Download as doc, pdf, or txt
Download as doc, pdf, or txt
You are on page 1of 4

1

MAWAZO JUU YA KUANDAA MPANGO WA MRADI AU BIASHARA

I. OMBA:

A. Pata watu kadhaa ambao utafanya nao maombi juu ya


mradi wako – shughuli yako ni vema ukaiweka mikononi
mwa Mungu tangu awali. Mara nyingi tunamshirikisha
Mungu tukiwa tayari katika magumu. Anza nae , endelea
nae hatakupungukia hata kidogo.

II. KUTAFUTA SOKO:

A. Chagua utakachofanya au bidhaa unayotaka kuzalisha au


huduma unayotaka kutoa

1. Chagua unachotaka kuzalisha, pia fahamu WATEJA wako

2. Jua au fahamu WASHINDANI wako

3. Tengeneza BEI za bidhaa zako au huduma yako

B. Andika maelezo ya bidhaa au huduma hizo


2

1. Ainisha njia ambazo utatumia katika usambazaji wa


bidhaa zako au huduma yako

2. Ainisha faida au umuhimu wa bidhaa zako au huduma


yako utakayozalisha

III. TENGENEZA BAJETI KUONYESHA GHARAMA ZAKO ZA


KWANZA / MWANZO/ AWALI

A. Gharama za vifaa / vitu – uzalishaji wa awali

B. Gharama za vitendea kazi – kama vipo

C. Ghara za vitu vingine – kiasi kidogo

D. Gharama za nguvu kazi – pamoja na wewe mwenyewe

IV. TENGENEZA HATI YA AWALI YA MAPATO NA MATUMIZI

A. Mwaka wa kwanza – Ni muhimu sana

B. Mwaka wa pili – Ni vyema ukawa nayo

C. Mwaka wa tatu – kama ukipenda ili kupata picha ya mradi


3

V. TAFUTA FEDHA

A. Toka ndugu na marafiki

B. Mabenki yanayohudumia wateja wa kati

C. Mchango binafsi – Ni muhimu sana

D. Tengeneza mpango wa malipo

VI. TANGAZA BIASHARA / HUDUMA YAKO

A. Kwa mdomo au kwa maneno

B. Njia ya vyombo vya habari – magazeti, redio tv nk.

C. Vipeperushi – kwa njia ya urafiki katika maeneo ya biashara

VII. WEKA MALENGO NA UWEKE MUDA MAALUM

A. Weka mauzo yote katika karatasi

B. Lenga kutafuta wateja wapya – biashara ni wateja

C. Lenga kuongeza aina mpya ya bidhaa / huduma


4

VIII. OMBA NA WANA MAOMBI WENZAKO NA ANZA SHUGHULI

A. Shauriana na marafiki na wana maombi wenzako

IX. UFUATILIAJI

A. Pima malengo kama yamefikiwa

B. Pima muda uliochukua mpaka mwisho

X. SHEREHEKEA USHINDI / KUFAULU

A. Msifu Bwana kwa ushindi

B. Toa ZAKA yako – fungu la KUMI – hata kama ni 10%+

MWANA KONDOO AMESHINDA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

IMELETWA KWENU NA – RACHEL-JULIANA MATTHEW LWALI

You might also like