Kiswahili Drs III - Vi Draft

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 76

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

MUHTASARI WA SOMO LA KISWAHILI


ELIMU YA MSINGI DARASA LA III–VI
2023

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 1 26/07/2023 19:03


© Taasisi ya Elimu Tanzania, 2023
Toleo la Kwanza, 2023

Taasisi ya Elimu Tanzania


S.L.P. 35094
Dar es Salaam, Tanzania

Simu: +255 735 041 168 / +255 735 041 170


Baruapepe: director.general@tie.go.tz
Tovuti: www.tie.go.tz

Muhtasari huu urejelewe kama: Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. (2023). Muhtasari wa Somo la Kiswahili Elimu
ya Msingi Darasa la III–VI. Taasisi ya Elimu Tanzania.

Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kunakili, kurudufu, kuchapisha, kutafsiri wala kutoa muhtasari huu au sehemu yake
kwa namna yoyote ile bila idhini ya maandishi kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania.

ii

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 2 26/07/2023 19:03


Yaliyomo
Orodha ya Majedwali..................................................................................................................................................... iv
Vifupisho ...................................................................................................................................................................... v
Shukurani ..................................................................................................................................................................... vi
1.0 Utangulizi ..................................................................................................................................................... 1
2.0 Malengo Makuu ya Elimu Tanzania ............................................................................................................. 1
3.0 Malengo ya Elimu ya Msingi Darasa la III–VI ............................................................................................ 2
4.0 Umahiri wa Jumla wa Elimu ya Msingi Darasa la III–VI ............................................................................ 3
5.0 Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi........................................................................................................... 3
6.0 Majukumu ya Mwalimu, Mwanafunzi na Mzazi/Mlezi katika Ufundishaji na Ujifunzaji .......................... 4
6.1 Mwalimu ............................................................................................................................................... 5
6.2 Mwanafunzi ........................................................................................................................................... 6
6.3 Mzazi/ Mlezi .......................................................................................................................................... 6
7.0 Mbinu za Ufundishaji na Ujifunzaji ............................................................................................................. 7
8.0 Zana za Ufundishaji na Ujifunzaji ................................................................................................................ 7
9.0 Upimaji ......................................................................................................................................................... 7
10.0 Idadi ya Vipindi ............................................................................................................................................ 8
11.0 Maudhui ya Ufundishaji na Ujifunzaji ......................................................................................................... 8
.................................................................................................................................................................. 70

iii

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 3 26/07/2023 19:03


Orodha ya Majedwali

Jedwali Na. 1: Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi ........................................................................................................4

Jedwali Na. 2: Maudhui ya Darasa la III ...........................................................................................................................9

Jedwali Na. 3: Maudhui ya Darasa la IV .........................................................................................................................26

Jedwali Na. 4: Maudhui ya Darasa la V...........................................................................................................................42

Jedwali Na. 5: Maudhui ya Darasa la VI .........................................................................................................................58

iv

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 4 26/07/2023 19:03


Vifupisho
TEHAMA Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

TET Taasisi ya Elimu Tanzania

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 5 26/07/2023 19:03


Shukurani

Maandalizi ya Muhtasari wa Somo la Kiswahili Elimu ya Msingi Darasa la III–VI yamehusisha wataalamu mbalimbali kutoka
taasisi za serikali na zisizo za serikali. Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inatambua na kuthamini michango ya washiriki wote
waliofanikisha uandaaji wa muhtasari huu. Aidha, TET inatoa shukurani za pekee kwa wahadhiri, wakufunzi, wathibiti ubora
wa shule, walimu, pamoja na wakuza mitaala wa TET. Vilevile, TET inaishukuru kwa dhati Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu
ya Kusimamia Kazi ya Maboresho ya Mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Ualimu iliyoteuliwa na Waziri wa
Elimu, Sayansi na Teknolojia. Kamati hii ilifanya kazi kwa weledi na kuhakikisha kuwa maudhui ya muhtasari huu yanalenga
kuwaandaa wahitimu wenye maarifa, ujuzi na mwelekeo utakaowawezesha kujiajiri, kuajiriwa na kumudu maisha yao ya kila
siku, ambalo ndilo lengo kuu la uboreshaji wa Mitaala ya Mwaka 2023.

Mwisho, TET inatoa shukurani za pekee kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kuwezesha uandaaji na usambazaji
wa muhtasari huu.

Dkt. Aneth A. Komba

Mkurugenzi Mkuu

Taasisi ya Elimu Tanzania

vi

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 6 26/07/2023 19:03


1.0 Utangulizi
Somo la Kiswahili ni somo la lazima katika ngazi ya Elimu ya Msingi kuanzia Darasa la III–VI ambapo ni mwendelezo
wa hatua ya kwanza ya elimu ya msingi Darasa la I na la II. Lengo la kufundisha somo hili ni kukuza stadi za kusikiliza,
kuzungumza, kusoma na kuandika kwa Kiswahili. Mwanafunzi ataweza kutamka sauti mbalimbali katika silabi, maneno,
sentensi na habari. Vilevile, mwanafunzi ataweza kujenga hoja kwa kuzungumza na kwa kuandika pamoja na kujibu
hoja katika miktadha mbalimbali.

Muhtasari huu umeandaliwa kwa lengo la kumwongoza mwalimu katika ufundishaji na ujifunzaji wa somo la Kiswahili,
Darasa la III–VI Tanzania Bara. Muhtasari huu umetafsiri Mtaala wa Elimu ya Msingi wa Mwaka 2023. Aidha, muhtasari
utamwezesha mwalimu kupanga shughuli za ufundishaji na ujifunzaji kwa kumjengea mwanafunzi stadi za udadisi,
ubunifu, ushirikiano, mawasiliano na utatuzi wa changamoto katika mazingira yake.

2.0 Malengo Makuu ya Elimu Tanzania


Malengo makuu ya elimu nchini Tanzania ni kumwezesha kila Mtanzania:
(a) Kukuza na kuboresha haiba yake ili aweze kujithamini na kujiamini;
(b) Kuheshimu utamaduni, mila na desturi za Kitanzania, tofauti za kitamaduni, utu, haki za binadamu, mitazamo
na matendo jumuishi;
(c)
na mtazamo chanya katika maendeleo yake binafsi na maendeleo endelevu ya taifa na dunia kwa ujumla;

(d) Kuelewa na kulinda tunu za taifa ikiwa ni pamoja na utu, uzalendo, uadilifu, umoja, uwazi, uaminifu,
uwajibikaji na lugha ya taifa;

(e) Kujenga stadi za maisha na stadi za kazi ili kuongeza ufanisi katika maisha ya kila siku;
(f) Kukuza tabia ya kupenda na kuheshimu kazi ili kuongeza tija na ufanisi katika uzalishaji na utoaji wa huduma;

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 1 26/07/2023 19:03


(g) Kutambua na kuzingatia masuala mtambuka ambayo ni pamoja na afya na ustawi wa watu (jamii), usawa wa
kijinsia, usimamizi na utunzaji endelevu wa mazingira; na
(h) Kukuza ushirikiano wa kitaifa na kimataifa, amani na haki kwa kuzingatia katiba ya nchi na mikataba ya
kimataifa.

3.0 Malengo ya Elimu ya Msingi Darasa la III–VI


Malengo ya Elimu ya Msingi Darasa III–VI ni kumwezesha mwanafunzi:

(a) Kukuza stadi za kusoma, kuandika, kuhesabu na kuwasiliana kwa lugha fasaha, Lugha ya Alama ya Tanzania
(LAT) na lugha mguso;

(b) Kuifahamu, kuitumia na kuithamini lugha ya Kiswahili, Kiingereza na angalau lugha nyingine moja ya kigeni;

(c) Kuthamini na kudumisha utamaduni wa Mtanzania, umoja wa kitaifa na kutambua tamaduni nyingine;

(d)

(e) Kukuza maadili, uadilifu na kuheshimu tofauti za imani;

(f) Kubaini na kukuza vipaji, vipawa, stadi za kazi, michezo na sanaa;

(g) Kukuza tabia ya kuthamini na kupenda kufanya kazi;

(h) Kutambua na kutumia sayansi na teknolojia katika kujifunza na maisha ya kila siku;

(i) Kukuza maarifa, ujuzi na mwelekeo wa kutunza mazingira, kuheshimu usawa wa kijinsia na masuala mengine
mtambuka; na

(j) Kukuza uwezo wa kuchangamana katika mazingira jumuishi.

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 2 26/07/2023 19:03


4.0 Umahiri wa Jumla wa Elimu ya Msingi Darasa la III–VI
Umahiri wa jumla wa Elimu ya Msingi Darasa la III–VI ni:

(a) Kutumia stadi za kusoma, kuandika, kuhesabu na kuwasiliana kwa lugha fasaha, Lugha ya Alama ya Tanzania
(LAT) na lugha mguso;

(b) Kutumia na kuithamini lugha ya Kiswahili, Kiingereza na angalau lugha nyingine moja ya kigeni;

(c) Kuonesha, kuthamini na kuheshimu utamaduni wa Mtanzania, umoja wa kitaifa na kutambua tamaduni
nyingine;

(d)

(e) Kuonesha uadilifu na kuheshimu tofauti za imani;

(f) Kutumia vipaji, vipawa, stadi za kazi, michezo na sanaa katika miktadha mbalimbali;

(g) Kuthamini na kupenda kufanya kazi;

(h) Kutumia sayansi na teknolojia katika kujifunza na maisha ya kila siku;

(i) Kutunza mazingira, kuheshimu usawa wa kijinsia na masuala mengine mtambuka; na

(j) Kuchangamana katika mazingira jumuishi.

5.0 Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi


Umahiri mkuu na umahiri mahususi unaotarajiwa kujengwa kwa Darasa la III–VI umebainishwa katika Jedwali Na. 1.

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 3 26/07/2023 19:03


Jedwali Na. 1: Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi wa Darasa la III–VI

Umahiri mkuu Umahiri mahususi

1.0 Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali 1.1 Kutambua matamshi ya sauti mbalimbali katika silabi,
maneno, sentensi na habari

1.2 Kuendeleza mazungumzo katika miktadha mbalimbali

1.3 Kutumia maandishi katika mawasiliano kulingana na miktadha


mbalimbali

2.0 Kuonesha uelewa wa jambo alilolisikiliza au 2.1 Kuonesha stadi za kusikiliza na kuelewa
kulisoma
2.2 Kusoma matini kwa ufasaha na ufahamu
3.0 Kuwasilisha hoja kwa mazungumzo na kwa 3.1 Kuwasilisha hoja kwa njia ya mazungumzo katika miktadha
mbalimbali
maandishi kulingana na muktadha
3.2 Kuandika matini mbalimbali

3.3 Kuchanganua mawazo yaliyowasilishwa katika matini


mbalimbali

3.4 Kuonesha stadi za awali za ubunifu wa kazi mbalimbali za


Kiswahili

6.0 Majukumu ya Mwalimu, Mwanafunzi na Mzazi/Mlezi katika Ufundishaji na Ujifunzaji


Ufundishaji na ujifunzaji unategemea ushirikiano madhubuti baina ya mwalimu, mwanafunzi na mzazi/mlezi katika
kutekeleza majukumu mbalimbali. Majukumu hayo ni kama yafuatayo:

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 4 26/07/2023 19:03


6.1 Mwalimu
Mwalimu anatarajiwa:
(a) Kumwezesha mwanafunzi kujifunza na kupata umahiri uliokusudiwa katika somo la Kiswahili;

(b) Kutumia mbinu za kufundishia na kujifunzia kwa kuzingatia umri, mahitaji anuai na uwezo wa mwanafunzi
ili kumwezesha:
(i) Kujenga umahiri unaohitajika katika Karne ya 21; na
(ii) Kushiriki kikamilifu katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji.

(c) Kutumia mbinu shirikishi zinazomfanya mwanafunzi kuwa kitovu cha ujifunzaji zikiwemo zile zinazomwezesha
Mbinu za kufundishia
na kujifunzia zinazopendekezwa ni pamoja
kazimradi zinazolenga kutatua matatizo halisi katika mazingira ya mwanafunzi. Aidha, mwalimu anahimizwa
kutumia njia nyingine kama hizo kulingana na muktadha ili kufanikisha ujenzi wa umahiri uliokusudiwa;

(d)

(e) Kutengeneza au kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia;

(f) Kufanya upimaji endelevu mara kwa mara kwa kutumia zana na mbinu za upimaji na tathmini zinazopima
nadharia na vitendo zikiwemo bunguabongo, orodhahakiki, majaribio, dodoso, maswali ya ana kwa ana, mazoezi,
kazi kwa vitendo (kazi binafsi na kazi za vikundi), kazimradi na mkoba wa kazi. Zana na mbinu nyingine ni
majaribio kwa vitendo, uwasilishaji, mitihani ya muhula na mtihani wa mwisho;

(g) Kuhakikisha kuwa ufundishaji na ujifunzaji unafanyika kwa haki na usawa kwa kila mwanafunzi bila kujali
tofauti zao;

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 5 26/07/2023 19:03


(h) Kumlinda mwanafunzi awapo shuleni;
(i) Kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi ya kila siku;
(j) Kubaini mahitaji ya mwanafunzi na kutoa afua stahiki;
(k) Kushirikisha wazazi/walezi na jamii katika hatua mbalimbali za ujifunzaji wa mwanafunzi; na

(l) Kuchopeka masuala mtambuka na TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji.

6.2 Mwanafunzi
Mwanafunzi anatarajiwa:
(a) Kuwa mtendaji mkuu katika mchakato wote wa ujifunzaji;
(b) Kushiriki katika shughuli mbalimbali za ujifunzaji ndani na nje ya darasa ili kupata umahiri unaokusudiwa; na
(c) Kushiriki katika kutafuta maarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali ikiwemo vitabu vya kiada, ziada na
machapisho mengine kutoka katika maktaba mtandao.

6.3 Mzazi/Mlezi
Mzazi/ Mlezi anatarajiwa:
(a) Kusimamia na kufuatilia maendeleo ya mtoto katika ujifunzaji;
(b) Kumsimamia mtoto kutekeleza kazi zake za kitaaluma pale inapowezekana;
(c)
(d) Kufuatilia mwenendo wa tabia ya mtoto;
(e) Kumpatia mtoto vifaa vyote vinavyohitajika katika ujifunzaji;
(f) Kuhakikisha mtoto anapata mahitaji muhimu; na
(g) Kumfundisha mtoto umuhimu na thamani ya elimu na kazi pamoja na kumuhimiza kujifunza kwa bidii.

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 6 26/07/2023 19:03


7.0 Mbinu za Ufundishaji na Ujifunzaji
Mbinu za ufundishaji na ujifunzaji ni msingi katika kujenga umahiri kwa mwanafunzi. Muhtasari huu unapendekeza
mbinu za ufundishaji na ujifunzaji kwa kila shughuli. Miongoni mwa mbinu hizo ni ziara za kimasomo, kazimradi na
kazi za vitendo. Hata hivyo, mwalimu anashauriwa kutumia mbinu nyingine kama hizo kulingana na muktadha wa
ufundishaji na ujifunzaji.

8.0 Zana za Ufundishaji na Ujifunzaji


Mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji unahitaji zana mbalimbali ili kujenga umahiri uliokusudiwa. Hivyo, mwalimu
na mwanafunzi wanapaswa kushirikiana katika kuandaa au kufaragua zana mbadala zinazopatikana katika mazingira ya
shuleni na nyumbani pindi zinapohitajika. Mwalimu na mwanafunzi wanapaswa kutafuta taarifa kutoka katika vyanzo
mbalimbali ili kuleta ufanisi katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji. Orodha ya vitabu vilivyoidhinishwa kutumika
kwa ajili ya rejea vitatolewa na TET.

9.0 Upimaji
Upimaji ni suala muhimu katika mchakato wa ujifunzaji na ufundishaji ili kuwezesha ujenzi wa umahiri unaokusudiwa.
Upimaji wa Somo la Kiswahili utajumuisha upimaji endelevu na upimaji tamati. Upimaji endelevu utazingatia vigezo
vya upimaji vilivyoainishwa katika kila shughuli ya ujifunzaji na utamwezesha mwalimu kubaini uwezo na uhitaji wa
mwanafunzi katika ujifunzaji. Vilevile, utalenga kupima mabadiliko katika maarifa, stadi na mwelekeo wa kutenda,
kuthamini, kusimulia na kutumia stadi anazojifunza katika mazingira yanayomzunguka. Aidha, mwalimu atatumia taarifa

kutumika wakati wa ufundishaji na ujifunzaji ni bunguabongo, orodhahakiki, mazoezi ya darasani, majaribio, majaribio
kwa vitendo, dodoso, maswali ya ana kwa ana, mazoezi, kazi kwa vitendo (kazi binafsi na kazi za vikundi), kazimradi,
mkoba wa kazi na zana nyingine kama hizo.

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 7 26/07/2023 19:03


Upimaji tamati utahusisha mitihani ya wiki, mwezi, muhula na mtihani wa mwisho wa mwaka ambayo itatumika
kupima maendeleo ya ujifunzaji wa mwanafunzi. Taarifa za upimaji huu pamoja na kutumika kutathimini maendeleo
ya mwanafunzi, zitatumika kutoa mrejesho wa kuwezesha ufundishaji na ujifunzaji. Aidha, kutakuwa na Upimaji wa
Kitaifa wa Darasa la Sita ambao utachangia alama 7.5% katika mtihani wa Kidato cha Nne.

10.0 Idadi ya Vipindi


Muhtasari wa Somo la Kiswahili Elimu ya Msingi Darasa la III–VI unatoa makadirio ya muda utakaotumika katika
ufundishaji na ujifunzaji kwa kuzingatia uzito wa umahiri mahususi na shughuli za kutendwa na mwanafunzi. Makadirio
haya ya muda yamewekwa kwa mfumo wa vipindi, ambapo kila kipindi ni dakika 40. Idadi ya vipindi kwa somo hili
ni vitano (5) kwa wiki kwa Darasa la III–VI.

11.0 Maudhui ya Ufundishaji na Ujifunzaji


Maudhui ya muhtasari yamepangiliwa katika jedwali lenye vipengele saba ambavyo ni; umahiri mkuu, umahiri mahususi,
shughuli za ujifunzaji, mbinu pendekezwa za ufundishaji na ujifunzaji, vigezo vya upimaji, zana pendekezwa za ufundishaji
na ujifunzaji pamoja na idadi ya vipindi kama inavyooneshwa katika Jedwali Na. 2–5.

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 8 26/07/2023 19:03


Darasa la III
Jedwali Na. 2: Maudhui ya Darasa la III
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
1.0 Kuwasiliana 1.1 Kutambua (a) Kutamka Oneshombinu: Sauti za 21
katika matamshi sauti za Waongoze wanafunzi mwambatano,
ya sauti matini zenye
miktadha
mbalimbali mwambatano ngw, ndw, mwambatano vifungu vya habari
mbalimbali katika mwambatano njw, mbw na nzw kwa ngw, ndw, vyenye sauti za
silabi, ngw, ndw, kufuatisha unavyotamka njw, mbw
maneno, njw, mbw na au waoneshe wanafunzi na nzw ngw, ndw, njw,
video ya utamkaji
sentensi na nzw zimetamkwa mbw na nzw na
habari
mwambatano tajwa kisha kwa usahihi video zenye sauti za
waongoze kutamka sauti
ngw, ndw, njw,
mbw na nzw
Maswali na majibu:
Waongoze wanafunzi
kujibu maswali ambayo
yana majibu yenye sauti

ngw, ndw, njw, mbw na


nzw

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 9 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji na ujifunzaji upimaji ufundishaji ya
zinazopendekezwa na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa
Uchambuzi wa matini:
Waongoze wanafunzi
kusoma matini zenye sauti
ngw,
ndw, njw, mbw na nzw, kisha

Mchezo: Tumia kadi


za maneno/vyumba vya
kuchora chini kuwaongoza
wanafunzi kutamka sauti za
ngw,
ndw, njw, mbw na nzw. Kwa

mwambatano moja
(b) Kutamka Igizodhima:
sauti Waongoze wanafunzi mwambatano
mwambatano kuigiza utendaji wa shughuli katika silabi,
mbalimbali, ambapo ndani maneno,
katika silabi, sentensi
maneno, yake watatumia sauti za na habari
sentensi na zimetamkwa
habari kwa usahihi

10

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 10 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

Kitanza ndimi:
Waongoze wanafunzi
kusoma sentensi zenye
maneno yenye sauti za

zinazofuatana
1.2 Kuendeleza (a) Kutumia Igizodhima: Msamiati Kamusi ya 22
mazungumzo msamiati Waongoze wanafunzi unaohusiana vitendawili,
unaohusiana kuigiza shughuli za kila na maisha
katika methali, nahau
na maisha siku katika miktadha ya kila siku
miktadha tofautitofauti kwa kutumia na visawe na
ya kila umetumika
mbalimbali siku katika msamiati mwafaka na kwa katika kinyonyi chenye
kuanzisha na kujiamini kuanzisha na mazungumzo
kuendeleza kuendeleza
Mchezo wa maneno:
mazungumzo mazungumzo
Waongoze wanafunzi
kwa katika
kuunda maneno kwa
kujiamini miktadha
katika mbalimbali
neno linalohusiana na
miktadha kwa kujiamini
maisha ya kila siku
mbalimbali

11

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 11 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kubaini Hadithi: Waongoze Maneno yenye


maneno wanafunzi kubainisha maana sawa
maneno yenye maana na kinyume
yenye maana
sawa na vinyume kutoka yamebainishwa
sawa na kwenye mazungumzo kwa usahihi
kinyume katika
katika Ziara: Waongoze mazungumzo
mazungumzo wanafunzi kufanya
ziara ili kubaini majina
ya vitu vyenye maana
sawa na vinyume
vya maneno, kisha
kuwasilisha

12

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 12 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(c) Kuelezea vitu Uchunguzi: Waongoze Vitu


vilivyomo wanafunzi kuchunguza vilivyomo
vitu vilivyomo kwenye kwenye
kwenye
mazingira yao, kisha mazingira
mazingira wabainishe umoja na wingi vimeelezewa
katika umoja wa vitu hivyo kwa usahihi
na wingi Oneshombinu: katika umoja
Waongoze wanafunzi na wingi
kubainisha umoja na
wingi wa vitu mbalimbali
utakavyowaonesha

(d) Kuuliza Majadiliano: Waongoze Maswali


na kujibu wanafunzi kujadiliana yameulizwa na
mada yoyote fulani, kisha
maswali kujibiwa kwa
waulizane maswali
ufasaha
Mkufu:
Waongoze wanafunzi
kuulizana maswali na
kujibu kwa mfuatano wa
kimkufu

13

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 13 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(e) Kubadili Masimulizi: Kiimbo


kiimbo Waongoze wanafunzi kimebadilishwa
kulingana kusimulia matukio kulingana na hisia
na hisia au mbalimbali ili kubadili au muktadha wa
muktadha wa mazungumzo
kiimbo na kuonesha hisia
mazungumzo kwa usahihi
tofautitofauti

(f) Kuanzisha Uchunguzi: Vitendawili,


na kumalizia Waongoze wanafunzi methali
vitendawili, kwa kutumia picha/vitu na nahau
methali na halisi kutega na kutegua vimeanzishwa
nahau katika vitendawili, kuanzisha na kumaliziwa
mazungumzo na kumalizia methali na kwa usahihi
kueleza maana ya nahau katika
na methali mazungumzo

14

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 14 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

Mchezo: Waongoze
wanafunzi katika
timu mbili kutega na
kutegua vitendawili,
kuanzisha na
kumalizia methali na
kueleza maana ya
nahau
1.3 Kutumia (a) Kuandika Imla: Kifungu Kadi za alama za 22
maandishi kifungu cha Wasomee wanafunzi cha habari
kifungu cha habari kimeandikwa
katika habari kwa cha habari chenye
ulichokiandaa na kwa kutumia
mawasiliano kutumia alama alama za viunganishi vya
wakiandike kwa
kulingana ushikamani na vitu
kutumia alama za
na miktadha nukta (.), kwa usahihi: halisi
mbalimbali mshangao (!), nukta (.),
mshangao (!), kiulizo
mshangao (!),
kiulizo (?) na (?) na mkato (,)
kiulizo (?) na
mkato (,) mkato (,)

15

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 15 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kuandika Majadiliano: Kifungu


kifungu cha Waongoze wanafunzi cha habari
habari kwa kusoma matini, kisha
kimeandikwa
kutumia wabainishe na kujadili
viunganishi maneno yanayofanya kwa kutumia
vya kazi ya kuonesha viunganishi vya
ushikamani uhusiano au muungano ushikamani
baina ya sentensi na
sentensi au vifungu vya
maneno (kifungu cha
maneno na kifungu cha
maneno)
(c) Kutumia Majadiliano: Alama za
alama za Waongoze wanafunzi
kujadiliana umuhimu zimetumika kwa
na matumizi sahihi ya
kwa usahihi usahihi wakati wa
wakati wa kuandika imla
kisha waandike imla
kuandika imla kwa kuzingatia alama
hizo

16

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 16 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

Masimulizi:
Waongoze wanafunzi
kusikiliza masimulizi
yaliyorekodiwa, kisha
waandike walichokisikia
kwa kuzingatia alama za

(d) Kutumia Oneshombinu: Waoneshe Vihusishi


vihusishi wanafunzi vitu halisi au (nyuma ya,
(nyuma ya, picha ulizoziandaa, kisha mbele ya, juu
mbele ya, juu waongoze kubainisha ya, kando
ya, kando mahali vitu vilipo kwa ya, chini ya,
ya, chini ya, kuzingatia vihusishi katikati ya na
katikati ya na vilivyobainishwa pembeni ya)
pembeni ya) vimetumika
katika uandishi katika uandishi
kwa usahihi

17

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 17 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

2.0 Kuonesha 2.1 Kuonesha (a) Kusikiliza Masimulizi: Mazungumzo Kinyonyi chenye 22
uelewa stadi za mazungumzo Waongoze kwa mazungumzo na
wa jambo kusikiliza kwa kuzingatia wanafunzi kuzingatia kamusi
kusimuliana
alilolisikiliza na mambo ya mambo ya
hadithi au
au kulisoma kuelewa msingi katika msingi katika
habari, kisha
miktadha wajibu maswali miktadha
mbalimbali kwa kuzingatia mbalimbali
mambo ya msingi yamesikilizwa
katika miktadha
mbalimbali
(b) Kutumia Oneshombinu: Maneno
maneno Waoneshe aliyoyasikia
wanafunzi picha katika
aliyoyasikia
au vitu halisi,
katika miktadha
kisha waongoze
mingine ya
miktadha kutumia maneno
yanayoendana mazungumzo
mingine ya
na vitu hivyo yametumika
mazungumzo kulingana na kwa usahihi
muktadha

18

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 18 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(c) Kutumia kamusi Hadithi: Andaa hadithi Kamusi


kupata maana ya inayoonesha kazi ya imetumika
msamiati mpya kamusi kupata maana
uliojitokeza Kazimradi: Wape ya msamiati
katika matini wanafunzi maneno mpya
fupi sahili kadhaa kutokana na uliojitokeza
matini fupi sahili, kisha katika matini
watafute fasili kwenye fupi sahili
kamusi
(d) Kujibu kwa Midia: Maswali
usahihi maswali Waongoze wanafunzi yanayotokana
kusikiliza habari iliyopo
yanayotokana na katika matini kwenye na matini
matini redio, kisha waulize yamejibiwa
maswali kuhusiana na kwa usahihi
matini hiyo
Majadiliano: Waongoze
wanafunzi kujadiliana
kwa kutumia matini
umuhimu wa elimu, kisha
waulize maswali

19

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 19 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

2.2 Kusoma (a) Kusoma Oneshombinu: Soma Matini fupi Matini fupi 22
matini matini fupi matini fupi na rahisi kwa na sahili sahili, saa na
na sahili kwa kasi mwafaka kulingana zimesomwa kinyonyi chenye
kwa
kasi mwafaka na umri wa wanafunzi kwa kasi mazungumzo
ufasaha na na matamshi wako, matamshi sahihi, mwafaka na yanayoonesha
ufahamu sahihi kiimbo na alama za matamshi sahihi kiimbo

kisha waongoze wao


kusoma

(b) Kusoma Uchunguzi: Waongoze Sentensi


sentensi kwa wanafunzi kubaini zimesomwa
kuzingatia sentensi zenye mipando kwa kuzingatia
tofauti ya sauti kwa kupanda na
kupanda na
kutumia vifaa vya kushuka kwa
kushuka kwa
TEHAMA, kisha mawimbi ya
mawimbi ya waongoze kurudia sauti kwa
sauti kutamka sentensi hizo ili ufasaha
kuonesha viimbo tofauti

20

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 20 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

Maswali na Majibu:
Waongoze wanafunzi
kutunga sentensi,
kisha wazisome kwa
sauti kwa kuzingatia
kupanda na kushuka
kwa mawimbi ya sauti

(c) Kueleza Maswali na majibu: Ujumbe mkuu


ujumbe mkuu Waongoze wanafunzi uliomo katika
uliomo katika kusoma matini fupi, matini fupi
matini fupi kisha waulize maswali iliyosomwa
aliyoisoma kuhusu ujumbe mkuu umeelezwa kwa
kutokana na matini ufasaha

21

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 21 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzajiza ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
3.0 Kuwasilisha 3.1 Kuandika (a) Kuandika sentensi Mchezo: Sentensi Kadi za sentensi, 22
hoja kwa matini mbalimbali kwa Andaa sentensi, mbalimbali picha za matukio na
mazungumzo kisha kata sentensi zimeandikwa
mbalimbali usahihi matini mbalimbali
hizo katika
na kwa kwa usahihi
maneno na kadi
maandishi hizo za maneno
kulingana na zichanganye.
muktadha Waongoze
wanafunzi kuunda
sentensi na
kuziandika kwa
kutumia maneno
hayo yaliyoandikwa
kwenye kadi
(b) Kupanga Maswali na Sentensi
katika mtiririko majibu: zilizochanganywa
Andaa sentensi
sahihi sentensi zenye mpangilio wa zimepangwa
zilizochanganywa maneno usio sahihi, katika mtiririko
kisha waongoze sahihi
wanafunzi kuandika
sentensi hizo kwa
usahihi

22

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 22 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

Ziara:
Waongoze wanafunzi
kutembelea shule ya jirani,
kisha wasimulie ziara yao
hatua kwa hatua. Ziandike
hatua hizo kwa kutumia
sentensi kamili, kisha
zichanganye sentensi hizo
na kuwataka wanafunzi
kuzipanga kwa mfuatano
wa kimantiki
(c) Kuandika Majadiliano: Waongoze Matini fupi
matini fupi wanafunzi kujadili kuhusu imeandikwa
mpangilio sahihi wa kwa usahihi
kwa kuzingatia
maneno na umuhimu wa kwa kuzingatia
mpangilio sahihi mpangilio sahihi
wa maneno uandishi wa matini fupi, wa maneno
na alama za kisha waandike matini fupi na alama za
kwa kuzingatia mambo
hayo

23

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 23 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri mahususi Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

3.2 Kuchanganua (a) Kubainisha Kazimradi: Msamiati Matini fupi sahili 22


mawazo msamiati Waongoze wanafunzi uliojitokeza na kamusi
kusoma matini fupi
yaliyowasilishwa uliojitokeza katika matini
sahili na kusikiliza
katika matini katika matini fupi sahili
habari kwenye
mbalimbali fupi sahili televisheni, redio umebainishwa
au simu, kisha
wabainishe msamiati
uliomo pamoja na
fasili zake

Hadithi:
Waongoze
wanafunzi kusoma
au kusikiliza hadithi,
kisha wataje maneno
mapya na watafute
maana zake katika
kamusi

24

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 24 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kuchambua Changanyakete: Mawazo makuu


mawazo Gawa matini tofauti yaliyojitokeza
katika vikundi,
makuu waongoze wanafunzi katika matini
yanayojitokeza kusoma na kuandika fupi sahili
katika matini ujumbe wa matini yamechambuliwa
hizo, kisha kila kikundi
fupi sahili kwa ufanisi
kihakikishe kinasoma
kazi zote na kueleza
masuala muhimu
yaliyomo kwenye
matini husika
3.3 Kuonesha (a) Kusimulia Masimulizi: Waongoze Hadithi Michoro, hadithi 22
stadi za hadithi fupi wanafunzi kusimuliana fupi sahili fupi sahili,
awali za sahili hadithi, kisha chagua zimesimuliwa vielelezo na picha
ubunifu wanafunzi wachache kwa usahihi zinazoonesha
wa kazi
wasimulie hadithi zao mfuatano wa
mbalimbali
mbele ya darasa matukio
za Kiswahili

25

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 25 26/07/2023 19:03


Darasa la 1V
Jedwali Na. 3: Maudhui ya Darasa la IV

Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi


mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

1.0 Kuwasiliana 1.1 Kuendeleza (a) Kulinganisha Oneshombinu: Vitu Orodha ya nahau na 38
katika mazungumzo vitu kwa Onesha vitu vimelinganishwa methali, vitu halisi,
kutumia viwiliviwili, kisha kwa kutumia michoro na picha
miktadha katika waongoze wanafunzi
maneno maneno (kuliko,
mbalimbali miktadha kueleza dhana ya
(kuliko, zaidi ulinganishi zaidi ya, kama,
mbalimbali ya, kama, mithili ya na
mithili ya Maswali na majibu: mfano wa)
Andaa jedwali
na mfano katika miktadha
lenye maneno ya
wa) katika kulinganisha, kisha mbalimbali kwa
miktadha waongoze wanafunzi ufasaha
mbalimbali kutunga sentensi kwa
kutumia jedwali
(b) Kusimulia Ramani ya dhana: Matukio
matukio kwa Waongoze wanafunzi yamesimuliwa
kuzingatia kupitia mchoro kwa usahihi
katika nyakati
njeo za kueleza aina za
na hali
nyakati na hali mbalimbali

26

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 26 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

wakati: uliopo Maswali na majibu:


(-na-), uliopita Waongoze wanafunzi
kutunga sentensi kwa
(-li-), ujao (-ta-);
kuzingatia viambishi
na hali timilifu vya nyakati na hali
(-me-) na mazoea
(hu-)
(c) Kujieleza kwa Mdahalo: Wape mada Kujieleza
kujiamini wanafunzi na wagawe kwa
katika vikundi viwili, kujiamini
kisha waongoze kumefanyika
kufanya majibizano kwa ufasaha
kwa kujiamini

Igizo: Waongoze
wanafunzi kuigiza kwa
kujiamini

27

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 27 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(d) Kuunga mkono Ngonjera: Wape Wazo


au kupinga wazo wanafunzi mada na limeungwa
uhusika kisha ongoza mkono na
kwa hoja na
majibizano yao na kupingwa
mifano rahisi wafanye majumuisho kwa hoja na
ya hoja zilizoibuliwa mifano rahisi

(e) Kutumia nahau Picha na maelezo: Nahau na


na methali katika Chora picha na uweke methali
nahau na methali zimetumiwa
mazungumzo
kwa kila picha halafu vizuri katika
waongoze wanafunzi mazungumzo
kutambua uhusiano
wa nahau, methali
na picha zake, kisha
watumie nahau na
methali hizo kwa
kuzingatia maana zake

28

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 28 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
Hadithi: Waongoze
wanafunzi kutunga
hadithi kwa kutumia
nahau na methali
1.2 Kutumia (a) Kutunga matini Majadiliano: Matini sahili 30
maandishi sahili kwa Waongoze wanafunzi zimetungwa kwa bahasha, stempu na
katika kutumia alama kutunga matini kutumia alama kadi za alama za
mawasiliano sahili kwa kutumia
kistari kifupi vielelezo vya alama kistari kifupi
kulingana
(-), mkwaju (/), (-), mkwaju (/),
na miktadha mabano ( ) na
mabano ( ) na usahihi
mbalimbali funga na fungua
funga na fungua
semi (“ ”) kwa
semi (“ ”)
usahihi
(b) Kutumia Kusoma matini: Nyakati na hali
nyakati na hali Andaa matini vimetumika
kwa usahihi zilizotumia nyakati kwa usahihi
na hali mbalimbali,
katika uandishi katika uandishi
kisha waongoze
wa kifungu cha wanafunzi kubaini wa kifungu cha
habari nyakati na hali hizo habari

29

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 29 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
kwa kupigia mstari,
halafu watunge
sentensi kwa kutumia
nyakati na hali hizo
(c) Kuandika Masimulizi: Andaa Matini sahili
matini sahili picha zenye kujenga imeandikwa
kwa kuzingatia habari, zichanganye, kwa
mtiririko sahihi kisha waongoze kuzingatia
wanafunzi kuandika mtiririko
wa mawazo
habari kwa kuzingatia sahihi wa
mfuatano sahihi wa mawazo
picha walizopewa

(d) Kuandika barua Majadiliano: Gawa Barua ya

kuzingatia katika vikundi, kisha imeandikwa


muundo sahihi waongoze wanafunzi kwa
kujadili vipengele kuzingatia
vyake muundo
sahihi

30

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 30 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
Majigambo: Wape
wanafunzi uhusika
wa vipengele vya

kisha waongoze
kujigamba mbele
ya darasa kulingana
na sifa za vipengele
hivyo
2.0 Kuonesha 2.1 Kuonesha (a) Kusikiliza Hadithi: Waongoze Hadithi Hadithi, kinasasauti 30
uelewa stadi za hadithi wanafunzi kusikiliza imesikilizwa na kinyonyi chenye
hadithi kwenye
wa jambo kusikiliza kwa umakini hadithi
redio/televisheni/
alilolisikiliza na kuelewa kinasasauti, kisha
au kulisoma waulize maswali
kutokana na hadithi
waliyoisikiliza
Masimulizi:
Waongoze wanafunzi
kusimulia hadithi
waliyoisikiliza

31

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 31 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za ufundishaji Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji na ujifunzaji ya
na ujifunzaji zinazopendekezwa vipindi
zinazopendekezwa
(b) Kubaini hisia Hadithi: Simulia Hisia za
za msimuliaji hadithi kwa kuuvaa msimuliaji
kutokana na uhusika wa kila zimebainishwa
kupanda na mhusika kwa kwa usahihi
kushuka kwa kuzingatia kupanda kutokana na
mawimbi ya na kushuka kwa kupanda na
sauti mawimbi ya sauti, kushuka kwa
kisha waongoze mawimbi ya
wanafunzi kutaja sifa sauti
za kila mhusika kwa
kuzingatia uhusika
wake
(c) Kubaini Majadiliano: Ujumbe mkuu
ujumbe Waongoze wanafunzi katika hadithi
mkuu katika vikundi iliyosikilizwa
kutokana umebainishwa
kujadili ujumbe mkuu
na hadithi
kutokana na hadithi
aliyoisikiliza
waliyoisikiliza

32

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 32 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
2.2 Kusoma (a) Kusoma matini Ziara: Waelekeze Matini Matini fupi sahili, 22
matini kwa fupi sahili kwa wanafunzi kwenda fupi sahili saa, kamusi
ufasaha na ufasaha maktaba kusoma imesomwa kwa na kinyonyi
matini fupi sahili, chenye rekodi
ufahamu ufasaha
kisha warudi darasani
zinazoonesha
na wasimuliane
matini hizo namna ya kusoma
kwa ufasaha
Kusoma kwa sauti:
Waongoze wanafunzi
kusoma matini fupi
sahili kwa sauti
kwa kuzingatia kasi
stahiki, matamshi
sahihi na alama za

(b) Kujibu maswali Maswali na majibu: Maswali


kutokana na Waongoze wanafunzi kutokana na
matini fupi kujibu maswali matini fupi
aliyoisoma yanayohusiana na
iliyosomwa
matini walizozisoma
yamejibiwa
kwa usahihi

33

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 33 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

Karatasi tembezi:
Gawa maswali
tofautitofauti
yanayohusu matini,
kisha kila kikundi
kiandike majibu
kwenye karatasi
na kigawe karatasi
yenye majibu kwenye
vikundi vingine
kwa ajili ya kusoma
majibu ya vikundi
hivyo
(c) Kutumia Kusoma matini: Msamiati na
msamiati Waongoze wanafunzi semi mpya
na semi kusoma matini fupi zilizomo
mpya na kubaini msamiati kwenye matini
zilizomo na semi mpya fupi aliyoisoma
kwenye kwenye kazi bunifu vimetumiwa
matini fupi
kwa usahihi
aliyoisoma

34

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 34 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

Maswali na
majibu: Waongoze
wanafunzi kutunga
habari kwa kutumia
msamiati na semi
mpya kutoka
kwenye matini fupi
walizozisoma
3.0 Kuwasilisha 3.1 Kuwasilisha (a) Kubaini Majadiliano: Msamiati Kamusi, matini 20
hoja kwa hoja kwa msamiati Waongoze au vifungu mbalimbali
wanafunzi vya maneno na kinyonyi
mazungumzo njia ya au vifungu
kusikiliza mada vinavyotumika chenye mijadala
na kwa mazungumzo vya maneno katika vyombo vya
maandishi katika vinavyotumika habari au vifaa vya kujenga au mbalimbali
kulingana na miktadha kujenga au TEHAMA, kisha kupinga hoja
wabaini msamiati vimebainishwa
muktadha mbalimbali kupinga hoja
au vifungu kwa usahihi
(mf. hoja yako vya maneno
ni nzuri lakini vinavyotumika
..., ingawa kujenga au
unasema hivi, kupinga hoja
kuna ...)

35

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 35 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
Mdahalo: Waongoze
wanafunzi kujenga
au kupinga hoja kwa
kutumia msamiati
mwafaka na vifungu
vya maneno
vinavyotumika kujenga
au kupinga hoja

(b) Kutoa maoni Mdahalo: Waongoze Maoni au


au mawazo wanafunzi kujenga mawazo
kwa kutumia hoja au kupinga hoja kwa kutumia
kwa kutumia msamiati msamiati
msamiati mwafaka na vifungu na vifungu
na vifungu vya maneno kwa vya maneno
vya maneno usahihi vinavyotumika
vinavyotumika Mchezo: Waongoze kujenga au
kujenga au wanafunzi kuigiza kupinga hoja
kupinga hoja wapo kwenye kikao cha yametolewa
darasa kinachojadili kwa staha

wa darasa kwa kutumia


lugha mwafaka

36

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 36 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(c) Kujenga hoja Mchezo: Andika sentensi Hoja


kwa mfuatano kadhaa zinazojenga wazo zimejengwa
moja (kila sentensi iwe kwa
na ushikamani
kwenye karatasi yake), mfuatano na
wa kimantiki wape wanafunzi sentensi ushikamani
mojamoja na hakikisha wa kimantiki
wamechanganyika, kisha
wajipange kwa mfuatano
kulingana na mantiki ya
sentensi

Maswali na majibu:
Waongoze wanafunzi
kuoanisha sentensi
kwenye safu mbili

37

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 37 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri mahususi Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

3.2 Kuchanganua (a) Kusoma Usomaji wa matini: Matini Matini fupi sahili 22
mawazo matini fupi Waongoze wanafunzi fupi sahili na kamusi
kusoma matini fupi
yaliyowasilishwa sahili zimesomwa
sahili kwa sauti na
katika matini kimya, kisha waulize
mbalimbali maswali kuhusu
matini waliyoisoma

Ziara: Waongoze
wanafunzi
kutembelea maktaba
ya karibu ili kusoma
matini mbalimbali
kwa kuzingatia
mwongozo uliowapa,
kisha waandike
waliyoyasoma na
kuwasilisha darasani

38

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 38 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kueleza maana Usomaji wa matini: Maana ya


ya semi mpya Waongoze wanafunzi semi mpya
zilizojitokeza kusoma matini na zilizojitokeza
katika matini kubaini msamiati na katika matini
fupi sahili semi mpya kwenye zimeelezwa
matini kwa usahihi
Kazimradi:
Waongoze wanafunzi
kwa kutumia kamusi
kutafuta maana za
msamiati na semi
mpya zilizojitokeza
kwenye matini
Maswali na majibu:
Waongoze wanafunzi
kutunga sentensi kwa
kutumia msamiati na
semi mpya kutoka
kwenye matini

39

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 39 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(c) Kuwasilisha Usomaji wa matini: Mawazo makuu


mawazo makuu Waongoze wanafunzi yaliyomo
yaliyomo katika kusoma matini katika matini
matini fupi fupi sahili, kisha fupi sahili
sahili wazifupishe kwa yamewasilishwa
kuzingatia mawazo kwa usahihi
makuu yaliyomo katika
matini hizo

Mchezo: Waongoze
wanafunzi, katika safu
mbili, kwa kushindana,
kuwasilisha mawazo
yaliyomo kwenye
matini walizosoma,
kisha toa alama kwa
kila wazo. Safu yenye
alama nyingi ndiyo
itakayoshinda

40

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 40 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

3.3 Kuonesha (a) Kutunga Majadiliano: Hadithi Picha, vielelezo, 15


stadi za hadithi Waongoze wanafunzi fupi sahili michoro na hadithi
kusoma hadithi fupi
awali za fupi sahili zimetungwa fupi sahili
sahili, wajadiliane
ubunifu vizuri
mambo ya kuzingatia
wa kazi katika utunzi wa
mbalimbali hadithi, kisha
za Kiswahili watunge hadithi fupi
sahili
Masimulizi:
Waongoze wanafunzi
kusimulia maisha yao
wawapo shuleni
Igizo: Waongoze
wanafunzi
kuigiza hadithi
waliyoisimulia
kuhusu maisha yao
wawapo shuleni

41

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 41 26/07/2023 19:03


Darasa la V
Jedwali Na. 4: Maudhui ya Darasa la V
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

1.0 Kuwasiliana 1.1 Kuendeleza (a) Kutumia Oneshombinu: Msamiati Kamusi, orodha ya 21
katika mazungumzo msamiati Waoneshe umetumika methali na nahau
katika wanafunzi picha katika
miktadha katika
kusimulia zilizo katika kusimulia
mbalimbali miktadha mfuatano kusimulia
matukio, matukio,
mbalimbali matukio, habari na
habari na vitu habari na vitu
masuala mbalimbali
mbalimbali mbalimbali
kwa kujiamini
kwa kujiamini kwa kujiamini

(b) Kubainisha Picha na maelezo: Nafsi tatu


nafsi (umoja Onesha picha (umoja na
zinazobainisha nafsi wingi) katika
na wingi)
(umoja na wingi) mazungumzo
katika yaani zimebainishwa
mazungumzo

42

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 42 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

watu wakiwa
kwenye shughuli
mbalimbali, kisha
eleza nafsi tatu
katika umoja na
wingi wake

Mchezo: Ongoza
mchezo wa kutunga
sentensi kwa
kuzingatia nafsi.
Safu ya kwanza iwe
nafsi ya kwanza
umoja na wingi.
Fanya hivyo kwa
safu ya pili na
ya tatu. Zingatia
kuwa sentensi moja
itabadilishwa katika
nafsi zote

43

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 43 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
(c) Kutumia nahau Masimulizi: Nahau na
na methali katika Waongoze methali
wanafunzi kusimulia zimetumika
mazungumzo hadithi kwa kutumia kwa usahihi
nahau na methali katika
kwa usahihi mazungumzo
1.2 Kutumia (a) Kuandika kifungu Majadiliano: Kifungu 22
maandishi cha habari kwa Waongoze cha habari stempu, bahasha,
wanafunzi kujadili kimeandikwa
katika kuzingatia alama kamusi na kadi za
matumizi ya alama kwa usahihi
mawasiliano kwa
kulingana nuktapacha (:), nuktapacha (:), kuzingatia
na miktadha nuktamkato (;), nuktamkato (;), alama za
mbalimbali ritifaa (‘) na ritifaa (‘) na
nuktapacha
nuktakatishi (…)
nuktakatishi (…) (:),
katika uandishi nuktamkato
Imla: Wasomee (;), ritifaa
wanafunzi habari (‘) na
kwa vituo ili nuktakatishi
waandike kwa (…)

44

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 44 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

kuzingatia alama

nuktapacha (:),
nuktamkato (;),
ritifaa (‘) na
nuktakatishi (…)
(b) Kutumia Majadiliano: Msamiati sahihi
msamiati Waongoze umetumiwa
wanafunzi kujadili vizuri katika
sahihi katika
na kuandika wazo
uandishi wa uandishi wa insha
la kila aya, kisha
kwa kuzingatia
insha kwa wakamilishe insha
kwa kutumia mada
kuzingatia
msamiati mwafaka
mada

45

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 45 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
(c) Kuandika Majigambo: Barua ya
barua ya Wape wanafunzi
uhusika kwa imeandikwa
vikundi kulingana kwa usahihi
kuzingatia
na vipengele vya kwa
muundo kuzingatia
sahihi muundo wake
kisha waongoze
kujigamba
Maswali na
Majibu: Waongoze
wanafunzi kuandika

kwa kuzingatia
vipengele vyake
2.0 Kuonesha 2.1 Kuonesha (a) Kusimulia Majadiliano: Hadithi Vitabu vya hadithi, 22
uelewa stadi za hadithi Waongoze iliyosikilizwa kamusi na kinyonyi
wa jambo kusikiliza aliyoisikiliza wanafunzi imesimuliwa chenye hadithi
alilolisikiliza na kujadili mambo ya
kwa usahihi kwa usahihi
au kulisoma kuelewa msingi wakati wa
kusimulia hadithi

46

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 46 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
Masimulizi:
Waongoze
wanafunzi
kuhadithia maisha
yao wakati wa
likizo
(b) Kutafsiri Maswali na Ujumbe
ujumbe majibu: Waongoze mkuu uliomo
mkuu uliomo wanafunzi kwenye
kwenye kueleza mafunzo hadithi
hadithi na wanayoyapata umetafsiriwa
mazingira kutokana na hadithi kwa usahihi
halisi kwa kuwauliza kwa
maswali kuzingatia
mazingira
Bakuli la samaki:
halisi
Waongoze
wanafunzi kukaa
katika maduara
mawili (duara ndani
na duara nje),

47

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 47 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za ujifunzaji Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

kisha wale wa ndani


waeleze mafunzo
wanayopata kwenye
hadithi na wale wa
nje waongeze kile
kinachopungua
(c) Kuhusianisha Majadiliano: Mienendo
mienendo ya Waongoze wanafunzi ya wahusika
wahusika waliomo katika vikundi waliomo
kujadili mienendo katika hadithi
katika hadithi na
ya wahusika imehusianishwa
mazingira halisi inavyoshabihiana na na mazingira
mazingira halisi
halisi kwa
Uchunguzi: Wape usahihi
wanafunzi wasifu
wa kila mhusika,
kisha waongoze
kuchunguza kwa
kulinganisha na watu
katika jamii yao

48

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 48 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za ujifunzaji Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(d) Kufafanua maana Mchezo: Andaa Maana ya


ya nahau na methali kadi mbili kubwa, nahau na
moja iandikwe methali
zilizomo katika
neno “nahau” na zilizomo
hadithi kwa usahihi nyingine iandikwe katika hadithi
neno “methali”, zimefafanuliwa
kisha andika nahau kwa usahihi
na methali nyingi
katika karatasi
tofautitofauti, halafu
waongoze wanafunzi
wenye kadi
zilizoandikwa nahau
kusimama mbele
ya kadi kubwa
iliyoandikwa ‘nahau’
huku wakizinyanyua,
na wale wenye
kadi zilizoandikwa
methali wafanye
hivyohivyo

49

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 49 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za ufundishaji Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji na ujifunzaji vipindi
na ujifunzaji zinazopendekezwa
zinazopendekezwa

Mchezo: Unda timu mbili,


kisha timu moja iwe inataja
nahau na timu ya pili
iseme maana yake. Pia,
ifanyike kwa methali kwa
kubadilishana utendaji

2.2 Kusoma (a) Kusoma Maswali na majibu: Matini Matini bunifu na 22


matini matini Waongoze wanafunzi ndefu sahili zisizo bunifu ndefu
kwa ndefu kusoma matini ndefu sahili, zimesomwa sahili
sahili kisha waulize wanafunzi
ufasaha kwa ufahamu
na maswali kuhusu matini hizo
ufahamu Kazimradi: Waongoze
wanafunzi kutembelea
maktaba kusoma matini
ndefu sahili, kisha
wabainishe mawazo
yaliyomo katika matini hizo
na kuwasilisha darasani

50

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 50 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kuwasilisha Maswali na Mawazo


mawazo majibu: Waongoze yaliyosomwa
makuu
aliyoyasoma
wanafunzi kusoma katika
katika matini, kisha matini ndefu
matini ndefu waeleze mawazo yamewasilishwa
makuu waliyojifunza kwa usahihi

Majadiliano:
Waongoze
wanafunzi kujadili
mawazo makuu
katika matini ndefu
waliyoisoma

51

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 51 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

3.0 Kuwasilisha 3.1 Kuwasilisha (a) Kutoa hoja Igizo: Waongoze Hoja Vitu halisi na 22
hoja kwa hoja kwa kwa kutumia wanafunzi kuigiza zimetolewa kinyonyi chenye
mazungumzo njia ya msamiati kuwasilisha hoja kwa kutumia mazungumzo
na kwa mazungumzo unaoendana katika kikao msamiati
maandishi na muktadha cha serikali ya unaoendana
katika
kulingana na mahususi wa wanafunzi na muktadha
miktadha mahususi wa
muktadha mazungumzo
mbalimbali mazungumzo
Kualika mgeni:
kwa usahihi
Maendeleo ya
Jamii kutoa mada
kuhusu afya
au mahusiano
sahihi ya kijinsia,
kisha waongoze
wanafunzi
kuchangia hoja
kutokana na mada
iliyowasilishwa

52

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 52 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

3.2 Kuandika (a) Kuandika Ramani ya dhana: Insha fupi Insha mbalimbali, 22
matini insha Waongoze wanafunzi imeandikwa
mbalimbali kutaja na kufafanua kompyuta, tableti,
fupi kwa kwa
vipengele vya insha bahasha na stempu
kuzingatia kwa kuanza na mduara kuzingatia
vipengele vya wa kwanza wenye vipengele
neno insha, kisha wao
insha vya insha
waendelee

Oneshombinu:
Onesha insha
ya mfano, kisha
waongoze
wanafunzi kutunga
insha kwa kuzingatia
mfano huo

53

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 53 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri mahususi Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kujibu barua Maswali na Barua ya


Majibu:
Waongoze imejibiwa
wanafunzi kujibu kwa
usahihi

3.3 Kuchanganua (a) Kuchambua Kazimradi: Mawazo Matini fupi sahili 22


mawazo mawazo Waongoze wanafunzi mbalimbali
kutembelea maktaba yaliyojitokeza
yaliyowasilishwa mbalimbali kusoma matini, kisha katika matini
katika matini yaliyojitokeza wachambue mawazo fupi sahili
mbalimbali katika matini yaliyomo katika iliyosomwa
matini walizozisoma
fupi sahili yamechambuliwa
aliyoisoma kwa ufasaha

54

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 54 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za ujifunzaji Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kueleza mawazo Kusoma matini: Mawazo


yaliyojitokeza Andaa matini, yaliyojitokeza
zigawe kwenye katika matini
katika matini
vikundi, kisha fupi sahili
fupi sahili kwa waongoze wanafunzi yameelezwa
kuzungumza kusoma, kujadili kwa usahihi
na kueleza mawazo kwa
yanayojitokeza kuzungumza
katika matini hizo

(c) Kufupisha habari Maswali na majibu: Habari


alizozisoma katika Waongoze wanafunzi zilizosomwa
kwa kutumia katika matini
matini fupi sahili
maswali kubaini fupi sahili
kwa kuandika mawazo makuu zimefupishwa
katika matini fupi kwa usahihi
sahili walizozisoma
kwa kuandika
na kuzifupisha

55

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 55 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za ufundishaji Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji na ujifunzaji vipindi
na ujifunzaji zinazopendekezwa
zinazopendekezwa
3.4 Kuonesha (a) Kutunga Uchunguzi: Maigizo rahisi Vitu halisi 22
stadi za maigizo Waongoze na mafupi
wanafunzi kuangalia
awali za rahisi na yametungwa
igizo kwenye
ubunifu mafupi kwa televisheni au redio kwa kuzingatia
wa kazi kuzingatia na kuchunguza kanuni kwa
mbalimbali kanuni namna wahusika usahihi
za Kiswahili wanavyovaa uhusika
katika uigizaji, kisha
watunge maigizo
rahisi kwa kufuata
kanuni

Mchezo: Waongoze
wanafunzi kuigiza
igizo walilolitunga

56

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 56 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za ujifunzaji Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kuigiza michezo Uchunguzi: Michezo


sahili Waongoze sahili
wanafunzi kuangalia
imeigizwa
michezo kwenye
televisheni au kwa ufanisi
kusikiliza redioni,
kisha wachunguze
mbinu za kifani
na kuziwasilisha
darasani

Mchezo: Waongoze
wanafunzi kuigiza
maigizo rahisi

57

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 57 26/07/2023 19:03


Darasa la VI

Jedwali Na. 5: Maudhui ya Darasa la VI


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

1.0 Kuwasiliana 1.1 Kuendeleza (a) Kutumia Mdahalo: Msamiati Televisheni, 30


katika mazungumzo msamiati Waongoze umetumika kinyonyi na redio
katika katika wanafunzi kutumia katika mijadala zenye mijadala
miktadha mbalimbali
miktadha mijadala msamiati sahihi mbalimbali
mbalimbali mbalimbali kwa kujiamini
mbalimbali katika mdahalo
kwa
kujiamini
1.2 Kutumia (a) Kubaini Uchunguzi: Makosa ya Risala, hotuba na 30
maandishi makosa ya Waongoze kiuandishi matini mbalimbali
katika wanafunzi kusoma katika matini
kiuandishi
mawasiliano matini kwa umakini yamebainishwa
katika
kulingana na kubainisha
matini makosa ya
na miktadha
kiuandishi
mbalimbali

58

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 58 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kusahihisha Majadiliano: Makosa ya


makosa ya Waongoze kiuandishi
kiuandishi wanafunzi kujadili katika matini
katika matini na kusahihisha yamesahihishwa
makosa kwa
kuandika
kilichosahihi mahali
penye kosa la
kiuandishi
(c) Kuandika Kusoma matini: Risala na hotuba
risala na Waongoze zimeandikwa
hotuba kwa wanafunzi kusoma kwa kuzingatia
kuzingatia risala na hotuba muundo na
mbalimbali, kisha muktadha kwa
muundo na
wajadili muundo wa usahihi
muktadha hotuba na risala

59

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 59 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

Majigambo:
Waongoze
wanafunzi katika
timu mbili
kujigamba kuhusu
risala na hotuba
wakibainisha sifa,
muundo, matumizi
na wahusika wake.
Timu moja iitwe
risala na timu ya
pili iitwe hotuba
Majadiliano:
Waongoze
wanafunzi
kujadiliana katika
vikundi, mambo ya
kuzingatia katika
uandishi wa risala
na hotuba, kisha
waandike risala na
hotuba

60

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 60 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

2.0 Kuonesha 2.1 Kuonesha (a) Kusikiliza Masimulizi: Habari Kinasasauti, redio 25
uelewa stadi za habari Waongoze mbalimbali na televisheni
wa jambo kusikiliza mbalimbali wanafunzi zimesikilizwa
na na kunukuu kusikiliza habari
alilolisikiliza na mawazo
kuelewa mawazo ulizoziandaa, kisha
au kulisoma waandike mawazo makuu
makuu yamenukuliwa
makuu yaliyomo
kwenye habari hizo kwa usahihi
Uchunguzi:
Waongoze
wanafunzi
kusikiliza taarifa
ya habari kwenye
redio/televisheni/
kompyuta,
kisha waandike
mawazo makuu
waliyoyapata

61

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 61 26/07/2023 19:03


Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
(b) Kufupisha Maswali na Habari
habari majibu: Waongoze zilizosikilizwa
alizozisikiliza wanafunzi zimefupishwa
kwa kubainisha na kwa kuzingatia
kuzingatia kuandika wazo mawazo
kuu kwa kila aya
mawazo makuu
katika habari
makuu waliyoisikiliza,
kisha waunganishe
mawazo na kupata
ufupisho
3.0 Kuwasilisha 3.1 Kuwasilisha (a) Kutumia Mdahalo: Msamiati Kamusi, 30
hoja kwa hoja kwa msamiati Waongoze mwafaka televisheni,
mazungumzo njia ya mwafaka wanafunzi kwa umetumika kinyonyi
na kwa katika kuwapa kichwa cha kwa ufasaha
mazungumzo chenye mijadala
maandishi kupinga au mdahalo, upande katika kupinga
katika mbalimbali, redio
kulingana na kutetea hoja mmoja upinge na au kutetea hoja
miktadha mwingine utetee kwa kutoa na kinasasauti
muktadha kwa kutoa
mbalimbali hoja kwa mifano mifano thabiti
mifano thabiti
thabiti kulingana na kulingana na
kulingana na
muktadha muktadha
muktadha

62

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 62 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji ya
na ujifunzaji na ujifunzaji vipindi
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
(b) Kutumia Uwasilishaji: Lugha ya
lugha ya Waongoze mvuto
mvuto katika wanafunzi imetumika
kuwasilisha kuwasilisha hoja kwa usahihi
kwa kutumia lugha katika
hoja
ya mvuto, yaani kuwasilisha
yenye tamathali hoja
za semi, nahau,
methali na misemo
(c) Kuhutubia Majadiliano: Kuhutubia
kwa lugha Waongoze kwa lugha
fasaha katika wanafunzi kujadili fasaha katika
mambo ya msingi muktadha
miktadha ya
ya kuzingatia wa shuleni
shuleni
wakati wa kumefanyika
kuhutubia

63

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 63 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri mahususi Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
Igizo:
Waongoze
wanafunzi
kuigiza namna ya
kuhutubia kuonesha
vipaumbele vyao
wakati wa kampeni
za kugombea nafasi
za uongozi shuleni

3.2 Kuchanganua (a) Kusoma Kusoma matini: Mashairi Mashairi na 30


mawazo mashairi na Waongoze na ngonjera ngonjera
wanafunzi
yaliyowasilishwa ngonjera mbalimbali
kusoma matini
katika matini mbalimbali zenye mashairi na zimesomwa
mbalimbali ngonjera kwa ufasaha

64

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 64 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri mahususi Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
Uchunguzi:
Waongoze
wanafunzi
kusikiliza mashairi
na ngonjera
zilizorekodiwa,
kisha wachunguze
namna
zinavyotambwa na
kughaniwa
Maswali na
majibu:
Waongoze
wanafunzi
kubainisha mambo
ya kuzingatia
wakati wa kughani
shairi na kutamba
ngonjera

65

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 65 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(b) Kuchambua Kazimradi: Mawazo


mawazo yanayo Waongoze yanayojitokeza
jitokeza katika wanafunzi katika ngonjera
ngonjera kutembelea maktaba na mashairi
na mashairi kusoma ngonjera yaliyosomwa
aliyoyasoma na mashairi, kisha yamechambuliwa
kuchambua ujumbe
kwa usahihi
uliomo

Majadiliano:
Waongoze
wanafunzi
kufafanua mawazo
yaliyojitokeza katika
ngonjera na mashairi

66

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 66 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa

(c) Kusimulia Majadiliano: Mawazo


mawazo Waongoze yaliyomo
yaliyomo wanafunzi kutamba katika ngonjera
katika ngonjera ngonjera na na mashairi
na mashairi kughani mashairi, yaliyosomwa
aliyoyasoma kisha wajadili yamesimuliwa
ujumbe uliomo kwa ufasaha

Maswali na
majibu:
Waongoze
wanafunzi
kufafanua mawazo
yaliyojitokeza
katika ngonjera
na mashairi kwa
kuwauliza maswali

67

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 67 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji upimaji ufundishaji vipindi
na ujifunzaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa zinazopendekezwa
3.3 Kuonesha (a) Kutunga shairi Majadiliano: Ngonjera Ngonjera, mashairi 30
stadi za awali na ngonjera Waongoze na mashairi na vitu halisi
za ubunifu wanafunzi vimetungwa
wa kazi kujadiliana na
kwa usahihi
mbalimbali za kuandika maneno
Kiswahili yenye miishio
inayofanana,
kisha waandike
maneno yenye
mizani nne,
halafu waongeze
maneno mengine
yenye mizani
nne (jumla ziwe
mizani nane), kisha
watunge ngonjera
na mashairi kwa
kutumia maneno
hayo

68

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 68 26/07/2023 19:03


Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi ya
mkuu mahususi ujifunzaji za ufundishaji na ujifunzaji upimaji ufundishaji vipindi
zinazopendekezwa na ujifunzaji
zinazopendekezwa

(b) Kutamba Uchunguzi: Waongoze Ngonjera


ngonjera wanafunzi kuangalia zimetambwa
na kughani ngonjera na mashairi kwenye na mashairi
televisheni na redio na yameghaniwa
mashairi
kuchunguza mbinu za kifani kwa usahihi
zilizotumika

Mchezo: Waongoze
wanafunzi kutamba ngonjera
na kughani mashairi

69

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 69 26/07/2023 19:03


BAKITA. (2013). Mwongozo kwa waandishi wa Kiswahili sanifu. BAKITA.
Habwe, J. & Karanja, P. (2004). . Phoenix Publishers Ltd.
King’ei, K. (2014). Taaluma ya uandishi. The Jomo Kenyatta Foundation.
Massamba, D.P.B., Kihore, Y. M na Hokororo, J. I. (2001).
(SAMIKISA). TUKI.
Mauritius Institute of Education. (2015). National curriculum framework grades 1 to 6.

Mauritius Institute of Education. (2015). National curriculum framework nine - year continuos basic education.

Mgullu, R. (2001). . Longhorn Publishers Ltd.


Msokile, M. (1993). Misingi ya uhakiki. EAEP.
Nkwera, F. (1978). . Tanzania Publishing House.
Senkoro, F. (1987). . Press and Publicity Centre.

70

MUHTASARI SOMO KISWAHILI DRS III - VI landscape.indd 70 26/07/2023 19:03

You might also like