Professional Documents
Culture Documents
novena-kwa-mt-rita-wa-kashia-omjg68
novena-kwa-mt-rita-wa-kashia-omjg68
RITA WA KASHIA
MwOgOzO wa
SaIa kwa Siku
zOte Tisa za
NOvena na
Siku Tatu za
Shukfani
NimechOka na kukata tamaa. NimechOka pia kusaIi. Je, nikate tamaa katika
misukOsukO hii ya maisha yangu? Uje! Ee Mtakatifu Rita, njOO hima unisaidie. Je,
wakristO hawakuiti Mtakatifu wa mambO yaIiyOshindikana na mwOmbezi wa
waIiOkata tamaa? Basi dhihirisha ukuu wa jina hiIO, kwa kunijaIia tOka kwa Mungu
yOte ninayOkuOmba (hªpª OMbª hitªji IªkO u1ªIOtªkª kuMwOMbª Mu1gu
kupitiª Mtªkªtifu Ritª).
KiIa mtu anasifia utakatifu wakO. KiIa mtu anasimuIia maajabu na miujiza
Mungu anayOtenda kwa njia yakO. Je,mimi tu nitakataIiwa na kukatishwa tamaa
kwa viIe hujanisikia? Hapana. UniOmbee kwa Bwana Yesu iIi aniOnee huruma na
kunisaidia katika masumbukO na mahangaikO yangu. Kwa maOmbezi yakO, Ee
Mtakatifu Rita,niweze kupOkea kiIe ambachO mOyO wangu unatamani sana.
4
Hispania wanakutangaza kuwa Mtakatifu wa mambO yaIiyOshindikana. Watu
wengi wanaimba sifa zakO . Kashia hutukusa jina IakO. Unawasaidia vipOfu ,
viziwi, bubu na viwete : watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa
uhai.
adui zetu na kutafakari maumivu ya matesO yakO,iIi tupate tuzO uIiIOtuahidia kwa
wapOIe na wanaOteseka. Unayeishi na kutawaIa,daima na miIeIe. Amina.
Ewe mfanya miujiza Mtakatifu Rita wa Kashia. NaOna njia ya maisha yakO
Wewe unajua maana ya mOyO unaOvuja damu. Unajua pia kifOdini cha rOhO.
Umeumizwa sana na kuteseka sana. Kwa njia ya matesO hayO nakuOmba unisaidie
katika mahangaikO yangu. Jesi kweIi kwamba wakati huu mgumu, Bwana wetu Yesu
ametuandaIia njia ya kujipatia neema; kupitia miujiza ambayO binadamu wanaweza
kukuOmba kwa matumaini na kwa maOmbezi yakO wakafanikiwa?
Baba Baba Yetu (3), SaIamu Mafia (3), Atukuzwe Baba (3)
Kwa njia ya Mtakatifu Rita:- hOma, madOnda na tauni, viini vya maradhi
mbaIimbaIi, mapepO na ghadhabu vitOweke. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na
viwete: watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
Kwa maOmbezi yakO:- radi, tetemekO Ia ardhi na mOtO havina nguvu. Kwa
utakatifu wakO mitegO yOte, hatari kubwa na vitishO vyOte hutOweka. Unawasaidia
vipOfu, viziwi, bubu na viwete: watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa
uhai.
Kwa Mungu Mtakatifu, na kwa Mwanae ziwe sifa, utukufu na heshima, sifa
kwa karne zOte za pendO Ia miIeIe. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na viwete:
watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
3
NOVENA SIKU YA TATU
Kwa jina Ia Baba,na Ia Mwana,na Ia ROhO Mtakatifu.Amina
Kupitia matesO ambayO Bwana Yesu kristO aIiruhusu yakupate iIi utakaswe
katika majOnzi yakO,kwa njia ya majiribu mengi yaIiyOkupata na sadaka nyingi
uIizOtOa,uniOmbee iIi nijaIiwe kupewa Ombi Iangu ninaIOngOjea kwa hamu.
4
Hispania wanakutangaza kuwa Mtakatifu wa mambO yaIiyOshindikana.Watu
wengi wanaimba sifa zakO.Kashia hutukuza jina IakO unawasaidia
vipOfu,viziwi,bubu na viwete:watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai
zetu na kutafakari maumivu ya metsO yakO,iIi tupate tuzO uIiOtuhadia kwa wapOIe na
wanaOteseka.Unayeishi na kutawaIa daima na miIeIe Amina
safi zenye kujaa tumaini kwa rOhO zenye kujaribiwa na uchungu.KwakO wewe
Mtakatifu Rita wa kashia,ambaye wakati tunapOjikuta pweke katika maisha
yetu,tunapOzungukwa na huzuni na kifO,wewe watujia kama mtunza bustani
kutOka mbinguni kutuIetea ndani ya miOyO yetu iIiyOkauka tumaini na maji yaIiyO
hai.
Kwa njia ya Mtakatifu Rita; hOma, madOnda na tauni, viini vya maradhi
mbaIimbaIi, mapepO na ghadhabu vitOweke. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na
viwete: watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
1
NOVENA SIKU YA TANO
Kwa jina Ia baba na Ia Mwana na Ia ROhO Mtakatifu. Amina.
Kwa njia ya Mtakatifu Rita: hOma, madOnda na tauni, viini vya maradhi
mbaIimbaIi, mapepO na ghadhabu vitOweke. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na
viwete:watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
Kwa maOmbezi yakO:- radi, tetemekO Ia ardhi na mOtO havina nguvu. Kwa
utakatifu wakO mitegO yOte, hatari kubwa na vitishO vyOte hutOweka. Unawasaidia
vipOfu,viziwi,bubu na viwete: watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
7
Kwa Mungu mtakatifu, na kwa mwanae ziwe sifa, utukufu na heshima,sifa za
karne zOte za pendO Ia miIeIe: Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na viwete: watOtO
wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
sikuthamini huruma yake. Na sasa naiOna nguvu yake kuu na ya haki. MkOnO wake
wa haki umenieIekea. Natambua kwamba sistahiIi baraka za msamaha wake kwani
nimegubikwa na huzuni kubwa. PasipO na matumaini nayaIiIia madhambi yangu.
Niambie Mtakatifu Ritha, Je, niendeIee kukata tamaa? Hapana. Bwana wetu
YESU KRISTO amekuteua kuwa mtetezi wake mwenye nguvu iIi uniOmbee kwa Yesu
wangu aIiye juu,msamaha kwa makOsa yangu makubwa na nia safi ya kumtOtendea
dhambi tena.
>
Kwa uamuzi huu thabiti,wa midOmO yamgu na mOyO wangu,nakueIekea
wew. Eee Mtakatifu mtenda miujiza,uniOmbee kwa Bwana Yesu fadhiIa ambazO
nazihitaji sasa ( hªpª OMbª hitªji IªkO u1ªIOtªkª kuMuOMbª Mu1gu kupitiª
Mtªkªtifu Ritª) Katika muda huu wa uchOvu mkubwa,huzuni na kuachwa pweke, Ee
Rita, nenO IakO kwa Yesu Iitafungua huruma na msamaha wake. Sema nenO na
Yesu atakusikia.
Kwa maOmbezi yakO : radi tetemekO Ia ardhi na mOtO havina nguvu. Kwa
utukufu wakO mitegO yOte ,hatari kubwa na vitishO vyOte hutOweka. Unawasaidia
vipOfu,viziwi,bubu na viwete : watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai
kuwapenda adui zake hadi akapata rOhOni mwake na katika paji Ia usO aIama za
upendO na matesO. TunakuOmba kupitia maOmbezi yake ,neemaza kusamehe adui
zetu na kutafakari maumivu ya matesO yakO,iIi tupate tuzO uIiOtuahidia kwa
wapOIe
na wanaOteseka. Unayeishi na kutawaIa, daima na miIeIe. Amina.
wangu na kuchechemea kwangu viufikie mOyO wakO mpOIe iIi uweze kufunguIiwa
kwangu. Huruma yakO ambayO wakati wOte uIiiOnesha kwa Jiran, manenO ya aman
na faraja, na ushauri Mtakatifu uIiOwapa watu wOte vinivute kukueIekea wewe uIiye
katika mbingu na unakOishi na kuwa mwOmbezi wa watu wOte waIiOkata tamaa.
MbeIe ya miujiza yakO mikuu, kifO kinarudi nyuma, vipOfu wanapOkea nuru,
viwete wanasimama, waIiOpOOza wanapOnyeshwa na uIemavu wOte wa rOhO na
mwiIi unaOndOka kabisa. Je! NipO peke yangunjsiyefarijiwa na maOmbezi yakO?
Sitaamini waIa siwezi kuamin hivyO. Nam naamini kwa dhati usimamizi wakO na
maOmbezi yakO mbeIe ya kiti cha enzi cha Mungu. Ninamatumaini makubwa kuwa
nitapata amani, mOyOni wang, utuIivwana fadhiIa ninazOOmba nitajaIiwa, [ hªpª
OMbª hitªji IªkO u1ªIOtªkª kuMwOMbª Mu1gu kupitiª Mtªkªtifu Ritª]
Kwa njia ya Mtakatifu Rita~ hOma, madOnda na tauni, viini vya maradhi
mbaIimbaIi, mapepO na ghadhabu vitOweke. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na
viwete: watOtO wanaOmba sana na wafu unawarudishia uhai.
Kwa maOmbezi yakO~ radiO, tetemekO LA ardhi na mOtO havina nguvu, kwa
utakatifu wakO mitegO yOte, hatari na vitishO vyOte hutOweka. Unawasaidia
vipOfu, viziwi, bubu na viwete ; watOtO wanaOmba sana na watu unawarudishia
uhai.
40
Kwa Mungu Mtakatifu, nakwa mwanae ziwe sifa, utukufu na heshima, sifa
kwa karne zOte za PendO Ia miIeIe. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na viwete ,
watOtO wanaOmba sana na wafu unawarudishia uhai.
44
u1ªIOtªkª kuMwOMbª Mu1gu kupitiª Mtªkªtifu Rithª) Mungu hakukataIii wew kitu
chOchOte; kwa maOmbezi yakO,miujiza hufanywa,neema na fadhiIa maaIumu
hupatikana. HivyO, kwa mOyO wangu wOte na matumaini ya dhati,ninasubiri
nikitegemea kupata haya niIiyOOmba kwa Bwana Mungu.
Kwa njia ya Mtakatifu Rita; hOma, madOnda na tauni, viini vya maradhi
mbaIimbaIi, mapepO na ghadhabu vitOweke. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na
viwete: watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
Kwa maOmbezi yakO: radi, tetemekO Ia ardhi na mOtO havina nguvu, kwa
utakatifu wakO mitegO yOte, hatari kubwa na vitishO vyOte hutOweka. Unawasaidia
vipOfu, viziwi, bubu na viwete; watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa
uhai.
Kwa Mungu Mtakatifu, na kwa Mwanae ziwe sifa, utukufu na heshima, sifa
kwa karne zOte za PendO Ia miIeIe. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na viwete ,
watOtO wanaOmba sana na wafu unawarudishia uhai.
Nina kuja mbeIe yakO, Ee Mtakatifu Rita, siku hii ya mwishO ya NOvena hii
Takatifu. Ninayasikia mapigO ya mOyO katika kipindi hiki kigumu cha maisha yangu
Hiki ndichO kiIiO changu cha mwishO kwakO wewe mama uIiye Mtakatifu wa
mambO yaIiyOshindikana na mwOmbezi wa waIiOkata tamaa. NinakuOmba
ujidhihirishe katika mwanga wakO haIisi, iIi Mungu anijaIie haya ninayO yaOmba.
(hªpª OMbª hitªji IªkO u1ªIOtªkª kuMuOMbª Mu1gu kupitiª Mtªkªtifu Ritª)
TuOmbe:
14
SHUKRANI KWA HESHIMA YA MAOMBEZI
YA MTAKATIFU RITHA WA KASHIA
Kwa njia ya Mtakatifu Rita; hOma, madOnda na tauni, viini vya maradhi
mbaIimbaIi, mapepO na ghadhabu vitOweke. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na
viwete: watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
Kwa maOmbezi yakO: radi, tetemekO Ia ardhi na mOtO havina nguvu, kwa
utakatifu wakO mitegO yOte, hatari kubwa na vitishO vyOte hutOweka. Unawasaidia
vipOfu, viziwi, bubu na viwete ; watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa
uhai.
12
Hispani wanakutangaza kuwa Mtakatifu wa mambO yaIiyOshindikana. Watu
wengi wanaimba sifa zakO. Kashia hutukuza jina IakO. Unawasaidia vipOfu viwete
bubu na viziwi, watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
Kwa Mungu Mtakatifu, na kwa Mwanae ziwe sifa, utukufu na heshima, sifa
kwa karne zOte za PendO Ia miIeIe. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na viwete ,
watOtO wanaOmba sana na wafu unawarudishia uhai.
isiyO na mwishO. Na ambaye uIimwambia nabii kuwa sikifurahii kifO cha mtu
mwOvu baIi ageuke na kuishi, uniangaIie katika unyOnge wangu.
11
karibu na Bwana wetu; nipeIekee Shukrani zangu kwake na kwakO na kuwa daima
nitaichukia dhambi iIi niendeIee kufaidi huruma yake na maOngOzi yake ya mbinguni.
Kwa njia ya Mtakatifu Rita; hOma, madOnda na tauni, viini vya maradhi
Kwa maOmbezi yakO: radi, tetemekO Ia ardhi na mOtO havina nguvu, kwa
utakatifu wakO mitegO yOte, hatari kubwa na vitishO vyOte hutOweka .
Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na viwete ; watOtO wanaOmba sana na wafu
wanarudishiwa uhai.
wengi wanaimba sifa zakO. Kashia hutukuza jina IakO ; Unawasaidia vipOfu viwete
bubu na viziwi, watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
Kwa Mungu Mtakatifu, na kwa Mwanae ziwe sifa, utukufu na heshima, sifa
kwa karne zOte za PendO Ia miIeIe. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na viwete ,
watOtO wanaOmba sana na wafu unawarudishia uhai.
17
SIKU YA KUMI NA MBILI (Siku ya tatu ya shukfani)
Kwa jina Ia Baba,na Ia Mwana, na Ia ROhO Mtakatifu. Amina
mwa mOyO wangu nakutOIea shukurani zangu za daima kwa fadhiIa uIizOnijaIia
kwa maOmbezi ya mtumishi wakO uIiyemchagia, Mt Rita. POkea ,Ee Bwana Yesu,
shukurani zangu za dhati, zitOkazO kama harufu nzuri ya sadaka. POkea kupitia
mikOnO ya Mt
Rita. Ee Yesu mpenzi, nisaidie iIi daima niwe machO kupOkea ukarimu wakO, wema
wakO na huruma yakO
Kwa njia ya Mtakatifu Rita; hOma, madOnda na tauni, viini vya maradhi
mbaIimbaIi, mapepO na ghadhabu vitOweke. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na
viwete: watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
Kwa maOmbezi yakO: radi, tetemekO Ia ardhi na mOtO havina nguvu, kwa
utakatifu wakO mitegO yOte, hatari kubwa na vitishO vyOte hutOweka. Unawasaidia
vipOfu, viziwi, bubu na viwete ; watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa
uhai.
1>
Hispani wanakutangaza kuwa Mtakatifu wa mambO yaIiyOshindikana. Watu
wengi wanaimba sifa zakO. Kashia hutukuza jina IakO ; Unawasaidia vipOfu viwete
bubu na viziwi, watOtO wanaOmba sana na wafu wanarudishiwa uhai.
Kwa Mungu Mtakatifu, na kwa Mwanae ziwe sifa, utukufu na heshima, sifa
kwa karne zOte za PendO Ia miIeIe. Unawasaidia vipOfu, viziwi, bubu na viwete ,
watOtO wanaOmba sana na wafu unawarudishia uhai.
TuOmbe;
19
IOZDEOD LVD MZ XOZD VD LDSNOD
Bwana Utuhurukie, KristO Utuhurumie, Bwana Utuhurumie,
KiitikiO ”Utuhufumie”
Baba wa Mbinguni, Mungu,
Mt Rita, KieIeIezO cha usafi wa mOyO: Mt Rita, kieIeIezO cha upOIe wOte:
Mt Rita, kieIeIezO cha mke mwema:
Mt Rita, kieIeIezO bOra cha mama mtaratibu: Mt Rita, kieIeIezO cha msamaha wa
kweIi: Mt Rita, kieIeIezO hai cha kujikataIia:
Mt Rita, kiOO cha maisha ya kitawa: Mt Rita, kiOO cha utii;
Mt Rita, mvumiIivu wa kustajabiwa; Mt Rita, shujaa wa kujitOa sadaka;
Mt Rita, shahidi katika kufanya tOba; Mt Rita, mjane mtakatifu;
Mt Rita, mkarimu kwa masikini;
80
Mt Rita, mwenye nguvu za utakatifu;
Mt Rita, msamaha wa wanaOpata mahangaikO; Mt Rita, mfariji wa wanaOteseka;
Mt Rita, nanga ya wOkOvu;
Mt Rita, mwOmbezi wa wagOnjwa;
Mt Rita, mwOmbezi wa mambO yaIiyOshindikana; Mt Rita, kimbiIiO Ia waIiO hatarini;
Mt Rita, msaada wenye nguvu kwa wOte; Mt Rita, mastaajabiO ya uIimwengu;
Mt Rita, uIiyepOkewa mbinguni kwa furaha;
MwanakOndOO wa Mungu uOndOae dhambi za dunia, ”Utusamehe Bwana”
MwanakOndOO wa Mungu uOndOae dhambi za dunia, ”UtusikiIize Bwana”
MwanakOndOO wa Mungu uOndOae dhambi za dunia ”Utuhurumie”
TuOmbe:
KiIa baada ya kusaIi nOVena ya siku, tunasaIi Iitania hii kWa siku ZOte 12
84