Professional Documents
Culture Documents
F3 EDK MONTHLY TEST FEB 2024
F3 EDK MONTHLY TEST FEB 2024
Maelekezo
1. Mtihani huu una sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi (11).
2. Jibu maswali yote kutoka sehemu A na B na maswali mawili kutoka
sehemu C.
3. Andika Jina lako kamili katika kila ukurasa wa kijitabu cha kujibia.
4. Simu za mkononi na VYOTE VISIVYOHUSIKA NA MTIHANI haviruhusiwi
katika chumba cha mtihani.
5. Soma vizuri maelekezo ya kila swali kabla hujaanza kujibu.
Ukurasa wa 1 kati ya 5
SEHEMU A (Alama 16)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
1. Katika kipengele (i) – (xv), chagua jibu sahihi kisha andika herufi yake
katika kijitabu chako cha kujibia.
(i) Elimu yenye manufaa kwa mujibu wa Uislamu inakuwa na sifa gani?
A. Inahusisha Dini na dini B. Inafundisha ya Dunia na Akher
C. Inawezesha kufanya ibada D. Inasababisha kupata ajira
E. Inatoa ujuzi na marifa
(iv) Kwanini sio sahihi kuitafsiri Dini kama “Njia ya mahusiano kati ya
mwanadamu na Mungu?”
Ukurasa wa 2 kati ya 5
(v) Ibada ya Zakat na Sadaka inzingatia mambo mengi katika utekeleaji
wake isipokuwa
A. Kutoa vilivyo halali C. Kutoa vilivyo vizuri
B. Kutoa mwezi wa D. Kutoa kati kwa kati
Ramadhani E. Kujiepusha na Ria
(vii) Anapaswa kufanya nini mtu anayemsalia maiti baada ya Imam kuleta
Takbira ya tatu?
Ukurasa wa 3 kati ya 5
(x) Mafundisho gani mahususi yanayopatikana katika Suratul – Ikhlas?
A. Shetani ni adui mkubwa wa mwanadamu
B. Kuna shari katika giza la usiku linapoingia
C. Uislamu ni njia sahihi ya maisha
D. Kazi kubwa ya Shetani ni kutia wasiwasi moyoni
E. Allah (S.W) ndio jina la dhati la Mwenyezi – Mungu
Ukurasa wa 4 kati ya 5
SEHEMU B (Alama 54)
4. (a) Tumia hoja tatu kumbainishia rafiki yako tofauti iliyopo kati ya zakat na
sadaqat.
***Wabillah Tawfiq***
Ukurasa wa 5 kati ya 5