Professional Documents
Culture Documents
Mwanamke Na Mahusiano
Mwanamke Na Mahusiano
Mwanamke Na Mahusiano
1
MWANAMKE NA MAHUSIANO
MWANAMKE
NA
MAHUSIANO-1
2
MWANAMKE NA MAHUSIANO
YALIYOMO
YALIYOMO……………………………….……..……..…….3
TABARUKU………………………….. ……………..………4
LENGO LA KITABU………………………....….….…….…5
KUHUSU MWANDISHI………………….……….………….73
3
MWANAMKE NA MAHUSIANO
TABARUKU
4
MWANAMKE NA MAHUSIANO
5
MWANAMKE NA MAHUSIANO
SURA YA KWANZA
6
MWANAMKE NA MAHUSIANO
7
MWANAMKE NA MAHUSIANO
8
MWANAMKE NA MAHUSIANO
9
MWANAMKE NA MAHUSIANO
10
MWANAMKE NA MAHUSIANO
11
MWANAMKE NA MAHUSIANO
Mithali 6:32
[32]Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Mithali 31:3
12
MWANAMKE NA MAHUSIANO
13
MWANAMKE NA MAHUSIANO
14
MWANAMKE NA MAHUSIANO
SURA YA PILI
NANI NIOLEWE NAYE?
Mtu atakayekuja kukuoa ni lazima mkubaliane
kuishi wote hivyo ni jukumu lako kukaa chini na
kutambua na kung’amua yupi akuoe.
Isaya 34:16
[16]Tafuteni katika kitabu cha BWANA mkasome;
hapana katika hao wote atakayekosa kuwapo,
hapana mmoja atakayemkosa mwenzake; kwa
maana kinywa changu kimeamuru, na roho yake
imewakusanya.
15
MWANAMKE NA MAHUSIANO
1 Nyakati 21:1,6-7
[1]Tena shetani akasimama juu ya Israeli,
akamshawishi Daudi kuwahesabu Israeli.
[6]Lakini Lawi na Benyamini hakuwahesabu
miongoni mwao; kwa sababu neno la mfalme
limemchukiza Yoabu.
[7]Neno hilo likawa baya machoni pa Mungu; kwa
hiyo akawapiga Israeli.
16
MWANAMKE NA MAHUSIANO
Mwanzo 2:21-23
[21]BWANA Mungu akamletea Adamu usingizi
mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake
mmoja, akafunika nyama mahali pake,
[22]Na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA
Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa
Adamu.
[23]Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika
mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi
ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika
mwanamume.
17
MWANAMKE NA MAHUSIANO
Amosi 3:3
[3]Je! Watu wawili waweza kutembea pamoja,
wasipokuwa wamepatana?
Mwanzo 2:24
[24]Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake
na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao
watakuwa mwili mmoja.
18
MWANAMKE NA MAHUSIANO
19
MWANAMKE NA MAHUSIANO
SURA YA TATU
MAJIRA YA BWANA NI MIAKA MINGAPI?
Kibiblia hakuna miaka kamili iliyotajwa moja kwa
moja ya majira ya Bwana ya kuingia kwenye
mahusiano yanayoelekea kwenye ndoa ila biblia
inatuonesha dalili au ishara inayomfanya mtu aingie
huko na dalili yenyewe ukomavu.
Ukomavu ni dalili ya kujua majira ya Bwana ya
kuingia kwenye mahusiano yanayoelekea ndoa
ambapo yatakua Mapenzi yataona vema yenyewe,
ila ukomavu ni Zaidi ya watu wanavyoona kwa
kawaida kwa sababu ukomavu umegawanyika
makundi makuu matatu nayo ni
UKOMAVU WA KIMWILI.
Huu ni ukomavu ulio katika maumbile ya jinsia
fulani ambayo yanaonesha tayari Upo tayari kwa
ajili ya familia na Ndoa.
20
MWANAMKE NA MAHUSIANO
1 wakorintho 7:25
Kwa habari za wanawali sina amri ya Bwana, lakini
natoa shauri langu, mimi niliyejaliwa kwa rehema za
Bwana kuwa mwaminifu.
21
MWANAMKE NA MAHUSIANO
UKOMAVU WA KIROHO
Huu ni aina ya ukomavu unaotuhakikishia kutembea
SawaSawa na Neno la Mungu mfano Neno la
Mungu linasema usiibe na usizini yaani mtu
aliyekomaa kiroho pamoja na hisia zake kuwa ni
kubwa lakini sharti awe anaweza kuishi Sawasawa
na Neno la Mungu pasipo kuyumba wala kusita sita
Mathayo 1:19
Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa
haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa
siri.
22
MWANAMKE NA MAHUSIANO
Mwanzo 39:9
Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala
hakunizuilia kitu cho chote ila wewe, kwa kuwa
wewe u mkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa
nikamkose Mungu?
UKOMAVU WA KIAKILI
Ukomavu wa kiakili umegawanyika katika aina kuu
tatu nazo ni Uwezo wa kutatua mambo,Uwezo wa
23
MWANAMKE NA MAHUSIANO
24
MWANAMKE NA MAHUSIANO
25
MWANAMKE NA MAHUSIANO
SURA YA NNE
NINI UFANYE UKIWA SINGLE NA UNASUBIRI
MWENZI WAK
✓Weka Mkazo kwanza kwenye ukuaji wa Maisha
yako Binafsi.
1 wakorintho 7:32,34-35
[32]Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye
asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana,
ampendezeje Bwana;
[34]Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali.
Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya
Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini
yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya
dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe.
[35]Nasema hayo niwafaidie, si kwamba niwategee
tanzi, bali kwa ajili ya vile vipendezavyo, tena mpate
kumhudumia Bwana pasipo kuvutwa na mambo
mengine.
26
MWANAMKE NA MAHUSIANO
2 Wakorintho 6:14
[14]Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa
jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani
kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya
nuru na giza?
27
MWANAMKE NA MAHUSIANO
28
MWANAMKE NA MAHUSIANO
29
MWANAMKE NA MAHUSIANO
30
MWANAMKE NA MAHUSIANO
31
MWANAMKE NA MAHUSIANO
32
MWANAMKE NA MAHUSIANO
33
MWANAMKE NA MAHUSIANO
34
MWANAMKE NA MAHUSIANO
35
MWANAMKE NA MAHUSIANO
36
MWANAMKE NA MAHUSIANO
37
MWANAMKE NA MAHUSIANO
38
MWANAMKE NA MAHUSIANO
40
MWANAMKE NA MAHUSIANO
41
MWANAMKE NA MAHUSIANO
Wakolosai 1:13
Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha
na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo
lake;
Hapo juu tumeona mtu aliyeokoka huwa
amehamishwa kutoka falme ya giza na kuingizwa
katika ufalme wa Mwana wa pendo lake yaani Yesu
Kristo hivyo tunapata ufahamu kuwa yeyote
42
MWANAMKE NA MAHUSIANO
43
MWANAMKE NA MAHUSIANO
2 Petro 2:8
Maana mtu huyu mwenye haki akikaa kati yao, kwa
kuona na kusikia, alijitesa roho yake yenye haki, siku
baada ya siku, kwa matendo yao yasiyo na sheria;
44
MWANAMKE NA MAHUSIANO
04.Mazungumzo mabaya.
Watu wengi wamepotea na kujiingiza kwenye
maisha ya zinaa kutokana na mazungumzo mabaya
Kupitia Mazingira, marafiki, na hata ndugu
wanaoishi nao.
Mazungumzo mabaya sio tu unaongea na kina nani
bali pia nini unasikiliza, taarifa gani unaifatilia,
kichekesho gani, au ukiwa na Simu unaangalia
whatsapp status za nani, hadithi za kimapenzi za
mtandaoni, una makundi gani ya whatsapp kwenye
Simu Yako haya yote ni mazungumzo unayofanya
kila siku na yanachochea kwa upana sana kuamsha
hisia zako za kimapenzi.
45
MWANAMKE NA MAHUSIANO
1 Wakorintho 15:33
Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu
tabia njema.
05.Hadithi/simulizi za mapenzi
Njia mojawapo inayotumiwa na shetani kukufanya
uchochee Mapenzi Kabla ya wakati wake ni hii na ni
hatari sana hii, hata mimi Kabla ya kuokoka nilikua
nasoma kwenye magazeti hizi simulizi yaani
zinatengeneza picha halisi kabisa ya mdada au
mkaka
46
MWANAMKE NA MAHUSIANO
47
MWANAMKE NA MAHUSIANO
48
MWANAMKE NA MAHUSIANO
SURA YA TANO
TUNAWEZAJE KUWA NA USAFI WA KINGONO
KWENYE MAHUSIANO YANAYOELEKEA NDOA?
Ukitaka uwe salama na uwe na usafi wa kingono
wakati wa mahusiano yanayoelekea Ndoa mambo
yafuatayo uyaepuke
a) Kuzitafakari/kusikilizia hisia za mwili-Inahusisha
ufahamu wenyewe
Biblia imetuagiza tuyatafakari yaliyo juu-Wafilip 4:8.
Mungu alijua tukiyatafakari ya chini yakiwemo
tamaa za mwili tutachochea mapenzi.
Hizi hisia ni lazima zije na nina kushauri zikija ingia
hata mfungo siku zote hasa za period na jiepushe
kuongea na huyo mkaka umpendaye au jamii yote
ya wakaka hasa unaowaona ni wazushi na Wana
mambo ya kihuni.
Binti mmoja akaniambia Kuwa akiwa yuko na hisia
huwa anamtafuta mkaka ambaye ana hisia naye
anasema akiongea huwa anaona afadhali kidogo
49
MWANAMKE NA MAHUSIANO
50
MWANAMKE NA MAHUSIANO
51
MWANAMKE NA MAHUSIANO
d) Kushika au kushikana/kugusana-inahusisha
ngozi-Wakolosai 2:21.
• Mkono unaganda dk.5 dada na kaka
wanasalimiana salamu yetu.
Mkono wako una chapa ya Yesu usiruhusu kujinajisi
kwa kutii mwili.
• Vidole vinaongea kwa kupapasa au kubonyeza
au kutekenya ni uchochezi.
52
MWANAMKE NA MAHUSIANO
53
MWANAMKE NA MAHUSIANO
54
MWANAMKE NA MAHUSIANO
55
MWANAMKE NA MAHUSIANO
56
MWANAMKE NA MAHUSIANO
57
MWANAMKE NA MAHUSIANO
58
MWANAMKE NA MAHUSIANO
59
MWANAMKE NA MAHUSIANO
60
MWANAMKE NA MAHUSIANO
61
MWANAMKE NA MAHUSIANO
62
MWANAMKE NA MAHUSIANO
SURA YA SITA
USILOLIJUA KUHUSU MWANAUME
Unahisi unamjua mwanaume ni nani? Jaribu kuwaza
tena. Zaidi ya asilimia 75 ya migogoro ya mahusiano
baina ya wenzi ni matokeo ya tafasiri isiyo sahihi ya
hulka na vitendo vya wenzi wao.
Tuanze ni kitu kinaitwa UANAUME NDANI YA
MWANAUME
Au
ASILI YA UANAUME KWA MWANAMUME
“UIMARA WA MWANAUME UPO KATIKA UTU WAKE
WA NDANI SIO KATIKA UTU WAKE WA NJE”
63
MWANAMKE NA MAHUSIANO
64
MWANAMKE NA MAHUSIANO
66
MWANAMKE NA MAHUSIANO
67
MWANAMKE NA MAHUSIANO
68
MWANAMKE NA MAHUSIANO
69
MWANAMKE NA MAHUSIANO
✓KUHUSU MALAIKA
✓SIRI YA MUZIKI
✓TUNDA LA ROHO
✓MIMI NI MWANAMKE
✓NIPO SINGLE
✓MWANAUME HALISI
70
MWANAMKE NA MAHUSIANO
Kupiga & meseji: +255 783 428 460, +255 673 428 461
Instagram: paulo_evarist_koba12348
71
MWANAMKE NA MAHUSIANO
72
MWANAMKE NA MAHUSIANO
KUHUSU MWANDISHI
Naitwa Paulo Evarist Koba nimeokoka na nampenda sana YESU,
Muhitimu wa ngazi ya astashahada pale kwenye chuo cha
ufundi cha DIT.
Niliokoka Mwaka 2014 nikiwa kidato cha tatu huko shuleni
nilipokua nasoma elimu ya sekondari, tangu hapo Maisha
yangu yamebadilika kabisa.
Ninaabudu kanisa la Gilgal Revival Church pia ni mtoto wa
kiroho wa mchungaji Paulo Israel Shaban.
Haya maarifa nimejifunza Kupitia kwa Baba yangu wa kiroho
Askofu Paul Israel Shaban na watu kama Bishop Kabigumila, na
mchungaji Peter Mahenge, na Mwl Christopher Mwakasege.
Kama umeguswa na huduma hii na una ushuhuda kuhusu hiki
kitabu basi karibu kwa namba za hapo chini pia unaweza kutoa
sadaka Yako Ili kutoa sapoti karibu kwa mawasiliano ya hapo
chini pia kwa ushauri na msaada wa kiroho karibu sana kupitia
Email ifuatayo paulokoba395@gmail.com na mawasiliano ya
0783428460 au mitandao ya kijamii nitafute kama Evarist
Koba.
73