Kamati Ya Shule

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 9

MUHTASARI WA KIKAO CHA KAMATI YA SHULE

SHULE YA MSINGI MKOYO TAREHE 22/05/2024


MAHUDHURIO
1. GEORGE LESILWA – M/KITI
2. EMMANUEL LIHELI – KATIBU
3. ESTER MSAJILA – MJUMBE
4. RAMADHANI MASEGELO – MJUMBE
5. BAKARI KIHORU – MJUMBE
6. NDARO MUINGI – MJUMBE
7. EMILISIANA KONYANZA – MJUMBE
AGENDA
1. KUFUNGUA KIKAO
2. KUIDHINISHA MALIPO
3. KUFUNGA KIKAO

1. KUFUNGUA KIKAO

Mwenyekiti alifungua kikao mnamo saa 4:30 Asubuhi kwa kuwa karibisha
wajumbe wote walio hudhuria kikao na kuwaambia wawe huru kuchangia Agenda
ilizopo Mbele yao.

2. KUIDHINISHA MALIPO
Kamati ya ujenzi imeidhinisha malipo ya ujenzi wa wa vyoo vya wanafunzi matundu
kumi(10) ambao bado unaendelea na kuiagiza kamati ya manunuzi kuendelea na
taratibu za ujenzi huo.

3. KUFUNGA KIKAO

Mwenyekiti aliwashukuru wajumbe kwa kuhudhuria kikao na pia kutoa michango


yao mizuri kwaajili ya kuimarisha kikundi chao, hatimaye alifunga kikao mnamo saa
7:30 mchana.
……………………………. ………………………….
MWENYEKITI KATIBU
GEORGE LESILWA MUINGI NDARO
MUHTASARI WA KIKAO CHA KAMATI YA UJENZI
SHULE YA MSINGI MKOYO TAREHE 22/05/2024
MAHUDHURIO
1. GEORGE LESILWA – MWENYEKITI
2. MUINGI NDARO – KATIBU
3. EMMANUEL LIHELI – MJIMBE
4. BAKARI KIHORU – MJUMBE
5. MELISIANA KONYANZA – MJUMBE

AGENDA
1. KUFUNGUA KIKAO
2. MAHITAJI YA UJENZI
3. KUFUNGA KIKAO

1. KUFUNGUA KIKAO

Mwenyekiti alifungua kikao mnamo saa 6:00 mchana kwa kuwa karibisha
wajumbe wote walio hudhuria kikao na kuwaambia wawe huru kuchangia Agenda
ilizopo Mbele yao.

2. MAHITAJI YA UJENZI
Kamati ya ujenzi imepokea majitaji kutoka kwa fundi kwaajili ya umaliziaji wa vyoo
vya wanafunzi matundu kumi(10) ambao bado unaendelea na kuiagiza kamati ya
manunuzi kuendelea na taratibu za manunuzi ya bidhaa hizo.
Vifaa vilivyo ainishwa kwa sasa ni kama ifuatavyo:-
S/N Description Unit of measure Quantity
required
1. Cement 42:5N Bag 12
2. Tiles 40x40 Boxes 2
3. Vanish cleaner 4L Tin 1
4. Msasa 120 Bag 3
5. Pillar tape (yso) Tin 1
6. Bip cock 1.5 M 5
7. Wash basin PCs 3
8. Seal tape PCs 9
9. Tiling strips PCs 50
10. Pollypine 3⁄4 class B PCs 2

11. Tee connector PCs 2


12. Water meter (G.S) PCs 1
13. Tofali 6 PCs 60
14. Usafiri Trips 1

3. KUFUNGA KIKAO

Mwenyekiti aliwashukuru wajumbe kwa kuhudhuria kikao na pia kutoa michango


yao mizuri kwaajili ya kuimarisha kikundi chao, hatimaye alifunga kikao mnamo saa
7:30 mchana.

……………………………. ………………………….
MWENYEKITI KATIBU
GEORGE LESILWA MUINGI NDARO
MUHTASARI WA KIKAO CHA KAMATI YA MANUNUZI
SHULE YA MSINGI MKOYO TAREHE …………..
MAHUDHURIO
1. EMILISIANA KONYANZA – M/KITI
2. RAMADHANI MASEGELO – KATIBU
3. NDARO MUINGI – MJUMBE
4. ESTER MSANJILA – MJUMBE
5. RAMADHANI MASEGELO – MJUMBE

AGENDA
1. KUFUNGUA KIKAO
2. KUPITISHA MZABUNI
3. KUAGIZA VIFAA VYA UJENZI
4. KUNGA KIKAO

1. KUNGUA KIKAO
Mwenyekiti alifungua kikao mnamo saa 3:30 Asubuhi na kuwataka wajumbe
wawe huru kuchangia agenda tajwa. Aidha mwenyekiti aliwataka wajumbe
kutoa mapendekezo na maoni juu ya agenda hizo.

2. KUPITISHA MZABUNI
Kamati imepokea zabuni tatu (3) kutoka kwa wazabuni kama ifuatavyo:-
i. Clean D. Malya Tsh 1,305,000/=
ii. Frelimu General suppliers Tsh 2,245,500/=
iii. Mudundu Tsh 1.65,000/=
Kwaajii ya manunizi ya vifaa vya ujenzi wa vyoo vya wanafunzi matundu
kumi (10) ambao bado unaendelea.
3. KUAGIZA VIFAA VYA UJENZI
Rejea Quaortation hapa nyuma. Kamati immoitisha mzabuni Muddish
Pharmacy Tsh 1,165,000/= na kumtaka alete vifaa hivyo kama ifuatavyo:-
S/N Description Unit of measure Quantity
required
15. Cement 42:5N Bag 12
16. Tiles 40x40 Boxes 2
17. Vanish cleaner 4L Tin 1
18. Msasa 120 Bag 3
19. Pillar tape (yso) Tin 1
20. Bip cock 1.5 M 5
21. Wash basin PCs 3
22. Seal tape PCs 9
23. Tiling strips PCs 50
24. Pollypine 3⁄4 class B PCs 2

25. Tee connector PCs 2


26. Water meter (G.S) PCs 1
27. Tofali 6 PCs 60
28. Usafiri Trips 1

4. KUFUNGA KIKAO

Mwenyekiti aliwashukuru wajumbe kwa kuhudhuria kikao na pia kutoa michango


yao mizuri kwaajili ya kuimarisha kikundi chao, hatimaye alifunga kikao mnamo saa
6:30 mchana.
……………………………. ………………………….
MWENYEKITI KATIBU
EMILISIANA KONYANZA RAMADHANI MASEGELO
MUHTASARI WA KIKAO CHA KAMATI YA MAPOKEZI
SHULE YA MSINGI MKOYO TAREHE …………..
AGENDA
1. KUFUNGUA KIKAO
2. TAARIFA YA MAPOKEZI YA VIFAA
3. KUNGA KIKAO

1. KUNGUA KIKAO
Mwenyekiti alifungua kikao mnamo saa 3:30 Asubuhi na kuwataka
wajumbe wawe huru kuchangia agenda tajwa. Aidha mwenyekiti
aliwataka wajumbe kutoa mapendekezo na maoni juu ya agenda hizo.

2. TAARIFA YA MAPOKEZI YA VIFAA


Kamati imepokea vifaa vya ujenzi kutoka kwa mzabuni Mudishi Company
Limited kwa idadi iliyoagizwa na kwamba vifaa vyote vipo katika hali nzuri
kama ilivyo bainishwa kwenye mada ya ukaguzi na mapokezi ya vifaa
hapo nyuma. Rejea Certificate of Inspection Acceptance of Goods (CIAG)

3. KUFUNGA KIKAO
Mwenyekiti amefunga kikao mnamo saa 4:00 Asubuhi na kukabidhi
ripoti ya ukaguzi kwa kamati ya shule

……………………………. ………………………….
MWENYEKITI KATIBU
E. MSANJILA NDARO MUINGI
SHULE YA MSINGI MKOYO,
S.L.P 1249,
DODOMA
24.05.2024

MKURUGENZI WA JIJI,
S.L.P 1249,
DODOMA
K.K
MKURUGENZI WA JIJI,
S.L.P 1249,
DODOMA
AFISA MANUNUZI,
S.L.P 1249,
DODOMA
AFISA ELIMU IDARA YA ELIMU
AWALI NA MSINGI,
S.L.P 1249,
DODOMA
K.K
AFISA ELIMU KATA,
HOMBOLO BWAWANI,
S.L.P 1249,
DODOMA
YAH: OMBI LA KUMLIPA MZABUNI KWAAJILI YA MANUNUZI YA
VIFAA VYA UJENZI WA CHOO CHA WANAFUNZI JUMLA YA TSH
1,165,000/=
Husika na mada tajwa hapo juu,
Tunaomba kutoa fedha kwenye akaunti ya shule kwenye fungu la ujenzi
kwaajili ya kumlipa mzabuni Mudish Pharmacy Company Limited kwaajili ya
malipo ya vifaa vya ujenzi.
Rejea viambata vyote vya manunuzi hapa chini.
Wako katika ujenzi wa taifa,
…………………………………………
EMMANUEL A. LIHELI
MKUU WA SHULE

You might also like