Professional Documents
Culture Documents
Uraia Na Maadili - 1
Uraia Na Maadili - 1
5. Jibu maswali yafuatayo kwa kujaza jibu sahihi katika nafasi zilizoachwa wazi
i. Aina kuu mbili za viongozi wa serikali za vijiji au mitaa ni ……………………………………. na ……………………………
ii. Chombo au Taasisi inayohusika na ulinzi wa watu na mali zao huitwa…………………………………..
iii. Ni makundi gani ambayo huhitaji mahitaji maalumu? Taja mawili tu……….,………………………………………………..
iv. Hali ya kuipenda nchi yako na kujitoa kutumika kwa nidhamu,uaminifu,na ukweli huitwa ……………………………..
v. Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama nchini ni ……………………………………………………………………….
MASWALI
i. Hao watoto wanaoonekana kwenye picha wanafanya nini? ………………………………………………………………………..…..
ii. Je, ni salama kwa watoto pekeyao kuwa mahali hapo? ……………………………………………………………………………………
iii. Ni athari gani inaweza kuwapata watoto hao kutokana na kitendo wanachofanya? ……………………………………………
iv. Ikitokea ajali kwenye eneo hilo wewe utafanya nini? …………………………………………………………………………….………..
v. Kama ungepewa nafasi ya kuwashauri hao watoto wewe ungewashauri nini? …………………………………………………..