Professional Documents
Culture Documents
Wema Hauozi Uchambuzi Wa Jalada
Wema Hauozi Uchambuzi Wa Jalada
AREGE
MWONGOZO
UCHAMBUZI WA JALADA
Jalada la tamthilia ya Wema Hauozi linaleta mawazo mazito kuhusu Kazi yake Timothy Arege.
Rangi nyeupe ambayo imetumika kuandika anwani ya kitambu. Rangi nyeupe katika kazi ya fashihi
huashiria Amani, utu au wema. Mabula katika tamthilia hii ni muhusika ambaye ana utu kwa jamii.
anaelekea kuwa Mishi. Mwanamke huyu ana weusi mwingi kwenye sehemu ya kichwa. Weusi huu
unaonyesha hali ngumu ambayo anapitia kutokana na tatizo la mmewe la kuachishwa kazi.
Amesimama kama mtu anayenyenyekea. Mwanamke huyu amevaa mavazi ya kiafrika nay a heshima
Rangi ya chani kiwiti ambayo kulingana na fasihi huashiria uahi, rutuba na mafanikio. Japo kuna
matatizo katika familia ya mabula. Ipo siku wema wake utaleta rutuba katika maisha yao. Maana ya
rangi hii inajulikana wakati Mabula anapata kazi mbili mara moja kutokana na wema wake.
Maneno ‘Tamthili ya Gredi ya nane’ yameandikwa kwa rangi ya manjano. Rangi ya manjano
huonyesha ukomavu. Mwandishi wetu Timothy Arege. Amekomaa katika kazi ya uandishi. Ameandika
taamthilia nyingi kama vile, Mstahiki Meya, Kijiba cha Moyo,Majira ya Utasa, Duara, Si shwari na
Bembea ya maisha.
Anwani ya tamthilia hii ni WEMA HAUOZI. Limeundwa na maneno mawili; wema na neno hauozi.
Wema ni neno linaloashiria ukarimu,fadhila na uadilifu. Kuna baadhi ya wahusika ambao wana
Muhusika Mabula ni mwenye wema. Anatetea haki za raia kwa kufichua kwamba fedha zinaenda kwa
mifuko ya viongozi.
Neno hauozi linaashiria kwamba licha ya changamoto nyingi, mateso na shida, ipo siku wema utashinda
uovu. Muhusika mabula anaachishwa kazi, familia yake imapitia wakati mgumu, watoto wake
wanapitia hali ngumu ila baadaye ule wema alitenda unaonekana na kumlipa kwa kazi tena. Hata kama
Dhamira ni lengo au sababu la kufanya jambo. Mwandishi wetu timothy Arege alikuwa na malengo
1.Kuonyesha mgongano kati ya wema na ubaya. Tamthilia inaagazia mgongano ambao hutokea katika
jamii kati ya wema na ubaya. Baadhi ya wahusika kama vile Mabula wanakumbwa na matatizo kwa
sababu ya kutenza wema.Viongozi katika mataifa hukabiliwa na chaguzi kati ya kutenda wema kwa raia
na kujilimbikizia mali.
2.Kuhimiza uadilifu na ukarimu. Mwanishi alilenga kuonyesha kuwa kuwa maadili yanaweza kulipa.
Hili linadhihirika kupitia mabula ambaye anapata kazi kutokana na ukarimu wake. Isitoshe, familia yake
3. Alilenga kuonyesha madhara ya ubinafsi. Madhara ya ufisadi na ubinafsi ni kama vile watu kukosa
4. Mwandishi alilenga kuhamasisha jamii kuhusu matumaini. Licha ya kuipoteza kazi yake,
mabula ana matumaini kwamba ipo siku atapata kazi. Wazee wenzake kama vile temba wanamwimiza
5. Mwandishi alilenga mumwelimisha msomaji kuhusu masuala kama vile wema, ufisadi, ubinafsi,