Professional Documents
Culture Documents
Adhabu 1
Adhabu 1
Adhabu 1
1
Mimi na ndugu zangu
tulijiuliza, "Mama
atatugawia wakati gani?"
2
Baadaye, kakangu, Rahim,
alijificha na kuyala
matunda yote!
3
Mimi na ndugu yangu
tulipogundua, tulisema kwa
hasira, “Rahim ni mtukutu
na mchoyo. Lazima
aadhibiwe.”
4
Mama alikasirika sana
alipogundua kwamba
matunda yote yalikuwa
yameliwa.
5
Mimi na ndugu yangu
tulimwangalia Rahim kwa
ukali.
6
Mimi nilimwuliza mama,
"Utamwadhibu Rahim?"
7
Baadaye, Rahim alipata
adhabu asiyoitarajia.
8
Hakuweza kutulia!
9
Mama alipomwuuliza
alijibu kwa sauti ya chini,
“Naumwa na tumbo.”
10
Sote tuliona kwamba hiyo
ilikuwa adhabu mbaya
kuliko kama Rahim
angechapwa na mama.
11
Alipopata nafuu, Rahim
alituomba msamaha.
12
Adhabu
Writer: Adelheid Marie Bwir
Bwiree
Illustr
Illustration:
ation: Melany Pietersen
Language: Kiswahili