Professional Documents
Culture Documents
MAJUKUMU YA VIONGOZI
MAJUKUMU YA VIONGOZI
Mwenyekiti
Ni kiongozimwangaliziwashughulizote za kikundi
Kuongozavikaovidogovidogonavikaokikuuvyakikundi .
Kufunganakufunguavikao
Katibu :
Ni mratibu au mtendajimkuuwashughulizote za kikundi
Mwandishiwamitasarikwenyevikaovyotevyakikundi
Ni mtunzanyaraka au kumbukumbuza vikaovyotevyakikundi.
Mhasibu :
Mtunzakumbukumbu za fedha za kikundi
Msimamizinamkusanyajiwapesa za kikundi.
Wajumbe :
Hawaniwashilikiwotewakikundiwasioviongozikwenyekikundi
Watashilikiananaviongozikwenyeshughulizote za kikundipamoja
Kupokeafedha
Fedha za kikundiitatunzwanakuhifadhiwakwenyebankichiniyaviongozi
Wawekasahihiwawatakuwaniwafuatao
S/N JINA JINSIA CHEO
1.
2.
3.
Fedhayakikundizitachukuliwakwawajumbewawilikatiyahaohapojuu
SURA YA TATU
A. Hikinawajibuwawanakikundi
Kila mwanakikundianahakiyakuchaguliwanakuchaguakuwakiongozi
Kujuanakufahamumaendeleoyakikundi
Kutiikatibayakikundinakufuatamaelekezoyaviongoziwakikundi
Kila mwanachamaanatakiwakuheshimiwakwamawazoyakenaushauri wake
kwakikundi
Kuhudhuliavikaovyotevyakikundibilakukosa .
SURA YA NNE
A. SHERIA NA ADHABU ZA KIKUNDI.
Sharia nakanunikwamwanachama /mwanakikundi
Mwanakikundi
/mwanachamaatatakiwakuchangiakiasikilichopangwakwenyekikundiambachoni
5000/= kwakilawiki
Mwanachamaatatakiwakuhudhuliakatikakilasikuhusikayaijumaakwakila wiki
Mwanachama /mwanakikundiatasitahilikupewahudumazotekulingananataratibu za
kikundinamwongozowakikundi
Mwanakikundi /mwanachamaantakiwakuchangiamichangoyote
iliyopitishwanakikundikwaujumla
B: Adhabukwamwanachama /mwanakikundi
Mwanachama / mwanakikundiakichelewakufikiakwenyekikao au
sikutunakutanaatatkiwakulipafainiyashilingi 5000/= kwakosahilo
C:UKOMO WA MWANACHAMA /MWANAKIKUNDI
Mwanacham /mwanakikundiatakuwaamepotezasifa za kuwamwanachama
/mwanakikundiambapoatakuwa:
………………….. ……………………..
MWENYEKITI, KATIBU.
IMETHIBITISHWA NA
…………………………
HAKIMU.