Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 46

Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.

com

MWONGOZO WA RIWAYA YA KUFA KUZIKANA

na

KEN WALIAULA WALIBORA

2003

NAIROBI –KENYA

UMETAYARISHWA NA MWALIMU BAHATI MUBARAKA AGABA

E-mail: bahatimubaraka1994@gmail.com

Facebook: Bahati Mubaraka Agaba

Twitter: Mubarak Agaba

Instagram: Mubaraka Agaba

Tel/Simu: 0774690721/0776767334/0750037189

Whatsapp:Mubaraka agaba,0774690721
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

1.UTANGULIZI WA RIWAYA YA KUFA KUZIKANA

Kufa kuzikana Ni riwaya ya kiswahili,ilioandikwa na Ken Walibora mnamo


mwaka wa elfu mbili na sita nchini Kenya.

Riwaya hii Kufa Kuzikana Ni hadithi inayohusu Urafiki wa dhati kati ya vijana
wawili yaani Akida na Tim,wanaotoka kwenye makabila yenye uadui.

Kufa kuzikana ni hadithi ya migogoro, migongano,vikwazo na vizingiti katika


uhusiano wao.

Riwaya hii unawahusu vijana hawa Akida na Tim wanaotoka kwenye makabila
tofauti yaani Akida akiwa Mkanju na Tim akiwa Mkorosho.

2.KUHUSU JALADA/GAMBA LA KITABU

Katika jalada/gamba la kitabu kunaonekana picha ya vijana wawili mmoja akilia


na mwingine akimliwaza kinachoaashiria matatizo na migogoro mbalimbali
katika riwaya hii.

Pia, katika jalada tunaona wanyama kama vile mbwa, wakivuta na kula mizoga
ya watu waliokufa na hiki kinaashiria mauaji katika Riwaya na jamii kwa ujumla.

Vile vile tunaona Moshi katika jalada kwa mbali unaopanda juu ya uteketezaji
wa makazi ya watu na kuacha bila kuwa na mahali pa kuishi na hili linaashiria
vita vy wenyewe kwa wenyewe au vita vya kikabila yaani Wakanju na
Wakorosho.

Katika jalada pia, tunaona mimea iliyo teketezwa kwa kukatwakatwa na hili
linaashiria migogoro na migongano pamoja na unafiki ulioko katika Riwaya na
jamii ilio husika na iliyolengwa na mwandishi.

Isitoshe katika jalada anwani yenyewe imeandikwa kwa ranji nyekundu na


maana yake kudhihirisha mapenzi na umwagaji wa damu ambapo kwa kweli
hayo yote mawili yanajitokeza ambapo kuna mapenzi ya kirafiki Kati ya Tim na
Akida na umwagaji wa damu unaojitokeza juu ya vita vya kikabila.

3.DHAMIRA YA MWANDISHI

Ni lengo au kusudi au nia ya mwandishi anataka kupitisha kwa hadhira yake.


Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Mwandishi alidhamiria kutuonyesha jinsi ukabila unavyo athiri jamii na kuleta


maafa kwa mfano vita vya wenyewe kwa wenyewe (kikabila) katika wilaya ya
ukorosho kijijini Baraki nchini Kiwachema.

Mwandishi anadhamiria kutuonyesha umuhimu wa urafiki wa dhati kama vile


wahenga wasemavyo."Akufaye kwa dhiki ndiye Rafiki" mfano mzuri ni urafiki
wa "Tim" na "Akida".

Pia mwandishi anadhamira ya kutuonyesha athari za ubaguzi katika jamii pale


ambapo makabila tofauti yanabaguana kwa mfano,kabila la Wakorosho
linabagua kabila la Wakanju kitu kinacholeta uhasama baina yao.

Mwandishi anadhamiria kutuonyesha madhara ya uongozi mbaya unaoleta


matatizo na migogoro katika jamii na mfano mzuri ni pale mheshimiwa
Mbunge Johnstone Mabende anaposema kwamba " Hatutaki madoadoa katika
mkutano na kuongezea kuwa Wakanju warudi kwao Kanju." Na hili
linasababisha vita vya kikabila.

Mwandishi ana dhamira ya kuonyesha athari za mauaji katika jamii kwa mfano
mauaji ya Mwalimu Alex yanayoleta uhasama na kuteketezwa kwa mali baina
ya Wakorosho na Wakanju.

Mwandishi anadhamiria kuonyesha matatizo ya ucheleweshaji wa huduma za


kijamii katika riwaya na jamii aliyoilenga .kwa mfano tunaona ucheleweshaji
wa malipo ya Bima ya kifo cha mamake Akida na shirika la Bima nchini
kiwachema ambapo kifo kilisababishwa na ajali ya barabarani na wengine
wengi wanao lalamika kuhusu bima za maisha yao kama mzee Yusufu Matuko.

Pia mwandishi anatuonyesha athari za Rushwa katika jamii na nchi nzima kwa
mfano tunamuona Akida akipoteza nafasi yake ya masomo kwa kuchelewa na
nafasi yake ya masomo kwa kuchelewa na nafasi yake wanamuuzia mtu
mwengine mwenye pesa.

Mwandishi anajaribu kutuonyesha madhara ya upendeleo na tamaa kwa


baadhi ya viongozi katika jamii na riwaya kwa ujumla.kwa mfano katika jamii ya
riwaya tunaona kipindi cha kushangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba
miongoni mwa washindi wa mtihani huo wawili ni ndugu zao viongozi
wanaohusika na mtihani ya taifa.Isipokuwa Akida Bin Sululu.Moja ni mtoto wa
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

waziri wa elimu na mwengine ni mtoto wa kamishina wa elimu.Eti wa kwanza


ni Regina,2.Donald Kitenge,3.Akida.

NOTE: jenga hoja kadhaa kutokana na maudhui yaliyomo riwani.

4.MAFUNZO YAPATIKANAYO KATIKA RIWAYA YA KUFA KUZIKANA

Mafunzo ni mambo tunayo yapata kutoka katika kazi ya fasihi ambayo


mwandishi anataka tuige kwa kufanya yale yanayostahili na kuacha yale
yasiyostahili katika jamii zetu na maisha yetu ya kila siku na mafunzo hayo ni:-

Kwanza kabisa tunapata mafunzo ya kutokuwa wanafiki katika jamii zetu kama
alivyo mzee Zablon kujifanya rafiki yake babake Akida na mwishowe kamuua.

Pia tunapata mafunzo ya kuwa na urafiki wa dhati kama wa Tim na Akida jako
walikuwa wanatoka kwenye makabila tofauti yaliyo hasamiana.

Aidha, tunajifunza kutumia ahadi zetu kwa marafiki tulio waahidi kwa mfano
tunamuona Tom Mangala akimhidi Akida kumpeleka ughaibuni nchini Canada
alikoishi yeye na anafanya hivyo kweli kweli.

Pia tunajifunza kuwa na wapenzi wa dhati kwani katika riwaya tunamuona


Jenell mkewe TomMangala akiwa na mapenzi ya dhati kwa mumewe.

Tunajifunza kuwa wavumilivu katika hali yoyote ile ya maisha kwani, mfano
bora katika riwaya ni pale Timu,Akida na Tamari wanapoishi katika nyumba
moja baada ya Tim kupoteza kazi wanaishi kwa kazi za vibarua vya kutosha
zege na kuosha nguo za matajiri huko katika mtaa wa Falkland.

Fauka ya hayo, tunajifunza kujiepusha na migogoro na migongano katika jamii


kama vile Wakorosho walivyo fanya na mwishowe kuangamiza wenzao
Wakanju.

Pia tunajifunza kutoendeleza ubaguzi katika jamii zetu tunamoishi kama vile
Mheshimiwa mbunge Bwana Johnstone Mabende aliposema Wakanju warudi
kwao kanju kitendo kinachochochea vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya
Wakanju na Wakorosho.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Hali kadhalika, tunajifunza kutokuwa na wauaji katika jamii zetu kwani mauaji
yanasababisha umwagaji wa damu kwa watu wasiyo na hatia kwa mfano katika
riwaya, mauaji ya Mwalimu Alex yalisababisha umwagaji wa damu ya watu
wengi wasiyo na hatia yakiongozwa na Wakorosho.

Tunajifunza kutotishatisha wenzetu tunaoishi nao kwani kitendo hiki kinaweza


kikashababisha madhara katika jamii zetu na mfano mzuri katika riwaya ni pale
Wakorosho wanavyo watishia Wakanju kuwa wangewamaliza saa yeyote na
wanatekeleza vitisho vya vinavyo sababisha vifo vingi vya Wakanju.

5.PLOTI AU MTIRIRIKO AU MFUATANO WA MAWAZO YA RIWAYA KUFA


KUZIKANA KWA MUHTASARI.

Sura ya kwanza (1-6)

Riwaya inaanza mzungumzaji akiwa basini kwenye vilima vya


Tungule ambapo mamake alifia katika ajali ya barabarani.
Alikuwa anaelekea katika jijini Tandika mji mkuu wa kiwachema,
kwa ajili ya kuzawadiwa na waziri kwa kuwa miongoni mwa
wanafunzi watatu bora katika mtihani wa taifa wa shule za
msingi.

Msemaji analinganisha kifo hicho na kifo kingine cha mwamu


Alex ambaye alikuwa mwalimu wa Hisabati shuleni kwake na
mtetezi wa wakanju na mpinga ukabila.

Pia nayuelezea kuhusu mbunge Johstone mabende ambaye


alikuwa mkorosho aliyekuwa anachukia wakanju na kuchochea
chuki miaongoni mwa wakoroso alipohutubia watu katika
mkutano wa hadharani katika kituo cha biashara cha Baraki
kwa kusema kuwa “Hatutaki madoadoa hapa. Wakanju sharti
wahame warudi kwao Kanju”.

Mwalimu Alex alimjibu kwamaba, “Mhesimiwa unaanza


kuzungumza kama mtu aliyefunguka skrubu za akili.
Wakanju ni ndugu zetu ata watu wa fikira kama zako ndio
maharabu wa nchi” maneno hayo yalimletea mwalimu Alex
kuchukiwa na wakorosho wengi.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Baada ya muda mfupi, mwalimu Alex alirukwa akili kiasi cha


kuanza kuzungumza na vichaka na kutembea uchi njia.
Twaelezwa pia kifo cha mwalimu Alex huko kichakani karibu na
mto Kibisi. Alipigunduliwa na wanawake waliokuwa wamekuja
kuchota maji. Maiti ya mwalimu Alex ilikuwa imekatwakatwa na
kutupwa huko. Maiti hii ilichukuliwa na polisi kwa uchunguzi
zaidi

Siku moja baada ya kifo hicho, msemaji alikuta kijikaratasi


kimetupa kiamboni mwao chenye maneno “ Wakanjuu
mumechokoza nyuki kwa kumuua mukoroso. Ama muondoke
au mufe muzingani.” Maneno haya yalimwogofya babake
msemaj ambye ni mkanjuu. Lakini alipomwuuliza rafiki na jirani
wake mzee Zabloni ambaye alikuwa mkorosho alimjibu kuwa
ilikuwa kawaida ya wakorosho kuwatishatisha wakanjuu.

Sura inaisha bado msemaji akiendelea na safari yake ya kueleke


mjini Tandika.Uk6

Sura ya pili (7-17)

Msemaji alifika jijini tandika aliko elekea alitaraji kupokelewa na


rafiki wake Tim ambaye alikuwa rafiki wa kufa kuzikana
kutokana na kiasi cha urafiki wao. Urafiki ulianza kutokana na
hali hiz;

 Tim alimlinda Tom huko shuleni Baraki zidi ya wachokozi.


 Timu alikuwa anaenda nyumbani kwa Tom kujifunza
kucheza jita na nyimbo kipawa alichokuwa nacho babake
rafiki yake Tom
 Tim hawezi kusahau siku alipoumwa na nyoka wakicheza
na nyumbani kwa Tom babake Tom akampa dawa.

Akida alitwelezeakuwa alipata fursa ya kuonana na rafiki yake


Tim alichukuliwa na mjombake kufanya kazi mjini baada ya
kuanguka mitihani ya kitaifa ya msingi.

Akida alienda mjini kwanza ili kuzawadiwa akama serikali


ilivyopanga, pili aliaagizwa na babake kwenda kwa kampuni ya
mawakili ya Gembo amwuulize Gembo kuhusu madai ya malipo
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

ya bima ya hayati mamake.Uk11. vilevile alimwagiza aende kwa


kampuni ya wachapishaji ya HATUBAGUI publishers aulizie
mhariri wa Kiswahili au meneja wa uchapishaji kuhusu miswada
wake wa mashairi yaani walikawia kuuchapisha. Uk11

Akida alipokelewa na Tim kwenye kituo cha mabasi wakaelekea


mkahawani kwa chakula. Tim hakuishiwa na maswali ya
kumwuliza akida kuhusu kijiji cha baraki, wazazi wake, dadake
na yote Akida alimjibu Uk13.

Akida alionyesha ushamba alipoita sausage chuchu za ngombe,


pia anashanga kunywa soda baridi yaani ilikuwa mara yake ya
kwanza kula na kunywa vitu vya aina hiyo.

Kijana mmoja kwa jiana David alikuja mkahawani na


alipomwona Tim alikitoka mkahawani kwa kuwa Tim alikuwa na
deni la Tim.

Vilevile Timu alimpongeza kwa kushinda na kupita vizuri


mitihani ya kitaifa. Uk15

Tim alimwahidi Akida kuwa atamtembeza jiji zima kwa siku


atakazo maliza hapo mjini. Akida naye alimwambia kuwa muda
huo ungetosha kufuatia malipo ya bima ya mamake na suala la
kuchapisha vitabu vya babake.

Timu na Akida walishika njia ya kuelekea nyumbani kwa Akida,


wakati huo taa za umeme zilikuwa zimwangaza jiji zima.
Walipitia kichochor Fulani wakakuta watu walioshikwa na
askari polisi ili watoe hongo.

Walipokuwa wamesimama barabarani waliona wanawake ambao


walikuwa nusu uchi Timu akasema ni vivutio vya mji. Hayo yote
yalimshangaza akili Uk17.

Walipata gari kwelekea Shauri Moyo alikoishi Timu. Gari lilikuwa


na breki zinazo kwaluza na vyuma na lilijaa pomoni.

Sura ya tatu (18 -30)


Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Tunaelezwa kwa Tim alikuwa anafanya kazi ya ukarani kwenye


kiwanda cha kusindika mafuta, vile vile tunapewa taswira ya
mahali alipoishi Tim.

Asubuhi ya siku iliyofuata Akida alirauka kwamuka kwani


alikuwa na hamu ya kuliona jiji. Ilibidi Timu aende kazini aombe
ruhusa ili aweze kumtembeza vizuri Akida jijini Tandika. Uk 18-
19

Nyumbani kwa Tim kulikuwa mengi ya kumfunza Akida kama


namna ya kutumia choo cha flashi, kufungua tapu ya bafuni,
kuweka swichi ya umeme na televisheni ilipowekwa ilipowekwa
mazungumzo yalikatiaka hadi ilipozimwa. Televishen ilipozimwa
mazungumzo yaliendelea na Akida alimwelezea yote ya kijijini
yaani walioolewa, waliokufa(mw. Alex)n.k

Akida hakukawia kumwuliza kuhusu picha ya kipusa iliyokuwa


ukutani. Alielezwa na Tim kuwa alikuwa mke mtarajiwa
msichana wa kabila la wasangura kwa jina Pamela.

Walishika gari asubuhi kwelekea eneo la viwanda ili Tim aombe


ruhusa. Siku hiyo Akida alitembezwa kila pembe ya jiji la
tandika. Aidha Akida alionyeshwa ofisi ya waziri wa elimu, ofisi
ya wakili Gembo na ofisi ya wachapishaji waliokuwa na mswada
wababake.

Safari yao iliishia mtaa wa mlimani kwa bwana Samsoni Tungu


mjombake Tim. Hapo Akida alipata tatizo la miguu inayonuka
kwa sababu ya viatu vya palstiki alivyotembeza jijini kwa siku
nzima.

Mjombake Tim alikuja akawakaribisha kwa furaha tele. Shida


ilitokea Tm alipomtambulisha Akida kama rafiki yake, mjomba
alipouliza kabila lake, aliambiwa kuwa ni mkanjuu. Alikasirika
na kusema wakanjuu ni watu wajinga sana, wakanjuu
wanapenda matanga. Maneno haya yalimkashirisha Akida
mpaka walipoondoka Uk.26

Baada ya hapo walielekea mkahawa kula chajio na kuelekea


nyumbani shauri moyo. Mpango wao wa asubuhi ulikuwa Tim
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

aende kazini na Akida angejipeleka kwa ofisi alizotaka


kutembelea.

Tim alikumbukia kuweka Televisheni ilikuangalia na kusikiliza


taarifa. TV ilipowekwa walikuta taarifa huku waziri wa usalama
nchini kiwachema akiwapiga marafuku wachapishaji habari za
wongo kuhusu vita vya kikabila. Walipoweka Redio, ilidhihirisha
ukweli kuwa kulikuwa wachapishaji wa habari walikuwa
hawaruhusiwi huko Korosho isipokuwa mashirika ya kutoa
msaada kwa waathiriwa wa vita hivyo pekee ndio
waliruhusiwa.uk30

Sura ya nne (30-34)

Asubuhi Timu alirauka kwenda kazini na Akida aliamka mapema


kwenda kununua gazeti la siku hiyo jijini. Timu alikuwa
amemwelekeza kunakouzwa gazeti yaani kwenye makutano ya
barabara ya Lumumba na wanambisi. Alikuwa amefika na
kushika gazeti hivi, polisi wakazingira sehemu hiyo na kuchukua
magazeti yote yaliyokuwa yanauzwa katika sehemu hiyo. Uk31

Akida alitafuta njia ya kumrudisha nyumbani kwa Tim lakini


alichanganywa na majumba ya mjini ambaya si rahisi
kuyatofautisha. Alienda kama kipofu hadi barabara moja
iliyokuwa sambamba na mtaro wa majitaka wenye ustani kando
walimokuwa wamepumzikia malofa, walalahoi na wapendanao.
Mtaroni wasichana wadogowadogo walikuwa wanakoga bila aibu.

Akida kwa uchovu alitoa viatu ambavyo vilikuwa vimemwachia


sagamba na sugu kwenye vyanda vya miguu. Akida alichukuliwa
na usingizi na viatu vyake vilibwa na watu waliokuwa karibu
naye(Ninja na mwenzake). Akida alitembea kwa miguu bila kujua
alikoenda akakutana na msichana mrembo aliye mwelekeza njia
ya kumrudisha Shauri moyo kwa Tim.

Sura ya tano (35 - 46)

Akida aliporudi kwa Tim alimkuta mwenye shaka kwa kuwa


alimsubiria asubuhi kabla ya kwenda kazini hakumwona,
aliporudi kutoka kazini alikuwa hajarudi. Akida alimwelezea
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

kuwa alipotelea mjini, na kaibiwa viatu vyake. Tim alimchekelea


tu baadal ay kumfokea.uk 35

Jioni hiyo, Tim alitembelewa na mpenzi wake Pamela. Ilikuwa


jioni ya furaha na kuonyeshana mahaba. Baadaye Tim na
pamala walicheza na kuimba nyimbo za kimapenzi. Akida
alilazimishwa ajiunge nao katika kuimba na kuchza Jitaa. Uk
37-38

Akida aliwaimbia wimbo wa kimapenzi ambao alipenda kuimba


babake. Wimbo huo iliwaibua hisia za kimapenzi akawaliza
machozi. Pamale alimpenda sana Akida na akaahidi kuwa ndiye
angeimba kwa sherehe yao. Wakati wa saa mbili usiku
walimsindikiza akarudi kwa sangazi yake mtaa wa mama
Nasambu.

Asubuhi akida alienda kwa Afisi ya bwana Gembo kudai malipo


ya bima ya marehemu mamake, alimkuta sekritari mwenye
dharau na mtovu wa nidhamu. Huko afisini akida alikutana na
mzee yusufu matuko.huyu alikuwa amekosa dole gumba katika
ajali. Alikuwa ametembelea afisi hii kwa miaka kumi ila
kusaidiwa. Vile vile kuna watu wengine ambao walikuja hapo
afisini siku hiyo. Wengine waliambiwa pricess ndefu, wengine
faili zimepotea, wengine rudi siku nyingine. Waathiriwa wengine
walibaki afisini na kugoma kwamba hawatoki mpaka wamwone
Gembo mwenyewe.uk45

Sura ya sita (47 - 57) kuzawadiwa kwa Akida na kupatikana


kwa miswada ya mashairi ya babake.

Ni siku ya kuzawadiwa ya watahini bora watatu nchini


kiwachema akiwemo Akida. Sherehe ilikuwa ya saa tano
asubuhi, Akida alisindikizwa na Pamela na Timu alijiunga nao
baadaye wakati wengine walikuja na wazazi wao(Donald Kitenge
aliyekuwa wapili na Regina Kato aliyekuwa wa
kwanza).tuliambiwa kuwa babake Donald Kitenge alikuwa
mfanyikazi katika ngazi ya juu katika Baraza la mitihani ya
taifa(BMT) na Regina Kato alikuwa mpwa wa waziri wa elimu
Bwana Kato. Uk51
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Baada ya sherehe za kuzawadiwa, Akida na wenzake walipitia


kwenye afisi za Hatubagui Publishers. Walipofika waliambiwa
kuwa miswada ya sululu ilichapishwa miezi sita nyuma na
ilitumwa kwa posta. Meneja alisema kuwa huenda wafanyikazi
wa posta walinyakuwa kifurusi hicho kama ilivyokuwa kawaida
yao kudokoa za watu. Akida alipewa nakala sita na meneja
ampelekee babake uk52.

Walishika njia ya kurudi shauri moyo walipofika kwa kituo cha


magari walikutana na ummati wa watu waliokuwa wamebeba
jitu la miraba mine lililorejelewa kama MTOTO. Uk 54- 55.
Mwanamke mmoja alitembea akikusanya pesa za kumpeleka
hospitalini huyo mgonjwa wao. Mwanamume(mtoto) huyo
alikuwa ametahiriwa baada ya kuripotiwa mkewe kuwa
hajatahiriwa, na kulingana na utamaduni wa
wachungwachungwa ilikuwa lazima kwa kila mwanaume.

Walipanda gari la kuwarudisha shauri moyo amabalo lilikuwa


limejaa, Tim alimpa abiria mwanamke zawadi ya Akida
ampakatie. Walipofika stendi wanaposhukia, Tim alishuka
akasahau zadi ya akida na mwanamke Yule. Walisubiria gari hilo
papo hapo lakini liliporudi na kukagua ndani zawadi
hawakuiona.

Sura ya saba (58 -66) mwembe shomari/Shauri moyo kwa Tim

Asubuhi Akida alikuwa chumbani kwa Timu akiwazia


yaliyokuwepo siku iliyopita, Tim alimwambia kuhusu simu
aliyopokea kutoka kwa Tom kuwa Baraki vita vilikuwa
vimechakaa watu wakiuana tuputupu. Waliweka televishen
lakini haikuwa na habari yoyote kuhusu vita vya Baraki.
Asubuhi walitega Redio ya BBC Kiswahili na ilitoa habari kuwa “
mamia ya watu wakimbilia Usalama, watu takribani themanini
wameuawa na mia tatu wamejeruhiwa vibaya. Uk61

Inasemekana kuwa vita hivyo vyasababishwa na chuki kati ya


wakorosho na wakanju pamoja watu wenye ushawishi mkubwa
kisiasa. Akida alisoma kwenye gazeti lililoletwa na Tim akakuta
habari ya kukamatwa kwa mhariri mkuu wa gazeti la kiwachema
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

leo na sauti ya kiwachema kwa kuchapisha habari za kupotosha


na kuvuruga amani nchini.

Pia gazeti lilikuwa na habari za kifo cha Yusufu Matuko aliye


jitupa kutoka gorofala 22 ya Tembo house baada ya wakili
Gembo Tony kukataa kuonana naye uk.62.

Asubuhi hiyo Timu alikuwa ameenda kazini, Akida alisikia mtu


anagonga mlango akamkuta ni Tamari dadake Tim kavimba
miguu hawezi hata kupanda vipandio vya kuingia chumbani
mwa Tim. Akida alisaidia kumbeba akamwingiza hadi kitandani
na akampikia maji akamkanda miguu na kumpa chai. Baada ya
kufanya hayo yote, Tamari alimpa kumfokea na kumtusi. Uk63

“Nyie wakanju ni wajinga


Nyie ni wauaji….
Nenda huko bwege wewe…
Unafanya nini katika nyumba ya kakangu?”
Akida alitoka nje ilikuzuia hasira zake, akamwona Tim anarudi
kutoka Kazini wakati wa saa tatu asubuhi. Tim alikuwa
amefukuzwa kazini na mjombake kwa sababu alienda kwa
sherehe ya Akida rafiki yake mkanju. Mjomba alisingizia kuwa
wakanju wanaua wakorosho kwa hivyo Tim alikuwa anasaliti
kabila lake kwa kumleta mkanju nyumbani kwake

Tim alipoingia ndani, Akida aliponyoka na kwelekea mjini


asipopajua akajikuta karibu na kituo cha redio sauti ya
Kiwachema. Uk66

Sura ya nane (67 - 71) Kwa Timu na Baadaye mjini kwa


Nyumba za maiti

Akida alirudi kutoka mjini, alipofika Tamari na matusi yake


alianzia alipoishia. Mara hii Akida alipozwapozwa na Pam
ambaye alikuwa amemtembelea Tim mpenzi wake.

Pam alimwambia Akida kuwa Tamari aliponea chupuchupu


kubakwa akakimbia, alikuwa amelala msituni siku kadha.
Amewaona watu wakiuawa akiwemo babake Zablon ambaye
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

alimwona anakatwakatwa kwa panga na wakanju anaowajua


miongoni mwao alikuwa mzee sululu babake Akida.

Tim alikuwa ameenda kukagua maiti ya babake katika nyumba


za maiti mjini Tandika kwa kuwa walisema zile za Korosho na
Nduchi zilijaa pomoni.uk68

Tim aliporejea alisema hakumwona babake miongoni mwa maiti


waliokuwepo bali alimwona mzee sululu. Walifuatana na Akida
wakarudi huko na walipofika walikuta maiti ile ilikuwa ya mtu
mwingine si Mzee Sululu.

Sura Tisa (72 - 79) Hospitalini Rufaa

Akida na Tim walifika hospitalini Rufaa. Kwenye hospitali hii


huduma zao zilikuwa mbovu. Wagonjwa hawasaidiwi, ukosefu
wa madaktari, kuta zilizokosa rangi paa zinazovuja na nyufa kila
mahali.

Walienda hadi kwenye lango la wodi za wagonjwa wanaume,


bawabu aliwafokea na kuwafukuza kuwa muda wa kuona
wagonjwa ulikuwa umepita. Akida alimpa noti ya shilingi ishirini
akawaruhusu kuingia uk 73

Waogonjwa walikuwa wengi ndani lakini Akida alimtambuwa


mgonjwa mmoja ambaye alikuwa mzee Uledi. Huyu alikuwa
amevunjika mguu alipokuw anakimbia jeshi la wakorosho. Kabla
ya kukimbia alikuwa na Sululu ambaye hangemsaidia.
Alimwacha kwake hajui kilichojili kwa Sululu na familia yam zee
huyu. Akida na Tim walipiga sachi katika wodi zingine lakini
hawakuona wazazi wao wakaondoka.

Sura ya Kumi (80 - 91)

Tim alishauri wapitie kwa Tom ktika mtaa wa mlimani ili aweze
kuwasaidia kuwapeleka kwa hospitali za Nduki na Korosho kwa
gari lake. Walipofika, walipokelewa na Janelle mke mzungu
kutoka Canada. Tom naye alirudi nyumbani kutoka kazini baada
ya kupata habari za kifo cha babake. Walikubaliana kuondoka
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

pamoja siku iliyofuata asubuhi waende hospitalini Nduchi mwali


wa Mangala ulipokuwa.uk87

Walipofika hospitalini, mtumishi wa hospitali hiyo aliwaomba


pesa ili awasaidie. Tim alimpa pesa akawasaidia kuwatafutia
maiti Mangala wakauona lakini Akida na Tim hawakuwaona
wazazi wao. Tom alijitolea kuwapeleka Tim naAkida hospitali la
Korosho ili waweze kuwasaka wazazi wao. Tom alikodisha polisi
wawili wakaenda nao. Walifika wakakagua maiti wote
waliokuweko lakini wazazi wao hawakuwemo. Walirudi Korosho
Tom akakodisha gari la kupeleka maiti ya babake katika
mchware za Tandika.

Siku iliyofuata Tom alitoa kiasi cha pesa kwa idara ya polisi ili
wampe ulinzi watakapokwenda kumzika babakekijijini.Tom
alishauriwa na Tim kumzika babake katika makaburi ya umma
akakataa kwa kusema kuwa lazima afuate mila na destuli za
kwao yani mtu huzikwa kwao.

Sura ya kumi na moja (92 - 104)

Safari ya kwenda kijijini Baraki kumzika Mzee mangala ilianza


na basi dogo la aina ya Mitsubishi lilibeba maiti na kusafiri
wakati wa usiku. To aliambatana na marafiki zake wa kazini,
Akida na askari polisi wane. Njiani hawakusumbuliwa na askari
wa barabarani baada kuwaona wenzao ndani ya gari.

Njiani mazingira yalikuwa yamebadilika kabisa. Palipokuwa na


vijiduka palikuwa na vifusi na rundo la majivu, vinga vya moto
na viwingu mosi. Nyumba nyingi zilikuwa zinateketea kwa moto.
Waliwaona mbwa ambao waliburuta mafuvu ya vichwa vya watu
waliouawa. Uk 94 – 96

Walipofika, nyumba yam zee Mangala nay a Tom zote


hazikuwepo. Walichimba kaburi karibu na lile la mkewe chini ya
mwembe wakamzika kama alivyo amru kabla ya kufa.

Tom alitoa hotuba (maneno ya mwisho) kama alivyoshauriwa na


marafiki zake na kwa ufupi alisema kosa la babake lilikuwa
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

kuzaa mkanju kikabila na mwenye ngozi nyeusi. Tom aliahidi


kwenda kukaa ngambo milele.

Kabla hawajaondoka Akida alipewa askari waende kwao akaone


kinachoendelea kuhusu babake. Njiani walikuta maiti za watu
nyingi. Alipofika mazingira ya kwao yalikuwa kama ndoto
inayopita akilini mwake. Nyumba zote ziliteketezwa kwa moto,
baba hakumwona ispokuwa vipande vy jitaa lake.

Walirudi walipozika, wakakuta gari lishawashwa moto tayari


kuondoka nusra liwaache. Gari lilisimama wakajitupa ndani.
Tom na marafiki zake wengine hawakuwemo garini Akida
alipoulizia alipo Tom, alielekezwa chini ya mwembewalipomzika
babake.

Genge la washamburiaji likiongozwa na mkuu wa polisi mmoja


lilikuja wakawauliza vitambulisho na wakanju wote wakauawa
na wengine wakambiwa kuondoka himahima. Akida aliposikia
hayo alimhurumia sana Tom rafikiye na hali hiyo ilimletea
kushuka gari akarudi alikolala Tom

Sura ya kumi na mbili (105 - 109)

Akida alimkuta Tom chini ya mwembe akiwa amechomwa mshale


kifuani. Alijaribu kumwita na kumpa msaada wa kwanza wa
kwamnza. Wakati huo Akida alisikia mchakato nyuma yake
akamnyamazisha Tom akakimbia na kujificha ndani ya shimo la
taka lililokuwa karibu na ua. Wavamizi walimkuta amelala hapo
Tom wakadhani ameachwa. Walitaka kumchoma mshale
mwingine na kumkatakata lakini mmoja wao alishauri wasiuwe
maiti. Miongoni mwao Akida alipochungulia vizuri alimwona
mzee Zablon babake rafikiye Tim.

Wavamizi walipoondoka, Akida alimficha akasubiria usiku


alimbeba akatumia torori hadi njia kuu alipopata gari la kutoa
msaada la Action Men ambalo hupeleka chakula cha msaada
katika kambi ya wakimbizi ya Mukutu mjini Tandika
likawachukuwa. Njiani waliwaona mbwa wakicheza na sehemu
za mwiili ya binadamu
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Sura ya kumi na tatu (110- 113)

Akida katika mtaa wa Falkland anaelekea kwa rafikiye Tim. Ni


mahali papya alipokodisha chumba Tim baada ya kufukuzwa
kazini na mjombake. Falkland ni mtaa mchafu sana uliojaa
makabwela na maskini hohehahe. Akida aliambatana na kijana
mwingie alimwelekeza hadi kwenye vyumba Tim anakolala.

Timu alikuwa ameishiwa baada ya kufukuzwa na mjombake


kazini, aliuza vitu vyote vya thamani alivyokuwa navyo na nakala
za diwani Kero za Mkiwa ili aweze kulipa madeni. Tim alielezea
kuwa alitaka kumpeleka David kotini kwa ajili ya kukata
kumlipa pesa alizomkopesha Tim miaka miwili nyuma.

Akida alimweleza Tim kuwa alimwona babake Baraki katika


genge la wavamizi wauaji. Pia alimjulisha kuwa Tom kapigwa
mshale kifuani amemwacha hospitalini Rufaa mjini.

Akida baada ya kuona maisha aliyoishi Tim alipendekeza aende


aishi katika kambi za wakimbizi ili asimzidishie mzigo Tim, lakini
tim alimkataza. Akida alitoa sbsbu nyingine ya Tamari, lakini
alijulishwa kuwa Pam na Tim walikuwa wameongea naye ju ya
kukomesha mizozano ya nawe. Kweli Tamari alipoamka alimkuta
Akida na hakuwa na shida yeyote naye kama ilivyokuwa
mwanzoni. Walikunywa chai bila vitafunio wala sukari.

Tim alienda kutafuta kibarua akamwacha Akida apumzike. Akida


alibaki na Tamari. Tamarai alimwomba akida msamaha kwa
uhasama wote aliomfanyia tangu shuleni.akida alikilalia kitanda
chaTamari, alipochukuliwana usingizi aliota Tamariakimwimbia
wimbo, wakionyeshana hisia za mapenzi.

Sura ya kumi na Nne (119-127)

Tunaonyeshwa maisha ya Tim,Akida na Tamari yaliyokuwa ya


kupambana na kuajibika kama ilivyosemekana kuwa maisha ya
watu wa Falkland ilikuwa ya “kufanya lolote ili kupata chochote.”

Tim na timu yake waliamua kufanya lolote la halali ili kukimu


maisha yao. Pia Tim na timu yake walifuata sana mkondo wa
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

dini na kila juma pili walienda kanisani kuhudhuria mahubiri ya


Kasisi John. Mahubiri ya kasisi ya tilia mkazo kupinga ukabila,
uasherati na ubaguzi.

Kama ilivyokuwa kawaida yao Tim na Akida kumtembelea rafiki


yao Tom hospitalini. Siku moja walienda huko hawakumkuta
huko. Walipouliza waliambiwa na mgonjwa kwenye kitanda jirani
kuwa kachukuliwa na mwanamke mzungu kwa matibabu
Canada. Walipokuwa wanarudi kwa Tim walipitia mtaa wa
Mlimani kwa Tom wakakuta mwenyeji mwingine mhindi. Hali hii
ilionyesha wazi kuwa To kauza nyumba yake kabla ya kwenda
ngambo. Uk124

Kwa sababu ya umasikini Tim alifikiria kumpeleka David


aliyemdai shilingi ishirini zake mahakamani lakini alikatazwa na
Pam.

Akida naye alielezea kuwa nafasi yakeya kusoma katika shule za


sekondari ilikuwa imeuzwa kwa mtoto wa tajiri mmoja alipoenda
kumwuuliza waziri, akawa anafukuzwa na sekritari.

Sura ya Kumi na tano (128-133) Falkland kwa Tim

Tim alikuwa na kibarua cha kukesha wakati wa usiku


kiwandani, Akida alipokuwa amelala asikia mguso wa Tamari.
Baada ya kuwazia mengi kuhusu nini kingejiri aliamua
kumkataza malengo yake kwa kuutupa mkono wa Tamari mbali.
Kitendo hicho kilimkasirisha Tamari na kesho yake Tim aliporudi
alimsingizia Akida kwamba kataka kumbaka usiku. Akida
alimkasirikia sana Tamari akaamua kutoka kwa Tim na kwenda
zake.

Alipita katika vichochoro vya Falkland, akajikuta karibu na


klabu moja inayouza pombe ya busaa. Akida alifikiria kujitoa
uhai ili asikabiliane na hali za kumkasirisha kama hiyo. Aliamua
aingie klabu hiyo akapitishe muda na mawazo na waliokuwemo.
Hapo ndipo alipomsikia mlevi mmoja aliyejisifia kuua wanju
wengi vitani. Maneno hayo yalimkasirisha zaidi Akida baada ya
muda mtu huyoaliyejisifia alienda msalani Akida alimfuata
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

nyuma akamsubiria nje ya choo alipotoka alimtwanga kibao


kipajani akazirahi. Akida aliogopa sana akakimbilia kichochoroni
kilichokuwa karibu akidhani amemua.

Sura ya kumi na Sita (134-143) Mjini Tandika

Akida alidhani amemua mzee zablon baba wa rafikiye Tim.


Alitembea mjini akajikuta kwa kituo cha mabasi yanayoenda
Sangura. Kwa njia ya kukimbia mkono wa polisi kwa kile
alichokitenda aliamua atokoke mjini Tandika akapanda basi
lililoelekea mjini sangura.

Basi lilianza safari na Akida alitaka likimbie mwendo wa kasi ili


asisikwe na polisi. Njiani walikuta kisa cha wanafunzi wa chuo
cha Tandika waliogoma kwa sababu ya polisi kumwua mwenzao
bila sababu wakaweka mawe barabarani na kuvunjavunja vioo
vya nyumba jirani na chuo.

Basi liliendelea hadi wakati wa machweo lilipofika kituo cha


biashara cha Binge AKida alishuka ingawa hakujibu sehemu
hiyo.

Sura ya kumi na saba (144- 151) Kituo cha Binge

Asubuhi mapema maduka yalikuwa hayajafunguliwa lakini watu


walikuwa wamepiga foleni washindania bidhaa ambazoni haba
sana. Akida aliingia mkahawa mmoja na kunywa chai.

Alipozungumza na muhudumu kuhusu wapi angeweza kupata


kazi ya shamba, mhudumu alimwambia kwa mzee Kijoka na kwa
mzee Muyaka. Akida alisita kwenda kwa Muyaka kwa kuwa
walimwambia alikuwa mkali vile alikuwa mwana jeshi
aliyepigana katika vita vya pili vya dunia.

Akida alielekezwa na muudumu wa hoteli njia ya kumfikisha kwa


mzee Muyaka. Alipofika kwa Muyaka walikubaliana kumlipa
shilingi mia tatu kila mwezi na kutambulishwa kawa Bi.Tina
mkewe Muyaka. Alipoulizwa kabila lake na Bi. Tina, alimdanga
kuwa ni wa kabila la wachungwachungwa.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Jioni Akida aliona haya alipomwona msichana alimfumania kule


mkahawani akikojoa asubuhi. Msichana huyu alikuwa bintiye
Muyaka aitwaye Cynthia.

Sura ya kumi na nane (152-159) Kwa mzee Muyaka

Akida alifanya kila aina ya kazi hadi Bi.Tina kamwambia “Lo!


Unabidii kama ya mchwa Madodo.” Tulielezwa juu ya Jerumani
mtoto wa kiume wa mzee Muyaka aliyerukwa akili kwa
kuwachungulia wanawake wakikeketwa. Jina lake Johnson
lakini kapewa Jina la Jerumani kwa sababu ya kuzungumza
Kijerumani. Alikuwa amesomea Ujerumani uhandisi katika chuo
kikuu cha koln akifadhiliwa na serikali ya Ujerumani. Alifukuzwa
kabla hajamaliza chuo kwa kuwapiga kwa mtalimbo skin heads
waliomshambulia mwanamke mweusi. Uk 155.

Kazi kuu ya Jerumani ilikuwa kuchota maji kwa kutumia


mkokoteni na kuwauzia watu wa Binge. Alipenda sana
kushangilia mpirakiasi cha kwamba timu yake ikifunga alikimbia
uchi kwa kufaraha.

Jerumani na Akida hawakuishi kuchokozana lakini kila mtu


alielewa shida za mwenzake. Jerumani alimletea akida Jarida
akikusudia kumjulisha zaidi kuhusu taarifa ya vita vya ukabila
nchini kiwachema.

Sura ya kumi na Tisa (160-168) kwa Mzee Muyaka

Akida alisoma jarida alilopewa na Jerumani ambalo lilikuwa na


ukweli kuhusus vita vya korosho. Jarida lilionyesha kuwa
mbunge Johnstone Mabende na wakuu wa dini walikuwa na
mkono mkubwa katika kuchochea vita hivyo. Jarida hili
lilichapiswa kisirisiri na kusambazwa nchi kiwachema.
Jerumain alimaliza siku nyingi bila kuonekana. Bi-Tina
kamtuma Akida akamjulie hali. Akida mnyonge kavalia kaptura
kwasababu ‘ mwuaji kapewa kazi ya kulinda uhai wa
akimrejelea Johnstone mabende aluyepewa uwawa wa usalama
wa ndani uk 162 – 163
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Tim alipolezwa hali ya mwanawezi ahamua ambetee


nyumban akae naye amuguze mpaka apate nafu. Ilichukuwa
muda wawiki mbili kupona. Alimwambia Akida kuwa angetoroka
kwao asirudi tena kwa sababu baba alikuwa hampiendi.
Asubuhi moja akida hakumikula kitandanda kwa kuwa walilala
pamo. Walimusajalia kila mahali bila kumwona. kupotea kwa
Jerumani kuhamba tana na kupotea kwa bunduki ya mzee
muyaka.
Habari ya kupotea kwa bunduki ya mzee muyaka
kisambaa kote. Na askari polisi walinyosikia hivyo walikuja
kwake wakamhoji baada ya mahojiano walienda naye. Ngulu za
mama cinthia kuwaomba polisi wamwache bamkubwa ziligonga
mwamba.
Bi – Tina ahuza fahari moja akawaliouga polisi mzee muyaka
akaacheluwa.

Sura ya Ishirini (169 – 173)


Jeruma alikuwa anesahalika kwa mezi mingi.
Akida anatuweheza kuwa hakuweza kumchezea cinthia kama
aliuyoonywa na mwajiri wake. mwanzoni. Lakini alikuja kunasa
rafikiye suzana aliyependa sana kumtembelea cynthia. Baada ya
masomo suzana kaobe wa na Joseph juran wa muyaka.
Msimu wa tohara ulijiri na bibi ye cynthia alikuya kwa
muyaka kwa ajili luyiya kutaka atahirirwe cynthia, jarubo
ambalo mamake alipinga. wakati wa usiku Bi.Tina ahfanya
njama na Akida akamtorosha hadi jijmin.
Baraki kwa kambi la waliogopa kusu cha ngarike wakati huo
kuna msichana aliyekufa kwa kuishiwa damu. Wengive walipehe
kwa hospitalim.
Akida pia alutueleza kuhusu habari iliyotolewa na redio ya
mzee muyaka kuwa waziri Johnstone mabende kawewa na mtu
asiyejulikana.

Sura ya Ishirini na moja. (174 – 181)


Shuguhiza Matayarisho ya sherehe ya pesi ya Nana ndiyo
ilitawala kila mtu nyumba kwa muyaka isipokuwa muyaka
mwenyewe. Bi – Tina alikuwa na kundi la wanawake tayari kwa
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

sherehe nyumbani akivemo mkwe. Akida alimenyana na shuguli


la kuchumba mashimo ya kuweka migomba ili kuogezea heba
sherehe, baadaye alishngulika na kumchinja mbuzi mzee
muyaka alionekana hajali chochote ila kainama tu anatia nakshi
bakora yake.
Baadaye mzee muyaka kaletewa barua na mtoto wa jirani
akapokea na kutoipa muda. Baada ya shughuli za matayarisho
kuisha mzee muyaka kaagiza aletewe miwani yake ili asome
barua hiyo na kwa bahati mbaya haikupatikana.
Bi-Tina alitembea kijiji kiziuma akumtafuta atakaye wasomea
barua akamkosa mwishome alimlieta susana acliyeishia darasa
la cha sita na huyu hakuweza kuisoma kwa kusingia kuwa
ukuwa na mwandiko wa kukoroga.
Mwishowe Akida aliyitolea kuwasaidia kuisoma ingawa
wao hawakuamini anawe kusoma. Ahsoma bila kusila. Na barua
yenyeule ilitoka kwa nana ikiwaarifu kutotayarisha chochote kwa
kuwa shevehe ilikuwa imesimamishwa uk179.
Walipomaliza kusoma barua liyo, kila mtu aliduwa.
Akida alilipwa pesa zake na mzee muyaka kama
walinyokubaliana kuwa baada ya sherehe angeenda zake. Akida
aliondoka ukisi kwelekea kituo cha diashara cha binge kungoja
basi.

Sura ya ishirini na mbili (182 – 193)


Akida kapanda basi na kuelekea mjin tandika. Alipofika, kil akitu
kimebadilika na kudidimika, njia zina mashimo, taa zaturafiki
hazifanyi, ombaomba uregi barabarani, mamalaya wanapigania
wanaume, wapiga kibari wamezidi mwenyewe kaibiwa pesa
alizokuwa nazo. Anafikiri njia nyingi za kujitoa uhai lakini zote
hakuweze kana.
Akida alijipeleka kwa kituo cha polisi akajistaki kwa
kumwua mtu. katika koseli alimkuta kasisi John miongoni mwa
watulumiwa. Na wakosaji wa kila aina walikuwa huko.
Wafungwa walihetwa mahakani kustakuwa mara ya
kwanza kasisi John kasomewa mashtaka ya kutumia wasuhana
nane ktk mtaa wa maria nasambu kabla hawajafikisha miaka
kumi na minne.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Akida naye alisomowa mastaka yake uk 191 lakini ushaludi


ulionyesha kuwa mzee zado na kafaa kwa kujitia kitanzi. Halafu
alifugulia mastala myungi ya Tito tembo ambaye alipigwa kubao
kupan na mtu asujiejulikan. Akida alikubali makosa yake lakin
hakufungwa kasamehew.

Alipotoka njee ya mahakama alisiikia mtu akitaja jina lake, mtu


huyo hakuwa mwingine bali Tim rafikiye 193.
Sura ya Ishirini na tatu (194 – 207)
Tim na Akida waliandamana hadi falkland ahtoshi tim katika
chumba kile. Tamari alikuwa amerenda shulen na chumbani
kwa Tim kulikuwa na maendeleo kuliko wakati ule. Tim alikuwa
amepata kazi kule Amken.
Akida ahmwuliza habari zababake mzee suhulu lankum Tim
hakumjibu chochole Bali alimwelezea kuhusu babake mzee
zaplon mapishi aliye kijitia kitanzi chumbani alimoishi kwa
mjombake Tim huko mtaa wa mlima 197. pia lunaambiwa
kuhusu kifo nya mamake na wadogo zake Tim ambao
wahagamia vitam pia.
Akida alipewa baria aliyoandiika mzee zablion kabla ya kiyilia
198
Tim anaeleza kuwa alifukuswa kamsan na kasisi jolua kwa
kumstaki David aliyemko pa pesa zake. pia alielezea kuwa kasisi
John alumchongea/kumsemea vibaya kwa pam mpenzi wake
akambetea kumwacha uk 199.
Muda huo tamari alitoka shuleni akawakuta watu kiamboni
waneshrika bunduki, panga na mashoka. Tim alienda
akazugumzao wakamwambia walimfafuta mkanju alugeachihiwa
siku hiyo makakamani. Kusikia hayo Akida alitaka dunia immeze
ila tamari alimpa nguo zake (gani) akavaa na viatu ili
asitambulike na njia hiyo ilifaulu kwa kuwa wasakaji walipoingia
hakuweza kumtambua walidhani ni msichana dadake Tim 204 –
205.
Wasaji walipotka, waliamua Akida atolewe kwa Tim kwa
usalama wa kula mtu hapo kwa Tim na mtaa mzima wa falkdad
alipehekwa kwa mtaa wa mama nasambu kwa shangazi yake
pam 206 – 207.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Sura ya ishirini na nne (208 – 213)


Wakati wa saa nne usika walifika kwa shangazi yake Pamela,
walifunguliwa lakini Tim hakungiza alibaki njee ya lango. Pamela
alishanganga kumwona nsuhana alijekuwa na santi ya kuume
akijitambulisha kama amta. Waheheka baadaye Tamari
akanuelezea yoke yaluyotokea 209.
Baada ya kupata kinywaji tamari alisindikizwa hadi langoni na
pani lakini Tim hakuongean naye. Shangaza yake pana alikuwa
na zamu ya usiku siku hiyo.
Pam na Akida walizungunza mengi kuhusu mapenzi yake
na Tim pan alyanbu kuelezea kuwa Tim kamtupilia mbali kama
jongoo la mti na Akida alimwambia kuwa Tim naye anasema
vilevile. Pan pia alisema kuwa shangazi yake alikataa ndoa yake
na Tim kwa kusema kuwa nimkoroso, wakoroso washamba, yeye
ni fukara UK 212.

Sura ya ishirini na fano (214 – 222)


Asubuhi shagani yake pam alirudi kutoka kazini alipomkuta
Akida alimfukuza moja kwa moja. Pan alimwomba toili mlinzi wa
mlango aende naye kwake. Toli alikubali kisha wakaondoka
pamoja na Akida hadi mtaa wa tiwani. Nchumba cha mlinzi
kilikuwa kimoja na paa la bati ulikuwa na mafundu. Ndain
walikilibishwa na kunguni, wende nk. Toili alienda kwa kibarua
cha kutwa cha kupakia mchanga ili apate cha kilisha fanuha
yake kubwa (wake wawili na watoto II)
Tim, pam, na Taman walimtambetea Akida kwa Toili na
habari nzuri waliyo mletea ni ya kuwa. Tom alikuwa amautafuta
tangu alipoondo jiji Tandika. Tim alipomwambia hali anaipitia
Akida wakati huo aliahidi kutumia pesa za tiketi ili aende canada
kwa ajili ya usalama wake.UK. 217 – 219.
Akida alipokuwa anasikiliza pedio sauti ya kiwachem
utangaza kumawa kwa Tume la haki ili kafufua waliouawa
vitamin pia ilitangaza kuhusus uchuguli wa kufo cha Johnstone
mabende waziri wa usalama wa Ndain kuwa kauwa na Johnson
muyaka kwa bundu ki aliyoba kutoka kwa babake. mwuaji huyo
alikuwa anasakwa UK.121.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Rwaya maisha Akida akisindiikizwa hadi uwanya wa ndege na


kuenda Ontario canadas kwa kutumia ndege ya British airways
UK.222.

5. TAMATHALI ZA SEMI KATIKA RIWAYA YA KUFA KUZIKANA


KWA MUHTASARI

Mwandishi wa riwaya hii ametumia mbinu chungu nzima


kuwashilisha ujumbe wake kama zilivyoorodheshwa hapo chini.

1. Tashibihi
 Najihisi kama zumbukuku
 Najihisi kama samaki kwenye nchi kavu
 Vimepigwa pasi vikapigika kama sare ya askari polisi –
Tim12
 Mwanafalsa amwagaye semi za hekima kama mhenga.17
 Walinyakuwarundo la mageti kwa kasi kama umeme.
 Nilikuwa kama nzi aliyenaswa kwenye utata wa utanda
bui.
 Mwaka wa sita napuhekwa huku na huku kama mpira
uwanjani.
 Kainama kama kondoo 51 .
 Wakanju ni kama lila nafila hawa tangamani.
 Kingeleraza kinamtoka kama bomba la mafi 71.
 Zime bambuka rangi na kuacha mapakupaku mithiliya
ngozi ya chui 72.
 Aliyekataa katakata 74.
 Kasimama kama nguzo ya umeme 89.
 Mvua iliendelea kuaguka mithili ya mvua ya siku za nuhu
104.

2. Nahau
 Ghafla bini vuu 14.
 Tulipo piga hamadi 20.
 Miguu yangu ikafa ganzi 22.
 Nita shida huko ili nisimwage unga 27.
 Nili keti sako kwa bako
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

 Alitupokea kwa mawili matatu.


 Tulisalimu amri 89
 Alikua ameteremusha zipu 110.
 Maji yamezidi unga
 Wakanju walikula kalenda bure 138
 Funga breki 144.
3. Methali
 Mtoto wa panya hakosi mkia 12.
 Kipya kinyemi kingawa kidonda 13.
 Kusikia si kuona, tuone ndipo tuambe 14.
 Kukopa harusi kulipa matanga 14.
 Chako hakinuki ngawa kimeoza 24.
 Pavumapo palilie sikazi kudamirika 29.
 Hayawi hayawi huwa 30.
 Kupotea njia ndiko kujua 32.
 Mwenye macho haambiwi tazama
 Chakala simba halilali nguruwe 33.
 Mshoni hachagui nguo.
 Penye nia pana njia 53.
 Mtengo bila chambo haunasi 73.
 Dau la mnyonge haliendi joshi 124.
 Hasira ni hasara 182.
 Yaliopita si ndwele tugange yajayo 196.
 Dawa ya moto ni moto
4. Utohozi
Lori 10, friji 14, breki 17, choo cha flashi 18, shesi ya mkate
19, swichi 19, fremu 19, magari leni tatu 22, soksi 23 kochi
(kiti) 23 glasi 25 propaganda tupu 29, jaketi 31 kamera
sampuli, flashi 48. Kondakta 57 sachi 70 aproni 81 plastiki
soseji 97, klabu 132, paspoti 217, tiketi 2017.
5. Kuchanganya ndimi

 Chips,  War and  Process 45


sausage 12 peace 23  TV crew
 Red plum 19  Come in 23  Shut up 61
 Anyway 2  Seriously 26
 Mortuary 27
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

 Please Akida  Sweetie 132  Honey 86


take it easy  Hot dogs 97  Kashopping
70  Boss 103 center 94

6. Chuku
 Lakini masomo alikuwa mbumbumbu hawezi kuunga
moja na moja akapata mbili.
 Akipita mawimbi hujitenga (mjombake Tim)
 Ukimwona unashikwa na homa au kigugumizi (Pamela)
7. Tanakali sauti
 Kuenda kujiputeka pwata 28.
 Mara waa picha, ikajitoeza.
 Tapu !tapu ! migongo ya tapureta 41.
 Lilioninyororo nyororo.
 Moyo wanidunda dududu 63.
 Kuchechea checheche
 Kupapapatika papatupapatu
 Tak ! tik ! tak ! tik ! ya saa 69
 Nilisismama bwe-bwe 81.
 Nililia wee ! 89.
 Nikajipweteke pwata 89
 Nilikimbia chapuchapu.
8. Misemo
 Ngamia wa jageani akipatamaji hunjwa kupudukia 20
 Sahani zikiwa kwenye tuyahaziachi kugongana 30
 Bibilia yasema aduimpende
 Vita havina macho 123
 Umechechewa chehewa ukakuta mwana si wako.
 Kufanya kosa si kosa, kosa ni kumidia
 Changu kilichopika mboga kalihakiachi kuwa na ukah
142
9. Nidaa
 Eeh ! kuona mungu 102.
 Hahaula ! ladha nzuri ajabu !13
 Ahaa mbona nasahau 15.
 Oooh ! 16 lo !
 Lo ! Tim kachunuka 25
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

 Aah ! ngoja nikwambie, lahaula 152


 Lo ! nasi hatukuyatazama magazati leo ! 28.
 Al ! pam ! 35, ooh masinkini pole Akida 35
 Alaah !35, Lo ! masalale, 137
10. Nyimbo
 Akida kwa Tim na Pam 38.
 Wimbo wa mzee uredi hosipitalini.
 Tamari kwa Akida mapenzi

11. Barua
 Barua ya Nana kwa 38.

12. Shairi
 Mzee sululu kwa Akida juu ya hasira 42
 Sululu Akida (hasira) 64
13. Jarida
Jerumani. Akida 160

14. Ndoto
Akida-Tamari
15. Uzungumzaji nafsi
16. Hadithi ndani ya hadithi
17. Mbinu rejeshi

6. MAUDHUI (THEMES) KATIKA RIWAYA YA KUFA KUZIKANA

Maudhui ni mambo muhimu au ujumbe unaopatikana katika kazi yoyote ya


kifasihi na kazi hiyo yaweza kuwa ya riwaya, tamthilia au ushairi.

Katika uchambuzi wa maudhui, katika kazi yoyote ya fasihi ndipo tunapata


mafunzo yanayopatikana katika riwaya au tamthilia na hata ushairi.(poetry)

Katika riwaya ya KUFA KUZIKANA,tuna maudhui ya aina kadha wa


kadha(different types).

1.NDOA NA MAPENZI(Marriage $love)


Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Huu ni wakati ambapo wawili wakishapendana wanaishi pamoja kama mume


na mke katika familia.Na katika riwaya hii tunaona mapenzi na ndoa kati ya
Tom au Rasto Mangala na mkewe Jennell ambaye ni Mzungu.

Tunaona pia mzee Sululu akihakikisha maudhui ya ndoa na mapenzi kwani


alikuwa mumewe Joan Sululu mamake Akida.

Pia tunaona mapenzi kati ya Akida na Tim (kufa kuzikana), mapenzi kati ya
Pamela na Tim.

2.UKABILA(Tribalism,)

Ni mapendeleo ya mtu fulani kwa kabila lake kwani kabila


zinazopatikana;kabila katika riwaya hii ni Wakorosho na
Wakanju,Wachungwachungwa.

Kwa mfano,

Ukabila unajitokeza katika riwaya hii ni pale ambapo mzee Uledi anamuuliza
Tim wewe ni wa kabila gani na Akida anamdanganya na anaanza
kupayukapayuka.

Pia ukabila unajitokeza pale mjombake Tim Samson Tungu anapomuuliza kuwa
Akida ni kabila gani na Akida kujibu kuwa ni Mkanju na anapokea matusi
yakukashifu kabila lake eti Wakanju ni Wajinga,Wakanju wanapenda
matanga(burrial ceremonies) hata waweza kuhudhuria matanga ya Mbwa.

3. UMASKINI ( poverty)

Umaskini ni pale ambapo mtu anakosa mahitaji yake ya msingi na kuwa katika
hali mbaya ya kimaisha.

Kwa mfano

Tunaona umaskini kupitia mhusika Mzee Sululu babake Akida anapo shindwa
kupata pesa za kutibu ugonjwa wa matende(Elephantiasis) aliokuwa nao kwa
muda mrefu.

Pia umasikini unajitokeza katika riwaya hii kwenye mitaa mbalimbali ya jijini
Tandika ambapo imejaa walalahoi wengi na majitaka kwenye mitaro na hii ni
ishara ya umaskini.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

4 URAFIKI WA DHATI (True Friendship)

Hapa ni mtu kuwa na rafiki yake wanasaidiana kwa kila shida.

Kwa mfano

Katika riwaya hii tunaona urafiki wa dhati unadhihirishwa kupitia wahusika


wafuatao.

Urafiki wa dhati unajitokeza kati ya Akida na Tim na Tamari na Pamela,mzee


Zablon na Mzee Sululu

5. MAUAJI (murder)

Ni hali ya mtu kupoteza maisha kwa kusababisha na kuuwawa na mtu


mwengine kama vile kupigwa,kugongwa na gari au kuumizwa.

Kwa mfano

Tunaona kifo cha Mwalimu Alex kinacho sababisha vifo vyenyewe kati ya
Wakanju na Wakorosho.

Pia tunaona kifo au mauaji ya Mzee Sululu anapouawa na Mzee Zablon babake
Tim huko Baraki.

Pia tunaona mauaji yanao mpata mzee Mangala babake Tom na anafanyiwa
mazishi ya kikabila.

6. MIGOGORO (conflicts)

Hapa ni pale ambapo jamii inakuwa na migongano au matatizo mbalimbali kati


ya jamii mbili ambayo ni ya vuta ni kuvute.

Kwa mfano

Mfano mzuri katika riwaya ni pale Wakanju wanapo kuwa na migogoro ya


kikabila kati yao na Wakorosho na inasababisha vifo na mauaji na kuleta
madhara tele.

7.VIKWAZO (Abstractions/Hinderances)

Ni mambo yote yanayosababisha mtu ashindwe kutimiza mambo,jambo


ambalo analenga kufanya.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Kwa mfano

Mfano mzuri katika riwaya hii unadhihirishwa kupitia mhusika Akida


anapokuwa na vikwazo vinavyo mzuia kuendelea na masomo na vikwazo hivyo
ni kama vita vya kikabila kati ya Wakanju na Wakorosho Wilayani Baraki. N.k

8. ELIMU (Education)

Elimu ni pale mtu anapokuwa na ujuzi wa kuandika kuhesabu na kusoma na pia


kuwa na udadisi wa mambo.

Mfano mzuri katika riwaya hii ni kupitia mhusika Akida anavyosoma na


kushinda mtihani wa taifa wa kumaliza darasa la saba na kuzawadiwa na waziri
wa elimu mjini Tandika, Tamari kusoma, Tim akiwa msomi ingawa alifeli.

9.UVUMILIVU(patience)

Hapa ni pale mtu anapostahimili mateso na shida mbalimbali maishani mwake.

Kwa mfano

Akida na wenzake wanavumilia mateso na maisha mabaya baada ya kifo cha


mamake kilicho tokea kwa sababu ajali ya basi katika vilima vya Tungule.

Pia tunamuona Akida akivumilia mateso baada ya kufahamu kuwa babake


ameuwawa katika vita vya kikabila na mzee Zablon babake Tim.

10. UONGOZI MBAYA ( poor leadership)

Hapa ni pale ambapo kiongozi anapojali kwa kuongoza kwa masilahi yake
kibinafsi.

Mfano

Tunaona mhusika Johnstone Mabende anayekuwa mbunge baadala ya


kupatanisha watu na kuwaogoza vyema bali yeye anawatenganisha
anapowaambia na kusema kwamba "Wakanju warudi kwao Kanju. Pia
inadhihirika kuwa na serikali ilikuwa haijali kwa hivi vita vya kikabila badala ya
kuweka mikakati ya kutatua bali wao viongozi wakanyamaza.

11.UTAMADUNI/MILA NA DESTURI (culture and Norms/customs )


Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Haya ni mambo au imani yanayofanywa na kufuatwa katika jamii zetu na


mambo ya kila siku katika maisha ya kila mtu.

Kwa mfano

Kimila katika riwaya hii tunamuona Tom (Rasto Mangala) akifuatia Mila na
desturi katika kuandaa mazishi ya babake mzee Mangala aliye uawa katika vita
vya kikabila.

12.MAADILI (Morals)

Hapa ni pale mtu anapokuwa na adabu katika jamii anamoishi na anajiheshimu


na kuwaheshimu wengine katika jamii.

Kwa mfano.

Tunamuona mjomba wake Tim, Samson Tungu akitoa matusi Makali kwa Akida
baada ya kugundua kuwa Akida ni Mkanju na huu unaonyesha ukosefu wa
maadili katika jamii.

TANBIHI: jenga maudhui mengine huku ukitoa mifano kutoka riwayani


kulingana na jinsi ulivyoelewa.

Mifano mingine ya maudhui ni;

Uchoyo, ufisadi, mabadiliko, Utengano, utabaka, hasira, dini, ufanyakazi na


bidii, Usaidizi, Unafiki, ukatili n.k

7. MBINU ZA LUGHA KATIKA RIWAYA KUFA KUZIKANA KWA UKAMILIFU NA


FASIRI ZAZO.

Huu ni ufundi mwandishi anaotumia kama fani za Lugha au mbinu za lugha ili
kuwasiliisha ujumbe wake kwa hadhira unaoleta mvuto na mnato wa kazi kwa
msomaji.

Kwa mfano

1.Methali (proverbs)

Ni vifungu vya maneno au sentensi vinavyotumika kufumbia watu na huwa


vina maana fiche.

Kwa mfano
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Wakati ni dawa UK 14

Damu ni nzito kuliko maji uk 5

Kukopa harusi kulipa matanga UK 16

Kufuata nyuki ukafa mzingani UK 21

Kuuliza si ujinga UK 21

Vita havina macho UK 96

2.NAHAU

Kwa mfano katika riwaya ya Kufa kuzikana ni kama yafuatayo

Kengeushwa akili UK 20

Duwaa (kushangaa) UK 10

3.TASHBIHI (similies)

Hii ni mbinu ya lugha inayolinganisha vitu au hali mbalimbali tofauti kwa


kutumia maneno "kama" mithili ya",sawa na"mfano wa"

Kwa mfano

Magari kuingia barabarani kama sisimizi

Mvua ilimnyeshea mithili ya maporomoko ya mto Naili.

Kujihisi kama samaki aliye mkavu.

4.KEJELI (Despise/mocking)

Haya ni maneno ya dharau au kumfanyia mtu mzaha au kebehi.

Kwa mfano

Aliniona mkia wa mbuzi (Tamari alimdharau Akida)

Mjombake Tim anapomwambia kuwa Wakanju wanapenda matanga.

5.CHUKI (Hyperbole)
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Ni kutumia maneno yanayotiliwa chumvi ili kusisitiza ujumbe Fulani au kutilia


chumvi.

Kwa mfano

Kuta zilizogeuka nyeusi kwa masasi,zilisimama wima bila paa kama viwiliwili
vya binadamu visivyo kuwa na vichwa.uk 93

Kasimama kama nguzo ya umeme UK 89

Magari yalijaa na kutapika abiria.

Kiingereza kilikuwa kinamtoka kama bomba la maji lililopasuka.uk 71

Maji ya mto kibisi yalinyiririka kama nyoka chini ya kifaranga UK 95

6.UTOHOZI (Assimilation)

Ni mbinu ya kutumia maneno yasiyo ya kiswahili na kuyafanya yatamkike na


kusikika kama ya kiswahili.

Kwa mfano

Polisi uk30

Frigi UK 14

Choo cha flashi UK 18

Televisheni UK 19

Swichi UK 19

Sekondari UK 21

7.MASWALI YA BALAGHA.(Rhetorical questions)

Maswali yanayoulizwa na msimlizi au mhusika ambayo hayahitaji jibu.

Kwa mfano

Sasa? UK 117.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Watafuta sitesheni gani ? UK 29

Alitaka roho? UK 155

Lugha? Tuwe na lugha moja duniani.uk 90

8.KUCHANGANYA NDIMI (mixing languages)

Ni mbinu ya kuweka maneno yasiyo ya kiswahili katika sentensi ya kiswahili.

Kwa mfano

Chips na sausage UK 12

Red plum uk 19

Anyway uk 21

War and peace uk 24

Shut up uk 61

9.TASWIRA(imagery)

Ni matumizi ya maneno/lugha yanayojenga picha ya hali au jambo fulani kwa


msomaji.

Kwa mfano.

Tumezama rafiki yangu nikamwambia Timu;

"Hayawi hayawi huwa" akajibu Tim uk 30.

10.TAKRIRI (repetition)

Ni mbinu ya kurudia rudia maneno moja au kifungu cha maneno ili kusisitiza
ujumbe fulani.

Kwa mfano

Shati lenyewe jeupe pepepe UK 12

Ovyo ovyo UK 72
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Viwiliwili UK 93

Mchungwachungwa uk 104

Akitetemetetemeka uk 172

Tak! tik! Tak! tik! Uk 69

11.KUHAMISHA NDIMI

Ni kuingiza sentensi ya lugha nyingine katika kifungu cha lugha ya kiswahili.

Kwa mfano

Please Akida take it easy uk 70

Ala! Come in.,alisema bila shauku UK 23

Honey! Anything the matter? Uk 85

8. WAHUSIKA KATIKA RIWAYA YA KUFA KUZIKANA

Wahusika ni viumbe wanaotumiwa na mwandishi ili kuwasilisha kazi yake kwa


hadhira au ni viumbe wanaotumiwa na mwandishi kuwasilisha madhumuni au
dhamira yake katika jamii anayoilenga

Kuna aina mbili za wahusika yaani wahusika wakuu na wahusika wadogo au


wahusika wasaidizi. Ingawa kuna aina nyingine za wahusika kama kinyago, mui,
Bapa, miraba minne, na wengine lakini sikutaka ndami kwa hayo ila
nimeangalia mhusika mkuu na mdogo tu.

Wahusika wakuu ni wahusika ambao hujitokeza kutoka mwanzo wa kazi ya


fasihi hadi mwisho.

Wahusika wadogo ni viumbe ambao hutumiwa na mwandishi ili kuwawezesha


wahusika wakuu kuitimiza kazi yao katika riwaya au kazi nzima ya fasihi.

Wahusika wadogo hujitokeza kwa nadra katika kazi yoyote kwa


mfano.Mhusika mdogo hujitokeza ama katika sura ya kwanza ya riwaya au
tamthilia na asijitokeze katika sura ya pili na atoke katika sura ya tatu.

Mfano wahusika wadogo katika riwaya ya kufa kuzikana ni kama vile:-


pamela,Jenel,Tamale, Johnstone Mabende nk
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Kazi yoyote ya fasihi kuwepo inahitaji wahusika wakuu kwanza na baadaye


wahusika wasaidizi.Wahusika waweza kuwa mizimwi,Miungu,
Wanyama,Ndege,hata binadamu wa kawaida.

Wahusika katika riwaya ya Kufa kuzikana ni kama wafuatao;

1.Akida

Ni Mkanju kwa hiyo anatoka kabila la Wakanju linalo hasamiana na kabila la


Wakorosho katika riwaya KUFA KUZIKANA.

Ni mwenye urafiki wa dhati kwa mfano ni rafikiye Tim,tangu utotoni hadi ujana
na urafiki wao unanyoshwa pale anapoenda kumtembelea Timu jijini Tandika.

Pia ni rafiki yake wa dhati Tom Mangala kwa jina maarufu la Rasto Mangala
anayeishi Ughaibuni Nchini Canada.

Ni mwenye akili nyingi darasani(Ni mwerevu) kwani tunamuona akishinda


mtihani wa taifa wa darasa la saba na kuwa mtu wa tatu katika taifa zima,
kiwachema na kuzawadiwa na Waziri wa Elimu Mjini Tandika Bwana Kato.

Pia ni mwenye hasira nyingi.kwa mfano anashikwa kwani anataka kumpiga


abiria aliyekuwa akimlalia ndani ya basi katika safari yake kuelekezwa mjini
Tandika.

Ni mvumilivu kwani tunaona akivumilia maisha ya shida tangu kufa kwa


mamake kabla hajamaliza shule hadi anapomaliza shule na kushinda mtihani
wa Taifa.

Ni mwenye mapenzi ya dhati kwani anampenda babake anayeishi naye baada


yakumpoteza mamake aliyempenda sana hata vile anayo mapenzi kwa
marafiki zake Tim, Tom,hata Tamari

Ni mwenye bidii kwani anafanya kwa bidii katika masomo na kushinda mtihani
wa Taifa wa darasa la saba, pia anatoa bidii katika kazi ya uchungaji wa mifugo
kwa msajili wake Mzee Muyaka.

Ni mchukivu wa ukabila na ubaguzi kwasababu anadhani kuwa Wakitishia na


Wakanju nikitu kimoja hangependa wabaguane kama ilivyo kwa viongozi
wakikorosho kama vile Johnstone Mabende.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Ni mwenye heshima anayewaheshimu watu kwa sababu tunamuona


akimheshimu mzee Zablon babake Tim na pia kumheshimu mwalimu Alex na
wazazi wake pia.

Anapenda kusaidiana kwani katika riwaya hizi tunamuona akimsaidia Rasto


Mangala katika mazishi ya babake Rasto au Tom Mangala baada ya kuawa
katika vita vya wenyewe (Wakorosho na Wakanju).

Ni mchungaji kwani tunamuona akifanya kazi ya uchungaji vizuri pale


anapoenda mafichoni baada ya kutoroka jijini Tandika na kwenda kutafuta kazi
kwa muda kule wilayani sangura kwa mzee muyakka

Ni mzalendo kwani tunaona anapenda nchi yake kiwachema kwasababu


anatokea na machozi pale Tim anapo msindikiza uwanja wa ndege pale anapo
elekeza Canada na kusema maneno haya "naiaacha nchi yangu ambapo
kiwachema? nalia kwa sababu nakupenda nchi yangu inaniliza.kiwachyema
kwa kheri,kwa sasa,usulie ni subiri nitarudi."

Ni mwenye kipawa cha kuimba. Kipawa hiki kinatambulikana anapowaimbia


Pam pamoja na Tim.

Hoja si hizi pekee jenga na nyingine kulingana na matendo yake Akida:

2.TIM MAPISI

Ni mkorosho kwa hivyo anatoka katika kabila la Wakorosho lenye uhasama na


kabila la Wakanju

Ni mtoto wa mzee Zabron kiongozi wa mauwaji katika vita vya ukabila kati ya
Wakanju na Wakorosho Urayani Korosho au Baraki.

Ni mwenye mapenzi ya kirafiki. Rafiki yake Akida wa kufa kuzikana kwa


sababu tunamuona akihimilimikiki ya ukabila baina ya kabila la Rafiki yake
Akida yaani Wakorosho na Wakanju.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Ni mfanyakazi na bidii.Ni mfanyakazi katika kiwanda cha kusindika mafuta cha


mjomba yake/wake mjini Tandika anapo fanya kazi ya ukarani.

Pia ni rafiki yake Tom na mkewe Jenell kwa hivyo ana urafiki wa dhati.

Ni mwenye mapenzi ya dhati kwani anaye mpenzi wake pamella kutoka kabila
la Wasangula.

Ni mwenye kipawa.Ni mchezaji hodari wa kandanda kwani aliichezea timu ya


shule yake alipokuwa na soma shule ya msingi na ndipo akawa maarufu.

Ni mbumbumbu mbu darasani na hivyo hakujimudu kimasomo .Na kumfanya


ashindwe mtihani wa darasa la saba.

Ni mkarimu kwani tunamuona akimpa pole Akida baada ya kugunduwa kuwa


ameibiwa na viatu na walala hoi.

Ni mnafiki. kwa sababu anajifanya amefurahi kuhusu kuzawadiwa kwa Akida


na waziri wa Elimu kumbe ndani yake ana wivu.

Hapendi ukabila/Si mkabila. kwa namna moja au nyingine hivyo ni adui wa


ukabila kama alivyo rafiki yake Akida.

Ni mpenda dini .kwa sababu tunaona akihudhuria mahubiri yeye na mpenziwe


Pamela katika kanisa la Kasisi Livingstone.

Ni mvumilivu wa shida na Mateso. kwa sababu tunaona akivumilia mateso


baada ya kifo cha babake na mateso katika kiwanda cha mjomba wake.

Ni mwenye heshima kwasababu tunamuona akionyesha heshima ya dhati kwa


wazazi wake, shangazi yake Pamela,pamoja na Mzee Sululu babake Akida.

3.MZEE MUYAKA

Ni Msangula kwa hivyo ni wakabila la wasangula.

Ni mwenye hasira nyingi kwasababu anashikwa na hasira baada na mkewe


kumtorosha binti yake ili kukwepa kisu cha Ngariba.

Hana shukurani kwa sababu tunaona hatoi shukurani kwa Akida baada ya
Akida kumfanyia kazi zake vizuri na kumsomea barua aliokuwa ameandikiwa
na binti yake Synthia.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Hana mapenzi sifa nyingine kwani tunamuona katika riwaya hatoi mapenzi kwa
familia yake.

Ni askari polisi kwasababu anaonekana kumiliki bunduki anaitumia kwa ujiri wa


ulinzi kwa mali zake na mifugo.

Ni muajiri kwa sababu ndiye muajiri wa Akida baada ya Akida kutoroka mjini
Tandika na kukimbilia huko Sanura.

Ni tajiri sana kwasababu ana utajiri mwingi ndio maana anamuajiri Akida kuwa
mchungaji wa mifugo.

Ni Mkuu wa familia kwa sababu ni mumewe Bitina.

Ni mzazi kwasababu ndiye babake Nana Synthia na Mjerumani au Johnstone


pamoja na Pamela.

4.TAMARI

Ni mtoto wa Mzee Zablon babake Tim na hivyo ni dadake Tim.

Ni Mkorosho na hivyo ni wakabila la Wakitishia ninalo hasamiana na kabila la


Wakanju.

Ni mjinga kwa sababu masomoni alikuwa hajimudu kimasomo

Ni mrembo kwasababu alikuwa akaumbwa na kuumbikwa haswa(she was very


beautiful) kwa sababu tunamuona Akida akimumezea mate(admiring her).

Ni mwongo kwa sababu anatarajiwa na sifa ya uongo anapo mdanganyia Akida


akimsingizia kuwa alitaka kumbaka.Na hivyo kuzua chuki baina ya Tim na
Akida.

Anapenda ukabila au ni mkabila. kwa sababu tunamuona akimtukana Akida


kuwa Wakanju ni Wajinga.

Ni shujaa kwasababu anatuonyesha ushujaa wake kwa kumtorosha Akida huku


akimuvalisha nguo za kike na kumpa matiti ya bandia ili kuwakwepa
Mahakama walio taka kumua kwa ajiri ya ukabila sababu alikuwa Mkanju.

5.PAMELA
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Ni msangura na hivyo anatoka katika kabila la wachungwachungwa na anaishi


na shangazi yake ambaye ni Msangura.

Ni mwenye mapenzi ya dhati kwa sababu ni rafiki na mpenzi wa Tim rafikiye


Akida wa kufa kuzikana.

Ni mwenye huruma nyingi kwa sababu anatuonyesha huruma baada ya kifo


cha babake Rasto Mangala na baada ya kifo cha babake Akida.

Ni mwanafunzi wa kazi ya uandishi.Na hivyo ni msomi katika chuo cha


kompyuta.

Ni mkarimu(generosity) kwa sababu anaonyesha umakarimu wake


anapomtembelea Tim na kumkuta rafikiye Akida na kuonyesha ukarimu wa hali
ya juu.

Ni mdanganyifu kwa sababu anaonyesha kuwa anampenda Tim lakini huku


akimumezea mate Akida kwa sababu ya vipawa vyake vikiwemo uimbaji hata
akiwa miongoni mwa wanafunzi bora tatu nchini.

6.TOM (Rasto Mangala)

Ni Mkanju kwa hivyo ni wa kabila la Wakanju linalo hasamiana na kabila la


Wakorosho.

Ni mtoto wa Mzee Mangala au Rasto Mangala ambaye pia ni Mkanju wa kabila


la Wakanju.

Ni mwenye akili nyingi kupita kiasi kwa sababu anasomea hata Ughaibuni
Nchini Canada.

Ni mwenye upendo wa dhati kwa sababu anampenda mkewe Jenell na rafikiye


Akida ambaye ni Mkanju kama yeye.

Ni tajiri kwa sababu tunamuona akifanya mazishi ya kifahari ya babake baada


ya kuawa vita vya ukabila huko baraki wilayani Korosho na pia kutimizi ahadi
yake ya kumpeleka Akida kusomea Ughaibuni.

Anapenda utamaduni wake au mila na desturi za kwao ndio sababu wanamzika


babake kwao baraki wilayani Korosho.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Ni mwenye huruma sababu tunamuona akimhurumia Akida baada ya kifo cha


babake na kutimiza ahadi yake ya kumpeleka Ughaibuni kusomea Canada.

Anapenda kusoma kwa sababu anasoma hadi nje Nchini Canada.

Ni mwenye urafiki wa dhati /wa kufa kuzikana kati ya rafikiye Akida pamoja na
Tim.

Ni mfanyakazi kwasababu tunamuona akifanya kazi katika shirika Ankara.

Ni mumewe Jenell ambaye ni Mzungu kutoka Canada na wanaoendana sana.

7.MWALIMU ALEX

Mwalimu Alex ni Wa kabila la Wakorosho na hivyo ni Mkiristo mzaliwa wa


korosho Wilayani Baraki.

Ni mwenye urafiki wa dhati kwa wanafunzi wake Kama,Tomu,Timu ,Akida na


Regina.

Alikuwa mwalimu mwenye akili na aliwafundisha wanafunzi kama


Akida,Tamari,Timu na Regina.

Ni mwenye mapenzi ya dhati kwa Wakanju na Wakorosho

Ni mtu ambaye hapendi ukabila kwasababu anapinga maneno ya Johnstone


Mabende ya kuwabagua Wakanju.

Ni mpenda amani. Ndio maana anatetea wakanju kwani nao ni ndugu zao.

Ni msema ukweli.

8.MZEE SULULU

Ni babake Akida anaishi baraki.

Ni Mkanju kwa hivyo ni wakabila la Wakanju wanaohasimiana na Wilayani


Korosho.

Ni jirani mwema kwa sababu ana ujirani mzuri na Mzee Zablon babake Tim na
Tamari.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Ni mvumilivu wa shida zote kwa sababu alivumilia shida za ugonjwa wa


watende makofi cha mkewe.

Alikuwa mjane kwa sababu alifiwa na mkewe katika ajali ya basi Milimani
Tungule.

Alikuwa maskini kwasababu hakuweza kijiti Isha maguu yake.

Hapendi ukabila kwa hivyo ana uchukia ukabila.

Alikuwa mtunzi wa mashahiri kwa sababu alitunga mashahiri mengi na diwani


yake ilitolewa nahatubagui publishers ambayo alikufa kabla hajaiona.

Alikuwa na mapenzi ya dhati kwa sababu alimpenda mwanaye Akida na


kumwombea asafiri vyema alipokuwa anaelekea mjini Tandika ili kuzawadiwa
na waziri wa elimu baada ya kushinda mtihani wa taifa wa kumalizia darasa la
saba.

9.MZEE ZABLON MAPISI

Ni babake Tim na Tamale wanaopenda ukabila.

Ni mkiristo na hivyo ni wakabila la Wakorosho linalo hasamiana na kabila la


Wakanju na wote wakiishi wilayani Baraki nchini Kiwachema.

Ni mpenzi wa ukabila ambaye ameambiwa mzee Sululu kuwa napaswa kuhama


kurudi kwao kanju

Ni rafiki yake mzee Sululu japo wana mitafaluku yahapa na pale.

Ni shemeji yake na mjomba yake Tim na Tamale.

Ni muaji kwa sababu alishiriki katika vita vya kikabila baina ya Wakanju na
Wakorosho akiwaua Wakanju wengi miongoni mwao akiwa Mzee Sululu.

Ni mwenye mapenzi ya dhati kwa mwanawe yaani Tim na Tamale waliokuwa


mbumbumbu darasani.

10. REGINA ULEDI

Huyu ni mtoto wa mzee Uledi ambaye alikuwa anasoma darasa moja na Akida.

Ni msomi kwa sababu yeye kama yeye hakupenda mambo ya mapenzi.


Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

Alikuwa msaliti(betrayer) ,anafanya usaliti kwasababu anawasaliti marafiki


zake.

Ni malaya kwani tunaona anaanza kujiuza mtaani baada ya vita vya kikabila
jijini Tandika.

11. JOAN SULULU

Huyu ni mkewe mzee Sululu, mamake Akida.

Ni marehemu (late) au hayati kwasababu alifariki dunia ( aga dunia) miaka


kumi iliopita baada ya basi la Abiria kupata ajali na Lori Milimani Tungule.

Ni mfanyakazi kwa bidii. Alikuwa muuza samaki,matunda katika kufika chake


huko Korosho na hivyo ni kufanya biashara(business woman ).

12. MZEE ULEDI

Ni Mkanju na hivyo ni wakabila la Wakanju lenye uhasama na kabila la


Wakorosho.

Alinusurika kifo walipokuwa wanamuuliza kama yeye ni mzee Uledi akisaidiwa


na ulevi wake.(drunkardness)

Ni mlevi wa kupindukia kiasi, wakati Akida na Tim wakamuliza kama yeye ni


mzee Uledi na husema apana.

Ni mpenda wakabila kwa sababu alibainika wazi alipouliza Tim ni kabila gani na
Akida akadanganya na kuanza kupayukapayuka. (trimbling)

Ni mcheza marimba na Gitaa anawaambia Akida na Tim eti walipo vamiwa na


Wakorosho alikuwa akipiga Gitaa yake.

Wahusika wengine ni kama, Bi Tina mkewe muyaka, Mzee Muyaka, Jeruman,


Cynthia bintiye Muyaka, Yusufu Matuko, Bwana kato, Kasisi Johns, Tito
Thembo. Na wengine. Jenga sifa za hao wahusika.

Pia kumbuka kutumia njeo/wakati uliopo wakati wa kujibu (na) bali si (li).
Kumbuka kuwa katika wahusika maelezo yametumika sana. Hoja kuijenga
vizuri mwanafunzi aseme hivi; Akida ni mwerevu, Ni msomi bali asiseme
akida alisoma.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

09. UHALISIA (Realism) hata na Ulinganishi na ulinganuzi( kulinganisha


yaliomo katika riwaya na jamii)

Riwaya yenyewe inahusu urafiki wa vijana wawili Tim na Akida wanaotoka


katika makabila tofauti Akida akiwa Mkanju na Tim akiwa Mkorosho vilevile
tuna urafiki katika jamii zetu kati ya watu tofauti.

Riwaya hii inahusu mizozano( Wrangles), migogoro,matatizo, mitafaruku


(misunderstandings), vita vya kikabila na mauaji ya watu vilevile katika jamii
zetu tunaona migogoro, matatizo , mitafaruku,vita vya kikabila katika watu wa
jamii.

Riwaya hii inaonyesha umaskini katika wahusika na familia zao vilevile tunaona
umaskini katika familia za watu wengi katika jamii zetu.

Riwaya hii inaonyesha mapenzi na upendo wa dhati kati ya wahusika kama


Akida na Tim vile vile tunaona watu wana mapenzi katika jamii na familia zao.

Fuata utaratibu huo kujenga hoja zako kutokana na vipengele kadhaa hasa
maudhui.

11. MASWALI YA KUDURUSU (Revision questions)

✓Toa mifano kuonyesha jinsi maudhui ya ukabila yanavyoendelezwa katika


riwaya ya Kufa kuzikana.

✓a)Eleza chochote kuhusu riwaya kufa kuzikana na ken Walibora.

b)Taja na kueleza angalau mafunzo kumi yapatikanayo katika riwaya Kufa


kuzikana.

✓Fafanua mbinu za lugha alizotumia mwandishi kuwasilisha ujumbe wake kwa


hadhira katika riwaya Kufa kuzikana.

✓Anwani "Kufa kuzikana" ni anwani mwafaka ya Riwaya hii? Jadili.

✓Maudhui ya mapenzi ndio maudhui pekee katika riwaya ya Kufa


kuzikana.jadili

✓Fafanua mbinu za lugha katika riwaya ya Kufa kuzikana

✓Ukabila ni miongoni mwa maudhui katika riwaya ya Kufa kuzikana,jadili


Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

✓Riwaya ya Kufa kuzikana ina umuhimu gani kwa vijana vya kisasa.

✓jadili sifa/hulka za wahusika wafuatao kama wanavyo wasiliswa na


mwandishi katika riwaya ya Kufa kuzikana.

a)Akida

b)Tim

c)Mwalimu Alex

d) Tom

e) Pamela

✓a)Jadili sifa tano hasi( negative ones) za mzee Uledi katika riwaya ya Kufa
kuzikana.

b) jadili sifa tano chanya(positive ones) za mhusika Akida katika riwaya ya


Kufa kuzikana.

✓) "Mvumilivu hula mbivu" jadili methali hii huku ukirejelea riwaya ya Kufa
kuzikana.

✓ "Nchi kiwachema kulijaa maovu chungu nzima"(problems/bad things).Eleza


huku ukitoa ushahidi ukirejelea riwaya ya Kufa kuzikana.

✓Onyesha vile ujinga wa Akida juu ya maisha ya mjini ulivyo muathiri katika
riwaya ya Kufa kuzikana.

✓ Onyesha ukweli kwamba dunia ni uwanja wa uvumilivu ukirejelea yaliomo


katika riwaya ya Kufa kuzikana.

✓ "Jogoo wa shamba hawiki mjini"thibitisha ukweli wa methali hii ukirejelea


Akida katika riwaya ya Kufa kuzikana.

By Mwalimu Angel Natamba MIU tawi la Mbarara .


Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com

12. SEHEMU MBALI MBALI RIWAYANI

Mumbaimbai – shule alikosomea Tamari mjini.

Baraki – Kijiji walikozaliwa A kida,Tim, Tamari

Tandika – jiji kuu la kiwachema

Shauri moyo – Alikoishi Tim mara ya kwanza.

Mtaa wa mama nasambu. Alikoishi shangazi yake pam

Mtaa wa mlimani

Mtaa wa Falkland – Mtaa wa kimaskin alikoishi tim

Binge – kituo cha biashara huko sangura

Sangura – wilaya kwa mzee muyaka na kwao pam. Wilaya ya


wachungwachungwa

Nduchi – Hospitali ya kijijini.

Rufaa – Hospitali ya jijini Tandika.

You might also like