Professional Documents
Culture Documents
Darajia Ya Kisemantiki
Darajia Ya Kisemantiki
Huchunguza maana kwa njia ambazo si za kawaida kimaana. Darajia hii hujikita
katika matumizi ya tamathali za usemi: Mbinu za kinaya, kejeli, mbinu ya kweli-
kinzani (paradoksi,) sitiari, balagha, ndoto, majazi, jazanda , taswira, taharuki,
kisengere nyuma, kisengere mbele, takriri, kejeli, chuku, sadfa, tashhisi, tashbihi
• Kiwango hiki kilitufaa sana kwa sababu kama tulivyoeleza, mtindo ni jinsi
lugha ilivyotumiwa na kuathiri maana kama inavyotumika kwa njia ya
kawaida. Kiwango hiki pia kilituwezesha kuhakiki tamathali za usemi
tulizoteua kuzichanganua katika kazi hizi nne teule za Sanja.