Professional Documents
Culture Documents
SK Fomu
SK Fomu
Tarehe…………………..
JINA LA MWANAFUNZI……………………………………………………………………
YAH: KUCHAGULIWA KUJIUNGA NA ELIMU YA SEKONDARI (STAGE I) YENYE
KIDATO CHA KWANZA NA CHA PILI KATIKA SHULE YA SK OPEN SCHOOL 2024.
UTANGULIZI
Uongozi wa shule pamoja na jumuiya ya shule ya sekondari SK Open school chini ya Institute of
Adult Education (IAE) wanayo furaha kukupongeza na kukufahamisha kuwa umechaguliwa kujiunga na
elimu ya sekondari kidato cha kwanza na cha pili kwa mwaka mmoja. Mwanafunzi atasasoma na kupata
cheti cha kidato cha Nne na sita (Form IV & Form VI). Mgawanyiko wa mafunzo ni kuanzia (Kidato
cha I na II) kwa mwaka mmoja,kidato cha III na IV kwa mwaka mmoja, na kidato cha V na VI kwa
mwaka mmoja. Pia tunapokea wanafunzi wenye haja ya kurudia Mtihani wa QT, kidato cha Nne na
kidato cha Sita (Re- sitters).
SK Open school inapatikana mkoa wa Kagera, wilaya ya Karagwe, kata ya Bugene, eneo la
Omurushaka karibu na stendi ya magari yaendayo Bushangaro.
QT (QUALIFYING TEST) maana yake ni mafunzo ya kidato cha kwanza na cha pili, Mwanafunzi
atapatiwa mafunzo hayo kwa muda wa mwaka mmoja na kupata sifa ya kufanya mtihani wa kidato cha
Nne. Kwa hiyo mfumo wa kusoma kupitia QT ni mzuri sana hasa kwa wale waliokosa nafasi katika
shule za serikari.
Kwa mwaka wa masomo wa 2024 masomo yatakayo fundishwa ni ya mchepuo wa Sanaa (Arts)
Sayansi,Kompyuta.
MASOMO YA ASUBUHI:
MASOMO YA JIONI:
Muda wa vipindi ni Saa 8:30 jioni hadi saa 01:00 Jioni Baada ya vipindi vya darasani Mwanafunzi
anaruhusiwa kubaki na kuendelea kujisomea, pia anaweza kupata msaada wa Mwalimu pindi
unapohitajika .Ratiba ya masomo inaweza kubadilika kwa kuongeza muda wa vipindi usiozidi saa moja
au masaa mawili hasa inapokaribia kipindi cha mtihani wa Taifa.
Page 1
KUSAJILIWA KWA MWANAFUNZI:
Ili mwanafunzi asajiliwe na kupewa kitambulisho cha shule, sharti ahudhurie mafunzo ya semina ya
siku moja itakayofanyika shuleni kwa lengo la kumwezesha mwanafunzi kujitambua na kuyatambua
vyema mazingira yake pamoja na kuelekezwa na kushauriwa jinsi ya kuchagua masomo ya kufanyia
mitihani ili Mwanafunzi aweze kutimiza ndoto zake. Utaratibu wa semina utatolewa kwa mwanafunzi
pindi atakapomaliza kufanya malipo yote kama utaratibu unavyoeleza. Mafunzo yatafanyika kwa
wanafunzi wote watakaojiunga kwa kipindi cha January na February MAFUNZO HAYA NI BURE,
HAKUNA MALIPO.
FGGGGGGGGGGJHJJJ
APRIL - JULAI 180,000/=
ADA AWAMU YA TATU
AGOSTI - NOVEMBA 150,000/=
KUMBUKA: kila mwanafunzi atatakiwa kuja na mahindi kiasi cha kgs 156 kwa mwaka mzima na
maharage kgs 60 kwa mwaka.
Awamu ya kwanza ataleta kgs 70 za mahindi na maharage kgs 30 mengine atamalizia awamu ya
mwezi wa saba.
Utaratibu wa kulipa ada ya muhula wa januari hadi juni 2024 kwa awamu ni kama ilivyo hapa
chini:
2) Kufikia mwezi Machi tarehe 30, kila mwanafunzi anapaswa awe amekamilisha malipo yote ya
awamu ya kwanza Januari hadi Machi.
Page 2
MALIPO YA SARE ZA SHULE/UNFORM:
NB:
Kwa wasichana wanaopenda kuvaa ijabu nyeupe wanaruhusiwa kuvaa shati nyeupe zenye mikono
mirefu.
Page 3
Sheria za mavazi
i. Mavazi yasiyo ya heshima hayaruhusiwi mfano suruali kwa wanawake, sketi fupi juu ya
magoti, nguo zina zoonyesha maungo ya mwili, kufunga vilemba kichwani.
ii. Hairuhusiwi kuvaa hereni, kuvaa kikuku miguuni, mikufu na kuvaa kaptura kwa
wavulana nk.
iii. Mwanafunzi haruhusiwi kuvaa malapa au viatu vya wazi (open shoes). Mwanafunzi
akiwa na tatizo la mguu atapewa kibali maalumu na uongozi wa shule.
iv. Mwanafunzi haruhusiwi kuvaa kofia ya aina yoyote katika eneo la shule, kama kuna
sababu ya kumlazimu kuvaa kofia atapewa ruhusa na uongozi wa shule
Page 4
NB:/ANGALIZO: ukurasa huu ujazwe na kusahiniwa kati ya mwanafunzi na mzazi kurudishwa
shuleni.
Uvunjifu wa sheria mojawapo kati ya hizo zilizoorodheshwa hapo juu, zitamweka Mwanafunzi
kwenye hatari ya kufukuzwa shule. Ikiwa mwanafunzi atafukuzwa, ada iliyokwisha lipwa
haitarudishwa.
SEHEMU A
7. Hali ya Afya: ( Weka alama ya vema ndani ya kisanduku; kama alama hiyo
imewekwa katika kisanduku chochote, maelekezo yatolewe katika sehemu au
nafasi ambayo imeachwa hapo chini )
1) Ulemavu au mapungufu yanayohitaji uangalifu au maelewano
Page 5
…………………………………. ……………………………
Sahihi Tarehe
SEHEMU B
Page 6