema, “Vipi Bi.Subira, Naona umekuja
moto! Naona Sauti yako inapasua hewa bali kupita
katika hewa (uk 58)
11) Nyimbo
 Ni maneno na sauti zilizopangwa na zinazopigwa kama

ngoma ambazo huwa ni mziki. Mathalani, watu


(wananchi) wanaonekana wakiimba wimbo fulani.
Wanaimba wimbo fulani wakiwa wamesimama nyuma
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
117
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
ya hadhira (uk 77)
 Pia, tunawaona Kulia na Kushoto wanaimba pamoja

wimbo wa ukombozi. Kwa mfano, waanasema,


“Mwisho maana yake mwisho
Mwisho hauwezi kuwa mwanzo………..
Mwisho
unapokuwa
mwisho Hauwezi
kurudiwa
Hauwezi kurujea nyuma ” (uk 89)
12) Tashtiti .

 Ni mbinu ya lugha ambayo kwayo mhusika anauliza

swali huku akijua jibu lake.Kwa mfano tunamwona


Kushoto anarejea kisimani,anainama na
kuchungulia.anasema tena huku sauti yake inasikika
kidogokidogo… halafu ghafla, anapiga ukwezi, lakini
mwangwi wa kisima haumjibu kisha anauliza, “
kunatokea nini katika dunia hii. Hatia visima
vimepoteza Mwangwi? Havinatena sauti kujibu na
kuongeza?” (KU 10).
 Kushoto naye anayauliza maswali huku akijua majibu

yake. Mathalani, anauliza na kujipatia jibu kwa mfano,


baada ya kufikia kisima na kuisikia sauiti yake anasema
‘‘Hapa wapi? Pameelekea kama za wazee. Na kile
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
118
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
nini? Si kisimakile? Aaa, ndichi kujiuliza swali na
kujijibu kunaonyesha mbinu ya tashtiti (UK 12).
13) Tanakali sauti / Onamatopia

 Ni mbinu ambayo sauti zinazotolewa huiga milio, au

sauti za viumbe vyenye hai na visiyo hai. Kwa


mfano,Mwandishi anasema kuwa Mpya anaibuka
kisimani, “koroa rovurovu”. “roa rovurovu” ni
tanakali ya sauti (uk 22)
 Ghalibu, mwandishi Said. A Mohamed ametumia

tanakali ya sauti akijaribu kuonyesha mandhari. Kwa


mfano, anasema, “Giza totoro’’ akimaanisha “Kiza
kali sana” (uk 260 .

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


119
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Hatimaye, tunamwona Bw.Binafsi naye kweli


ametumia tanakali ya sauti anapowadharau wananchi
wanaojaribu kupigania haki yao ya kubadilisha katiba
na kusema hawana kitu wanachokijua kuihusu katiba
kwa sababu wao si viongozi.Anaendelea kuwaita
vinyangarika ambao “wamelala fofofo”kama pono’’.
“Lala fofofo” ni tanakali ya sauti (uk66)
14) Methali

 Ni mbinu ya sanaa au kifasihi inayotumia


mafumbo .Kwa ufupi, methali ni kifungu cha maneno
ya hekima yenye maana fiche. Ubora wa hekima hiyo
hutegemea muktadha ambako imetumika. Kwa mfano,
BI.shoo ametumia maarifa ya wahenga akijaribu
kumtetea Mtowe Mpya dhidi ya mateso ya walinzi
walioagizwa na Bw.Binafsi kwa sababu ya
kutomhashimu. Kwamfano anasema, “uchungu wa
mwana aujuaye mzazi” akiwa anamaanisha kuwa
anamhurumia Mpya kwa sababu ndiye aliyeyahisi
maumivu ya uzazi wake(uk 42). Pia, Bw.Binafsi naye
ametumia methali akiwa anawaonya wanaotaka kuleta
mapinduzi nyumbani mwake. Kwa mfano, anatumia
methali ya, “kikulacho kumbe ki nguoni mwako..”
akimaanisha kuwa wanaomsumbua ndio walio karibu
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
120
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
naye (uk 42)
 Aidha, Bw.Binafsi ametumia methali nyingine akiwa
anawaambia Bw.Salimina na Bw.Naona kuwahusu
wananchi wanaodai kuwa wanataka wapewe uhuru wa
kusema. Kwa mfano, anasema, “kumbe fadhili za
punda ni mazushi” (uk 65)
 Bw.Binafsi aidha, ametumia maarifa ya wahanga akiwa
anaambia Bw.Naona na Bw Sikilivu ati wanaochochea
mgomo wote wakamatwe bila ubaguzi wote ikiwa ni
wake au la yeye hataki kujua. Anasema, “mtoto akililia
wembe mpe” akiwa na maana kuwa watoto wake
wakiwa wanataka kuhatarishwa awaache wahatarishwe
(uk 70)
 Pia, anaendelea kutumia methali ya “asiyesikia la
mkuu huvunjika mguu” akimaanisha kuwa ikiwa
hawataki kusikia watajuta baadaye (uk 70)
 Wakati Bw.Binafsi anapomlilia / anapolilia yoo
linamwambia eti lilimwambia lakini hakusikia.
Linamkuumbusha kuwa lilimwambia eti akitawala
vema atamalizia vema na akitawala vibaya atashia
vibaya .Kwa mfano,linamwambia, “pendapo mema
huirudia mema” yaani mtenda jamala huliwa jamala
(uk 82 )
 Hatimaye, Bw.Binafsi anatumia methali nyinngine
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
121
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
wakati Mkewe Bishoo anapomwambia eti ajiuzulu
watoke, Bw. Binafsi anamjibu, “Muungwana hakimbii
vita” akiwa na ukakamavu wa kuonyesha ujasiri wake
(uk 86)
15) Maswali ya balagha
 Haya ni maswali yanayoulizwa na mhusika ambayo

hayahitaji majibu .kwa mfano, maswali ya Mpya


anayojiuliza akiwashusu Kulia na Kushoto ambao
wamepeana migongo.Kwa mfano anauliza, “Kwa nini
wamepeana migongo? Kwa nini wanasuguana
migongo? Kwa nini wanachagua pande tofauti kabla
ya kujali taifa? Kwa nini hawasimami pamoja ingawa
wana misimamo tofauti?” Maswali haya ni ya balagha
kwa sababu Mpya hawezi kujibiwe (uk 22).

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


122
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Ghalibu, Mpishi naye anauliza maswali ya balagha


akiwa anauliza vyuma. Kwa mfano, anasema “Nyinyi
vyombo mmetumwa nini kuja kunisemesha mimi?
Kuja kunimwagia unga. Mimi sijapata kusema namna
hii . Mnasema nyinyi na kunisemesha na mim nini?
(uk 29)
 Hali kadhalik,a maswali Mpya anayojiuliza nayo ni ya
balagha akiwa anasema eti hataki kusubiri siku tena.
Kwa mfano, anauliza, “Kwanini kila siku tugonjee ?
Tugonjee,tugonjee mpaka lini?...” (uk 31).
 Maswali ya balagha mengine yanalizwa na Bi.Shoo
akiwa anaonyesha utiifu wake kwa mumewe. Kwa
mfano, anasema, “..nani atafanana na we nchini
humu? Nani atafanana na wewe dunia hii? (uk 37).
 Fauka ya hayo, Mussa naye anatumia mbinu ya
maswali ya balagha anapouliza maswali yasiohitaji
majibu. Kwa mfano, anauliza, “Mpaka lini nitakuwa
mtoto? Mpaka lini nitangojea siku ya kusema? Mpaka
lini nitaongozwa na mawazo ya mtu mwingine?
Mpaka lini nitasema anavyotaka mtu mwingine?”
(UK 47).
 Maswali mfulilizo ya Bw.Binafsi ni ya balagha.
Anauliza maswali baada ya kuambiwa na Bw.salimina
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
123
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kuwa wananchi wanasema kuwa elimu yake inatukuza
uongozi wake bali si taifa. Analipuka kwa maswali na
kuuliza, “si taifa? Taifa linolojulikana vizuri duniani
kote sitaifa? Taifa linaloendeshwa kwa usalama si
taifa? Taifa ambalo watu wake wanakula na kushiba
si taifa? Taifa ambalo watu wake wanatibiwa
wakiumwa si taifa? Taifa ambalo watu wake
hawasemi ovyo ovyo si taifa? Kama hii si taifa lipi
basi taifa? Kama hiti si taifa lipi basi taifa?” (uk 64)
16) Taaashira/Metonomia
 Ni aina ya tamathali ya semi ambayo kitu
kinachohusiana na kingine hutumiwa kuashiria kitu
kingine kama hicho. Kwa mfano “Mungu Mpya’’ ni
jina ambalo limetumiwa kuashiria “utandawazi” (uk
16)
 Pia, Kushoto na Kulia kupeana migongo na kugusana
huashiria umoja (uk 19)
17. Nidaa
 Ni tamathali ya semi ambayo inaonyesha kushanga au

kushangazwa kwa jambo fulani kwa mfano, baada ya


Kushoto kuisikia sauti ya kisima kinachosema
anashangaa. Mathalani anasema “Nachungula kama
sichungulii. Humu mna utupu. Labda mna
mazingaombwe
.Labda mazigazi . Lolote liwalo, nashangazwa na
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
124
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
kisima hiki kinachosema! (uk 9)
 Kulia naye anashangazwa na kisima hicho ambacho
kinasema. Kwa mfano, anasema, “Na kile nini? Si
kisima kile? Aaaa, ndicho!” (uk 12)
 Aidha, Mkemeo naye sauti yake inashangaza
anpoamuru hadhira kunyamaza. Kwa mfano,
“Kimyaaaaa! Kimyaaaa! Kimyaaaa!”(uk 26)
 Waaidha, Bi.Shoo anapomtetea mtoto wake Mpya dhidi
ya babake. Bw.Binafsi anamyamazisha kwa mshangao
na sauti ya kutisa kwa mfano, ananguruma,
“shaaaarab!” (uk 26)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


125
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Pia, Zanga ananeokana ametumia mbinu ya nidaa


anapomnyamazisha Mussa eti asipige kelele. Kwa
mfano, anasema, “Shhhhhhhh! Kimya…Kimya…
Kimya…” (uk 45)
 Mussa anaposema kuwa amechoka na vitendo vya

babake, anasema akiwa na hasira. Kwa mfano,Mungu


mbele yangu! Mimi sijawaa kinyago cha mpapure.
Wala sitawai kuwa!(uk 47)
18. Tasfida
 Ni tamathali ambayo kwayo maneno yanayotumika

yanapunnguza ukali, aibu na kero za msemaji. Pia,


inajumuisha maneno yanayotoa heshima . Mathalani,
“mzee” (uk 28), salamu ya “Asalaam aleykum”(uk
57), mwitiko wa salamu “Aleykum salaam” (uk 57)
“Bwana”(uk 57), “Kujifungua” kwaa maana ya
“kujikomboa “mheshimiwa” (uk 63)
19. Kisengele nyuma / Mbinu rejeshi/Kiangaza nyuma
 Ni mbinu ambayo mwandishi anarudi nyuma na

kusimulia yaliyotokea awali .Kwa mfano, mbinu hii


inathibitishwa na maneno ya yoo. Mathalani,yoo
linasema kuwa lilimwambia Bw.Binafsi mwendo
wake .lakini akalidharau. Lilimwambia ya kuwa yeye si
malaika na lilimwambia ya kwamba akitawala kwa
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
126
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
wema atamalizia wema na kinyume chake (uk 32)
 Juu ya hayo, Bi.Shoo akiwa anamsifu au anaonyesha

utiifu wake kwa mumewe Bw.Binafsi anatuonyesha


kuwa anakumbuka kugumu walikotoka. Hivi basi
anatumia mbinu ya kisengele nyuma (uk 36)
 Kuongeza hapo, zamani wazee walikuwa na kisima

ambapo walikuwa wanasimulia hadithi zao. Pia,


anatuonyeshana ati katika kisima hicho ,palikuwa na
bubuko la maji yaliyonguruma. Na ni katika kisima
hicho ambapo wazee walienda na kuamshana kutoka
kwa usingizi wa miaka mingi waliolala (uk 12)
 Mbinu vejeshi pia inathibitishwa ha maneno ya

Kushoto kukihusu kisima. Mathalani anasema eti


ndicho kisima ambapo Fumo Liongo alifanyia tambiko
kuhifadhi nafsi yake. Katika kisima hicho,
alipokimbilia kunya maji ya kuokoa maisha yake, baada
ya kuchomwa na shazia ya kitovu na mwanawe
mwenyewe (uk 10)
20. Taniaba
 Ni taamathali ambayo kwayo jina la mtu / kiumbe

mmoja wakati mwingine hutumiwa kwa watu wengine


wenye tabia, hali au mwendo kama wa mtu huyo. Kwa
mfano, Bi.Subira anasema, “……Afadhali hao
masimba na mafisi wanaohujumu na kula viumbe”.
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
127
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Na kwa hiyo, “Viongozi wakali na wanyonyaji” hapa
wanawakilishwa na “Masimba na Mafisi” (uk 58)
21. Taharuki
 Ni mbinu ya kumwachia msomaji na hamu au mvuto ya

kuendelea kusoma kazi ili aone yanayofuata. Kwa


mfano, Bw.Binafsi anapokataa kujiuzulu yoo
linamwambia ya kuwa halitasema tena. Hapa taharuki
inajitokeza katika kuanguka kwake. Hii ni kwa sababu
hatuelewi vizuri kinachomwangusha na katika onyesho
linalofuata tunamwona na hivi hatuelewi anavyoamka
(uk 82).

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


128
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Taharuki pia inajitokeza mwishoni mwa tamthilia. Kwa


mfano, hatuonyeshi vizuri Bw.Binafsi anavyoondolewa
katika uongozi na wananchi. tunaona anaomboa jumba
kuporomoka na kumfunika au kutamani ardhi kupasuka
na halafu tunawaona Kulia wakiimba wimbo wa
ukombozi, hivi, Bw.Binafsi ameuawa au amemezwa na
ardhi? Hii ni taharuki (uk 89)
22. Tashibihi/ Mishabaha
 Ni tamathali ya semi ambayo vitu viwili au zaidi

vyenye sifa tofauti hulinganishwa kwa kutumia


viunganishi kama vile; “Kama”, “Kama kwamba”,
“Mfano wa”, “fanana na”, mithili ya” na “Kuliko”.
Kwa mfano, Zanga anatumia mbinu hii mfulilizo baada
ya kuisikia Sauti ya Mpya. Mathalani, anasema, “
Inasikikia popote au Kokote! Inapasua kama radi
yenye hasira. Inakereza viini. Vya masikio kama
msumeno wenye makali” (uk 49)
 Pia, Mpya anasema, “Kila siku vitu vingi haunza kama
mchezo” (uk 50)
 Aidha, Bi.Subira naye ametumia mbinu hii. Kwa

mfano, analinganisha nchi na msitu wa watoro.


Anasema, “nchi imekaa kama msitu wa watoro. (uk
58)

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


129
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
 Isitoshe, Bw.Salimina naye ametumia mbinu ya
tashbihi. Kwa mfano, anasema, “………tena
watairebisha wao, maana wao wanajua kuiandika
katiba kauli hiyo akiwa na hasiri na kusema,
“Wamelala fofofo kama pono kasha wanadai
wanajua?” (uk 66)
 Juu ya hayo, mwandishi Mohamed naye ametumia
mbinu hii akiifafanua hali ya Bw.Binafsi. Kwa mfano,
anasema, “anapiga hatua za masafa kama wanajeshi.
Halafu anageukia kushoto. Anapiga hatua za masafa
kama mwanajeshi. Sasa anafuliza kutembea huku na
huku kama askari mlinda doria” uk 77)
 Katika mbinu sambamba, wananchi wanapomwendea
Bw.Binafsi wanamwambia na kusema,
“Tuko sawa kama sahani na Kawa” (uk 80).
 Waaidha, wananchi wanapoenda kumkabili uso kwa
uso Bw.Binafsi. Bw.Binafsi anaruka hapo alipoketi
kama mkizi na kutua mbele ya hadhira (uk 84)
 Mpya naye kwa ukweli anasema ati uwili wake
umeshapata mifupa. Mbele hauendi, nyuma
hausongoei. Amebaki kimya kama maji ya mtungi (uk
53).
 Baada ya Mpya kutomwinamia babake Bw.Binafsi,
Bw.Binafsi anawaamrisha walinzi wake kumwendea

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


130
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Mpya, wanamshika mkono na kumburura kama
gunia la makaa! (uk 41)
23. Dhihaka.
 Ni tamathali ya semi ambayo kwayo mtu kwa makusudi

husema maneno kumbeza mtu mwingine. Kwa mfano,


Bw.Naona anapaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwa
ajali ya kupata usamehevu maalumu anapomwita
mtukufu. Hii ni dhihaka (uk 68)
 Aidha, Bw.Binafsi anapomtusu mtotowe Mpya akisema

eti Mpya si mtoto wake, Sauti ya Mpya inasikika


ikimchekelea kicheko cha mfulilizo ha, ha, ha……
Kicheka cha Mpya ni cha dhihaka (uk 40)
24. Aklonimu.

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


131
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

 Ni mtindo wa lugha ambao unajihusisha na matumizi


ya vifupisho. Kwa mfano, mwandishi ametumia mbinu
hii katika majina ya wahusika kama vile
Bw.Binafsi(Bwana Binafsi), Bw. Naona (Bwana
Naona), Bw. Salimina (Bibi Salimina), Bi.Mgeni (Bibi
Mgeni), Bi.Subira (Bibi Subira), Bi. Shoo (Bibi Shoo),
Bw. Taja (Bwana. Taja), Bw. Sikilivu (Bwana Sikilivu)
(uk 57-58) na (uk 64-65).
 Pia, kuma matumizi ya aklonimu yaani GMO’s (uk 59)

25. Taswira/ jazanda.


 Ni mkusanyiko wa picha zinazoundwa na maelezo ya

msanii katika kazi yake ya ubunifu. Taswira hujengwa


na matumizi ya tamathali za semi hususan sitiari na
tashbiha. Kwa mfano; maneno ya mwandishi njaa ya
miaka yanajenga picha ya umaskini katika akili mwa
mshomaji (uk 8)
 Aidha, maneno ya Mpya nayo inajenga picha ya

uzalendo akilini mwa msomaji. Kwa mfano, anaposema


kuwa amechoka kusubiri, amechoka kugonjea na hata
amechoka kunyamaza (uk 31).
 Maneno ya Bw.Binafsi nayo yanajenga picha ya ukatili

akilini musa msomaji. Kwa mfano, anamwita mtoto


wake kigego na ukorofi. Anaendelea kusema kuwa
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
132
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
angejua kwamba angezaliwa hivyo, angemng’oa
mimbani mwa mamake (uk 34)
26. Majazi/Majina ya Lakabu.
» Ni upaji wa mhusika jina kulingana na kazi yake,
tabia yake, maneno yake, umri wake, mavazi yake
pamoja na matendo yake. Kwa Mfano;
 Mpya ambaye anatenda mambo mapya.

 Bw.Sikilivu ambaye anachukua muda akisikiliza


maneno yanayosemwa.
 Bw.Naona ambaye anasema mambo kama yalivyo.

 Kushoto ambaye anatoka upande wa kushoto.

 Kulia ambaye anatoka upande wa kulia .

 Bi.Subira ambaye amesubiria uongozi mbaya na


kuchoka.
 Bw.Binafsi ambaye anaiongoza nchi yake kwa ubinafsi.

 Bw.Taja ambaye anataja ukweli wa mambo.

Maswali ya majalibi.
1. (a) “Mpya ni mhusika anaye linganishwa na vijana

wengine katika nchi yako.” Tetea kauli hii ukitoa


mifano kutoka tamthilia na nchi yako.
(b) Fafanua jinsi wahusika wanavyopigania haki zao?
2. “Wanawake wamefanya yanayostahili kuikomboa nchi

yao.” Jadili kauli hii ukitoa mifano kuntu.


3. Elezea sifa na umuhimu wa wahusika wafuatao;
a) Mpya

b) Bw.Binafsi
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
133
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
c) Bi.Shoo

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


134
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386

d) Bw.Naona
e) Mussa

f) Zanga.

4. Linganisha na ulinganue maisha ya tamthilia ‘Kimya

Kimya Kimya’ na maisha ya jamii yako ukitoa mifano


maridhawa.
5. “Uongozi wa Bw.Binafsi umejaa mambo na matendo

maovu”. Tetea kauli hii ukiyataja na kuyelezea hayo


matendo.
6. Jadili vipengele vifuatavyo ukirejea tamthilia ya Said.
A. Mohamed.
a) Umaskini

b) Umoja

c) Kinaya

7. “Kimya Kimya Kimya ni kichwa ambacho kinaona na

ujumbe uliomo.” Tetea kauli hii ukitoa mifano


mwafaka kutoka tamthilia.
8. ‘‘Tamthilia ya Kimya Kimya Kimya ni kichwa
ambacho kina mafunzo mengi kwa wananchi wako.”
Fafanua mafunzo unayoyapata kutoka tamthilia husika.
9. “umoja ni ngunvu utengano ni udhaifu” Kwa kurejelea

tamthilia ya Said. A Mohamed, Jadili kauli hii ukitoa


mifano maridhawa.
10. Elezea malengo ya mwandishi wa tamthilia ya ‘Kimya
P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page
135
TAMHILIA YA KIMYA KIMYA KIMYA NA SAID A. MOHAMED

MHAKIKI: MWALIMU FAGIL FARAJA MONDE


Piga 0756040644/0785090252/0780947386
Kimya Kimya’ ukitoa maelezo mwafaka.

P320/2 KIMYA KIMYA KIMYA. Mwalimu Fagil Faraja Monde Page


136

You might also like