Programme ya ARUSI YA (1)-ALFred Mulati-NA – TABITSA INJILA MUHATI (2)-PST Jackson Shivisi_NA_ Ibaada Kuanza 9:30 Am by Rev. Pius Tutakua ha isafara wa kuleta bwana na bibi Arusi, Kuingia Kanisani na Kwa Ikiongozwana matron salome. Baada ya Kuingia nono la Musiki kusomwa A - Wakeni Kusalimia. B- Sadaka Kuhubiri Kukaribisha Mukurugenzi aliye tumwa na office kuu ya A.D.C Atalela vingozi wa AD.C kusalimiana Kanisa Zingine. Banda ya Kumaliza ataendelea na Kuunganisha arusi Wageni wetu Kutoka Office Kuu watapata Kikombe cha chai Kanisami hapa alafu bwana na bibi arusi msaFara wataenda nyumbani wakiwa na zawadi ni nyumbani mwenye atafika apeane hapa kanisani vote of thanks p.t.o God bless you all prepared by REV. Godfrey Alukwe A.D. C. LIREAMBE REGION