Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili Form 3 2019
Kiswahili Form 3 2019
KIPIND
JUMA
NJIA ZA
MADA KUU SHABAHA MAONI
I
1 1 Kusikiliza na Vinyume vya vitenzi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Marudio. Kiswahili
Fasaha – 3
kuzungumza. aweze: Maelezo. Mwongozo wa
Kutofautisha baina ya kinyume na Maswali na majibu. Mwalimu.
kukanusha. Mifano. Kitabu cha
Kueleza maana ya vinyume vya vitenzi. Mazoezi. Mwana-funzi.
KCM Uk 1-2.
Kutumia vinyume katika sentensi. Kazi mradi. MWM Uk 1-2
2 1-2 Fasihi teule. Usuli katika riwaya. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Mifano.
KCM
aweze: Uchunguzi. Uk 11.
Kueleza maana ya usuli. Usomaji.
Kueleza umuhimu wa usuli wa riwaya. Majadiliano. MWM
Kumweleza mwandishi na jumuia yake. Kuandika. UK 5.
Kueleza dhamira ya mwandishi. Kitabu teule.
3-4 Fasihi andishi. Hadithi fupi: Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma kwa sauti. Kitabu cha
Mayai
aweze: Majadiliano.
Utenzi wa moyoni. Kutaja maudhui ya hadithi. Uchambuzi. MWM
Kujadili mbinu za lugha. Kuandika. UK. 12.
Kujadili wahusika.
4-5 Fasihi yetu. Fasihi simulizi: Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Uchunguzi. KCM
Uk 14-15.
aweze: Majadiliano.
Vipera vya simulizi. Kueleza maana ya fasihi simulizi. Maswali na majibu. MWM
Kufafanua umuhimu wake. Maelezo. UK. 10.
Kutaja mifano ya vipera vya fasihi Kazi maradi.
simulizi.
2-3 Sarufi. Nyakati na hali. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Ufaraguzi. KCM
18-20.
aweze: maswali na majibu.
Kubainisha viambishi vya nyakati na hali. Kuandika.
Kutunga sentensi akitumia viambishi vya Mazoezi. MWM
nyakati na hali. Kunakili. UK. 11.
4-5 Kusoma. Hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma kwa sauti. Kitabu teule.
aweze: Majadiliano.
Kujadili dhamira ya mwandishi. Muhtasari wa hadithi. MWM
Kuchambua maudhui na tamathali za UK.
lugha. 19-21.
6 Fasihi teule. Maudhui katika Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma kwa sauti. KCM
Uk 22-23
riwaya. aweze: Majadiliano. .
Kueleza maana ya riwaya na maudhui. Kujadili sifa za maudhui.
Kuchambua maudhui. Kuandika. MWM
Kueleza uchambuzi wa maudhui. Uchunguzi. UK. 12-13.
Uhakiki. Kitabu teule.
5 2 Utunzi. Umbo la barua rasmi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo ya barua rasmi. KCM
Uk 23-24
aweze: Mifano. .
Kufafanua hoja kuhusu
Kufafanua umbo la barua rasmi. mtindo. MWM
Kutofautisha barua rasmi na barua ya Kuandika barua rasmi. UK. 13-14
kirafiki. Barua rasmi.
Kubuni maudhui ya barua rasmi.
Kuandika barua rasmi. Magazeti.
Kubuni maudhui ya barua rasmi.
Kuandika barua rasmi.
3-4 Kusoma. Hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano. Kitabu teule.
Uk 50-56
aweze: Kuchambua hoja kuu za
Kusoma kwa sauti na kimya. maudui, lugha na
Kueleza sifa za ulaghai. wahusika.
Kufafanua maudhui na sifa za wahusika. Uchambuzi.
Maswali na majibu.
5 Kusoma. Ulumbi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Uigizaji. KCM
Uk 25-26
(Fasihi yetu). aweze: Majadiliano. .
(Hotuba) Kueleza maana na kanuni za ulumbi. Hotuba.
Kutaja mifano ya ulumbi. Kazi ya makundi. MWM
Kueleza umuhimu wa ulumbi. UK. 16-17
Kueleza walumbi na sifa zao.
6 1 Ufahamu. Matumizi ya simu Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma kifungu. KCM
Uk 26-29
tamba maabadini. aweze: Kujadili msamiati mpya.
Kujibu maswali kwa usahihi. Mazungumzo.
Kuelezea msamiati uliotumiwa. Uigizaji. MWM
Maswali na majibu. UK.
17-18.
Kamusi.
6 2-3 Fasihi teule. Wahusika katika Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. Kitabu teule
riwaya. aweze: Majadiliano. na
Kueleza aina za wahusika katika riwaya. Tajriba. mwongozo.
Kufafanua sifa na umuhimu wa wahusika. Makundi.
Uhakiki.
4 Ufasaha wa lugha. Historia na chimbuko Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. KCM
Uk 3633-36
la Kiswahili. aweze: Majadiliano.
Kueleza Historia na chimbuko la Tajriba.
Kiswahili. Mifano. MWM
Kujadili lahaja. Makundi. UK.
20-21
Kubainisha kuhusu asili ya Kiswahili. Ufafanuzi.
5-6 Kusoma. Hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano. Kitabu teule
aweze: Kusoma. Na
Kusoma hadithi. Kuchambua hadithi. mwongozo.
Kujadili wahusika, maudhui na lugha. Kujibu maswali.
7 1 Kusikiliza na Hotuba. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Michezo. KCM
Uk 39-40
kuzungumza. aweze: Mashindano.
Kubainisha za kuzingatia mtu anapotoa Utafiti.
hoja. Kazi ya makundi. MWM
Kueleza hoja muhimu. Ufahamu. UK.
24-25
Kutoa hotuba mbele ya darasa.
Kuandika muhtasari.
2-3 Kuandika. Utunzi: insha ya Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM
Uk 38
mazungumzo. aweze: Maagizo.
Kueleza sifa za insha . Maswali na majibu.
Kufafanua mbinu za utunzi wa insha. Kuandika MWM
Kuandika insha ya mazungumzo. Majadiliano. UK.
22-24
5 Kusoma. Hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule
aweze: Kujadili. na mwongozo.
Kufafanua dhamira, maudhui na Maswali na majibu.
Uk 63-77
wahusika.
Kuchunguza lugha iliyotumiwa.
6
MAJARIBIO
8 1 Kusikiliza na Hotuba. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Ufafanuzi. KCM
Uk 40-41
kuzungumza. aweze: Maelezo.
Kufafanua mambo ya kuzingatia mtu Maigizo.
atoapo hotuba. Uvumbuzi. MWM
Kuandaa muswada wa hotuba. Uchunguzi. UK.
25-27.
8 4-5 Ufasaha wa lugha. Muhtasari: Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maagizo. KCM
Uk 45-46
Ratiba ya mkutano. aweze: Tajriba.
Kueleza umuhimu wa ratiba. Ufafanuzi wa muundo.
Kubainisha saa za ratiba. Kuandika ratiba. MWM
Kuandaa ratiba ya mikutano ya hadhara. UK. 29
Kamusi.
9 5-6 Sarufi. Kauli za vitenzi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM
Uk 54-55
aweze: Ufafanuzi wa viambishi.
Kugeuza vitenzi. Kuigiza.
Kutunga sentensi sahihi. Ufaraguzi. MWM
Mazoezi. UK.39-40.
2-3 Fasihi teule. Matumizi ya lugha Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Uhakiki. KCM
Uk 56-58
katika riwaya. aweze: Majadiliano
Kueleza umuhimu wa lugha Maswali na majibu.
Kufafanua mambo ya kuzingatia wakati MWM
wa kuhakiki lugha katika riwaya. UK.41
4 Kuandika. Insha ya mawazo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 58.
aweze: Maswali na majibu.
(Utunzi) Kueleza maana ya insha. Tajriba.
Kuandika insha ya mawazo. Kuandika. MWM
UK.41-42
6 Fasihi yetu. Soga katika fasihi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano KCM
Uk 61-62
simulizi. aweze: Vikundi.
Kueleza maana ya soga. Mahojiano. MWM
Kufafanua mafunzo ya soga. Usomaji. UK.43.
Kufanya mazoezi ya kutoa soga. Mifano.
Kamusi.
11 1-2 Ufahamu. Chanzo cha matatizo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 64-65
barani Afrika. aweze: Mifano.
Kusoma taarifa na kujibu maswali. Tajriba. MWM
Kueleza ainaza matatizo barani Afrika. Masimulizi. UK. 45-46
Kufafanua maana za maneno. Vikundi.
Kamusi.
Mazoezi.
3-4 Kusikiliza na Mahojiano baina ya Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM
Uk 69-70
kuzungumza. wataalamu wawili. aweze: Ufafanuzi.
Kueleza umuhimu wa mahojiano. Mahojiano. MWM
Kufafanua sifa hizo za mahojiano. Maigizo. UK. 49-50.
Kufafanua maenezi ya ugonjwa wa kansa. Usomaji.
12-13
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KWANZA
MAAZIMIO YA KAZI KIDATO CHA TATU MUHULA WA PILI 2019
KIPINDI
NJIA ZA
JUMA
1 1-2 Fasihi teule. Tathmini katika Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji wa riwaya. Kitabu teule.
riwaya. aweze: Maelezo.
Kueleza jinsi ya kujitayarisha kwa Maswali na majibu.
tamthini. Majadiliano.
Kubainisha aina za maswali ya riwaya.
6 Fasihi yetu. Visasili katika fasihi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. Kitabu teule.
simulizi aweze: Mifano.
Kueleza na kufafanua maana na sifa za Masimulizi.
visasili. Uhakiki.
Kutoa mfano wa kisasili. Maswali na majibu.
5 Fasihi teule. Maana na usuli wa Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo, Kitabu teule.
hadithi fupi. aweze: Mifano,
Kueleza maana ya usuli na hadithi fupi. Maswali na Majibu,
Kueleza umuhimu wake katika Uhakiki.
kuhakiki hadithi fupi.
Kufafanua usuli wa hadithi katika
kitabu cha hadithi.
3 1-2 Fasihi teule. Hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma, Kitabu teule.
aweze: Maelezo,
Kusoma hadithi fupi. Maswali na majibu,
Kuichambua kwa usahihi. Uchambuzi,
Kujadili maudhui na lugha. Majadiliano.
4 1-2 Kusikiliza na Kupasha ujumbe Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Kukariri. KCM
Uk 105-6.
kuzungumza. siku hizi. aweze: Mjadala.
Kusoma na kukariri shairi. Tajriba. MWM
Kujibu maswali. Ufahamu. UK. 70-72.
Kueleza sifa za ujumbe wa rununu Usomaji.
ulioandikwa. Maswali na majibu.
3-4 Fasihi yetu. Miviga katika fasihi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maigizo. Kitabu teule.
simulizi. aweze: Tajriba.
Kufafanua maana na faida ya miviga. Majadiliano.
Kutoa miifano ya miviga katika jamii Utazamaji.
mbalimbali. Ufafanuzi.
6 Fasihi yetu. Sifa za methali Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Uchunguzi. KCM
Uk 116-8.
katika fasihi aweze: Maelezo. MWM
simulizi. Kufafanua na kutathmini lugha ya Tajriba. Uk. 78-80.
methali. Ufahamu.
Kubainisha muundo wa methali. Hadithi fupi.
3-4 Ufasaha wa lugha. Tamathali za semi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Ufafanuzi.
KCM
aweze: Mifano. Uk 122-4
Kueleza maana ya ushairi wa mapokeo Maelezo.
na sifa. Kuchambua. MWM
Kuhakiki mashairi ya arudhi. Uk. 42-83.
5-6 Fasihi teule. Ushairi mapokeo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Mijadala. Kitabu teule.
(wa jadi). aweze: Mifano.
Kusoma na kujibu maswali ya Uhakiki.
ufahamu. Maelezo.
Kutumia msamiati wa michezo katika
mazungumzo.
Kamusi.
3-4 Fasihi teule. Ushairi wa jadi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. Kitabu teule.
aweze: Maigizo.
Kuafanua dhana ya ushairi wa jadi, Ufafanuzi.
kimuundo, lugha na wahusika.n.k. Uchunguzi.
Ugunduzi.
Maswali na Majibu.
8 5 Utunzi. Shairi la arudhi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Majaribio. KCM
Uk 137-8
aweze: Utatuzi.
Kufafanua hatua za utunzi wa mashairi. Tajriba. MWM
Kutunga shairi la arudhi au huru kama Utafiti. Uk. 96-7.
njia ya kisanii. Kuandika.
6 Hadithi fupi. Hadithi teule. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. Kitabu cha
aweze: Majadiliano. hadithi fupi
Kutathmini kazi ya fasihi, kimuundo na Uchambuzi. kilichote-
uliwa.
lugha.
Kuchambua maudhui na wahusika.
10 1 Ufasaha wa lugha. Muhtasari. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maswali na majibu. KCM
150
aweze: Makundi.
Kueleza mambo muhimu ya kuzingatia Uchambuzi. MWM
katika muhtasari. Kukariri. UK.
Kuandika muhtasari wa kifungu teule. 107-108.
2 Fasihi teule. Mashairi huru. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. Kitabu teule.
aweze: Ufafanuzi.
Kueleza maana ya shairi huru. Uchambuzi.
Kufafanua na kuhakiki mashairi huru. Maswali na majibu.
Kukariri.
Maswali na majibu.
6 Fasihi yetu. Ngomezi katika Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. Kitabu teule.
fasihi simulizi. aweze: Maigizo.
Kueleza maana na kuainisha ngomezi. Utafiti.
Kufafanua matumizi ya ngomezi. Mahojiano.
Kukusanya mifano ya ngomezi. Ukusanyanji.
4 Fasihi teule. Usuli wa tamthilia. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. Kitabu teule.
aweze: Ufafanuzi.
Kueleza maana, hatua na mbinu za Uchunguzi maigizo.
kuchambua usuli wa tamthilia. Majadiliano ya
Kufafanua usuli wa tamthilia teule. makundi.
5-6 Utunzi. Tahariri. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM
Uk
aweze: Mifano. 160.
Kueleza maana na sifa za tahariri. Uchunguzi.
Kufuata hatua za kuandika tahariri ya Kuandika. MWM
gazeti. Utafiti. UK.
117-118.
Kuandika tahariri. Dayolojia.
NJIA ZA
MADA KUU SHABAHA MAONI
MADA NDOGO KUFUNDISHIA NYENZO
3-4 Kusikiliza na Maudhui katika tamthilia. Kufika mwisho wa somo, Maelezo. KCM
Uk
kuzungumza. mwanafunzi aweze: Ufafanuzi. 169-70.
(Fasihi teule) Kueleza maudhui na dhamira. Mifano.
Kueleza namna ya kuhakiki Majadiliano. MWM
maudhui. Makundi. Uk.
124-5.
Kufafanua mambo ya kuzinatia Uhakiki.
katika uchambuzi wa maudhui.
5-6 Hadithi fupi. Wahusika katika hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, Maelezo.
mwanafunzi aweze: Majadiliano. Kitabu cha
Kuchambua hadithi teule. Tajriba. hadithi fupi.
Kueleza wahusika Makundi.
wanavyojipambanua kwa hadithi. Uhakiki.
4 1-2 Fasihi teule. Wahusika katika tamthilia. Kufikia mwisho wa somo, Maigizo. Kitabu
mwanafunzi aweze. Uchunguzi. teule.
Kufafanua nafasi ya mhusika. Mjadala.
Kueleza uumbaji na uchoraji wa Utaazamaji.
wahusika. Ufahamu.
Kupambanua aina za wahusika. Ufafanuzi.
Kueleza jinsi ya kuchambua Uhakiki.
wahusika.
5-6 Fasihi yetu. Hadithi fupi. Kufikia mwisho wa somo, Kusoma. Kitabu cha
mwanafunzi aweze. Uchunguzi. hadithi fupi
Kueleza fani ya lugha. Ufafanuzi. kilichote-
uliwa.
Kufafanua umuhimu wa fani hizo. Mjadala.
Masimulizi.
Uchambuzi.
5 1 Ufahamu. Ripoti za michezo. Kufikia mwisho wa somo, Makundi. KCM
Uk184-6.
mwanafunzi aweze. Maelezo. MWM
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Utafiti. Uk.
Kueleza aina ya michezo. Tajriba. 135-6.
Kutoa mifano ya taarifa. Usomaji. Kamusi.
5-6 Fasihi teule. Hadithi fupi. Kufikia mwisho wa somo, Maelezo. Kitabu cha
mwanafunzi aweze. Ufafanuzi. hadithi fupi
Kubainisha na kueleza muundo na Uhakiki. kilichote-
uliwa.
mtindo wa tamthilia. Majadiliano.
Kuhakiki muundo wa tamthilia. Kuigiza.
3-4 Fasihi teule. Matumizi ya lugha katika Kufikia mwisho wa somo, Kuigiza. Kitabu
tamthilia. mwanafunzi aweze: Uchunguzi. teule.
Kueleza sifa za lugha katika Mifano.
tamthilia. Ufafanuzi.
Kutoa mifano ya matumizi ya lugha Uhakiki.
katika tamthilia.
8 1-2 Fasihi yetu. Hadithi fupi. Kufikia mwisho wa somo, Ziara. Kitabu cha
mwanafunzi aweze: Utafiti. hadithi fupi
Kutoa mifano ya maigizo. Uchunguzi. kilichote-
Kupambanua umuhimu wa maigizo. Uhakiki. uliwa.
Kueleza jinsi ya kuchanganua Maigizo.
maigizo.
3 Ufahamu. Kumbukumbu za mkutano. Kufikia mwisho wa somo, Maswali na KCM
Uk 204-6.
mwanafunzi aweze: majibu. MWM
Kusoma kumbukumbu. Majadiliano. Uk.
Kueleza maana za maneno na Maelezo. 149-50.
vifungu. Kuigiza.
Kamusi.
Kujibu maswali ya taarifa.
9 1-2 Fasihi teule. Mafunzo katika tamthilia. Kufika mwisho wa somo, Tajriba.
KCM
mwanafunzi aweze: Mifano. Uk 209-10.
Kueleza maana ya mafunzo. Mjadala.
Kufafanua mbinu za wasanii kutoa Maelezo. MWM
mafunzo katika tamthilia. Ufafanuzi. UK 153-5.
Kueleza mafunzo.