Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 1

DCE NTAHANGWA

ECOFO KAMENGE III

CLASSE : 7EME

Examen de Kiswahili

I. Fafanua maneno yafuatayokatika lugha ya Kirundi


1. Maoni:
2. Mawasiliano :
3. Akamnyanganya pesa:
4. Akakataa:
II. Jaza pengo ukitumia ngeli za nomino ifuatazo:
i- ;u-,ki-,a- ,ku-,ya-,wa-,zi-,vi-/6pts
1. Mgue wake ………………………………
2. Waganga……………………natuibu wagonjwa
3. Kichwa chake…………………….naumwa.
4. Mbwa ……………………nabweka.
5. Kulima…………………..natajirisha
6. Ndege …………..naruka porini.
III. Katika sentensi zifuatazo, tia mstari chiri ya kielezi
1. Mwanafunzi huyo ametoka mbali. Kwa hiyo amechelewa
2. Siku ya kwanza shule,wanafunzi wanavaa vizuri
3. Zamani,si;u ilikuwa inatumiwa injini tu
4. Kwa kawaida ,kuna njia nyingi za kuwasiliana
5. Fanya mbio kazi yako ili turudi nyumbani

Kazi njema

You might also like