Professional Documents
Culture Documents
Tuberculosis
Tuberculosis
KIFUA KIKUU
KIFUA KIKUU
Ni Ugonjwa wa Kuambukiza unao Athiri Mapafu, husababishwa na Bakteria
(Mycobacterium tuberculosis) ambae huathiti mfumo wa hewa.
NAMNA INAVYOAMBUKIZWA
Kifua Kikuu husambaa kutoka kwa Mtu mmoja (Muathirika wa Kifua Kikuu) hadi
kwa mtu mwingine (Sio Muathirika wa Kifua kikuu) kwa Njia ya HEWA kupitia:
➢ Kukohoa
➢ Chafya
➢ Kucheka
➢ Kuimba
➢ Kuongea
• Kikohozi na Chafya ndio njia kubwa ya Bakteria Kutoka kwa Mtu mmoja kwenda
kwa Mwingine kwa Haraka.