Professional Documents
Culture Documents
Mwongozo Wa Riwaya Ya Kufa Kuzikana Na Tr Bahati Mubaraka
Mwongozo Wa Riwaya Ya Kufa Kuzikana Na Tr Bahati Mubaraka
com
na
2003
NAIROBI –KENYA
E-mail: bahatimubaraka1994@gmail.com
Tel/Simu: 0774690721/0776767334/0750037189
Whatsapp:Mubaraka agaba,0774690721
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Riwaya hii Kufa Kuzikana Ni hadithi inayohusu Urafiki wa dhati kati ya vijana
wawili yaani Akida na Tim,wanaotoka kwenye makabila yenye uadui.
Riwaya hii unawahusu vijana hawa Akida na Tim wanaotoka kwenye makabila
tofauti yaani Akida akiwa Mkanju na Tim akiwa Mkorosho.
Pia, katika jalada tunaona wanyama kama vile mbwa, wakivuta na kula mizoga
ya watu waliokufa na hiki kinaashiria mauaji katika Riwaya na jamii kwa ujumla.
Vile vile tunaona Moshi katika jalada kwa mbali unaopanda juu ya uteketezaji
wa makazi ya watu na kuacha bila kuwa na mahali pa kuishi na hili linaashiria
vita vy wenyewe kwa wenyewe au vita vya kikabila yaani Wakanju na
Wakorosho.
Katika jalada pia, tunaona mimea iliyo teketezwa kwa kukatwakatwa na hili
linaashiria migogoro na migongano pamoja na unafiki ulioko katika Riwaya na
jamii ilio husika na iliyolengwa na mwandishi.
3.DHAMIRA YA MWANDISHI
Mwandishi ana dhamira ya kuonyesha athari za mauaji katika jamii kwa mfano
mauaji ya Mwalimu Alex yanayoleta uhasama na kuteketezwa kwa mali baina
ya Wakorosho na Wakanju.
Pia mwandishi anatuonyesha athari za Rushwa katika jamii na nchi nzima kwa
mfano tunamuona Akida akipoteza nafasi yake ya masomo kwa kuchelewa na
nafasi yake ya masomo kwa kuchelewa na nafasi yake wanamuuzia mtu
mwengine mwenye pesa.
Kwanza kabisa tunapata mafunzo ya kutokuwa wanafiki katika jamii zetu kama
alivyo mzee Zablon kujifanya rafiki yake babake Akida na mwishowe kamuua.
Pia tunapata mafunzo ya kuwa na urafiki wa dhati kama wa Tim na Akida jako
walikuwa wanatoka kwenye makabila tofauti yaliyo hasamiana.
Aidha, tunajifunza kutumia ahadi zetu kwa marafiki tulio waahidi kwa mfano
tunamuona Tom Mangala akimhidi Akida kumpeleka ughaibuni nchini Canada
alikoishi yeye na anafanya hivyo kweli kweli.
Tunajifunza kuwa wavumilivu katika hali yoyote ile ya maisha kwani, mfano
bora katika riwaya ni pale Timu,Akida na Tamari wanapoishi katika nyumba
moja baada ya Tim kupoteza kazi wanaishi kwa kazi za vibarua vya kutosha
zege na kuosha nguo za matajiri huko katika mtaa wa Falkland.
Pia tunajifunza kutoendeleza ubaguzi katika jamii zetu tunamoishi kama vile
Mheshimiwa mbunge Bwana Johnstone Mabende aliposema Wakanju warudi
kwao kanju kitendo kinachochochea vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya
Wakanju na Wakorosho.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Hali kadhalika, tunajifunza kutokuwa na wauaji katika jamii zetu kwani mauaji
yanasababisha umwagaji wa damu kwa watu wasiyo na hatia kwa mfano katika
riwaya, mauaji ya Mwalimu Alex yalisababisha umwagaji wa damu ya watu
wengi wasiyo na hatia yakiongozwa na Wakorosho.
Tim alishauri wapitie kwa Tom ktika mtaa wa mlimani ili aweze
kuwasaidia kuwapeleka kwa hospitali za Nduki na Korosho kwa
gari lake. Walipofika, walipokelewa na Janelle mke mzungu
kutoka Canada. Tom naye alirudi nyumbani kutoka kazini baada
ya kupata habari za kifo cha babake. Walikubaliana kuondoka
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Siku iliyofuata Tom alitoa kiasi cha pesa kwa idara ya polisi ili
wampe ulinzi watakapokwenda kumzika babakekijijini.Tom
alishauriwa na Tim kumzika babake katika makaburi ya umma
akakataa kwa kusema kuwa lazima afuate mila na destuli za
kwao yani mtu huzikwa kwao.
1. Tashibihi
Najihisi kama zumbukuku
Najihisi kama samaki kwenye nchi kavu
Vimepigwa pasi vikapigika kama sare ya askari polisi –
Tim12
Mwanafalsa amwagaye semi za hekima kama mhenga.17
Walinyakuwarundo la mageti kwa kasi kama umeme.
Nilikuwa kama nzi aliyenaswa kwenye utata wa utanda
bui.
Mwaka wa sita napuhekwa huku na huku kama mpira
uwanjani.
Kainama kama kondoo 51 .
Wakanju ni kama lila nafila hawa tangamani.
Kingeleraza kinamtoka kama bomba la mafi 71.
Zime bambuka rangi na kuacha mapakupaku mithiliya
ngozi ya chui 72.
Aliyekataa katakata 74.
Kasimama kama nguzo ya umeme 89.
Mvua iliendelea kuaguka mithili ya mvua ya siku za nuhu
104.
2. Nahau
Ghafla bini vuu 14.
Tulipo piga hamadi 20.
Miguu yangu ikafa ganzi 22.
Nita shida huko ili nisimwage unga 27.
Nili keti sako kwa bako
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
6. Chuku
Lakini masomo alikuwa mbumbumbu hawezi kuunga
moja na moja akapata mbili.
Akipita mawimbi hujitenga (mjombake Tim)
Ukimwona unashikwa na homa au kigugumizi (Pamela)
7. Tanakali sauti
Kuenda kujiputeka pwata 28.
Mara waa picha, ikajitoeza.
Tapu !tapu ! migongo ya tapureta 41.
Lilioninyororo nyororo.
Moyo wanidunda dududu 63.
Kuchechea checheche
Kupapapatika papatupapatu
Tak ! tik ! tak ! tik ! ya saa 69
Nilisismama bwe-bwe 81.
Nililia wee ! 89.
Nikajipweteke pwata 89
Nilikimbia chapuchapu.
8. Misemo
Ngamia wa jageani akipatamaji hunjwa kupudukia 20
Sahani zikiwa kwenye tuyahaziachi kugongana 30
Bibilia yasema aduimpende
Vita havina macho 123
Umechechewa chehewa ukakuta mwana si wako.
Kufanya kosa si kosa, kosa ni kumidia
Changu kilichopika mboga kalihakiachi kuwa na ukah
142
9. Nidaa
Eeh ! kuona mungu 102.
Hahaula ! ladha nzuri ajabu !13
Ahaa mbona nasahau 15.
Oooh ! 16 lo !
Lo ! Tim kachunuka 25
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
11. Barua
Barua ya Nana kwa 38.
12. Shairi
Mzee sululu kwa Akida juu ya hasira 42
Sululu Akida (hasira) 64
13. Jarida
Jerumani. Akida 160
14. Ndoto
Akida-Tamari
15. Uzungumzaji nafsi
16. Hadithi ndani ya hadithi
17. Mbinu rejeshi
Pia tunaona mapenzi kati ya Akida na Tim (kufa kuzikana), mapenzi kati ya
Pamela na Tim.
2.UKABILA(Tribalism,)
Kwa mfano,
Ukabila unajitokeza katika riwaya hii ni pale ambapo mzee Uledi anamuuliza
Tim wewe ni wa kabila gani na Akida anamdanganya na anaanza
kupayukapayuka.
Pia ukabila unajitokeza pale mjombake Tim Samson Tungu anapomuuliza kuwa
Akida ni kabila gani na Akida kujibu kuwa ni Mkanju na anapokea matusi
yakukashifu kabila lake eti Wakanju ni Wajinga,Wakanju wanapenda
matanga(burrial ceremonies) hata waweza kuhudhuria matanga ya Mbwa.
3. UMASKINI ( poverty)
Umaskini ni pale ambapo mtu anakosa mahitaji yake ya msingi na kuwa katika
hali mbaya ya kimaisha.
Kwa mfano
Tunaona umaskini kupitia mhusika Mzee Sululu babake Akida anapo shindwa
kupata pesa za kutibu ugonjwa wa matende(Elephantiasis) aliokuwa nao kwa
muda mrefu.
Pia umasikini unajitokeza katika riwaya hii kwenye mitaa mbalimbali ya jijini
Tandika ambapo imejaa walalahoi wengi na majitaka kwenye mitaro na hii ni
ishara ya umaskini.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Kwa mfano
5. MAUAJI (murder)
Kwa mfano
Tunaona kifo cha Mwalimu Alex kinacho sababisha vifo vyenyewe kati ya
Wakanju na Wakorosho.
Pia tunaona kifo au mauaji ya Mzee Sululu anapouawa na Mzee Zablon babake
Tim huko Baraki.
Pia tunaona mauaji yanao mpata mzee Mangala babake Tom na anafanyiwa
mazishi ya kikabila.
6. MIGOGORO (conflicts)
Kwa mfano
7.VIKWAZO (Abstractions/Hinderances)
Kwa mfano
8. ELIMU (Education)
9.UVUMILIVU(patience)
Kwa mfano
Hapa ni pale ambapo kiongozi anapojali kwa kuongoza kwa masilahi yake
kibinafsi.
Mfano
Kwa mfano
Kimila katika riwaya hii tunamuona Tom (Rasto Mangala) akifuatia Mila na
desturi katika kuandaa mazishi ya babake mzee Mangala aliye uawa katika vita
vya kikabila.
12.MAADILI (Morals)
Kwa mfano.
Tunamuona mjomba wake Tim, Samson Tungu akitoa matusi Makali kwa Akida
baada ya kugundua kuwa Akida ni Mkanju na huu unaonyesha ukosefu wa
maadili katika jamii.
Huu ni ufundi mwandishi anaotumia kama fani za Lugha au mbinu za lugha ili
kuwasiliisha ujumbe wake kwa hadhira unaoleta mvuto na mnato wa kazi kwa
msomaji.
Kwa mfano
1.Methali (proverbs)
Kwa mfano
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Wakati ni dawa UK 14
Kuuliza si ujinga UK 21
2.NAHAU
Kengeushwa akili UK 20
Duwaa (kushangaa) UK 10
3.TASHBIHI (similies)
Kwa mfano
4.KEJELI (Despise/mocking)
Kwa mfano
5.CHUKI (Hyperbole)
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Kwa mfano
Kuta zilizogeuka nyeusi kwa masasi,zilisimama wima bila paa kama viwiliwili
vya binadamu visivyo kuwa na vichwa.uk 93
6.UTOHOZI (Assimilation)
Kwa mfano
Polisi uk30
Frigi UK 14
Televisheni UK 19
Swichi UK 19
Sekondari UK 21
Kwa mfano
Sasa? UK 117.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Kwa mfano
Chips na sausage UK 12
Red plum uk 19
Anyway uk 21
Shut up uk 61
9.TASWIRA(imagery)
Kwa mfano.
10.TAKRIRI (repetition)
Ni mbinu ya kurudia rudia maneno moja au kifungu cha maneno ili kusisitiza
ujumbe fulani.
Kwa mfano
Ovyo ovyo UK 72
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Viwiliwili UK 93
Mchungwachungwa uk 104
Akitetemetetemeka uk 172
11.KUHAMISHA NDIMI
Kwa mfano
1.Akida
Ni mwenye urafiki wa dhati kwa mfano ni rafikiye Tim,tangu utotoni hadi ujana
na urafiki wao unanyoshwa pale anapoenda kumtembelea Timu jijini Tandika.
Pia ni rafiki yake wa dhati Tom Mangala kwa jina maarufu la Rasto Mangala
anayeishi Ughaibuni Nchini Canada.
Ni mwenye bidii kwani anafanya kwa bidii katika masomo na kushinda mtihani
wa Taifa wa darasa la saba, pia anatoa bidii katika kazi ya uchungaji wa mifugo
kwa msajili wake Mzee Muyaka.
2.TIM MAPISI
Ni mtoto wa mzee Zabron kiongozi wa mauwaji katika vita vya ukabila kati ya
Wakanju na Wakorosho Urayani Korosho au Baraki.
Pia ni rafiki yake Tom na mkewe Jenell kwa hivyo ana urafiki wa dhati.
Ni mwenye mapenzi ya dhati kwani anaye mpenzi wake pamella kutoka kabila
la Wasangula.
3.MZEE MUYAKA
Hana shukurani kwa sababu tunaona hatoi shukurani kwa Akida baada ya
Akida kumfanyia kazi zake vizuri na kumsomea barua aliokuwa ameandikiwa
na binti yake Synthia.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Hana mapenzi sifa nyingine kwani tunamuona katika riwaya hatoi mapenzi kwa
familia yake.
Ni muajiri kwa sababu ndiye muajiri wa Akida baada ya Akida kutoroka mjini
Tandika na kukimbilia huko Sanura.
Ni tajiri sana kwasababu ana utajiri mwingi ndio maana anamuajiri Akida kuwa
mchungaji wa mifugo.
4.TAMARI
5.PAMELA
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Ni mwenye akili nyingi kupita kiasi kwa sababu anasomea hata Ughaibuni
Nchini Canada.
Ni mwenye urafiki wa dhati /wa kufa kuzikana kati ya rafikiye Akida pamoja na
Tim.
7.MWALIMU ALEX
Ni mpenda amani. Ndio maana anatetea wakanju kwani nao ni ndugu zao.
Ni msema ukweli.
8.MZEE SULULU
Ni jirani mwema kwa sababu ana ujirani mzuri na Mzee Zablon babake Tim na
Tamari.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Alikuwa mjane kwa sababu alifiwa na mkewe katika ajali ya basi Milimani
Tungule.
Ni muaji kwa sababu alishiriki katika vita vya kikabila baina ya Wakanju na
Wakorosho akiwaua Wakanju wengi miongoni mwao akiwa Mzee Sululu.
Huyu ni mtoto wa mzee Uledi ambaye alikuwa anasoma darasa moja na Akida.
Ni malaya kwani tunaona anaanza kujiuza mtaani baada ya vita vya kikabila
jijini Tandika.
Ni mpenda wakabila kwa sababu alibainika wazi alipouliza Tim ni kabila gani na
Akida akadanganya na kuanza kupayukapayuka. (trimbling)
Pia kumbuka kutumia njeo/wakati uliopo wakati wa kujibu (na) bali si (li).
Kumbuka kuwa katika wahusika maelezo yametumika sana. Hoja kuijenga
vizuri mwanafunzi aseme hivi; Akida ni mwerevu, Ni msomi bali asiseme
akida alisoma.
Bahati Mubarak Agaba (0774690721/0750037189) bahatimubaraka1994@gmail.com
Riwaya hii inaonyesha umaskini katika wahusika na familia zao vilevile tunaona
umaskini katika familia za watu wengi katika jamii zetu.
Fuata utaratibu huo kujenga hoja zako kutokana na vipengele kadhaa hasa
maudhui.
✓Riwaya ya Kufa kuzikana ina umuhimu gani kwa vijana vya kisasa.
a)Akida
b)Tim
c)Mwalimu Alex
d) Tom
e) Pamela
✓a)Jadili sifa tano hasi( negative ones) za mzee Uledi katika riwaya ya Kufa
kuzikana.
✓) "Mvumilivu hula mbivu" jadili methali hii huku ukirejelea riwaya ya Kufa
kuzikana.
✓Onyesha vile ujinga wa Akida juu ya maisha ya mjini ulivyo muathiri katika
riwaya ya Kufa kuzikana.
Mtaa wa mlimani