TAREHE: ……………………………………… YAH: MKATABA WA UNUNUZI WA SHAMBA. 1. Mkataba umefanyika leo ………………. Mwezi ………… mwaka……….. kati ya ………………………………… (muuzaji) …………………………….(mnunuzi) 2. Kumbuka mnunuzi amenunua shamba lenye ukubwa urefu ………….. upana ……….. Kwa kiasi cha TSH ……………………….kwa maneno ……………………………….. 3. Hivyo mipaka iliyowekwa ni halali asitokee mtu kupinga wala kuingilia mipaka hiyo. 4. a) Mpaka kasikazini amepakana na ……………………………………………………. b) Mpaka kusini amepakana na ……………………………………………………. c) Mpaka mashariki amepakana na ……………………………………………………. d) Mpaka magharibi amepakana na …………………………………………………….
5. Maelezo hapo juu ni halali na sahihi kisheria na kwamba mimi
……………………………… (muuzaji) ………………………………. (Mnunuzi) Tunalidhiana kwa kuweka sahihi zetu mbele ya mashahidi kama ifuatavyo. 6. Muuzaji …………………………………..Sahihi…………………………Tarehe ……………………..