Professional Documents
Culture Documents
Barua Ya Matengenezo - Maboresho PDF
Barua Ya Matengenezo - Maboresho PDF
WILAYA YA GONGOLAMBOTO
06 Juni 2024
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wilaya ya Gongolamboto linawajulisha wateja wake
kuwa, kutakuwa na katizo la umeme kwenye moja ya laini yake inayotoka kwenye kituo cha kupoza
na kusambaza umeme KIPAWA.
Lengo
Kumruhusu mkandarasi kuhamisha miundombinu ya umeme ili kupisha ujenzi wa barabara ya
mwendokasi.
Maboresho haya yataathiri hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme kama ifuatavyo.
Shirika linawashukuru wateja wake kwa uvumilivu katika kipindi chote ambacho huduma
ya umeme itakosekana.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO NA HUDUMA KWA WATEJA,
TANESCO GONGOLAMBOTO
SIMU: 0748 550 000/0733 212 575