Professional Documents
Culture Documents
Fasihi Simulizi Questions With Answers
Fasihi Simulizi Questions With Answers
Fasihi Simulizi Questions With Answers
Siku moja usiku wa manane, maji yakaanza kupwa.Ndovu aliathirika zaidi. Alijaribu kuinama majini lakini
hakuweza . Alimwita sungura amsaidie lakini sungura alikuwa ametoweka. Ndovu aliamua kwenda
kumtafuta sungura. Alimtafuta hadi msituni lakini hakumpata. Alihofia kurudi baharini na hadi wa leo
yumo msituni.
Maswali
i. Kutanguliza (al.3)
ii. Kuhitimisha (al.3)
MAJIBU
a.
Utanzu – Hadithi (1x1)
Kipera – Ngano za usuli (1x1)
b.
i. Fanani : paukwa
Hadhira : pakawa
ii. Fanani : Hadithi! Hadithi
Hadhira : Hadithi njoo
c.
i. Huburudisha wanajamii husika
ii. Huelekeza wanajamii husika
iii. Huelimisha wanajamii husika
iv. Huhifadhira huziona ya jamii husika
v. Huonya wanajamii wa jamii husika
vi. Hujenga ushirikiano wa jamii husika
vii. Hujenga kumbukumbu ya wanajamii. zozote (5x1)
d.
i. Huhusisha wahusika wanyama
ii. Wanyama hupewa tabia za binadamu
iii. Huwa na ucheshi mwingi
iv. Hutoa matumaini kwa wanyonge kwamba mwishowe watakuwa washindi
v. Hutoa maadili na kuonya kwa njia ya kuchekesha isiyoumiza. Zozote 5x1
e.
i. Umuhimu wa fomyula ya kutanguliza
Humtambulisha mtambaji
Huvuta makini ya hadhira
Hutoa hadhira kutoka ulimwengu halisi hadi wa ubunifu
Hutofautisha kipera cha hadithi na vipera vingine
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Lazima
Soma utungo ufuatao kisha ujibu maswali
Mabibi na mabwana. Siku hii ya leo nina furaha riboribo. Furaha ghaya. Furaha inayoshinda mwanamke
aliyepata salama. Mbona nisiwe na furaha na buraha katika jamii hii iliyotuka ikashinda utukufu wenyewe?
Jamii hii yetu imedumu kwa miaka na mikaka. Kisa na maana? Umoja wetu. Mshikamano wetu. Undugu
wetu. Muungano wetu. Sote twafahamu fika bila chembe chochote cha walakini kwamba umoja ni nguvu
utengano ni udhaifu. Nani asiyejua utu ni ubinadamu? Kwamba kinachotutofautisha na hayawani ni utu?
Utu imara na dhabiti usiotikisika wala kusukasuka katika mawimbi na dhoruba za aushi. Hakuna adinasi
anayeweza kusimama tisti kama mbuyu akiwa pekee. Asiyejua kifai kwamba jifya moja haliinjiki chungu
nani?
Majibu
miti
Jabdli.
c.
i. Jazanda - makinda watoto
-mti- mzazi
Jabelli- mzazi (mwamba.)
mti kugwa-mzazi kufa..
ii. Balagha - wana wa ndege wa wapi?
iii. Mdokezo wa methali - mti mkuu umegwa
iv. Udondoshaji + Ritifaa - metukumba.
v. Taswira - Jabali tuliloegemea/ mti mkuu umegwa.
vi. Mishata - Mbona kuacha mauko
jabali tuliloegemea.
vii. Hasara za kushiriki
d.
i. Mbinu hii huchukua muda mrefu kuliko kuuliza maswatle.
ii. Huenda mshiriki akatekwa na yaliyomo na kusahau kurekodi
iii. Ugeni wa mtafiti huweza kuzua wasiwasi miongoni mwa wenyeji wakakosa kutenda kama
kawaida.
iv. Uchanganuzi wa data inayokusanywa hivi huwa mgumu na ni rahisi kwa mtafiti kuacha
maswala muhimu.
v. Ni njia ghali ya kutafiti - lazima mtafiti asafiri nyanjani,
vi. Vifaa atakavyotumia pia hughanmu pesa mingi mfano Kanda za video
vii. Falda zake
viii. Mtafiti huja karibu sana na jamii na hupata habari za moja kwa moja tena za kuaminika
ix. Ni njia bora zaidi kutumia kwa watu ambao hawajui kusoma wala kuandikwa
x. Ni rahisi kwa mtafiti kuuliza maswali kuhusu kipera kilichowasilisha
xi. Ni rahisi kunasa anayosikiliza au kutazama hivyo. Kuhifadhi kumbo, toni na ishara
xii. Mtafiti hupata hisia halisi ya yanayowasilishwa kwa vile anakabiliana ana kwa ana na
watendaji
xiii. Hukuza utangamano kati ya mtafiti na wanajamii - hivyo kupata habari za cutegemeka.
Siku nilipokatwa
Nilisimama tisti
Nikacheka ngariba kwa tashtiti
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Halikunitoka chozi.
Sembe umepokea
Na supu ya makongoro ukabugia
Sema unachotaka
Usije kunitia aibu
Maswali;
MAJIBU
i. Mwimbaji – mjomba
ii. Mwimbiwa – mpwa (mtoto wa dadake mwimbaji)
d. Mwimbaji wa wimbo huu ana taasubi ya kiume – Thibitisha kauli hii (alama 4x1)
Kuandikwa vitabuni,
Tarakilishi na kanda za video kuhifadhi baadhi ya vipera vya fasihi simulizi
Kufunzwa shuleni
Kuweka sera za kuilinda
(alama 6x1)
f. mbinu za kufanikisha uwasilishaji wa soga.
Urudiaji
Uzungumzi nafsia
Uigizaji
Chuku
Taswira
Upenyezi / uchopekaji wa fanani
Tashhisi
Nidaa
Kuzungumza moja kwa moja
Hoja nne za mwanzo 4x1= 4
Malaika,
Nakupenda malaika x 2
Ningekuoa malaika…
Ningekuoa dada…
Nashindwa na mali sina wee…
Ningekuoa malaika x 2
Pesa, zasumbua roho yangu x2
Nami nifanyeje,kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina wee…
Ningekuoa malaika x 2
Maswali.
MAJIBU
MAJIBU
MAJIBU
Maswali
MAJIBU
MAJIBU
Hurafa (alama 1)
Ameshirikisha wanyama kama wahusika (alama 1)
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
0. Usuli
A.
i. Taja shughuli mbili za kijamii katika utungo huu. (al 2)
ii. Fafanua mbinu zozote mbili za kimtindo katika utungo huu huku ukitoa mifano
mwafaka. (al 2)
iii. Eleza toni ya utungo huu. (al 2)
B. Wewe kama mwasilishaji wa kazi ya fasihi simulizi, ni mbinu zipi ungetumia ili kufanikisha
uwasilishaji wa utungo huu? (al 5)
C. Taja changamoto nne zinazokumba kukua na kuendelea kwa fasihi simulizi. (al 5)
D. Ni sababu zipi zinaweza mfanya fanani kufaragua katika uwasilishaji wa hadithi? (al 4)
MAJIBU
A.
i. shughuli za kijamii
Elimu
Ndoa
2X1=2
ii. mbinu za kimtindo
Kuchanganya ndimi-ooh baby
Taswira oni-sura nzuri
2X1=2
iii. toni ya utungo
Toni ya huzuni-nafsi neni anahuzunika kwa kukataliwa na msichana mrembo.
Toni ya masimango-anamsimanga Yule msichana kwa sababu amezeeka kabla ya
kuolewa. 2x1=2
B. jinsi ya kufanikisha uwasilishaji wa fasihi simulizi
Kuvaa maleba panapohitajika.
Kubadilisha toni ipasavyo ili iwiane na matukio ya uwasilishaji wako.
Miondoko ya viungo vya mwili pia ni muhimu.
Kuihusisha hadhira pia njia nzuri ya kufanikisha uwasilishaji wa fasihi simulizi.
Kutumia ala husika hasa katika kipera cha ushairi simulizi.
Kuwasilishia kazi hii mahali panapofaa. Mfano, jukwaani.
Kuhakisha kwamba umezingia utamaduni wa jamii husika.
Pia ni vizuri kutilia maanani umri na kiwango cha elimu cha hadhira yako.
5x1=5
C. Changamoto zinazokumba kuendelea na kuenea kwa fasihi simulizi
Kukua na kuendelea sana kwa kazi ya kimaandishi.
ukosefu wa utafiti wa kutosha kuhusu fasihi simulizi.
Uchache wa wataalam wa kutosha wa kutafitia kazi ya fashihi simulizi.
maendelea ya kiteknolojia na sayansi yanayo athiri mtazama ya jamaa kuhusu fasihi
simulizi.
Watu kuhamia mjini na kutangamana na watu wa jamii zingine tofauti kunafanya uhifadhi
wa fasihi simulizi kuwa mgumu mno.
Mtaala wa elimu pia umepuuza lugha za kiasili ambazo ndizo nyenzo kuu ya kurithisha
fasihi simulizi.
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
D. Sababu za kufaragua
Fanani huenda akasahau na kubadilisha mtiririko wa hadithi
Anaweza kubadilisha ili kukidhi mahitaji ya hadhira yake k.v umri
Mabadiliko ya kiwakati pia yanaweza kumfanya afarague ili kuingiliana kiwakati na hadhira.
Kila fanani huwa na mtindo wake wa kuwasilisha.
Ubunifu wa fanani ili uwasilishaji wake uweze kuvutia zaidi
Mabadiliko ya falsafa ya vizazi na maingiliano katika jamii kusababisha kurithisha tu yale
ambayo ni muhimu na kuacha mengine.
Kutoeleweka hivyo kuhifadhiwa vibaya.
5x1=5
MAJIBU
Kulikuwa na milki mbili kubwa zaidi zilizopakana; Almasi iliyoongozwa na Simba na Dhahabu iliyoongozwa
na Nyati. Milki hizi mbili zilitoshana kwa kila kitu – si ustawi wa kielimu, si wa kiuchumi, si wa
miundomsingi. Wanyama wote katika milki hizi waliishi kwa mtagusano uliowawezesha kuishi kwa amani
na umoja. Hili lilitiwa mbolea zaidi na kwamba viongozi wao walikuwa marafiki wa kufa kuzikana.
Hata hivyo, baada ya muda, Simba alianza kujiona kuwa alistahili eneo kubwa kuliko Nyati. Alianza kuota
akiwa mfalme wa milki zote mbili. Katika ndoto zake alimwona Nyati akinyenyekea mbele yake. Alifikiri
kuwa wadhifa wake ungekuwa wa juu zaidi kama angemiliki rasilmali za miliki zote mbili. Mawazo haya
yalimfanya Simba kujaa chuki nyingi kila walipokutana na Nyati.
Kama wasemavyo wahenga, “Kikulacho ki nguoni mwako.” Simba alianza kumtembelea Nyati kuuliza
ushauri wa jinsi wangeweza kuunda muungano wa milki zao. Nyati aliliona wazo la Simba kuwa nzuri lakini
akampendekezea rafikiye kuwa wachukue muda kutafakari zaidi juu ya muungano huo. Wazo hili
halikumfurahisha Simba kwani alimwona Nyati kama kizingiti kwenye ngazi yake ya madaraka. Hapo
ndipo Simba alipoanza kupanga mikakati ya kumng’oa Nyati mamlakani.
Baada ta kuhakikisha kuwa mipango yake imekamilika, Simba aliamua kumvizia Nyati kumwangamiza.
Hata hivyo, Nyati aliweza kuonywa na marafiki zake waliokuwa kwenye utawala wa Simba kabla ya Simba
kumvamia. Alipofahamu mipango hasi ya Simba, Nyati pia aliamua kujihami ili kujikinga dhidi ya Simba.
Pupa za Simba za kuongoza zilimfanya amvamie Nyati katika milki yake. Simba alikuwa amesahau kuwa
mwenye pupa hadiriki kula tamu. Vita vikali kati ya milki hizi mbili vilizuka. Umoja uliokuwepo ukageuka
utengano, uhusiano wao ulikuwa umeingia nyufa.
Nyati alikataa Abadan kumwachia Simba mamlaka kwa nguvu. Alihimiza kikosi chake kupigana kwa
vyovyote vile ili kuhifadhi uhuru wao, jambo ambalo walilifanya kwa uwezo wao wote. Kama isemavyo,
“Fahali wawili wapiganapo nyasi ndizo huumia.” Wengi waliumia wasiojua kiini cha vita hivi.
Vita vilidumu kwa muda mrefu. Kwa kawaida Nyati aliwapenda wanyama aliowaongoza kwa moyo wake
wote. Kila usiku alifikiri jinsi ya kuvimaliza vita hivi ili kuepusha maafa zaidi katika milki yake. Hata hivyo,
alipata na namna mbili tu za kulishughulikia jambo hili – aidha aendelee kupigana na kuwaangamiza
wanyama wake wote au akubali wito wa Simba kung’atuka mamlakani. Aliamua kuwaita washauri wake
kwenye makao makuu ya milki ili wajadili jinsi ya kunusuru milki yao. Washauri wake walionekana
kugawanyika mara mbili. Kundi moja lilisistiza kuwa amani haiji ila kwa ncha ya upanga ilhali lingine liliona
heri nusu shari kuliko shari kamili. Nyati aliwaza na kuwazua asijue la kufanya.
Maswali
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
a.
i. Kwa kutoa mfano katika hadithi hii, eleza kwa nini ngano hii ni ya mtanziko. (al. 2)
ii. Fafanua mitindo yoyote mitano aliyotumia msimulizi kufanikisha usimulizi wake. (al. 5)
iii. Huku ukitoa sababu tano fafanua umuhimu wa kushirikisha hadhira katika usimulizi wa
ngano kama hii. (al. 5)
b. Onesha kwa mifano mine jinsi jamii huhifadhi kipera cha ngano sasa. (al. 4)
c. Ni changamoto zipi zinazoweza kumkumba mtafiti akifanya utafiti wa ngano nyanjani. (al.4)
MAJIBU
a.
i. mtanziko kwa vile hatimaye Nyati hakuweza kutoa uamuzi wa kuach vita au kuendelea na
vita x 2
ii. minu tano za kimtindo
i. Usimulizi
ii. Dayalojia
iii. Uhaishaji – wanyama kutenda kama binadamu
iv. Misemo – tia molea
v. Chuku – kuwa na nguvu kupindukia
vi. Methali – kikulacho ki nguoni mwako
vii. Fonyula – hapo zamani
viii. Tabaini matumizi ya ‘si’
ix. Mninu rejeshi – hapo zamani 5 x 1=5
iii. umuhimu wa kushirikisha hadhira katika wasilisho
i. Kuondosha ukinaifu
ii. Kulipa wasilisho uhai
iii. Huwapa kumbukizi ya matukio
iv. Huelewa funzo
v. Watauliza maswali ili kueleweshwa
vi. Watajibu maswali ili kuonyesha uelewa wao
vii. Kuitikia huonyesha ukubalifu wao
viii. Kucheka kwao huonyesha kuburudika si haba
b.
i. kuandika vitabuni/ kuchapisha
ii. vinasa sauti/kurekodi
iii. filamu/ video
iv. Matandaoni/ mawinguni
v. tarakilishi/vipatarakilishi/ vipakatalishi
vi. sidi/diski tepevu. Zozote 4 x 1=4
c.
i. gharama kuwa juu
ii. mtazamo hasi wa jamii
iii. kushukiwa kwamba mtafiti anawapeleleza
iv. wahojiwa kudai kulipwa
v. mbinu nyingine kama hujaji huhitaji watu wanaojua kusoma na kuandika
vi. vikwazo vya kidini – fikiria kwamba matendo ya fasihi simulizi ni ya kishenzi
vii. kupotea na kufisidiwa kwa vifaa
viii. uchache wa wazee na wataalamu wa fasihi simulizi
ix. watawala kukataa kuoba idhini/ruhusa
x. matatizo ya usafviri/matatgizo ya mawasiliano na uchukuzi
xi. hali mbaya ya anga
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Nilipokukopoa,
Cheko la mwivu wangu lilipaa sana
Ukewenza ukamshawishi kuchukua buruji kueneza habari.
“Njooni mwone jana la ajabu.”
“Hajawahi kuonekana kama huyu
Tangu kuumbwa kwa ulimwengu.”
Ndivyo walisema walokubeza
Kijiji kizima kilimiminika mwangu nyumbani
Kuyatuma maozi kukutazama weye
Uso na thamani walikwona,
Wakaupa unyonge moyo wangu toto,
Wakanituma kuola viungo vyako
Wakanitanabahisha upungufu ulokulemaza!
Chozi chungu likapukitika
Likalovya change kidari
Likalovya chaoko kipaji
Tabasamu ukatoa kunihakikishia
“Mimi si mjalana!
Katu sivyo wasemavyo walimwengu!”
Neno lako hili likanipa tulivu
Nikaamua alakulihali kupambana na yangu jumuiya
Ilpsema kwa moja kauli utokomezwe, chakani utupwe.
Tazameni mahasidi mloteka
Teko la dharau mlonimwaiya
Mkanitia ukiwa usomithilika!
Oleni! Tungeni macho!
Mwana mlioambaa ukoma
Ulomwinga ja nyuni wala mtama, tazameni
Mekuwa malaika, anowaauni
Kiguru mlomtajia hakimzuwii kufuma mishale!
Maadui wamwonapo hutetema kama jani
Mefagia vijiji vinane kwa pigo moja la kiganja chake
Mepigana vita visohisabika
Na Wetu mahasimu waliotupoka na mifugo.
MASWALI
MAJIBU
MAJIBU
a. Majigambo/vivugo. 1x1
b.
i. Kwa ukoo wangu mtukufu, kwa jadi yenye majagina.
ii. Kuwa wa kwanza kijijini kuvishwa taji.
iii. Kuwa jogoo wa kwanza kuwika kwenye anga za ilimu.
iv. Kuweza kuvyaza mikakati ya kukabiliana na ulitima. 3x1
c.
i. Takriri/uradidi- hawa, wanifatao, wananicha.
ii. Inkisari – walonipagaza – walilonipagaza
iii. Lahaja – ilimu
iv. Jazanda/stiara – kuwa jogoo wa kwanza kuwika. 2x1=2
d.
i. Hutungwa na kughanwa na mhusika mwenyewe
ii. Kwa kawaida, hutungwa na kughanwa na wanaume.
iii. Hutolewa kwa nafsi ya kwanza kwa sababu anyejigamba ni mshairi mwenye.
iv. Huwa na usanii mkubwa. Anayehusika hutumia mfanano, sitiari na urudiaji.
v. Mhusika hujitungia kivugo kufuatia tukio mahusisi katika maisha yake. Mfano kushinda vita,
mchezo n.k.
vi. Huwa na matumizi ya chuku. Mhusika hujisifu kupita kiasi.
vii. Mhusika huweza kutaja usuli wake wa kina saba . Anahitajika kutaja na kusifu ukoo wake.
viii. Wahusika mara nyingi huwa walumbi au washairi wanaolewa kwa kina wanayoyasema.
6x1=6.
e.
i. Kuridhisha fani yenyewe kwa vizazi vya sasa na vijavyo.
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Niaje wazungu wanaweza kutunza vitu vikajaa kwenye friji. Yani nimeweka soda mbili tu kwenye friji lakini
haitulii hadi nizinywe. Niko sebuleni nazunguka tu. Najaribu kuwaza vitu vingine lakini wapi akili
inaniambia “My friend kunywa soda”.
MAJIBU
Niaje wazungu wanaweza kutunza vitu vikajaa kwenye friji. Yani nimeweka soda mbili tu kwenye frijilakini
akili haitulii hadi nizinywe. Niko sebuleni nazungukz tu . Najaribu kuwaza vitu vingine lakini wapi akili
inaniambia ‘’ My friend, kunywa soda”
Hukuza kipawa cha uongozi katika michezo, huweza kujifunza stadi za uongozi
Ni njia ya kuimarisha urafiki. Kwa vile mizaha na utani katika malumbano
hukuza urafiki na uhusiano bora
Huongoza jamii kupambana na na mazingira wanamojipata. Kutegemea imani ya
wanajamii,matambiko yanaweza kuondoa matatizo katika jamii kama vile njaa,
ugonjwa na ukame kwa kuomba Mungu
Maigizo huelimisha kupitia maudhui na hulka za waigizaji na kushauri nafsi zao,
kuiga au kukashifu hulka hizo.
c. Ufanisi wa uwasilishaji wa utanzu huu unategenea fanani. Tetea kauli hii. (Alama 4)
Huwa mchangamfu na mcheshi kwa hadhira yake ili kuwafanya wapendezwe na
hadithi
Anafahamu utamaduni wa jamii yake.
Anaifahamu hadhira yake vizuri na kusimulia kulingana na mapendeleo yao.
wasichana au wavulana? vijana au wazee?
Huwa na uwezo wa ufaraguni - uwezo wa kubadilisha sehemu fulani za sanaa bila
kujifunga na muundo asilia.
Mwenye kumbukumbu nzuri - uwezo wa kukumbuka
Mwenye uwezo wa kuigiza kwa kutumia viungo vyake, uso (ishara-uso) na
sauti(kiimbo)
Mwenye uwezo wa kujenga taharuki kwa kusita kidogo ili kuvuta nadhari ya
hadhira yake.
Hushirikisha hadhira yake katika nyimbo n.k
Mtambaji hodari na mkwasi wa lugha.
d. Ni changamoto gani zinaweza kumkabili mwanafasihi nyanjani?( Alama 3)
Gharama ya utafiti-huenda gharama ikwa kubwa kiasi cha mtafiti kutoimudu.
Baadhi ya mafanani au wahojiwa huenda wakadai walipwe kabla ya kutoa habari
zozote.hivyo ikiwa mtafiti hana hela basi utafiti wake utakwamizwa.
Mtazamo hasi wa wanajamii kuhusu ujazaji wa hojaji huenda ukawafanya wengi
wao kutojaza hojaji zao. Wanajamii wengine huweza kushuku kwamba mtafiti
anawapeleleza na wakakataa kutoa habari.
Vizingiti vya kidini amabavyo hutokea pale ambapo baadhi ya wahojiwa
wanaamini kwamba matendo ya fasihi simulizi k.v matambiko na uimbaji wa
taarabu yanaenda kinyume na imani yao ya kidini.
Uchache wa wazee au wataalamu wa fasihi simulizi ,kukosekana kwa wazee
wanaoweza kutamba ngano ama kueleza vipera vingine k.v vitendawili.
Matatizo ya mawasiliano na uchukuzi ikiwa mkusanyaji analazimika kwenda
mbali kukusanya habari,hasa katika sehemu kame itakuwa vigumu iwapo hana
gari.
Ukosefu wa usalama ,huenda mkusanyaji wa fasihi simulizi akavamiwa ,baadhi
ya watu si wakarimu na huenda wakamshuku mtafiti na kuvamiwa.
e. Dokeza umuhimu wa kukusanya data nyanjani. (Alama 3)
Ukusanyaji husaidia kurekodi na kuhifadhi tamaduni za jamii mbalimbali kwa nia
ya kuzipitisha kwa vizazi vijavyo.
Ukusanyaji huiendeleza fasihi simulizi kwa kurekodi vipera vya fasihi simulizi
Husaidia kuziba pengo la utafiti liliopo.
Ukusanyaji zaidi wa data za fasihi simulizi hutumiwa kama kiunzi cha uchunguzi
wa kulinganisha fasihi simulizi za jamii mbalimbali.
Humwezesha mwanafunzi kupata maarifa au stadi za kufanya utafiti katika
taalima nyingine za kijamii kama vile sosholojia.
Humpa mwanafunzi nafasi ya kushuhudia na kuathiriwa moja kwa moja na
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
a. Watu watatu walikuwa wakivuka mto. Mmoja alivuka pasi kukanyaga maji wala kuyaona.
Wa pili aliyaona maji akayavuka bila kuyakanyaga. Wa watatu aliyaona akayakanyaga
huku akiyavuka.
i. Bainisha kipera cha makala hayo. (alama 1)
ii. Eleza umuhimu wa kipera ulichotaja(i) hapo juu. (alama 4)
b. Fafanua muundo wa mawaidha yanayotolewa katika miktadha rasmi. (alama 3)
c. Fafanua sifa za mawaidha. (alama 12)
MAJIBU
a. Watu watatu walikuwa wakivuka mto. Mmoja alivuka pasi kukanyaga maji wala kuyaona.
Wa pili aliyaona maji akayavuka bila kuyakanyaga. Wa watatu aliyaona akayakanyaga
huku akiyavuka.
Kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina we!
Ningekuoa Malaika
MAJIBU
“Hapo zamani za kale, kale sana kabla ya ujio wa manabii Issa, Musa ama hata Yesu, walimwengu wote
waliishi pamoja kama ndugu na dada. Hakukuwepo haya makabila tunayoyasikia yakitajwa kila siku.
Hakukuwepo na utabaka. Hapakuwepo na maskini. Watu wote waliishi pamoja kama wafanyavyo
wanyama wa familia moja. Hakukuwepo na tofauti na tamaa ya uongozi na kujitakia kwa wananchi.
Ubinafsi.
Mwanadamu alipogundua umoja aliopewa na Mungu wake, alianza kusoma mengi mno na kutaka kujua
mengi kuhusu Mola. Alidhani kwamba Mungu aliishi mbinguni. Hivyo basi, wanadamu wote waliitana
pamoja katika kamkunji; mkutano wa siri, waratibu jinsi wangeweza kumfikia mwenyezi Mungu. Mwisho
wa kikao, walikubaliana kuwa waanze kujenga ukuta mkubwa ambao ungewawezesha kufika juu mbinguni
na kuzungumza moja kwa moja na Mola Mkuu.
Siku iliyofuatia waliingia katika kazi. Huyu alileta jiwe hili na huyu msumari huu. Kazi ilifanywa kwa
kujitolea na jitihada kuu kila mmoja akiamini kuwa atakaye kilicho mvunguni ni sharti ainame. Aidha,
mgaagaa na upwa hali wali mkavu. Ukuta wao ulipanda kwa kasi. Wazee wenye busara walijaribu
kuwaonya wajenzi dhidi ya hatua hii yao ila wakashikilia msimamo wao wa kutaka kuonana na Muumba
wa mbingu na ardhi ana kwa ana.
Mungu alipoona kuwa mwanadamu amejawa na kiburi, aliwachanganya wajenzi kwa kuzichanganya lugha
zao. Hili liliwanya kutoelewana kiasi kwamba fundi mmoja alipoomba aletewa bisibisi aliletewa nyundo.
Hatimaye ukuta mzima ulianguka na kuwaangamiza wajenzi na waliosalia wakabaki kutoelewana lugha
zao. Hii ndiyo sababu wanadamu wana lugha tofauti.”
Kutoka: Meja S. Bukachi- Mola Mkuu (Riwaya)
Maswali
MAJIBU
b. Wewe ni mtafiti uliye nyanjani kwa uchunguzi zaidi kuhusu kipera hiki:
Kushiriki
Kurekodi
Kutazama
Kutumia hojaji
Mahojiano
(Zozote 3×1= 3)
ii. Upi umuhimu wa kukusanya na kuhifadi tungo kama hizi? (Alama 5). ⮚]]
Humpa mwanafunzi wa fasihi simulizi nafasi ya kutagusana na jamii
iliyozaa fasihi husika.
Humpa mwanafunzi wa Fasihi Simulizi nafasi ya kushuhudia na kuathiriwa
moja kwa moja na utendaji wa Fasihi Simulizi.
MAJIBU
Ni sherehe za kitamaduni amabazo hufanywa na jamii yoyote katika kipindi maalum cha
mwaka (1x2)
b. Eleza sifa tano za miviga. (alama.5)
Huandamana na matendo Fulani – kama vile kupiga magoti, kunyolewa. n.k
Huongozwa na watu mahususi katika jamii.
Huandamana na utoaji mawaidha / ulumbi.
Maleba huvaliwa na wanaohusika.
Hufanyiwa katika mazingizira maalum.
Huambatana / Hufungamana na utamaduni wa jamii husika.
Hufanywa wakati wa kipindi maalum / wakati maalum.
Huwa na kutolewa kafara.
Huwa na kutolewa sadaka.
Kuna kula kiapo – wahusika huweka ahadi ya kutenda wema.
c. Miviga ina udhaifu gani. (alama.3)
Udhaifu katika miviga
Husababisha kudorora kwa maendeleo.
Huleta utengano kati ya jamii na majirani.
Huasi mabadiliko ya kiwakati (nyingine zimepitwa na wakati.
Madhara yanaweza kutokea hasa vifaa butu vinapotumika.
Huleta utengano wa kujinsia kumtukuza mwanaume na kumduinisha mwanamke. ( zozote
3x1)
d. Fafanua vigezo sita vinavyotumiwa kuainisha methali. (alama.6)
Mandhari / mazingira – ukipanda pantosha , utavuna pankwisha.
Maudhui – ulezi – samaki mkunje angalia mbichi.
Fani / tamathali za usemi – Takriri haba na haba hujaza kibaba.
Jukumu – Kuonya – Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu.
Maana sawa – pole pole ndio mwendo -haraka haraka haina baraka.
Abjadi – Kupangwa kialfabeti zote zinazoanza na harufi A zinawekwa pamoja hadi Z.
(zozote 6x1)
e. Jadili mambo manne ambayo huzingatiwa katika katika uchambuzi wa hadithi. (alama.4)
Ujumbe. - Hadhira
Msuko/ ploti. - Fanani
Dhamira. - Kubainisha umuhimu wa formyula ya kufungua na
Wahusika. Kufunga hadithi.
Ugiligili
Tamathali za semi.
MAJIBU
Zozote6*1= 6
MAJIBU
a.
mbunifu – awe na uwezo wa kuwasilisha hadithi kwa namna ya kuwachangamsha. Abuni
hadithi upya mara tu anapoitamba.
Afahamu lugha- Awe na ufahamu mpana wa lugha husika na utamaduni unaohusika ili
awasilishe vyema ngano yake.
Afahamu hadhira yake na mahitaji yao- wake , waume, watoto, vijana, nk . apatane vyema
na mazingira yake ya kisimulizi.
Mcheshi- ili kuinasa makini ya hadhira yake.
uwezo wa ufaraguzi na afahamu mbinu zifaazo za sanaa na maonyesho – uwezo wa
kuunda, kugeuza na kuwasilisha kazi ya fasihi simulizi papo hapo.
Afahamu tabia za binadamu- mambo yanayofurahisha, kuudhi, kuchangamsha, kuvutia au
kumpendeza. Pia wafahamu mikondo mbalimbali ya jamii.
Sauti yake isikike na ibadilike ipasavyo.
Ashirikishe hadhira yake- anaweza kuwauliza maswali, waimbe nyimbo nk
Jasiri – aweze kuzungumza hadharani bila haya hasa masuala ya aibu.
Afahamu utamaduni wa hadhira yake ili atoe ujumbe kwa njia inayokubalika na hadhira na
asije akatumia ishara au maneno yasiyokubalika pale.
b.
Zingine hazina faida yoyote
Zingine zaweza kusifu tamaduni zinazodhalilisha watu fulani
Zaweza kuleta utengano kati ya majirani hasa zile zinahifadhi siri
Zaweza kuleta matabaka
Zingine huenda kinyume na mabadiliko ya wakati. Baadhi ya matendo wakati wa matanga
na unyago yamepitwa na wakati.
Huweza kusababisha tofauti ya kijinsia kv jando na ndoa kwani humdhalilisha mwanamke
na kumtukuza zaidi mwanamume.
Ina gharama – mavazi, chakula, zawadi,nk
Baadhi hujaza hofu.
c.
i. Maandalizi_ mada ya utafiti, mawanda ya utafiti, walengwa, kipindi cha utafiti, kibali, mbinu
za kukusanya na kuhifadhi na gharama ya utafiti.
ii. Utafiti na ukusanyaji wa data yenyewe. Kuhusisha mbinu mbalimbali kama vile kuhoji,
hojaji, kushuhudia au kujaza fomu.
iii. Kurekodi data kwa kuandika- kunasa habari ama kupiga picha za kawaida ama video au
zote tatu.
iv. Kuchunguza data – ili kutafsiri na kuandika upya neno kwa neno bila kupotosha maana
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Siwezi kuhutubu. Mimi sikuwafundisha ubaguzi. Kwa nini mnabaguana? Kwa nini hamukuwapa
watu wa matabaka yote nafasi ya kuzungumza? Kwa nini? Kwa nini mnafanya hali hii ya kuwa kuna
watu na nusu watu? Nataka wazungumze wale ambao hawata sifu tu.
i. Bainisha kipera cha utungo huu. (alama 2)
ii. Eleza mitindo mitatu katika kifungu hiki. (alama 3)
iii. Eleza majukumu matano ya kipera hiki katika jamii. (alama 5)
MAJIBU
a.
i. Kipera cha utungo
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
i. Matambiko
ii. pembezi
iii. Misimu
e. Eleza sifa nne za maapizo. (alama 4)
1. Bainisha kipera cha maigizo kinachorejelewa. Thibitisha jibu lako kwa mifano mitatu. (alama 4)
2. Eleza ujumbe wa maigizo uliyoyasoma hapo juu. (alama 4)
3. Eleza shughuli tatu za kiuchumi ambazo zimejitokeza katika utungo huu. (alama 3)
4. Wewe ni mwigizaji wa michezo jukwaani. Eleza mambo matano ambayo utazingatia katika
uwasilishaji wako. (alama 5)
5. Unanuia kutumia mbinu ya kuchunza/ utazamaji kukusanya habari kuhusu miviga ya tohara. Eleza
manufaa manne ya kutumia mbinu hii. (alama 4)
MAJIBU
a. Bainisha lipera cha maigizo kinachorejelewa. Thibitisha jibu lako kwa mifano mitatu. (alama 4)
Ngonjera
Kujibizana kwa wahusika wawili
Wahusika kupingana mwanzoni.
Wahusika hufikia uafikiano kufikia mwisho.
Mhusika mmoja huzua jambo na mwingine hujibu.
Huendelezwa kwa njia ya ushairi.
Kipera = 1. Ithibati 3x1 =3
b. Eleza ujumbe wa maigizo uliyoyasoma hapo juu. (alama 4)
Mwajiriwa amezinduka, anazifahamu haki zake na kuzitetea.
Mwajiri anaghairi kusikiliza malalamishi ya mwajiriwa - unayoyanena, hapa hayatakikani
Mwajiriwa anapata mshahara duni ambao unaendelea kuyaza umaskini wake.
Uchumi umeharibika kote kote duniani
Kugomea kzi ni kujitosa taabani - mahitaji utayakosa.
Njia mojawapo ya waajiriwa kupigania haki zao ni kugoma / kususia kazi.
Mwajiriwa anapitia dhuluma kiwandani - Kwa miaka na dahari, natumika kiwandani.
Mwajiriwa ni mvumilivu - Kwa miaka na dahari, natumika kiwandani.
Basi tuache hasira, isiongoze njiani,
Mwajiri na mwajiriwawawache na watumie busara, kusuluhisha tofauti zao bila papara.
4x1 =4
c. Eleza shughuli tatu za kiuchumi ambazo zimejitokeza katika utungo huu. (alama 3)
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
i. ulumbi
ii. mbazi
iii. lakabu
iv. matambiko
v. rara nafsi
MAJIBU
Malaika …..
Nakupenda malaika x 2
Ningekuoa mali we…..
Ningekuoa dada…..
Nashindwa na mali sina we…..
Ningekuoa malaika x 2
Pesa, zasumbua roho yangu x 2
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa malaika x 2
MAJIBU
Mabibi na mabwana, ndugu na marafiki hamjambo! Nimefika hapa leo kushuhudia sherehe za vijana hao
wanaofuzu kuingia utu uzimani. Tangu jadi mababu zetu waliandaa sherehe kama hizi ili kuwaandaa
vijana wao kukabiliana na maisha ya usoni. Wanangu, utu uzima hautokani tu na viviga au kisu cha
ngariba. Ni matendo na tabia. Naam, ni matendo na tabia. Katika jamii ya sasa watu humpima mtu
kutokana na ufanifu wake kiuchumi, kielimu na kijamii. Mtu asiye na mali yake hubezwa kwa kutofanya
bidii inavyostahili. Hivyo basi, nawashauri vijana wanaofuzu leo kuwa, mnafaa kutia bidii masomoni ili
mustakabali wenu uwe mzuri. Katika nyakati zetu, ubingwa wetu ulipimwa katika fani ya vita na ngoma.
Ungewasikia wanaume wakijisifu kwa wimbo wakisema:
Ooh ooh ooh!
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Hata hivyo, hali katika jamii ya sasa ni tofauti. Ngoma imekuwa nyenzo ya burudani tu. Navyo vita vya
kikabila vimepitwa na wakati. Wanaopigana aghalabu huchukiliwa hatua kali za kisheria. Elimu ni silaha ya
pekee. Elimu itawafungulia milango ya heri. Ndugu na marafiki, nawaomba nyote muwasisitizie vijana hao
umuhimu wa kuwatii walimu wao na kutia bidii masomoni watakaporudi shuleni. Msisite kuwaadhibu
wanapokosea. Ni muhimu kukumbuka kuwa, mchelea mwana kulia hulia mwenyewe. Tulisimuliwa na bibi
kuwa, hapo zamani za kale mwanamke fulani alificha mnyama hatari aliyekuwa akifukuzwa na mashujaa
wa jamii. Baada ya mashujaa hao kuondoka, mnyama huyo alimla mwanamke huyo. Ingawa ni hadithi,
kisa hicho kinatufunzwa kuwa, hatufai kuficha matendo mabaya ya wanetu. Tuwarekebishe mapema.
Nikimaliza naomba kuwajuza vijana hawa kuwa, tohara siyo ufunguo wa ulevi. Inahuzunisha kuwakuta
vijana wadogo wamelala matopeni kwa kushindwa kutembea kutokana na ulevi. Wengine hubaki pale hadi
asubuhi wakitumbuizwa na milio ya vyura. Nina matumaini kuwa, kundi hili litakuwa tofauti. Asanteni kwa
kunisikiliza.
Maswali
MAJIBU
c. Semi – kifungu hiki kimejumuisha methali na nahau. Kwa mfano, mchelea mwana kulia
hulia mwenyewe.
d. Miviga – msimulizi anadokeza kuhusu tohara kwa vijana kwa kutaja kisu cha ngariba.
Zozote 3 x 2 = 6
v. Eleza toni iliyobainika katika kifungu. (alama 2)
Toni ya kushauri – nafsi neni anawashauri vijana waliopashwa tohari na walezi wao.
Kutaja 1, kueleza 1
vi. Fafanua mbinu za kimtindo zinazodhihirika katika kifungu hiki. (alama 5)
a. Methali – mchelea mwana kulia hulia mwenyewe.
b. Nahau – kutia bidii
c. Mbinu rejeshi – nafsi neni anarejelea simulizi ya bibi.
d. Takriri – ni matendo na tabia
e. Taswira – vijana wadogo wamelala matopeni; wakitumbuizwa na milio ya vyura
f. Tashihisi – elimu itawafungulia milango ya heri
g. Sitiari – elimu ni silaha ya pekee
Zozote 5 x 1 = 5
MAJIBU
a. Majigambo
Kipera hiki kinahusisha mhusika akijigamba kuhusu timu yake ambayo anaisifu kwa kufunga kwa
sekunde (1x2)
b. Umuhimu
Hukuza ubunifu.kadiri mtu anavyotunga na kughani ndivyo anyokuwa mahiri
Hukuza ufasaha wa lugha. Watunzi wengi wa majigambo huwa walumbi
Ni nyenzo ya burudani. Huongoa wanaokuja kwa sherehe
Hudumisha utu na utambulisho wa wanaume katika jamii
Hufanya watuwaheshimiwe katika jamii
Huhifadhi na kuendeleza Amani turathi na utamanduni wa jamii.
Kitambulisho cha jamii.
(zozote 1x8)
c. Sifa za soga
Huwasilishwa mbele ya watu
Hugusia takriban vipengele vyote vya maisha ya binadamu
Huibua maadili yanayohitaji kuzingatiwa
Hujenga maudhui maalumu na ya aina nyingi kutegemea jinsia umri
Hutumia lugha ya kuathiri hisia
Aghalabu hutolewa na watu wenye umri mkubwa
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
a. Wewe ni mwigizaji wa michezo ya jukwaani. Eleza mambo sita ambayo utazingatia ili kufanikisha
uigizaji wako. (alama 6)
b. Mbinu ya uigaji sauti ina umuhimu gani katika fasihi simulizi: (alama 4)
c. Soma utungo ufuatayo kisha ujibu maswali. (alama 10)
Mwananguuu , ni wewe kweli !
ndimi niliyekupa uhai mwana unoringia,
Anokufanya upite ukinitemea mate,
Chakula kuninyima, wajukuu kunikataza ushirika,
Miungu na waone uchungu wangu,
Radhi zao wasiwahi kukupa
Laana wakumiminie,
Uje kuzaliwa mara mia na wanao,
Usiwahi kufurahia hata siku moja pato lao,
Watalokupa likuletee simanzi badala ya furaha,
Wakazamwanao wasikuuguze katika utu uzimawake
(kutoka – Fani ya Fasihi Simulizi)
Maswali
i. Tambua kipera hiki cha Fasihi simulizi (alama 1)
ii. Eleza sifa zozote nne za kipera hiki cha Fasihi Simulizi (alama 4)
iii. Eleza kwa kutoa ithibati jinsia ya nafsineni? (alama 1)
iv. Fafanua umuhimu wa kipera ulichokitaja hapo juu katika jamii.(alama 4)
MAJIBU
MAJIBU
Fasihi simulizi
Fasihi andishi
b. kwa kutolea hoja nane Tofautisha kati ya Fasihi ulizotaja hapo juu. ( alama 8)
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Fasihi simulizi huwasilishwa kwa njia ya mdomo ilhali fasihi andishi huwasilishwa kwa njia
ya maandishi.
Fasihi simulizi huhifadhiwa akilini ilhali fasihi aandishi huhifadhiwa kwa maandishi.
Fasihi simulizi ni mali ya jamii ilhali fasihi andishi ni mali ya mtu binafsi/mwandishi.
Fasihi simulizi ina wahusika wa kila aina k.v binadamu, wanyama na ndege, mazimwi na
majitu, miungu, mizimu, mashetani na vitu visivyo na uhai k.v. mawe na miti ilhali fasihi
andishi ina wahusika binadamu kwa kiasi kikubwa.
Fasihi simulizi ina tanzu nyingi kuliko fasihi andishi.
Uwasilishaji wa fasihi simulizi huweza kuandamana na utendaji k.v matumizi ya ishara,
nyimbo, makofi, kuimba, kubeba zana katika majigambo n.k ilhali ule wa fasihi andishi
hauandamani na utendaji isipokuwa inapowasilishwa mbele ya hadhira.
Fasihi simulizi huwasilishwa mbele ya hadhira ilhali fasihi andishi si lazima iwasilishwe
mbele ya hadhira.
Fasihi simulizi huwasilishwa mahali maalum k.v jandoni, matangani, arusini, n.k ilhali fasihi
andishi haina mahali maalum.
Fasihi simulizi huandamana na shughuli fulani ya kitamaduni ilhali fasihi andishi
haiandamani na shughuli ya kitamaduni.
Fasihi andishi huhitaji muda kutunga ilhali baadhi ya fasihi simulizi huzuka papo hapo k.m.
semi, maigambo.
Fasihi simulizi ina uwezo mkubwa wa kubadilishwa na fanani anapowasilisha ufaraguzi) bali
fasihi andishi haibadiliki isipokuwa mwandishi aiandike upya.
Fasihi simulizi ina historia ndefu kuliko fasihi andishi kwa kuwepo tangu mwanzo wa maisha
ya binadamu
Fasihi simulizi huwasilishwa wakati maalum k.v. usiku, kipindi fulani cha mwaka ilhali
andishi haina wakati maalum.
c. Eleza maana ya Mighani. ( alama 2)
Hadithi za mashujaa/majagina wa jamii fulani k.m. Rwanda Magere wa Waluo, Fumo Liyongo wa
Wapate, Koome Njue wa Wameru, Wangu wa Makeri wa Wakikuyu na Syokimau wa Wakamba.
d. Jadili umuhimu wa mighani. ( alama 8)
Ewe kilizi
Ulozowea kujificha
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
MAJIBU
ii. Jagina
iii. Maleba
iv. Miviga
d.
i. Eleza maana ya vitanza ndimi. (al.2)
ii. Fafanua sifa za vitanza ndimi. (al.4)
MAJIBU
b. Fafanua tofauti
Fasihi simulizi huwasilishwa kwa mdomo mbele ya hadhira
Fasihi andishi huwasilishwa kwa maandishi kv kwenye vitabu na jazanda
Hapo zamani za kale paliishi sungura na ndovu. Wanyama hawa waliishi baharini.Maulana alikuwa
amewatunukia mapenzi si haba.Makazi yao yalikuwa yamepambwa yakapambika.Walitegemea matunda
mbalimbali yaliyokuwa baharini kama mapera, matomoko matikitimaji na kadhalika.
Siku moja usiku wa manane, maji yakaanza kupwa.Ndovu aliathirika zaidi. Alijaribu kuinama majini lakini
hakuweza . Alimwita sungura amsaidie lakini sungura alikuwa ametoweka. Ndovu aliamua kwenda
kumtafuta sungura. Alimtafuta hadi msituni lakini hakumpata. Alihofia kurudi baharini na hadi wa leo
yumo msituni.
MASWALI
i. Kutanguliza (al.3)
ii. Kuhitimisha (al.3)
MAJIBU
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
a.
i. Utanzu – Hadithi (1x1)
ii. Kipera – Ngano za usuli (1x1)
b.
i.
Fanani : paukwa
Hadhira : pakawa
ii.
Fanani : Hadithi! Hadithi
Hadhira : Hadithi njoo
c.
Huburudisha wanajamii husika
Huelekeza wanajamii husika
Huelimisha wanajamii husika
Huhifadhira huziona ya jamii husika
Huonya wanajamii wa jamii husika
Hujenga ushirikiano wa jamii husika
Hujenga kumbukumbu ya wanajamii zozote (5x1)
d.
Huhusisha wahusika wanyama
Wanyama hupewa tabia za binadamu
Huwa na ucheshi mwingi
Hutoa matumaini kwa wanyonge kwamba mwishowe watakuwa washindi
Hutoa maadili na kuonya kwa njia ya kuchekesha isiyoumiza. Zozote 5x1
a. Tambua kipera cha mazungumzo kinachorejelewa. Thibitisha jibu lako kwa mifano mitatu. (alama
4)
b. Kwa kutolea ithibati, taja shughuli zozote mbili za kiuchumi zinazotekelezwa na jamii inayorejelewa
katika kipera hiki. (alama 2)
c. Fafanua umuhimu wa nidaa katika kufanikisha uwasilishaji wa kipera hiki. (alama 3)
d. Onyesha matokeo matatu ya kutenda kinyume na matarijio ya jamii inayorejelewa katika kipera
hiki. (alama 3)
e. Kwa hoja nane, eleza namna shule yako inavyochangia kukuza vipera mbalimbali vya fasihi
simulizi. (alama 8)
Misuli ni tinginya,
Kijijini nasifika,
Wazee kunienzi,
Mabinti kunikabidhi.
Maswali
MAJIBU
b. Kwa kurejelea hoja zozote nane, jadili sifa za utungo uliotambua kwenye swali la (a). (alama 8)
Sifa za majigambo
Hutungwa na kuganwa na muhusika mwenyewe.
Hutungwa kwa usanii mkubwa. Anayejigamba hutumia mitindo tofauti au ishara.
Mwenye kujigamba - hujitungia kivugo kufuatia tukio lililowah kuitokea maishani mwake.
Mara nyingi majigambo hutungwa na kuganwa na wanaume.
Husheheni matumizi ya chuku.
Hutolewa kwa nafsi ya kwanza.
Anayejigamba huweza kubeba baadhi ya vifaa vyake vya kazi au vinavyoonyesha jambo
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
analojisifia.
Majigambo yanaweza kutungwa papo kwa hapo.
Anayejigamba huweza kutaja usuli wake wa kinasaba. Anaweza kusifu ukoo wake
Anayejigamba huwa mlumbi.
Maudhui makuu katika majigambo huwa ushujaa.
(Akikosa (a) , atuzwe 0 katika (b) – Z a kwanza 8 x 1 = 8 athibitishe dai)
c.
i. Maghani ni nini? (Alama 1)
Maghani ni ushairi ambao hutolewa kwa kalima badala ya kuimbwa. 1 x 1 = 01
Tofautisha baina ya
MAJIBU
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
i. Hurafa ni aina ya ngano ambazo wahusika wake ni wanyama lakini wanao wakilisha binadamu
ilihali Hekaya ni ngano pia lakini wahusika wake ni binadamu wanaowakilisha tabia za binadamu
wa aina hiyo katika jamii.
ii. Hadithi za mtanziko ni zile ambazo mhusika hukumbwa na hali ngumu ya kuamua baina ya mambo
au hali mbili ilihali hadithi za mtanziko ni hadithi ambazo wahusika ni mazimwi.
iii. Usuli ni aina ya ngano ambazo huelezea sababu za kuwepo kwa hali, tabia ama mahusiano Fulani
k.m. mwewe na kifaranga ilihali visasili ni hadithi za kale ambazo huelezea imani na mtazamo wa
jamii kuhusu asili ya ulimwengu na mwenendo wake.
iv. Nyiso
v.
Huwafahamisha kijana kuhusu matarajio ya uchungu huasa dhidi ya uoga woga.
Huwaandaa kihisia wanaotahiriwa kwa kuwapa ari ya kupitia kijembe cha ngariba.
vi.
Nyimbo hutumia lugha nzito yenye kuibua twasira na hisia nzito.
Hutolewa kwa mahadhi ya kupanda na kushuka kwa sauti
Huandamana na uchezaji wa viungo kama vile mabega, kupiga makofi.
Baadhi ya vifungu katika nyimbo hurudiwarudiwa
Hufungamana na muktadhaa Fulani.
Basi kizito Matukio alipewa Cheo kikubwa kutokana na uchapakazi wake. Shirika alilokuwa akifanya kazi
likawa na matumaini makubwa. Kizito naye badala ya kuchapa kazi akawa anajigamba na kujitapa
mitaani. “Ukubwa ninaujua miye. Mimi ndiye Kizito hapa. Kizito Mzito mimi, akaringa. Akawadharau akina
Wanjiku. Amina na Shikuku. Akajitosa kwenye raha bila kujali na kuvaa suti nzito alizoagizia kwa fedha za
shirika. Muda si muda shirika likaingia hasara. Mwishowe ametimuliwa kazini na wazito wenyewe.
Ameondoka na mkoba mzito wa madeni na fedheha: nguo sasa anavaa za matambara mazito! Jamani
uzito unakowapeleka wazito.
MASWALI
MAJIBU
MAJIBU
I.
i. kipera- mawaidha alama 2
ii. sifa za mawaidha-
matumizi mapana ya mbinu za lugha kama vile vile methali
hutolewa na mzee, mzazi au mtu anayechukuliwa kuwa na hekima
lugha inayotumiwa huwa ya kipekee inayolengwa kuathiri wanaousiwa
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
MAJIBU
a.
i. Miviga ni nini? (Alama 2)
ii. Eleza sifa nane za miviga. (Alama 8)
b.
i. Ulumbi ni nini? (Alama 2)
ii. Eleza sifa nane za ulumbi
MAJIBU
a.
i. Miviga ni sherehe za kitamaduni ambazo hufanywa na jamii yoyote katika kipindi maalum
cha mwaka.
ii.
Miviga huandamana na matendo au kanuni Fulani.
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
MAJIBU
Baadhi hugharimu kiasi kikubwa cha pesa au mali.Hili huiacha familia katika hali
duni kiuchumi km sherehe za kuomboleza katika baadhi ya jamii 5x1
d.
i. Kipera- Bembea/Bembezi/Bembelezi 1x2
ii. Sifa za Bembea
Huwa fupi
Maswali
MAJIBU
Mimi ni Olichilamgwara
Olichilamgwara mwana mbee wa Ojilong
Ojilong wa Marukatipe
Wazee waliposhindwa
Nilivuka misitu milima na mito
Ni mimi jabali
Kipande cha jifya la mama
Nilipokuwa nalisha mifugo
Nilisikia baragumu inalia
Baragumu ya wito
Mifugo wa mtemi wamechukuliwa
Nikachukua mkuki wangu
Wenye kigumba cha mti
Nikachukua upanga wangu
Wenye makali kama mmweso wa radi
Upanga uliopasua pembe za nyati kwa dhoruba moja
Ndipo nilipofyatuka kasi kama umeme
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Maswali
MAJIBU
a. .
Ni majigambo /vivugo
Matumizi ya mimi ni…. (1x2)
b.
Ni wafugaji – nilipokuwa nalisha mifugo
Ni wezi wa mifugo – mifugo wa mtemi wamechukuliwa
Wanajihusisha na vita (2x1)
c.
istiara(sitiari) Ni mimi Jabali
Tashbihi – kiasi kama umeme
Ulipaa kama umeme
Kama mmweso wa radi
Mdokezo – mifugo ikanifuata…
Swali la balagha – mmekuwa kama majivu baada jua moto kuzimika?
Chuku – upanga kupasua pembe za nyati kwa dhoruba moja
Msemo – kufumba na kufumbua
Urudiaji(takriri) nikachukua mkuki wangu
Nikachukua upanga wangu
Matumizi ya mishororo mishata m.f wazee waliposhindwa
Nilipokuwa nalisha mifugo…
Uhuishi – mkuki kupaa
Usambamba – nikachukua mkuki wangu , nikachukua upanga wangu
d.
anayejigamba hutunga kufuatia tukio mahususi katika maisha yake - anakumbuka
alivyokomboa mifugo ya Mtemi kutoka kwa wezi.
Huwa na matumizi ya chuku
Kwa kawaida hutungwa na kughanwa na wanaume
Hutolewa kwa nafsi ya kwanza m.f Nikachukua mkuki wangu
Anayejisifu huweza kutaja usuli wake wa kinasaba m.f Ochilamgwara mwana mbee wa
Ojilong
Maudhui makuu ni ushujaa
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Ukiwa na mkono wa kuandika andika japo ubeti mmoja wa shairi. Kumbusha watu kuhusu umuhimu wa
maisha na kuwaeleza kutenda mema kabla hawajaisha. Andika hata aya tatu za hadithi. Jihusishe katika
mashindano maarufu japo ujue kuwa wahariri wataiangalia kazi yako na kusema, “Uchafu mtupu! Huyu
hana talanta. Ameharibu wakati wake tu katika shindano hili la jumuia nzima. Sisi tunasaka talanta! Huyu
limbukeni anatuletea hapa ‘viswahili’ gani hivi visivyo na mkia wala kichwa hali mwenyewe si Mswahili?
Potelea jalalani! Huenda hata wakati mwingine kazi yako isisomwe ila wewe andika tu. Andika tena na
tena. Andika.Andika usihofu. Bora tu usife kama hukuwahi kuishi.Zingatieni wosia wangu huu wanangu.
(Kutoka Riwaya: Hawakuziki Mama- Meja S. Bukachi)
MAJIBU
Kuigiza- Uchafu mtupu. Huyu hana talanta. Ameharibu wakati wake tu katika
shindano hili la jumuia nzima. Sisi tunasaka talanta! Huyu limbukeni anatuletea
hapa ‘viswahili’ gani hivi visivyo na mkia wala kichwa hali mwenyewe si
Mswahili? Potelea jalalani!”
Mawaidha hutambulisha jamii kwani kila jamii huwa na aina yake ya mawaidha
kulingana na thamani zake.
Hoja zifafanuliwe (3x1=3)
d. Wewe ni kati ya wanaopewa kipera hiki. Fafanua mambo matano ambayo wewe na wenzako
mnaweza kufanya wakati wa kutolewa. (alama 5)
Kuuliza maswali.
MAJIBU
i. Wewe ni mweusi sana hadi ukibeba mtoto, analala akidhani ni usiku. (vichekesho)
ii. “Kwa nini mnabaguana? Mimi sikuwafundisha kubaguana…” (mawaidha)
iii. …hadi leo jamii hiyo inasadiki kuwa Luanda Magere alikuwa jagina wa kuenziwa. (mighani)
a. Tegua vitendawili vifuatavyo: (alama 5)
i. Popoo mbili zavuka mto. (macho)
ii. Pango lenye mawe meupe na mkeka mwekundu. (meno na ulimi)
iii. Naingia ndani ya nyama natoka bila kushiba. (sindano)
iv. Amenifukuza kote kwa blanketi lake jeusi. (giza)
v. Aliwa yuala, ala aliwa (papa)
b. Eleza umuhimu wa nyimbo katika utambaji wa ngano. (alama 6)
i. Husaidia kuondoa ukinaifu/uchovu kutokana na urefu wa hadithi.
ii. Kusisimua hadhira kwa njia ya burudani.
iii. Kuteka makini ya hadhira.
iv. Kuweka mipaka baina ya matukio kwenye hadithi.
v. Kushirikisha hadhira katika utambaji.
vi. Kuwasilisha mafunzo katika wimbo.
vii. Kurefusha hadithi.
viii. Kusisitiza ujumbe ikiwa unarudiwarudiwa.
ix. Kueleza sifa za wahusika. Zozote 6x1
c. Ukusanyaji data katika fasihi simulizi huwa na changamoto zipi? (alama 6)
i. Ukosefu wa utafiti wa kutosha.
ii. Uchache wa wataalamu wa kuitafiti na kuiendeleza.
iii. Ukuaji wa kazi za kimaandishi na hivyo kuondoa haja ya utambaji.
iv. Maendeleo ya kiteknolojia na sayansi yanayotoa njia za kisasa za kujiburudisha.
v. Baadhi ya watu kuhusisha fasihi simulizi na ukale na hivyo kutoona haja ya kutafiti.
vi. Watu wengi kuhamia mjini na hivyo kufanya urithishaji wake kutowezekana.
vii. Mtaala wa elimu kupuuza lugha za kiasili ambazo huhifadhi na kurithisha fasihi
simulizi.
viii. Kwa kuwa inahifadhiwa akilini, anayeihifadhi anaweza kuibadilisha, kutoweka au
kufa.
Zozote 6x1
a. Nyumbani mwetu mna papai lilioiva lakini siwezi kulichuma – ndugu wa kiume asimuoe nduguye
wa kike.
MAJIBU
a. Nyumbani mwetu mna papai lilioiva lakini siwezi kulichuma – ndugu wa kiume asimuoe nduguye
wa kike.
Kitendawili
ii. Andika shughuli moja ya Kijamii na moja ya Kiuchumi ambazo huendelezwa katika jamii ya
utingo huu
Kukuza uwezo wa kufikiri kwani mfumbiwa huhitaji kufikiri sana ili kupata
jibu.
Kuleta umoja na ushirikiano katika jamii kwa kuleta watu pamoja wakati
vinategwa.
h. Kudramatisha ili kuonyesha picha Fulani kama vile kuiga toni, sauti, na
kiimbo kulingana na swala analowasilisha.
MAJIBU
a.
i. Kitendawili……………….. 1*1=1
ii. Shughuli ya kijamii………….. kilimo/ukulima.
Shughuli ya kiuchumi………….ndoa ama nikahi.
(2*1=2)
iii. Dhima ya kipera hiki:
kuelimisha
kuburudisha
kukuza uwezo wa kukumbuka
kukuza uwezo wa kufikiri
kutanguliza tanzu nyingine za kifasihi
kukashifu tabia hasi katika jamii
kukuza utangamano
kukuza udadisi
kuwajuza wanajamii kuhusu mazingira yao.
Kukuza ubunifu
Kukuza uzalendo.
Kuhifadhi historia.
(4*1=4)
iv. Mambo ya kuzingatia katika uwasilishaji ;
Sauti inayosikika.
Awe mbunifu.
Aweze kukumbuka.
Aielewe lugha ya hadhira yake.
Aufahamu utamaduni wa hadhira yake.
Awe mcheshi.
Awe jasiri.
Arejelee mifano halisi katika jamii.
Aielewe hadhira.
Awe mfaraguzi.
Kuishirikisha hadhira.
3*1=3.
b. Hojaji
i. Manufaa ya hojaji.
Ina gharama ya chini Zaidi ikilinganishwa ma njia nyinginezo.
Mtafiti anaweza idadi kubwa ya watoaji habari kwa kipindi kifupi kwa maana hojaji
zinaweza zikatumiwa watu hao kwa njia kama vile posta.
Inaweza kutumiwa katika mahojiano kama mwongozo. Mhoji anaweza kuitumia
katika mahojiano kufidia udhaifu wa mhojiwa.
Humpa mhojiwa muda wa kuwazia maswali na kuyafanyia uchunguzi kabla ya
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
kuyajibu.
Hazina athari za mtafiti kwa sababu aghalabu zinapojazwa mtafiti hayupo. Mhojiwa
hujaza habari za kweli bila kushinikiwa kuchukua mtazamo Fulani kutokana na
kuwepo kwa mtafiti.
Zinaweza kubadilishwa kulingana na kiwango cha wajazaji/wahojiwa.
5*1=5.
ii. Changamoto za hojaji.
Maswali yenye utata husababisha fasiri mbalimbali ambazo hufanya matokeo
yasitegemeke.
Huenda wengine wasikamilishe kujaza hojaji,hivyo kumhini mtafiti habari
anazotaka.
Hojaji ikiwa ndefu sana huenda baadhi ya watu wakakataa kuijaza.
Hojaji wazi huwa ngumu sana kwa mtafiti kuchanganua data. Uchanganuzi
huchukua muda mrefu.
Huenda wahojiwa wasijaze mambo ya kweli. Si rahisi kwa mtafiti kuthibitisha iwapo
habari zilizojazwa ni za kweli.
Wahojiwa wanaweza kuchelewa kutuma hojaji zao, hasa hojaji zilizotumwa kwa
posta.
Zinaweza kujazwa tu na watu waliosoma,hivyo kuwatenga wengine ambao labda
wangetoa habari za kutegemeka.
Kwa vile mtafiti,hakabiliani na mhojiwa ana kwa ana ,hawezi akapata sifa za
uwasilishaji wa vipera vya fasihi simulizi kama vile toni na kidatu.
5*1=5
A.
i. Miviga ni nini? (Alama 2)
ii. Eleza sifa nane za miviga. (Alama 8)
B.
i. Ulumbi ni nini? (Alama 2)
ii. Eleza sifa nane za ulumbi (Alama 8)
MAJIBU
a.
i. Miviga ni sherehe za kitamaduni ambazo hufanywa na jamii yoyote katika kipindi maalum
cha mwaka.
ii. Miviga huandamana na matendo au kanuni Fulani.
Miviga hufuata utaratibu maalum.
Miviga huongozwa na watu mahususi katika jamii.
Miviga huandamana na utoaji mawaidha.
Maleba maalumu huvaliwa na wanaohusika.
Miviga hufanyiwa mahali maalum.
Miviga huenda na wakati maalum.
Huhusisha imani ya dini husika. (8x1)
b.
i. Ni uhodari wa kutumia lugha kwa ufundi wa kipekee.
ii. Hutumia lugha kwa njia inayovutia na kushawishi.
Hutumika katika miktadha kama kutoa hotuba kwa jamii.
Hukuza ukakamavu wa kuzungumza hadharani.
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Hapo zamani za kale, Mungu alituma wajumbe wawili waende duniani. Wajumbe hawa ni Kinyonga na
Mjusi. Kwanza alimtuma Kinyonga na kumwagiza akaseme “wanadamu hamtakufa.” Kinyonga alienda kwa
mwendo wa kuduwaa, akasimama hapa na pale akila matunda ya miti. Kwa sababu ya hali hii alichelewa
sana kufikisha ujumbe kwa binadamu.
Baada ya muda kupita, Mungu alimtuma Mjusi na ujumbe akaseme, “Mwanadamu sharti kufa.” Mjusi
aliunyanyua mkia akafyatuka pu! Mbio akawahi duniani kabla ya kinyonga kuwasili. Kwa haraka alitangaza
agizo kuu, “Wanadamu sharti kufa!” Akarejelea haraka kwa Mungu. Baada ya muda kinyonga naye akafika
duniana na kutangaza, “Wanadamu hamtakufa!” Wanadamu wakapinga mara na kusema, “La!
Tumeshapata ujumbe wa Mjusi, wanadamu sharti kufa! Hatuwezi kupokea tena neno lako! Basi kulingana
na neno la mjusi, wanadamu hufa.
a.
i. Tambua aina hii ya hadithi (al 2)
ii. Toa sababu za jibu lako katika (a) i. (al 1)
b. Eleza sifa tatu zinazohusishwa na ngano za fasihi simulizi katika hadithi hii. (al 3)
c. Fafanua hulka mbili za Kinyonga kwa mujibu wa makala haya (al 2)
d. Hadithi hii ina umuhimu gani? (al 4)
e. Taja njia zozote nne za kukusanya kazi za fasihi simulizi (al 4)
f. Fafanua jinsi jamii ya kisasa inavyojaribu kuendeleza fasihi simulizi (al 4)
MAJIBU
a.
i. Kisasili (al 2)
ii. Inaeleza jinsi kifo kilivyoingia duniani/ Asili ya kifo (al 1)
b.
Mwanzo maalum- Hapo zamani za kale
Wahusika wanyama
Wanyama kuwasilisha tabia za binadamu
Tanakali za sauti. (Zozote 3x1=3)
c.
Mvivu/ Mnyonge
Mtiifu (Zozote 2x1=2)
d.
Huburudisha
Huhifadhi historia ya jamii
Huendeleza utamandunu wa jamii
Huipa jamii mwelekeo
Huonya/ Huadhibu
Hukuza usirikiano
Hukuza stadi za lugha
(Zozote 4x1=4)
e.
Get more notes and past papers at www.easyelimu.com. (WhatsApp only +254703165909 for more)
Kutazama
Kushiriki
Kurekodi
Kutumia Hojaji
Mahojiano (al 4)
f.
Tamasha za muziki
Sherehe za arusi, jando,mazishi na matambiko
Utegaji na uteguaji wa vitendawili kupitia vyombo vya habari
Michezo ya kuigiza katika vyombo vya habari
Tamasha za drama
Sarakasi zifanywazo na wasanii
Ngoma za kienyeji k.v Isikuti
Watafiti wanaokusanya na kuhifadhi vipera vya fasihi simulizi
(Zozote 4x1=4)
i. Vitanza ndimi
ii. Tarihi
iii. Vivugo
iv. Matambiko
v. Maapizo
c. Jadili mifano mitano ya ngomezi za kisasa. (alama 5)
d. Eleza tofauti kati ya vitendawili na methali. (Alama 5)
MAJIBU
Milio ya ambulensi
Toni katika rununu
Kengele shuleni
Toni katika saa
Kengele za milangoni (5x1)
d. Eleza tofauti kati ya vitendawili na methali. (Alama 5)
Vitendawili huwa na fomyula ya uwasilishaji ilhali methali haina fomyula
mahususi.
Vitendawili huwa na fumbo ambalo lazima lifumbuliwe hapo hapo na hadhira
ilhali methali fumbo halifumbuliwi papo hapo na huwasilishwa na mwenye
kutumia methali.
Vitendawili ni maarufu kwa vijana ilhali methali huwa maarufu miongoni mwa
wazee na watu wazima.
Vitendawili hutolewa kwenye kikao maalum ilhali methali si lazima zitengewe
vikao maalum.
Vitendawili huwa na hadhira tendi ilhali methali huwa huwa na hadhira tuli.
Vitendawili huwasilishwa kwa majibizano ilhali methali huwasilishwa kwa kauli
moja tu na msemaji. (5x1)
last - 4057