Professional Documents
Culture Documents
Kisa 411 Tamthilia Notes
Kisa 411 Tamthilia Notes
UTANGULIZI
wake. Somo hili linachunguza utanzu huu katika somo hili, maana na chimbuko la
tamthilia vimetolewa. Aidha kuna historia fupi ya tamthlia na aina za tamthilia. Sifa za
Kiswahili tamthilia linatumika kwa maana ya michezo ya kuigiza. Katika tamthilia huwa
kutazamwa na hadhira.
pahala fulani pa kutendea na kila kitendo kikawa na maonyesho yake k.v onyesho la
kwanza , la pili la tatu nk. Tamthilia ni fasihi au sanaa tendaji ambayo si ya kusomwa tu
1
bali pia huigizwa. Tamthilia hutafsiriwa na kufasiliwa katika vitendo vinavyoonekana,
miondoko na sauti jukwaani. Hata hivyo tamthilia huweza kusomwa kimya kimya.
Mazungumzo baina ya wahusika sio majibizano tu ya usemi au kauli tupu bali ni msingi
mkuu wa kuendelezwa ma kukuzwa kwa tendo kuu la kimaigizo katika tamthilia Fulani.
Kama sanaa ya utendaji, kwa hivyo suala la uigizaji na utendaji kwenye jukwaa ni
CHIMBUKO LA TAMTHILIA
Chanzo cha sanaa za maigizo ambazo ndizo asili ya drama au tamthilia ni sherehe za
hizo. Uchina pia kulizuka drama iliyoambatana na sherehe za kidini na vilevile Misri
Katika Afrika hali kama hiyo inajidhihirisha. Dhana ya sanaa za maigizo na hata
hapa afrika. Matambiko katika jamii mbalimbali yalizaa aina ya utendaji katika baadhi
2
Katika utamaduni wa waswahili, kabla ya kuja kwa watu wa ulaya ya magharibi na
kuleta drama yao, waswahili walitunga na kughani tendi ambazo baadhi yake
Maigizo hayo hutoa maelezo ya mandhari, mavazi na vifaa vingine ambavyo yote
majukwaani au kwenye kumbi zilizojengwa maalum kwa shughuli hiyo. Hii ndiyo
Tangu miaka ya awali ya utawala wa wazungu hadi uhuru, kuliigizwa michezo ya kuigiza
Michezo hiyo ya mwanzo ilitia watoto a shule na waigizaji wengine katika miji mikubwa
k.v Nairobi, Mombasa, Dar es salaam na Kampala katika kumbi zilizoitwa ‘little
Michezo ya awali ilimbeza mwafrika na tabia zake hasa hali ya kutojua kusoma na
3
‘Bwana amekufa, (The Lord Is Dead) na ‘Wanawake wenye akili (Intelligent Girls). Huu
Katika miaka ya arobaini na hamsini, wazungu ambao awali walikua wameona sanaa za
Ngoma na maigizo hayo yakaanza mashuleni ili yaonyeshwe kwa wananchi kama
hadi mwaka wa 1963 ambapo msaada kutoka shirika la British Council Library
ulikatizwa.
Katika kipindi cha ukoloni hasa kuanzia miaka ya arobaini na kuendelea, nje na ndani ya
Kulianzishwa pia maigizo ya redioni ambapo mwafrika alikuwa mhusika mkuu. Kupitia
4
Kupitia michezo hiyo, ilidhaniwa kuwa mwafrika angesahau harakati za kudai uhuru na
badala yake kuanza kuucheka ujinga wa mwafrika mwenzake. Hata hivyo juhudi zote
Baada ya uhuru, sanaa za maigizo zilichukua sura mpya. Miaka ya sitini, kutokana na
dini, siasa, utamaduni, kasumba matatizo ya jamii, n.k. tamthia zingine zilitafsiriwa
kutoka kwa lugha za kigeni, hasa lugha ya kingereza k..m. Juliasi Kaizari, Mabepari Wa
Watunzi k.v E.Hussein, D Mulwa, A Mazrui, C.N Chacha, P. Muhando, n.k. wametunga
vyema.
AINA ZA TAMTHILIA
kuelewa tamthilia vizuri. Tamthilia ni za aina kadha. Aina ina sifa zake maalum. Aina
Tanzia
Tamthilia ya tanzia huhusika na mambo yenye uzito kifikira na hisia katika na kihisia
katika maisha ya binadamu. Katika tamthikia za aina hii, mhusika mkuu hupewa sifa
5
nyingi zinazovutia na kupendeza. Lakini mhusika huyo hukabikwa na shida au tatizo
ambalo linaweza kumpata mtu yeyote. Namna anavyojaribu kukabiliana na tatizo hilo na
kweli. Msuko wa tamthilia hiyo hukita kwenye wazo moja bila kuingilia viploti vingine
vidogo vidogo. Mbinu hizi huelekeza hadhira katika kukubali kwamba yaliyomfika
mhusika mkuu au nguli hayakuweza kuepukika. Kwa kuelewa kwamba nguli ni kama
kule kuelewa kwetu kwamba haya yanaweza kumpata yeyote kati yetu, kunatutia hofu.
Juhudi na ushujaa wa nguli katika kupambana na shida ile kufa na kupona hutupa moyo
kiumbe dhaifu. Katika tamthilia za tanzia, nguli wakati mwingine hufa au kuuawa, lakini
Kifo cha kitanzia huja baada ya mapambano marefu yanayochipuza hisia za ushujaa wa
binadamu. Kwa hivyo, msuko wa mapambano dhidi ya shida fulani huwa muhimu zaidi
Kiswahili.
6
Futuhi
Futuhi ni tamthilia ambayo hutuchorea picha yakini ya maisha ingawa usawiri huo hauna
undani na uzito kama ule unaojitokeza katika tanzia. Kwa sababu hii, majaaliwa ya
wahusika wa futuhi huathiri hadhira kihisia kwa kiwango cha chini zaidi kuliko tanzia
Melodrama
huwa ni wa haraka haraka zaidi. Wahusika wake huvutia na kufurahisha lakini hawana
ubaya. Miishio ya tamthilia hizi haina sifa ya matakasohisia kama ilivyo na tanzia bali
Kichekesho
kutokana na mbinu za kufutuhi ya chini kama ucheshi, hali zisizokuwa za kawaida k.v
wahusika wasio wa kike kuvaa mavazi ya kike na wale wa kike kuvaa ya kiume, visa vya
Tanzia-ramsa
7
Hii ni aina ya tamthilia ambayo huonyesha mabadiliko ya aina Fulani yanayogeuza
Tamthilia za historia
Tamthilia tatizo
Tamthilia tatizo huzungumzia swala Fulani katika jamii. Tamthilia hizi pia huitwa
tamthilia tasnifu na kuna mifano mingi katika fasihi ya Kiswahili k.v Mnara wawaka